INAUMIZA: AKOPEA NYUMBA YA JIRANI MIL 200 KWA HATI FEKI, DOGO AFIKA IKULU KUMLILIA RAIS “TUSAIDIENI”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 561

  • @EmmyNamoyo
    @EmmyNamoyo 12 วันที่ผ่านมา +52

    Dr Slaa ,Dr Slaa tafadhali muone huyu mtoto 🙏

    • @unjuusalvatory5331
      @unjuusalvatory5331 12 วันที่ผ่านมา +1

      Sio Dr. Slaa, ni Mheshimiwa Jerry Slaa, Dr slaa ni yule wa chadema

  • @ShamimuKanju
    @ShamimuKanju 2 วันที่ผ่านมา +9

    Dogo uko vzr Mwenyeezi Mungu akufanyie wepesi

  • @MasaiLaizer
    @MasaiLaizer 12 วันที่ผ่านมา +23

    Well done Doto Mungu akulindee Yaani uko very smart ungesoma zaidi ingekuwaje. Slaa do something. Yaani watu hawana utu kabisa siku hizii wizii tuu.well done Doto we pray for you

  • @chande2k250
    @chande2k250 12 วันที่ผ่านมา +25

    Allah atajalia KHERI mdogo WNG HAKI yenu itapatikana kikubwa DUA NA IBADA Kwa mwenyezi mungu kila JAMBO linawezekana na HAKI ya Mtu cku zote haipotei

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 12 วันที่ผ่านมา +98

    Sema dogo uko sawa kabisa japo una elimu ya kawaida pambana dogo mungu atakusaidia

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 11 วันที่ผ่านมา +8

      Mungu/MUNGU sio mungu

    • @ShkiruIsmail
      @ShkiruIsmail 11 วันที่ผ่านมา +3

      waziri slaa huwa ni mzito kupokea simu

    • @josephatjordan2150
      @josephatjordan2150 11 วันที่ผ่านมา +1

      Ni MUNGU

    • @joycemmassi5046
      @joycemmassi5046 11 วันที่ผ่านมา +1

      Daah jaman IGP, Waziri husika wasaidieni hii familia kabisa

    • @BinjiBouy
      @BinjiBouy 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@Zaburi-😂😊😊😊

  • @caesar7745
    @caesar7745 12 วันที่ผ่านมา +24

    Dogo anajielezea vizuri sana

  • @kamandashupavu206
    @kamandashupavu206 11 วันที่ผ่านมา +16

    Mtangazaji ingekuwa vyema ungetembea nayo hii ishu Ili tujue mwisho wake @millard ayo

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 12 วันที่ผ่านมา +20

    Kijana yuko vizuri, huyu angesoma angefika mbali...mwanasheria

    • @neemasalema1546
      @neemasalema1546 5 วันที่ผ่านมา +1

      Ila bado ana nafasi ya kusoma miaka kumi na tisa (19) bado ni mdogo

  • @jacksonwilson5772
    @jacksonwilson5772 12 วันที่ผ่านมา +64

    Huyu dogo ni class seven lakin akili yake ni zaid ya D mbili. MUNGU awatangulie tu maana hii dunia ina mazegere sana kwa kweli.

    • @eddynaeem6708
      @eddynaeem6708 11 วันที่ผ่านมา +2

      nyie benki wapumbavu nini kama kutapeliwa mumetapeliwa nyinyi musitafute kuwadhulumu maskini za mungu mimi niliokuwa si jaji basi najuwa sasa mtu kaweka dhamana kitu sio chake kwa njia ya udanganyifu enyie mutaingia motoni kwa ujinga

    • @GilbertNhigula
      @GilbertNhigula 5 วันที่ผ่านมา

      Du inasikitisha Sana !.

