Uleaji Wa Vifaranga Siku ya 1 - 7, Hatua kwa Hatua. Hatua zote Muhimu Kuzifahamu.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.พ. 2020
  • #mbinu #kuku #vifaranga

ความคิดเห็น • 242

  • @lukmanbakari2318
    @lukmanbakari2318 4 ปีที่แล้ว +13

    Kuku village is the best TH-cam poultry farming!!!

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว +3

      Thank you very much. We asure you to walk on your talk.

    • @praxedashayo5400
      @praxedashayo5400 4 ปีที่แล้ว +2

      Kuku Village niunganishe wasap 0786569365

    • @lucyshauritanga5640
      @lucyshauritanga5640 7 หลายเดือนก่อน

      @@KukuVillagemko wapi

    • @lucyshauritanga5640
      @lucyshauritanga5640 7 หลายเดือนก่อน

      Napenda kujua mko maeneo gani
      Sijawahi kufuga natamani
      Nitapate vifaranga wa nyama

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  7 หลายเดือนก่อน

      Tupigie au wasiliana nasi kwa WhatsApp 0621063255

  • @cleverkifaluka4337
    @cleverkifaluka4337 2 ปีที่แล้ว +6

    Nimepata elimu yakutosha kuku village ni zaidi ya chuo kikuu.
    Bravooooo

  • @user-tv2qc8bc9n
    @user-tv2qc8bc9n หลายเดือนก่อน +2

    Mmenifungua macho nitaendelea kufuata maelezo yenu

  • @KakoziAsumani
    @KakoziAsumani 2 วันที่ผ่านมา +1

    Nimeelewa sasa hongera kwa maelezo yenu

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Asante ndugu

  • @alphoncemichael5798
    @alphoncemichael5798 3 ปีที่แล้ว +5

    Naomba kuunhanishwa kwenye group lenu la wasapu la ufugaji

  • @gracemgaya1295
    @gracemgaya1295 2 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru Sana kwa mafunzo mnayotupa, Ila nataka kuuliza sababu za kukata vifaranga manyoa, nimeona yakikatwa, Kuna faida gani, na Kama kuna sababu wanakatwa wakiwa na umri gani, Asante sana nitashukuru kupata majibu

  • @rencerono5215
    @rencerono5215 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanz for the info,i ave learned something,thank you

  • @angerabanzi3299
    @angerabanzi3299 2 ปีที่แล้ว

    Amina UBARIKIWE KWA HUDUMA ASANTE SANA

  • @siwemangalunda4655
    @siwemangalunda4655 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda kujifunza

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  หลายเดือนก่อน

      Ok. Karibu sana

  • @sharonchelangat5796
    @sharonchelangat5796 หลายเดือนก่อน

    Great kuku village Av really learnt alot

  • @mechtildabyambwenu3337
    @mechtildabyambwenu3337 2 ปีที่แล้ว

    Naqashukuru sana kwa ushauri. Mmenifaa sana

  • @upendohenry8898
    @upendohenry8898 2 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda safi sana

  • @siwemangalunda4655
    @siwemangalunda4655 หลายเดือนก่อน

    Napendakjjifu za

  • @raphaeluhuru8948
    @raphaeluhuru8948 3 ปีที่แล้ว +1

    Raphael from Kenya 🙋

  • @UpendoLema-jc5dh
    @UpendoLema-jc5dh หลายเดือนก่อน +1

    Upendo lema hayo mafuta y yote kama dawa yanapatikana kwenye maduka gani

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  หลายเดือนก่อน

      Kilimo na mifugo liquid parafin, dawa muhimu - mafuta ya Samaki

  • @dony6568
    @dony6568 ปีที่แล้ว

    Good farming

  • @jaspermgonja1466
    @jaspermgonja1466 ปีที่แล้ว +1

    Nko vizuri

  • @sylvestershija1891
    @sylvestershija1891 2 ปีที่แล้ว

    Great

  • @harunkituri5911
    @harunkituri5911 หลายเดือนก่อน

    Nimeridhika.

  • @dorothymbithe2114
    @dorothymbithe2114 4 ปีที่แล้ว +1

    Nice training

  • @iddyomary6152
    @iddyomary6152 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeipendq Sana kwani nahitaji kuwa mfugaji.

