WAMENINYANG’ANYA MTOTO NIKIWA HOSPITAL NAUGUZA MTOTO WANGU MWINGINE ALIEUNGUA NA MOTO SWEDEN
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2024
- Selina ambao ni mwanamuziki wa injili ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka Denmark na baadae kuishi Sweden
Alikutana na mwenza wake kwenye mtandao wa kimahusiano na kuweza kumfikisha Denmark.
Kwasasa ni Mama, mjasiriamali, na mfanyakazi
Alipata mtihani wa kuunguliwa nyumba ambapo mtoto wake alipata kuungua na moto na kumuathiri vibaya.
Ameuguza takribani mwaka mmoja, ambapo serikali imemnyang’anya mtoto na hivyo yuko kuzunguka mahakamani kudai mtoto wake.
Subscribe kwa TH-cam Channel yake @Selinawangusu
Thank you Selina for allowing this to be online
www.oda.international
Mwenyezi Mungu akupiganie umpate mwanao. Naamini Mwenyezi Mungu ATATENDA.
Mungu akusaidie umpate mtoto wako dada, hiloo kweli ni jaribu zito sana🙏
Pole sana Selina Mungu tunayemuita kwa jina la Yesu hajawahi kumuaibisha mwenye haki Wake simama ktk Imani TU Yesu anaweza atakupatia mwanao na ukipewa urudi kushuhudia na ukatoe sadaka ya kushukuru.
Hongera sana Dada Shena Leo sauti ya mgeni wako Iko chini
God will fight you battle hold on Him.
Dear Celina ❤
Ingia google tafuta NOVENA YA MTAKATIFU RITHA WA KASHIA..
SALI HIYO UTASHANGAA MIUJIZA YAKE.
NAOMBA SANA SANA USIZALAU HII
Daah! Mungu amsaidie huyu dada apewe mtoto wake maana hajafanya ukatili wowote
Asante sana gibo, mungu amesikia ❤
@@SelinawangusuPole sana
Mungu anaweza kugeuza hiyo sheria. Kwako tu, Soma. Neno fungu mdai Mungu , usiumie maana ni jatibu lako lazima ushinde
Pole sana serina Mungu akutagurie kwa Kira Jambo ❤
Naweka maombi kwa kweli inauma sina mtoto machozi yatoka sad story pole sana sama dada usikate tamaakabisa
Mungu wetu ni mwaminifu sana atafanya kitu kwa ajili yako usiogope Bwana Yesu atakushindia kwa hilo
Amen 🙏
@@SelinawangusuTafuta Novena ya Mt Rita wa Kashia uanze kusali novena ya siku 9 na shukurani 3
Ikiisha hiyo novena mtoto atarudi tuu❤❤
Tunakuombea celina , Mungu ni mwaminifu utampata mwanao. Ila nimejifunza sana hii nchi ya sweden sio ya kuikurupukia kabisa, inaumiza sana.
Pole sana. Mwenyezi Mungu atakusaidia utapata mtoto wako InshaAllah 🤲🏽
M/mungu atateda dada Kila kitu kitaenda Sawa inshaallah kheri
Pole mpenzi wangu kuwa mbali na mtt wako
Nchi za wenzetu sheria zako tofauti na kwetu
I feel sorry for this mom! Especially about her child taken away for no good reason at all! I am parent too! Kitu una weza fanya is to open a civil case against that department which took your child! Use evidences you already have, sick child, request assistance you already applied, etc This kind of lawsuit can sound frivolous lawsuit which is very helpful when comes to deal with government mistreatment! I did this in USA and works in my favor! Mwalimu kakuchukia call DCF so to punish parent! That is very normal in first world countries! Now this issues mostly happened in public schools not Private schools! I have some of my kids went into private schools and some in Public schools! But soon after I filed these lawsuits they never did that again! And I am raising my kids accordingly to my term not government written laws on books! And I am not those parents scared about kids being taken away! Kama ulivyo sema is very important to get yourself familiarize with everything where you are! Mfano Mkubwa people on mostly different part of the world think when comes to court you need a lawyer! Or is illegal to sue the government! It is your human rights, doesn’t matter even if you’re not citizen of that country! I sue US government way back even before I became US citizen without using a lawyer! I think you can do the same if you’re fluent in Swedish and good reader and writer without using a lawyer! All government in the world don’t want their citizens have knowledge of citizens basic rights which is assured to them by laws of that land! Your case is very painful experience as parent! But your case is even more painful because you have another sick child, literally they are abusing you to your sick child situation! God be with you! 🙏
Remember Mchungaji Mtikila kila kukicha used to take TZ government to court! And government didn’t harm him because of those lawsuits! Pamoja ya kwamba a lot of lawsuits was thrown away but good lesson to everyone sue a government is not a crime! 😀
sweden is not a good country ya kwenda watz wananyang'anywa sana watoto, wanateseka sana , jitie nia sister utampata mwanao, we are playing for you.
