Kila nchi ina watu wazuri na watu wabaya kwaiyo hata kwa waturuki sio wote wana roho mbaya kuna wazuri pia tena wenye roho nzuri na ubinadamu...mimi nimeolewa na mturuki na nina watoto wawili na ninaishi uturuki huu mwaka mwaka wa 6 sijawahi kupata manynanyaso yeyote na nina amani na furaha ninatembea popote bila wasiwasi na familia ya mume wangu wananipenda sana I'm lucky to have them.
@@jimooglong6876maisha ya huku sio mabaya nina ishi mji wa Izmir ni mji mzuri sana na kuna watu wastaarabu ila sijabahatika kukutana na watanzania wenzangu nimekutana na wakenya kadhaa na wa Senegal wameolewa huku wengine wanafanya kazi ila Mimi kazi bado sijaanza kufanya kwasasa nasoma lugha kwanza.
Tatizo kubwa sana Watanzania ushirikiano kwa kweli hawana UBINAFSI sijui shida ni nini alafu tumetoka kwenye mfumo wa ujamaa ujinga mtupu tubadilike kwa kweli 🇹🇿🇹🇿
Mimi ninashi Ujerumani miaka 42 waturuki waliletwa hapa kufanya kazi kama vibarua, tabia zao sio wastaarabu. Unachoeleza dada yangu ni kweli kabisa hapa watu weusi tunapata heshima zaidi ya waturuki
Uongo watu weusi hatupati heshima km waTuruki usidanganye,,,kwanza waTuruki hawajaletwa Germany kiholela tu,,soma history ya Germany na Uturuki,,,,,waTuruki Ottoman aliwasaidia Germany ww1
Naijua historia nzima. Mimi ninaishi hapa miaka 42 nafikiri ukitaka kujua vizuri uwe na uhusiano wa karibu na waturuki na wajerumani. Utawala wa Osman na Keiser wa Ujerumani kwa nini walikuwa na ushikilikiano wa karibu? soma historia utajua. Waturuki wengi walioko hapa wanatoka eneo la Anatoria, Anatoria ni sehemu isiokuwa na maendeleo makubwa.
Winny ni mpambanaji sana hongera n pole kwa changamoto. Kingine mturuki sio mwarabu ni mchanganyiko wa mzungu na Asia. Pia tusiwakatishe mataa watu kutokuingia katika mahusiano na waturuki kikubwa tu kuwa waangalifu sana. Katika nchi yoyote dunia ni kujifunza lugha basi. Hata bongo ni yale yale yan mabaya ya waturuki na bongo hakun tofauti
Mdada wa leo ni big brain, wengi hawatamuelewa. Waturuki ni maskini kama sisi. Kwanza wanaume wao wavivu balaa kazi kucheza bao na karata wanawake ndio wanahenyeka.
Mengi yaliyoelezwa ni kweli. Picha kamili ya hawa watu ni sawa na dunia ya tatu, umaskini pia kwao umejaa. Mturuki ana ngozi nyeupe lakini sio mzungu, ukisoma historia yao utaona walivyoishi wakati walipotawala nchi nyingi za Ulaya na Uarabuni "Osaman Empire" mpaka leo bado wana ndoto hizo. Uchumi wa Uturuki umejengwa kwa madeni na nchi nyingi zimesimamisha uwekezaji na hata kufunga makampuni yao. Hali hiyo imesababishwa na uchanguzi wa rais alioko madarakani na chama chake, ambaye anazidi kuwa dikteta kunyima watu uhuru wa maoni na matumizi mabaya ya fedha za serikali. Wana uchumi wanaashiria uchumi utaendelea kuporomoka.
@@MrSaidi57 Wewe ulishajiongeza, wengine wamebakia kungojea bahati kuna walioolewa na wanaume wa huko na wako vizuri. Utaishi kwa kungojea bahati? Wabongo kaazi kweli kweli.
Hongera sana Winni umeongea vizuri sana kulingana na experience zako, mwenye mawazo tofauti aje aeleze ajuavyo yeye kulingana na experience zake sio kuja kukukosoa tu. Hongera you are so smart, ni mchakarikaji na hukubali kunyanyasika kizembe.
Shena asante kwahili maana mm nina rafiki yangu amesema uturuki kuna kazi zaviwandani unafanya Kazi kwamasaa kumbe unasimama siku mzima pia mwingine Akasema uturuki kazi zao sio nyingi jmn tumefunguka kiukweli mungu akuweke
wini nimekupenda bure umeelimisha sana jamii Nipo nyumban Tz arusha utakuwa mwanangu nina mtoto anaitwa Win kama wewe Umeeleza ukweli wote mtu aamue kufua au kuanika bila kufua Kwenye kila maongez kazima kuwe na opposers ila mliotembea mna elimu ya kuona na mmetuelimisha kweli Asante sana
Sister maisha lazima uwe na subira ukifanya kazi kwenye Nchi za watu usitizame mwenzako anapata mshahara kiasi gani. Ama utahangaika sana kwenye maisha yako. Na Tanzania maisha huyawezi. Huna moyo wa kufanya kazi mvivu.
