MTANZANIA MWENZANGU ALIVYOSABABISHA NIFUNGWE JELA ULAYA | SAFARI YA UKIMBIZI WENGI WALIFIA NJIANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 มี.ค. 2024
- Safari ya maisha ya Jasmin kutoka Tanzania na kuhitaji kuingia Ulaya kutafuta maisha
Alipata mchongo wa safari ili akifika Ulaya aweze kujilipua lakini mambo yalienda ndivyo sivyo na kuishia kua Deported akiwa ametua tu Ufaransa hata nje ya airport hajatoka.
Na alipoingia Ulaya mara ya pili basi aliishia kuingia Jela nchini Ugiriki ambako alikaa huko kwa muda wa miezi sita.
Mtanzania mwenzie alimuingiza mkenge na kumsababishia matatizo makubwa kwa kumuibia passport yake.
Lakini hakukata tamaa aliamua kutafuta mbinu za kumtoa Ugiriki ili afike Ujerumani na hivyo alianza michakato ya safari za ukumbizi ambayo haikua rahisi na ilikua na changamoto nyingi na kuishia kukaa jela tena katika nchi ya Albania na Macedonia
Kwasasa anaishi Ujerumani na anafanya kazi huko.
Thank you Jasmin for allowing this to be online
www.oda.international
Nimepitia comment zote za hii interview ya dada jasmine huyu dada simjui ila mambo aliyo pitia yamenipa funzo kubwa mnoo💐 mimi nimpenzi Sana wa hizi content za dada shena na anafanya kazi nzuri Sana Nampa 💐nikagundua Kuna mtu hayupo Sawa kiakili mana Ana comment matusi mnoo anaitaji msaada wa daktari na mungu, jomn sisi tupo humu kujifunza na kuenjoy nasio kuleta chuki humu kama unachuki zako malizaneni huko huko dada wawatu anaweka mda wake na nguvu zake kuakikisha tunajifunza mambo mazuri so tuliheshimu hilo wapendwa📌
Ql
Nikweli kama kuna mtu anatukana coments hizi, ni mpumbavu yeye mwenyewe. Nami nafurahia dada huyu anapowapata na wanatuelimisha mengi.
Sana dear
Imergin, yani yanasemwa na roho mbaya zao na bado waona comments mbovu bado
😢
Weeeee waafrika kwa ujumla,ogopa,ukiwa nje bora ujitegemee otherwise utaambulia patupu..
Watanzania weeee, roho mbaya ajabu,na inaskitisha sana
Nime fatilia kwanzia mwanzo pole sana Dada Jasmine ila ni kwel nime jifunza kitu
Asanteh sana Mungu akubariki
This is the best interview I have ever listened from you,, km hujajifunza basi huna lakujifunza ni safari ngumu sn
Pole saana
Asilimia 99.9 ya WATANZANIA wa Ughaibuni ni wa kuogopa kama ugonjwa wa UKOMA.Mwenye masikio na asikie..Pole sana Jasmine.
Ni kuwa makini sana kwa kweli
Yaani wana roho mbaya kuliko hata shetani mwenyewe😢 wivu sasaaa
Sanaaaaaa
@upendogreutert199Nilionywa sikusikia,yakanikuta makubwa, NIMEKOMA KABISA, nami nikaonya wengine hawakunisikia yamewakuta mazito.
Umeongea ukweli kabisa, Huwa Mimi nawaona na mwisho salamu TU ,sitaki mazoez Wala namba zao ,ni kutafuta shida TU, MUNGU atusaidie
Asanteni kwa kushea stori zenu, sauti yako imefanana na Saida Karoli😂.
pole sana Dada Jasmin nimejifunza ila hata mimi namuogopa mwanadamu
Pole sana
Nampa pole nyingi sana binti Yasmin kwa yote aliyopitia. Pia nampongeza kwa ujasiri wake wa kutokata tamaa. *Amewashinda hata wanaume wengi waliojaribu kwenda nje bila mafanikio.❤❤🎉*
Pole sana dada Jasmin, kwa mitihani ulopitia na hongera sana kwa kutimiza ndoto zako za kufika ulaya much love ❤️.
Na hongera sana dada Shena, kwa kazi nzuri unayoifanya kwa kutuletea wageni wetu ili tupate madini ya kutosha.
Much love❤.
