TULIISHI MIAKA MITANO TUKAACHANA | NILIKUA NAMILIKI KAMPUNI YA UTALII | MAISHA YA SERBIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 พ.ค. 2024
  • Naila ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka Serbia
    Alifingua kampuni ya utalii Zanzibar ambapo alikutana na mwenza wake akiwa kama mteja wake.
    Waliamua kuishi Serbia lakini baada ya miaka 5 waliachana na Naila ameendelea kuishi Serbia kwa documents zake mwenyewe.
    Amewafunza wasichana kutoamini mtu asilimia 100% na kua waangalifu na kunilinda kwani wanadamu wanabadilika badilika
    TH-cam channel yake Naila_Y
    Thank you Naila for allowing this to be online
    www.oda.international

ความคิดเห็น • 207

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  2 หลายเดือนก่อน +11

    Instagram: Naila__y
    TH-cam: Naila__y

    • @douglasluck2313
      @douglasluck2313 2 หลายเดือนก่อน

      Thank you so much for ya reactivity sister Shena.

    • @burundishallsmile1day109
      @burundishallsmile1day109 2 หลายเดือนก่อน

      Asante sana kwa Ku share
      Ila hajibu,labda hataki Warundi
      Kwamba Wachovu🤣
      Maskini, well.. I m gonna miss her🤠🤠

    • @BarakaJames-nu2be
      @BarakaJames-nu2be 2 หลายเดือนก่อน

      Naila

    • @Naila__y
      @Naila__y หลายเดือนก่อน

      @@burundishallsmile1day109 mimi apa niambie napenda warundi Amakuru

    • @ariflobu-kc9uz
      @ariflobu-kc9uz หลายเดือนก่อน

      Jamani naila yusuphu nimesoma nae oysterbay 2009 tumemaliza wote

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 2 หลายเดือนก่อน +15

    Hii ndio interview Sasa,umetuletea mrembo anaejitambua ,mpambanaji na pia muelimishaji nimeipenda sana kwa kweli full kujifunza🤝🇫🇮

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 2 หลายเดือนก่อน +10

    Jamani dada mzuri na rangi yake, nywele daah, hongera 🎉

  • @ANNETTEAYUBU
    @ANNETTEAYUBU 2 หลายเดือนก่อน +12

    Dada shena nimefurahia hiyo interview mungu akubaliki sana

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 2 หลายเดือนก่อน +7

    Naila is smart and civil, congratulations 🙌

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 2 หลายเดือนก่อน +7

    Asante mrembo mwenye sikio asikie,God bless you shena ❤

  • @rahabbrayson6552
    @rahabbrayson6552 2 หลายเดือนก่อน +12

    Waoooooh Shena hii ni nzur nilitaman sana umlete huyu dada

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 2 หลายเดือนก่อน +6

    Smart interview ever. We love you Shena.

  • @BarakaBitariho
    @BarakaBitariho 2 หลายเดือนก่อน +14

    Asante kwa hii interview. Mwaka 2007 nilibahatika kusoma na kushinda na watu kadhaa toka Serbia na muda mwingi walinifurahia kwa kuwa natokea Tz. Walisema Yugoslavia ilimsaidia Nyerere during the independent struggles na kuwa walituna misaada ya kijeshi Tz kwa kuwa ilikua ni nchi ya kijamaa. So walinikaribisha sana Serbia na nikauliza interactions ya watu weusi na wa kwao, wakakemea kuwa wao sio wajeruman ama wagriki. Natambua ukakasi uliopo mazingira yao na Waturuki ugomvi uliopo kati ya ugiriki na waturiki kwani majirani zangu walikua ni wagriki na nilifanya kosa kuwaita waturiki. So reaction ya Waserbia kwangu nikilinganisha na Ile niliyoipata kwa wa Hungary na Chekslovia. Kutokana na hii interview, ninaamini kuwa wa Serbia si wabaguzi na nitaendelea na urafiki nao fb.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  2 หลายเดือนก่อน +2

      Woow hongera sana

    • @kakawamashariki8978
      @kakawamashariki8978 2 หลายเดือนก่อน +4

      Nimeupenda Sana ushuhuda wako Baraka, ahsante kutuwakilisha huko ng'ambo.

