RAIS RUTO akalia kiti cha MOTO kwa Maswali Magumu ya WAKENYA wenye HASIRA kwenye Space ya X

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 105

  • @KhamisBeja
    @KhamisBeja 3 วันที่ผ่านมา +14

    Njaa ni mbaya hakuna vita vya tonge kasaliti GZ wenziwe..

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 3 วันที่ผ่านมา +9

    ❤❤❤❤❤endeleeeni kuwa informer 🔥🔥🔥👊Bongo wanaomba ufungiwe😅😅 ndio ujue tupo miaka gani😊

  • @ashaherzog4488
    @ashaherzog4488 3 วันที่ผ่านมา +8

    Wasaliti walimsaliti Yesu kwahiyo sio laajabu!! Gen-Z stay focused and watch out those greedy Judaz around you

  • @mkoma49
    @mkoma49 3 วันที่ผ่านมา +3

    Kenya wanajitambua sana wanamfanya Rais akumbuke anawatumikia wao sio sisi uku ata kumuuliza tu Rais io nafasi hatupati

  • @shantisam-wo8wj
    @shantisam-wo8wj 3 วันที่ผ่านมา +15

    Kenyas to the top 🎉

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 3 วันที่ผ่านมา +8

    Huyu Ruto ameshajiona anangoka ndio anafanya haya lakin tumemchoka Kenya ni inchi tajiri sana lakin pesa yote inaishia kwa mifukoni mwao mabilioni yapesa .waziri analipwa laki 9 lakini kwa mwezi mmoja anatoa mchango makanisani zaidi ya million 50. Wanatoa wapi hii pesa

  • @kevicristian2738
    @kevicristian2738 3 วันที่ผ่านมา +5

    Man of the people
    (I remember this play😂)

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 3 วันที่ผ่านมา +2

    Tanzania sisi tunaifunga X kwa sabbu inakosoa serikali unajua binadam anakosea ndio maana kuna samahan vijan wa uvisisemu njaa itakuja kuwaua😂😂😂

  • @yasminmustafa2282
    @yasminmustafa2282 3 วันที่ผ่านมา +4

    As of the sons of judas iscariot l think it was expected..more reasons we don't have leaders or tribe....and as we forge shead we woll gain some and loose some...aluta continua

  • @petercley6230
    @petercley6230 วันที่ผ่านมา

    It is like Kenya is 100 years ahead of East African countries, kudos to Kenyan's and their President!

  • @Arrestgptucomedy
    @Arrestgptucomedy 3 วันที่ผ่านมา +4

    Lakini mbona rahisi wetu anatubeba aki .. imagine our mps Wana drive magari ya 5.7cc na pia bona hawa watu wanapewa hela nyingi hivi like wanakua treated like kings

  • @idrissahaji
    @idrissahaji 3 วันที่ผ่านมา +4

    Yawezekana anafanya hivyo ili kulinda usalama wake hamjui alipotekwa ametishwa na kushurutishwa kwa masharti gani

    • @daizzmwangi
      @daizzmwangi วันที่ผ่านมา

      Ashasalimiwa tukiamuwa nikung'oa jino tunatowa 😂

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 3 วันที่ผ่านมา +5

    Wasaliti lazima wangekuwepo,

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 3 วันที่ผ่านมา +1

    Jizi Ruto must go

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 3 วันที่ผ่านมา +2

    Ila Kenya nyie ni kibokoooooo....yaani mumemtoa jasho rais??????????😂😂😂😂😂😂😂 Ruto Hana hamuuuuuu😊😊😊komesha Marais wa Afrikaans wamezoeaaa kuburuza wanainch

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi 2 วันที่ผ่านมา

    Fisadi na muuwaji mkubwa Ruto must go

  • @ghhj-ij7xs
    @ghhj-ij7xs 3 วันที่ผ่านมา +1

    Betrayal on the city..money talks..Otero the betrayer😢😢#ruto must go back to sugoi

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 2 วันที่ผ่านมา +1

    otero alipewa 5 million na ruto

  • @khadijauthman4802
    @khadijauthman4802 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tanzania tuwacheni uchawa kutumiwa kimaslai na wanasiasa vijana wachangamke siasa ndio maisha.

