Huyu Ruto ameshajiona anangoka ndio anafanya haya lakin tumemchoka Kenya ni inchi tajiri sana lakin pesa yote inaishia kwa mifukoni mwao mabilioni yapesa .waziri analipwa laki 9 lakini kwa mwezi mmoja anatoa mchango makanisani zaidi ya million 50. Wanatoa wapi hii pesa
As of the sons of judas iscariot l think it was expected..more reasons we don't have leaders or tribe....and as we forge shead we woll gain some and loose some...aluta continua
Lakini mbona rahisi wetu anatubeba aki .. imagine our mps Wana drive magari ya 5.7cc na pia bona hawa watu wanapewa hela nyingi hivi like wanakua treated like kings
Ila Kenya nyie ni kibokoooooo....yaani mumemtoa jasho rais??????????😂😂😂😂😂😂😂 Ruto Hana hamuuuuuu😊😊😊komesha Marais wa Afrikaans wamezoeaaa kuburuza wanainch
First things first..l commend him for coming online cause that's where our demos are..point of correction..there were a total of 1.6M loggings to the exact space that's how much we eere longing for this...but its true at the actual space at sny given time were sround 1.7k..the space kept giving us errors..so we listened via tik tok and you tube as there were people who were streaming it live
Imagine 3600 open jobs as a start for the youth...thats what am talking aboout. Kenya hawarushwirushwi hivi2..Uchumi wao utapanda kweli..sie Tanzania being lower-middle economy it is yet for her citizens to feel it..wealth is tilted to the few..kazi kweli kweli
Tuclaumu jamani serikali za kiafrika ni Noma uckute jamaa alifinywa na Hiyo Ndio punishment yake Mfano njoeni Bongo wasanii Wengi waliotekwa baada ya kuachiwa Hakuna walichoongea tusubirie sativa nae akitoka hospital alichoongea mpanda na atakachokuja kuongea tena Badae tutafurahi wackilizaji
Lakini huyu hutubeba mandazi sana yes the cancer clause was there inder the "specialised treatment tax"it never said cancer directly but isn't cancer under speacilised treatment....heck even dental and optical servises were about to sly rocket
..Rais wao sio mchezo RUTO Rais safi sana mie namkubali huyu jamaa. very calm and collected, the guy is courageous and has a beautiful mind..what he says and if he implements Kenya itaenda mbali sana...Ruto peleka Kenya mawinguni baba ipelekee..sie Jirani tuko nyuma yako mzee wangu
Akuna mtu mzuri ju pesa huongelesha mtu😂😂 ingia bunge uone ukitoka ukiwa kisaitola ndio utajua mbona ata wenye walikuwa mbona walishindwa kubadilisha so acha ruto afanye mambo yake tano yake ishie lets give the man a chance
@@carolinekasiemeka9848 Dada sio uongo nenda huko google andika hivi xHamstar kenya live utawakuta tena mpaka ambao unawajua wako live tena mpaka dau wanatangaza hawalali maasa 24 kwani uongo
Njaa ni mbaya hakuna vita vya tonge kasaliti GZ wenziwe..
❤❤❤❤❤endeleeeni kuwa informer 🔥🔥🔥👊Bongo wanaomba ufungiwe😅😅 ndio ujue tupo miaka gani😊
Wasaliti walimsaliti Yesu kwahiyo sio laajabu!! Gen-Z stay focused and watch out those greedy Judaz around you
Kenya wanajitambua sana wanamfanya Rais akumbuke anawatumikia wao sio sisi uku ata kumuuliza tu Rais io nafasi hatupati
Kenyas to the top 🎉
Huyu Ruto ameshajiona anangoka ndio anafanya haya lakin tumemchoka Kenya ni inchi tajiri sana lakin pesa yote inaishia kwa mifukoni mwao mabilioni yapesa .waziri analipwa laki 9 lakini kwa mwezi mmoja anatoa mchango makanisani zaidi ya million 50. Wanatoa wapi hii pesa
Ruto must go
Man of the people
(I remember this play😂)
Tanzania sisi tunaifunga X kwa sabbu inakosoa serikali unajua binadam anakosea ndio maana kuna samahan vijan wa uvisisemu njaa itakuja kuwaua😂😂😂
As of the sons of judas iscariot l think it was expected..more reasons we don't have leaders or tribe....and as we forge shead we woll gain some and loose some...aluta continua
It is like Kenya is 100 years ahead of East African countries, kudos to Kenyan's and their President!
