Mwenyezi mungu aendelee kuwasimamia, mnapambana na kupambania familia zenu. Shukrani kwa kutupa muongozo wa yanayoendelea huko. Familia zijifunze kuwa na utu na pesa za ndugu zao wanaojitahidi kujitoa kutafuta ili kuendesha familia.
Msikae mkapigizana kelele Kila mmoja riski yake ipo kwa mungu… Kwakweli nilikuwa tanzania kwa madam nikaja oman kwa mtt ambae nilimlea mimi na sasa mwanae oia kaolewa ukiwa mzuri na madam atakuwa mzuri Ukiwa mfedhuli na madam na bos watakuwa hivyo hivyo Nimejijenga na familia yangu alhamdulilah
Acha ujinga wewe,si Kila mfanyakazi basi yeye ndo chanzo acha usenge kwanza inaonekana unafirwa shetani wewe na hao maboss zako Punda wa warabu mjinga wewe mpaka na makaburi ya ukoo wako kenge
@@annamussa185 ni kweli waarabu wengine si wema kama tulivyo Sisi kuna wema na wabaya huyo nae nakosea kusema mfedhuli ye ashukuru Kwa kupata pazuri lakin na wewe usiruhusu kinywa chako kutoa matusi tumia hekima kumjibu mtu
Oman kuna Watanzania wengi sana .Ubaloz wa Tanzania sijui unafanya nini Pale Watanzania wanateseka sijui kama Serikal haisikii hizi lawama na manung'niko ya watu
Poole nahongera mimi mwenyewe nipo uku omani changamoto nyingi kikubwa subra tu mimi ndio siruhusiwi ata kutoka kwenda dukani nipo ndani kama msukule😅😅 yani kuna siku niliomba kwenda dukani jamani uyu mama aligomba balaa imebidi tu niwe mpole
Maagent wa kitanzania wengi wa hovyo Sana ndo wanakandamiza wafanyakazi , yaani wametanguliza maslahi , mfilipino akipiga SIM ofisin hawarembi fasta wanamsaidia huyu anaewatetea ni muuwaji kama wengine Mimi nilishuhudia mauwaji ya mfilipino
Enheee hatimae makadama/shaghala tumefikiwa sasa ngoja niweke siti yàngu Sheena akitoka huyo ni mie make kama umekuja upande huu dada hutamaliza sisi tuna kesi nyingi balaaa yan 🔥 🔥 😅😅 Alafu Jmn ubalozini sijui Wana Kaz gan Jmn hawatiskilizi wa Tanzania wengi wanalalamika jaman badala watusaidie wanakua upande wa mabosi utadhan ubalozi uliwekwa Kwa ajil ya waoman na sio watanzania 💔
Waarabu usipojua haki zako hata miili Yao utawakanda cha kushangaza wanakuongezea kazi hawakuongezei mshahara ,kuzimiwa AC niliyapitia hayo wee mbn nikabadi nyumba mpaka Leo miaka mi4 , we jehanam ya uarabuni MTU akuzimie AC si uuwaji uo
Sorry to say this, nimefuatiliacsana story za uarabuni zote ni sad story . Ma agent nao wanawadanganya watu na mikataba yao. Waafrika tunafanyiana roho mbaya sana. If we are not united we will perish na tutafanyiwa vitu vibaya ( slavery mentality)
اقولك من آخر لا تغلطي على أهل عمان أهل عمان معرفين خيرهم أنتي كذابه مافيش خير لو صحيح كلامش ليش رجعتي مره ثانية؟؟؟ أتمنى أحد مسولين يتدخل وتتحاسب إساءة سمعة عمان وأهلها ويساعدها في ذالك
Mbona ninyi mna roho mbaya namna hiyo??? Kwani kuzungumza yaliyomkutaa ana makosa gani angekua katukana nchi na viongoz ndio makosa,ila kwakua anazungumza aliyoyapitia si mbaya acheni wazanzibari roho hizo ,, mm mwenyew nina miaka 8 Oman kuna mengi nilipitiia ila nilibdili nyumb ndompk sasa nipo so km hujapitia acheni kuwanyooshea vidole
Mm mwenyew Boc WA mwanzo nilikua blade alikua natabia za kuonyesha sehem za Siri na niliwahi mpiga Kofi maan sio wote tumekuja kufanya mambo ya kijinga wengine tumekuja kutafut pesa nilivyompig nikatuma voice nyumbn kuwa Boc alitak kuninalii ila nimempiga Kofi asijetokea akanishtak police nionekan mbaya nikaiwek voice km ushahid ,, Mzee tabia Yake ilikua kama nguo so kama MUMEO na watot wako hawako hivyo usiseme MTU muongo NI Vile wadada tunkaa kimya hatutak shida na sio kila mtu ni Malaya ,, ukute wewe unaeandik huu ujumb upo Muscat lkn ukienda blade wazee na vijnan Wana tabia za ajabu sana
Mwenyezi mungu aendelee kuwasimamia, mnapambana na kupambania familia zenu. Shukrani kwa kutupa muongozo wa yanayoendelea huko.