    • @tutiwatuti
      @tutiwatuti 2 หลายเดือนก่อน +2

      Yaani huyu dada nimuelewa sana anajibu maswali vizuri sana

    • @jumahassan7190
      @jumahassan7190 2 หลายเดือนก่อน

      Nakupenda sana dadaagu nakufatilia sana kutoka mabwepande bunju b police station daresalam Tanzania Africa nakupenda sana dadaagu nakufatilia pia

    • @angelinakakulu1615
      @angelinakakulu1615 2 หลายเดือนก่อน

      Nimependa behavier yako Dada.

  • @saramartine7330
    @saramartine7330 หลายเดือนก่อน +2

    Umetisha dogo,nimejifunza sana,na nimepata ujasiri mwingi

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hongeraa.. Zako dada muongoza kipindi kwa maswali mazuri ya kimkakati toka kwa wageni waalikwa. Umenipatia taswira mpya kumbe! Wabongo tupo karibia nchi zote duniani nikikumbka pia yule dada wa Alaska na wengineo. Salaam toka Mwanza.

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 2 หลายเดือนก่อน +4

    Woow❤ nimempenda sana huyu dada anajua kujielezea na anajituma sana!

  • @BellaBellaa-oq7tc
    @BellaBellaa-oq7tc 2 หลายเดือนก่อน +6

    Yaani wewe binti nimekupenda sana unaeleza vizuri Mim Niko Zanzibar ukitulia unatengeneza pesa

  • @missnamwambemomentstv7753
    @missnamwambemomentstv7753 2 หลายเดือนก่อน +1

    Big up guys...naona Leo team manywele mmekutana..had rahaaa!

  • @franklineshikanda9820
    @franklineshikanda9820 2 หลายเดือนก่อน +2

    A very bright and focused young lady,hongera

  • @DoreenMwanga-dg7xp
    @DoreenMwanga-dg7xp 2 หลายเดือนก่อน +6

    Asante shena kwa kutuletea mafunzo mazuri

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania 2 หลายเดือนก่อน +2

    Naila anaonekana kifaa kweli kweli. Sijui Tanzania vijana wanakosea wapi. Binti mrembo, mchangamfu na anaonekana kujielewa vyema.
    Interview nzuri Shena & ODA “Bless”.

    • @user-qn6nm1ry6y
      @user-qn6nm1ry6y 2 หลายเดือนก่อน +2

      Vijana wa huku kwetu wanapenda tu kuchezea wadada

    • @hildagabriel1003
      @hildagabriel1003 2 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania 2 หลายเดือนก่อน

      @@user-qn6nm1ry6y Maadili na miiko iliyokuwepo vizazi viwili nyuma leo havipo; unategemea nini zaidi ya uharibifu?
      Kila cha zamani leo si kinaonekana ni ushamba; sasa vya kileo ndio hivyo vina changamoto zake.

  • @zuhuramasudi3211
    @zuhuramasudi3211 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Naila, Nimefurahi sana kukuona hapa leo rafiki yangu. Mungu wetu akulinde na akujaalie kila la kheri kwenye maisha yako🙏 I miss you so much

  • @furahaVlog
    @furahaVlog 2 หลายเดือนก่อน +23

    Ni mchapakazi alafu hajui kuringa aisee nakumbuka 2018 nilimuuliza mafuta ya nywele akanielekeza pa kuyapata mpaka leo natumia hayo na nywele Mashaallah

    • @paulalove1223
      @paulalove1223 2 หลายเดือนก่อน +1

      Yapi hayo

    • @fridageorge2809
      @fridageorge2809 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tuambie hayo mafuta ndugu yangu!