    • @matildamneney1102
      @matildamneney1102 5 วันที่ผ่านมา +1

      Mungu amsaidie huyu kijana

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 12 วันที่ผ่านมา +11

    Mh Jerry Slaa nakuomba msaidie huyu mtoto doto anapambana kwa ajili ya familia yake Allah akusimamieni kwa hilo

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 6 วันที่ผ่านมา +4

    Kijana anaonekana yupo makini sana,mbona hakuendelezwa kimamoso jamani😢😢😢😢namuombea baada ya haya yote aweze kurudi shule tena,he has a bright future,

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 12 วันที่ผ่านมา +11

    Kumfikia waziri Dr jerry silaa ndio mtihani Millard angemsaidia kumuonbea kwa waziri wampokee doto akifika haki atapata sila Hana unafiki

  • @user-uo8xw9kr4b
    @user-uo8xw9kr4b 12 วันที่ผ่านมา +22

    Wakat wanamkopesha hawakumtaarifu washampa pesa ndio wanampigia mweny nyumba si nikichekesho hicho.

    • @wamburasungura6812
      @wamburasungura6812 10 วันที่ผ่านมา +1

      Ila ukisikiliza sana hii stori utaona mke Wa marehemu anaonekana alikuwa na mahusiano na mkopaji na ndiyo maana alipata sababu za kugushi hati ila pia wakopeshaji walihusika sana
      Ila mama mwenye Nyumba anaonekana ana mahusiano na muhusika

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 7 วันที่ผ่านมา

      Ikiwa umemsikiliza kwa makini Huyu mjukuu usingefikiri kama hivi,ameeleza wazi walikuwa karibu sana tôkea enzi za babu Yake hajafariki,usisahau watanzania Wana desturi ya kumuamini MTU haraka Sana na kuonyesha nyaraka mhuhimu kwenye maisha Yao binafsi.

  • @chiniyamuti
    @chiniyamuti 11 วันที่ผ่านมา +7

    I like this kind of interview, the journalist just guide the other guy to explain his case and not try to outshine the guy.

  • @kadijaa7771
    @kadijaa7771 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Usilie brother munataisimamia haki haki ya mtu haizami utafaulu tuu kikubwa pambana na ww ninmwanasheria mzuri sana uae weza elezea kitu mtu akaelewa pole ina uma na ww bado mdogo sana hili jambo nila wakubwa lkn mungu kakuchaguq ww usimamie in sha Allah utafaulu raisi samia suluhu na waziri wa aridhi mumuone huyu kijana tafadhali na ushauri pia kwa familia sithakabadhi za nyumba original zihifadhiwe vyema na zisitolewe kupewa mtu kiholela mungu akulinde popote uendapo kaka na munakutqngulie upate haki yenu kwa uwezo wawenyezi mungu amiin nawapenda wenzetu watanzania from Kenya

  • @aishabagayo616
    @aishabagayo616 2 วันที่ผ่านมา +4

    Mh. Jerry Slaa, Tunaomba huyu mtt apatiwe msaada jamani! Mungu amlinde, he is very brave.

  • @ireneboniventure7434
    @ireneboniventure7434 12 วันที่ผ่านมา +20

    Jamani huyu mtoto ana akili sanaa

    • @annaurassa7082
      @annaurassa7082 5 วันที่ผ่านมา +3

      Elimu haina mwisho maombi yangu huyu mtoto aendelezwe kielimu

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 12 วันที่ผ่านมา +14

    Angekuwa Makonda angelitatua kwa uharaka maana mkuu wa mkoa wa hapa amelala

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 7 วันที่ผ่านมา

      Yupo busy na madada poa kesi yake itafatiliwa

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 6 วันที่ผ่านมา +2

    Mmmmh makubwa,Mwenyezi Mungu mtie nguvu

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 วันที่ผ่านมา +1

    Investigative journalism inatakiwa yaani case mwanahabari unaifuatili mpaka mwisho wake ndio inakuwa na utamu. Huyu dogo akasomee uanasheria. Mwanahabari nawe uko vizuri.