She Iz very Spiritually woman. Big Up to Her.
Be strong my dear sis, God is in control. All your passing through right now one day will be just a testimony. Sending you cyber hug🤗🤗
Oooh thanks you soo much, for your kindness. Hata naona siku yangu itaisha vyema kabisa. Mmekua wakarimu sana , na maneno mazuri yenye kutia faraja.
Oh my dear sister ,pole sana kwa mitihani iliyokukuta, our prayers are with you, and by God ,your child will be back in your hands soon. Mungu ni mwema na atakutendea miujiza , Amiin
Pole sana Mungu atakusaidia kupata mtoto wako
Asante dada Celine kwa ushauri mzuri❤ tutakukumbuka kwenye maombi
Kama ndo mapozi hiyo sauti bhas simulizi bundle langu mie mfyuuu
Mungu akufanyie wepesi Selina....asante kwa somo zuri
Pole sana Celina kwa matatizo ya kuuguliwa na kunyang'anywa mtoto. Mwenyezi Mungu atakuvusha kutoka kwenye matatizo. Mimi na familia yangu tunakuombea.
Woow, Nashukuru sana Anna, na nimefurahi kusikia utaniombea 🙏
Pole sn Selina kwa changamoto ya kuchukuliwa mtoto wako,tuko pamoja kwa maombi mwenyezi Mungu atatenda utarudishiwa mtoto wako🙏
Pole sana kwa mapito hayo mnayopitia. Shukuru Mwenyezi mungu na endelea kumuomba Mwenyezi mungu awasaidie katika kipindi hiki. Mna walimu na watoa taarifa wasio na huruma ambao ni wazi wamedhamiria hilo. Endelea kupambana.
Everything happened for reason pole kwakipindi iki unachopitia Mungu yupo nawe hakika Mungu atatia wepesi utapata mtoto wako
Pole sana Celina
Story yako Shena imenifurahisha😂 yani huyo muhudumu ni zile type za wadada ambao hawawezi kubarikiwa na Mungu sababu ya roho zao mbaya, wao wanapenda kuwatumia watu wengine kujifaidisha, mie ningemsemea kwa manager wake!😂
Me naenda kuchungulia TH-cam ili nilete majibu😂
Kuna watu wana sauti ndogo naturally jamani.,nina ushughuda.
I'm praying for you Selina❤️ sending you hugs & prayers💐
Mungu akupe amani na uweze kumrejesha mtoto nyumbani.
Pole sana dada
Pole sana Celine Mungu ni mwaminifu soon watakurudishia hope dear
Pole sana Selina jamani. Viatu vyako havinitoshi. Pole sana Mungu akutie nguvu. Nitakuweka kwenye maombi yangu jamani. Moyo umeniuma jamani.
Hizi nchi za watu ni mtihani sana haswa sisi wakuja.
Mungu amtie nguvu na kumfanyia wepesi 🙏
Mungu amtie nguvu na ampate mwanae🙏🙏🙏
Umenikumbuka mungu wangu=😂na atakukumbuka tu na utapata mtoto wetu In in sha Allah
Pole dada Mungu atakusaidia tu 😢😢
Tafuta lawyer mzuri wa kufuatilia (family lawyer) usinyamaze kimya
Toa na. Sadaka pia , sadaka itanene toa madhabahuni
Mungu akupiganie umpate mtoto wako umlee mwenyewe
Hii interview irudiwe, ilinoga sana .
Kabisaaa
Swali langu jmn kwani balozi zetu huwa zinasaidiaje km kwa Hilo tatizo Alishaenda?????
Yaani dada anaongea sauti ndooogo
Pole sanaa huwai mji si wakukaa jaman
😢 pole mama
she should go to court
Celine ukipata message hii please nicheki tuongee
Hii sauti ndogo sikuweza kuangalia mpk mwisho jaman
Daycare after school
Wewe 0ngeza sauti
In the name of Jesus Christ the son of the living God; your daughter will return back to you, Amen
Sauti yake haisikiki mwabiye aongeze
Hatukusikii
Ongeza sauti ya simu yako dear
Mungu atakusaidia lakini tuwe makini sana na watoto kwenye hizi nchi wao wanachoangalia mko wazazi wawili hawajui icho kitu wanachotaka mpange nyie wazazi lakini kutokana na uwezo wa maisha inabidi uriski tu mmoja afanyekazi mwengine apambane na mengine lakini Mungu ataleta miujiza utampata mwanao usichoke kufatilia dear
Anaongea sauti ndogo mno