KUA MAKINI NA URAFIKI WA WATANZANIA ULAYA |KILA NIKIPATA MZUNGU ANANIKIMBIA KUMBE RAFIKI ANAHARIBU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Lucy ambae ni mkongwe wa Sanaa ametufungukia mengi kuhusu maisha ya Ulaya nchini Denmark na pia kuhusu kuendeleza kazi yake ya Sanaa.
Malezi ya watoto, utamaduni wa wadanish, na changamoto za kujipata ukiwa nchi za watu.
Ameeleza changamoto za watanzania wanapokutana Ughaibuni, Habari za kizushi na mengine mengi.
Thank you Lucy for allowing this to be online
www.oda.international
Nampenda Sana Dear Lucy nimpole anaongea kwa unyenyekevu tangu yupo kwenye tasnia ya uigizaji,much respect to you Beautiful Lady💞💞💞😘
Nimempenda ssn she’s beautiful inside and out yupo real no fake
Humesema ni muhigizaji wapi ? Tanzania or Denmark? Mara ya kwanza kumsikia
Tanzania kuna wadada wazuri sana na warlewa vizuri sana
Dada Lucy alikuwa na pacha mwenzake kama sikosei kwenye mchezo mmoja sijui ni kweli
Hongera Lucy Komba, nakukumbusha ule msemo wetu enzi zile "Kazi ya Maji" tumetoka mbali, najua utacheka sana. Wishing u best of luck!!
Interview nzuri sana nmefurahi kumuona dada Lucy moja ya waigiza bora Mungu ambariki sana yuko na roho safi
Nicce
Asante sanaa, na siyo Marafiki wa KiTanzania tuu , mama , Waafrica wote tuu kwa ujumla.
Asante sana Lucy mpole sana na anaongea kwa kunyenyekevu aswaaa mie kama mtanzania siwez kukalibisha mtanzania nyumban kwangu nawajua vizul. Acha nipambane na hali yangu
Hongera sana sana Lucy msanii wetu wa Kgss. Nimefurahi mno kukuona na kukusikia tena ukiwa na furaha tele...All the best dear by MAPISHA
Korogwe girls for life
Kamaliza mwaka gan..?
Hongera sana Lucy kwa kutimiza maisha ya Ndoto zako!
Bado madeko yako yapo pale pale!
Nilimisi sana Uigizaji wako!
I loving this videos, i will keep watching more
Nakupendaga sana Lucy asa uigizaji wako wakutusha unajuwa sana
Mashallaah ❤️ kipenzi changu nakupenda Sana allaah akuzidishie inshallaah 🤲
Ahsante Lucy niliwahi kumwambia shena wadada wasijichubue Yani plz wadada
Kuhusu kujichubua bhana hata wazungu kibao wako na mademu walio jichubua yani kama bongo tu kuna wanaume hawapendi mwanamke alie jichubua na kuna ambao hawana shida na hilo sisi tunao fanya kazi mahoteli ya kitalii Zanzibar tunaelewa mzungu akikupenda kakupenda uwe umejibua au laa
@@salmabasil385 sawa endeleeni kujicgubua wewe unafanya kazi hotel unakutana na hao wa hotel ndo unawajuwa wewe,siye tunaishi na hao wazungu so tunaelewa zaidi ya wewe unayewaona hotelni
@@salmabasil385 unatetea wanaojichubua sababu nawewe umejichubua. Kifupi mzungu hawezi kujua kama unajichubua. Na akijua atakuuliza why are you doing that? Then atakuona unanyenyeekea ngozi nyeupe mwisho wa siku atakuona mtumwa. So stop bleaching yaselvs ok!
@@salmabasil385 wewe unafanyanao kazi siye tunaishi nao huwajuwi vzr wazungu sasa endelea kujichubua na uendelee kushairi wenzako pia wajichubue kazana kabisa kwa nguvu zote na Akili zote
Asant da shena na Mungu akubarik🙏🙏 kwa hivi vipindi maana napata kujua experience ya maisha ya nje hata nikifika huko meng takua nishayajua maana nipo kweny kusubir visa ya marriage
Habari ndiyo hiyo. Na huo ni ukweli. Wawake tujikubali tulvyo.Asante sa LUCY. ❤
Asante sana dd anaye kuleta uko nikutulia nakusaidiana majukumu
Dada Lucy pole sana Kwanza. Mimi Naishi Holland ivi sasa sitamani Rafiki WA TZ NI Wachawi sana.hapa Holland kuna wachawi wengi mno.kwa kweli eur himeharibika. Naitwa Tunzamali
Duuh poleni
Ahsante sana Lucy kwa mazungumzo mazuuri sana yenye manufaa kwetu waafrica🙏🏻
Hongera sana Lucy kwa kukumbuka Tasnia yako! Keep it up! Naisubiri kwa hamu sana! Kupambana ni mhimu sana!
