Kwanini watu wengi wanarudishwa kwenye airpots za Turkey, Qatar, nk wakienda Canada, Ulaya, USA?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 มี.ค. 2024
  • Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.locals.com/
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com/paypalme/EBMSC...
    2. CASH APP cash.app/$EBMSCHOLARS

ความคิดเห็น • 56

  • @EBMSWAHILI
    @EBMSWAHILI  4 หลายเดือนก่อน +6

    How to Claim Your Free Consultation: YOU MUST RESIDE IN THE USA
    1. Visit our dedicated page: ebmscholars.com/finance/
    2. Fill out the form with your details to schedule your consultation.
    3. Sit back and relax - a financial expert will reach out to you to arrange your free session
    Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.locals.com/

  • @user-uq5jx6yl2w
    @user-uq5jx6yl2w 4 หลายเดือนก่อน +3

    Thank you EBM wewe nimwalimu kabisa ,siwezi kulala bila kutembelea website zako thank you

  • @khaliphaabubakar9466
    @khaliphaabubakar9466 4 หลายเดือนก่อน +1

    EBM nazipenda sana darasa zako.Kitu kimoja hujaelezea vizuri.Ukiwa transiti khaswa kama unakwenda USA wafanyakazi wa uhamiaji ya usa ndio wanaangalia tiketi,pasipoti,mizigo na umebeba kiasi gani cha pesa.
    Ukisafiri vaa vizuri Sio ndara na soksi bokta na t-shirt.Mavazi ndio heshima yako.

  • @pmt79
    @pmt79 4 หลายเดือนก่อน +4

    Yalinishanikuta pale Jk Nyerere Airport eti anasema hii viza mimi sijawahi kuiona akatuweka pembeni na familia nikamwambia unatuchelewesha tu utaturuhusu mwenyewe. Sahihi kabisa wengi ni roho mbaya na hawajui kitu.

    • @jimmyhabarugira4232
      @jimmyhabarugira4232 4 หลายเดือนก่อน +1

      @pmt79. Tz watu wengi wameisha sumbuliwa sumbuliwa ili uwape chochote kitu kwa kifupi Rushwa

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 หลายเดือนก่อน +7

    Sehem sahihi ya kupandia ndege ni Rwanda 🇷🇼 au South Africa, ila hizi Nchi zingine Zina mashaka saana ktk Air port zao , Kenya , Uganda na Tanzania yanayotokea pale air port ni aibu, Kuna siku jamaa ananiomba rushwa kisa mizigo mingi 😂😂😂 nikamuuliza mizigo mingi? Au uzito mwingi? 😂😂 nikamwambia mizigo imejaa mitumbua na Chapati tu ikabid jamaa acheke tu

    • @christiankambuga9338
      @christiankambuga9338 วันที่ผ่านมา

      Ni kweli kaka viwanja vyetu east africa vinazingua

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 4 หลายเดือนก่อน +5

    Wivu ndo shida hujakosea tena Tanzania airport😂

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 4 หลายเดือนก่อน +3

    Yaani kwa kweli watu wa hapo airport wanazingua sana,kuna kesi moja ya black Singapore walimfanyia hivo hapo Dar Airport,wabongo wanaroho mbaya sana

  • @tuyisengegad4283
    @tuyisengegad4283 4 หลายเดือนก่อน +1

    Good baba we are happy about the how you take time for us

  • @kakamkuu5383
    @kakamkuu5383 4 หลายเดือนก่อน +3

    Tunamshukuru Sana mkuu Kwa kutusanua Mimi napata elimu Sana kwako

  • @michaelnyandindi8461
    @michaelnyandindi8461 4 หลายเดือนก่อน +2

    Good Sana Kaka ebm.

