From south Africa Durban tunawapata vizuri sana SMS tunaomba makala ya Sisi wakimbizi huku kwa serikali hii iliyopo maderekani tutaendelea Ku ishi vizuri kama Zamani maana kamata ime Kua nyingi kwa kipind hiki cha karibuni
Mimi Niko Netherland ila nikirudi kazini kama sijaona hamuja jadili hamujaweka kipindi chocolate TH-cam bas nakua sina amani maana mukiwa munakadili hizi GPs bas niona Africa kuna future ❤❤
Daah aisee leo nimefurahi sana kwa kugusia mambo ya kihistoria na tunayoyasoma mashuleni na vyuoni. GPS imulikie hili na mfanye kipindi kirefu, nadhani tutafaidika sana
MI MKENYA MOJA KATIKA CHANEL PENDWA NI SNS NAPENDA SANA NEWS ILA SNS NDIO MAMA CHANNEL KWANGU NYENGINE PEMBENI NAPATA ILIMU AMBAZO SIKUWA NAZO SASA HIVI KATIKA KATIKA VIKAO VYA SIASA ZA WEST NA AFRICAN NIKIONGEA WATU HUNIULIZA NINESOMA WAPI NAWAMBIA NIKO ACADEMIC YA JD SMA
Yani tangu nianze kufatilia sns na mm kitaa na bishana kwa fact na wanakaa mpak wanajiuliz nimeanz kufatilia lini iv vitu kumbe kumbe na copy uku na pest kule😂
Sema Ali kaongea point nzuri Mabunge YETU yanatakiwa yaendelee nasisi wananchi tushilikishwe kwenye maamuzi ya kitaifa weka mkataba unda application tuzipigie kura hii inatakiwa ifanyiwe kazi 💯💯💯
Nyinyi ni LULU kwa taifa hili Mnatupa maarifa ambayo tunakosa kuyapata sehemu nyingine You complement each other SKY you moderate the team very well DJ SMA and MWINUKA are the best kwenye kutengeneza hoja na kuwa watulivu na pia wanajua mambo mengi sana. ALLY MASUBI is also good, changamoto yangu ni hakubali ku-learn and ku-unlearn, lakini pia ana interrupt wenzake sana. Not all the time you can be right Nawapongeza Sana
Dj smaa ..na kaka sky..wakati mwingine mualikeni dokta sure mje mdiskasi kuhusu history ya Africa history ya binadamu nakazalika ..hata kuhusu mambo ya sayansi ya dunia ..yule jamaa dokta sure anamadini Sana mualike kwenye kipindi
I agree with Ali, mfano kwa Korundiil bendera ni bendera. Ndege ya abiria ni bado ni ndege kwa kirundi. Mfano mwengine ni kiswaili tu nasema miaka kwa Kirundi ni imyaka! Kuna maneno mengi sana…. Msalimie Mzee wa Facts and Logic. From 🇨🇦 ila asili ni mbirundi
Nategemea Kufungua studio nikimaliza chuo. Henry lazima awe wakili wangu.(mwanasheria) yupo smart sana. Wenzake wakiongea anakaakimya kabisa sio anapata mhaho wa kutaka kuongea. Wote wapo sawa ila HENRY taaluma yake nntataka niitumie kwa kweli. Me ni Marketing degree holder mmoja ivi.❤
Round-table ya President Ruto na kina Linus mmeiskia ndugu zangu? tunaomba basi hiii mlete humu tuskie. alafu mkiweza tafuteni Mkenya muweze mpigia simu kwenye hiii discussion..that would be so cool
wana sns mpo vizuri sana, Tanzania na Afrika kwa ujumla tunaponzwa na ukoloni mamboleo,, mfumo huu wa elimu tumeletewa, kama tungelikua na mfumo mzuri wa elimu elimu Hawa mashujaa wetu tungeliwaenzi kwa kuwasimulia vizur
Brother sky mtafuteee jamaa mmoja anaitwaa thabit mrangi ni mzuri sana kuchambuaa mambo ya geopolitics very interesting.... Ajee aongezee nguvuu hapoo mtakuwaa mko full...