Lakini mbona rahisi wetu anatubeba aki .. imagine our mps Wana drive magari ya 5.7cc na pia bona hawa watu wanapewa hela nyingi hivi like wanakua treated like kings
Yawezekana anafanya hivyo ili kulinda usalama wake hamjui alipotekwa ametishwa na kushurutishwa kwa masharti gani
Ashasalimiwa tukiamuwa nikung'oa jino tunatowa 😂
Wasaliti lazima wangekuwepo,
Jizi Ruto must go
Ila Kenya nyie ni kibokoooooo....yaani mumemtoa jasho rais??????????😂😂😂😂😂😂😂 Ruto Hana hamuuuuuu😊😊😊komesha Marais wa Afrikaans wamezoeaaa kuburuza wanainch
Fisadi na muuwaji mkubwa Ruto must go
Betrayal on the city..money talks..Otero the betrayer😢😢#ruto must go back to sugoi
otero alipewa 5 million na ruto
Tanzania tuwacheni uchawa kutumiwa kimaslai na wanasiasa vijana wachangamke siasa ndio maisha.
First things first..l commend him for coming online cause that's where our demos are..point of correction..there were a total of 1.6M loggings to the exact space that's how much we eere longing for this...but its true at the actual space at sny given time were sround 1.7k..the space kept giving us errors..so we listened via tik tok and you tube as there were people who were streaming it live
2027 utaona .... vile tutachagua mwenye tunataka. Corruption in kenya iko juu sana
Mwizi ni mwizi
Hawajui maana ya Vita
Ruto must go
RUTO MUST GO
Tano tena
@@QqambaaMamaeee, Tano za wap??
King Ahab
Wakenya
Imagine 3600 open jobs as a start for the youth...thats what am talking aboout. Kenya hawarushwirushwi hivi2..Uchumi wao utapanda kweli..sie Tanzania being lower-middle economy it is yet for her citizens to feel it..wealth is tilted to the few..kazi kweli kweli
Did you see those jobs? Who told you the arabic jobs didn’t exist bfr his rule
This man will not change his leadership he suppose to leave the office
Tuclaumu jamani serikali za kiafrika ni Noma uckute jamaa alifinywa na Hiyo Ndio punishment yake
Mfano njoeni Bongo wasanii Wengi waliotekwa baada ya kuachiwa Hakuna walichoongea tusubirie sativa nae akitoka hospital alichoongea mpanda na atakachokuja kuongea tena Badae tutafurahi wackilizaji
Lakini huyu hutubeba mandazi sana yes the cancer clause was there inder the "specialised treatment tax"it never said cancer directly but isn't cancer under speacilised treatment....heck even dental and optical servises were about to sly rocket
So you think he's acting out of free will?
Huyu jamaàa!! Tutaelewana nae tu.
But you said mr president that you congratulate the police for a good job for the anarchist
Raisi Ni Raisi2 Kama Amechaguliwa Atabaki Kua Raisi2
Orongo hawezi baki kama hatumtaki
Atero njaaaa mbaya broo
Utekwaji nyara na kuachiwa huru hayomaswala tumuulize Odinga. Anajua yaliyokuwa yanaendelea huko matekani.
Am proud of you mr president you're very smart up stairs live long king
Shidwe pepo mbaya😏😏😏
Stop being stupid 😠😠
Urongo . Huyu si smart ni conman mkora na murongo sana
Sky , sma mtu ambae anaupendeleo kwa Ruto
Simulaumu huyo kijana wafrica tunawajua ukitekwa nyara n ufunguliwe hua unapewa mashariti sasa huyo asanaswa hana jinsi zaidi yakusalitii wenzake 😂
Ruto amejiikanyaga kujipendekeza marekani na ulaya, wakenya wameipenda hiyo?
Mchezo uliishia pale alipotekwa
Uweni wasaliti wote ! Hawafai Kaz iendelee
I pray they live to see that we push ahead and achieve what we started..
