Kama unaakili timamu na umekamilika Kila idara utaona tunakoelekea mm naonea huruma vijana na watoto ambao bado Wana umri mwingi wa kuishi kazi ipo ili kusafisha haya yote ni ngumu mizizi hii kuitoa inaitaji lawama na cdhani kama atakaeitoa hiyo mizizi atakaa wapi kwa usalama wake kazi ipo
Embu mpeni ajira Vunja bei awasadie anaakili kubwa sana
Nmesoma na vunjabei advance alipiga ONE,huyu jamaa ana akili sana
😂ww ulipata nn jmn
Yeye alipata zero
Kupiga one sio tatzo unaweza kupga one naukashindwa concept
Wewe sasa tunakupandisha cheo wewe ni rais wa wafanya biashara 😅😅😅😅😅😅😅😅
Sikujua kama Kuna wafanyabiara wenye akili hivi kumbe baadhi wanawashinda hata walioko madarakani.
𝐾𝑎𝑘𝑎 𝑢𝑙𝑖𝑜𝑛𝑔𝑒𝑎 𝑘𝑎𝑚𝑎 ℎ𝑎𝑢𝑘𝑢𝑒𝑙𝑒𝑤𝑒𝑘𝑎 😂😂😂
Vunjabei uko vzr sana mno Yani weweee kichwa honey
Huyu jamaa ni mwamba
Aliyesoma kasoma
Safi sana nchi ikiwa na vijana kama awa kitaeleweka
Namjua huuuu mwambaa kapigaga one pale chuo
Kama unaakili timamu na umekamilika Kila idara utaona tunakoelekea mm naonea huruma vijana na watoto ambao bado Wana umri mwingi wa kuishi kazi ipo ili kusafisha haya yote ni ngumu mizizi hii kuitoa inaitaji lawama na cdhani kama atakaeitoa hiyo mizizi atakaa wapi kwa usalama wake kazi ipo
Yaani wewe fred ni mwamba yaani unafunguka vitu vya maana havina hata vairas ya kisiasa hongera fred😅😅😅😅😅😅😅😅😅
elimu ya kodi iwekwe kwenye silabasi za shule ili kila mtoto aweze kusoma na kuelewa kuliko kusoma mambo ya watu yakikoloni
Eti vunja bei kamwaga machozi, andika habari ya kweli watu wataangalia tu
Uko vizuri bro unaweza kutetea wanyonge safi sana
Waziri anapata madini toka kwa vunja bei
Vunja bei unaongea pointi sana .hongela kaka.wazili mkuu wafanyabiashala wako wanateseka sana.tla hapana
Jamaa anaakili hadi anaakili tena
Safii,,na umachinga wa wawekezaji wa kigeni kuharibu mzunguko
Wasomi wamechili kinoma
Bado utasikia watu kidumu chama cha mapinduzi😂😂😂
Nilikuwa naye pale chuo hyo jamaa,anafaa kuwa mwenyekiti wa wafanyabiashara safi vunja bei
mamalamikoa kila siku na serikali haiskii..jmni kwa kweli sio haki kabisa
Vunja bei awe mbunge
C .TRA tu idara zote zimeoza hakuna hata sehem yenyenafuu viongozi tembeleeni kwenye vitengo mjionee wenyewe
Safi sana vunja bei,.
Concepts nzuri sana
Vunja beiukosawa nduguyetuu
binamu humeongea vizurisana 🎉❤
TRA MCHUKUENI VUNJA BEI AWAPE MAARIFA YA ULIPAJI WA KODI NA KUTOFAUTISHA WAFANYABISHARA WAKUBWA NA WADOGO NA MACHINGA WENYE MTAJI WA CHINI YA M.3
Saf sana
Wa Tanzania hongereni wakenya munatuona sasa mumetuelimisha sasa watakoma sasa wanaotunyanyasa
Kweli elimu ya kulipa kodi ni muhimu kila upande ujitetee kisheria
VUNJA BEI KICHWA SANA
Mwiguru aende burundi
Alama ya Kengerre
Mwanzo wa ngoma ni --- - -
Chalamila lipo tu linasikiliza naujinga wake
Hadi nimecheka tena lipo tu limetumbua mimacho hapo haelewi chochote!
Linashangaa shanhaa tu. Sup umemshuka kutokea maneno take.
Kichwa xana
Mh
🙏🙏🙏
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Ccm nnchi imewashinda waondoke
Genius