  • @yasminmustafa2282
    @yasminmustafa2282 3 วันที่ผ่านมา +1

    First things first..l commend him for coming online cause that's where our demos are..point of correction..there were a total of 1.6M loggings to the exact space that's how much we eere longing for this...but its true at the actual space at sny given time were sround 1.7k..the space kept giving us errors..so we listened via tik tok and you tube as there were people who were streaming it live

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 3 วันที่ผ่านมา +1

    2027 utaona .... vile tutachagua mwenye tunataka. Corruption in kenya iko juu sana

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 3 วันที่ผ่านมา +2

    Mwizi ni mwizi

  • @msangitresor2310
    @msangitresor2310 3 วันที่ผ่านมา +2

    Hawajui maana ya Vita

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 3 วันที่ผ่านมา

    Ruto must go

  • @MalikshotelsMalikshotels
    @MalikshotelsMalikshotels 3 วันที่ผ่านมา +2

    RUTO MUST GO

    • @Qqambaa
      @Qqambaa 3 วันที่ผ่านมา +2

      Tano tena

    • @IbrahDeDonny-lv2lo
      @IbrahDeDonny-lv2lo 3 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@QqambaaMamaeee, Tano za wap??

  • @badarahmed1861
    @badarahmed1861 3 วันที่ผ่านมา +1

    King Ahab

  • @gchalijabiri3845
    @gchalijabiri3845 3 วันที่ผ่านมา +1

    Wakenya

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 วันที่ผ่านมา +2

    Imagine 3600 open jobs as a start for the youth...thats what am talking aboout. Kenya hawarushwirushwi hivi2..Uchumi wao utapanda kweli..sie Tanzania being lower-middle economy it is yet for her citizens to feel it..wealth is tilted to the few..kazi kweli kweli

    • @noel3290
      @noel3290 3 วันที่ผ่านมา

      Did you see those jobs? Who told you the arabic jobs didn’t exist bfr his rule

  • @user-wo1mu3bf4p
    @user-wo1mu3bf4p 3 วันที่ผ่านมา

    This man will not change his leadership he suppose to leave the office

  • @chande2k250
    @chande2k250 3 วันที่ผ่านมา +1

    Tuclaumu jamani serikali za kiafrika ni Noma uckute jamaa alifinywa na Hiyo Ndio punishment yake
    Mfano njoeni Bongo wasanii Wengi waliotekwa baada ya kuachiwa Hakuna walichoongea tusubirie sativa nae akitoka hospital alichoongea mpanda na atakachokuja kuongea tena Badae tutafurahi wackilizaji

  • @yasminmustafa2282
    @yasminmustafa2282 3 วันที่ผ่านมา +1

    Lakini huyu hutubeba mandazi sana yes the cancer clause was there inder the "specialised treatment tax"it never said cancer directly but isn't cancer under speacilised treatment....heck even dental and optical servises were about to sly rocket

  • @eunicemulaa939
    @eunicemulaa939 3 วันที่ผ่านมา

    So you think he's acting out of free will?

  • @stanleymanya438
    @stanleymanya438 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaàa!! Tutaelewana nae tu.

  • @sarafinawanja8549
    @sarafinawanja8549 3 วันที่ผ่านมา

    But you said mr president that you congratulate the police for a good job for the anarchist

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 วันที่ผ่านมา +1

    Raisi Ni Raisi2 Kama Amechaguliwa Atabaki Kua Raisi2

    • @ChumanaSusi
      @ChumanaSusi 2 วันที่ผ่านมา +1

      Orongo hawezi baki kama hatumtaki

  • @user-mh9hj3lx7q
    @user-mh9hj3lx7q 2 วันที่ผ่านมา

    Atero njaaaa mbaya broo

  • @bishweko
    @bishweko 3 วันที่ผ่านมา

    Utekwaji nyara na kuachiwa huru hayomaswala tumuulize Odinga. Anajua yaliyokuwa yanaendelea huko matekani.

