Kasema yeye, anatakiwa kujitibia mwenyewe ok kapatikana mtu kwa busara karudi kwenye lebo kea busara kuwa kapatikana mtu anaomba barua ya goo ahead asije kugeukwa baadae bado wakamnyima kuwa ataiabisha lebo ,kwa hili me siku nyingi nilisha lisema coz angepata madhara makubwa zaid
Mungu ni mwema
Daaah 😢😢😢
Aende Maombi Kwa Geor Davie
Jaman nimeona vibaya au mbona kama naona maziwa hapo
Hii nguo mmmh
ivi nyi wasafi mnapenda kukuza mambo ebu muache kuwachonganisha watu wanafiki nyinyi
Oya sio poa sster wanakuchora
tatizo dada anapenda kujiekezea sana ndo mana
Iyo nguo vp anjela😢
😢
Yaani jamaa anampenda sana Harmonize. Kwani huo ugonjwa aliupata akiwa Konde gang?
Huyu nae hayo mambo ya konde gang si yameshaisha imekua huna jipya ni mguu na kondegang bas
Kwani ni kondegang ndo ilimpa hiyo ugonjwa??
Kasema yeye, anatakiwa kujitibia mwenyewe ok kapatikana mtu kwa busara karudi kwenye lebo kea busara kuwa kapatikana mtu anaomba barua ya goo ahead asije kugeukwa baadae bado wakamnyima kuwa ataiabisha lebo ,kwa hili me siku nyingi nilisha lisema coz angepata madhara makubwa zaid
@@agapemunyi2095Barua ya nini kwa matibabu binafsi? Yaani familia ishindwe kumtibu then Harmonize amtibie. Punguzeni shobo.
Unajua kabisa unaenda kwenye interview unavaa vazi la ajabu ajabu kwapa nje