KUA MAKINI NA URAFIKI WA WATANZANIA ULAYA |KILA NIKIPATA MZUNGU ANANIKIMBIA KUMBE RAFIKI ANAHARIBU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • Lucy ambae ni mkongwe wa Sanaa ametufungukia mengi kuhusu maisha ya Ulaya nchini Denmark na pia kuhusu kuendeleza kazi yake ya Sanaa.
    Malezi ya watoto, utamaduni wa wadanish, na changamoto za kujipata ukiwa nchi za watu.
    Ameeleza changamoto za watanzania wanapokutana Ughaibuni, Habari za kizushi na mengine mengi.
    Thank you Lucy for allowing this to be online
    www.oda.international

ความคิดเห็น • 373

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 7 หลายเดือนก่อน +32

    Nampenda Sana Dear Lucy nimpole anaongea kwa unyenyekevu tangu yupo kwenye tasnia ya uigizaji,much respect to you Beautiful Lady💞💞💞😘

    • @polloz77
      @polloz77 5 หลายเดือนก่อน +1

      Nimempenda ssn she’s beautiful inside and out yupo real no fake
      Humesema ni muhigizaji wapi ? Tanzania or Denmark? Mara ya kwanza kumsikia
      Tanzania kuna wadada wazuri sana na warlewa vizuri sana

    • @theclanyoni4438
      @theclanyoni4438 4 หลายเดือนก่อน

      Dada Lucy alikuwa na pacha mwenzake kama sikosei kwenye mchezo mmoja sijui ni kweli

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Lucy Komba, nakukumbusha ule msemo wetu enzi zile "Kazi ya Maji" tumetoka mbali, najua utacheka sana. Wishing u best of luck!!

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 7 หลายเดือนก่อน +22

    Interview nzuri sana nmefurahi kumuona dada Lucy moja ya waigiza bora Mungu ambariki sana yuko na roho safi

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 6 หลายเดือนก่อน +5

    Asante sanaa, na siyo Marafiki wa KiTanzania tuu , mama , Waafrica wote tuu kwa ujumla.

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Lucy mpole sana na anaongea kwa kunyenyekevu aswaaa mie kama mtanzania siwez kukalibisha mtanzania nyumban kwangu nawajua vizul. Acha nipambane na hali yangu

  • @Marthamkilema
    @Marthamkilema 6 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera sana sana Lucy msanii wetu wa Kgss. Nimefurahi mno kukuona na kukusikia tena ukiwa na furaha tele...All the best dear by MAPISHA

    • @baeyanka5264
      @baeyanka5264 6 หลายเดือนก่อน +2

      Korogwe girls for life

    • @nevychacha6754
      @nevychacha6754 5 หลายเดือนก่อน

      Kamaliza mwaka gan..?

  • @ImeldaIsdory
    @ImeldaIsdory 7 หลายเดือนก่อน +15

    Hongera sana Lucy kwa kutimiza maisha ya Ndoto zako!
    Bado madeko yako yapo pale pale!
    Nilimisi sana Uigizaji wako!

  • @travelingfromwithintanzani8005
    @travelingfromwithintanzani8005 หลายเดือนก่อน

    I loving this videos, i will keep watching more

  • @francksylvester7844
    @francksylvester7844 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupendaga sana Lucy asa uigizaji wako wakutusha unajuwa sana

  • @QueenNgai
    @QueenNgai 6 หลายเดือนก่อน +5

    Mashallaah ❤️ kipenzi changu nakupenda Sana allaah akuzidishie inshallaah 🤲

  • @annamussa185
    @annamussa185 7 หลายเดือนก่อน +7

    Ahsante Lucy niliwahi kumwambia shena wadada wasijichubue Yani plz wadada

    • @salmabasil385
      @salmabasil385 7 หลายเดือนก่อน

      Kuhusu kujichubua bhana hata wazungu kibao wako na mademu walio jichubua yani kama bongo tu kuna wanaume hawapendi mwanamke alie jichubua na kuna ambao hawana shida na hilo sisi tunao fanya kazi mahoteli ya kitalii Zanzibar tunaelewa mzungu akikupenda kakupenda uwe umejibua au laa