Asante sana 🙏
Hii ya look like nayo kali ndo naisikia leo,Pole sana my dada..ila una Mungu wako aisee,umenifundisha kitu,kwenye maisha hakuna kukata tamaa.Big up kipenzi.
Mimi nasemaga siku zote, hakuna sehemu kama nyumbani Africa. Africa kuna maisha mazuri mno, chakula, social life. Mi nitarudi tu nyumbani siku moja. Wanaotaka kuja waje tu wajionee, lakini kabla hujaja make sure una kitu cha kufanya, kama ni shule au kazi.
Mimi nikimuambua mtu narudi nyumbani anashangaa sema watu wanaamini maisha ya ulaya ndo mazuri
@@naumikabila5880 hawaamini kabisa wanaona kama unawabania
Watanzania wengi wanajua ulaya ndo maisha yapo lkn yanaweza kuwa yapo ila sio rahisi kama unavyofikiria
Hongera jasmine ni mpambanaji mzuri sana
Harafu ukipendeza watu wanaumia Hawajui umetokea wapi pole mnoooo na hongera umehasoo na umependeza sana na rangi yako ❤❤❤❤❤❤
Nimeipenda
Kiukweli huyo mpenzi wake alikua ni Destiny helper wake kabisa
Guardian angel
Kweli
Da Shana muache amtage ndo asiendelee kuwalangai wengine please
Jamani nimewahi pitia mahojiano lakini hii ya Mwanakaragwe mwenzangu,imeniuma muno but imenipa mengi ya kujifunza. Ahsante Shena kwa hizi interview.
Duuu pole Xn dada yangu kwer unahaki y ku enjoy maixha yako
Hii interview ndo namba 1
Huyo kaka aliyekuibia passport na fedha ungemtaja jina ili usaidie watu wengine waepuke utapeli wake, sababu inaonekana anaumiza watu wengi 😢😢 aisee inasikitisha
Hakuna kukataa tamaaa
Pole sana Ma’ sista yaani story imeniumiza sana, kuna watanzania wenye Roho za kutu, mapito yako hayakuwa mepesi, umepambana sana 👏mawasiliano kama hutojali!
Funzo kubwa sana .Hakuna kukata tamaa🎉Una nguvu kubwa ya uvumilivu
Yes
Jamaniiii pole sanaa dada Jasmine
Story yako imenigusa lkn wewe ni mwanamke shujaaa.
Hongera sanaa
Pole sana dada Jasmin. Asante kwa kutuelimisha kupitia maisha yako, kwakweli dunia ina mambo.
Mwenyenzi Mungu nisaidie na mimi,nisiaibikie bidii zangu na ujasiri wangu ktk kujituma haijalishi napitia mangap,uso wako Mungu uwe na mimi niweze kufikia hatma ya ndoto zangu.
Mungu bariki wanawake wote! Wapambanaji.
Amen amen 🙏
Amin
Ameen
Amina
Kila siku naangalia vipindi vyako lakini hiki kimeniumiza sana, aaah pole sana dada Jasmine
Shukrani
Shukran ya nini wewe Malaya muunza tigo tigo
@@hamidajay776wew mbon matusi tena 😂😂
@hamidajay776 mbona unamtukana dada wa watu? au we n moja wa watu uliomtapeli dada wa watu, acha ujinga
Huyo dada muongo sana haseme ukweli
Pole Yasmin binadamu mbaya hata hapa nyumbani ni wengi na wengine ni ndugu tuwe makini sana
Woow shena Leo ndo umependeza kuliko siku zooooote ❤mwah mwah mwah 💋❤️💋❤️
Uongo😅😅
@@Urembomilele_😂😂😂😂😂😅😅 jaman kapendeza bhn
😂😂😂kasitirika
Asante dada Jasmine Mungu akuongoze ktk maisha yako,Mungu akutunze na uzidi kumuomba zaidi na zaidi,mpende sana Mungu na ukatoe sadaka kila unapoona inafaa na atakujazi zaidi,wasaidie wengine wafanikiwe
Best interview ever! Big up Shena
Kuna mtu US aliniambia hayo mambo ya nursing au security ila namshukuru huyu dada nimeelewa vizuri. Ila wabongo nyoko🙌🙌🙌
Huyo dada NI kahaba alikuwa anajiuza patision usiku hapa Athens NI anafanya jamii uwezi kupata boarding pass bila ya passport NI muongo sana
@@chalemofaraji8797 Kajiuze nawewe kama unaona donge, wivu tu unakusumbua
@@chalemofaraji8797mlikuwa mwajiuza wote??? Hebu dadavua
Kwahiyo unataka kusemaje acha roho mbaya km alijiuza ni yy wewe inakuuma nini hakuna mtu anapenda kujiuza ni shida ilimpata labda akafikia huko sasa ulitaka atuambie alijiuza acha ujinga ww kiroboto.