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 12 วันที่ผ่านมา +45

    Sasa km Rais ameiona barua kwanini Asingepiga cm Kwa wazuri wake jamani daaaaah wanyonge wanakosaga haki zao sana

    • @user-nb2jw4km6f
      @user-nb2jw4km6f 12 วันที่ผ่านมา +3

      Yani nimemuonea huruma pesa wamekula wengine nyumba yaoiuzwe

    • @jumaally4263
      @jumaally4263 11 วันที่ผ่านมา

      Wanyonge tutanyongwa sana. Waziri kwaninj asipigiwe cm. Inarudishwa barua

    • @joycemmassi5046
      @joycemmassi5046 11 วันที่ผ่านมา

      Jaman Rais Samia naye anachoka Sasa uko wapi muhimu wa wasaidizi anaowachagua?? Yaan hao wote Barua zilikopita wafukuzwe kazi tu hawafai hata kidogo ni sababu huyu kijana hana Watu wakubwa nyuma yake hata simu

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 10 วันที่ผ่านมา +4

      Una hakika aliiona? Kuna panga pangua nyngi zimetokea miezi miwili katika jumba jeupe miezi hii miwili

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 7 วันที่ผ่านมา

      Utaratibu nahisi

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 11 วันที่ผ่านมา +5

    Dogo kichwani yupo very smart ❤

  • @florenciamassawe4925
    @florenciamassawe4925 10 วันที่ผ่านมา +5

    Eee Mwenyezi Mungu weka wepesi katika jambo hili ili haki ya hii familia ipatikane.

  • @lucypatrick7830
    @lucypatrick7830 11 วันที่ผ่านมา +7

    Dr slaa tunakuamini wananchi, huna upendeleo, nina imani ushamsikia huyu mtoto😊

  • @aliciamwalimu582
    @aliciamwalimu582 12 วันที่ผ่านมา +16

    Apewe ulinzi pia watampoteza soon

    • @Ally-dc5tz
      @Ally-dc5tz 2 วันที่ผ่านมา

      kweli kabisa

  • @user-hl6bg9zz8u
    @user-hl6bg9zz8u 12 วันที่ผ่านมา +10

    Na ukifatilia inaweza kugundulika muhalifu ni mfanyakazi au alikuwa mfanya kazi wa serikali!!! Hii ndiyo Tanzania yetu😢

    • @allymsafi1716
      @allymsafi1716 11 วันที่ผ่านมา

      Baba yake mstaafu wa ikulu na ndugu yake anafanya kazi ikulu mpakq sasa changamoto kwa dogo watu wana ikimbia hyo kesi

  • @zabibubashiri3034
    @zabibubashiri3034 12 วันที่ผ่านมา +25

    Nimekupenda sana kaka kijana wa class 7 education kweli yuko hivi lakini kuna kijana wa elim ya Chuo hamfikii huyu kijana perfect

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 12 วันที่ผ่านมา +2

      Usiende Mbali.. Umemuna/umemsikia yule kijana aliejiita Wakili/ Mwanasheria aliesoma barua mbele ya RC Makonda. Yaan kijana aliyakanyaka...Aibu. Kusema kweli hyu Doto Amebarikiwa.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 12 วันที่ผ่านมา +1

      haswaaa...yaani huyu serikiali ingempelekea shule kitdogo tuu angekuwa msaada baada ya haya kumtokea

    • @eliezasamwel4891
      @eliezasamwel4891 12 วันที่ผ่านมา +2

      We @femidahaya4882 huwezi amini yule kijana aliyejiita wakili ndio ukoo mzima tunamtegemea kwa mambo yote ya kisheria tangu enzi za ukoloni amekuwa msaada sana🤔

    • @aliciamwalimu582
      @aliciamwalimu582 12 วันที่ผ่านมา +1

      Hata mie jmn naic nisingeweza kujieleza hivyo,mama ampe tu kitengo huyo

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 12 วันที่ผ่านมา

      @@eliezasamwel4891Karne ya Ngapi Mulianza kumtumia😃

  • @floralyimo4159
    @floralyimo4159 10 วันที่ผ่านมา +9

    MNGETUONYESHA NA NYUMBA “ POLENI SANA MH RAIS ATAKUSAIDIA USILIE MDOGO WETU NA UNAVYO ONEKANA UNA STRESS HADI UMEZEEKA KABLA YA UMRI WAKO
    BE BLESSED 🙏🏾