    • @annamussa185
      @annamussa185 7 หลายเดือนก่อน

      @@salmabasil385 sawa endeleeni kujicgubua wewe unafanya kazi hotel unakutana na hao wa hotel ndo unawajuwa wewe,siye tunaishi na hao wazungu so tunaelewa zaidi ya wewe unayewaona hotelni

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 7 หลายเดือนก่อน +1

      @@salmabasil385 unatetea wanaojichubua sababu nawewe umejichubua. Kifupi mzungu hawezi kujua kama unajichubua. Na akijua atakuuliza why are you doing that? Then atakuona unanyenyeekea ngozi nyeupe mwisho wa siku atakuona mtumwa. So stop bleaching yaselvs ok!

    • @annamussa185
      @annamussa185 6 หลายเดือนก่อน

      @@salmabasil385 wewe unafanyanao kazi siye tunaishi nao huwajuwi vzr wazungu sasa endelea kujichubua na uendelee kushairi wenzako pia wajichubue kazana kabisa kwa nguvu zote na Akili zote

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 7 หลายเดือนก่อน +5

    Asant da shena na Mungu akubarik🙏🙏 kwa hivi vipindi maana napata kujua experience ya maisha ya nje hata nikifika huko meng takua nishayajua maana nipo kweny kusubir visa ya marriage

  • @ngendachubwa3457
    @ngendachubwa3457 7 หลายเดือนก่อน +1

    Habari ndiyo hiyo. Na huo ni ukweli. Wawake tujikubali tulvyo.Asante sa LUCY. ❤

  • @everosemausa1436
    @everosemausa1436 7 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana dd anaye kuleta uko nikutulia nakusaidiana majukumu

  • @t.jsaidia2047
    @t.jsaidia2047 7 หลายเดือนก่อน +3

    Dada Lucy pole sana Kwanza. Mimi Naishi Holland ivi sasa sitamani Rafiki WA TZ NI Wachawi sana.hapa Holland kuna wachawi wengi mno.kwa kweli eur himeharibika. Naitwa Tunzamali

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 7 หลายเดือนก่อน +1

      Duuh poleni

  • @angelmashauri6961
    @angelmashauri6961 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante sana Lucy kwa mazungumzo mazuuri sana yenye manufaa kwetu waafrica🙏🏻

  • @ImeldaIsdory
    @ImeldaIsdory 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana Lucy kwa kukumbuka Tasnia yako! Keep it up! Naisubiri kwa hamu sana! Kupambana ni mhimu sana!

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 7 หลายเดือนก่อน +20

    Huyu ndio mtanzania wa kwanza kusema ukweli kuhusu maisha ya Skandinavien

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 6 หลายเดือนก่อน +3

    Lucy kitambo kwli nikuaga Napendag gisi ulikua unajua kuigiz san👌👌🥰🥰🇴🇲🇧🇮

    • @NasraSaid-qc5hf
      @NasraSaid-qc5hf 6 หลายเดือนก่อน

      Mimi nilizaniamefarikijamanii heee nimefurahisana

  • @salomemkilima5732
    @salomemkilima5732 3 หลายเดือนก่อน

    sikujuaga huyu ndugu yangu wa kunyumba kumbe yupo majuu hongera sana.

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera da Lucy mngon from Songea.Tunaoishi Songea tujuane hapa

  • @janethngowi1058
    @janethngowi1058 7 หลายเดือนก่อน +5

    Una roho nzuri lucy toka Kitambo marangu sec

    • @kevinmary7129
      @kevinmary7129 7 หลายเดือนก่อน

      Lucy Komba mtoto wa Iringa huko sio mchanga

    • @janethngowi1058
      @janethngowi1058 7 หลายเดือนก่อน

      @@kevinmary7129 c mchaga nilisoma naye marangu secondary enzi hizoo

    • @veronicasarita8422
      @veronicasarita8422 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@kevinmary7129alisoma Marangu sec

