UNAWEZA PATA MTU SAHIHI HATA KAMA UNAWATOTO | NILIDAI TALAKA MWENYEWE | BINTI HAKIKISHA UNAKIPATO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • Terry ameeleza maisha yake kutoka Tanzania mpaka Belgium, ambapo ameeleza alikutana na changamoto ya ndoa ambapo ilibidi aivunje ndoa yake ili apate amani yake
    Anakwambia mwanamke hakikisha unakipato chako ili uweze kuanza upya usikae sehemu ambayo unateseka moyoni.
    Kua na watoto sio kigezo cha kukosa kupendwa na kupata mtu sahihi.
    Never settle for less, ingia kwenye mahusiano kwa nia safi na sio kwasababu ya kupewa maisha mazuri.
    Thank you Terry for allowing this to be online
    www.oda.international

ความคิดเห็น • 137

  • @happinessshija5136
    @happinessshija5136 4 หลายเดือนก่อน +6

    Umeolewa ndoa mbili,umezaa na wanaume watatu tofauti na bado umeolewa mwanaume ndoa ya tatu,UMENIFANYA NILALE USINGIZI MNONO SANA asante Kwa kuwa mkweli umenisaidia single mazazi mie🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

    • @Terryhermajesty
      @Terryhermajesty 4 หลายเดือนก่อน

      Ndoa mbili sio tatu😊

    • @burundishallsmile1day109
      @burundishallsmile1day109 3 หลายเดือนก่อน +1

      She s selfish nd Feminist 😂😂😂 huyu Dada atakuponzeni ana Matatizo!hana Raha hata kidogo.hana namna nyingine.
      Mwanaume wake ni Wale wanaume zaifu🤣
      Fikra zake mbaya sana.badaa ya kuzaa watoto na wanaume mbalimbali ye anatoloka tu ili apate furaha yake,hajali mazala yake na watoto je wanafurahia!?.
      Anavunja familia za wana ili awe na furaha yake binafsi.
      Ndoa si mahali pa furaha.ni Msingi mgumu wa familia
      Huezi ondoka tu sababu hufurahii.
      Huo Mme s not Mature, he a weak
      Una m control ndo maana unasema mnaendana.

    • @NoraNora-gv7md
      @NoraNora-gv7md 3 หลายเดือนก่อน

      😊​@@burundishallsmile1day109

    • @user-zh9ny3bx4k
      @user-zh9ny3bx4k หลายเดือนก่อน

      ​@@burundishallsmile1day109wewe hujielewi. Sikiliza story yake vizuri. Halafu si wewe umemuoa acha mke wa wenyewe

  • @ednaednamillanzinia2826
    @ednaednamillanzinia2826 4 หลายเดือนก่อน +5

    Alifunga ndoa halafu akikaa bongo mwakana nusu kama sijakosea ndio aende ulaya,mm nilifunga ndoa 2018 ,niliamia Finland 2021 ,kwa hiyo nilisota kidogo ila nimejifunza kitu ,kwanini Mungu aliruhusu nisote kidogo.Nashukuru Mungu kwa yote na rehema zake.

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 4 หลายเดือนก่อน +9

    Beautiful with brain❤❤❤nimekupenda dada kwa kufahamu thamani yako na nini unahitaji katika mahusiano. Hii ndo imekupelekea kupata Mr.Right,hongera sana kwa kuwa mpambanaji,Mungu akukuzie wanao..

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 หลายเดือนก่อน

    Ulipata nguvu ya kuachana baada ya kupata kazi.
    Hongera
    Ila mwisho wa siku maisha hayafanani,kila mmoja ba na bahati yake kuna wadada wanafanya kazi lkn waume zao hawana muda na pesa zao wanapewa kila kitu

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akubariki dada,nimejifunza kitu hapa shuhuda nzuri mpendwa,
    Hata hapa kwetu,tz hapa wapo , ndoa watu wa 4,hongera kwa Kütahya maamzi magumu ,yupo Mungu amekuandalia ubavu wako dada huyo baba haikuwa mpango wa Mungu,

  • @jacqulinemihayo3544
    @jacqulinemihayo3544 4 หลายเดือนก่อน +7

    Hongera sana Terry..maturity kubwa..hongera shena kwa interview nzuri.