Huyu ndio mtanzania wa kwanza kusema ukweli kuhusu maisha ya Skandinavien
Lucy kitambo kwli nikuaga Napendag gisi ulikua unajua kuigiz san👌👌🥰🥰🇴🇲🇧🇮
Mimi nilizaniamefarikijamanii heee nimefurahisana
sikujuaga huyu ndugu yangu wa kunyumba kumbe yupo majuu hongera sana.
Hongera da Lucy mngon from Songea.Tunaoishi Songea tujuane hapa
Una roho nzuri lucy toka Kitambo marangu sec
Lucy Komba mtoto wa Iringa huko sio mchanga
@@kevinmary7129 c mchaga nilisoma naye marangu secondary enzi hizoo
@@kevinmary7129alisoma Marangu sec
@@kevinmary7129shule aliyosoma kamanisha
@@kevinmary7129kwani mtu wa Iringa hawezi soma Moshi😂😂😂😂😂aiseee mbona sisi tulienda Machame girls
Shena mtafute lulu kamanga nae tunataka kusikia history yake nawapenda sana wadada wa kingoni wanahekma sana na niwapambanaji mno❤🙏
Jamani hata Mimi natamani ya Lulu nampenda sana huyo mdada
Nakupenda sana❤❤❤❤
Tunashukuru Dada kwa kuwafungua macho vijana,kwenda nje ujipange na waTanzania tujenge umoja wa kitaifa aliyotuachia mwalimu Nyerere.
Aisee dada Lusi komba una upendo Sana Wala huringi.❤
Da Lucy mrembo sana jaman
Miaka 9 naanaongea kawaida kiswaili waooooh! Nakupendasana Lucy ,wengine wakienda mwezi tu akija Tanzania anajifanya ajuikiswaili
Jimejifunzaa mengi sanaa kwenu asante sana❤❤❤❤🎉❤🎉❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Lucy I miss you, msanii wangu pendwa ulipotea. Nimefurahi Shena nimemuona Lucy wangu. 💪
So sweet jamani. Roho nzuri inakipa jaamani tupendane tu😂😂😂😂❤❤❤
Da Lucy alikuwa anaigiza vizuri sana
Da Lucy komba alikuwa anaigiza vizur sana
nimeipenda sana ...jamni tumeelewa sio wale wanatoa story juujuu
Pole sana Lucy. Wewe siyo takataka, ni Malkina wetu (wangu) wa Nguvu.
Nakupendaga sana da Lucy❤️
Da Lucy shikamoo Huzeeki ❤nakukumbuka tulikutana ndege mmoja 😊
Interview nzuri sn, Napata kujifunza Kwakweli, Asante ❤🙏.
Wow jamani nimejufunzaa asante dada Shena kwa hii channel inamafundisho saanaaa duu❤❤❤ big love
Masha Allah jamn kumbe umevuka boda
Asanteni sana dada zangu, tunaomba basi mtupe iyo dating site.
www.bantu.dating
Shukrani dadangu
Asante kwa elimu
Wabongo Ughaibuni ni wa kuogopa kama ugonjwa wa ukoma. Mwenye masikio na asikie.
Bora wabongo,wakenya ndio hatari zaid
@CiscaRecaps2015 west African nao sio watu wazuri
Nadhani ni kila mtu na taifa alilotoka mana hata waFilipino nao wanalalamika watu wa kwao noma ughaibuni @@CiscaRecaps2015
@@joejoshua7791hao waWest Africa na uchawi wanabeba kuleta nje 😂😂😂😂 full unafiki
Basi nikajua wanaushirikiano
baadhi ya waafrika wengi wakija ulaya wanakua wabaya kuliko wazungu wenyewe.
Kivip
Nikweli
Jamni da luc nilimpenda sana kwnye muvi zake at nkawa najiuliza kwa ni alienda wapi ama❤❤❤ nampenda
Jamani mm sina rafiki wa rohoni kabisaaa. Sijawahi kumwamini mtu kindakindaki wallah. Hakuna watu nawaogopa kama wale wanaoitana mabff😂😂
Kama mm sina kabsaa niponipo tuu
Mumw wangu ni mwafrica. Wote tunatoka tz ila ni half half hadi huwa nawaza tukirudi bongo wwnaweza hisi nimempa limbwata kumbe ni maisha ya huku yametufikisha hapa
My daughter god bless you
Nilimpenda sana huyu mwanamke uingizaji wake
🔥🔥🔥 kwakweli maisha ya ulaya yapo tofauti mno ni ku hustle uku
Kitu kimoja nimejifunza hawa ladies wake za wazungu wana determination
Jamani Lucy mi nampendaga uyu❤❤❤
Great interview
❤❤ the actress nilikuwa na mpenda..Ansanteni kwa Interview nzuri sana
DADA ANAYEHOJIWA ANA KIPAJI CHA KUIGIZA,,JINA LIMENITOKA...MALEGEND MTANIELEWA,,,AMEIGIZA SANA NA YULE JAMAA MNAESEMA KILA MOVI ANAENDA ULAYA😊
Shija
Lucy komba huyo
Maofisa na roy pia wa kwenye huba
Safi sana
Eeh Lucy Umenichekesha sana. it was a good interview
Duu habari dada hiyo kweli nakubaliyana na wewe sisi watanzaniyani tuishiyao nje hatupendani kumi kwa mmoja mimi nimeliona hilo kwasababu nipo ulaya miaka mingi sana kama 29
Siyo watanzania tu watu wote wa Ulaya
Nakupenda saana dada lucy❤❤ i wish ungekuwa kwenye tasnia ya hii tamthilia ungekua fire
Ahsante sana kwa elimu,kuomba omba ni hapa Tanzania
Hivi huwa mnarudi kutembea tz?