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 7 วันที่ผ่านมา

      Nina uhakika ww ni mwanamke uloandika hii comment 😂❤

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 6 วันที่ผ่านมา

      Tena ni mchaga Mmachame anataka kujua thamani ya Nyumba akili yote ni kwenye mali. We Nyumba haikuhusu ionyeshwe itakusaidia nini? Amezeeka kwa akili Mbovu unatamani atoe nomber za simu umtafute kwa mali za urithi. Mdangali mkubwa.

    • @monalisaally4387
      @monalisaally4387 6 วันที่ผ่านมา

      ​@@MrishoMindu-zq7mzhapo kwa wamachame 😂😂😂

    • @aishahamis1609
      @aishahamis1609 2 วันที่ผ่านมา

      Usimwambie mtoto wa mwenzio amezeeka kwa stress Mungu ndie muumba wa yote kama umejaaliwa baby face mshukuru Mungu na sio kukufuru hujafa hujaumbika usimuonyeshee kidole binadam mwenzio na kumuhukumu hata akikuonyesha hiyo picha ya nyumba utamsaidia nini ? Kapuku wewe chunga kauli zako

  • @AngelaAndrew-rf1ho
    @AngelaAndrew-rf1ho 5 วันที่ผ่านมา +2

    Pole mama Samia. Una kazi ku bwa na hawa watendaji. Wameamua kushiba na kutojali chochote .Mungu akuzidishie hekima mama

  • @RajabuDangi-qv2uo
    @RajabuDangi-qv2uo 12 วันที่ผ่านมา +19

    Hapo dogo pambana mungu atasaidia

  • @jaydendady2399
    @jaydendady2399 12 วันที่ผ่านมา +29

    Mhe.Jerry Slaa tenda haki kwa hawa Watanzania

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 3 วันที่ผ่านมา +2

    Pole MTT Mungu atakusaidia

  • @fattymusa4857
    @fattymusa4857 4 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera kijana ( uko vizuri). Mungu ndiye mwamuzi. Utashinda.

  • @PhilipoMwasha
    @PhilipoMwasha 12 วันที่ผ่านมา +7

    Mtu anamtafuta mtuhumiwa aliegushi alafu unamwambia mlalamikaji atoe pesa milioni Moja na nusu za Nini na igp tupo na anasikia vijana wake,mi nasema kila jeshi la polisi Hamna kitu😊

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 12 วันที่ผ่านมา +20

    Kijana la 7 ila anaakili mingi

  • @musakasingo594
    @musakasingo594 12 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu kijana atashinda tuu,yaan Mungu ni mkuu, jipe moyo mkuu,ushindi upo

  • @dinnaemily2727
    @dinnaemily2727 10 วันที่ผ่านมา +2

    Aksante kaka mtangazaji Mungu akutunze

  • @siashayo8676
    @siashayo8676 12 วันที่ผ่านมา +7

    Mshauri kwanza wakate rufaa ili benki wasiuze nyumba. Then waendelee kupambana kwa kutumia silaha zote. Kuna tatizo kwenye hiyo hukumu km kweli Bibi hakusaini mahali popote. Unless kile alichosaini siku ameitwa benki ndiyo ilikuwa kutoa ridhaa hati yake itumike

    • @josephmwabange9633
      @josephmwabange9633 6 วันที่ผ่านมา

      Inaweza kuwa , na hata hivyo ni utapeli tu na utagundikika , maana huwezi chukua advantage kwa kutoelewa kwa mtu .

  • @mpjackson9543
    @mpjackson9543 12 วันที่ผ่านมา +6

    HAKIMU ALIE TOA HUKUMU HANA SIFA YAKUWA HAKIMU HAUWEZI TOA HUKUMU NAKUWAPA UMILIKI BANK NYUMBA ILI HALI KUNA UHAKIKA WA KUGHUSHI NYARAKA ,"PAUL MAKONDA UKO WAPI BABA WEWE NDIE MSAADA WA TAIFA HILI .

