AINA 8 ZA KUKU BORA WA MAYAI /8 best layers chicken breeds

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • #uleajiwavifaranga #chakulachakuku #tibaasilizakuku
    #magonjwayakuku #kilimoufugaji
    Aina za kuku mbali mbali za mbegu za kuku • Aina za kuku

ความคิดเห็น • 64

  • @MaxErnest-xp2lo
    @MaxErnest-xp2lo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante nimejifunza Sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa Sana ndugu

    • @MaxErnest-xp2lo
      @MaxErnest-xp2lo 4 หลายเดือนก่อน +1

      Okay

    • @MaxErnest-xp2lo
      @MaxErnest-xp2lo 4 หลายเดือนก่อน

      🙏🙏🙏

  • @ElishaMkindi-d4c
    @ElishaMkindi-d4c หลายเดือนก่อน +1

    Nitapataje vifaranga vya brahma na nibei gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Tuzid kukumbushana tukipata kampuni inayozalisha kwa sasa tutakujuza

  • @NkambaMpemba
    @NkambaMpemba 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kwa somo, ila swali langu nikwamba mayai yakinyeshewa na mvua yanaweza kutotoleka hasa kanga wanaotaga nje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Hayawez kama vp yachukue mwekee KUKU ayahatamie

  • @PaschalMagubo
    @PaschalMagubo 6 หลายเดือนก่อน +1

    Pamoja sana mkuu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 หลายเดือนก่อน +1

      Barikiwa Sana ndugu

  • @jossporahmsw8420
    @jossporahmsw8420 7 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna kuku wangu ameanza kutaga, ila sehemu ya haja inaloa, imevimba na kuifanya ngozi kuwa na mgando rangi ya maziwa ambao unamfanya kuku kutoa harufu mbaya,, nfanyaje mkuu?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน +1

      Typhoid iyo kanunue dawa kwenye duka LA mifugo

    • @jossporahmsw8420
      @jossporahmsw8420 7 หลายเดือนก่อน +1

      Sawa nashukuru xnaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน +2

      Pamoja

    • @twahawitala3945
      @twahawitala3945 7 หลายเดือนก่อน +2

      Naomba namba Yako ya simu nahitajimayai

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Mayai ya Aina gani

  • @RamadhanKombo-qo6zi
    @RamadhanKombo-qo6zi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mtaj wa kias gn nawez kuwanz ufugaji wa kuku wa mayai

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Hutegemea na idadi ya kuku unataka kuanza nao pia banda unalo tayar

  • @erickiondo-d4e
    @erickiondo-d4e 2 หลายเดือนก่อน +1

    hao weupe wanpatikana wap

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Ngoja tutazidi wasiliaana kwa sasa Wana uzwa wapi

  • @alexntahiraja2974
    @alexntahiraja2974 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kati ya hao kuku yupi anataga mayai meupe? Je black austrolop wanapatikana? Nitawezaje kutofautisha kati ya kroilor mweusi na black austrolop?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 หลายเดือนก่อน

      Ata astrolop kutaga.tofauti ipo ktk umbo Kuroiler ni wakubwa zaidi

  • @chigosolid3579
    @chigosolid3579 7 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana kaka kwa somo.....NAOMBA KUULIZA HAWA KUKU WAPO HAPA TZ??

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Baadhi zipo na watu wanafuga mfano brahma, Rhode Island, malawi n. K so wapo ndugu

  • @tadeikomba2784
    @tadeikomba2784 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kuku wa malawi wanapatikana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 หลายเดือนก่อน

      Ndio wapo

    • @FARAJAMWALONGO-g4c
      @FARAJAMWALONGO-g4c 3 หลายเดือนก่อน +1

      Nahitaji vifaranga wa Malawi mnazalisha

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 หลายเดือนก่อน

      Hapana ndugu kwa sasa uzalishaji umepungua

  • @scholasticamchokopa6515
    @scholasticamchokopa6515 หลายเดือนก่อน

    Hao chotara wanapandwa?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Ndio

  • @JaneNguvumali
    @JaneNguvumali 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimesikia safari za kuku wa kutaga,aina 8 lkn mimi ninapenda kujua zaidi kuhusiana nakuru aina ya tanbro je,utagaji wake ukoje? Na je anaweza kutaga bila jogoo??

    • @JaneNguvumali
      @JaneNguvumali 5 หลายเดือนก่อน +1

      Nimefurahia mafundisho yenu.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa Sana ndugu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 หลายเดือนก่อน

      Tanbol anaweza taga bila jogoo wanataga vzur ni lishe tu ya utagaji.

  • @NkambaMpemba
    @NkambaMpemba 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kanga wangu anataga porini na mvua zinanyesha, je hayo mayai yataanguliwa!?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Hayawez

  • @HannahLemiso
    @HannahLemiso 7 หลายเดือนก่อน +1

    Naihitaji hao weupe niwapate wapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Ngoja tutazidi wasiliana

  • @hassanismail2506
    @hassanismail2506 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nataka nifanye biashara ya mayai pamoja na kuuza kuku kwa ajili ya nyama kama kunakuwa na mwenye kuhitaji.utanipaa ushauri ya kufuga aina gani ya kuku.naishi kenya nairobi

    • @hassanismail2506
      @hassanismail2506 2 หลายเดือนก่อน +1

      Alafu sisi huku tunatumia sana majina kama kroiler.sasso.broiler.ken bro.naomba msamaha kwa mawali mengi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Kati ya ao 8 ukipata mbegu waweza fuga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Ok ila ao ni kwa ajiri ya nyama sana

    • @hassanismail2506
      @hassanismail2506 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sawa asante

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      @hassanismail2506 tupo pamoja

  • @JohnsonKolwa
    @JohnsonKolwa 6 หลายเดือนก่อน +1

    Niko na jogoo anawika saa mbili usiku nini tatizo jamani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 หลายเดือนก่อน

      Si shida ndugu kawaida.

  • @getrudemhozya9920
    @getrudemhozya9920 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nikiwataka nawapataje?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Aina gani apo

    • @getrudemhozya9920
      @getrudemhozya9920 7 หลายเดือนก่อน +1

      ​​@@AGALUSTVhao wa Malawi hao au hao wa marekani nimewapenda maumbo yao

    • @getrudemhozya9920
      @getrudemhozya9920 7 หลายเดือนก่อน +1

      Unipe na bei kabisa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Ni wazur sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Sawa ndugu

  • @ReginaMkuye
    @ReginaMkuye 7 หลายเดือนก่อน

    Mi naitaji hiyo mbegu tunaipata vp

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Mbegu ipi Kati ya izo 8

  • @shariffamohamed6292
    @shariffamohamed6292 7 หลายเดือนก่อน

    mimi na taka kuku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Aina ipi apo

  • @NkambaMpemba
    @NkambaMpemba 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kanga wangu anataga porini na mvua zinanyesha, je hayo mayai yataanguliwa!?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Hapana hayawez