KUTENGANA KWA MUDA KUNASAIDIA KUJENGA NDOA | MAISHA YA ULAYA YANA DEPRESSION NYINGI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
  • Carol ametueleza uvumilivu ndio nguzo kuu ya kufikisha miaka 25 na ndoa yake, lakini sio uvumilivu wa kuteswa, ni uvumilivu wa maisha ya kawaida ya ndoa na changamoto zake.
    Maisha ya Ughaibuni yanavyopelekea kupata Depression ( msongo wa mawazo)
    Society pressure kutoka nyumbani Tanzania, malezi ya watoto , waingereza ni watu wa namna gani na maisha kiujumla ya nchini Uingereza.
    Thank you Carol for allowing this to be online
    www.Oda.international

ความคิดเห็น • 139

  • @Geeze905
    @Geeze905 ปีที่แล้ว +6

    Huyu wa leo ametoa bonge la Darasa...Kazi nzuri kwenu nyote na Mungu awabariki sana🙏🏾

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 ปีที่แล้ว +8

    Wazungu bhana wapo ambao wana Utu ndani Yao wanaume kwa wanawake, sema sasa kuna wengine wanakuchekea Mdomoni unafiki wanao sanaa

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 11 หลายเดือนก่อน +1

      Watanzania wote malaika????au ww ndie mnafiki

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂jibu bora​@@shifaaal-baity4503

  • @furahayabwana6127
    @furahayabwana6127 ปีที่แล้ว +5

    50/50 Naitoa bila kinyongo maisha huku sio rahisi kabisa.tabia za Kitanzania Achana nazo airport n’a tabia y’a kupenda kupewa Sahau

  • @Mb0g0z
    @Mb0g0z ปีที่แล้ว +3

    Kweli kabisa,watoto na wanawake Uk wanasikilizwa azidi ya wanaume,na single mothers ndo wamejaa,well said mama J

  • @angellakams8465
    @angellakams8465 ปีที่แล้ว +3

    Weee dada wa ZOZO tafuta kazi ya Terapi advaisor ur the best advisor.......hii kazi itakufaa 👍

  • @Mb0g0z
    @Mb0g0z ปีที่แล้ว +6

    Rent na bills ndo killer ya ulaya

  • @doreenchacha7692
    @doreenchacha7692 ปีที่แล้ว +3

    Napenda mwanamke mpole kwa mumewe

  • @dollymogosi6899
    @dollymogosi6899 3 หลายเดือนก่อน

    So glad to finally meet Mama Jessica! You are so sweet with lots of wisdom! I love you😍
    Asante sana Shena kwa kutuletea Mama Bongozozo!

  • @sekikigosi8265
    @sekikigosi8265 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ma Jesca uko vizuri sana hongera.

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 ปีที่แล้ว +2

    Nimekupenda sana mama Jesca umeeleza in a general view yaani hujapersonalize mazungumzo. Huwa sipendi wale watu wanaenda into personal details e.g mtu anasema mimi huyu wangu hajatairi😢....Oohh mara mimi huyu wangu so and so, daah mimi huwa sipendi kwakweli😢 Thanks mama Jesca thank you Shena

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera dada nakukubali kabisaa

  • @sophiarwehumbiza209
    @sophiarwehumbiza209 ปีที่แล้ว +1

    nashukuru kwa elimu haina mwisho nimefurahi kupata madin💕❣mama Jesca asante kwa madini nimefurahi

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli dada hapaa uk maishaa maguu sana kweli kabisa

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 ปีที่แล้ว +7

    maisha mepesi Africa wambieni hapa mimi na savaivu kwa buku 😜😜😜

  • @THETHIRDTV_
    @THETHIRDTV_ ปีที่แล้ว +1

    I LIKE HER🎉🎉🎉🎉

  • @samniza1763
    @samniza1763 ปีที่แล้ว +1

    You said it all sissy, very educational. Umefika UK 2001 wakati ninapata my baby, una 22yrs now hongera sana. Karibu London bado tupo sio kubaya kiviiile inategemea unakaa wapi pia.

