Madam Rita Afunguka Asili Yake Na Alipozaliwa "Nina Makabila Matatu" | SALAMA NA MADAM RITA PT 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 มี.ค. 2022
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    SOMETHING SPECIAL
    Ms Rita Sundi Paulsen Hans ni mtu muhimu kwangu na kwa mamia kama pengine si maelfu ya wenzangu hapa nyumbani Tanzania. Yeye ni Mama kwanza, Dada kwa wengine, Aunt poa sana kwa kina Malik na Jamal, Bosi ya Mboka kwa Salama na wenzie lakini kubwa kabisa ni MJASIRIAMALI, jambo ambalo amekua akilisimamia lile analo liamini kwa miaka zaidi ya 30 sasa. Rita au Madam Rita alianza kufanya kazi toka alipokua na miaka yake ya mwanzo kabisa ya 20.
    Mtoto kutoka kwenye familia ya kitajiri maana Marehemu Mzee Paulsen hakua mnyonge. Baba Mjerumani na Mama Mwenye asili ya kisukuma, kirudi na mchanganyiko wa makabila mengine kadhaa ambayo atatuambia humu ndani. Amekulia kwenye mitihani mingi mara baada ya Baba yake kufariki wakati yeye ana miaka 12 tu. Kutoka kwenye mazoea ya maisha ya kishua mpaka kupata mimba akiwa na umri mdogo na hilo kumlazimisha yeye kuondoka nyumbani akiwa na umri mdogo ndo mi naamini lililomfanya awe CHUMA mpaka leo. Naamini vile wanavyosema kila mtu na njia zake. Kila kitu kinachotokea kwenye maisha yetu kina sababu yake. Yeye kufariki kwa Baba yake ndo kulipelekea kupita KOTE alipopita. Shida na mitihani wakati mwengine huja kwa baraka tele, BARAKA ambazo mpaka leo hii ambayo mimi naandika waraka huu kwa majivuno mengi juu yake. Kweli kila kitu hutokea kwa sababu ili kitu kengine kizuri zaidi kiweze kukufuata ulipo.
    Mimi na yeye tulifahamiana kwaajili ya kazi, nadhani wengi wanaijua hiyo khadhithi, ila kama hufahamu mimi na yeye makutano yetu ya kwanza yalikua ya kunipa kazi ya ku host Kili Music Awards ila hiyo kazi ilikuja baada ya pinduapindua nyingi alizo zifanya pale EATV baada ya siku moja mimi kuisema vibaya moja ya video ambazo kampuni yake ya Benchmark ilizitengeneza. Ilikua mtihani haswa baada ya kuskia naitwa tena ofisini kwake? Haya jengine lipi tena? Kumbe round hii ilikua kwa Neema sana, ila Bahati mbaya hiyo kazi wala sikuipata maana na watu wa Kili nao walinikataa kwasababu huko nyuma pia niliwasemea tuzo zao ambazo ki ukweli zilikua za kiwango CHA CHINI MNO considering hela ambazo wanazo wao kama KAMPUNI, kwa kweli lile halikua linapaswa kunyamaziwa.
    Basi, peleka mbele mwaka mmoja au miwili baada ya hiyo incident akaniita tena kwaajili ya kazi ya Bongo Star Search sasa, na hii nyengine skia, nilipoitwa sikujua kama yeye ananitaka mimi kama Judge, mawazo yangu yalidhani anataka MTANGAZAJI wa shindano hilo, kumbe yeye alikua na BETTER idea, kama wazungu wanavyosema, the rest is history.
    Rita ameniona mimi nakua mbele ya macho yake, nami pia nimeona transformation ya maisha yake kama Mama na Dada. Mengi amepitia ya hadharani na kwas siri, ninayo yajua na nisiyo yajua, ila ambalo nina uhakika nalo ni JINSI AMBAVYO MIMI NAJIVUNIA YEYE, kwa mishale yote ALOIKWEPA na kuendelea KUSIMAMA IMARA, Rita Paulsen Hans ni SHUJAA NA NUSU.
    Mengi ameyaongea humu, ambayo ningependa uyaskie MWENYEWE bila ya mimi kudokoa lolote, hakuna chumvi wala sukari ilozidishwa humu ili ‘picha ipendeze’, badala yake ni simulizi nyundo ambazo kama kawaida zitakufanya ujifunze mambo mengi na pia kuangalia baadhi ya vitu kwa jicho jengine.
    Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪TH-cam Link bit.ly/TH-camSalamaNa
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 135