  • @roseswedi5274
    @roseswedi5274 4 หลายเดือนก่อน +5

    I love this lady...she knows her worth.. The first guy was a narcissist.. She doesn't give up..kindly go back n learn full time nurse

  • @evelynlyimo1557
    @evelynlyimo1557 4 หลายเดือนก่อน +2

    Pongezi za dhati kwa wadada wenzangu wanaojitambuaa,,.Terry hapo Dela kumwacha mwanaume kiistarabu nimekuelewa bila doubt..yaani unaamua kufungasha ujiendee ukapate amani...I really admire such a lady who can say I'm done and dusted,,hugs to you,,be courageous be smarter be amazing 👏

  • @zainabsibuma-omary7061
    @zainabsibuma-omary7061 4 หลายเดือนก่อน +7

    Tegemezi ni kasumba tu, ambayo wengi tunatakiwa kujibadilisha na kujiwezesha wenyewe na kuongeza nguvu. Mazungumzo mazuri, asanteni.

  • @hamy255.
    @hamy255. 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mdada mzuriii and intelligent 👌 ❤

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 4 หลายเดือนก่อน +8

    Ninachokiona dd unaheshima sana na bahati mashallah

  • @reginajohnmaghisa322
    @reginajohnmaghisa322 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nampa hongera Sana huyu binti, kujitegemea ni kuzuri Sana wakina mama.

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 4 หลายเดือนก่อน +3

    Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh dada yangu pole sana umepata shida sana mungu mwema

  • @hellenmwasalwiba6555
    @hellenmwasalwiba6555 4 หลายเดือนก่อน +3

    A very strong woman, may God continue to bless you.

  • @theresiamilanzi5907
    @theresiamilanzi5907 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera wajina mimi nnimependa unabidi ufuate moyo unachotaka

  • @betricemainoya4176
    @betricemainoya4176 4 หลายเดือนก่อน +6

    Nimempenda huyu dada yupo very understanding

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 4 หลายเดือนก่อน +17

    Da shena naitwa Fatma nipo turkey Kuna mambo nayaweka sawa Inshallah Natashea nawewe story maana Kuna yule dada alisema waturuki wanatesa mm nipo kinyume nayy ila mm nimeolewa ngoja niongee na Mr akiniruhusu nitakucheck.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  4 หลายเดือนก่อน +2

      Karibu sana dear

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 4 หลายเดือนก่อน +2

      Nakusubiriaa kwa hamu uje maana na admire sana utamaduni wao hasa chakula jamani natamani siku niende nikale chakula chao tu kisha nirudi vinaonekana vitamu sana😅 kuhusu kuolewa nao bado najitafakari labda mpaka nikishaona interview yako😅

    • @aminahashim6882
      @aminahashim6882 4 หลายเดือนก่อน +3

      Nasubiri maana naipenda sana iyo nchi sijui nitafikaje huko

    • @mmarycalvin6395
      @mmarycalvin6395 4 หลายเดือนก่อน +4

      Turkey is a good country. But you need to have a reason to be here in Turkey.

    • @OlipBeautyCorner
      @OlipBeautyCorner 4 หลายเดือนก่อน +1

      😅😅😅😅😅😅

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kumbe live Sikuwa nimechelewa sana,mahojiano yaneenda kwa kusikilizana kwa utaratibu mzuri hongereni kwa utulivu wenu.

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mambo warembo, nawapenda, naomba kama hupendi hiki kipindi acha kuliko kutukana sisi tunajifuza vingi sana , kuweni wasarabu msikometi vitu visivyo faaa pls wa tz wazangu.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  4 หลายเดือนก่อน

      Ni mtihani kweli, kuna watu wanachuki mpaka wanashangaza sijui hata wanafanya nini hapa..

  • @praisetashblessed7065
    @praisetashblessed7065 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mawaidha mema kabisa dada zangu.nimesoma mengi toka kwako mgeni wetu leo hongera na Mora akulinde dear na jamii yako.