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  หลายเดือนก่อน

      Karibu sana boss

  • @kawelesiakisanga6670
    @kawelesiakisanga6670 2 หลายเดือนก่อน

    Vyombo vya kujitengenezea kulishia kuku wa kienyeji chakula ni vipi

  • @ayaanisaaqosman7784
    @ayaanisaaqosman7784 ปีที่แล้ว

    Guud

  • @willingtonejohn1929
    @willingtonejohn1929 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi Sana nilikata tamaa ya kufuga kutokana changamoto ya kulea vifaranga

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Usikate tamaa. Kuku village tupo kwaajili yako

  • @issamnadamnada5502
    @issamnadamnada5502 2 ปีที่แล้ว +1

    Unazungumza vizuri Ila kunamswali nataka kuuliza

  • @marcocharles1360
    @marcocharles1360 3 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @brightonndesario2229
    @brightonndesario2229 2 ปีที่แล้ว

    Yap,,

  • @MusaKiuta
    @MusaKiuta หลายเดือนก่อน

    Abaliyali ya kazi nilifanya ivyo ila nilishindwa vifalanga vilidumaa nakufa na taa yajoto ikawa inaungua kilasiku nipe ushauli

  • @momumofarms
    @momumofarms 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana, umeeleweka kiongozi, na ni kweli Kuku village ni zaidi ya shule

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Tunashukuru boss

    • @momumofarms
      @momumofarms 4 ปีที่แล้ว +1

      @@KukuVillage asante nadhani nitahitaji niwatafute Kuku village naweza kupata mawasiliano yenu?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Bonyeza link hapa chini
      chat.whatsapp.com/DJcFvuv9cd05y59tf5Ab93

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kuku haoshin,gapi

  • @SophiaOmary-bg4nl
    @SophiaOmary-bg4nl ปีที่แล้ว +1

    Naomba kujua bei ya vifalanga

  • @elibarikishukya-lf3sk
    @elibarikishukya-lf3sk 2 หลายเดือนก่อน

    Best

  • @nyaganyie.finias2152
    @nyaganyie.finias2152 ปีที่แล้ว

    Asante kwa somo zuri, je chanjo ya Marex wanaipata wapi? Au naipata dukani?

  • @ludoviclymo2044
    @ludoviclymo2044 2 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa

  • @mchmwal...z.a.ndelwa7838
    @mchmwal...z.a.ndelwa7838 4 ปีที่แล้ว +2

    Mpo vizur

  • @saidhamisi2795
    @saidhamisi2795 4 ปีที่แล้ว +1

    Asnte sana

  • @wabudimercy6382
    @wabudimercy6382 4 ปีที่แล้ว

    Is new castle a vaccine or it's for putting in the eyes?

  • @modestadenis3662
    @modestadenis3662 3 ปีที่แล้ว +1

    Naomba no y'a mawasiliano

  • @alhudayachannel6197
    @alhudayachannel6197 4 ปีที่แล้ว +2

    naomba kuuliza iyo chanjo ya kwanza unasema inaitwa marex wanapewa iyo chanjo kwa mda gan baada ya kuanza kuwalea hao vifaranga tangu cku ya mwanzo.

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Hupewa siku ya kwanza. Wanapo totolewa

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @user-eo9rl7jw8p
    @user-eo9rl7jw8p 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba mniunge kweny wasp

  • @ramadhangwago5680
    @ramadhangwago5680 3 หลายเดือนก่อน +1

    Niunge whasap group .

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 หลายเดือนก่อน

      chat.whatsapp.com/BD4HjujlEYQHDSXBZ3h4wo

  • @jamesnibaruta2886
    @jamesnibaruta2886 4 ปีที่แล้ว +3

    niko burundi nakusikia miakwamia asante kaka

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Karibu sana. Na nafurahi kupata watazamaji toka burundi.

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @PriscaJoseph-dp6pt
    @PriscaJoseph-dp6pt 9 หลายเดือนก่อน

    Mm nime Toto lesha lakini nimem nyanganya mama nikawapa glucosi sikuu tano lakini wanapata vipele shingoni kwasababu gani

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  9 หลายเดือนก่อน

      Wana umri gani?

  • @beatricenabangala5246
    @beatricenabangala5246 4 ปีที่แล้ว +1

    Hata Kama sijaanza kufuga kweli umenichochea hata moyo umefunguka .naamimi nitaweza kufanya ufugaji huu.Mola nijalie.

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Utaweza Cha muhimu ni kufuatilia tu.