Brother's mambo ni mengi, kwanza mimi napenda Tujizoeshe kujita WABANTU kwanza na sio WA AFRIKA NA mukianza nyinyi apa sns itakua mwanzo mzuri wa kujikomboa. Chengine serekali zetu zinaongz kwa uwongo mwanzo hadi mwisho hakuna chengine, ndio maana historia ipo lakn wanadanganya. Wala hawajali.😢
Freddy Kuna min spiker kwaajili ya laptop unaweza ukatumia kwaajili ya kuongeza sauti lakini pia wakati wa editing unaweza ukaiweka ikaungana na video yote
Ruto mwizi na fisadi mkubwa tumemkataa. Mtu anongeo urongo kila siku na kufyonza pesa zetu. Tunataka sisi 🇰🇪 kujua kodi zetu zinaenda wapi,mikopo tunalipa ilifanya nini? Total audit ya deni yetu ndiyo tunataka period. Kisha ruto akanyange chini
Changing a Kenyan constitution is not easy, you have to go to the people and do what we call Referendum.... And going for referendum, is a lot of money.
Unajuwa dj sma mambo mengine yani yanatia hasira sana mambo ya uwongoz wakiafrika wanakuwa sio waadilifu..wanatia hasira kwer iv..yan wanakula keki yataifa wenyewe viongozi wakati wananchi wanahari mbaya..alafu wanatulimbikiza madeni makubwa mpaka wanatutia maden..wakati wao ndo wameenda kuchukua bila kutushirikisha...yan ni mambo ya ovyo sana hawa viongoz..yan yanatia hasira sana
sawa nimekuelewa sana na vizuri mnoo sasa naomba kujuwa kutoka kwako ndungu zangu wana gps je hamuoni ulazima wa nyinyi kuweka historia ya kweli kwa kizazi kijacho? na siyo kusema bila kuweka kwa faida hijayo mwisho na wapenda sana na kuwa kubali kwa dhati yangu...
Bro Sky ni ndoto ya mda mrefu naona Sns one day itakua Radio&TV ila sijui itakua lini,Lakini one day kitu hiyo itatokea moyo wang na ndoto zangu zinanambia hivo
Nakuja kuungana tena na Ally Masubi katika hili. Ruto mwenyewe alisema kwa kama angepata nafasi ya kuwaelekeza wakenya nini kipo kwenye mswada huo wa fedha basi wakenya wangemuelewa na kuupitisha. Ndo mana nasema naungana na Masubi kwasababu yawezekana kwenye chama chao ambacho ndicho kiliunda serikali ya Ruto walikubaliana ndani ya chama wapitishe mswada huo wao wakiamini kwa maslahi mapana ya taifa. Kwahiyo mpaka hapo Ruto na chama chake pamoja na wabunge wake hawawezi kujitoa kwenye hiyo lawama.
Sky,Ally,sma,Mwinuka, hongereni sn mumeanza kw kuongea kitu muhimu kuliko hiyo mada ya. Leo.hakuna uyatina umasikini lkn ujinnga km kuficha kufundisha historia ya ukweli ktk mashule na badala yake kupotosha haya ni maradhi yanayyofugwa ambayo mwisho wake ni kifo,lkn nii Zaidi ya ukoloni.
Kipindi changu pendwa aisee mnanipa burudani na elimu kubwa sanaa we love you ❤️ SNS
Ni Bonge la Darasa! Hongereni sana na thanks 🙏!
Dj smaa umeongea kitu ambacho. Mm ninakifanyia research na kukiandika na Mada mnayonzungumza hapa ninkama mpo kwenye mind yang bigup
Unarusha wapi
Wakenya wapewe maua yao tu 💐💐💐
SKY MUALIKE HAPO MPOKI BUYAMWANAGASYA, ISAYA BENSON MWAKILEMBE NA GPS TEAM KWENYE HIYO COVERAGE YA AFRICAN HISTORY HISTORY 👏
Comment yangu brother, 😂😂 Nasistiza Mpoki na Mwakilembe waalikwe tule miwa pamoja
Sema amualikee thabit mrangi yule ndio kasomea geopolitics na anafanana na hao.... Lile jembee
Yes thabit mlangi anatakiwa pia siku Moja moja
Asimuache pia Price Katega
@@GraceMashinga-be9wbMuda wake mchache sana yule, ni mhadhiri wa chuo kikuu Mwlm NYERERE.