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 7 หลายเดือนก่อน

      @@kevinmary7129shule aliyosoma kamanisha

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@kevinmary7129kwani mtu wa Iringa hawezi soma Moshi😂😂😂😂😂aiseee mbona sisi tulienda Machame girls

  • @rosemery3017
    @rosemery3017 7 หลายเดือนก่อน +10

    Shena mtafute lulu kamanga nae tunataka kusikia history yake nawapenda sana wadada wa kingoni wanahekma sana na niwapambanaji mno❤🙏

    • @idrisssaissa4322
      @idrisssaissa4322 7 หลายเดือนก่อน +1

      Jamani hata Mimi natamani ya Lulu nampenda sana huyo mdada

  • @stellajoseph6212
    @stellajoseph6212 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda sana❤❤❤❤

  • @GilbertMasukila
    @GilbertMasukila 7 หลายเดือนก่อน +8

    Tunashukuru Dada kwa kuwafungua macho vijana,kwenda nje ujipange na waTanzania tujenge umoja wa kitaifa aliyotuachia mwalimu Nyerere.

  • @MarryKimaro-m9k
    @MarryKimaro-m9k หลายเดือนก่อน

    Aisee dada Lusi komba una upendo Sana Wala huringi.❤

  • @StellaA-n4i
    @StellaA-n4i 7 หลายเดือนก่อน +5

    Da Lucy mrembo sana jaman

  • @MackrinaNdegani
    @MackrinaNdegani 6 หลายเดือนก่อน +4

    Miaka 9 naanaongea kawaida kiswaili waooooh! Nakupendasana Lucy ,wengine wakienda mwezi tu akija Tanzania anajifanya ajuikiswaili

  • @pendojeremia7068
    @pendojeremia7068 6 หลายเดือนก่อน

    Jimejifunzaa mengi sanaa kwenu asante sana❤❤❤❤🎉❤🎉❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @kokushababenjamini
    @kokushababenjamini 7 หลายเดือนก่อน +3

    Lucy I miss you, msanii wangu pendwa ulipotea. Nimefurahi Shena nimemuona Lucy wangu. 💪

  • @Alice-Gyunda
    @Alice-Gyunda 7 หลายเดือนก่อน +6

    So sweet jamani. Roho nzuri inakipa jaamani tupendane tu😂😂😂😂❤❤❤

  • @EdinaSiphaely
    @EdinaSiphaely 7 หลายเดือนก่อน +11

    Da Lucy alikuwa anaigiza vizuri sana

  • @EdinaSiphaely
    @EdinaSiphaely 7 หลายเดือนก่อน +22

    Da Lucy komba alikuwa anaigiza vizur sana

  • @naomipetro6325
    @naomipetro6325 5 หลายเดือนก่อน

    nimeipenda sana ...jamni tumeelewa sio wale wanatoa story juujuu

  • @ImeldaIsdory
    @ImeldaIsdory 7 หลายเดือนก่อน +4

    Pole sana Lucy. Wewe siyo takataka, ni Malkina wetu (wangu) wa Nguvu.

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 5 หลายเดือนก่อน

    Nakupendaga sana da Lucy❤️

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 7 หลายเดือนก่อน +10

    Da Lucy shikamoo Huzeeki ❤nakukumbuka tulikutana ndege mmoja 😊

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 7 หลายเดือนก่อน +1

    Interview nzuri sn, Napata kujifunza Kwakweli, Asante ❤🙏.

  • @Devota_life
    @Devota_life 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wow jamani nimejufunzaa asante dada Shena kwa hii channel inamafundisho saanaaa duu❤❤❤ big love

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 7 หลายเดือนก่อน +2

    Masha Allah jamn kumbe umevuka boda

  • @Zimwilishe
    @Zimwilishe 7 หลายเดือนก่อน

    Asanteni sana dada zangu, tunaomba basi mtupe iyo dating site.

  • @MariahMnjeja
    @MariahMnjeja 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa elimu

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 7 หลายเดือนก่อน +51

    Wabongo Ughaibuni ni wa kuogopa kama ugonjwa wa ukoma. Mwenye masikio na asikie.

