GPS: RAIS Ruto yupo KIKAANGONI bado, WAKENYA kurudi kuandamana, si Muswada tena, ni MATUMIZI Makubwa

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 290

  • @fatmabukuku5384
    @fatmabukuku5384 2 วันที่ผ่านมา +52

    Vijana wa Kenya wametoa funzo kubwa sana kwa vijana wa nchi zingine za Africa.

    • @simonmartin5358
      @simonmartin5358 2 วันที่ผ่านมา +3

      Yah is that true.

    • @BenPeter-vp2cy
      @BenPeter-vp2cy 2 วันที่ผ่านมา +1

      Hususan kwetu Tanzania tunapaswa kugeuza uoga kuwa courage kunakiongoz alitutusi kwa kusema tuamie rwanda asee dah

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 วันที่ผ่านมา

      Hadi vijana wa hovyo nao???😁😁

    • @BenPeter-vp2cy
      @BenPeter-vp2cy วันที่ผ่านมา

      @@jeremiahcharles6027 wote

    • @leonardyona1462
      @leonardyona1462 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hasa Tanzania

  • @benoseaone
    @benoseaone 2 วันที่ผ่านมา +67

    Nimesikuliza sana Hotuba ya Ruto lakini binafsi nimeona mambo mengi.
    1. Ruto amepoteza kujiamini na anajaribu kutafuta huruma ya wananchi wake.
    2. Amethibitisha kwamba Serikali yake haijui nini inataka kufanya na kusimamia mpaka wakumbushwe majukumu.
    3. Ameshakumbuka alichokuwa amesahau kwamba nchi ni mali ya wananchi.
    4. Ruto hajui Kusoma nyakati.
    Finally, alipaswa kuvunja Serikali Kisha ajiuzuru kwa kuwa tayari ameshaonesha udhaifu katika kusimamia masrahi ya Taifa.

    • @lusajondaga4892
      @lusajondaga4892 2 วันที่ผ่านมา

      😊

    • @cocotz1892
      @cocotz1892 2 วันที่ผ่านมา +4

      💯

    • @omarsirleem7105
      @omarsirleem7105 2 วันที่ผ่านมา +5

      swadakta ndugu umeongea ukweli.....watanzania tunawapenda

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 วันที่ผ่านมา +6

      Kiongozi yeyote hata kama ni Rais lazima ukubali kukosolewa Kiongozi asiyekuvali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi lazima aelewane na wananchi wake

    • @ShabanKarim-tv3vn
      @ShabanKarim-tv3vn 2 วันที่ผ่านมา +1

  • @WazirBoy-fe5ew
    @WazirBoy-fe5ew 2 วันที่ผ่านมา +29

    Sio kenya , hata Tanzania ndio uozo mtupu. Mama na kina mwigulu.nchemba na ccm wote waondoke kama inavyoendelea south Africa, tumechoka kunyonywa damu

    • @missp1814
      @missp1814 2 วันที่ผ่านมา +2

      Wacha warelax tu muda utaongea😂😂....

    • @BenPeter-vp2cy
      @BenPeter-vp2cy 2 วันที่ผ่านมา +1

      Ndo alisema kama atutaki tozo twende rwanda .

  • @JacksonYusuph
    @JacksonYusuph 2 วันที่ผ่านมา +11

    Kwanza kabisa niwashukuru SNS kwa kuanzisha kipindi cha GPS na kuanza kuchambua mambo kadha wa kadha. Mliyokuwa mkiyaongea/kuyachambua siku chache nyuma yametokea. Big up sana !!

  • @hafidhmiraji9479
    @hafidhmiraji9479 2 วันที่ผ่านมา +4

    Dj smaa we ni hatari bro daaahhh uko njema

  • @alisalimkenya3972
    @alisalimkenya3972 วันที่ผ่านมา +2

    Dj sma Ana PhD ya uchambuzi nimekufwatilia zamani , salute

  • @mariamhassan1723
    @mariamhassan1723 2 วันที่ผ่านมา +10

    Kwanzo KDFaskari kazi yake ni kulinda mipaka ya nchi hawezi kupiga risasi ndani ya nchi##Ruto must go

  • @Omosh003
    @Omosh003 2 วันที่ผ่านมา +9

    Iwe jua, iwe mvua, he must GO.