    • @twiseghekisilu8845
      @twiseghekisilu8845 2 หลายเดือนก่อน +1

      Tunaomba account yake

    • @user-dl1ju4ge3x
      @user-dl1ju4ge3x 2 หลายเดือนก่อน

      Tuambie hayo mafuta

    • @juliananasari2526
      @juliananasari2526 2 หลายเดือนก่อน +1

      Naomba na wewe utuambie ni mafuta gani yanapatikana wapi

  • @Agath45
    @Agath45 2 หลายเดือนก่อน +5

    Yoooo mdada anajuwa kujieleza I like it ❤

  • @felisterkasuga3217
    @felisterkasuga3217 หลายเดือนก่อน +1

    Waaaooo! She is bright for real. Nimependa nywele jamanii. Naomba nielekeze mafuta unayotumia dear.

  • @JulianaJackson-lz6vq
    @JulianaJackson-lz6vq 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nilimuona kwa bongo zozo pia.nimefurahi kumuona tena mcheshi na muwazi..❤

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nailah Shukran Dada... 🥰

  • @aquilinabiseko2398
    @aquilinabiseko2398 2 หลายเดือนก่อน +9

    Nmempenda sana mgeni wako wa leo shena anajielewa sana

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nailah hongera, unajitambua sana, Mungu azidi kukuinua

  • @jokhasaid8666
    @jokhasaid8666 2 หลายเดือนก่อน +5

    Very smart young lady.

  • @roseswedi5274
    @roseswedi5274 2 หลายเดือนก่อน

    Very intelligent lady...thanks shena for her

  • @zedshebby3875
    @zedshebby3875 2 หลายเดือนก่อน +5

    Woooooh ❤❤❤ naila

  • @SmilingBubbleTea-vm3nz
    @SmilingBubbleTea-vm3nz 2 หลายเดือนก่อน +4

    Asante shena

  • @johnriwa2854
    @johnriwa2854 2 หลายเดือนก่อน +2

    She is very very smart 🤓. Be blessed 🙌

  • @giboncebarnabas9667
    @giboncebarnabas9667 2 หลายเดือนก่อน +3

    She is so smart. Safi sana

  • @emmanuelenock6310
    @emmanuelenock6310 2 หลายเดือนก่อน

    Naila smart sana,nilionanaga nae national college of tourism charm and professional,kudos

    • @Naila__y
      @Naila__y หลายเดือนก่อน

      asante sana

  • @mohammedsaqry3036
    @mohammedsaqry3036 25 วันที่ผ่านมา

    Very good interview ,and she understands how life goes, and she's very clever with good focus big up

  • @sifaoksbagirishyasie2410
    @sifaoksbagirishyasie2410 2 หลายเดือนก่อน

    She is very smart hivyo ndivyo mwamke mwenye akili zake timamu hufanya. atakuwa mama mzuri saaana. Hapo mbeleni. Mungu amjalie mema 🌻😘

    • @Naila__y
      @Naila__y หลายเดือนก่อน

      asante sana, Amina

  • @BarakaBitariho
    @BarakaBitariho 2 หลายเดือนก่อน +10

    Kuna swali la kizushi na lilikuja kutoka kwa rafiki zangu kutoka Uzbekistan na Albania. Kutokana na kile walichokisema ni kwamba eti walikua hawataki kuwa na mbwa kwa sababu ni waislaam. Marafiki zangu kutoka Serbia walikua ni waislam pia. Je Serbia ni mostly waaislam ama shemeji yetu alikua ni dini gani mpaka akakuruhusu kukubali kufuga mbwa? Pili juu ya kuuliza kituo cha polis, niliambiwa polisi wa ujerumani wanasikiliza ngozi nyeupe siku zote hawatosaidia mtu mweusi. Wasebia hawana kajitabia ka kuegemea na kutetea mserbia mwenzao?