  • @molenjoseph4879
    @molenjoseph4879 ปีที่แล้ว +2

    I really enjoy nimejifunza vingi ASante sana

  • @zenajustus5731
    @zenajustus5731 9 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa umeongea vizuri my dear,majority kwetu Afrika hawapati picha ya huku ulaya,wanadhani tumeoleka na mzungu then hatuna neno.

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 ปีที่แล้ว +7

    unakumbuka nilikwambia wazungu ni wanyanyasaji haswa ukiwa kwao leo dada kaeleza uwazi wanachukuliana mpaka wanaume nikama huku

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 11 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu dada kapokelewa vzr sana n family y mumewe mpaka babu n bibi yake mmewe wamempenda .na huku TZ kila siku majanga ktk family sio wazungu tu acha roho mbaya👺👹

  • @AngelaLyimo-d7x
    @AngelaLyimo-d7x 4 หลายเดือนก่อน

    Kafanana na Monalisa❤ actress

  • @patricialuande9540
    @patricialuande9540 11 หลายเดือนก่อน +1

    We work so hard for our money!

  • @AngelaLyimo-d7x
    @AngelaLyimo-d7x 4 หลายเดือนก่อน

    Asante mama jesca mi kwenye break nimepaelewa

  • @mohamedmwavuguto8276
    @mohamedmwavuguto8276 ปีที่แล้ว +1

    Mama Jesca amemaliza kutoa maelezo yote ya msingi ambayo mtu yeyote muelewa ameweza kuyapata , kwamba 'maisha ni popote ' Utakavyoyaishi ndivyo yatakavyokupeleka .

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 6 หลายเดือนก่อน

    Asante mama bongo zozo hongera sana kwa kuwazungumzisha kiswahili nakupongeza sana

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kabisa

  • @MwalimuShauri
    @MwalimuShauri ปีที่แล้ว +3

    👏🏾👏🏾

  • @Jessy-f9w
    @Jessy-f9w ปีที่แล้ว +1

    Shena umetisha sana,tunazidi kujifunza

  • @aminamagaji2645
    @aminamagaji2645 ปีที่แล้ว +1

    Nimkupenda sana mama bongo zozo umeleza ukweli

  • @NancyMwaibula7634
    @NancyMwaibula7634 ปีที่แล้ว +2

    Mama jeska jamani alikuwa mrembo huyu dada na bado mrembo hongera mmedumu Sana na mumeo

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 ปีที่แล้ว +1

    Wooow hatimaye umempata mama jesca....shena you are spreading you wings so good my dear keep it up ..unatuelimisha,kuburudisha na kujifunza kwakweli

  • @maryamhassan7000
    @maryamhassan7000 ปีที่แล้ว +1

    Asante nimejifuza kitu

  • @AnnaMwailenge-hy3xg
    @AnnaMwailenge-hy3xg 11 หลายเดือนก่อน

    Mama jesca uko vizur Sana mungu awalinde kwenye ndoa zenu

  • @janety1933
    @janety1933 ปีที่แล้ว +2

    Umeongea ukweli sana mama jesca ahsant kwa ushauli wako

    • @mussasaid5534
      @mussasaid5534 4 หลายเดือนก่อน

      Sio ushauli sema ushauri kiswahili fasaha

  • @maryntukula8988
    @maryntukula8988 ปีที่แล้ว

    Hongera binti Materu. Umeongea vizuri. Na unajitunza vizuri sana

  • @aikandosa
    @aikandosa ปีที่แล้ว +3

    What a Milestone my nyau 🙌👏👏 Najivunia kuwa rafiki yako ❤️❤️❤️

    • @gracenkembo8318
      @gracenkembo8318 ปีที่แล้ว

      Nakupenda sana mama jeska.Ndo maana unazid kuwa mrembo hutak stress

    • @KadeejaKadeeja-ej4bu
      @KadeejaKadeeja-ej4bu 8 หลายเดือนก่อน

      Nakupenda mama jecka ❤

  • @NeemaAbdon
    @NeemaAbdon ปีที่แล้ว +2

    My dear younger sister mm nimeolewa na mdutch miaka nane sasa Ira kipindi chenu kimenifumbua mengi sana na shukuru kwamdaa wenu make mnasaidia sana