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 3 วันที่ผ่านมา +2

    Am proud of you mr president you're very smart up stairs live long king

    • @GENZ.2026
      @GENZ.2026 3 วันที่ผ่านมา +1

      Shidwe pepo mbaya😏😏😏

    • @user-xn2ih2br7y
      @user-xn2ih2br7y 3 วันที่ผ่านมา

      Stop being stupid 😠😠

    • @ChumanaSusi
      @ChumanaSusi 2 วันที่ผ่านมา

      Urongo . Huyu si smart ni conman mkora na murongo sana

  • @djafro8729
    @djafro8729 3 วันที่ผ่านมา

    Sky , sma mtu ambae anaupendeleo kwa Ruto

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k 3 วันที่ผ่านมา

    Simulaumu huyo kijana wafrica tunawajua ukitekwa nyara n ufunguliwe hua unapewa mashariti sasa huyo asanaswa hana jinsi zaidi yakusalitii wenzake 😂

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 3 วันที่ผ่านมา

    Ruto amejiikanyaga kujipendekeza marekani na ulaya, wakenya wameipenda hiyo?

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 2 วันที่ผ่านมา

    Mchezo uliishia pale alipotekwa

  • @simonmartin5358
    @simonmartin5358 3 วันที่ผ่านมา

    Uweni wasaliti wote ! Hawafai Kaz iendelee

    • @yasminmustafa2282
      @yasminmustafa2282 3 วันที่ผ่านมา

      I pray they live to see that we push ahead and achieve what we started..
      Maumbwaa hao

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 3 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 rais halali jamaniii usiku anawaota Genziiiiiii😂😂😂....Kenya nyie kibokoooo...komesha wizi wa Afrika..

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g 3 วันที่ผ่านมา

    Alafu pia tulikwa na wasaliti apa washalipwa pesa

    • @simonmartin5358
      @simonmartin5358 3 วันที่ผ่านมา

      Uweni hao hawafai from ughaibun

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 วันที่ผ่านมา +1

    Umeonesha ukomavu Mr. President huwa nakosoa but today cna tamko

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 3 วันที่ผ่านมา +1

    Ruto yuko vizuri sana, wamenya sio wavumilivu tu

    • @Beautiful-Place
      @Beautiful-Place 3 วันที่ผ่านมา

      Wewe ni miongoni mwa wakina Ruto waongo sana

    • @oldchild3517
      @oldchild3517 3 วันที่ผ่านมา

      Mtu muongo,hajali wananchi,mtu anatoa watu ili wauwe wananchi ..alafu unasema n mtu mzuri!!?? Sikulaumu nalaumu waliokufunza huo ujinga

    • @theoriginals3240
      @theoriginals3240 3 วันที่ผ่านมา

      Nawaambia mtamkumbuka huyu jamaa

    • @oldchild3517
      @oldchild3517 3 วันที่ผ่านมา +1

      @@theoriginals3240 utamkumbuja ww na nyanya Yako..umbwa ww

    • @user-re4ve4nf3p
      @user-re4ve4nf3p 3 วันที่ผ่านมา

      ​@@theoriginals3240ww ndio utamkumbuka

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 3 วันที่ผ่านมา +7

    Huyu ni kiongozi bora, ana maono ya mbali. Nadhani atakuja kueleweka baadae sana akishatoka,

    • @BillyJames-l6x
      @BillyJames-l6x 3 วันที่ผ่านมา +1

      Nyamaza Ww mtu wa Tanzania hujui lolote bwana

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 3 วันที่ผ่านมา +2

      ..Rais wao sio mchezo RUTO Rais safi sana mie namkubali huyu jamaa. very calm and collected, the guy is courageous and has a beautiful mind..what he says and if he implements Kenya itaenda mbali sana...Ruto peleka Kenya mawinguni baba ipelekee..sie Jirani tuko nyuma yako mzee wangu

    • @BillyJames-l6x
      @BillyJames-l6x 3 วันที่ผ่านมา

      @@jedidahbintidaudi8241 Ww mkubali tu vyenye unataka tukishamtoa tutamsafirisha Tanzania mpambane na mwizi mkora muuaji nkt

    • @user-km1dm8et9x
      @user-km1dm8et9x 3 วันที่ผ่านมา +3

      Uyu ndo rais mwenye akili afrika

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 3 วันที่ผ่านมา

      @@user-km1dm8et9x yaani nakubaliana na wewe asilimia zote...Kenya wamepata!