  • @Iamcameronboyce
    @Iamcameronboyce 2 ปีที่แล้ว +9

    They’re the Definition of Independent Women ♥️

  • @fatmamwalim-ih4ku
    @fatmamwalim-ih4ku 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ki ukwe ukweli huyo Mama nanpenda sana sana*Allah ampe umri mrefu

  • @albogastmselejr4583
    @albogastmselejr4583 2 ปีที่แล้ว +14

    Jesca Leo Kabadilisha Nguo Kumbe Ana Kijitako Cha Bunduki 🤣🤣

  • @davidnchoji
    @davidnchoji 2 ปีที่แล้ว +6

    My favorite show with my favorite Host...I love you Da Salama since then❤️😍

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 2 ปีที่แล้ว +8

    Wonderful interview. Wow madam Rita what a wonderful personality you have. Salama u r an amazing interviewer. Well done

  • @RuthBenjamin-vk8fd
    @RuthBenjamin-vk8fd 4 หลายเดือนก่อน +1

    God akulinde madam Ritha umeongea nimemuelewa Sanaa Sanaa endelea kubariki vijana wetu

  • @rashidopakwa6230
    @rashidopakwa6230 2 ปีที่แล้ว +13

    Salama you're one of the best presenters in Africa.👏👏👏. That's why I like your interviews. 🔥🔥🔥✔️🇰🇪👊

  • @Iamcameronboyce
    @Iamcameronboyce 2 ปีที่แล้ว +8

    Madam is a whole different person. Her personality is 🔥

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 3 หลายเดือนก่อน +5

    Wanaume Mungu anatuona!! Yaani uende kumchukua mtoto wa watu ili umuendeleze Shule kwa sababu ni mdogo na alishapewa mimba akiwa na umri mdogo! Then badala ya kumuendeleza shule unamtia mimba nyingine!!
    Je! Huu ni ukatili au sio ukatili? Pole sana Madam Rita kwa safari hiyo ya maisha uliyopitia!!!

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 3 หลายเดือนก่อน

      Wanasema akili ku mkichwa😂😂😂😂

    • @roseruhuta3325
      @roseruhuta3325 3 หลายเดือนก่อน

      Mada Rita ❤

  • @k.d.m83
    @k.d.m83 2 ปีที่แล้ว +6

    Tusisahau kutuma Tip kupitia Mpesa aisee, kazi nzuri wanafanya😁

  • @tumainkitundu1015
    @tumainkitundu1015 ปีที่แล้ว +2

    Madam Ritha wewe ni mtu na nusu nakubali kazi yako. Keep it up

  • @mwajabujumanne9025
    @mwajabujumanne9025 2 ปีที่แล้ว +1

    I appreciate. Sana madam kwa unachokifanya mungu azid kukulinda

  • @SaidChande-yl3wq
    @SaidChande-yl3wq 5 หลายเดือนก่อน +1

    A pure administrator! All the best 👍 madam

  • @maryshirima1234
    @maryshirima1234 2 ปีที่แล้ว +3

    Icon...🔥
    One among my favourite people...♥️
    Thank you Ecejay!

  • @nicki1885
    @nicki1885 2 ปีที่แล้ว +9

    She’s a strong woman ! Started from the beginning, she has a beautiful soul ! 😭♥️

  • @yusuphmligiliche8353
    @yusuphmligiliche8353 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Salama kwa hii platform ya mahojiano. Shukran kwa haya mahojiano na da Rita. Endelea na kazi bora!