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @zubedadahalgould8809
    @zubedadahalgould8809 4 ปีที่แล้ว +2

    Ninahitaji vyungu vya kuwekeya makaa ili niwawekee vifaranga

  • @rossamengo7211
    @rossamengo7211 4 ปีที่แล้ว +2

    Mko na group la whatsap muniunge nijifundishe mengi,sababu mimi nimgeni kwa hii channel na nimewapenda sana kwa elmu yenu

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว +1

      Jiunge hapa
      chat.whatsapp.com/DJcFvuv9cd05y59tf5Ab93

    • @mohaisha
      @mohaisha 3 ปีที่แล้ว

      Nimejaribu kujiunga inasema provoked

  • @habibuzuberi8256
    @habibuzuberi8256 3 ปีที่แล้ว

    Naomba kuungwa kwenye group ufugaji

  • @hildajoseph2837
    @hildajoseph2837 4 หลายเดือนก่อน

    Naomba mniunge kwa group wasp

  • @saadasimba267
    @saadasimba267 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzima mimi nataka vifaranga wa kienyeji 50 niko dodoma kama nikiwapata tarehe 21 itakuwa poa ya mwezi huu

  • @ayubumerciory3725
    @ayubumerciory3725 4 ปีที่แล้ว

    Habari naitaji kuku ao wenye manyoya miguuni au mayayi yao nokatotoleshe

  • @user-im9ew6pw8e
    @user-im9ew6pw8e 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba mniunganishe na mm kwenye group

  • @hamidumussa6612
    @hamidumussa6612 3 ปีที่แล้ว +2

    Naomba kuuliza vitamini ya kuku na grucos unaweza kuwapa kwa wakati mmoja au kuchanganya pamoja ili kuwapa?

  • @ericosoro7617
    @ericosoro7617 4 ปีที่แล้ว +1

    Hii nyumba ya vifaranga inafaa kua nyumba aina gani??

  • @khalfanallbusaid2035
    @khalfanallbusaid2035 3 ปีที่แล้ว +1

    nimependa na mm nahitaji kupata elimu zaid maana nataka kuanza hi biashasha ya kuku ila kwa sasa nipo nje ya nchi yani dubai na nahitaji kufanya mradi huu wa kuku zanzibar na tayri nimesha tafuta eneo zuri la kufanya mradi hu ila siwezi kufanya bila ya kupata elimu ila nimeona kwako ninaweza kupata elimu na kufanikisha ndoto zangu kama itawezekana kupata mawasiliano yako itakua vizuri sana itakua vizuri sana

  • @hasinarashid4517
    @hasinarashid4517 3 ปีที่แล้ว +1

    Namba za mawasiliano?

  • @augustinomrema1812
    @augustinomrema1812 3 ปีที่แล้ว

    Niko arusha napenda sana kufuga ila changamoto ni kule vifaranga

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 ปีที่แล้ว

      Fuatilia vipindi vyetu hasa katika mada za uleaji wa Vifaranga . Utapata suluhisho

  • @abdul-azeez6340
    @abdul-azeez6340 4 ปีที่แล้ว

    Mbona mm nimesubscribe lakn sipati taarifa ya vipindi vyako? Kama hapa nimekuja baada yakutumwa kwa video kwenye group

  • @user-yd4md4cw7q
    @user-yd4md4cw7q 4 หลายเดือนก่อน

    Nimependezwa na elimu hii.

  • @estherakabwai2350
    @estherakabwai2350 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kwa mafunzo, Mimi Niko Uganda nitatumaje pesa ili niunge what's up.?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 ปีที่แล้ว

      Tumia kutuma pesa nje ya nchi

  • @mgoloziamoss6495
    @mgoloziamoss6495 2 ปีที่แล้ว

    Naomba elimu zaidi

  • @mohdkassim6903
    @mohdkassim6903 4 ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji hyo variety ya kuku mabuga jee mnao?? Na mnauzaje?

