Nashukuru Sana kwa mafunzo mnayotupa, Ila nataka kuuliza sababu za kukata vifaranga manyoa, nimeona yakikatwa, Kuna faida gani, na Kama kuna sababu wanakatwa wakiwa na umri gani, Asante sana nitashukuru kupata majibu
nimependa na mm nahitaji kupata elimu zaid maana nataka kuanza hi biashasha ya kuku ila kwa sasa nipo nje ya nchi yani dubai na nahitaji kufanya mradi huu wa kuku zanzibar na tayri nimesha tafuta eneo zuri la kufanya mradi hu ila siwezi kufanya bila ya kupata elimu ila nimeona kwako ninaweza kupata elimu na kufanikisha ndoto zangu kama itawezekana kupata mawasiliano yako itakua vizuri sana itakua vizuri sana
Asante kwa kutuelimisha. Naomba kuuliza kwa vifaranga vya kienyeji. Baada ya kuwatoa kwa mama yao siku ya tatu, chanjo ya kwanza nitawapa siku ya ngapi? Asante
Asante ndg kw kuteilimisha, swali langu, ? Je hyo magazeti yalitandikwa kw vifaranga, mwisho wa kutowawekea tena hyo magazeti ni baada ya kutimiza cku ngapi
Kuku village is the best TH-cam poultry farming!!!
Thank you very much. We asure you to walk on your talk.
Kuku Village niunganishe wasap 0786569365
@@KukuVillagemko wapi
Napenda kujua mko maeneo gani
Sijawahi kufuga natamani
Nitapate vifaranga wa nyama
Tupigie au wasiliana nasi kwa WhatsApp 0621063255
Nimepata elimu yakutosha kuku village ni zaidi ya chuo kikuu.
Bravooooo
Mmenifungua macho nitaendelea kufuata maelezo yenu
Nimeelewa sasa hongera kwa maelezo yenu
Asante ndugu
Naomba kuunhanishwa kwenye group lenu la wasapu la ufugaji
Nashukuru Sana kwa mafunzo mnayotupa, Ila nataka kuuliza sababu za kukata vifaranga manyoa, nimeona yakikatwa, Kuna faida gani, na Kama kuna sababu wanakatwa wakiwa na umri gani, Asante sana nitashukuru kupata majibu
Thanz for the info,i ave learned something,thank you
Amina UBARIKIWE KWA HUDUMA ASANTE SANA
Napenda kujifunza
Ok. Karibu sana
Great kuku village Av really learnt alot
Naqashukuru sana kwa ushauri. Mmenifaa sana
Nimeipenda safi sana
Napendakjjifu za
Raphael from Kenya 🙋
Upendo lema hayo mafuta y yote kama dawa yanapatikana kwenye maduka gani
Kilimo na mifugo liquid parafin, dawa muhimu - mafuta ya Samaki
Good farming
Nko vizuri
Great
Nimeridhika.
Nice training
Naomba mniweke group yenyu
Nimeipendq Sana kwani nahitaji kuwa mfugaji.
Karibu sana boss
Vyombo vya kujitengenezea kulishia kuku wa kienyeji chakula ni vipi
Guud
Safi Sana nilikata tamaa ya kufuga kutokana changamoto ya kulea vifaranga
Usikate tamaa. Kuku village tupo kwaajili yako
Unazungumza vizuri Ila kunamswali nataka kuuliza
Nice
Yap,,
Abaliyali ya kazi nilifanya ivyo ila nilishindwa vifalanga vilidumaa nakufa na taa yajoto ikawa inaungua kilasiku nipe ushauli
Asante sana, umeeleweka kiongozi, na ni kweli Kuku village ni zaidi ya shule
Tunashukuru boss
@@KukuVillage asante nadhani nitahitaji niwatafute Kuku village naweza kupata mawasiliano yenu?
Bonyeza link hapa chini
chat.whatsapp.com/DJcFvuv9cd05y59tf5Ab93
Kuku haoshin,gapi
Naomba kujua bei ya vifalanga
Best
Asante kwa somo zuri, je chanjo ya Marex wanaipata wapi? Au naipata dukani?
Nimekuelewa
Mpo vizur
Asante sana
Asnte sana
Karibu
Is new castle a vaccine or it's for putting in the eyes?