Familia zijifunze kuwa na utu na pesa za ndugu zao wanaojitahidi kujitoa kutafuta ili kuendesha familia.
Kwa huyo mlevi ningemnyoosha wallah hawez kunidhalilisha Kwa kia's kikubwa ivyo kama ni hiyo kazi basiii😅😅😅😅
Pole Dada na hongera kwa kutovunjika moyo.
Hi sister Shena, sorry I lost your contact information but love you, sister 🎉🎉🎉Rahma Ali from Kenya 🇰🇪
Watu wa huko ndio walivyo yaaani unabebwa kama zigo 😂😂😂 Mungu tulinde sisi watoto wako
Mimi hudhani ni ubalozi wa Kenya tu! 🇰🇪
Shena atimae umetufikia makadama tupo😂
Tujifunze sote
Maajent uarabun wanaroho mbaya ibilis hawa.shida tu ndo zinatuleta uku.
Msikae mkapigizana kelele
Kila mmoja riski yake ipo kwa mungu…
Kwakweli nilikuwa tanzania kwa madam nikaja oman kwa mtt ambae nilimlea mimi na sasa mwanae oia kaolewa ukiwa mzuri na madam atakuwa mzuri
Ukiwa mfedhuli na madam na bos watakuwa hivyo hivyo
Nimejijenga na familia yangu alhamdulilah
Weee tapika sababu hayajakukuta so huo ufedhuli wa zinaa mfanyakazi ndo anamuambukiza boss wake au
Acha ujinga wewe,si Kila mfanyakazi basi yeye ndo chanzo acha usenge kwanza inaonekana unafirwa shetani wewe na hao maboss zako Punda wa warabu mjinga wewe mpaka na makaburi ya ukoo wako kenge
@@annamussa185 ni kweli waarabu wengine si wema kama tulivyo Sisi kuna wema na wabaya huyo nae nakosea kusema mfedhuli ye ashukuru Kwa kupata pazuri lakin na wewe usiruhusu kinywa chako kutoa matusi tumia hekima kumjibu mtu
Namwelewa Sana
Hongeraaa
Pambana
Yaani Leo network ni shida😊
Hii dunia ina shida jamani nyi acheni tuu
Hiiii inapat one
Dada shena jistir kama mwanke wa kiislam anavotakiwa ok
Siku mtandao ukiwa mzuri mrudishe Prisca tumekosa mengi walahi, ukizingatia ni habari ya uarabuni
Chena kisuil omani wanasema kisuili sana
Oman kuna Watanzania wengi sana .Ubaloz wa Tanzania sijui unafanya nini Pale Watanzania wanateseka sijui kama Serikal haisikii hizi lawama na manung'niko ya watu
Huko Kuna ushetani warabu wapumbavu hawana utu hata kama Kuna Wema ni wachache,wanabaka wafanyakazi akitoka hapo unamuoma anaswali Yani ushenzi tu
prisca kama prisca😅 nime furahi kukuona
Haisikiki vz
Poole nahongera mimi mwenyewe nipo uku omani changamoto nyingi kikubwa subra tu mimi ndio siruhusiwi ata kutoka kwenda dukani nipo ndani kama msukule😅😅 yani kuna siku niliomba kwenda dukani jamani uyu mama aligomba balaa imebidi tu niwe mpole
😂😂namimi lakin mwaka wa 4
Ukitoka wanasema utabakwa
Kumbe hata Sisi mashaghala tunaruhusiwa dada Shena
Shagala Nini best ??
@@thobiethalibutu1465mdada wa kazi za ndani shaghala co shagala😂
Wanawake tunapambania Sana 😭🙏
Yani sijui nitakupa aje
Mateso
Shena mimi namiaka 15 sasa dubai nina story ndefu sana
Karibu sana +4367764790884
Busara haikutumika.