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  ปีที่แล้ว

      Ahsante sana Neema, kama hutojali diku moja utupatie experience ya miaka nane 🙏

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 11 หลายเดือนก่อน

      Usisahau lugha yko...nini maana ya ira???

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 11 หลายเดือนก่อน

    Wanaosumbuwa maranyingi ni marafiki , kuliko hata ndugu. Maana ndugu unakuwa umeshawaekewesha. Kwa kweli wanasumbuwa sanaa.

  • @vero57
    @vero57 11 หลายเดือนก่อน

    Kumbe ndiyo wewe mama jesca, hongera sana

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa maneno yako dada

  • @jennifermmanyema6693
    @jennifermmanyema6693 ปีที่แล้ว +1

    Nawapenda sana wewe na mumeo

  • @paulalove1223
    @paulalove1223 ปีที่แล้ว +1

    Yani mama jesca hadi raha anaonekana mtu wa masihara😂wameendana Tunawapenda❤

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 ปีที่แล้ว +1

    Nimefurahi kutuletea mama jesca hapa

  • @LucyJoseph-pb4um
    @LucyJoseph-pb4um 8 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 ปีที่แล้ว +3

    Nimemsikiliza mama jesca hadi hamu ya kuja ulaya imekata

    • @ZainaAlly
      @ZainaAlly 6 หลายเดือนก่อน

      Hata mimi aisee

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว

    Woww inapendeza sana naipenda sana hii familia

  • @ElizanaBahati
    @ElizanaBahati 2 หลายเดือนก่อน

    Mama jesca 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 11 หลายเดือนก่อน

    Mama Jessica 👍👍👍👍👏👏👏💪💪💪💜

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 ปีที่แล้ว +2

    Mzungu ni Binadamu Kama binadamu wengine tuu Sema tu desturi na mila zao ni ngumu

  • @BongoZozo
    @BongoZozo 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mama Jessssaica unatoa siri za chumbani - eti mgeni ataondoka saa ngapi! 😂😂😂😂

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ni Mtanzania ila kiukweli hii ya kujua mtu yupo mpaka lini ni haki kabisa. Siyo unaenda kwa mtu unasimamisha shughuli za wenyeji wako bila utaratibu.

    • @evasonlushaka767
      @evasonlushaka767 11 หลายเดือนก่อน

      Umaskini hauishi sababu ya hayo. Kipato hakiongexeki sababu ya desturi. Na ukiangalia hata walifanikiwa afrika wamekupa na misimamo. Japo ndo wanaonekana wabaya

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 ปีที่แล้ว +1

    Nikwer Sana watoto wakizungu hawana adabu kabisa,,hawana hofu ya mungu kabisa

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 ปีที่แล้ว +1

    Mwambie hawa wasiotoka nje wabajua watu wa nje usipotumia pesa anakuona mbaya daa 😢

  • @AnestaJames
    @AnestaJames ปีที่แล้ว

    napenda sana hii family ya mm jesca na bongo zozo

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 6 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂mama Jessica usisemee hivo ndoskina sisi hapa tupo miaka hiyo 29 hongera

  • @BongoZozo
    @BongoZozo 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe mama jess uko peponi!