@@sekikigosi8265 si Malaya mwenzio ndio maana unamuunga mkono huyo NI Malaya kama wewe
Ni kweli maisha hata katika nchi zetu za Africa nimazuri kuliko ulaya mtoto wangu unasema ukweli
Ogopa sana kukutana na Mtanzania ulaya afu ukawa unashida unataka akusidie. Hutopata msaada na wanaroho mbaya Sana .
Asante sana da Shena na da Yasmin, nimesoma mengi sana hapa ktk hii interview
Dada Shenah, Mgeni wetu wa leo Dada Jasmine story yake ni BAAABKUBWA na inasikitisha sana na ina mafunzo mengi mnooo.
Much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
This was so refreshing to watch.. sad.. but very informative..as well.. something cute about how she talks.. she is so funny...😂😂I love love her.. pole Sana m so happy you are okay now.. thank you for sharing your story with us..
Glad you enjoyed it!
Hii TH-cam channel is the best!! Just discovered it but I can't stop watching!
Thank you dear, share to other people wa enjoy na kujifunza pia
Karibu sana 🥰
Dada pole sana kwa yaliyokupata.There is light at the end of the tunnel and i believe you light.
Jmn dada maomba no ya uyo dada please
@@OfficialDatingAssistance
YOU ARE VERY BEAUTIFUL GORGEOUS LADY OF EAST AFRICA AND CENTRAL AFRICA
For sure hata mimi nimeipenda sana hii channel kuna mengi ya kujifunza. Watu wanapitia sana mambo magumu. Pole na hongera kwa dada kwa yote uliyoyapitia hata dhahabu lazima ipite kwenye moto ili iwe safi. Mungu azidi kukupigania na usiache kumshukuru kila wakati.
Kati ya interview nilizowahi kuzisikiliza hii imenipa funzo kubwa, hongera Shena kwa kutuletea watu hawa
Poleyake dadayetu ameteseka sana mungu amlimde zaidi na ampe maisha marefu.
Leo nimekaa chini kwakutulia nikasikiliza mwanzo mwisho na 😢 sana hii story inamengi yakujifunza shukuran sana Sheina kwa haya madarasa. Pole sana kwa Dada etu.
WanaKarangwe sis umetuwakilisha vyema pole kwayote uliyopitia ilikua ni daraja ili sisi tupate experience,hongera sana kwakweli umepambana,God bless you ❤❤
Wakola
@@Jassmin-media-official ❤️❤️
The best interview I have listen from this channel
Mie nawashauri ndugu zangu Watz mnaosafiri kuweni makin na Watz mnaokutana nao nje ya inchi wengi wao Wana tamaa mtu badala ya kukusaidia anakuzidishia matatizo kw tamaa ya pesa ndogo tu na kukuharibia maish yako yote.
Dada shena,katika interview ulizowahi kufanya this is the best
Nipo Uturuk kitu nilichojifunza maisha sio rahisi popote duniani ila popote pazur km Mungu akikuchagua uish vizuri
Duh pole sana Jasmine, hongera kwa ujasiri.
USIJALI MAMBO MAZURI MAJARIBU NIMAKUBWA SANA.