  • @WILLY_SKY1
    @WILLY_SKY1 3 วันที่ผ่านมา +1

    Osama is a traitor alilipwa

  • @emmosilver6039
    @emmosilver6039 3 วันที่ผ่านมา

    Wakenya hamjui mtu mliyekuwa naye,kinachowasumbua ni mabeberu waliopo hapo na changamoto za kurithi.

  • @mitanakadorho2356
    @mitanakadorho2356 3 วันที่ผ่านมา

    Mwizi ni mwizi tuu, yoote haya ni matokeo ya Chebukati na Martha Koome, Mungu okowa Kenya na Zakayo na kundi lake

    • @Qqambaa
      @Qqambaa 3 วันที่ผ่านมา

      Akuna mtu mzuri ju pesa huongelesha mtu😂😂 ingia bunge uone ukitoka ukiwa kisaitola ndio utajua mbona ata wenye walikuwa mbona walishindwa kubadilisha so acha ruto afanye mambo yake tano yake ishie lets give the man a chance

    • @sarafinawanja8549
      @sarafinawanja8549 3 วันที่ผ่านมา +1

      You know these Tanzanias they don't know ruto, they talk recklessly, as if they live in Kenya, life is tough in Kenya without a job

  • @AnneOtieno-hi8uj
    @AnneOtieno-hi8uj 3 วันที่ผ่านมา

    𝐴𝑐𝑡𝑜𝑟

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 3 วันที่ผ่านมา +1

    Acha ruto aonge mmoja mmoja uko mafichoni maana hivyo ndivyo alivyozoea lakini huku tunamsubiri alete hizo pesa za wananchi, lakini ajue sio suluhisho

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x 3 วันที่ผ่านมา

    Kiukweli uyu jamaa ni kichwa yani akuna kama yeye afrika jamaa akili zake mingi

    • @bakariomari24omar21
      @bakariomari24omar21 3 วันที่ผ่านมา

      Huyu ni ndugu yake ibiliso humjui ww anaweza hata akatoa machozi hapo na mikamuonea huruma.

    • @venancemartin6734
      @venancemartin6734 3 วันที่ผ่านมา +1

      Hujui kingereza wewe, ndomaana unasema hakuna kama yeye Africa, ungekuwa unajua kile anachokijibu usingejaribu kusema stupid fact kama iyo.

    • @bakariomari24omar21
      @bakariomari24omar21 3 วันที่ผ่านมา

      ​@@venancemartin6734nikweli haelewi chochote wanachoongea wakenya

    • @Qqambaa
      @Qqambaa 3 วันที่ผ่านมา

      Ukitimiza ata robo,Tano Tena ndio utimize kabisa kura nakupa asubuhi na mapema

  • @aftapat5365
    @aftapat5365 3 วันที่ผ่านมา +2

    hao wengi wao ni malaya wanaoshinda huko xHamstar wakenya wamejazana ndio wanaoandamana biashara imekuwa ngumu

    • @mstaraabusantiago747
      @mstaraabusantiago747 3 วันที่ผ่านมา +1

      U luck brains that's why

    • @omarzinga7046
      @omarzinga7046 3 วันที่ผ่านมา +2

      Malaya wako Instagram x ni ya wasomi

    • @carolinekasiemeka9848
      @carolinekasiemeka9848 3 วันที่ผ่านมา

      @aftapat5365 shame on you... Wewe ndiye malaya, mkuu kahaba wa kimataifa. Wewe ndiwe mwalimu wao. Pepo Nyeusi. Ushindwe ! Shetani wewe.

    • @aftapat5365
      @aftapat5365 3 วันที่ผ่านมา

      @@carolinekasiemeka9848 Dada sio uongo nenda huko google andika hivi xHamstar kenya live utawakuta tena mpaka ambao unawajua wako live tena mpaka dau wanatangaza hawalali maasa 24 kwani uongo