    • @Naila__y
      @Naila__y 2 หลายเดือนก่อน +8

      Serbia mostly ni wakristu Orthodox, but dini zingine kama waislam, mashahidi wa Yehova, waroma, wapagani zote zipo but 80% of the population ni Orthodox. Shemeji alikua Orthodox, Polisi anaskiliza mtu anaejua kujieleza vzuri na mwenye ushahidi.

    • @Naila__y
      @Naila__y 2 หลายเดือนก่อน +5

      Niliwahi ngatwa na mbwa na nikaita polisi wakaja mara moja na waliniskiliza japokua lugha nlikua naongea broken, mwenye mbwa alifunguliwa kesi

    • @Ulamaa_Sokoni
      @Ulamaa_Sokoni 2 หลายเดือนก่อน

      @@Naila__y nilikuona juzi ukiwa na BongoZozo na leo nimekuona hapa. Barikiwa sana

  • @fatmahhusseinj9177
    @fatmahhusseinj9177 2 หลายเดือนก่อน +2

    she is very eloquent mashaallah.

  • @TRAVELWITHAKESHIAN
    @TRAVELWITHAKESHIAN 2 หลายเดือนก่อน +2

    Very pretty +brain 👏🏾

  • @user-dn6wx7dv3l
    @user-dn6wx7dv3l 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 2 หลายเดือนก่อน +4

    Dada mzur sana mashallah 🎉

  • @gagiriwankyo5958
    @gagiriwankyo5958 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mmependeza hongeren

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dada una nywele nzuri sana

  • @magdalenajoel4539
    @magdalenajoel4539 2 หลายเดือนก่อน +6

    Dada naomba kujua mafuta ya nywele anayotumia

  • @chichi-gp4ss
    @chichi-gp4ss 2 หลายเดือนก่อน +1

    She is so smart ❤️… and beautiful 🥰

  • @ashakassanga1
    @ashakassanga1 2 หลายเดือนก่อน +3

    Smart girl Mashaalhah

  • @lilianngemela6912
    @lilianngemela6912 หลายเดือนก่อน +1

    Nimempenda Sana huyu binti naomba kujua hiyo kozi aliyosoma tafadhali

    • @Naila__y
      @Naila__y หลายเดือนก่อน

      Travel and tourism at NCT Temeke Dar es salaam

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 2 หลายเดือนก่อน +2

    Waoooh ana nywele nzuri sana

  • @esterjosephat971
    @esterjosephat971 หลายเดือนก่อน +1

    Wow Naira tulikuwa wote Bandas nakumbuka picha zako ulizonipiga please tutafutane mimi now nipo German

  • @janethkagya7544
    @janethkagya7544 2 หลายเดือนก่อน +6

    Beautiful with brain 💕❤️❤️❤️❤️❤️

    • @Naila__y
      @Naila__y 2 หลายเดือนก่อน

      Hvala lepo 😍

    • @raibasaid4816
      @raibasaid4816 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@Naila__y

  • @MamaLio475
    @MamaLio475 2 หลายเดือนก่อน +2

    Naila alikuwa darasa lachini yangu chuo,she very simple n beautiful

  • @douglasluck2313
    @douglasluck2313 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hello sister Shena,how do i get Naila's TH-cam account? Im tryig to search it but in vain,i really wanna get in touch with her about something so please assist

  • @kaupigwe
    @kaupigwe 2 หลายเดือนก่อน

    Business mindset is pretty high, respect

  • @user-zl3we4si9q
    @user-zl3we4si9q 2 หลายเดือนก่อน

    Naila M/Mungu azaidi kukubariki🙏🙏

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kwatufungua macho

  • @janethkagya7544
    @janethkagya7544 2 หลายเดือนก่อน +5

    Naila mdogo wangu wa dhahabu💕🥰🥰🥰🥰

    • @Naila__y
      @Naila__y 2 หลายเดือนก่อน

      🤗 ndio dada yangu wa dhahabu

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Naila__ynaomba unielekeze mafuta ya nywele

  • @MamaB890
    @MamaB890 2 หลายเดือนก่อน

    Dada yupo smart sana,nimepata kujifunza

  • @khadijamohd5741
    @khadijamohd5741 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yupo vizuri sana huyu dada

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nikuingia naku'like..