  • @everrineanyango7410
    @everrineanyango7410 2 วันที่ผ่านมา +8

    We need ruto to gasp for air,aongoze akijua anaongoza raia siyo Bibi,mamake,watoto,mpango wa kando,ruto akifaulu kuongoza hii Kenya miaka mitano basi atakua amechoka sana na kuzeeka,awe pia mwangalifu asije pigwa lisasi na security wake

  • @samirmswahili
    @samirmswahili 2 วันที่ผ่านมา +2

    Dah polen sana ndugu zetu mungu awatie nguvu katka kipind munachopitia

  • @WazirBoy-fe5ew
    @WazirBoy-fe5ew 2 วันที่ผ่านมา +12

    Hawezi kabisa kujiuzulu kwa sababu keshakula pesa za marrekani

    • @benoseaone
      @benoseaone 2 วันที่ผ่านมา +1

      Kula pesa za Marekani isiwe kigezo cha kuwabenesha raia wa Kenya mzigo ambao hawakuutaka wao.
      Akalipe mwenyewe

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 2 วันที่ผ่านมา +3

    Na hapo kwenye wapinzani ku take advantage ndio unamkumbuka sun tzu kwenye art of war " when things mess around take the advantage" yani kufa kufaana.. dj sma anaelewa hii❤❤

    • @djsma255
      @djsma255 วันที่ผ่านมา

      Uko vizur

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 วันที่ผ่านมา +6

    Duh ,,,kama wananchi wanaamua hivo ,,bila shaka kuna watu wanaifadhili hii ishu,,,kuna watu wazito wako nyuma

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 2 วันที่ผ่านมา +5

    Acheni kuongelea hizi mambo mna mtisha raisi wenyu Samia nasikia ........... nyie hamuoni hata Millard Ayo hame simamisha kupost😂

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 วันที่ผ่านมา +9

    Ruto hutuba yake sikuitegemea ilivyosema.... vile nilidhani atajiuzuru....Kenya stand up All the best mpka mpate haki zenu maraisi wa Africa iwe fundishoo kutoka Kenya

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 2 วันที่ผ่านมา +2

    SNS mpo vizuri sana...

  • @user-vx1vb4cz6m
    @user-vx1vb4cz6m 2 วันที่ผ่านมา +3

    GPS Hongera Hongera Tena kwa uchambuzi wenu ulio kuwa pansa na wasi

  • @destindjumbe8023
    @destindjumbe8023 2 วันที่ผ่านมา +4

    Kizuri Ruto must go, wanatuleteya muswada wa kufanya Watu wateketeye hao they dont care.

  • @simonmartin5358
    @simonmartin5358 2 วันที่ผ่านมา +3

    Kuna mke wa zakayo naye anasumbua sana kwenye taifa la ughaibun naye amekuwa kero tena shidaa hajui nini maana ya maisha ya mnyonge. Ipo siku mnyonge mnyongen lakin hakiyake mtatoa.

  • @mohamedabdulkadir6186
    @mohamedabdulkadir6186 2 วันที่ผ่านมา +6

    Jamaa anatuma hadi snipers kuuwa protesters. Snipers walikua located kwa jengo la KICC juu😢

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g 2 วันที่ผ่านมา +5

    Leo ndio FINAL MAANDAMANO

  • @salimsoyo8118
    @salimsoyo8118 2 วันที่ผ่านมา +4

    Balaaa sana must go

  • @simonmartin5358
    @simonmartin5358 2 วันที่ผ่านมา +2

    Mshupaza shingo huvu jika kabisa ruto must go

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 2 วันที่ผ่านมา +7

    Dah alishindwa kuwaambia polisi wasiwaue watu, kashabeba dhambi za damu za watu, honest is too bad,

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 2 วันที่ผ่านมา +2

    Samahani bro ni kimekosea kuituma hapo.
    Utuko pamoja bro.

  • @user-vt6du7ll8l
    @user-vt6du7ll8l 2 วันที่ผ่านมา +3

    Mkiwa pamoja habari ndo inanoga vzr

  • @djafro8729
    @djafro8729 2 วันที่ผ่านมา +3

    Ruto must go

  • @halimamunga1681
    @halimamunga1681 2 วันที่ผ่านมา +4

    Tuisubili hii TANZANIA tizama migomo ya kufanya biashara hii itatupeleka mbali kama viongozi hawata sikiliza wananchi

  • @KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r
    @KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r 2 วันที่ผ่านมา +6