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ndio Hao Hao wanaojiita watoto wa Mama KIZIMKAZI usiombe ukutane nao waanze kukuswalike maswali mbona utaomba poo 😁

  • @elogevyizigiro1157
    @elogevyizigiro1157 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shukrani bwana ebm

  • @kisagentabirage6693
    @kisagentabirage6693 3 หลายเดือนก่อน

    Kaka Ernest Makulilo hujambo nakusalimia ndg yng mungu akubariki, nasubiria mpango wako naomba unisaidie mungu akubariki sana

  • @andrewmwema4922
    @andrewmwema4922 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante ndugu zangu kwa kutuelimisha.

  • @salehkhamis3000
    @salehkhamis3000 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna kitu umeongea hapa Bro EBM kwel maofficers wengi pale airport hawajasafir na si km wanashindwa ila utamadumi tu hatuna wa kusafir ko akiona mtu unasafiri wanakuletea roho mbaya tena haswa hawa wadada na wamama wanaongoza kw roho mbaya

  • @piusdeo9380
    @piusdeo9380 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa anajua vitu vingi ebm

  • @msengasikaonga3039
    @msengasikaonga3039 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka Asante kwa ujumbe mzuri

  • @KingTimoo
    @KingTimoo 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nimeipenda hii aisee

  • @naimuothman3493
    @naimuothman3493 4 หลายเดือนก่อน +3

    Tatizo watanzania hatupendi kujifunzaa

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 4 หลายเดือนก่อน +1

    Bro EBM daaa kiukwl unatusanua sana unajitajidi kila ck kutupa update nzuri km hizi maana watu wengine hivi vitu hatuvijuii kbsa ila mungu Akubariki sn

  • @classicmediaenter10ment44
    @classicmediaenter10ment44 หลายเดือนก่อน

    Yaaani hii imewai kunikita kwa yellow fever card kutoka rwanda 🇷🇼 kuingia tanzania via rusumo 😢 waliwai kuniambia hawaijui document yangu lazima ni nunue ya tanzania 😂

  • @MisanaMasatu-zz4xr
    @MisanaMasatu-zz4xr 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna English na kiingereza jmn kuweni makin 😅😅😅

  • @gracecolyvas392
    @gracecolyvas392 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante KAKA kwa kutupa elimu

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi lilinikuta hamsadam nkarudishwa unaenda wapi Spain kufanya nn sijui utafikia wapi sijui jamani ni kweli ila nilitaka kushuka spain alafu nchukue usafiri wa kutambaa hd Greece ndiko niendapo lkn nkawa sijakalili pindi nikifika kuulizwa ilikua bahati mbaya na ilikua trip ya pili kupanda ulaya

  • @jocelyneedward
    @jocelyneedward 4 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉 Asante sana kaka

  • @minaayoze
    @minaayoze 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ebm ❤

  • @khamiswadi4199
    @khamiswadi4199 4 หลายเดือนก่อน

    Pamoja sana

  • @manbo5245
    @manbo5245 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli Mkuu watu wengi wanaludishwa airport

  • @trueone_tz
    @trueone_tz 4 หลายเดือนก่อน +1

    kuna watu wengi hata kwenye ukaguzi inakua shida ukianza na yeye acha baggage, viatu havieleweki ngua shida, mkanda ,saa kubwa ,ukivua mkanda suruali inadondoka🤣

  • @christopherrobert1948
    @christopherrobert1948 4 หลายเดือนก่อน +3

    i trust KLM

    • @Ryanzabron
      @Ryanzabron 4 หลายเดือนก่อน +2

      Dutch Airlines for life ❤

  • @ismailislam2462
    @ismailislam2462 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ebm..mm nilirudishwa Amsterdam kwa sababu ya mualiko wangu uliandikwa natakiwa kusafiri mwezi August 2023 lakini nikasafiri mwezi wa February 2024 wakapiga sim Canada na maswali kuhusu huo mwaliko na wakaniambia hawajaridhika na majibu..Jr nikisafiri tena kwa kutumia Conference je changamoto ya kwanza ninaweza kuipitia..?