Hana akili huyu na ni mvivu angebakia kwenye ualimu hapa Tanzania, maisha ni katili sana na yanataka hard people who can get hits and raise again bila kuchoka. Yes kuna sehemu kuna unyanyasaji ila kwa sababu zake za kusema kuna sehemu aliacha kisa tofauti za salary, hapo ameonesha yeye ndo tatizo.
Kikubwa usikubali mtu, taifa au kiumbe chochote na hali yoyote kubadili mtazamo wako juu ya uhalisia wako mwenyewe. Mimi pia Niko radhi kuacha kazi yoyote mradi kuilinda hadhi yangu... Najiamini, najikubali na ninajua ninachotaka. Ukweli ni kwamba waturuki ni wabaguzi isipokuwa mmoja tu ambaye ni tajiri yangu Kwa Sasa. Ila naye akinionesha tabia hiyo namwacha tu.
Ila inaonekana wewe mdada unatatizo la (too much know )unajihisi kama uko special ivi ndio mana unatangatanga. Mtu kama huyu hata kwenye ndoa hawakaagi
Ni kweli kabisa, asilimia kubwa ya waturuki wana ubaguzi mno, wanawatesa sana waafrica, tunafanya kazi nao, usipokuwa ngangari utanyewa kichwani. Yaani wewe umebahatika kupata huyo mwanaume mwema, ila 80% ni wenye hila na ubaya sana, hizo kazi za nanny, factory jobs, utafanywa kma mtumwa, hupumziki, kama usipikuwa na msimamo wako
Kuna gari tulipanda na waturuki, tukaenda mjini... Wajati wa kurudi, tulikuwa tunaongea waswahili wachache mara kakijana kadogo tu kakatufokea, kakasema tunyamaze... Eti tunapiga kelele, tulidhani labda kweli tunapiga kelele huku huenda wanahitaji utivu, lakini kumbe ilikuwa ni kiswahili ndo kero. Tulipobyamaza tu, waliosalia kwenye mazungumzo ni wao tu na kituruki chao, tena walikuwa louder kweli kweli..! Nikagundua hatukuwa na haki ya kuzungumza kwa uhuru tukiwa tumepanda gari moja na wao. Toka siku hiyo nikapiga break kushirikiana na mturuki tofauti na jambo lililo ndani ya kazi yangu tu.
Apo nimeelewa Sasa ndomana mwenyezimungu aliwapa azabu la tetemeko la ardhi Kwa maana wamelaanika Kwa tabia zao,,poo kumbe waturuki washenzi ivyo,,Asante Kwa elimu
Mmmh Hiyo Si Kauli Nzuri , Tuseme na huku Kwetu HANANG Mkoani MANYARA Limetokea hivyo hivyo Inamaana nao Wamelaaniwa ??? Usiseme Hivyo Sababu Majanga Mangine Ni ya Mwenyezi MUNGU Sio Sababu eti Wamelaaniwa ,
Hawana tofauti na wahindi ila bora mturuki muhindi ankuchekea akijua anapata faida kwako..pia hawaamini kama mtu mweusi ana damu kama wao nyekundu ..haya maisha kwakweli
Kuna documentary niliona waturuk wanaogoza kuua wake zao familia za walio uliwa na waume zao walikua wanaambia walete viatu pair moja ya wanawake walio uliwa na waume zao viatu vilijaa mpaka kukawa hakuna tena nafasi ya viatu tangu hiyo siku memory hizo azijawai toka kwa kichwa niliogopa sana kuolewa😢😢😢
Umesema yote mdogo wangu mwenye sikio na asikie. Ila kama ilivyo ada,wahenga walisema, 'Sikio la kufa halisikii dawa' Timiza wajibu wako wa kutuelimisha na asante sana nimekupenda mno.
Asant kwa somo zur jaman kiukwel mm niko mtwar na kazi zangu nikama uyu dada ila tofaut mm nafanya usafi aina zot uku kwetu kunakuwa na msimu wa korosho iko kipind mm uwa nawapiki wahindi vyakula my dear nataman nipat kaz ambaz zitaninyanyua mana unatumia siku zot za wiki bila kuchok kazi zausafi ni noma namuelewa san
Jamani suluhisho siyo kufunga ndoa na mturuki Tanzania hiyo haitakusimamia ukija nae utiruki kwa chochote. Akiwa uturuki atakutesa na humfanyi chochote. Na akiitwa tanzania haji na nchi zao zinawatetea. Wanaakili kama za rais wao.
hao wapopo mungu awaweke kwa ushenzi wanao pia na kwa uzuli pia wanao ukii bahatika unajua kila nnchi inamambo yake ynaai unapo amua kutafuta kunamenguuu 😊
Mbona bado mnaishi huko na mnaendele!¡!yaani Bora waturuki roho mbaya yao inaonekana kuliko huku kwetu mtu unacheka nae mnafanya mioango vizuri anakugeuka!wakwetu huku ndo roho mbaya kuliko waturuki!
mm nimemskiza huyu dada na kupitia commenti nyingi,baadhi ya watu wanajibu uku ndani yake wanaweka udini wengi wanajua kua waturuki ni waarabu kumbe sivyo kabisa,pili hivi kuna mturuki anaekuja tanzania na kuwalazimisha dada zetu wakafanyae ukahaba uturuki? tatu sikatai kama uturuki kuna ubaguzi ila swala hili lipo duniani kote inchini kwetu pia ubaguzi upo kwa hiyo kama uturuki kuna watu wabaya lazima tufahamu kuwa pia watu wazuri wapo.