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa kweli taf Lady mpole mazungumzo mazuri. Bonsoir madame
    Je Suis tres contant

  • @ruthkyambila397
    @ruthkyambila397 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana binti una "courage" sana nimeipenda story yako.Sina la kusema juu yako ila Mungu akupe maisha marefu ,Watoto na mumewe wako wa sasa

  • @miriethdjozep6556
    @miriethdjozep6556 4 หลายเดือนก่อน +3

    Im proud ov u terry 100%

  • @JaniferMichael
    @JaniferMichael 4 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo dada anaongea vizuri sana anaongea taratibu mpaka raha

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe sana mrembo hakika nimejifunza kitu,stay blessed shena ❤

  • @reneebill3742
    @reneebill3742 4 หลายเดือนก่อน +1

    Well done Terry, it's brave to share your story. I am super proud of you❤❤❤

    • @Terryhermajesty
      @Terryhermajesty 4 หลายเดือนก่อน +1

      Thanks darling 😘😘

  • @samsunggalax8258
    @samsunggalax8258 4 หลายเดือนก่อน +4

    Oh u are strong woman mami❤

  • @ESTHERKamala-qp7gi
    @ESTHERKamala-qp7gi 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ongera sana Teddy wambie wasikie watoto wetu uku wasikie

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 4 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana dada mwenyezi mungu akutangulie

  • @praisetashblessed7065
    @praisetashblessed7065 4 หลายเดือนก่อน +2

    Dada Terry asante sana kwa darasa la siku.ya leo.

  • @jacqulinemihayo3544
    @jacqulinemihayo3544 4 หลายเดือนก่อน +7

    Hutakiwi kukata tamaa,watu wazuri bado wapo😊kikubwa jua unataka nin?.Kuwa independent ni muhim sana kuwa na cha kwako.

  • @Selinawangusu
    @Selinawangusu 4 หลายเดือนก่อน +3

    My sister Terry 🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @Terryhermajesty
      @Terryhermajesty 4 หลายเดือนก่อน

      Hello darling ❤️❤️❤️❤️😘😘

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 4 หลายเดือนก่อน +5

    Huyo mtanzania alikuwa anaenda n'a kurudi sababu ni Mask a covert narcissist alikuwa has other supply /supplies huwa wako hivyo ,hongera ulikuwa n'a msimamo angekuumiza sana .

  • @flaziaisack4038
    @flaziaisack4038 4 หลายเดือนก่อน +4

    The lady is so composed.. nimemfurahia❤

  • @hellenelias8854
    @hellenelias8854 4 หลายเดือนก่อน +8

    Hapo ndo napowaheshimu wazungu,uhusiano utaisha ila kama watoto wapo watawajali hadi mwisho. kuna cha kujifunza kutoka kwao.

  • @hora8707
    @hora8707 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa story

  • @happystevemaganga1873
    @happystevemaganga1873 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nimempenda huyu dada Ana akili sana❤

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nimependa Sana huyu Dada

  • @DarKopo
    @DarKopo 4 หลายเดือนก่อน +3

    Nimekupenda ulikuwa na misimamo yako😊

  • @bugesimataso6478
    @bugesimataso6478 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yani suala la kujitegemea kiuchumi ni kitu cha muhimu sana ata kwa sisi ambao tuko nyumbani Tanzania.

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wazungu wenyewe wana kwenda Africa kuolewa na wanaishi vizuri tuu Tena vijijini
    Hata WA Masai

  • @immaculatakadyanji5927
    @immaculatakadyanji5927 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mahojiano mazuri sana.

  • @Selinawangusu
    @Selinawangusu 4 หลายเดือนก่อน +3

    Tupé nafasi Na sisi huku Sweden, tukupe expeariance yetu , itawasaidia watazamaji wengi

  • @user-zh9ny3bx4k
    @user-zh9ny3bx4k หลายเดือนก่อน

    We wanadamu wote ni sawa. Nilidet na black America guy guy ni uchungu mazee

  • @glorymrema9239
    @glorymrema9239 หลายเดือนก่อน

    GIVING UP IS NOT IN MY DICTIONARY, Nmeupenda huu msemo na nitatembea nao🤝🏼

  • @dominaferuzi3901
    @dominaferuzi3901 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wazungu wana maisha kama yetu tamaduni ndio zinatofauti
    Wazungu wana tabia zote tulizonazo watanzania zote mbaya na nzuri

    • @dominaferuzi3901
      @dominaferuzi3901 4 หลายเดือนก่อน

      Pia wadanganyifu na ubabaishaji kuna wanaobabaisha

  • @user-wf7oh9jr7v
    @user-wf7oh9jr7v 4 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana.