From south Africa Durban tunawapata vizuri sana SMS tunaomba makala ya Sisi wakimbizi huku kwa serikali hii iliyopo maderekani tutaendelea Ku ishi vizuri kama Zamani maana kamata ime Kua nyingi kwa kipind hiki cha karibuni
Big love from Uganda 🇺🇬 GPS is the best
Nawapendaga sanaaa sns ❤watching from kenya
Historia ya mkwawa safi sana tuletee kwa kina. Nasikia alisilim huyo bingwa
Yaani hii kitu Cha history imekaa vizuri sana
Hongereni sana tukopamojaa nawapenda🎉
Today l listened to dudubaya and he is very knowledgeable on kenyan politics l think inviting him as a guest to the panel on this issue would be good
do you have that link or title nikamsikie kaka yangu? dada yako hapa toka Tanzania
@jedidahbam not sure which channel it was just type dudu Baya am sure itakua tu
@@yasminmustafa2282 thank you sir
❤❤❤❤mnafanya kazi nzuri sana. Love tokea Kenya
Tutasapoti innshaala kwamana tunapenda kujifunza Kila siku
Mimi Niko Netherland ila nikirudi kazini kama sijaona hamuja jadili hamujaweka kipindi chocolate TH-cam bas nakua sina amani maana mukiwa munakadili hizi GPs bas niona Africa kuna future ❤❤
Netherland ya Nyoko.
❤❤❤❤ sns🇰🇪🇰🇪
Daah aisee leo nimefurahi sana kwa kugusia mambo ya kihistoria na tunayoyasoma mashuleni na vyuoni.
GPS imulikie hili na mfanye kipindi kirefu, nadhani tutafaidika sana
I like the way you people express your opinions and analysis of current circumstances in Kenyan politics.Good job... watching from Eldoret Kenya
Tukiwa na nguvu in shaa Allah tuta support. Allah akuhifadhini na akuongozeni kila hatua zenu za maisha na maisha yenu.
Very smart people with a candid conversation. Kazi nzuri majirani
Also please note in kenya we have a new constitution so we are learning as we go
Waoo wapo vizur hawa
MI MKENYA MOJA KATIKA CHANEL PENDWA NI SNS NAPENDA SANA NEWS ILA SNS NDIO MAMA CHANNEL KWANGU NYENGINE PEMBENI NAPATA ILIMU AMBAZO SIKUWA NAZO SASA HIVI KATIKA KATIKA VIKAO VYA SIASA ZA WEST NA AFRICAN NIKIONGEA WATU HUNIULIZA NINESOMA WAPI NAWAMBIA NIKO ACADEMIC YA JD SMA
Yani tangu nianze kufatilia sns na mm kitaa na bishana kwa fact na wanakaa mpak wanajiuliz nimeanz kufatilia lini iv vitu kumbe kumbe na copy uku na pest kule😂
Insha'Allah tuko pamoja One love
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
+254
Nawapenda sana ❤
tunawafuatilia hapa Danmark ❤
Sema Ali kaongea point nzuri Mabunge YETU yanatakiwa yaendelee nasisi wananchi tushilikishwe kwenye maamuzi ya kitaifa weka mkataba unda application tuzipigie kura hii inatakiwa ifanyiwe kazi 💯💯💯
DJ nakupata vizuri sana nipo hapa England
Kwali na wapata GPS
Asanteni sana wote vichwa na Henry leo nampa maua yake kaua💐💐💐
Im proud of this crew guys.Keep it up
Mi lazima niwasaporti maana mnatudisha vingi sanaa big hug all member👊
Nyinyi ni LULU kwa taifa hili
Mnatupa maarifa ambayo tunakosa kuyapata sehemu nyingine
You complement each other
SKY you moderate the team very well
DJ SMA and MWINUKA are the best kwenye kutengeneza hoja na kuwa watulivu na pia wanajua mambo mengi sana.
ALLY MASUBI is also good, changamoto yangu ni hakubali ku-learn and ku-unlearn, lakini pia ana interrupt wenzake sana. Not all the time you can be right
Nawapongeza Sana
Dj smaa ..na kaka sky..wakati mwingine mualikeni dokta sure mje mdiskasi kuhusu history ya Africa history ya binadamu nakazalika ..hata kuhusu mambo ya sayansi ya dunia ..yule jamaa dokta sure anamadini Sana mualike kwenye kipindi
Dj sma ......angali historia ya ruto vizuri utamjua 😂
Mimi napenda sana ici kipindi niko Switezerland ndacangiya kwa kweli kitu tunapitiya uku Europ itakuwa Sawa
Pamoja frome Oman 🇴🇲
I agree with Ali, mfano kwa Korundiil bendera ni bendera. Ndege ya abiria ni bado ni ndege kwa kirundi. Mfano mwengine ni kiswaili tu nasema miaka kwa Kirundi ni imyaka! Kuna maneno mengi sana…. Msalimie Mzee wa Facts and Logic. From 🇨🇦 ila asili ni mbirundi
Na kuhusu kalenga nimefika ni pahala pazuri Sana
Yaan mnaongea point kinoma kama ungepata nafasi serikalin upande wa ushauri mmgeupiga mwingi sana 🫡
Baada ya kuangalia mahojiano na Mh W.Ruto na waandishi wa habari natamani kuona SNS siku Moja watakaa kama ule mdahalo Amen
Introduction nzuri san...