Mohamed mimi nimezaliwa Mara na Tarime napafahamu. Wakati nikiwa likizoni makazi ni Arusha, karibu twende Mara nikuonyeshe uzuri wa Mara, Mara yapo makabila mengi, utastarehe! Kkkk....😂
@@awatifalghanim1106 Mimi nimefika huku Ujerumani kwa sababu ya ndoa pia nilkuwa hapa chuo kikuu kwa miaka minne kabla ya ndoa. Kwenye miaka ya 80 maisha yalikuwa tofauti na sasa. Sasa hivi kuna wakimbizi wengi wenye tabia na mila tofauti mpaka kushiriki kwenye mauaji, madawa ya kulevya na biashara za ngono, hiyo imeletea wageni kuanza kuchukiwa. Kila mtu na bahati yake lakini siwezi kumshauri mtu kuja huku. Mimi nimestaafu nina makazi hapa na Tanzania, lakini Tanzania kuzuri ili mradi serikali ijipange vizuri raia wawe huru kujiendeleza
Anachosema ni sawa watu wanatpfautiana kulingana na kule wanakotoka hata hapa tanzania tumetofautiana tabia kulingana na maeneo tunayotoka mitizamo ya watu wa jamii moja inatofautiana na watu wengine ingawa huwezi kuwakuta asilimia mia wanafata taratibu na mila za kwao ameeleza hali jumla si ya mtu mmoja mmoja
Ila hili la watz kukimbia wenzao ni tatizo sana. Yaani hata marekani, wageni hukimbiwa ila pia ni kajitabia ka kidanganya danganya pale wanapokuja. Unakuta mgeni anakwambia anakiasi fulani ila anapofika kwako ajakwambia hana pesa ama yeye hajajiweka Sawa anaanza harakati za kuleta nduguze huku hata yeye bado hajawa stable. So nahisi mtz kutokua na uwezo wa kufikiria na kujishusha, basi wote wanaona ni bora wakimbiane tuu. Inasikitisha ila ndio hali halisi.
Sister wa Sirya ni watu weupe lakini walikupenda na huo weusi wako . Siyo kila mweupe anachukiya watu weusi na siyo kila mtu mweusi anapenda watu weupe. Wacha chuki za rangi. Turkey upande ni Asia na upande Europe.
hizi nchi za watu weupe wanamatatizo sana bola mtu uende ulaya tu ndio nchi yenye afazali kimaisha na kila kila kitu lakin hili bala laleshia hakuna ishuu zozote loho mbaya ndivo walivo
Ndio watanzania Mkome kujifanya Wema sana mnajikuta Mnajali mijitu migeni Kisa dini zenu walizowaletea ili wawatawale kiakili,mweusi akiona mzungu,mwarabu au Mturuki anambabaikia sijui ni umasikini wa akili au wa mifukoni sielewi weusi Tunajiona hatuna Thamani yoyote na hatujitambui!
Umenifurahisha sanaa mdogo wangu, mwenye masikio na asikie.mimi ninampango muda fulani natamani nije kununua mzigo. Naomba tuwasiliane kwa whatsap ili nitakapo kuja nikutafute. Shukran sanaa🙏
Mmetoka middle east,sasa mnaingia kulaumu waTuruki,,,,,,kila sehemu kuna watu wabaya na wazuri,,hata huko Tanzania ni hivyohivyo,,,,,ubaya wa baadhi ya WaTanzania ni wavivu na wanapenda complain tu
Kila nchi ina watu wazuri na watu wabaya kwaiyo hata kwa waturuki sio wote wana roho mbaya kuna wazuri pia tena wenye roho nzuri na ubinadamu...mimi nimeolewa na mturuki na nina watoto wawili na ninaishi uturuki huu mwaka mwaka wa 6 sijawahi kupata manynanyaso yeyote na nina amani na furaha ninatembea popote bila wasiwasi na familia ya mume wangu wananipenda sana I'm lucky to have them.
Hi
Vp maisha uko
@@jimooglong6876maisha ya huku sio mabaya nina ishi mji wa Izmir ni mji mzuri sana na kuna watu wastaarabu ila sijabahatika kukutana na watanzania wenzangu nimekutana na wakenya kadhaa na wa Senegal wameolewa huku wengine wanafanya kazi ila Mimi kazi bado sijaanza kufanya kwasasa nasoma lugha kwanza.