MUNGU wa mbinguni nimehuzunika na kujifunza pia pole sana Dada Jasmine, ahsante Shena kwa hii interview hii
Nimekupeeeendaaaa bure. Unaongea kiswahili vizuri hata hujifanyifanyi umesahau lugha. Nimefall in love na lafudhi yako
Hongera kwa Dada Jasmine umevipiga vita na umeshinda.. huyo aliyekuibia hela na passport. Mungu atakulipia.....BIG up Shena what a beautiful, educational and emotional interview
Very nice story ina mafunzo mengi sana.. pole sana kwa changamoto ulizozipitia
Official your interview always good may god bless you 🙏
Thank you 🙏
Amen 🙏
UGIRIKI NI UTURUKI ILIYOCHANGAMKA CHANGAMOTO, NATURE YA KAZI NA MALIPO, UPATIKANAJI WA MAKAZI YAANI WALE WATU NI WATURUKI TYPICALLY 😢 POLE NDUGU YETU KWA CHANGAMOTO NA HONGERA KWA UZIMA BAADA YA CHANGAMOTO ZOTE
Yani tunajifunza kila siku 🥰
Best interview ever dear Shena
Hongera sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Sheina ubarikiwa Sana
Jasimie hongera sana kipenzi kwa kupambana Mimi nakupa .🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
story yako ni nzuri tumeenjoy kusikiliza inafanana na movie itaitwa the swimmers pole sanaaa kwa changamotoo ulizopitiaaa lakini Mungu ni mwema kakuvusha koteee
Ni kweli😢 tena hiyo movie nimeiangalia wiki iliyopita tu
yaani kujilipua ni kujitoa muhanga haswaaa @@franklinbernard4367
Wabongo bana
Wakenya wengi wanajidaia wanatujua watanzania sana wakati si kweli
Yani wanakiherehere Cha Hali ya juu 4G kiherehere siwapendi jamani wanajifanya wanarujuwa wakati hawajawahi hata kukanyaga Tz wanaisikia tu nyau hao
Mtu mmoja anaweza wachafulia nchi nzima jina.
@@annamussa185yaani umeongea kama mjinga kweli
Hongera sana dada jasmin,kwa hatua uliyofikia nimejifunza kitu kikunwa kwako ❤❤❤❤
Pole sana Jasmine! Allah akuhifadhi muda wote.
Nimemkubali sana huyo sister, kanikumbusha safari yng ya Australia mapito yalikuwa mengi, but kwasasa nimerudi home maisha safi
Karibu sana kwenye kipindi
+4367764790884
@OfficialDatingAssistance okay sister thanks, kwasasa nipo road naelekea Uganda 🇺🇬 but nikitulia nitakuchek
Dada kwa kweli, Mungu akubariki sana,kweli mpambanaji sana unatupa shule asante,dada asante sana kwa kutuletea hawa wa dada
Dada jasmin hongera sana 🎉 wewe ni mwanamke jasiri love from italy
Story tamu chungu jamn mdadakapambana kiumee kafanya utalii mgumu bila kupenda. Daaaaah mungu asimame naye kwa kweli.
Busy enjoying to listen to my Nyambo accent ❤ weza mpola bhambe😢
😂😂😂😂 natamn tungejua mpemba yuko wap Sasa 😂😂😂ni Singapore au Thailand 😂😂
😂😂😂😂😂
Pole sana dada jasmin kwamatatizo uliyo yapata, ila Mungu amekuwa msada mkubwa kwako.
God is great .hongera dada jasmine
Maashaallah sheina umependezaje hijab inakupendezesha Ramadan Kareem
Oh Jasmine dada yangu so proud of you. You are a strong, beautiful person .
My sister from day one look where we are now 😍
Pole sana dada Jasmin kwa safari ngumu sana ya maisha. Nafurahi Mungu alikuwa nawe kukuongoza katika mapito haya. Ni kweli kuna wanadamu ni wabaya sana inabidi uwe makini sana kuchagua mtu wa kumweleza undani wako. Wengine ni watu wema kbs sio Watanzania wote ni wabaya ila uwe makini sana.
DADA JASMIN ZAIDI YA MWANAJESHI.... MUNGU AENDELEEE KUKUPIGANIA
All in All never give up in Life❤❤❤
Thank you for sharing Dear😊
Pole sana Jasmine kwa uliyopitia, Mungu yu mwema sana. Alhamdulillah 🤲🏽
Ma shaallah shena
endelea kujistri hivohivo
Dada assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh umependeza wallah VAZI la stara watu hupendeza
Pole sana mungu ktk ya changamoto huwa anatwalia utukufu ,maana kwake mungu hakuna linaloshindikana yote yanawezekana aminaaaa
Jamaica munapo karibisha mgeni yeyote mtanzania jaribuni kutoka manzoni wa stories yake ajaribu kufupisha story yake,amazing sivyo tutajikuta tumepoteza mda mwingi kwa baadhi ya story zengine ambazo sio muhimu sana kuzisikiza.