  • @pricemlay
    @pricemlay 2 หลายเดือนก่อน +9

    I like her attitude

  • @everose276
    @everose276 23 วันที่ผ่านมา

    Dada nakushukuru sana,yaani nimependa vyote ulivyoongea, ni ujasiri sana upo mwenyewe,ugenini na bado una furaha.

  • @raheemsuleyman6757
    @raheemsuleyman6757 2 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu Dada kanyoka sana adi raha😊😊😊

  • @RhodaFredy
    @RhodaFredy 25 วันที่ผ่านมา

    Waooo naila wangu❤

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 2 หลายเดือนก่อน +2

    Genius in business rud tz ufanye biashara

  • @aidaanatory9330
    @aidaanatory9330 2 หลายเดือนก่อน +2

    Safi

  • @samirasalim4203
    @samirasalim4203 2 หลายเดือนก่อน +6

    MashaaAllah this girl she's so smart.

  • @mariambakari8065
    @mariambakari8065 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dada anajiielewa sana

  • @polloz77
    @polloz77 2 หลายเดือนก่อน +2

    She’s beautiful inside and outside
    Yupo single?

  • @gallegalleson4427
    @gallegalleson4427 2 หลายเดือนก่อน +8

    Huyu dada ana ubongo kweli,nampeleka mdongo wangu Serbia ni mfanya biashara anatafuta mke wataelewana100% wanaamtafute wao

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh dada yangu. Mimi jina langu naitwa Abdul - SIMBARAKIYE mwenye asili Ya Burundi lakini naishi uolanzi Amsterdam Netherlands pia nipo na uraiya nationality. Nimeoa mwana Mke mtanzania nipo na mtoto nae tatizo langu imigresheni dar es Salaam hawataki kunipa kibali Tanzania wananiambia kibali chamtu kawoa mtanzania nilipe dollars 800 bila hivyo siwezi kupewa tafadhali ndugu zangu mnisaidie Kila wakati nilipe visa nimechoka

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  2 หลายเดือนก่อน

      W.mslm, Tanzania haina dual citizenship
      Pole kwa changamoto
      Visa ya tourist unalipa pesa kidogo sio nyingi

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 2 หลายเดือนก่อน +2

    Leo shena umetuleteya dada katowa good idea

  • @user-bc3ki1zx5p
    @user-bc3ki1zx5p 2 หลายเดือนก่อน

    Nywele zake nzuri jamani

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 2 หลายเดือนก่อน

    Amina mungu yu mwema

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ni mwema utabarikiwa

  • @jaberrabora4757
    @jaberrabora4757 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤💯

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jaman huku kwetu gulf raiya akisafiri nchi yoyote akifika tu airport inamjia sms kutoka ktk country yake kumpa no za simu za balozi wa nchi yake aliyekuwepo nchi aliyofika na maelezo mengi❤❤❤

    • @Naila__y
      @Naila__y 2 หลายเดือนก่อน +1

      Uku sio hivyo, unapata tu sms ya kukukaribisha nchini na msg za data roaming

  • @MiriamEmmanuel-zg2nn
    @MiriamEmmanuel-zg2nn 2 หลายเดือนก่อน

    Blessed sana umefungua maisha ya watu wenye ndoto wafanye nn

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 2 หลายเดือนก่อน

    Asante yesu

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mara ya kwanza Mwanamke wa kiswahili anawaongelea Wazungu kama walivyo!wazungu Wachovu wengi tu mbona😊
    Sheina,Je Dada huyu anataka Mme Muafrika?
    Nipo hapa mimi😉
    Could you possibly share her email adress please?
    Very smart,articulate nd expressive lady❤👍🏽😢