Kweli kabisaaaa 👏
Hata kwa tunao angalia tamthilia mfumo dume tunauona mnoo!
Tatizo kubwa sana Watanzania ushirikiano kwa kweli hawana UBINAFSI sijui shida ni nini alafu tumetoka kwenye mfumo wa ujamaa ujinga mtupu tubadilike kwa kweli 🇹🇿🇹🇿
Kabisa , ila mm nipo tayar tusaidiane
Mimi ninashi Ujerumani miaka 42 waturuki waliletwa hapa kufanya kazi kama vibarua, tabia zao sio wastaarabu. Unachoeleza dada yangu ni kweli kabisa hapa watu weusi tunapata heshima zaidi ya waturuki
Uongo watu weusi hatupati heshima km waTuruki usidanganye,,,kwanza waTuruki hawajaletwa Germany kiholela tu,,soma history ya Germany na Uturuki,,,,,waTuruki Ottoman aliwasaidia Germany ww1
Naijua historia nzima. Mimi ninaishi hapa miaka 42 nafikiri ukitaka kujua vizuri uwe na uhusiano wa karibu na waturuki na wajerumani. Utawala wa Osman na Keiser wa Ujerumani kwa nini walikuwa na ushikilikiano wa karibu? soma historia utajua. Waturuki wengi walioko hapa wanatoka eneo la Anatoria, Anatoria ni sehemu isiokuwa na maendeleo makubwa.
Amesema ukweli waturuki hata wanaoishi uholanzi na ujerumani ni wabaya sana
Ni kweli kabisa. Nimeishi nao almost 8 years aisee siwawezi hahah.
Uku uholanzi wanajiona wao ndo wenye nchi ni wabaguzi Sana
Na uholanzi ni wezi sana CO’s kuna soko Lao liko The Hague acha tu wa sina vitu kwenye mall halafu wanauza sokoni kwao
Wee dada Shena Mungu akuweke bana kiukweli umetutoa matongotongo we go🙏🙏🙏🙏
Asante sana shena unatuletea watu muhimu unatufundisha
Wanamapepo hao na wamelaaniwa hiyo nchi
Hiyo issue ya u-turkey ni spiritual😢😢😢😢😢
Winny ni mpambanaji sana hongera n pole kwa changamoto. Kingine mturuki sio mwarabu ni mchanganyiko wa mzungu na Asia. Pia tusiwakatishe mataa watu kutokuingia katika mahusiano na waturuki kikubwa tu kuwa waangalifu sana. Katika nchi yoyote dunia ni kujifunza lugha basi. Hata bongo ni yale yale yan mabaya ya waturuki na bongo hakun tofauti
Waturuki ni wa Turk
Ni jamii yao inaitwa Turk
Sio waarabu wala sio wazungu
@officialdatingAassistance sikuona hii kabla imenifanya nilie anachoongea huyu dada ni kweli mtupuuuu...Niliolewa na mturuki na nimezaa nae jamanii niliona nakaribia kifo...Ila wanyakyusa hatupendi kunyanyaswa wala dharau
Mdada wa leo ni big brain, wengi hawatamuelewa. Waturuki ni maskini kama sisi. Kwanza wanaume wao wavivu balaa kazi kucheza bao na karata wanawake ndio wanahenyeka.
Yaani ni wavivu mno wote wanawake na wanaume, aisee ndo maana wanaajiri waafrika sana kwa sababu ni wachapakazi
Wanawake zao wengi hawafanyi kazi dear wanaume ndio wanafanya kazi
Mengi yaliyoelezwa ni kweli. Picha kamili ya hawa watu ni sawa na dunia ya tatu, umaskini pia kwao umejaa. Mturuki ana ngozi nyeupe lakini sio mzungu, ukisoma historia yao utaona walivyoishi wakati walipotawala nchi nyingi za Ulaya na Uarabuni "Osaman Empire" mpaka leo bado wana ndoto hizo. Uchumi wa Uturuki umejengwa kwa madeni na nchi nyingi zimesimamisha uwekezaji na hata kufunga makampuni yao. Hali hiyo imesababishwa na uchanguzi wa rais alioko madarakani na chama chake, ambaye anazidi kuwa dikteta kunyima watu uhuru wa maoni na matumizi mabaya ya fedha za serikali. Wana uchumi wanaashiria uchumi utaendelea kuporomoka.
@@MrSaidi57 Wewe ulishajiongeza, wengine wamebakia kungojea bahati kuna walioolewa na wanaume wa huko na wako vizuri. Utaishi kwa kungojea bahati? Wabongo kaazi kweli kweli.
Hongera sana Winni umeongea vizuri sana kulingana na experience zako, mwenye mawazo tofauti aje aeleze ajuavyo yeye kulingana na experience zake sio kuja kukukosoa tu. Hongera you are so smart, ni mchakarikaji na hukubali kunyanyasika kizembe.
Well said
Wagiriki,waturuki,wahind,warabu, waitaliano,warusi kaeni nao mbali ni moto🔥
Umejia kujielezea vizur sana na kufunzaa jamiii my dear shukran
Dada shena hongera sanaa kwa kutumia muda wako vizuri kuwafaidisha ndugu zako. M/mungu akutunze.