Ni kweli unachokisema. Wajaribu kupunguza Story
Umenipa experience nzuri sana ya Greece naenda mwezi 5 Athens.
Lakini kwa mkutano wa kidini.
Lakini kutakua na tour za Thessaloniki na Macedonia
Wooow...what a nice story
Pole sana safari ilikua ngumu lakini tu akuombea maisha ya furaha na afya mzuri. Mungu akupe shifa yaraab 🤲pole dada itawafunza wengi sana!
Hongera sana dada umepambana sana. Mwanamke wa shoka.
Hongera sana pia pole sana
Duniani kuna mapito kweli kweli, hongera sana da Jasmin umesimamia malengo yako na Mungu kakuwezesha; thumbs up Shena.
Pole sana ndugu story yako ni ushuhuda wa kutosha natamani uandike kitabu cha kusimulia historia yako na wengine tujifunze zaidi
An awesome and touching jasmine story.
Ooooh!. Pole Dada Jasmin. History yako imenifundisha kitujamani daaah!.
Yaani sister umeongea ukweli saaana.pole saana kwa ugumu wa Safari Ila Ni funzo saana kwa ndugu zetu waliopo nyumbani.wanafikiri ulaya ni paradis.kumbe sio
Pole sanaa Dada Jasmim kwa yote iliyo pitia dhu Allah azidi kukuhifadh.na ongera sana Da shenah kwa kazi nzuri Allah akuhifadh na akubariki
Hii masikitiko sana na chakujifunza kuwa mbali watu wa nchi yako ni wivu sana ukiona mtu anamaendeleo na ndoa bado hipo hangaiki nacwatanzania so sad.
Wakenya by nature wana roho mbaya
Sio kweli mimi nimeishi nao hawapendi mazoea illa ni watu wazuri usipowaelewa utawaona wabaya
Wanajionaga wazungu
Awajioni Wazungu ulaya bali wanababaikia wazungu,,wapo wengine smart tu inategemea na kabila lake
Ah mi sitaki hata kuwasikia nilochuna uso nikamtafutia kazi mkenya 😢dah fedheha aliokuja kunitia wallahi sitamani ata kumsaidia mkenya yeyote kwa kweli nimekoma kujifanya mwema..saivi nikimuona mkenya simwambii hasa km mi ni mtamzania ah we acha tuila anajuta huko aliko..maana nilimpatia sehem ya maana..akajichetua... nakuja kupewa taarifa zake nilijisikia vibaya mnoo..sina hamu nao. @@naturelle1097
@@naturelle1097hawana mazoea akiwa hana shida tu lkn akiwa ana shida anajuwa kukuzoea tena atakuganda km mmetoka tumbo moja ...ila km hana shida wanajifanya hawana mazoea
Dah really painful my sister pole sana jamani nawapata kutoka south Africa 🙏
Pole sanaa dadake huyo kaka anaroho mbaya sana, bora angeiba pesa peke, kama alivunjika mguuni ndio malipo yake.
Karibu niko jirani yako.sina mambo mengi mengi.
Jamani ndiyo maaana naona sura sio ngeni"Magomeni mikumi unakozungumzia karibu na soko huu mtaa unaitwa Shokka ndiyo home❤
Pole sana Jasmin mungu akuongoze Kwa Kila jambo jema mbele Yako .
Pole sana tena Sana bibi jasmin baada ya dhiki ni faraja
Pole sana dada binadamu kazi sana
Pole Sana Dadangu Yasmin Nimejifunza Mengi Sana Kwa Story Zko Nakutakia Good Live Maisha Yko
Pole Dada Jasmin mimi niliingia kwakuolewa
Unajua kitu kilicho kubeba, wewe ni mtu mwemma, kwa kuwa Mungu anajua ya rohoni ndiye aliye kuokoa ktk harakati zote. Hongera sana
Nimempenda Sana huyu dada jamani
Pole Sana mkabila mwenzangu kwa changamoto uliyo pitia hakika mungu amtupi mja wake 🙏🙏🙏
mashaAllah huyu Dada Jasmin ni kichwa sana Mungu ni mwema sana.
I love your channel queen ❤❤❤❤
Thank you 🙏
Plz nisaidie no ya jasmine