  • @doreendinamica3473
    @doreendinamica3473 2 ปีที่แล้ว +3

    hii ni exclusive yaani
    ..........big up salama...!

  • @5starsmoviecenter714
    @5starsmoviecenter714 2 ปีที่แล้ว +5

    We call them over thinker they have smart mind, focoused, open minded and always think positive

  • @zakiakawese3222
    @zakiakawese3222 2 ปีที่แล้ว +4

    Nakubari sana hizi Interview 👏👏✌️

  • @mustafaameir8186
    @mustafaameir8186 2 ปีที่แล้ว +1

    She is a strong woman !

  • @StephenKihula
    @StephenKihula 2 หลายเดือนก่อน

    Your story put me on point to look you in a very special manner. But all in all pole Sana kwa yote uliyopitia to where you're today.

  • @josephgatunzi1670
    @josephgatunzi1670 2 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri 👊🏿

  • @karutomdee3107
    @karutomdee3107 4 หลายเดือนก่อน

    Mada masha allah jamn nakupenda jamn sirias toka zamani sema nafasi nakosa kpzzzzzz jaman nakupenda eee nko mkoa eee

  • @fatmebakar1315
    @fatmebakar1315 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yani nakipenda kipindi hichi San Kwanza mazingira yake uwandaaji wake Yani nimzuri sana

  • @florakaria3793
    @florakaria3793 3 หลายเดือนก่อน

    Madam Rita pls naomba niwe rafiki yako ! ❤nitapata mengi kwako

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 3 หลายเดือนก่อน

    Kupungua kwa uzuri inategemea na hali ya maisha ya kila siku ila nampenda sana huyu dada ana huruma sana mpenda watu mchapa kazi j say big up madam🎉

  • @user-lz5lb1cd8o
    @user-lz5lb1cd8o 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kizungu jamani warundi hatuerewi

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wanawake kweli kama maua,yanachanua na baadaye kufunga.
    True with time we decay,urembo wake wote mzuri sana umepungua sanaaa,daah wkt ni ukuta

    • @FiollaIsaya
      @FiollaIsaya 2 หลายเดือนก่อน

      Huyu madamu mara mbili siku tofauti nili msalimia shikamoo alikaa kimya nilijisikia vibaya sana afu nilikua shabiki yake sana

  • @nicki1885
    @nicki1885 2 ปีที่แล้ว +12

    I love the fact she didn’t want to use the words “it was an accident” and changed it to “it wasn’t planned “🙏💯

  • @SalmaJuma-xv9qp
    @SalmaJuma-xv9qp 7 หลายเดือนก่อน

    Nzurii

  • @neemaalbert2731
    @neemaalbert2731 2 ปีที่แล้ว +2

    Madame ritha mnyamwezi sanaaa🤪❤️

  • @mussakhamis2377
    @mussakhamis2377 2 ปีที่แล้ว +2

    Good interview

  • @huberturio3743
    @huberturio3743 2 ปีที่แล้ว +2

    Salama mnoma

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 3 หลายเดือนก่อน

    Ki King'eng'e kimezidi banaaaa

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +3

    My favorite 😘

  • @carolineoyugi7771
    @carolineoyugi7771 2 ปีที่แล้ว +7

    Mek up ya Leo mbaya sana madam

    • @masturaabdul1007
      @masturaabdul1007 2 ปีที่แล้ว +1

      😃😃😃😃😃sanaaaa. Mbaya mbaya mbayayaayyaa

    • @wennybarny168
      @wennybarny168 3 หลายเดือนก่อน

      Hiyi make inaitwa "nude" na ndo fashion ya wakati huu

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 ปีที่แล้ว

    🔥🔥

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna mambo mengi sikuwahi kuyasikia kwenye interview yoyote aliyowahi kufanya Ritha,ila leo nimepata majibu ya maswali yote niliyokuwa nikijiuliza.
    Umepitia mengi, lakini hukuwahi kukata tamaa pamoja na mapito yote.You are a super women🎉