Dada shela nahitaji namba yako
Da sheina kuna watu wanapitia mengi uku uarabuni yani tunashukuru sn umetufika
Karibuni sana
Mi nilijua Ni Mambo na dating site tu, much love ❤ nikiwa Dubai I wish na Mimi nishee experience yangu
Hapa ni mahusiano na maisha Karibu sana +4367764790884
@@OfficialDatingAssistance Asante
Maagent wa kitanzania wengi wa hovyo Sana ndo wanakandamiza wafanyakazi , yaani wametanguliza maslahi , mfilipino akipiga SIM ofisin hawarembi fasta wanamsaidia huyu anaewatetea ni muuwaji kama wengine Mimi nilishuhudia mauwaji ya mfilipino
It’s very sad
Mnaokua mnahojiwa jaman muwe mnampa na da'shena nafasi ya kuongea mwee😢😢😭,ukiskia anakuuliza kitu skiliza ujibu story iwe tam zaidi😊
Network ilikua inasumbua that’s why 🥰
@@OfficialDatingAssistance ooooh sawa shena wetu 🥰
Enheee hatimae makadama/shaghala tumefikiwa sasa ngoja niweke siti yàngu Sheena akitoka huyo ni mie make kama umekuja upande huu dada hutamaliza sisi tuna kesi nyingi balaaa yan 🔥 🔥 😅😅
Alafu Jmn ubalozini sijui Wana Kaz gan Jmn hawatiskilizi wa Tanzania wengi wanalalamika jaman badala watusaidie wanakua upande wa mabosi utadhan ubalozi uliwekwa Kwa ajil ya waoman na sio watanzania 💔
Pole sana
Karibu sana kwenye kipindi +4367764790884
😂😂😂😂
Hapo umenena ndugu ubalozi wa Tanzania wanawasikiliza mabosi hii itapelekea kuwe na watorokaji wengi wakitanzania wanaoranda randa
@@OfficialDatingAssistance Asante Sheena wetu mzuri 😘😘
@@winny973 wapuuzi tu utadhan wataishi milele hapa duniani Mungu anawaona wallah Kila mtu anawalalamikia wao tu
Waarabu usipojua haki zako hata miili Yao utawakanda cha kushangaza wanakuongezea kazi hawakuongezei mshahara ,kuzimiwa AC niliyapitia hayo wee mbn nikabadi nyumba mpaka Leo miaka mi4 , we jehanam ya uarabuni MTU akuzimie AC si uuwaji uo
Sorry to say this, nimefuatiliacsana story za uarabuni zote ni sad story . Ma agent nao wanawadanganya watu na mikataba yao. Waafrika tunafanyiana roho mbaya sana. If we are not united we will perish na tutafanyiwa vitu vibaya ( slavery mentality)
Huko kwenu vp story zinafurahisha za wafanyakazi?
Asilimia ya maagent wa kiafrica hovyo Sana Wana laaana
🤝🤝🤝
Da shena mgeni wa leo 0
Wanapitia mateso kutokana na magroup ushauri mbovu
اقولك من آخر لا تغلطي على أهل عمان أهل عمان معرفين خيرهم أنتي كذابه مافيش خير
لو صحيح كلامش ليش رجعتي مره ثانية؟؟؟ أتمنى أحد مسولين يتدخل وتتحاسب إساءة سمعة عمان وأهلها ويساعدها في ذالك
Mbona ninyi mna roho mbaya namna hiyo??? Kwani kuzungumza yaliyomkutaa ana makosa gani angekua katukana nchi na viongoz ndio makosa,ila kwakua anazungumza aliyoyapitia si mbaya acheni wazanzibari roho hizo ,, mm mwenyew nina miaka 8 Oman kuna mengi nilipitiia ila nilibdili nyumb ndompk sasa nipo so km hujapitia acheni kuwanyooshea vidole
Mm mwenyew Boc WA mwanzo nilikua blade alikua natabia za kuonyesha sehem za Siri na niliwahi mpiga Kofi maan sio wote tumekuja kufanya mambo ya kijinga wengine tumekuja kutafut pesa nilivyompig nikatuma voice nyumbn kuwa Boc alitak kuninalii ila nimempiga Kofi asijetokea akanishtak police nionekan mbaya nikaiwek voice km ushahid ,, Mzee tabia Yake ilikua kama nguo so kama MUMEO na watot wako hawako hivyo usiseme MTU muongo NI Vile wadada tunkaa kimya hatutak shida na sio kila mtu ni Malaya ,, ukute wewe unaeandik huu ujumb upo Muscat lkn ukienda blade wazee na vijnan Wana tabia za ajabu sana