Kwanini watu wengi wanarudishwa kwenye airpots za Turkey, Qatar, nk wakienda Canada, Ulaya, USA?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 มี.ค. 2024
- Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.locals.com/
DONATE TO EBM SCHOLARS
1. PayPal www.paypal.com/paypalme/EBMSC...
2. CASH APP cash.app/$EBMSCHOLARS
How to Claim Your Free Consultation: YOU MUST RESIDE IN THE USA
1. Visit our dedicated page: ebmscholars.com/finance/
2. Fill out the form with your details to schedule your consultation.
3. Sit back and relax - a financial expert will reach out to you to arrange your free session
Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.locals.com/
Thank you EBM wewe nimwalimu kabisa ,siwezi kulala bila kutembelea website zako thank you
EBM nazipenda sana darasa zako.Kitu kimoja hujaelezea vizuri.Ukiwa transiti khaswa kama unakwenda USA wafanyakazi wa uhamiaji ya usa ndio wanaangalia tiketi,pasipoti,mizigo na umebeba kiasi gani cha pesa.
Ukisafiri vaa vizuri Sio ndara na soksi bokta na t-shirt.Mavazi ndio heshima yako.
Yalinishanikuta pale Jk Nyerere Airport eti anasema hii viza mimi sijawahi kuiona akatuweka pembeni na familia nikamwambia unatuchelewesha tu utaturuhusu mwenyewe. Sahihi kabisa wengi ni roho mbaya na hawajui kitu.
@pmt79. Tz watu wengi wameisha sumbuliwa sumbuliwa ili uwape chochote kitu kwa kifupi Rushwa
Sehem sahihi ya kupandia ndege ni Rwanda 🇷🇼 au South Africa, ila hizi Nchi zingine Zina mashaka saana ktk Air port zao , Kenya , Uganda na Tanzania yanayotokea pale air port ni aibu, Kuna siku jamaa ananiomba rushwa kisa mizigo mingi 😂😂😂 nikamuuliza mizigo mingi? Au uzito mwingi? 😂😂 nikamwambia mizigo imejaa mitumbua na Chapati tu ikabid jamaa acheke tu
Ni kweli kaka viwanja vyetu east africa vinazingua
Wivu ndo shida hujakosea tena Tanzania airport😂
Yaani kwa kweli watu wa hapo airport wanazingua sana,kuna kesi moja ya black Singapore walimfanyia hivo hapo Dar Airport,wabongo wanaroho mbaya sana
Good baba we are happy about the how you take time for us
Tunamshukuru Sana mkuu Kwa kutusanua Mimi napata elimu Sana kwako
Good Sana Kaka ebm.
Ndio Hao Hao wanaojiita watoto wa Mama KIZIMKAZI usiombe ukutane nao waanze kukuswalike maswali mbona utaomba poo 😁
Shukrani bwana ebm
Kaka Ernest Makulilo hujambo nakusalimia ndg yng mungu akubariki, nasubiria mpango wako naomba unisaidie mungu akubariki sana
Asante ndugu zangu kwa kutuelimisha.
Kuna kitu umeongea hapa Bro EBM kwel maofficers wengi pale airport hawajasafir na si km wanashindwa ila utamadumi tu hatuna wa kusafir ko akiona mtu unasafiri wanakuletea roho mbaya tena haswa hawa wadada na wamama wanaongoza kw roho mbaya
Jamaa anajua vitu vingi ebm
Kaka Asante kwa ujumbe mzuri
Nimeipenda hii aisee
Tatizo watanzania hatupendi kujifunzaa
Bro EBM daaa kiukwl unatusanua sana unajitajidi kila ck kutupa update nzuri km hizi maana watu wengine hivi vitu hatuvijuii kbsa ila mungu Akubariki sn
Yaaani hii imewai kunikita kwa yellow fever card kutoka rwanda 🇷🇼 kuingia tanzania via rusumo 😢 waliwai kuniambia hawaijui document yangu lazima ni nunue ya tanzania 😂
Kuna English na kiingereza jmn kuweni makin 😅😅😅
Asante KAKA kwa kutupa elimu
Mimi lilinikuta hamsadam nkarudishwa unaenda wapi Spain kufanya nn sijui utafikia wapi sijui jamani ni kweli ila nilitaka kushuka spain alafu nchukue usafiri wa kutambaa hd Greece ndiko niendapo lkn nkawa sijakalili pindi nikifika kuulizwa ilikua bahati mbaya na ilikua trip ya pili kupanda ulaya
🎉🎉🎉🎉🎉 Asante sana kaka
Ebm ❤
Pamoja sana
Kweli Mkuu watu wengi wanaludishwa airport
kuna watu wengi hata kwenye ukaguzi inakua shida ukianza na yeye acha baggage, viatu havieleweki ngua shida, mkanda ,saa kubwa ,ukivua mkanda suruali inadondoka🤣
i trust KLM
Dutch Airlines for life ❤
Ebm..mm nilirudishwa Amsterdam kwa sababu ya mualiko wangu uliandikwa natakiwa kusafiri mwezi August 2023 lakini nikasafiri mwezi wa February 2024 wakapiga sim Canada na maswali kuhusu huo mwaliko na wakaniambia hawajaridhika na majibu..Jr nikisafiri tena kwa kutumia Conference je changamoto ya kwanza ninaweza kuipitia..?
Ally♥️♥️♥️😍😍
Umenyoosha maelezo sana chief
Duuu vinaumaaaaa lad Sunday kijana alirudishwa Amsterdam na Alisha check inn cleared to boarding the flight…..what went wrong God knows ……hope alifanikiwa kwenda usa 🇺🇸
Kaka uko vizuri Nami nakufatiria kwa ukaribu zaidi naomba mawasiliano ya Whatsapp Nina shida nawewe
Skutokutembea shida kweli.
Kk edm Swahili naomba no ya simu ya ubalozi Ili na ss isiyeikatufika kama iyo habar unayosemaa .... Ni kweli tunarudishwa ...
EBM MIMI NINAUHITAJI TOFAUTI KIDOGO ILA NIMEKUWA NIKIKUTAFUTA KWA EMAIL HUJIBU SASA NASHINDWA KUWASILIANA NAWEWE NTAFANYAJE TAFADHALI
Wajina wangu nimtu muimu San wewe. Siku nikifika ntakuja kukuona
Hi EBM, samahani mimi nimeona tangazo lako la kazi ya kufundisha kiswahili… naomba nisaidie nafanyaje?
EBM HIYO DOCUMENTALY NIMEIONA. YA MGHANA MUNGU AKUWEKE.
Nyuma ya camera yuko ELLY DAVID ( Profesa)
Which institutions in Kenya can I take a student loan for proof of funds
Naomba ebm tueleweshe hapo kwannini uzuiliwe port of entry wakati umeshinda dv lottery,ni hatua zipi kuchukuliwa ili upewe ruhusa
Hahaaah😂
EBM naomba unisaidie kitu hivi baada ya kuomba B2 na kupata risiti na applicate confirmation Je appointment confirmation page inapatikana Vipi ili kuwenda nayo kwenye interview?
tumia password ku log in kwenye account yako ya US Embassy visa, hapo utaweza ku download confirmation page
Wewe unacheka mweli kingereza au English
EBM anasema : Usiombe ukutane na Black American English akiongea halafu wew hujui chochote akiongea unakaa kimyaa unashangaa akicheka na wew unachekaaa 😂😂😂😆😆😆 dah nimechekaa mbavuu zangu
Watu wa hovyo sanaa
Hahah eti Mmarekani nizamie Kenya,wanazingua sa ingine