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 ปีที่แล้ว

    Mwaka 2023 Nakuja Bss Natamani Sanaa

  • @letsgrowwithm4620
    @letsgrowwithm4620 2 ปีที่แล้ว +1

    Thats me loneeeer🙏

  • @rukiachamani1101
    @rukiachamani1101 2 ปีที่แล้ว +9

    Nami ni mmojawapo wa watu wanaotaka kukaa peke yangu muda mwingi.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 หลายเดือนก่อน +2

      Mtoto mzuri wewe, kwa nini ukae mwenyewe muda mrefu? Toa nafasi, nipo

    • @user-oi1qy8uj6r
      @user-oi1qy8uj6r 3 หลายเดือนก่อน

      Even me dear

    • @wennybarny168
      @wennybarny168 3 หลายเดือนก่อน

      Mimi ni super loner hadi watu hawanielewi na wanahisi nataka kujiua

  • @HamadiBwakame
    @HamadiBwakame 2 หลายเดือนก่อน

    Salama twawapenda s punguzen kiizungu

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 3 หลายเดือนก่อน

    Mupitie na kwangu wapenzi..sapoti kusapotiana❤

  • @masturaabdul1007
    @masturaabdul1007 2 ปีที่แล้ว +7

    Pole Madam ila sitaki kuwa mnafiki alokupamba kakuharibu kama hujatambuliswa nisingekujuwa😃 Madam achana na mpambaji huyoo

  • @LunodzoMwinuka
    @LunodzoMwinuka 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sauti za jamaa wanaopiga picha zinasikika. Mnaweza lifanyia kazi hilo pia.

  • @coneephraim7756
    @coneephraim7756 2 ปีที่แล้ว +1

    Salama...... you ar so good and fit on presenting a sessions with..... to me you ar not boaring in all of ur ukorofi questions....

  • @maidamhanje5993
    @maidamhanje5993 2 ปีที่แล้ว +1

    Tupo wengi tunapenda sana kua pekee yangu nilijua ni ugonjwa

  • @mazartajmohamed1437
    @mazartajmohamed1437 3 หลายเดือนก่อน +1

    Iron lady very difficult to understand her, genueas and confident this type of lady there are very few in this planet.

  • @user-nt4mw7zm7d
    @user-nt4mw7zm7d 3 หลายเดือนก่อน

    Dada salama.. mimi binafsi naona uongozi ndani yako.. hebu pita kidogo huko alafu kuna watu watakushukuru kwa maamuzi utakayochukua

  • @cobrachristian3685
    @cobrachristian3685 2 ปีที่แล้ว +2

    Kumbe wewe n mtu wa rwanda dada yetu kalibu nyumbani🇷🇼

  • @nereaigogo4442
    @nereaigogo4442 2 ปีที่แล้ว +5

    Ila kiukweli hii ni moja ya interview ngumu sana ambayo salama amewahi kufanya
    Imagine anam interview boss wake na rafiki yake.

    • @wennybarny168
      @wennybarny168 3 หลายเดือนก่อน

      Alishawahi kumhoji kwenye kipindi chake cha zamani yeye Salama kinaitwa MKASI. Hii anamhoji ni mara ya pili.

    • @wennybarny168
      @wennybarny168 3 หลายเดือนก่อน

      Salama alishawahi kumhoji huyu bosss wake kwenye kipindi chake cha MKASI kabla ya hiki

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 ปีที่แล้ว +2

    Am a loner too..na ni kitu kizuri sana...unafanya hata maamuzi kwa iuyafikiria wewe kama wewe. Madam Ritha ni mtu poa sana. Nakumbuka the day I met her akanisifia mpaka nikajisikia raha sana👌😘😘

  • @Chapesatv
    @Chapesatv 2 ปีที่แล้ว +6

    Huyu mama wange mpa ile nafasi ya Stive nyerere kaleta vipaji vingi sana tena wakali.