Pole sana dda kwa changamoto iyo, hata uku Oman hakuna urafiki my ivyo ivyo kuaribiana na kuchukuriana wanaume usirogwe ukamwambia rafki yako aisee atakuaribia unajua umepaata ndgu kumbe ni shetani na kutangaziana vibaya,na kila kitu kinasababu mpez usijal ssi watz wivu unatusum
Lucy ushawai kutongoza mzungu mtandaoni
Wow nakupenda sana dada lucy
Upo sahihi
hongera Shena kwa kupambana❤❤❤
Safi
Lucy I can't wait your new project,ubarikiwe sana na family yako
Huyu dada aliwahi kuigiza kam mapacha..it was lovely move
Ooh such a humble lady
Nilihudhuria Harusi ya huyu dada together with my late Japanese husband jamani,hongera happy for her.
Just a husband is enough to say the least.
😂😂😂😂@@clementhiddi1486
Waooo hongereni sana
Tuwe makini na marafiki sana sio kila jambo unamwambia wengine hawapendi maendeleo ya wengine
Kweli kabisa, kuna mtu alikuja kwenye maisha yangu bc anakuja kwa njia ya kukwambia matatizo yake, unampa ushauli fanya hiv, bc unamwambia mipango ysko, unashangaa mambo hayaendi, nikamshitukia nikamkatia raini,baada ya kukata kila kitu kikawa kinaenda.
@@nicedavid8536 aisee ulifanya vizur sana laa angeendelea kukuharibia kabisa
Lucy hujapoteza sauti yako ya upole...
Nakupenda sana kipenzi chetu kwenye filam
Mazungumzo mazuri ❤️
Nimependa bure ❤
Waooo leo umejua kutuletea kipenzi chetu aise❤❤
Smart and beautiful ❤❤❤
Nmemiss move zako mamy hasa ile ya patric na anjelo
Jmn natamani nipate mzungu Mungu nibariki siku moja nipate mume mzungu
😂😂😂
Nampendaga sana huyo dada
Nafurahi sana hata mm nindoto yangu ila bado haijafika mkipata mniambie ❤
Marafiki ni nyoko, namshukuru Mungu sijawahi kuwa na marafiki
Nami pia
❤
Da Lucy chaupole jmn tumkumiss kweny move
Lucy You are very beautiful what I like about you. When I saw your parent and siblings came to visit you
Wow this so true huyu dada ni kweli tena kweli 1000% Lucy alivyo ongea hiyo dada ndoo alikua rafiki yangu ameniaribia sana n me nilikua namchulilia hyo hyo dada rafiki yng huyu dada anaitwa fatuma aliniahindwa kwa kumwambia mwanaume akaanza kuroga kuroga…ukipata hyu demu ana kuaribia yaan huyu Lucy simjui but she speak very true
Noma sana uyo dada. Lucy yuko true. Ila mwenye bahati ni mwenye bahati tu. aibu yake sasaivi uko aliko😅
Kweli kabisa MUNGU akihuandikia akuna w kupinga ata waroge uchi…
She’s funny yupo mkweli sana
Nimependa interview❤
Kuna mov yake iyo inaitwa heli ya ujinga kuliko fedhea htr sana iyo
Napenda ukweliwako dada
Ndomana sitaki mashoga mnaishia kua maadui what for.marafka ulaya big no
Jinsi ya kuingia ni kwenye internet au WhatsApp
Yaliyoandikwa na Mwenyezi Mungu lazima yatimie
Kiswahili yako bado iko vizuri kabisa ila kuna watu wakienda wiki mbili tu ht kiswahili hawajui tena
Sio huko tu ninji za wazungu zote nisheria ya nchi yao huwez kumtongoza mtu atakuliza ulinijua lin?
Hongera sana
Nakuona nakuona kipenzi Lucy
Huyu mdada hanaga Mambo ya ajabu ajabu anajiheshimu Sana maashaallah ❤
Nakukumbuka Lucy kwa ile movie ya muhindi wewe nimuchezaji mzuli nikuwa najiuliza Linda wapi! Ulidi jamani kwenye uigizaji
Urafiki wa kiafrika nchi za nje will be your downfall