  • @user-ib1pk7fb8p
    @user-ib1pk7fb8p 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ally♥️♥️♥️😍😍

  • @franciscoabushiri8065
    @franciscoabushiri8065 3 หลายเดือนก่อน

    Umenyoosha maelezo sana chief

  • @aishanelly2026
    @aishanelly2026 4 หลายเดือนก่อน

    Duuu vinaumaaaaa lad Sunday kijana alirudishwa Amsterdam na Alisha check inn cleared to boarding the flight…..what went wrong God knows ……hope alifanikiwa kwenda usa 🇺🇸

  • @kilalikanestory3635
    @kilalikanestory3635 4 หลายเดือนก่อน

    Kaka uko vizuri Nami nakufatiria kwa ukaribu zaidi naomba mawasiliano ya Whatsapp Nina shida nawewe

  • @rahelpaul3079
    @rahelpaul3079 4 หลายเดือนก่อน +1

    Skutokutembea shida kweli.

  • @IbrahimMwadini-hz7ib
    @IbrahimMwadini-hz7ib 4 หลายเดือนก่อน

    Kk edm Swahili naomba no ya simu ya ubalozi Ili na ss isiyeikatufika kama iyo habar unayosemaa .... Ni kweli tunarudishwa ...

  • @advinofficial6570
    @advinofficial6570 4 หลายเดือนก่อน +1

    EBM MIMI NINAUHITAJI TOFAUTI KIDOGO ILA NIMEKUWA NIKIKUTAFUTA KWA EMAIL HUJIBU SASA NASHINDWA KUWASILIANA NAWEWE NTAFANYAJE TAFADHALI

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wajina wangu nimtu muimu San wewe. Siku nikifika ntakuja kukuona

  • @JacklineRaphael-wu2te
    @JacklineRaphael-wu2te 3 หลายเดือนก่อน

    Hi EBM, samahani mimi nimeona tangazo lako la kazi ya kufundisha kiswahili… naomba nisaidie nafanyaje?

  • @mbarakamwayungu3485
    @mbarakamwayungu3485 3 หลายเดือนก่อน

    EBM HIYO DOCUMENTALY NIMEIONA. YA MGHANA MUNGU AKUWEKE.

  • @robertlinuma6051
    @robertlinuma6051 4 หลายเดือนก่อน

    Nyuma ya camera yuko ELLY DAVID ( Profesa)

  • @user-sq9zm3uk8f
    @user-sq9zm3uk8f 4 หลายเดือนก่อน

    Which institutions in Kenya can I take a student loan for proof of funds

  • @WeirdPuppy
    @WeirdPuppy 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba ebm tueleweshe hapo kwannini uzuiliwe port of entry wakati umeshinda dv lottery,ni hatua zipi kuchukuliwa ili upewe ruhusa

  • @dattymanne
    @dattymanne 4 หลายเดือนก่อน

    Hahaaah😂

  • @kiwopechannel945
    @kiwopechannel945 4 หลายเดือนก่อน

    EBM naomba unisaidie kitu hivi baada ya kuomba B2 na kupata risiti na applicate confirmation Je appointment confirmation page inapatikana Vipi ili kuwenda nayo kwenye interview?

    • @upendomamuya7238
      @upendomamuya7238 4 หลายเดือนก่อน

      tumia password ku log in kwenye account yako ya US Embassy visa, hapo utaweza ku download confirmation page

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe unacheka mweli kingereza au English

  • @haysam6317
    @haysam6317 4 หลายเดือนก่อน +3

    EBM anasema : Usiombe ukutane na Black American English akiongea halafu wew hujui chochote akiongea unakaa kimyaa unashangaa akicheka na wew unachekaaa 😂😂😂😆😆😆 dah nimechekaa mbavuu zangu

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 3 หลายเดือนก่อน

      Watu wa hovyo sanaa

  • @hailehim1
    @hailehim1 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hahah eti Mmarekani nizamie Kenya,wanazingua sa ingine