    • @CiscaRecaps2015
      @CiscaRecaps2015 7 หลายเดือนก่อน +9

      Bora wabongo,wakenya ndio hatari zaid

    • @joejoshua7791
      @joejoshua7791 7 หลายเดือนก่อน +1

      ​@CiscaRecaps2015 west African nao sio watu wazuri

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 7 หลายเดือนก่อน

      Nadhani ni kila mtu na taifa alilotoka mana hata waFilipino nao wanalalamika watu wa kwao noma ughaibuni ​@@CiscaRecaps2015

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 7 หลายเดือนก่อน +5

      ​​@@joejoshua7791hao waWest Africa na uchawi wanabeba kuleta nje 😂😂😂😂 full unafiki

    • @vailethmbulule8339
      @vailethmbulule8339 7 หลายเดือนก่อน +1

      Basi nikajua wanaushirikiano

  • @TheTickingAges
    @TheTickingAges 7 หลายเดือนก่อน +20

    baadhi ya waafrika wengi wakija ulaya wanakua wabaya kuliko wazungu wenyewe.

  • @MaryMichaelMaryMichael-i7o
    @MaryMichaelMaryMichael-i7o 7 หลายเดือนก่อน +6

    Jamni da luc nilimpenda sana kwnye muvi zake at nkawa najiuliza kwa ni alienda wapi ama❤❤❤ nampenda

  • @hildajoel5
    @hildajoel5 7 หลายเดือนก่อน +13

    Jamani mm sina rafiki wa rohoni kabisaaa. Sijawahi kumwamini mtu kindakindaki wallah. Hakuna watu nawaogopa kama wale wanaoitana mabff😂😂

    • @Serenawilson11
      @Serenawilson11 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kama mm sina kabsaa niponipo tuu

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mumw wangu ni mwafrica. Wote tunatoka tz ila ni half half hadi huwa nawaza tukirudi bongo wwnaweza hisi nimempa limbwata kumbe ni maisha ya huku yametufikisha hapa

  • @mamadida6100
    @mamadida6100 6 หลายเดือนก่อน +1

    My daughter god bless you

  • @Zakiya-z8c
    @Zakiya-z8c 5 หลายเดือนก่อน +3

    Nilimpenda sana huyu mwanamke uingizaji wake

  • @ladymacollection
    @ladymacollection 7 หลายเดือนก่อน +1

    🔥🔥🔥 kwakweli maisha ya ulaya yapo tofauti mno ni ku hustle uku

  • @bintalmasi2393
    @bintalmasi2393 7 หลายเดือนก่อน +8

    Kitu kimoja nimejifunza hawa ladies wake za wazungu wana determination

  • @jasminmdimi6059
    @jasminmdimi6059 7 หลายเดือนก่อน +4

    Jamani Lucy mi nampendaga uyu❤❤❤

  • @consolataconsolata1250
    @consolataconsolata1250 7 หลายเดือนก่อน +2

    Great interview

  • @olympiamtenga8761
    @olympiamtenga8761 7 หลายเดือนก่อน +5

    ❤❤ the actress nilikuwa na mpenda..Ansanteni kwa Interview nzuri sana

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 7 หลายเดือนก่อน +5

    DADA ANAYEHOJIWA ANA KIPAJI CHA KUIGIZA,,JINA LIMENITOKA...MALEGEND MTANIELEWA,,,AMEIGIZA SANA NA YULE JAMAA MNAESEMA KILA MOVI ANAENDA ULAYA😊

    • @rahmaidd8818
      @rahmaidd8818 7 หลายเดือนก่อน

      Shija

    • @ginagigigg7
      @ginagigigg7 7 หลายเดือนก่อน

      Lucy komba huyo

    • @BeatriceSamwelKomba
      @BeatriceSamwelKomba 6 หลายเดือนก่อน

      Maofisa na roy pia wa kwenye huba

  • @frankkiyaya
    @frankkiyaya 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @MM-bu4ir
    @MM-bu4ir 6 หลายเดือนก่อน