  • @user-iy1np9et3q
    @user-iy1np9et3q 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu dd kW kweri ananifurahish na mutaradibu

  • @amoskipruto5872
    @amoskipruto5872 4 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu dada ni mrembo sana

  • @benadethalupembe-cj7ot
    @benadethalupembe-cj7ot 10 วันที่ผ่านมา

    dada shena sipati video zako mpya

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nimekupenda sana unavyoongea na unajiamini saana, sio kama wengine yuko ulaya mwaka tuu hata kiswahili kuongea ni shiida!!!

    • @Judy-dy4zt
      @Judy-dy4zt 4 หลายเดือนก่อน

      Umehonae yuko vzr

  • @user-zh9ny3bx4k
    @user-zh9ny3bx4k หลายเดือนก่อน

    Dada nimependa msimamo wako. Wewe ni super woman

  • @LucyJoseph-pb4um
    @LucyJoseph-pb4um 3 หลายเดือนก่อน

    Safi ujumbe mzuri

  • @ednaednamillanzinia2826
    @ednaednamillanzinia2826 4 หลายเดือนก่อน

    Asante Shane kwa interviews motomoto

  • @annamallya8756
    @annamallya8756 3 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤

  • @halimamkuta5704
    @halimamkuta5704 4 หลายเดือนก่อน +4

    Terry ni super woman nmempenda naongea taratibu

  • @marykatunzi2613
    @marykatunzi2613 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera dada

  • @user-ku5so9sb2t
    @user-ku5so9sb2t หลายเดือนก่อน

    Naomba namb yako ddaa

  • @karthala6676
    @karthala6676 4 หลายเดือนก่อน +1

  • @LeilaMussa-sn8uz
    @LeilaMussa-sn8uz 3 หลายเดือนก่อน

    Dada ninejifunza mengi kupitia hii story hii but nahitaji ushauli nina mzungu ni from Germany tunamahusiano miaka mi 3 sasa lakini hana future yeyote simuelewi nishauli nifanye Nini

  • @samniza9015
    @samniza9015 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni mentality ya Huko Huko home. Malezi sijui!! I don't know, nimeondoka bongo nikiwa bado shule, nikafika hapa kuendelea na masomo na culture ya huku ni wote mnatafuta, wapo wenye pesa ambao wanataka uwe Mama wa nyumbani kama mahali popote pale duniani, but majority is we work and contribute .

  • @winniemyamba1630
    @winniemyamba1630 4 หลายเดือนก่อน +3

    Terry! Shoga etu miss you

    • @Terryhermajesty
      @Terryhermajesty 4 หลายเดือนก่อน +1

      😍😍😍 upo kumbe nawewe huku

    • @winniemyamba1630
      @winniemyamba1630 4 หลายเดือนก่อน +1

      Terry nazama DM umenikosha

    • @Terryhermajesty
      @Terryhermajesty 4 หลายเดือนก่อน

      @@winniemyamba1630sawa karibu

  • @JazilaSiraja-st8cu
    @JazilaSiraja-st8cu หลายเดือนก่อน

    Huyo anaetukana achana nae kuathirika kisaikology s jambo dogo😂😂

  • @jasminemussa
    @jasminemussa 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤terry

  • @agathathobias8690
    @agathathobias8690 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mahojiano yamependeza usikivi umetulia

  • @user-hu3tj8ju7z
    @user-hu3tj8ju7z 4 หลายเดือนก่อน +1

    I want to help someone but dont know how maybe you can advise??

    • @elingimiemakundi1229
      @elingimiemakundi1229 4 หลายเดือนก่อน

      Kindly check with me

    • @maishayetu6182
      @maishayetu6182 3 หลายเดือนก่อน +1

      What kind of help do you want to offer

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 หลายเดือนก่อน

    Hata mi hiyo ndoa ingenishinda
    Wazazi tena kuingilia mambo yenu sio issue

  • @AgripinaPaul
    @AgripinaPaul หลายเดือนก่อน

    Mtu anawezaje kudeti?