Maumbwaa hao
😂😂😂 rais halali jamaniii usiku anawaota Genziiiiiii😂😂😂....Kenya nyie kibokoooo...komesha wizi wa Afrika..
Alafu pia tulikwa na wasaliti apa washalipwa pesa
Uweni hao hawafai from ughaibun
Umeonesha ukomavu Mr. President huwa nakosoa but today cna tamko
Hana njia nyengine
Mmh
Ni kwel kbs
Ruto yuko vizuri sana, wamenya sio wavumilivu tu
Wewe ni miongoni mwa wakina Ruto waongo sana
Mtu muongo,hajali wananchi,mtu anatoa watu ili wauwe wananchi ..alafu unasema n mtu mzuri!!?? Sikulaumu nalaumu waliokufunza huo ujinga
Nawaambia mtamkumbuka huyu jamaa
@@theoriginals3240 utamkumbuja ww na nyanya Yako..umbwa ww
@@theoriginals3240ww ndio utamkumbuka
Huyu ni kiongozi bora, ana maono ya mbali. Nadhani atakuja kueleweka baadae sana akishatoka,
Nyamaza Ww mtu wa Tanzania hujui lolote bwana
..Rais wao sio mchezo RUTO Rais safi sana mie namkubali huyu jamaa. very calm and collected, the guy is courageous and has a beautiful mind..what he says and if he implements Kenya itaenda mbali sana...Ruto peleka Kenya mawinguni baba ipelekee..sie Jirani tuko nyuma yako mzee wangu
@@jedidahbintidaudi8241 Ww mkubali tu vyenye unataka tukishamtoa tutamsafirisha Tanzania mpambane na mwizi mkora muuaji nkt
Uyu ndo rais mwenye akili afrika
@@user-km1dm8et9x yaani nakubaliana na wewe asilimia zote...Kenya wamepata!
Osama is a traitor alilipwa
Wakenya hamjui mtu mliyekuwa naye,kinachowasumbua ni mabeberu waliopo hapo na changamoto za kurithi.
Hanashida kabisa.
Mwizi ni mwizi tuu, yoote haya ni matokeo ya Chebukati na Martha Koome, Mungu okowa Kenya na Zakayo na kundi lake
Akuna mtu mzuri ju pesa huongelesha mtu😂😂 ingia bunge uone ukitoka ukiwa kisaitola ndio utajua mbona ata wenye walikuwa mbona walishindwa kubadilisha so acha ruto afanye mambo yake tano yake ishie lets give the man a chance
You know these Tanzanias they don't know ruto, they talk recklessly, as if they live in Kenya, life is tough in Kenya without a job
𝐴𝑐𝑡𝑜𝑟
Acha ruto aonge mmoja mmoja uko mafichoni maana hivyo ndivyo alivyozoea lakini huku tunamsubiri alete hizo pesa za wananchi, lakini ajue sio suluhisho
Kiukweli uyu jamaa ni kichwa yani akuna kama yeye afrika jamaa akili zake mingi
Huyu ni ndugu yake ibiliso humjui ww anaweza hata akatoa machozi hapo na mikamuonea huruma.
Hujui kingereza wewe, ndomaana unasema hakuna kama yeye Africa, ungekuwa unajua kile anachokijibu usingejaribu kusema stupid fact kama iyo.
@@venancemartin6734nikweli haelewi chochote wanachoongea wakenya
Ukitimiza ata robo,Tano Tena ndio utimize kabisa kura nakupa asubuhi na mapema
hao wengi wao ni malaya wanaoshinda huko xHamstar wakenya wamejazana ndio wanaoandamana biashara imekuwa ngumu
U luck brains that's why
Malaya wako Instagram x ni ya wasomi
@aftapat5365 shame on you... Wewe ndiye malaya, mkuu kahaba wa kimataifa. Wewe ndiwe mwalimu wao. Pepo Nyeusi. Ushindwe ! Shetani wewe.
@@carolinekasiemeka9848 Dada sio uongo nenda huko google andika hivi xHamstar kenya live utawakuta tena mpaka ambao unawajua wako live tena mpaka dau wanatangaza hawalali maasa 24 kwani uongo