  • @jonathanjohnsonshinji6175
    @jonathanjohnsonshinji6175 2 หลายเดือนก่อน +3

    Bonge la interview dada anaongea viziri Hadi mtu huchoki kusikiliza

  • @nsamakachanikicha1254
    @nsamakachanikicha1254 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Dada yuko vizuri sana

  • @bernadethamlundebartlett387
    @bernadethamlundebartlett387 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe hili jina la wazungu vishuka bado linaendelea Zanzibar 😂😂😂nalokumbuka sana tu

  • @franklineshikanda9820
    @franklineshikanda9820 2 หลายเดือนก่อน

    What a girl!

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 2 หลายเดือนก่อน

    Uko vzr na family Yao nzuri

  • @IletaTaguaba
    @IletaTaguaba 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hi baby girl 💜 muda wote huo Zuri alikua wapi @naila

    • @Naila__y
      @Naila__y 2 หลายเดือนก่อน

      🤣nyuma yangu amelala

  • @RosemaryKidiro-wz3ux
    @RosemaryKidiro-wz3ux 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kishuka is typing,,,,,,,😂😂😂😂

  • @janekuja4552
    @janekuja4552 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani tangu nimeanza kusikiliza kipindi chako,huyu Dada amenigusa saaana,anajua kujieleza,anajua kujua vitu vingi.ki ukweli ,wadada wengi kama wamemsikiliza kwa makini,watakuwa wamejifunza vitu vingi sana.
    Ni mchapqkazi,ni mjanja,Anajiamini na ana akili sana.nimempenda sana.

  • @dottobraham9051
    @dottobraham9051 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana binti mdogo ubora mkubwa

  • @esteroseollotu6119
    @esteroseollotu6119 2 หลายเดือนก่อน

  • @SamiraAliMohamed-yo7nk
    @SamiraAliMohamed-yo7nk 2 หลายเดือนก่อน +7

    Nakuomba niambie mafuta gani unatumia kwenye nywele

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 หลายเดือนก่อน

      Nywele ni km ngozi inategemea na mtu
      Pia ni asili ya mtu tu,mi ht sihangaiki na hayo mambo na Nina nywele haswaa
      Zinakatika nikiwa na stress tu😅

  • @rosemunisi818
    @rosemunisi818 2 หลายเดือนก่อน

    🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu sister ni kichwa kizuri sana

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hard work girl ajitambua

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r หลายเดือนก่อน

    InshaAllah utapata. Rizki yako. Ya. Halali

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 2 หลายเดือนก่อน +1

    Serbia nchi nzuri sana kwa utalii,nilishaenda beougrade ni pazuri sana

  • @pamelasongstarimo205
    @pamelasongstarimo205 2 หลายเดือนก่อน

    Pls naomba Namba zako

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 หลายเดือนก่อน

    Naomba unitumie Jina LA mafuta ya nywele

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 2 หลายเดือนก่อน +1

    Cuvajmiljubav nyimbo nzuri toka serbia

  • @elizabethchainer6946
    @elizabethchainer6946 หลายเดือนก่อน +1

    Naila Yusuf , i missed you so much jmn, ulivyosema unapenda punda nimekumbuka zile picha zako na Makenya😂😂

    • @Naila__y
      @Naila__y หลายเดือนก่อน

      hahahaha i miss you more Rosieee

  • @Its_Goodluck
    @Its_Goodluck 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mdada anafanana sana rafiki yangu Julita

  • @ZXL_013
    @ZXL_013 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwakweli vijana mjifunze saana, nahaswa mlio na ndoto za kuhamia nchi za nje hata kama ni kenya uganda, kukosa elimu na information nikukosa fursa. Ameongea vizuri sana

  • @franklineshikanda9820
    @franklineshikanda9820 2 หลายเดือนก่อน

    Ningependa kupata contacts za huyu mrembo

    • @Naila__y
      @Naila__y หลายเดือนก่อน +1

      naam mimi apa