    • @saumusalimuhassan2499
      @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +1

      True my dear 👍

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 2 ปีที่แล้ว +1

      Nakubaliana na ww 100 kwa 100

    • @ngoshachaula172
      @ngoshachaula172 2 ปีที่แล้ว

      Chapesa sikubaliani naww ni tapeli

    • @Chapesatv
      @Chapesatv 2 ปีที่แล้ว +2

      @@ngoshachaula172 sawa ila uliwahi kusoma mikataba yao au kujuwa makubaliano yao maana watanzania mara nyingi kusoma mikataba tunauvivu nako sana. Kwahio sote ukweli hatuujuwi tusimuhukumu.

    • @vj8313
      @vj8313 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa

  • @emmanuelonyangoochola9228
    @emmanuelonyangoochola9228 2 หลายเดือนก่อน

    Apewe heshima yake huyu mama

  • @bellabakera
    @bellabakera 2 ปีที่แล้ว +2

    Wa kwanza leo

  • @ruu6592
    @ruu6592 ปีที่แล้ว +2

    I lv madam Rita but she looks very difficult ☺

  • @karimukalema4613
    @karimukalema4613 2 ปีที่แล้ว +2

    WHERE IS JESICA ????????? WE WANT HER BACK

  • @alawisaid280
    @alawisaid280 29 วันที่ผ่านมา

    salama jitahidi kuwaambia wapunguze kingereza siunajua wa tz tuna hiyo shida😅

  • @shukurupaul5299
    @shukurupaul5299 7 หลายเดือนก่อน

    Omg

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dada ongea kiswahili bila kuchanganya kiingereza wengine hatuelewi😢😢

    • @yustersimon5104
      @yustersimon5104 3 หลายเดือนก่อน

      Hata hicho kiswahili kajifunza mwaya

  • @ebbyramadhani
    @ebbyramadhani 2 ปีที่แล้ว

    jesca leo vipi?

  • @ZainabuMteti
    @ZainabuMteti 6 หลายเดือนก่อน

    Madam pole ulipitia

    • @halimalachpat1927
      @halimalachpat1927 3 หลายเดือนก่อน

      Hivi mi nauliza ni nani aliwahi kuwa mtoto?nadhanni jibu ni wote usichana,umama,na uzee?je hali si inaenda kubadilika? Mangapi yamemtokea madam?linganisha jani bichi na njano uzri wake .maisha ni safari ndefu.

  • @mtilimsita6675
    @mtilimsita6675 3 หลายเดือนก่อน

    Nimependa mama

  • @fatmebakar1315
    @fatmebakar1315 7 หลายเดือนก่อน

    Yani madam rita story yako kwakweli inaendana Na yangu kabisa

  • @vj8313
    @vj8313 2 ปีที่แล้ว +2

    Kingereza kingi madam vp ? Kumbuka kuna ambao hawajasoma wanatizama kipindi hata hiyo english yako hawaijui so speak national language banaa, all in all uko good jasiri muonyesha njia 🔥

    • @rommelmauma8081
      @rommelmauma8081 2 ปีที่แล้ว +1

      Hakuna ubaya endapo mahojiano yatakuwa kwa Kiswahili au Kiingereza; kuchanganya lugha hizo mbili kunaharibu mazingira ya maudhui ya mahojiano. Chuchumilieni kuongea Kiswahili!!

  • @asmaathmani440
    @asmaathmani440 ปีที่แล้ว

    Madam nakupenda but kuhus age umetudanganya

  • @user-zo8ub3tl9g
    @user-zo8ub3tl9g 3 หลายเดือนก่อน

    Alikua anaupenda tu huo mchezo

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi Nina makabila 9 yani sieleweki😂😂😂😂😂kila kits nipo tofauti

  • @romanarosemedard2551
    @romanarosemedard2551 3 หลายเดือนก่อน

    Be specific
    Sasa kitambulisho cha NiDa umejaza hayo makabila ya baba zako 3
    Siku zote tunafuata ukoo wa baba
    Aliyeweka mimba kwa mama yako
    Halafu wewe unajulikana kama hata shule umepia
    Huko ni kujikaa Ritha

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 หลายเดือนก่อน +1

    MAJIZI GROUP 😅😅😅

  • @zarayusuf2882
    @zarayusuf2882 2 หลายเดือนก่อน

    Who is madam Rita ?