Kuku wazuri sana
Naomba no y'a mawasiliano
0621063255
naomba kuuliza iyo chanjo ya kwanza unasema inaitwa marex wanapewa iyo chanjo kwa mda gan baada ya kuanza kuwalea hao vifaranga tangu cku ya mwanzo.
Hupewa siku ya kwanza. Wanapo totolewa
Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
Naomba mniunge kweny wasp
Niunge whasap group .
chat.whatsapp.com/BD4HjujlEYQHDSXBZ3h4wo
niko burundi nakusikia miakwamia asante kaka
Karibu sana. Na nafurahi kupata watazamaji toka burundi.
chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
Mm nime Toto lesha lakini nimem nyanganya mama nikawapa glucosi sikuu tano lakini wanapata vipele shingoni kwasababu gani
Wana umri gani?
Hata Kama sijaanza kufuga kweli umenichochea hata moyo umefunguka .naamimi nitaweza kufanya ufugaji huu.Mola nijalie.
Utaweza Cha muhimu ni kufuatilia tu.
chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
Ninahitaji vyungu vya kuwekeya makaa ili niwawekee vifaranga
Mko na group la whatsap muniunge nijifundishe mengi,sababu mimi nimgeni kwa hii channel na nimewapenda sana kwa elmu yenu
Jiunge hapa
chat.whatsapp.com/DJcFvuv9cd05y59tf5Ab93
Nimejaribu kujiunga inasema provoked
Naomba kuungwa kwenye group ufugaji
Naomba mniunge kwa group wasp
Mzima mimi nataka vifaranga wa kienyeji 50 niko dodoma kama nikiwapata tarehe 21 itakuwa poa ya mwezi huu
Tupigie 0744674406
Habari naitaji kuku ao wenye manyoya miguuni au mayayi yao nokatotoleshe
Naomba mniunganishe na mm kwenye group
Naomba kuuliza vitamini ya kuku na grucos unaweza kuwapa kwa wakati mmoja au kuchanganya pamoja ili kuwapa?
Changanya
Hii nyumba ya vifaranga inafaa kua nyumba aina gani??
nimependa na mm nahitaji kupata elimu zaid maana nataka kuanza hi biashasha ya kuku ila kwa sasa nipo nje ya nchi yani dubai na nahitaji kufanya mradi huu wa kuku zanzibar na tayri nimesha tafuta eneo zuri la kufanya mradi hu ila siwezi kufanya bila ya kupata elimu ila nimeona kwako ninaweza kupata elimu na kufanikisha ndoto zangu kama itawezekana kupata mawasiliano yako itakua vizuri sana itakua vizuri sana
TUpigie
Sina number yenu
Namba za mawasiliano?
Niko arusha napenda sana kufuga ila changamoto ni kule vifaranga
Fuatilia vipindi vyetu hasa katika mada za uleaji wa Vifaranga . Utapata suluhisho
Mbona mm nimesubscribe lakn sipati taarifa ya vipindi vyako? Kama hapa nimekuja baada yakutumwa kwa video kwenye group
Nimependezwa na elimu hii.
Asante sana kwa mafunzo, Mimi Niko Uganda nitatumaje pesa ili niunge what's up.?
Tumia kutuma pesa nje ya nchi
Naomba elimu zaidi
Jiunge na darasa...
Nahitaji hyo variety ya kuku mabuga jee mnao?? Na mnauzaje?
Sijaelewa fafanua
Kaka zipi Changa moto zinazo sababisha vifaranga kufa
Asante kwa kutuelimisha. Naomba kuuliza kwa vifaranga vya kienyeji. Baada ya kuwatoa kwa mama yao siku ya tatu, chanjo ya kwanza nitawapa siku ya ngapi? Asante
Siku utakayo watoa ndo itahesabika kama siku ya kwanza. Chanjo utawapa siku ya 7
Niunge kwenye group
Naomba kuunganishwa Kwa group lenu la watsap
Tuma ujumbe whatsapp 0621063255
Naomba kuungwa kwenye group la whatapp
@rosekishinhi8246 0621063255
Kuweka maelekezo yatoleyo Katika vitendo ni njia ya mafanikio.
Nimependa mafundisho yenu, Mbeya mnapatikana sehemu gani??
Hatuko mbeya. Ila kwa siku zijazo tutaweka tawi huko.