  • @ulrickkavunjika6382
    @ulrickkavunjika6382 2 ปีที่แล้ว

    Kaka zipi Changa moto zinazo sababisha vifaranga kufa

  • @gloriasowo3127
    @gloriasowo3127 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwa kutuelimisha. Naomba kuuliza kwa vifaranga vya kienyeji. Baada ya kuwatoa kwa mama yao siku ya tatu, chanjo ya kwanza nitawapa siku ya ngapi? Asante

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 ปีที่แล้ว

      Siku utakayo watoa ndo itahesabika kama siku ya kwanza. Chanjo utawapa siku ya 7

  • @elizabethcharles994
    @elizabethcharles994 ปีที่แล้ว

    Niunge kwenye group

  • @teddymathew4916
    @teddymathew4916 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba kuunganishwa Kwa group lenu la watsap

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 หลายเดือนก่อน

      Tuma ujumbe whatsapp 0621063255

    • @rosekishinhi8246
      @rosekishinhi8246 หลายเดือนก่อน

      Naomba kuungwa kwenye group la whatapp

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  หลายเดือนก่อน

      @rosekishinhi8246 0621063255

  • @mugaramafuru4277
    @mugaramafuru4277 2 ปีที่แล้ว

    Kuweka maelekezo yatoleyo Katika vitendo ni njia ya mafanikio.

  • @saumumahanyu7332
    @saumumahanyu7332 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa mafundisho yenu, Mbeya mnapatikana sehemu gani??

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Hatuko mbeya. Ila kwa siku zijazo tutaweka tawi huko.

  • @yussufhajji8941
    @yussufhajji8941 4 ปีที่แล้ว

    Tunahitaji group LA WhatsApp LA kuku village

  • @merinaemmanuel206
    @merinaemmanuel206 2 ปีที่แล้ว

    Nimetotolesha vifaranga nimeviitoa kea mama yao je niwape maji baada ya muda gani

  • @lucythoya8626
    @lucythoya8626 3 ปีที่แล้ว

    naomba uunganishwa kwenye group la watsap

  • @delymeela1595
    @delymeela1595 2 ปีที่แล้ว

    Nataka vifaranga mnapatikana mkoa gani?

  • @jumamalale4006
    @jumamalale4006 4 ปีที่แล้ว +1

    Uko vzul kaka zidi kutu elimisha Niko nkinga tabola

  • @prosperkiluwa8184
    @prosperkiluwa8184 2 ปีที่แล้ว

    Wawezeshaji naomba utueleze kwa watu wenye ulemavu na wanaotumia wheelchair watafugaje maana miguu yetu ni wheelchair. Mabanda inakuwaje

  • @meynamaulid910
    @meynamaulid910 2 ปีที่แล้ว

    Nanijivania channel ya Kuku vileg

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 ปีที่แล้ว

      Dah... asante sana kwa ujumbe wako

  • @zurapetro525
    @zurapetro525 4 ปีที่แล้ว +1

    nachanganyikiwa nikisikia kuku anakitovu naomba nijui kama wanavyo kweli basi mwilini mwao inakaa sehemu gani

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Chini ya sehemu ya haja

    • @habibuzuberi8256
      @habibuzuberi8256 3 ปีที่แล้ว

      @@KukuVillage Niunge kwenye lako la WhatsApp

  • @magrethshuma9660
    @magrethshuma9660 4 ปีที่แล้ว +1

    samahani naomba kuuliza uleaji huu wa vifaranga kuanzia siku ya 1 mpk siku 7 ni wa kienyeji tu au hata hawa wa kisasa? namaanisha broiler

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Vifaranga wote. Inafaa sana

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Vifaranga wote. Inafaa sana

  • @ndekusaramakishe8494
    @ndekusaramakishe8494 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwa simo zuri. Hiyo chanjo ya kwanza wanakua wamepata lini?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 ปีที่แล้ว

      Shambani siku ya kwanza kabla ya kukufikia

  • @brightonngerere5588
    @brightonngerere5588 2 ปีที่แล้ว

    Mataka niungwe kwenye grup

  • @user-sx4dd7xv3f
    @user-sx4dd7xv3f 5 หลายเดือนก่อน

    Kifaranga Cha siku 2 unaweza kuwapa OTC ya mg 30?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  5 หลายเดือนก่อน

      Tumia 10%

  • @shabirvirji1210
    @shabirvirji1210 3 ปีที่แล้ว

    Kuku village kipo sehemu gani nataka kuwatembelea

  • @juliethsandi532
    @juliethsandi532 4 ปีที่แล้ว +1

    naomba namba ya whats up ya group ya kuku village

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @paulmassawe2702
    @paulmassawe2702 2 ปีที่แล้ว

    Vifaranga wangu Wana miez 2wanaumwa macho ukibinya jicho kunatoka utango mweupe niwape dawa gani

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 ปีที่แล้ว

      Tuwasiliane kupitia WhatsApp 0744674406

  • @hellenmgungus2935
    @hellenmgungus2935 4 ปีที่แล้ว +1

    Naomba kama itafaa ufungue group la ufugaji

  • @issamnadamnada5502
    @issamnadamnada5502 2 ปีที่แล้ว

    Naomba namba ya simu kwa maswali binafsi kuhusu kuku

  • @suzananyaruba84
    @suzananyaruba84 3 ปีที่แล้ว

    Mafuta hayo yanapatikana WP?