Ameen Shukran 🙏 Kwetu sote
Shena asante kwahili maana mm nina rafiki yangu amesema uturuki kuna kazi zaviwandani unafanya Kazi kwamasaa kumbe unasimama siku mzima pia mwingine Akasema uturuki kazi zao sio nyingi jmn tumefunguka kiukweli mungu akuweke
Kwanza kwayote na shukuru iyi channel. na uyu dada Mungu amubariki kwakutufungula masikiyo
Mimi ni mu congo napenda sana iyi channel
Shukran jirani 🙏
Nimeipenda iyi channel,ningefurahia kupata rafiki kutoka apa especially ikiwa anaishi USA ndo makao yangu.asante
wini nimekupenda bure umeelimisha sana jamii
Nipo nyumban Tz arusha utakuwa mwanangu nina mtoto anaitwa Win kama wewe
Umeeleza ukweli wote mtu aamue kufua au kuanika bila kufua
Kwenye kila maongez kazima kuwe na opposers ila mliotembea mna elimu ya kuona na mmetuelimisha kweli
Asante sana
Sister maisha lazima uwe na subira ukifanya kazi kwenye Nchi za watu usitizame mwenzako anapata mshahara kiasi gani. Ama utahangaika sana kwenye maisha yako. Na Tanzania maisha huyawezi. Huna moyo wa kufanya kazi mvivu.
Hana akili huyu na ni mvivu angebakia kwenye ualimu hapa Tanzania, maisha ni katili sana na yanataka hard people who can get hits and raise again bila kuchoka. Yes kuna sehemu kuna unyanyasaji ila kwa sababu zake za kusema kuna sehemu aliacha kisa tofauti za salary, hapo ameonesha yeye ndo tatizo.
@@miye2215 very true
Anajitambua, na anajua anacho kitaka.
Wewe ni mmoja wa watu wale wanaochukua chochote kutokana na jinsi thamani yako ilivyo.
Kikubwa usikubali mtu, taifa au kiumbe chochote na hali yoyote kubadili mtazamo wako juu ya uhalisia wako mwenyewe.
Mimi pia Niko radhi kuacha kazi yoyote mradi kuilinda hadhi yangu...
Najiamini, najikubali na ninajua ninachotaka.
Ukweli ni kwamba waturuki ni wabaguzi isipokuwa mmoja tu ambaye ni tajiri yangu Kwa Sasa.
Ila naye akinionesha tabia hiyo namwacha tu.
@@miye2215usiseme mtu hana akili kisa umemkuta tu mtandaoni, humjui hujawahi kuishi maisha yake. Kazi ya kuhukumu muachie Mungu.
Ila inaonekana wewe mdada unatatizo la (too much know )unajihisi kama uko special ivi ndio mana unatangatanga. Mtu kama huyu hata kwenye ndoa hawakaagi
So ww unataka binadamu wote wawe kama wewe😂
Ni kweli kabisa, asilimia kubwa ya waturuki wana ubaguzi mno, wanawatesa sana waafrica, tunafanya kazi nao, usipokuwa ngangari utanyewa kichwani. Yaani wewe umebahatika kupata huyo mwanaume mwema, ila 80% ni wenye hila na ubaya sana, hizo kazi za nanny, factory jobs, utafanywa kma mtumwa, hupumziki, kama usipikuwa na msimamo wako
Nadhani binadamu yeyote yule anaweza kukunyea kichwani utakapompa fursa hiyo haijalishi rangi.
Nondo hizi zimemwagwa na zikamwagika, ahsanten sana kwa sasa tumepata kuifahamu uturuki ::::Mbarikiwe mnooo.
Kiasi uijue vizuri karibuu
Kuna gari tulipanda na waturuki, tukaenda mjini... Wajati wa kurudi, tulikuwa tunaongea waswahili wachache mara kakijana kadogo tu kakatufokea, kakasema tunyamaze... Eti tunapiga kelele, tulidhani labda kweli tunapiga kelele huku huenda wanahitaji utivu, lakini kumbe ilikuwa ni kiswahili ndo kero.
Tulipobyamaza tu, waliosalia kwenye mazungumzo ni wao tu na kituruki chao, tena walikuwa louder kweli kweli..!
Nikagundua hatukuwa na haki ya kuzungumza kwa uhuru tukiwa tumepanda gari moja na wao. Toka siku hiyo nikapiga break kushirikiana na mturuki tofauti na jambo lililo ndani ya kazi yangu tu.
Hii ilishawahi kunitokea na rafiki yangu. Ni ukweli mtupu
Waturuki wengi ni Alibaba Qatar na mapoko chapati wa wenye nchi.