    PIYA TANZANIA YENU IZUNGUMZIENI LISU ANAANDAMANA PIYA AU AMONI? AU MPAKA WATU WAFE NDO YATAITWA MAANDAMANO? AU KUMUOGOPA SAANA SAMIA? MBONA MUNAMPAMBA SAANA UYO MAMA WENU AU MNASAAU KM NILAZIMA AWASAIDIE RAIYA YEYE KM RAHISI? TANZANIA MDOMO SANA NA YAKWENU YANAWASHINDA TUACHENI NA KENYA YETU😭😭

    • @richardrichope3528
      @richardrichope3528 2 วันที่ผ่านมา +1

      Yani wakenya sijui vichwa vyenu vina nini au ni ujii? Watu huku tunataka muungano wewe unataka kenya kaa nayo tumekuachia mginga nini

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 2 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅 mwache Mwenzio akili imevurugika na mabomu ya machozi😅😅😅​@@richardrichope3528

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 2 วันที่ผ่านมา +2

      Sio rahis kiivyo ila (MUDA UTAONGEA SISI AFRICA NI NDUGU)🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪❤️❤️

  • @user-en2md9kn5n
    @user-en2md9kn5n 2 วันที่ผ่านมา +1

    Samia must go😂😂

  • @mkambotv5418
    @mkambotv5418 2 วันที่ผ่านมา +1

    Haja withdraw. Amekataa kusign tuu ila after 14 days mswada utakuwa sheria automatically. Bunge linaenda mapumziko mpaka 24 july, siku 14 zitakuwa zimeisha.

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 2 วันที่ผ่านมา +1

    600ml k/sh ndio bajet ya first lady? Hii sio sawa.

  • @harithimahmoud1577
    @harithimahmoud1577 2 วันที่ผ่านมา +1

    ALIILANI URUSI HATIMAE MUNGU KAMLAANI YEYE 😂 RUTO NI RAIS WA HOVYO SANA

  • @rosekulola8355
    @rosekulola8355 2 วันที่ผ่านมา +7

    Hawezi withdraw financial bill amekataa kusign of which asipoipresent parliament in 14 days inakuwa law so anajifanya smart kumbe kuna wasomi Kenya

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 2 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂

    • @ProdactTV-T9814
      @ProdactTV-T9814 2 วันที่ผ่านมา +3

      Na parliament inaenda recess till July 24.
      Ruto anafikiria sisi ni mafala.

  • @abdallasaid5593
    @abdallasaid5593 2 วันที่ผ่านมา +1

    You can't advise Ruto ....Ruto is the one who advise his advisors.... huwezi elewa😂😂

  • @Nagmah-gf4lp
    @Nagmah-gf4lp 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mungu saidia

  • @M7-Band
    @M7-Band 2 วันที่ผ่านมา +4

    Tatizo jamaa anajifanya so smart,but vijana wa saivi ten steps ahead of him,we cant trust him anymore.
    hata kama amekataa kusign,after 14days inakuwa sheria

  • @Eng2460
    @Eng2460 2 วันที่ผ่านมา

    This is SnS🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 2 วันที่ผ่านมา +7

    Tatizo la ruto ni kujifanya m babe kwa wananch wa kenya huu upuuuz labda kwetu tz il xo kwa Gn Z #kenya
    Na huku kwetu tz watoto wa 2000 kinukixheni

    • @KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r
      @KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r 2 วันที่ผ่านมา +2

      KWELI KBX KAKA TZ WASAANI WANAMPAMBA SAANA UYO MAMA SAMIA WANASAAU KM NIMAJUKUMU YAKE ANALAZIMIKA AFANYE NA YAKIMXHINDA ATOKE KILA SIKU MAMA MAMA MNASAAU KM KIJIJINI WATU TUNA ANGAIKA YAANI KAWA WEKEYA MADARAJA DAR 2 BS MNAONA TZ IMEFANA DAH😭😭

    • @user-hj4bc5uh2x
      @user-hj4bc5uh2x 2 วันที่ผ่านมา

      Watoto wa 2000 wamejaa mashoga

    • @husseinhemedi9314
      @husseinhemedi9314 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1rtz ni tatizo bila katiba mpya hakuna kipya

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 วันที่ผ่านมา +1

      Hussein hana ubabe wowote swala kubwa nu kuelewana tu haina haja ya kuandamana hapo tatizo kybwa Wakenya wanasumbuliwa na Ukabila tu

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 2 วันที่ผ่านมา

      ⁠@@husseinhemedi9314
      Katiba mpya ndio itaondoa uvivu wa akili kwa vijana? Tuwe wa kweli vijana walio wengi wa Bongo wako bize na upuuzi, kubeti, ushoga, kumfuatilia Mwijaku na Mama Levo, vita vya Dai na Kiba.
      Mtu anashinda mtandaoni akiomba like kuliko kuomba kazi nadhani tunahitaji kubadili tabia zetu.