    Eeh Lucy Umenichekesha sana. it was a good interview

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 7 หลายเดือนก่อน +6

    Duu habari dada hiyo kweli nakubaliyana na wewe sisi watanzaniyani tuishiyao nje hatupendani kumi kwa mmoja mimi nimeliona hilo kwasababu nipo ulaya miaka mingi sana kama 29

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 7 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda saana dada lucy❤❤ i wish ungekuwa kwenye tasnia ya hii tamthilia ungekua fire

  • @judithawadhi3510
    @judithawadhi3510 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsante sana kwa elimu,kuomba omba ni hapa Tanzania

  • @kasimunyangasa88
    @kasimunyangasa88 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi huwa mnarudi kutembea tz?

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dda kwa changamoto iyo, hata uku Oman hakuna urafiki my ivyo ivyo kuaribiana na kuchukuriana wanaume usirogwe ukamwambia rafki yako aisee atakuaribia unajua umepaata ndgu kumbe ni shetani na kutangaziana vibaya,na kila kitu kinasababu mpez usijal ssi watz wivu unatusum

  • @PriscaJoseph-u3p
    @PriscaJoseph-u3p 6 หลายเดือนก่อน

    Lucy ushawai kutongoza mzungu mtandaoni

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wow nakupenda sana dada lucy

  • @mbonijabut1405
    @mbonijabut1405 7 หลายเดือนก่อน +2

    Upo sahihi

  • @zeranchimbi2808
    @zeranchimbi2808 7 หลายเดือนก่อน +1

    hongera Shena kwa kupambana❤❤❤

  • @Frank-b2d6u
    @Frank-b2d6u 6 หลายเดือนก่อน +2

    Safi

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 7 หลายเดือนก่อน +1

    Lucy I can't wait your new project,ubarikiwe sana na family yako

  • @mankaminja683
    @mankaminja683 7 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu dada aliwahi kuigiza kam mapacha..it was lovely move

  • @neemashuma5595
    @neemashuma5595 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ooh such a humble lady

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 7 หลายเดือนก่อน +7

    Nilihudhuria Harusi ya huyu dada together with my late Japanese husband jamani,hongera happy for her.

    • @clementhiddi1486
      @clementhiddi1486 7 หลายเดือนก่อน +1

      Just a husband is enough to say the least.

    • @neemathomas2008
      @neemathomas2008 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂​@@clementhiddi1486

    • @vailethmbulule8339
      @vailethmbulule8339 7 หลายเดือนก่อน

      Waooo hongereni sana

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 7 หลายเดือนก่อน +23

    Tuwe makini na marafiki sana sio kila jambo unamwambia wengine hawapendi maendeleo ya wengine

    • @nicedavid8536
      @nicedavid8536 7 หลายเดือนก่อน +2

      Kweli kabisa, kuna mtu alikuja kwenye maisha yangu bc anakuja kwa njia ya kukwambia matatizo yake, unampa ushauli fanya hiv, bc unamwambia mipango ysko, unashangaa mambo hayaendi, nikamshitukia nikamkatia raini,baada ya kukata kila kitu kikawa kinaenda.

    • @GfgGgh-v5z
      @GfgGgh-v5z 7 หลายเดือนก่อน

      @@nicedavid8536 aisee ulifanya vizur sana laa angeendelea kukuharibia kabisa

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 6 หลายเดือนก่อน +1

    Lucy hujapoteza sauti yako ya upole...