Jmniiiiiiiiii we mdada ubarikiwe mnooo unamoyo mzuri MashaAllah ❤️💖 ❤ natamani kupata no yako tuongee jambo flan iviii 😊😊😊
Apo nimeelewa Sasa ndomana mwenyezimungu aliwapa azabu la tetemeko la ardhi Kwa maana wamelaanika Kwa tabia zao,,poo kumbe waturuki washenzi ivyo,,Asante Kwa elimu
Mmmh Hiyo Si Kauli Nzuri , Tuseme na huku Kwetu HANANG Mkoani MANYARA Limetokea hivyo hivyo Inamaana nao Wamelaaniwa ??? Usiseme Hivyo Sababu Majanga Mangine Ni ya Mwenyezi MUNGU Sio Sababu eti Wamelaaniwa ,
Walikataliwa European Union kwa sababu za human rights abuses
Ndio
Ni kweli kabisa dear,
Kwani hao wa Europe wana utu ? Sindio wanalazimisha mataifa mengine ushoga ?
Aiseee huyu dada nimempenda ukitulia kumsikiliza ni anamadini ya hatari sana tunaomba Instagram yake tumfollow
@@DramaDive-8ahsante dada win
@@mackjr5291shukrani
Waturuki sio watu wazuri hata kidogo waturuki siooo Wana roho mbaya washenzi
Sio wote mpendwa
Turkey is the only country in the world with the first, second and third world.
Waturuki ndo tabia zao wanawapeleka sana dad zetu buza kwa mpalange.,
Hiyo kali waturuki wanakula kote kote sio
Hawana tofauti na wahindi ila bora mturuki muhindi ankuchekea akijua anapata faida kwako..pia hawaamini kama mtu mweusi ana damu kama wao nyekundu ..haya maisha kwakweli
Mfilipino ndio mbaguzi balaa
Wafilipino wabaguzi wanaume ila wanawake wao poa tu mtu yoyote wanawakubali
@@utaani1 ukifanya nao kazi huwa wanafitina sana,kujipendekeza kwa boss
@@joejoshua7791 wanaume zao wafilipino ndio wana tabia ya fitna na kujipendekeza kwa mabosi kazini. Ila wanawake wako poa rahisi kuwala mzigo
Kuna documentary niliona waturuk wanaogoza kuua wake zao familia za walio uliwa na waume zao walikua wanaambia walete viatu pair moja ya wanawake walio uliwa na waume zao viatu vilijaa mpaka kukawa hakuna tena nafasi ya viatu tangu hiyo siku memory hizo azijawai toka kwa kichwa niliogopa sana kuolewa😢😢😢
Waturuki wakorofi usije ukamuozesha sister wako hata kwa bahati mbaya
Ukweli mtupu,waume wakituruki ni abusive sana
Kumbe ndo mana hawa waturuki wanakuwaga washenzi washenzi hawaelewekagi,wanawafanyia vibaya ndugu zetu,huku bongo wamejaa wana tabia chafu.
Nikweli dada waturuki waongo watapeli wali nitapeli $35.000 eti wana niuzia biashara biashara yenyewe sijapata kabisa awo kunawezi kweli
Umeongea vizuri sana dada
shukrani
Umesema yote mdogo wangu mwenye sikio na asikie. Ila kama ilivyo ada,wahenga walisema, 'Sikio la kufa halisikii dawa' Timiza wajibu wako wa kutuelimisha na asante sana nimekupenda mno.
Waturuki wanajiona sana hawana utu
Nimefuraiya sana namna anavyo pambana Mungu akuzidishe sana sana
kupitiaa ww ,naona watanzania wengi wakiamka kusambaa dunia kwa ajiri ya vizazi vyaoooo big up
Dada mungu ukupe maisha marefu Asante
Mmh hiyo nchi ngumu kuishi🙌
Asant kwa somo zur jaman kiukwel mm niko mtwar na kazi zangu nikama uyu dada ila tofaut mm nafanya usafi aina zot uku kwetu kunakuwa na msimu wa korosho iko kipind mm uwa nawapiki wahindi vyakula my dear nataman nipat kaz ambaz zitaninyanyua mana unatumia siku zot za wiki bila kuchok kazi zausafi ni noma namuelewa san
Jamani suluhisho siyo kufunga ndoa na mturuki Tanzania hiyo haitakusimamia ukija nae utiruki kwa chochote. Akiwa uturuki atakutesa na humfanyi chochote. Na akiitwa tanzania haji na nchi zao zinawatetea. Wanaakili kama za rais wao.
Kuna wengi wameolewa na wako poa
Waturuki awaelewan na waarabu kwasababu tabia zao zinaendana sana
Duh..ngoja tufie tu nyumbani 🇳🇴 Unaweza vuka mkojo ukadondokea mavi.
hao wapopo mungu awaweke kwa ushenzi wanao pia na kwa uzuli pia wanao ukii bahatika unajua kila nnchi inamambo yake ynaai unapo amua kutafuta kunamenguuu 😊
Mturuki akikutabasamia ni kwa sababu anajua nn atanufaika kutoka kwako
Huyu dada anasema kweli.Hapa ujerumani namjuwa mtuuki anazo tabia alozitaja
Mahojiani mazuri sana.