  • @user-zh9ny3bx4k
    @user-zh9ny3bx4k หลายเดือนก่อน

    Nilivumilia ikanishinda

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 4 หลายเดือนก่อน

    Wabaya sio woote na Wazuri wapoo
    Isolate. Tamaa

  • @flomenakamugisha
    @flomenakamugisha 4 หลายเดือนก่อน

    Shena naomba nielekeze namna ya kulipia kwenye app

  • @DoreenMwanga-dg7xp
    @DoreenMwanga-dg7xp 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani mtu anayetukana ajalazimishwa kuangalia mbona kuna vitu vingi vya kuangalia tuwe na adabu muda mwingine tuheshimu mda wa mtu

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  4 หลายเดือนก่อน +2

      Tena anaangalia mwanzo mwisho ili atoe matusi, Afya ya akili ni muhimu sana

    • @SalmaBinyaga
      @SalmaBinyaga 3 หลายเดือนก่อน

      Da shena achana nao hao

  • @karthala6676
    @karthala6676 4 หลายเดือนก่อน

    Watu wawache kufikiri mzungu anamapesa. Umaskini télé ulaya

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r 4 หลายเดือนก่อน

    Usikate tamaa na uhai bado upo

  • @maernov4257
    @maernov4257 3 หลายเดือนก่อน

    Dada nakupataje naitaji kuongea na ww nimependa kipindi chako

  • @chapter2719
    @chapter2719 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu dada nampongeza kuolewa na usingle Mama watoto watatu lakini kutuambia alikuwa anagari na kazi siamini maana hiyo nchi ni ngumu sana

    • @Terryhermajesty
      @Terryhermajesty 4 หลายเดือนก่อน +2

      Kwanini usiamini? Kila mtu Mungu amemuandalia maisha yake hatufanani. Asante kwa pongezi 🫶🫶

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  4 หลายเดือนก่อน +7

      Nchi zote ni ngumu kama huna documents na hujaamua kusoma lugha zao na taratibu zao.. Ugumu unaweza ukawa umeupata wewe na wengine wasipate 🤷‍♀️

  • @benjaminwabenga9068
    @benjaminwabenga9068 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kipindi kizuri sana.

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 4 หลายเดือนก่อน

    Huwezi pata mali ya mzungu , hujachuma nae , hasa hapa Belgium . Chuma chako 😅

  • @tinaminja5500
    @tinaminja5500 4 หลายเดือนก่อน +3

    How r uuu

    • @meshofatma1033
      @meshofatma1033 4 หลายเดือนก่อน +1

      Nimekukubali sana dada yan upo kama mimi

  • @user-hu3tj8ju7z
    @user-hu3tj8ju7z 4 หลายเดือนก่อน

    Dada Shena naomba number yako please.

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 3 หลายเดือนก่อน

    Ukisikia Mwanamke anawashauli wenzake wajitegemee,wasitegemee waume zao basi vua viatu,kimbia sana Shetani.
    Feminists like this 1 are the reason women break families.
    For selfish Happiness

  • @user-hu3tj8ju7z
    @user-hu3tj8ju7z 4 หลายเดือนก่อน

    Dada Shena naomba number yako please

  • @sellysang7504
    @sellysang7504 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hi beautiful people 💕 hi Shane I left a message for you in WhatsApp ❤❤❤❤🎉

  • @theresiamilanzi5907
    @theresiamilanzi5907 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba yako mimi ni ltaliy roma

  • @Keyjop
    @Keyjop 4 หลายเดือนก่อน +1

    @officialdatingasistance mbo kuipata hiyo app imekua ngumu saana ..naipataje?

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 2 หลายเดือนก่อน

      Ingia play store, dating app nyingi sn kazi ni kwako hakuna ugumu wowote

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nmekuja susikiliza yasonihusu😊😅😅😅 nna usingizi ila ntasikiliza tu😂

  • @user-go8nq7gi5k
    @user-go8nq7gi5k หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @hedayamohammed2781
    @hedayamohammed2781 4 หลายเดือนก่อน +2

  • @JacklineAlilah-bp3mp
    @JacklineAlilah-bp3mp 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @user-bx3fh1ze6i
    @user-bx3fh1ze6i 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