Nawaelewa sana wachambuzi, wakenya wakimpoteza Ruto watajuta, sababu namuona ni mtu mwenye maono ya mbali kama mwendazake awamu ya 5 wa Tz 😭😭😭
Mchukue ww akuonee wewe hayo maono😢
😂😂😂😂😂
Nategemea Kufungua studio nikimaliza chuo. Henry lazima awe wakili wangu.(mwanasheria) yupo smart sana. Wenzake wakiongea anakaakimya kabisa sio anapata mhaho wa kutaka kuongea. Wote wapo sawa ila HENRY taaluma yake nntataka niitumie kwa kweli. Me ni Marketing degree holder mmoja ivi.❤
Mungu awabariki sana Crew ao TEAM yenu iendelee kuwa hivo, MUNGU aepushe tu hewa mbaya isije tokea
This is so amazing guys🔥
Henry has a point here 1:05:07- 1:16:21
Nashukuru sana kwa GPS hii. Nimejifunza mengi.
Sema Henry Mwinuka anajua sana
Intro ya leo nimeipenda sana. ❤❤
CC AFRICA HISTORIA YENYE IKO NI YA RWANDA NA UGANDA YA IDI AMINI TU
sasa hiyo mzee jomo kenyatta na moi ndio walianzisha apa kenya
ndio maana hizo family mbili ndio tajiri na karibu arthi yote ya kenya wana miliki
Round-table ya President Ruto na kina Linus mmeiskia ndugu zangu? tunaomba basi hiii mlete humu tuskie. alafu mkiweza tafuteni Mkenya muweze mpigia simu kwenye hiii discussion..that would be so cool
Mwijaku wa Kenya yule au?😂😂😂😂😂
wana sns mpo vizuri sana, Tanzania na Afrika kwa ujumla tunaponzwa na ukoloni mamboleo,, mfumo huu wa elimu tumeletewa, kama tungelikua na mfumo mzuri wa elimu elimu Hawa mashujaa wetu tungeliwaenzi kwa kuwasimulia vizur
Ruto must Go
Makin sana
Asante sn wana sns,nmeguswa sn na hiyo historia ya ma chief wetu...plz muingie deep zaidi tutawa support
Noma sana huku dododo!
Big up sana brothers
Salute GPS
Brother sky mtafuteee jamaa mmoja anaitwaa thabit mrangi ni mzuri sana kuchambuaa mambo ya geopolitics very interesting.... Ajee aongezee nguvuu hapoo mtakuwaa mko full...
Zakayo must go 💔💔🇰🇪🇰🇪
Sky dj smaa ally mnafanya kazi nzuri sana yani mm mmenifanya nisiangalie tv wala chochote nikikosa gps nahisi kukosa raha kabisa
Tunashukuru sana Frank
Nawapenda sana wote big up sana wakali
hii katiba tuna tumia sahii ya 2010 ruto alikua anaipiga kwa kupiga NO wakati HIZO ni kibaki na raila ndio walisukuma sana ikapita
Kiukweli tutawasapot GPS na SNS coz tunawakubali sana
Ally mnigeria kweli ka change topic faster 😂
😂😂😂 aliona wanaenda mletea chawa wa migration
Pamoja sana nitasapoti
Dude does not even obey court orders..the judiciary declared the housing levy unconstitutional....huyu aende..we are tired
mmenichaniua wasee✌️
Ninasapot sana nikikanyaga tu tanzaniya nitasapot nduguzagu
Brother's mambo ni mengi, kwanza mimi napenda Tujizoeshe kujita WABANTU kwanza na sio WA AFRIKA
NA mukianza nyinyi apa sns itakua mwanzo mzuri wa kujikomboa.
Chengine serekali zetu zinaongz kwa uwongo mwanzo hadi mwisho hakuna chengine, ndio maana historia ipo lakn wanadanganya. Wala hawajali.😢
Big up guys🎉
Mungu awape nguvu kutupa elim natutakua pamoja.