  • @AgnethaKapinga
    @AgnethaKapinga 7 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana kipenzi chetu kwenye filam

  • @MwalimuShauri
    @MwalimuShauri 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mazungumzo mazuri ❤️

  • @RizikiVincent
    @RizikiVincent 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nimependa bure ❤

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 7 หลายเดือนก่อน +1

    Waooo leo umejua kutuletea kipenzi chetu aise❤❤

  • @SuzanneMyles
    @SuzanneMyles 7 หลายเดือนก่อน +3

    Smart and beautiful ❤❤❤

  • @OlivaGara
    @OlivaGara 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nmemiss move zako mamy hasa ile ya patric na anjelo

  • @fatmaismail7683
    @fatmaismail7683 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jmn natamani nipate mzungu Mungu nibariki siku moja nipate mume mzungu

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @ZuhuraDuru
    @ZuhuraDuru 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nampendaga sana huyo dada

  • @ReginaSolia
    @ReginaSolia 7 หลายเดือนก่อน

    Nafurahi sana hata mm nindoto yangu ila bado haijafika mkipata mniambie ❤

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 7 หลายเดือนก่อน +7

    Marafiki ni nyoko, namshukuru Mungu sijawahi kuwa na marafiki

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji 7 หลายเดือนก่อน +5

    Da Lucy chaupole jmn tumkumiss kweny move

  • @souksoukeventsandmarketing653
    @souksoukeventsandmarketing653 6 หลายเดือนก่อน +1

    Lucy You are very beautiful what I like about you. When I saw your parent and siblings came to visit you

  • @mamuvandermerwe485
    @mamuvandermerwe485 7 หลายเดือนก่อน

    Wow this so true huyu dada ni kweli tena kweli 1000% Lucy alivyo ongea hiyo dada ndoo alikua rafiki yangu ameniaribia sana n me nilikua namchulilia hyo hyo dada rafiki yng huyu dada anaitwa fatuma aliniahindwa kwa kumwambia mwanaume akaanza kuroga kuroga…ukipata hyu demu ana kuaribia yaan huyu Lucy simjui but she speak very true

    • @sesilianjala3306
      @sesilianjala3306 7 หลายเดือนก่อน +1

      Noma sana uyo dada. Lucy yuko true. Ila mwenye bahati ni mwenye bahati tu. aibu yake sasaivi uko aliko😅

    • @mamuvandermerwe485
      @mamuvandermerwe485 7 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa MUNGU akihuandikia akuna w kupinga ata waroge uchi…

  • @polloz77
    @polloz77 5 หลายเดือนก่อน

    She’s funny yupo mkweli sana

  • @chumchum1526
    @chumchum1526 6 หลายเดือนก่อน

    Nimependa interview❤

  • @chimamilion
    @chimamilion 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna mov yake iyo inaitwa heli ya ujinga kuliko fedhea htr sana iyo

  • @husa8849
    @husa8849 7 หลายเดือนก่อน +2

    Napenda ukweliwako dada

  • @kapeljjkapeljj5407
    @kapeljjkapeljj5407 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ndomana sitaki mashoga mnaishia kua maadui what for.marafka ulaya big no

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 5 หลายเดือนก่อน

    Jinsi ya kuingia ni kwenye internet au WhatsApp

  • @theonestinamutole8549
    @theonestinamutole8549 5 หลายเดือนก่อน

    Yaliyoandikwa na Mwenyezi Mungu lazima yatimie

  • @ladyjoomahegga9407
    @ladyjoomahegga9407 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kiswahili yako bado iko vizuri kabisa ila kuna watu wakienda wiki mbili tu ht kiswahili hawajui tena

  • @Footballmax_edits
    @Footballmax_edits 7 หลายเดือนก่อน +2

    Sio huko tu ninji za wazungu zote nisheria ya nchi yao huwez kumtongoza mtu atakuliza ulinijua lin?

  • @janelukololo
    @janelukololo 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana

  • @AmanaLulu-zx9id
    @AmanaLulu-zx9id 7 หลายเดือนก่อน

    Nakuona nakuona kipenzi Lucy

  • @sadihashimu4664
    @sadihashimu4664 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mdada hanaga Mambo ya ajabu ajabu anajiheshimu Sana maashaallah ❤

  • @firotemanirakoze4505
    @firotemanirakoze4505 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukumbuka Lucy kwa ile movie ya muhindi wewe nimuchezaji mzuli nikuwa najiuliza Linda wapi! Ulidi jamani kwenye uigizaji

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 7 หลายเดือนก่อน +8

    Urafiki wa kiafrika nchi za nje will be your downfall