Wine hongera sana wew ni jasiri
Thanx for that educative program.
My pleasure
Jamani kila kabila lina watu wazuri na pia kuna watu wazuri mimi nina muitaliano tunaishi vz sana na anapenda wanangu nafamilia yangu ki ujumla
Huyo dada anayoongea ni kweli kabisa, tunaishi hapa miaka tunawajua vzuri sana😢😢😢wana manyanyaso mno,
Mbona bado mnaishi huko na mnaendele!¡!yaani Bora waturuki roho mbaya yao inaonekana kuliko huku kwetu mtu unacheka nae mnafanya mioango vizuri anakugeuka!wakwetu huku ndo roho mbaya kuliko waturuki!
Hongerasanaaa, UMEZALIWA Bongo amini tu
Pole sana kila sehemu kuna yake uliza wasichana kutoka mikowani wakifika dar mishike shike wanayopata
Nimefurahi kuona mate wangu👏👏👏 Nina ndoto one itatimia
Mungu akusaidiye
Nakweli ukiwa mpole utakoma wanahasira mno ila sio wote wanaroho mbaya
mm nimemskiza huyu dada na kupitia commenti nyingi,baadhi ya watu wanajibu uku ndani yake wanaweka udini wengi wanajua kua waturuki ni waarabu kumbe sivyo kabisa,pili hivi kuna mturuki anaekuja tanzania na kuwalazimisha dada zetu wakafanyae ukahaba uturuki? tatu sikatai kama uturuki kuna ubaguzi ila swala hili lipo duniani kote inchini kwetu pia ubaguzi upo kwa hiyo kama uturuki kuna watu wabaya lazima tufahamu kuwa pia watu wazuri wapo.
Nasikia no wachawi Sana pia
Mturuki ni.mshenzi mkubwa ni firauni. Airpoti yao hawana ubinaadam. Ni washenzi ni MAJAMBAZI ni mashetani
Nilichojifunza hapa waturuki ni sawa na watu wa mara ongea yao hata mambo ya sheria hawazingatii sana kama uko Tarime
Jamani basi Dunia nzima watu wa baya??? Sasa kwa nini mnapenda kutoka Tanzania kwenda Nchi za watu kwenda kujitesa tuu.
Mohamed mimi nimezaliwa Mara na Tarime napafahamu. Wakati nikiwa likizoni makazi ni Arusha, karibu twende Mara nikuonyeshe uzuri wa Mara, Mara yapo makabila mengi, utastarehe! Kkkk....😂
@@awatifalghanim1106 Mimi nimefika huku Ujerumani kwa sababu ya ndoa pia nilkuwa hapa chuo kikuu kwa miaka minne kabla ya ndoa. Kwenye miaka ya 80 maisha yalikuwa tofauti na sasa. Sasa hivi kuna wakimbizi wengi wenye tabia na mila tofauti mpaka kushiriki kwenye mauaji, madawa ya kulevya na biashara za ngono, hiyo imeletea wageni kuanza kuchukiwa. Kila mtu na bahati yake lakini siwezi kumshauri mtu kuja huku. Mimi nimestaafu nina makazi hapa na Tanzania, lakini Tanzania kuzuri ili mradi serikali ijipange vizuri raia wawe huru kujiendeleza
@@MrSaidi57 sawa nmefika mara mar moja tu hata sikulala sema ni pazur sana ule ukanda ni mzur sana
@@mohamedismail2662Jaman sio wote.Wengine tuna moyo Safi
Kipindi kizuri nmejifunza mengi ❤❤❤❤❤❤❤
Waturuki na waarabu ni walewale roho chafu kabisa.
💯💯
Lakini waarabu unapata muda wakupumzika
Anachosema ni sawa watu wanatpfautiana kulingana na kule wanakotoka hata hapa tanzania tumetofautiana tabia kulingana na maeneo tunayotoka mitizamo ya watu wa jamii moja inatofautiana na watu wengine ingawa huwezi kuwakuta asilimia mia wanafata taratibu na mila za kwao ameeleza hali jumla si ya mtu mmoja mmoja
Hayo life style ni changamoto sana.
Maisha magumu
Mfumo huo ni hatari sana kulelea watoto wa kiafrika.
Ila hili la watz kukimbia wenzao ni tatizo sana. Yaani hata marekani, wageni hukimbiwa ila pia ni kajitabia ka kidanganya danganya pale wanapokuja. Unakuta mgeni anakwambia anakiasi fulani ila anapofika kwako ajakwambia hana pesa ama yeye hajajiweka Sawa anaanza harakati za kuleta nduguze huku hata yeye bado hajawa stable. So nahisi mtz kutokua na uwezo wa kufikiria na kujishusha, basi wote wanaona ni bora wakimbiane tuu. Inasikitisha ila ndio hali halisi.
Ni kweli haswaa
Mshahara wanakulipa kwa mwezi na si kwa lisaa, mshahara wa mwezi uturuki ni mshahara wa wiki kwenye nchi za ulaya kma UK, Finland n. k
Uyu Dada nampenda anaongea ukweli Mungu zaidi kumbariki.