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  11 หลายเดือนก่อน

      Bongozozo naomba Interview na wewe 🙏 tujifunze ya wazungu sasa 😁

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว

    Kabisa nami nimehacha kabisa

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 ปีที่แล้ว

    Nampenda sana mama jessica

  • @carolinelawuo9650
    @carolinelawuo9650 ปีที่แล้ว

    Safi sana Mama Jesca Kwa story nzuri tumekuelewa

  • @nkamangi4707
    @nkamangi4707 ปีที่แล้ว +4

    Sometimes naregret kuolewa na mzungu 😅😅nishazoea makelele yangu nimekutana na mtu Sometimes unaambiwa baby I don't wanna talk now I need my time yaani wazungu wana vichaa kwa mbali😂😂

  • @leahchigugu7313
    @leahchigugu7313 5 หลายเดือนก่อน

    Mama jeska jamani umetueleza vizuri nno

  • @deuskusaga8156
    @deuskusaga8156 ปีที่แล้ว +1

    Familia Yao Inavituko sana muda wote wanaznguana😅familia Ina furaha hasa bongo zozo anamambo mengi😂

  • @ashakisega9866
    @ashakisega9866 11 หลายเดือนก่อน

    My sister 👏🥰

  • @yusrasalum
    @yusrasalum ปีที่แล้ว +2

    Mimi pia marafiki sasaiv nimewaweka huko ndugu wanatosha hawaniombi pesa ovyo hapo kwenye 50 /50 utake usitake inakusu tena kuna muda inabidi mwanamke usave la sivyo maji umeme utakatwa 😂😂 nyie ulaya kuzuri kama utapanulia

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 ปีที่แล้ว

    Fanya interview nae nyingine

  • @BongoZozo
    @BongoZozo 11 หลายเดือนก่อน +2

    Eti hukutaka kunibadilisha, misuto yote ya nini? 😅😅😅😅

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 ปีที่แล้ว +2

    Mamaaaaa bongo zozoooooo😂

  • @doreenchacha7692
    @doreenchacha7692 ปีที่แล้ว +2

    Akili mingi ma J

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 ปีที่แล้ว +1

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @calzy8167
    @calzy8167 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli yote ameongea kisha dada ni mtu mzuri na ni mrembo kabisa

  • @BongoZozo
    @BongoZozo 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mpaka umetaja zawadi! Tai ama?

  • @MariamIbrahim-wq5re
    @MariamIbrahim-wq5re ปีที่แล้ว

    Lkn situmii dating ya tinder ni dating zingine lkn pia malipo yanafanana ni vile vile kama tinder ila haitaki kufanya muamala

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂jmn hadi raha

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 ปีที่แล้ว

    unakondaje uso mama zozo kwa uchovu!!?!

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 ปีที่แล้ว

    Bonge moja ya darasa from mama jesca

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 ปีที่แล้ว

    Shena msichana mzuri ,ulitakiwa kuolewa na mwafrika mwenye pesa akutunze mama , 😂 wazungu watakuzeesha bure na stress .

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 11 หลายเดือนก่อน

      Mwafrika ni malaika? Hapa east Africa upo ukatili mwingi mno kwa wtt na mama zao

    • @marykennedymarwa1641
      @marykennedymarwa1641 11 หลายเดือนก่อน

      @@shifaaal-baity4503 kwani ulaya ndio hakuna ukatili Kwa watoto na mama zao!!!??? Tembea duniani uone majanga mama . Shukuru mungu kama amekupatia mume mwema , sisi sote ni bin adam .