Tunahitaji group LA WhatsApp LA kuku village
Nimetotolesha vifaranga nimeviitoa kea mama yao je niwape maji baada ya muda gani
naomba uunganishwa kwenye group la watsap
Nataka vifaranga mnapatikana mkoa gani?
Uko vzul kaka zidi kutu elimisha Niko nkinga tabola
Asante sana
Wawezeshaji naomba utueleze kwa watu wenye ulemavu na wanaotumia wheelchair watafugaje maana miguu yetu ni wheelchair. Mabanda inakuwaje
Nanijivania channel ya Kuku vileg
Dah... asante sana kwa ujumbe wako
nachanganyikiwa nikisikia kuku anakitovu naomba nijui kama wanavyo kweli basi mwilini mwao inakaa sehemu gani
Chini ya sehemu ya haja
@@KukuVillage Niunge kwenye lako la WhatsApp
samahani naomba kuuliza uleaji huu wa vifaranga kuanzia siku ya 1 mpk siku 7 ni wa kienyeji tu au hata hawa wa kisasa? namaanisha broiler
Vifaranga wote. Inafaa sana
Vifaranga wote. Inafaa sana
Asante kwa simo zuri. Hiyo chanjo ya kwanza wanakua wamepata lini?
Shambani siku ya kwanza kabla ya kukufikia
Mataka niungwe kwenye grup
Tupigie 0621063255
Kifaranga Cha siku 2 unaweza kuwapa OTC ya mg 30?
Tumia 10%
Kuku village kipo sehemu gani nataka kuwatembelea
naomba namba ya whats up ya group ya kuku village
chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
Vifaranga wangu Wana miez 2wanaumwa macho ukibinya jicho kunatoka utango mweupe niwape dawa gani
Tuwasiliane kupitia WhatsApp 0744674406
Naomba kama itafaa ufungue group la ufugaji
Yapo
@@KukuVillage naomba uniunge 0786201086
Naomba namba ya simu kwa maswali binafsi kuhusu kuku
0621063255
Mafuta hayo yanapatikana WP?
Boss yangu naomba msaada vifaranga wangu ameanza vidonda kwa kichwa ana mdomo
Nitafute hapa
chat.whatsapp.com/CJBj5U99JvLByXiDAOJNAr
Asante naendelea kujifunza mnapatikana wapi
Tupigie kwa namba zetu
Nmawasliano ili nifike mlipo na nipate darasa na vifaranga
Nahitaji kujua hawa vifaranga wenye nyewele hadi kwenye miguu
Asante ndg kw kuteilimisha, swali langu, ? Je hyo magazeti yalitandikwa kw vifaranga, mwisho wa kutowawekea tena hyo magazeti ni baada ya kutimiza cku ngapi
Wiki 2 , unaweza kuanza kuweka maranda au matandazo mengine
Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
@@KukuVillage mbona najiunga inasema only admin wanaweza kutuma msg
Naomba mtume video ya jinsi ya kuandaa na kuchanja mareks
Ok tutalifanyia kazi
@@KukuVillage Ntashukuru sana sana
Nice training but you are too descriptive in the introductory part. You need go straight to the point
Chakula kizuri cha kuwapa vifaranga vya kuanzia siku ya tatu hadi saba ni chakula gani naomba kufahamu?
Broiler starter crumble
Je unaweza kunitembelea ktk banda langu?
Unapatikana wapi
viafaranga kuwekewa magazeti haithari endapo akinya na kinyesi kikaliwa na kuku wenziwe?
Kuna dawa za kuwaanzishia
mwalimu apa kwenye banda hili akunaga panya na kama wapo si wanaweza zuru vifaranga ?
Kama unasumbuliwa na panya fuga paka
Mi nipo dar nahitaji ratiba zaid juu ya mafunzo yenu
Ratiba ni tarehe 1 july. Lipia mapema. Kwa maelezo
Nitafute hapa
chat.whatsapp.com/CJBj5U99JvLByXiDAOJNAr
Samahan nilikua naomba namba yako ya simu au email yako
Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
Dawa gani hutumika kutibu kitovu cha vifaranga.
Tumia antibiotics
Ninaomba Marelekezo, jinsi ya kuwe joto kwenye vifaranga je kuna aina za Taa?zinazo tumia umeme?
Zipo
Vifaranga kuku Wa kienyeji unapowatenga na mama yao nao wanahitaji kuwekewa taa