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 ปีที่แล้ว

    ***Napajua Umurushaka,Nkwenda,Kaisho,Murongo Kona kumi na mbili,****

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 3 หลายเดือนก่อน

    Kama Mimi nimezaa14 nikateseka

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 ปีที่แล้ว +1

    Hapo kwenye sura zake mbili nimeziona hiyo sura yake ya kazi unaweza usiamini kama ni the same person 😂😂

  • @tausiabdalla9904
    @tausiabdalla9904 9 หลายเดือนก่อน

    Kumbe hata kama u unahela mambo ni magumu tu😅

  • @mack_B.
    @mack_B. 2 ปีที่แล้ว

    Hivi ukisema kua hupend mtu muongo mnafiki sjh nn na nn hiv inakuaje kwa upande wako wewe mwenyew hivyo vtu u didn't get au manake uongo kuuepuka Ni Mara chache Sana same tu unafiki jmn tusiwe waongo katka ilo🤣🤣🤣

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 3 หลายเดือนก่อน

    Where is the camera interviewer is looking away..we see legs n shoes can u be serious

  • @user-gk1bk7sf5g
    @user-gk1bk7sf5g 3 หลายเดือนก่อน

    Inawezekana akawa ni mhaya wapenda English.

    • @KhadijaMiteya-hh8xl
      @KhadijaMiteya-hh8xl 3 หลายเดือนก่อน

      Amesha kwambia msukuma na mjerumani ujasoma comment?

  • @prudencemushi6948
    @prudencemushi6948 ปีที่แล้ว

    The Accent is boring.... juzi tuu the accent was well booom it has changed

  • @albogastmselejr4583
    @albogastmselejr4583 2 ปีที่แล้ว +3

    Aisee Mbona Heleni Za Madame Kama Ni Mzigo 🤣🤣 Au Basi Itakuwa Kakata Nyororo Ya Mbwaaa

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 2 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @mwajumalubunga1534
      @mwajumalubunga1534 2 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🙆‍♀️🙆‍♀️

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂dar sawa bwana

    • @wennybarny168
      @wennybarny168 3 หลายเดือนก่อน

      Jamani watu wanapenda kuongea vibaya

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 2 ปีที่แล้ว

    Me hivyo viti mlivyo kalia , hata sijavielewa kabisaa.. Khaa🤗 ukihojiwa na mtu anaekujua ngumu kuficha ukweli Asante Salama

  • @neemaalbert2731
    @neemaalbert2731 2 ปีที่แล้ว

    Heshma Kwa mama Samia kurudisha wajawazito shulen

  • @mikhitaryankombo9604
    @mikhitaryankombo9604 2 ปีที่แล้ว +1

    Mm binafsi nakubali hiki kipindi lkn kwauchunguz wangu nimebauni wanaongea kingereza Sasa kuliko kiswahili ndio hua siku mbaya ya kipindi

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 3 หลายเดือนก่อน

      Ni lugha ya pili Tanzania kama hujui moja lazima utajua moja huko ndo ukweli

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani hiyo ni fashion ya make inaitwa "nude"
    Naona watu hawajailelewa ila iko namna hiyo
    Wakati prince Harry anaoa mjukuu wa Queen Elizabeth, mtoto wa prince Charles (ambaye sasa ndo king wa uingereza) watu walisema bi arusi hajatumia makeup kabisa, kumbe alitumia makeup ya milioni 30 za kitanzania. Ni make ya nude ambayo rangi zake ziko kimya. Rangi hazi-shout.

  • @dianerditto
    @dianerditto 2 ปีที่แล้ว +30

    Madam Ritha mimi pia sio mnafki, nikuombe tu umfukuze kazi huyo makeup artist wako aliekufanya hvo uson kwenye interview hii