    • @noahchepe8036
      @noahchepe8036 5 วันที่ผ่านมา

      makonda ni mtu wa maauzi ya fasta harembi. Ila Sasa yey tayari ni mkuu wa mkoa Arusha. Angekua dar uenda angemsaidiaa

  • @eckreygelard7791
    @eckreygelard7791 12 วันที่ผ่านมา +1

    Very painful 😢, dogo usikate tamaa viongozi wamesikia. You are very smart l can't imagine. Waziri Mh. Slaa fanya jambo haraka kabla Nyumba haijauzwa.

  • @bilid4128
    @bilid4128 12 วันที่ผ่านมา +8

    😂😂mtuhumiwa ananuka akajisaidie

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 12 วันที่ผ่านมา +3

      Huo ulikua mchongo wa Police😅😅😅

  • @afraeliazaelayo
    @afraeliazaelayo 12 วันที่ผ่านมา +5

    Pole sana mjukuu. Maelezo yako kama ni ya kweli, Mungu Atatenda. Kwa Uongozi wa Nchi yetu tulionao kwa wakati huu haki yenu mtaipata. Hii Nchi yetu inasimamia Sheria na Haki kwa sasa
    Mungu Watangulie.

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 12 วันที่ผ่านมา +3

    Polensn umejua kujieleza vzr mungu yupo

  • @glorykastai3996
    @glorykastai3996 12 วันที่ผ่านมา +8

    Kwani hao watu wananini hadi washindikane kwenye vyombo vya sheria au ndio yule aliyesemaga ameiweka serikali mfukoni mwalimu Nyerere akamtimua, shida watu wengi wanasoma si kwaajili ya kuisaidia jamii yao ni kwaajili ya masilahi yao binafsi ndio maana haki inapindishwa

  • @donaldmpagaze9803
    @donaldmpagaze9803 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu awaguse viongozi wetu watende haki kwa hii familia kwasababu wao wapo kutuhudumia sisi wanyonge mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe Mungu awabariki viongozi wetu waihukumu kesi hii kwa haki Aaamina

  • @user-sb7lz9xp4v
    @user-sb7lz9xp4v 11 วันที่ผ่านมา +2

    Aisee mtoto ana akili huyuuu dah❤❤❤

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj 12 วันที่ผ่านมา +11

    😢😢😢yamenikuta mie hayo kakaangu kakopea mkopo nyumba yangu bila mie kujua nawauliza bank alikuja.anakigezo gani kukopea pesa wapo kimya inaumiza sana nyaraka nazo mimi.yani bank haitabiriki

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 12 วันที่ผ่านมา +2

      Sasa mbona hiyo sio kesi ukimtafuta wakili

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 12 วันที่ผ่านมา +1

      Hamna kesi hapo

    • @user-xl4io3or7r
      @user-xl4io3or7r 11 วันที่ผ่านมา

      We tulia huo utajiri. Wakiuza nyumba yako tu Kama taarifa za hati zinakusoma wewe Basi benki wanalo. Watakulipa mihela na nyumba utabaki nayo. Tulia

    • @jostamzxkaole3113
      @jostamzxkaole3113 วันที่ผ่านมา

      Aimple iyo:: bank wabakua wamekula shoti..kakaako anaenderea kuagiza chipx adi atakapo kamatwa..

  • @stevenmulenda4545
    @stevenmulenda4545 12 วันที่ผ่านมา +5

    Pia ITU ng we she ria ya kuwanyoosha mahakim wanaoonekana Sana viashiria cya rushwa Mao washitakiwe wakitoa hukumu kinyume na maadili Mara 2 Pia Nata wat u Wa ardhi kamishna na bwana ardhi na wenyeviti Wa mitaa wanaohusika na kusimamia na kuuza wore washitakiwe na adhabu I we Kali kuanzia fa in I mi 5 na kuendelea ah kifungo kuanzia miaka 3 hadi 10 kea Hi yo wabunge watunge sheria