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@marykennedymarwa1641ndio nashkuru mungu..niko salama. Lkn wewe ndie uliesema ķua huyu dada aolewe na mwafrika amtunze unakusudia mwafrika ni bora zaidi??? Kila jamii duniani kuna wema na wabaya

  • @ChrispianoShayo-pb9yp
    @ChrispianoShayo-pb9yp ปีที่แล้ว

    Safl sn dada earo nondo nzur ieo tupige kaz

  • @maryntukula8988
    @maryntukula8988 ปีที่แล้ว

    Hela watafute. Pia ni jukumu la kila mtu kutumia mbinu kupata hela

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 ปีที่แล้ว

    Mama jesca ondoa mtako wako hapa😂😂😂😂

  • @RuhaymaOmar-fj1jz
    @RuhaymaOmar-fj1jz ปีที่แล้ว

    Da shena naomba nifunfishe kujiunga online dating yako

  • @MariamIbrahim-wq5re
    @MariamIbrahim-wq5re ปีที่แล้ว +1

    Dd kila nikijaribu kulipia online dating inakataa mimi nipo uarabuni na kadi yanga ni Tanzania mastercard lkn hitaki kufanya muamala tatizo ni nn

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  ปีที่แล้ว +1

      Kadi yako haina Access ya kulipia online itakua

    • @MariamIbrahim-wq5re
      @MariamIbrahim-wq5re ปีที่แล้ว +1

      Nieleweshe kvp yaan au nifanye nn ili niweze kulipia online maana kama pesa ipo ktk bank ambayo inaweza kulipa ma ikabaki ni NBM MASTERCARD

    • @MariamIbrahim-wq5re
      @MariamIbrahim-wq5re ปีที่แล้ว

      Yaan pesa iliyopo naweza kulipa hata mara 20 sasa nipe maelezo kamili

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 ปีที่แล้ว

    kuna mtu yuko marekan akija tuna mchangia nauri ya kurudi😜😜😜

  • @RuhaymaOmar-fj1jz
    @RuhaymaOmar-fj1jz ปีที่แล้ว +1

    Da shena online dating yako inaitwaje

  • @zahramsangi3632
    @zahramsangi3632 4 หลายเดือนก่อน

    Wakorofi kama wanawake wa machame

  • @mdetetv6050
    @mdetetv6050 ปีที่แล้ว +4

    Kama ulaya nipagumu mbona mkienda hamrudi

    • @ilakozasembumende1975
      @ilakozasembumende1975 ปีที่แล้ว

      Nauli

    • @Annie_944
      @Annie_944 ปีที่แล้ว +2

      Hapo sasa😅😅😅...usiamini maneno ya kila mtu, wenginr hawataki twende huko

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@Annie_944nenda ukaishi milele huko

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 11 หลายเดือนก่อน

      Nani kakuzuia usiende kule ??? Au uhasidi TU

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@ilakozasembumende1975 acheni wivu

  • @skbonita4117
    @skbonita4117 ปีที่แล้ว +2

    Hata U.S gharama za harusi ni wazazi wa mwanamke

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +1

    Interview nzuri. Lakini mzungu mswahili kama bongo zozo Mungu usinipe😂😂😂😂😂

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว

    Si wanasemaga wameachana hawa? Confused

  • @angellakams8465
    @angellakams8465 ปีที่แล้ว

    Can I get yr email plz ???

  • @maryannaedward7764
    @maryannaedward7764 5 หลายเดือนก่อน

    Budget 😂

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 ปีที่แล้ว +2

    Filamu ni propaganda kubwa sanaaa waafrika hawajuwi

    • @zenajustus5731
      @zenajustus5731 9 หลายเดือนก่อน

      Na wanachoona kwa filamu wanadhani ndio ivo,mwisho wa siku kuna maisha,tena maisha Ulaya yataka moyo hata na mapesa kama huna moyo unapaondoka haiwi tu weather ukifatia mambo mengine.

  • @usindemdamo5299
    @usindemdamo5299 ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤❤

  • @calzy8167
    @calzy8167 ปีที่แล้ว

    Ni kweli yote ameongea kisha dada ni mtu mzuri na ni mrembo kabisa

  • @RuhaymaOmar-fj1jz
    @RuhaymaOmar-fj1jz ปีที่แล้ว

    Da shena online dating yako inaitwaje

  • @winnieakarro5398
    @winnieakarro5398 ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