  • @destindjumbe8023
    @destindjumbe8023 2 วันที่ผ่านมา +1

    Raïs wa AFRICA wapenda kuoneya rahiya. Hasa hawa wanao shirikiana na hawa wanyonya damu ma Beberu ya Europa na America.

  • @HamiduMtandika-lc2tp
    @HamiduMtandika-lc2tp 2 วันที่ผ่านมา

    Ally umenifurahisha eti hapitajiki D mbili kukuelew yan principles pass

  • @billskeez92
    @billskeez92 2 วันที่ผ่านมา

    Nakubaliana nawewe Ally Masubi 👏 Mpaka Sasa kinacho takiwa RAISI RUTO ajiuluzu tuu

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 2 วันที่ผ่านมา +1

    Tuliomuelewa dj smaa huyo mtu aloshindwa kumtaja tujuana 😂

  • @Mama-A
    @Mama-A 2 วันที่ผ่านมา

    First half imeisha....reject finance bill 2024 1-0
    Second half..........Ruto must go

  • @hamadiizo
    @hamadiizo 2 วันที่ผ่านมา +1

    Big up

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 วันที่ผ่านมา +2

    Sns tukumbushane ,,chanzo cha yote hayo ,ni kutokea kwa Muigizaji ERICK OMOND Ndie mtu wa kwanza kuibua hizi mambo na kutia nguvu ,na erick omond amekuwa mstari wa mbele sana kwa hii ishu ya maandamano ya kupinga mswada

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 วันที่ผ่านมา

      dah ila umesema kweli kabisa. ndi yeye huyu jamaa

  • @oyay2821
    @oyay2821 2 วันที่ผ่านมา

    I am happy no deaths today Thursday 27th, and we are slowly going back to calm.

  • @user-ho2jy6mc8i
    @user-ho2jy6mc8i วันที่ผ่านมา

    Ruto must go 🤨🤨

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 2 วันที่ผ่านมา

    Tunawasikiliza vizuri but when its came Tanzania you guys do go specific on the issue

  • @bbng9475
    @bbng9475 2 วันที่ผ่านมา

    🔊🎼✌️🫶pow kweli kaka Colorado moja✌️🔊🎼

  • @NepporSabith
    @NepporSabith 2 วันที่ผ่านมา +1

    Duhhhhhhh ubabe unamwisho

  • @mohammedhimba1647
    @mohammedhimba1647 2 วันที่ผ่านมา +1

    Usalama wa Taifa kenya umempotosha Rais kwani walipaswa kulitambua hili na kumshauri Rais kwani Gen z walihasishana kwenye mitandao siku kadhaa baada ya mswada kuandaliwa hivyo interejensia hawakumshauri vizuri au walifanya kazi kwa mazoea...

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 วันที่ผ่านมา +1

    Alifu nilicho penda hawa vijana waliandamana bila kutumia mwanvuli wa chama chochote bali waliungana kutetea maslahi mapana Ya wananchi.

  • @aminakenea9614
    @aminakenea9614 2 วันที่ผ่านมา

    Je Imani zao zina ufahamu ya kwamba mungu yupo? Wakipata jawabu,Mtondia naakini watabadilika na kila kitu kitakuwa sawa

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 2 วันที่ผ่านมา

    Tunafahamu Changamoto za kiutendaji lkn GPS Kwa njia ya cm haiko smart kabisa

  • @simonmartin5358
    @simonmartin5358 2 วันที่ผ่านมา +1

    "Makuzi"

  • @naomikrause1762
    @naomikrause1762 2 วันที่ผ่านมา

    RUTO JUUUUUUUUU🙏🙏🙏💪💪💪♥️♥️♥️

  • @gasparmpoma3860
    @gasparmpoma3860 2 วันที่ผ่านมา +2

    Let's Wait and see Today's Demonstration. We pray for you Kenya, if this was God's plan it will be inevitable.

