VUNJA BEI AMWAGA MACHOZI MBELE YA WAZIRI MKUU, WANACHO KIFANYA TRA SIO SAWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 48

  • @emmanueldavid9506
    @emmanueldavid9506 3 หลายเดือนก่อน +10

    Embu mpeni ajira Vunja bei awasadie anaakili kubwa sana

  • @ibrahimpilla2731
    @ibrahimpilla2731 ปีที่แล้ว +12

    Nmesoma na vunjabei advance alipiga ONE,huyu jamaa ana akili sana

    • @CHRISTINAMAGASI
      @CHRISTINAMAGASI 7 หลายเดือนก่อน

      😂ww ulipata nn jmn

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 3 หลายเดือนก่อน

      Yeye alipata zero

    • @adamnguvu1020
      @adamnguvu1020 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kupiga one sio tatzo unaweza kupga one naukashindwa concept

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 9 หลายเดือนก่อน +5

    Wewe sasa tunakupandisha cheo wewe ni rais wa wafanya biashara 😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @vicenttarimo2203
    @vicenttarimo2203 3 หลายเดือนก่อน +3

    Sikujua kama Kuna wafanyabiara wenye akili hivi kumbe baadhi wanawashinda hata walioko madarakani.

  • @JumaMarwa-hc9te
    @JumaMarwa-hc9te 2 หลายเดือนก่อน +2

    𝐾𝑎𝑘𝑎 𝑢𝑙𝑖𝑜𝑛𝑔𝑒𝑎 𝑘𝑎𝑚𝑎 ℎ𝑎𝑢𝑘𝑢𝑒𝑙𝑒𝑤𝑒𝑘𝑎 😂😂😂

  • @annabadru2352
    @annabadru2352 ปีที่แล้ว +7

    Vunjabei uko vzr sana mno Yani weweee kichwa honey

  • @kianda973
    @kianda973 ปีที่แล้ว +8

    Huyu jamaa ni mwamba

  • @Voxmediatz
    @Voxmediatz 2 หลายเดือนก่อน +2

    Aliyesoma kasoma

  • @willisonTheonest
    @willisonTheonest 3 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana nchi ikiwa na vijana kama awa kitaeleweka

  • @nasibukajenga8443
    @nasibukajenga8443 2 หลายเดือนก่อน +1

    Namjua huuuu mwambaa kapigaga one pale chuo

  • @IssaPagali
    @IssaPagali ปีที่แล้ว +2

    Kama unaakili timamu na umekamilika Kila idara utaona tunakoelekea mm naonea huruma vijana na watoto ambao bado Wana umri mwingi wa kuishi kazi ipo ili kusafisha haya yote ni ngumu mizizi hii kuitoa inaitaji lawama na cdhani kama atakaeitoa hiyo mizizi atakaa wapi kwa usalama wake kazi ipo

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 9 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani wewe fred ni mwamba yaani unafunguka vitu vya maana havina hata vairas ya kisiasa hongera fred😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @happymasha4318
    @happymasha4318 หลายเดือนก่อน

    elimu ya kodi iwekwe kwenye silabasi za shule ili kila mtoto aweze kusoma na kuelewa kuliko kusoma mambo ya watu yakikoloni

  • @brianlaroya8185
    @brianlaroya8185 ปีที่แล้ว +2

    Eti vunja bei kamwaga machozi, andika habari ya kweli watu wataangalia tu

  • @roberttarimo3957
    @roberttarimo3957 3 หลายเดือนก่อน +4

    Uko vizuri bro unaweza kutetea wanyonge safi sana

  • @yohanasimoni
    @yohanasimoni หลายเดือนก่อน

    Waziri anapata madini toka kwa vunja bei

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 ปีที่แล้ว +3

    Vunja bei unaongea pointi sana .hongela kaka.wazili mkuu wafanyabiashala wako wanateseka sana.tla hapana

  • @Fefetubes
    @Fefetubes ปีที่แล้ว +3

    Jamaa anaakili hadi anaakili tena

  • @hurumalunda2490
    @hurumalunda2490 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safii,,na umachinga wa wawekezaji wa kigeni kuharibu mzunguko

  • @SebastianJohnkontable
    @SebastianJohnkontable 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wasomi wamechili kinoma

  • @sabrinayahaya952
    @sabrinayahaya952 ปีที่แล้ว +2

    Bado utasikia watu kidumu chama cha mapinduzi😂😂😂

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nilikuwa naye pale chuo hyo jamaa,anafaa kuwa mwenyekiti wa wafanyabiashara safi vunja bei

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 หลายเดือนก่อน +1

    mamalamikoa kila siku na serikali haiskii..jmni kwa kweli sio haki kabisa

  • @yohanasimoni
    @yohanasimoni หลายเดือนก่อน

    Vunja bei awe mbunge

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 ปีที่แล้ว +1

    C .TRA tu idara zote zimeoza hakuna hata sehem yenyenafuu viongozi tembeleeni kwenye vitengo mjionee wenyewe

  • @mwarikimwariki2653
    @mwarikimwariki2653 ปีที่แล้ว +8

    Safi sana vunja bei,.
    Concepts nzuri sana

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv ปีที่แล้ว +2

    Vunja beiukosawa nduguyetuu

  • @JosephHewan-qb1uq
    @JosephHewan-qb1uq 3 หลายเดือนก่อน +1

    binamu humeongea vizurisana 🎉❤

  • @BetresChambo-uv4qb
    @BetresChambo-uv4qb 2 หลายเดือนก่อน

    TRA MCHUKUENI VUNJA BEI AWAPE MAARIFA YA ULIPAJI WA KODI NA KUTOFAUTISHA WAFANYABISHARA WAKUBWA NA WADOGO NA MACHINGA WENYE MTAJI WA CHINI YA M.3

  • @JacksonMwinga
    @JacksonMwinga 3 หลายเดือนก่อน +1

    Saf sana

  • @TeamKRX
    @TeamKRX ปีที่แล้ว +1

    Wa Tanzania hongereni wakenya munatuona sasa mumetuelimisha sasa watakoma sasa wanaotunyanyasa

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 ปีที่แล้ว +2

    Kweli elimu ya kulipa kodi ni muhimu kila upande ujitetee kisheria

  • @akberyuda5950
    @akberyuda5950 ปีที่แล้ว +2

    VUNJA BEI KICHWA SANA

  • @joisejimmy750
    @joisejimmy750 ปีที่แล้ว +1

    Mwiguru aende burundi

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 ปีที่แล้ว +1

    Alama ya Kengerre

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 ปีที่แล้ว +1

    Mwanzo wa ngoma ni --- - -

  • @BoniphasLukas
    @BoniphasLukas 3 หลายเดือนก่อน +2

    Chalamila lipo tu linasikiliza naujinga wake

    • @RoseKaiza-g2j
      @RoseKaiza-g2j 3 หลายเดือนก่อน

      Hadi nimecheka tena lipo tu limetumbua mimacho hapo haelewi chochote!

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 3 หลายเดือนก่อน

      Linashangaa shanhaa tu. Sup umemshuka kutokea maneno take.

  • @ramsonmpulule6264
    @ramsonmpulule6264 8 หลายเดือนก่อน

    Kichwa xana

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald4277 3 หลายเดือนก่อน

    Mh

  • @SamwelMsovela-nn8ci
    @SamwelMsovela-nn8ci 2 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 ปีที่แล้ว

    👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 ปีที่แล้ว

    Ccm nnchi imewashinda waondoke

  • @Fefetubes
    @Fefetubes ปีที่แล้ว

    Genius