  • @aliciamwalimu582
    @aliciamwalimu582 12 วันที่ผ่านมา +5

    Duuu kijana yuko vzr sana ana content

  • @njuka3515
    @njuka3515 12 วันที่ผ่านมา +4

    Tunaomba Sana Sheria mmusaidie huyu kijana jamani

  • @CraudiaKing
    @CraudiaKing 46 นาทีที่ผ่านมา

    Dogo uko vizr mungu atakusaidia haki yenu itapatikana

  • @PatrickMathew-lq9fj
    @PatrickMathew-lq9fj 12 วันที่ผ่านมา +4

    Dah inauma sanaa kuna haki zinapotea

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 7 วันที่ผ่านมา +1

    Haki siku zote inasimama In Shaa Allah haki yk itapatikana ila kuna mchezo apo na mzee wake uyo alie foji nyaraka na yy anahusika na uyo anaefanya kazi Ikulu na yy anahusika kwa kuipija calender hii kesi

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 11 วันที่ผ่านมา +7

    Polisi vipi waombe pesa yote hiyo, kwenda kumkamata muhalifu?
    Polisi haina pesa?

    • @MatildeBjelland
      @MatildeBjelland 11 วันที่ผ่านมา

      Wanatoa wap?

    • @abdull_hafidh
      @abdull_hafidh 11 วันที่ผ่านมา

      Dah!!! Inauma sana mnatoa pesa na mhalifu amekumbia dah Hii nchi kuna namna ya kumpa makonda

    • @lwagamwakalinga8038
      @lwagamwakalinga8038 8 วันที่ผ่านมา

      Hahaaaaa kwani wewe ni mgeni Jerusalem hii !

  • @user-ny2fu8bu2u
    @user-ny2fu8bu2u วันที่ผ่านมา

    Pole sana usiliye mtoto mungu yopo aþàkusaiďiya

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 11 วันที่ผ่านมา +3

    Dogo usiogope Mungu ameshakuona muda sii mrefu waziri silaa mpenda haki namtetezi Wawa nyonge atakufikia soon

  • @user-sp4jr4vw6t
    @user-sp4jr4vw6t 12 วันที่ผ่านมา +4

    Hongera mtoto unaongea vzr jamani una akili jamani asaidiwe

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 12 วันที่ผ่านมา +4

    Jamani jamani ni kweli movie kweli watu unyama gani ni ujambazi mavho macho Rais wasaidia kweli Waziri Ardhi wasaidia hii hatari sana sana

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 3 วันที่ผ่านมา +1

    MTT Mzr anaakili nimeipenda sana Mungu amfungulie njia pasipo nanjia

  • @NamiriNamiri-oz4xs
    @NamiriNamiri-oz4xs 2 วันที่ผ่านมา +1

    Naomba kuuliza Huyo mtu Alieghushi kaipatia wapi hiyo Hati??

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 12 วันที่ผ่านมา +13

    Dogo umeshinda hiyo kesi hao benk ni wangese sana WAZIRI SLAA NAKUPA KAZI KWA KODI YANGU NAYOLIPA ILI UPATE MSHAHARA MALIZA KESI YA DOGO HLF MUMTAFUTIE KAZI YA KUFANYA DOGO ANA DEGREE YA MITAANI

    • @user-sv3sv4xd1q
      @user-sv3sv4xd1q 12 วันที่ผ่านมา

      Kwa kweli very Smart anajuwa kujieleza angesoma angefika mbali sana

    • @maymunamakungu6265
      @maymunamakungu6265 วันที่ผ่านมา

      Kwa kweli

  • @graceshikulu4139
    @graceshikulu4139 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mungu tusaidie

  • @user-jj3tq1rh4p
    @user-jj3tq1rh4p 12 วันที่ผ่านมา +3

    daa jamani hapa haki ya wanyonge iko wapi mungu

  • @simonjoshua1233
    @simonjoshua1233 12 วันที่ผ่านมา +4

    Watu ni wanyang'anyi wa Mali za watu tena bila hata kumwogopa mungu duuh hii dunia mungu atutetee

    • @boscomwangosi1042
      @boscomwangosi1042 11 วันที่ผ่านมา

      Yaan nduguyangu huyu mtu utakua anasali anaenda kanisani au msikitini.