  • @user-zw1vz7or8v
    @user-zw1vz7or8v 2 วันที่ผ่านมา

    Too late meaning he has failed us

  • @godfreysudi7264
    @godfreysudi7264 2 วันที่ผ่านมา

    You have high economy in your country but people live difficulty live so what importance to have high economy to citizen far better Uganda and Tanzania with their low economy

  • @MargaretNyambura-zm5em
    @MargaretNyambura-zm5em 2 วันที่ผ่านมา

    Gen Zs after 21 day hii bill itaanza kufanya kazi,ache kutumbemba ujinga hakuna kutuliya Leo ni maandamano Hadi atoe Bill yote chini

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 2 วันที่ผ่านมา

    Haina maana because too late

  • @nomoboy152
    @nomoboy152 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    #SNS Naomba kujibiwa kama usalama wa taifa wanasimamia usalama kwani pesa zinavyopigwa na viongozi hawaoni kama raia ambao wanaona pesa zinapigwa kila siku amani inazidi kuwa ndogo na wao wazuie au ndo na usalama wa taifa ni miyayusho pia

  • @aisha_mohammed5825
    @aisha_mohammed5825 2 วันที่ผ่านมา

    Tumechoka na uyu aki ahadi za uwongo 😢😢😢😢😢😢😢tumechoka

  • @salmasaid7058
    @salmasaid7058 2 วันที่ผ่านมา

    Leo hadi ikulu

  • @swalehbakari2667
    @swalehbakari2667 วันที่ผ่านมา

    Sisi atumtaki yeye iyo 2027 tuta mpeleka home 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-ls2fq5ks7f
    @user-ls2fq5ks7f 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mm binafsi kwa Maoni yangu Naona kama Wakenya wamewekwa kwenye mtego Kwa sababu Bunge limefungwa kwa Likizo mpk July inamaana kwa katiba yao hata kama Ruto Hatasaini Siku 14 zikipita bila Bunge kwepo Kazini huu Mswada itakuwa Sheria kwa hiyo Kuna mtego kati Rais Bunge thidi ya Wakenya

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 2 วันที่ผ่านมา

      😢😢😢

    • @cooljay9489
      @cooljay9489 2 วันที่ผ่านมา

      ndomana bdo wana protest

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 วันที่ผ่านมา +1

    Wakenya wanapenda fujo tu 😂

  • @chapuztv3040
    @chapuztv3040 2 วันที่ผ่านมา +2

    Bamutowe tu because Africa ataisumbua alifurahi bakia banashabulia Congo bamutowe hatujafulahi kuungana na marikani

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 2 วันที่ผ่านมา

    HII MWASADA IMF NDIO IMESUKUMA ATA WALI HONGA KILA MUBUNGE MILLION MBILI KENYA SHILLINGS

  • @jerryndondole1965
    @jerryndondole1965 2 วันที่ผ่านมา

    Tulikumiss Henry,previous GPS hukuwepo

  • @wkjshsxbbsbs6392
    @wkjshsxbbsbs6392 2 วันที่ผ่านมา

    We don't need anything from ruto but to leave the office

  • @isaacramadhan9721
    @isaacramadhan9721 2 วันที่ผ่านมา

    Hawa vijana kuingiya state house siyo tatizo maana naona kama bunge walingiya na kuchoma na wabunge kuingiya mitini basi state house wanaweza ingia, Rais wao asijipige kifuwa lazima asikize wananchi maana wee kenya nawapa heko

  • @jenifferwanjira6124
    @jenifferwanjira6124 2 วันที่ผ่านมา

    Sad

  • @HamiduMtandika-lc2tp
    @HamiduMtandika-lc2tp 2 วันที่ผ่านมา

    Hii issue ya mapinduz bolvia imekaaje wakuu

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 2 วันที่ผ่านมา

    Kwenye hiyo lazima kutokee vifo akuna uhuru bila damu hiyo walijua kabisa ni kitendo Cha kuamua

  • @aminakenea9614
    @aminakenea9614 2 วันที่ผ่านมา

    Yani imejitokeza kiongozi tulio Wachovia ni ukosefu wa INANI kbsa

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 2 วันที่ผ่านมา

    Mimi naona kunusuru hili inabidi Ruto ajiuzulu ili kuepusha mauaji zaidi

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 2 วันที่ผ่านมา +1

    Watanzaniya, Huku Kenya tumeshinda , lakini bado tunasonga mbele

    • @jafarimnaro704
      @jafarimnaro704 2 วันที่ผ่านมา +1

      Tuko nyuma yenu majirani

    • @golebenson4597
      @golebenson4597 2 วันที่ผ่านมา +1

      🎉🎉🎉

  • @issakibwana6497
    @issakibwana6497 2 วันที่ผ่านมา +1

    Moja ya mabango ya wanda manaji huko Kenya. Aliandika. Hata zuwena hajabadilika ghafla ruto amebadilika ghafla Jmn 😢