🔥🔥🔥❤
Nimeipenda hi historia 🇲🇿 nachangia shilingi 1.000
Freddy Kuna min spiker kwaajili ya laptop unaweza ukatumia kwaajili ya kuongeza sauti lakini pia wakati wa editing unaweza ukaiweka ikaungana na video yote
Ruto mwizi na fisadi mkubwa tumemkataa. Mtu anongeo urongo kila siku na kufyonza pesa zetu. Tunataka sisi 🇰🇪 kujua kodi zetu zinaenda wapi,mikopo tunalipa ilifanya nini? Total audit ya deni yetu ndiyo tunataka period. Kisha ruto akanyange chini
Mabrooh mnamadini sana,Wanaotuongoza hatukuwachagua na tunaotaka wawe viongoz wetu Hawatakiwi na mfumo😢
Katika sehem pia tunapenda kujua historia yake ni KILWA
Kesho njoo mach
🎉🎉
Changing a Kenyan constitution is not easy, you have to go to the people and do what we call Referendum.... And going for referendum, is a lot of money.
Unajuwa dj sma mambo mengine yani yanatia hasira sana mambo ya uwongoz wakiafrika wanakuwa sio waadilifu..wanatia hasira kwer iv..yan wanakula keki yataifa wenyewe viongozi wakati wananchi wanahari mbaya..alafu wanatulimbikiza madeni makubwa mpaka wanatutia maden..wakati wao ndo wameenda kuchukua bila kutushirikisha...yan ni mambo ya ovyo sana hawa viongoz..yan yanatia hasira sana
KAZI SAFI SANA, NAWAKUBALI
sawa nimekuelewa sana na vizuri mnoo sasa naomba kujuwa kutoka kwako ndungu zangu wana gps je hamuoni ulazima wa nyinyi kuweka historia ya kweli kwa kizazi kijacho? na siyo kusema bila kuweka kwa faida hijayo mwisho na wapenda sana na kuwa kubali kwa dhati yangu...
Bro Sky ni ndoto ya mda mrefu naona Sns one day itakua Radio&TV ila sijui itakua lini,Lakini one day kitu hiyo itatokea moyo wang na ndoto zangu zinanambia hivo
Wachambuzi wote wa GPS peponi😂😂😂😂....wa kwanza kuingia n mwanasheria wetu, umetema nondo vibaya mnooooo....anafaa kuwa mshauri wa Ruto na kenya
Nakuja kuungana tena na Ally Masubi katika hili. Ruto mwenyewe alisema kwa kama angepata nafasi ya kuwaelekeza wakenya nini kipo kwenye mswada huo wa fedha basi wakenya wangemuelewa na kuupitisha. Ndo mana nasema naungana na Masubi kwasababu yawezekana kwenye chama chao ambacho ndicho kiliunda serikali ya Ruto walikubaliana ndani ya chama wapitishe mswada huo wao wakiamini kwa maslahi mapana ya taifa. Kwahiyo mpaka hapo Ruto na chama chake pamoja na wabunge wake hawawezi kujitoa kwenye hiyo lawama.
❤❤
Those members of parliament you're blaming, remember they were forced by being bribed 2M, to vote yes 😮😮😮
Subiti
Kiukweli yote mliyosema ni mazuri lakini lazima mfaham ukoloni Bado unaedelea Kwa njia zingine
Sky,Ally,sma,Mwinuka, hongereni sn mumeanza kw kuongea kitu muhimu kuliko hiyo mada ya. Leo.hakuna uyatina umasikini lkn ujinnga km kuficha kufundisha historia ya ukweli ktk mashule na badala yake kupotosha haya ni maradhi yanayyofugwa ambayo mwisho wake ni kifo,lkn nii Zaidi ya ukoloni.
Kaka sky naomba nafasi nijitolee kufanya kipindi cha michezo
Dar Ina uma sana😢
Natamani siku mzungumzie historia ya mashujaa wetu wa tanzania
😂😂😂😂😂😂Dj sma umenigusa . Yaani hata wasanii wetu wote. Hakuna ayewaza kaa Mchina anavyo igiza Gwarila war. Wasanii wetu historia zao ni Mapenzi tuu.
Kwenye ufisadi akikutwa kiongozi waweke sheria ya kukatwa kichwa
Watching from Kuwait....Ruto has not delivered anything... hatuna Imani na yy