Wini nimefurahi kukuona❤
Shukrani my dear
Huyu dada Yuko vizuri sn kichwani
Nashukuru mungu Mimi Niko na wa tu,ruki Nina watu wazuri sana👏👏
kama tanzania kuna watu wazuri na wabaya basi uturuki pia hivyo hivyo ndugu yangu,ongera kwa kutoa usibitisho.
Kabisa dear pia mimi niko nao wanautu mno kuliko ata watanzania nina mwaka nao wa4 sasa
NA UTURUKI SIYO ULAYA..
Sister wa Sirya ni watu weupe lakini walikupenda na huo weusi wako . Siyo kila mweupe anachukiya watu weusi na siyo kila mtu mweusi anapenda watu weupe. Wacha chuki za rangi. Turkey upande ni Asia na upande Europe.
We pimbi acha kuabudu waarabu,akili za kizenji nyingi ni matope kabisa😊
Waturiki sio Warabu. Hawapatanagi na waarubu Ata kidogo.
@@djalasaleh waambiye wosojuwa haaa haaa wengine wanaona kila mweupe ni MuArabu kumbe wamejaa WaArabu weusi pia😀
Asanten jaman kwa taarifa muhimu
hizi nchi za watu weupe wanamatatizo sana bola mtu uende ulaya tu ndio nchi yenye afazali kimaisha na kila kila kitu lakin hili bala laleshia hakuna ishuu zozote loho mbaya ndivo walivo
Kuandika hujui, utajua history za watu
😅😅 bola laleshia
Turkey ipo Ulaya haipo Asia,ila haipo tuu kwenye European Union
Shena sauti ndogo sana
Aisee mbona kama malaana hayo yamewajaa
Yaani hiyo nchi imelaaniwa
Dada win 🥰
Naamm ❤❤❤❤
Huyu dada kaongea ukweli mtupu nasikia waturuki wa instambul ndio wazuri wako na tabia kama wazungu ila mm siwapendi mungu anisamehe 😂😂😂
Hizi zote ni kweli nimedeti na mturuki miaka mwili lakini ni mtihani kwa kweli
Lazma alikuomba tigo maana wale jamaa
@@fahadfaraj6474😂😂😂😂😂
@@fahadfaraj6474kamanda upo uku😂😂
😂😂😂
Tz wanawivuu sana
Shena naomba kujua huyu dada anatumia jina gani Instagram
Ndio watanzania Mkome kujifanya Wema sana mnajikuta Mnajali mijitu migeni Kisa dini zenu walizowaletea ili wawatawale kiakili,mweusi akiona mzungu,mwarabu au Mturuki anambabaikia sijui ni umasikini wa akili au wa mifukoni sielewi weusi Tunajiona hatuna Thamani yoyote na hatujitambui!
😅😅😅
Bora wewe una thamani kwa wanaume kuliko wanawake wanaouza kuma...thanks
Umenifurahisha sanaa mdogo wangu, mwenye masikio na asikie.mimi ninampango muda fulani natamani nije kununua mzigo. Naomba tuwasiliane kwa whatsap ili nitakapo kuja nikutafute. Shukran sanaa🙏
Mcheck Instagram @winifrida sourcing Turkey
Natamani hii post ningeiona when I was in my 20's
Mmetoka middle east,sasa mnaingia kulaumu waTuruki,,,,,,kila sehemu kuna watu wabaya na wazuri,,hata huko Tanzania ni hivyohivyo,,,,,ubaya wa baadhi ya WaTanzania ni wavivu na wanapenda complain tu
Watu wanaongea experience zao, hiki sio kipindi cha kutoa lawama.
Karibu na wewe uje uongee experience yako ya mazuri 🙏
I think yuko sawa kuelezea experience yake ili watu wasiende huko wakijua wanaenda pata mazuri tu na wawe makini zaidi
Samahani kwa ukweli sio kila pahali kuna watu wabaya
Kweli kabisa mimi naishi huku ukienda supermarkt zao wakikuona mtu mweusi wana kufata nyuma kama mwizi 😢
Hunishawishi bado kuolewa na mturuki au kufanya nao kazi
Ila hawa watu wako tofauti sio wote
Kweli yani nilidate nae anaanzisha tuu ugomvi mpaka damu zinamvujaa yani kesi siyo kesi khaaa
Hata hapa ujeremani watoto wao hawana heshima ni wabaya mno
Umemchambua Mturuki kweli kweli.
Hata Alpasiran ana roho mbaya jamani😢
Hee nimlipie mkopo jamani du majanga
Sweden ukinunua online mzigo unakuja kwa posta unaukuta mlangoni. Mambo ya hovyo hakuna huko. Uturuki bado sana!
Anazungumzia mzigo kumnunulia Mtu na kumtumia Mtu bongo
Na vile nilikua na tafta pesa ni ende huko 🤦♀️
Nenda kajaribu kila mtu na bahati yake
Huku sigara ni must, yaani watoto wa miaka 10 anavuta sigara balaa