NILIKUA WAITRESS SASA NAISHI DENMARK |UKIFIKA ULAYA UNAPASWA KUFANYA NINI ILI KUBAKI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ค. 2024
- Nyalwanda ameeleza Safari ya maisha yake kutoka kua Waitress (muhudumu wa mgahawa Zanzibar) mpaka sasa anaishi Denmark ambapo alipelekwa na kazi ya Aupair
Ameeleza taratibu za kujiunga na Aupair na mambo gani unapaswa kufanya ili kufanikisha na Website gani ni za uhakika.
Unaweza mfollow Instagram kwa jina la Nyalwanda
Thank you Nyalwanda for allowing this to be online
www.oda.international
Instagram: Nyalwanda
Nimependa nipo kwa warabu sasa naona nianze utaratibu nirudi tz
Ushauri mzuri
Asanteni sana kwa maelezo ya kina kuhusu hii program.
Vijana wachangamkie fursa ndo hizo.
Mungu atusimamie hizi lugha za watu hizi nikumbambana tu nimeishia form 4 Ila Nipo Austria napambna Ahsante dada shena najifunza sana kupitia ww na kuwa na uvumilivu zaidi nawaona wanagombana hata siingilii hayanihusu kama ulivyo sema,Ubarikiwe sana 🙏
Asante sana kwa darasa zuri sana Mungu akubaliki pia dada shena uzidi kutupa vyuma ❤❤
Hongera sana Nyalwanda kwa elimu nzuri sana
Nimejifunza sana nyalwanda asante sana.
Nashukur sana nimeelewa hiki kipindi.
Hongera sana Nyalwanda. Uko vizuri. Maisha ni mapambano!
Asante sana Nyalandwa Kwa maelezo ya Opea
Uko smart sana kichwani hongera .
Asante Dada Shena kwa shule
Asante sana nyarwanda
Asanteni sana ya leo ni kali sana
Niko na msichana wangu anamalizia kusomea care giving in Kenya anahitaji maelezo zaidi atakupata vipi nyalwanda??
Nice interview
Hongera sana
Hongera shena wetu😊
Sister shena huja pin iyo link ya agent aliyosema jamany alafu huyu dada kaongea vizuri sana. Ulete watu kama hawa dada angu naomba pia upate interview na Judith J kombe 🙏 🙏
Naamin ipo siku nami nitashuhudia
Iyo kweri asant kW mashauri
Umeongea vizuri na uwazi zaidi
Naomba umshauri mwanangu yuko 20years saa hii.
🔥🔥🔥🔥🔥
Naomba kufahamu kwa nini jina linaitwa "official dating assistance"
Ni ukurasa wa kuongelea mahusiano, mitandao ya kimagusiano, utamaduni, ughaibuni na maisha
Majina pls ya hizo agency
Km ninacare
Samahani me nina swali hiv wanaume hawawezi fanya kazi hiyo?
Unaweza
Mafunzo mazuri dada sheena from Kenya 🇰🇪.
@@Nyalwandaay asantee my dear 💖
Umeambiwa wanaweza jinsia zote mdg wangu
@@Nyalwandavyeti vya kutokua na ndoa ndo vmepanda ad 200k
Ana we kutoka wapi Tanzania
Asante
1:02 o
Nitabaki oman uko bila kingereze utoboi😂😂😂😂😂
😂😂😂 Zahra embu acha kuji katsha tamaa
Iyo kweri asant kW mashauri