  • @ramakira7895
    @ramakira7895 12 วันที่ผ่านมา

    Daa inaumiza sana mm ninaiman kubwa sana na wazir nimtu mnyenyekevu sana kwahil sinahofu na atalimaliza na wote mtashangaa🙏🙏🙏

  • @RajabuDangi-qv2uo
    @RajabuDangi-qv2uo 12 วันที่ผ่านมา +6

    Mmmh hii kiboko

  • @user-ke9bg1dm9c
    @user-ke9bg1dm9c 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jamani Doto upo vizuri, Haki itendeke jamani

  • @StellaGrace-hx8kz
    @StellaGrace-hx8kz 3 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema haki yenu itapatikana tu

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 6 วันที่ผ่านมา +1

    Kateni rufaa ili mlinde nyumba yenu wakati mengine yanaendelea
    Kateni rufaa please ndugu zangu nina amini haki yako itabakia kuwa ni yako japo itachelewa
    Mungu atasimama nanyi kwa kila kitu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @user-eu1wq8bn9y
    @user-eu1wq8bn9y 12 วันที่ผ่านมา +3

    Muheshimiwa😢😢slaa

  • @IsmailChengula
    @IsmailChengula 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akusimamie mwanangu

  • @christopherrunji5575
    @christopherrunji5575 12 วันที่ผ่านมา +10

    Dogo ana akiri kuliko chawa mweusi

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 12 วันที่ผ่านมา +3

    Waziri wa ardhi akiona hii matapeli wamekwisha

  • @isaacjosephjoseph2733
    @isaacjosephjoseph2733 12 วันที่ผ่านมา +7

    Yaani ukweli huwa naumia mno mimi kwa mambo haya yanayoemdelea hapa nchini kwangu. Mtoto mdogo anahangaika namna hii miaka yote kweli!! Ningekuwa rais aisee kunabaadhi ya watu wangejuta.😢

  • @zitongwang6278
    @zitongwang6278 4 วันที่ผ่านมา

    Mungu asimame UPANDE wenu Doto mdogo wangu na mpate msaada 🙏🙏🙏🙏

  • @eliambowe2576
    @eliambowe2576 12 วันที่ผ่านมา +2

    dogo anamiaka 19 lakini elimu ya chuo kikuu na experience yakutosha😊

  • @neemansasu9761
    @neemansasu9761 10 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa maelezo tu wanashindwa kutenda haki kwa kuwa ndugu wako Ikulu

  • @user-dq1vo6kv9q
    @user-dq1vo6kv9q 8 วันที่ผ่านมา +1

    Dogo yuko smart sanasana mnooooooo

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 12 วันที่ผ่านมา +2

    Kijana anajua kujieleza kweli yaani. n mtangazaji anauliza vizuri ili asituache. ila atujajua umri wa Mkwabi mtuhumiwa

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 11 วันที่ผ่านมา +1

    Hongela sana dogo unaongea umenyooka vizuri sana.....

    • @soloartist_ivanvespalusind1609
      @soloartist_ivanvespalusind1609 7 วันที่ผ่านมา

      Imagine kuna wengi wana stuation kama hiyo lakini hawana mtu wa kuwasemea au kuwapambania kama huyu dogo

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 12 วันที่ผ่านมา +6

    Ndio yale Rais alisema wakuu wa mkoa wakali ata kesi za mahakamani wanaziingilia sasa kama kesi hii kweli wakuu wa mikoa walikalie Kimya mahakama ndio chanzo

    • @smartboytz4724
      @smartboytz4724 12 วันที่ผ่านมา +2

      Rais nae ni moja wao

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu anatusaidia ,tusihofu kuhusu system za duniani

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 12 วันที่ผ่านมา

    mtangazaji very sharp!!!!