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 2 วันที่ผ่านมา +1

    Ukiingia mkataba na Marekani hakuna kujiuzuru mpaka utimize malengo yao yani hakuna tofauti na kuchukua mkopo kwenye app ya simu hakuna kutoka mpaka umalize deni Ruto kayavagaa

  • @user-bv6ew9po7u
    @user-bv6ew9po7u 2 วันที่ผ่านมา

    This is East African spring. Viingozi wa Africa Mjitasmini zakayo omba Mungu lasivo hiyo Matako hutaweka tena kwa kiti Raiyaa wameshakushtukia wewe ni Kibaraka wa Western

  • @samtechtanzania3252
    @samtechtanzania3252 2 วันที่ผ่านมา

    Ruto alitaka kukurupuka inatakiwa atumie akili kubwa san na tena angeruhusu jeshi ndio ingekuwa mbaya zaid ingekuwa kama 2007 hali ingekuwa mbaya sna

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 2 วันที่ผ่านมา

    Sma em ongelea KENYA, acha kuongelea RUTO. Maana inaonekana uko against RUTO tangu atoke kutafuta msaada America. Umeulizwa swali......Je suala hili litasambaa AFRICA?.....Jibu hilo, acha kum attack Ruto!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 วันที่ผ่านมา

    Jamani anezeeka kwa muda mfupu hana raha ya Urais Kenya kuna moto

  • @mkambotv5418
    @mkambotv5418 2 วันที่ผ่านมา

    RutoMustGo#

  • @josephnyundo6105
    @josephnyundo6105 2 วันที่ผ่านมา

    Nikweli jana 26/6 Atacum imeipiga S 500?

  • @fahmanalbulushi2925
    @fahmanalbulushi2925 2 วันที่ผ่านมา

    Tusisahau kuwa kabla ya south africa nigeria waliteta demonstration ya wafanya kazi na kufata Kenya na Tanzania Wana demonstration ya wafanya biashara hii ni wimbi la vijana ambalo mmojanya wasemaji marekani alisema Kuna nguvu ya umma ambayo Ina nguvu Sana la kufanya ninkukaa mbali na kuwapa njia na kuwasikiza

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 2 วันที่ผ่านมา

    Hao Wabunge Nyuma ya Ruto, Wote ni Wezi na Mafisadi...
    Eti Leo hii, Wanapiga Makofi...😢 Na juzi mwandishi aliuliza Swali wakacheka sana kwa dharau...

  • @danielmgalla558
    @danielmgalla558 2 วันที่ผ่านมา

    During consultative meeting na wananchi waliukataa mswada mzima kwa 90℅. So basically ni mswada mzima unakataliwa

  • @JonesMwita-lb3wm
    @JonesMwita-lb3wm 2 วันที่ผ่านมา

    Tunataka ruto ajiuzulu period

  • @ramadhankakai7303
    @ramadhankakai7303 2 วันที่ผ่านมา

    Ruto hakuwa chaguo la wakenya..ukweli unejukikana sasa. Huyo shetani lazima tumbandue

  • @gregorymukui980
    @gregorymukui980 2 วันที่ผ่านมา

    Shida ya ruto ni utumiaji wa pesa kwa wambunge kama sudi, ichungwa,ndindi nyoro wanazunguka na pesa kaa miungu ndo wanavyo chomewa manyumba na maafisi kisha tulipe kodi wakule mbure manyangao😭😭😭

  • @mariaswakeithekenyanmusici4393
    @mariaswakeithekenyanmusici4393 2 วันที่ผ่านมา

    He was not supposed to use that term we were not competing with him

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 2 วันที่ผ่านมา +3

    Hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki na kenya wajue Ruto Hana cha kupoteza anaweza kuondoka akawaachia nchi yao iliyoharibika kwa vita na umaskini...Mungu awape utulivu ili maamuzi ya hao vijana wa 2000 wasio na akili wajue mihemko haisaidii lolote...zaidi sana ni kumwaga damu na kuiweka nchi rehani