  • @carolinetev2631
    @carolinetev2631 4 ปีที่แล้ว +1

    Boss yangu naomba msaada vifaranga wangu ameanza vidonda kwa kichwa ana mdomo

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Nitafute hapa
      chat.whatsapp.com/CJBj5U99JvLByXiDAOJNAr

  • @robingozbert3838
    @robingozbert3838 4 ปีที่แล้ว

    Asante naendelea kujifunza mnapatikana wapi

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Tupigie kwa namba zetu

  • @amuryhaji561
    @amuryhaji561 3 ปีที่แล้ว

    Nmawasliano ili nifike mlipo na nipate darasa na vifaranga

  • @naachoboy7803
    @naachoboy7803 3 ปีที่แล้ว

    Nahitaji kujua hawa vifaranga wenye nyewele hadi kwenye miguu

  • @abdallasalim324
    @abdallasalim324 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante ndg kw kuteilimisha, swali langu, ? Je hyo magazeti yalitandikwa kw vifaranga, mwisho wa kutowawekea tena hyo magazeti ni baada ya kutimiza cku ngapi

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Wiki 2 , unaweza kuanza kuweka maranda au matandazo mengine

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

    • @mohaisha
      @mohaisha 3 ปีที่แล้ว

      @@KukuVillage mbona najiunga inasema only admin wanaweza kutuma msg

  • @wonderkid_tz
    @wonderkid_tz 4 ปีที่แล้ว +1

    Naomba mtume video ya jinsi ya kuandaa na kuchanja mareks

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว +1

      Ok tutalifanyia kazi

    • @wonderkid_tz
      @wonderkid_tz 4 ปีที่แล้ว

      @@KukuVillage Ntashukuru sana sana

  • @johannesishengoma1232
    @johannesishengoma1232 2 ปีที่แล้ว

    Nice training but you are too descriptive in the introductory part. You need go straight to the point

  • @merybananga4236
    @merybananga4236 6 วันที่ผ่านมา

    Chakula kizuri cha kuwapa vifaranga vya kuanzia siku ya tatu hadi saba ni chakula gani naomba kufahamu?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  5 วันที่ผ่านมา

      Broiler starter crumble

  • @mwemaali1076
    @mwemaali1076 3 ปีที่แล้ว +1

    Je unaweza kunitembelea ktk banda langu?

  • @maryamhamad9149
    @maryamhamad9149 2 ปีที่แล้ว

    viafaranga kuwekewa magazeti haithari endapo akinya na kinyesi kikaliwa na kuku wenziwe?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 ปีที่แล้ว

      Kuna dawa za kuwaanzishia

  • @sikujuwabackari3554
    @sikujuwabackari3554 ปีที่แล้ว +1

    mwalimu apa kwenye banda hili akunaga panya na kama wapo si wanaweza zuru vifaranga ?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  ปีที่แล้ว

      Kama unasumbuliwa na panya fuga paka

  • @khamisyasin3276
    @khamisyasin3276 4 ปีที่แล้ว +1

    Mi nipo dar nahitaji ratiba zaid juu ya mafunzo yenu

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Ratiba ni tarehe 1 july. Lipia mapema. Kwa maelezo
      Nitafute hapa
      chat.whatsapp.com/CJBj5U99JvLByXiDAOJNAr

  • @martialmtata8952
    @martialmtata8952 4 ปีที่แล้ว +1

    Samahan nilikua naomba namba yako ya simu au email yako

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 ปีที่แล้ว

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @danielmboje8751
    @danielmboje8751 2 ปีที่แล้ว

    Dawa gani hutumika kutibu kitovu cha vifaranga.

  • @deuselias9220
    @deuselias9220 3 ปีที่แล้ว +1

    Ninaomba Marelekezo, jinsi ya kuwe joto kwenye vifaranga je kuna aina za Taa?zinazo tumia umeme?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 ปีที่แล้ว

      Zipo

    • @japhetkatulebe9729
      @japhetkatulebe9729 2 ปีที่แล้ว

      Vifaranga kuku Wa kienyeji unapowatenga na mama yao nao wanahitaji kuwekewa taa