  • @user-sg6lc4te4o
    @user-sg6lc4te4o วันที่ผ่านมา

    Uko wapi makonda jamani angeshapata haki chap😭😭😭😭😭

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    mungu akutete haki yako haitapotea
    t

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 11 วันที่ผ่านมา +8

    Hii nchi apewe tu makonda angelikua ameshalitatua hili

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 7 วันที่ผ่านมา +1

      Mhhh makonda anatatua anacho kipanga yy sio unachosema ww

  • @consomaslani7522
    @consomaslani7522 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Inauma sana 😢

  • @aishahamis1609
    @aishahamis1609 2 วันที่ผ่านมา

    Mungu akusimamie doto ukovizuri smat boy haki na Jasho lamtu halipotei bure Hata mbele ya haki itakutwa Allah akusimamie mdogo wangu

  • @nurumwangoka5924
    @nurumwangoka5924 12 วันที่ผ่านมา +11

    Huyu mtoto aende shule hata akisoma Qt atatoboa ili baadae awe kiongozi

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 12 วันที่ผ่านมา +2

      yes ni QT hata mie nimesema hivo kabisa...wampeleke shule akija kuwa kiongozi atafanya wema maana kapitishwa kwny kitu kizito mnoo

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 7 วันที่ผ่านมา

      Kaka nchi hii bila connection huwezi pata uongozi,,,

    • @amosstimamaroba1054
      @amosstimamaroba1054 6 วันที่ผ่านมา

      Kwwni shule Kuna nn huko?

  • @SophiaMnzava
    @SophiaMnzava 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema haki itapatikana? Mh Silaha yupo vizuri sana niliona Tanga kwa rajiri wa mabas lmeishaa hiyoooo ?

  • @aishamwalimu4816
    @aishamwalimu4816 2 วันที่ผ่านมา

    Dah inauma xana mama samia sikiriza kilio iki

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 12 วันที่ผ่านมา +2

    Kijana nenda mpaka TBC1 na ITV,Kwa vile umesema umesema wana ndugu yake IKULU wanashilikiana

  • @YakoboDaudi-hp2mt
    @YakoboDaudi-hp2mt วันที่ผ่านมา

    Millard ayo, nami Nina changamoto nisaidieni kunipazia saut! Nimekosa tu namba zenu kuwapigia!

  • @estherlemburismollel5901
    @estherlemburismollel5901 12 วันที่ผ่านมา +2

    Mh. Dr Jerry Silaa nakuamini sana, chonde chonde msaidie kijana na bibi yake wapate haki, Mungu atakubariki zaidi

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 11 วันที่ผ่านมา +2

    Mhhh huyu dogo kiboko 😊

    • @aryanamendes8700
      @aryanamendes8700 5 วันที่ผ่านมา

      Ila marafiki nazidi kuogopa Mimi ni hatari mno😢😢

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 12 วันที่ผ่านมา +4

    Elimu ya la saba inatosha kabsaaa... Hongera mnooo dogo

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 10 วันที่ผ่านมา

      Kina mbunge msukuma hawa

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 12 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu dogo yupo vzr sana na Elimu yake na standard Seven

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mlindeni huyo mtoto wasiojulikana wasijekumtekatu maana hi Tz sikuhizi.wauwajiwengi. ....Allah akulinde kijanawetu. Yarabi mpewepesi huyokijana. Amyn

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi5046 11 วันที่ผ่านมา +1

    Yaan hata mkuu wa mkoa anaweza hili swala hapa ndio naona umuhimu wa Makonda Paul wa Arusha anafanya kazi kubwa za wananchi na Mahakama acha tu Mungu AKUBARIKI Makonda UTALIPWA na Mungu usipozimia moyo angalia hili huku Dar huyu kijana hakutakiwa kufika Kwa RAIS yaan alitakiwa police na mahakama wamalize hili swala tu!!!

  • @user-cs2ud6id9e
    @user-cs2ud6id9e 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu wa mbiguni,hakimu wa haki peleka mtu mbele yake mwenye nguvu amtee huyu mtoto 😢😢