    • @bensonsimwa7263
      @bensonsimwa7263 2 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe ujui chenye unaongea ungeliishi Kenya ungelijua, nyamaza, ndio haki ipatikane sio vile unadhani, your out of modern generation,

    • @DanielMukora-jx1bh
      @DanielMukora-jx1bh 2 วันที่ผ่านมา

      Very true

    • @DanielMukora-jx1bh
      @DanielMukora-jx1bh 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@bensonsimwa7263iwapo atatoka ujuesio malaika ataingia,heri huyu tumeweza kulekebisha na akakubali

    • @zenajustus5731
      @zenajustus5731 2 วันที่ผ่านมา

      Ungezaliwa Kenya ungeelewa,so huna makosa coz hujui shda zetu,but usiwe mwepesi wakuchagua mrengo bila kuchambua source yenyewe.

    • @hudumablack9339
      @hudumablack9339 2 วันที่ผ่านมา

      Eti hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki: Wewe ni mjinga kweli kweli, ya Dini unatuletea hapa? Ya Mungu mpe Mungu na kaisari mpe yake. Sasa kaisari amepata haki yake na amebadilisha mswada sasa kwa kuwa ameua raia wake, lazima Ruto aondoke.

  • @KuwakuMalumba6895
    @KuwakuMalumba6895 2 วันที่ผ่านมา

    🫵🏿👊🏿🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼👊🏿🫵🏿Kweli Kaka matatizo Africa yana fanana sana! Viongozi awajali watu wa Africa's 😢 Africa ali ningumu sana sana😢 Africa watu wana kufa kila siku😢 wa Africa shida nikila siku 😢 Africa viozozi wana iba sana😢 Africa akuna madawa hospital 🏥 😢 Africa kila siku ni vita😢 lazima tukataye sasa😢 Africa President's they don't care about Africa's people's 😢 Africa's President's they keep make us Africa's people's be more poor every day 😢 Africa is very poverty every day! Kwa kweli sisi wa Africa tuna shoka na viogozi wa Africa's😢 Kila mwaka wa Africa tuna kimbiya Africa kuja Europe 🇪🇺 sio kwetu 😢America 🇺🇸 sio kwetu😢 UK 🇬🇧 sio kwetu😢 Australia 🇦🇺 sio kwetu 😢 Canada 🇨🇦 sio kwetu 😢 lazima tutegeneze Africa yetu sasa hivi😢 our Africa's President's they keeps send our money 💰 Africa's people's to Europe and America 🇺🇸 how many Africa's people's died every day in Africa 😢 we need change now all Africa 😢 power to all people's of Kenya now 🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼🫵🏿👊🏿

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 2 วันที่ผ่านมา

    Tatizo hili haliko Kenya tu, bali ni la Afrika mashariki kwa ujumla wake, viongozi wetu wanalipina posho, wabunge wanaoptisha Sheria kandamizi wanalipwa mishahara mikubwa, kazi wanazofanya hakuna, wananunua magari ya kifahari, badala ya kupunguza matumizi ya Serikali kipau mbele chao ni kuwabebesha mzigo wa Kodi, hili la Kenya liwe fundusho kwa nchi zetu za Afrika mashariki.

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga วันที่ผ่านมา

    Kw mujibu wa Hali ya watu wa nchini Kenya kuandamana,Muswada ulikuwa km busty lkn kuna kitu nyuma ya pazia lkn sababu kuu ni Ruto kuna kosa kubwa kalifanya la kimkakati la kimataifa kw wazo. Langu k w kiasi flani km. Alivosema Henry mwinuka kuna generation mbili 2 X na z hii Maana yake kuna mfanano wa ideology ktk vizaazi vi2 hivi vipo tofauti na mawazo na vipindi vya nyuma.lkn ndani ya waandamannaji kuna watu Wana target au shabaha ambayo ni mbali na Muswada. Lkn. Kw nini baada ya. Kauli ya Ruto tunaona bado maandamano hayakusita?

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 2 วันที่ผ่านมา

    Kujigamba wa Rais ndio Imemufikishahapo, Nabado.

  • @hbdina
    @hbdina 2 วันที่ผ่านมา

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Mimi kama Mtanzania nasisitiza tuachane na mikopo Hasa ya IMF na IMF ni vyombo vya kutunyonya tubaki masikini.Ni mashirika ya nchi za Magharibi ni pesa zao wanaprint tu.