Nimesikuliza sana Hotuba ya Ruto lakini binafsi nimeona mambo mengi. 1. Ruto amepoteza kujiamini na anajaribu kutafuta huruma ya wananchi wake. 2. Amethibitisha kwamba Serikali yake haijui nini inataka kufanya na kusimamia mpaka wakumbushwe majukumu. 3. Ameshakumbuka alichokuwa amesahau kwamba nchi ni mali ya wananchi. 4. Ruto hajui Kusoma nyakati. Finally, alipaswa kuvunja Serikali Kisha ajiuzuru kwa kuwa tayari ameshaonesha udhaifu katika kusimamia masrahi ya Taifa.
Kwanza kabisa niwashukuru SNS kwa kuanzisha kipindi cha GPS na kuanza kuchambua mambo kadha wa kadha. Mliyokuwa mkiyaongea/kuyachambua siku chache nyuma yametokea. Big up sana !!
We need ruto to gasp for air,aongoze akijua anaongoza raia siyo Bibi,mamake,watoto,mpango wa kando,ruto akifaulu kuongoza hii Kenya miaka mitano basi atakua amechoka sana na kuzeeka,awe pia mwangalifu asije pigwa lisasi na security wake
Na hapo kwenye wapinzani ku take advantage ndio unamkumbuka sun tzu kwenye art of war " when things mess around take the advantage" yani kufa kufaana.. dj sma anaelewa hii❤❤
Ruto hutuba yake sikuitegemea ilivyosema.... vile nilidhani atajiuzuru....Kenya stand up All the best mpka mpate haki zenu maraisi wa Africa iwe fundishoo kutoka Kenya
Kuna mke wa zakayo naye anasumbua sana kwenye taifa la ughaibun naye amekuwa kero tena shidaa hajui nini maana ya maisha ya mnyonge. Ipo siku mnyonge mnyongen lakin hakiyake mtatoa.
PIYA TANZANIA YENU IZUNGUMZIENI LISU ANAANDAMANA PIYA AU AMONI? AU MPAKA WATU WAFE NDO YATAITWA MAANDAMANO? AU KUMUOGOPA SAANA SAMIA? MBONA MUNAMPAMBA SAANA UYO MAMA WENU AU MNASAAU KM NILAZIMA AWASAIDIE RAIYA YEYE KM RAHISI? TANZANIA MDOMO SANA NA YAKWENU YANAWASHINDA TUACHENI NA KENYA YETU😭😭
Haja withdraw. Amekataa kusign tuu ila after 14 days mswada utakuwa sheria automatically. Bunge linaenda mapumziko mpaka 24 july, siku 14 zitakuwa zimeisha.
Tatizo jamaa anajifanya so smart,but vijana wa saivi ten steps ahead of him,we cant trust him anymore. hata kama amekataa kusign,after 14days inakuwa sheria
KWELI KBX KAKA TZ WASAANI WANAMPAMBA SAANA UYO MAMA SAMIA WANASAAU KM NIMAJUKUMU YAKE ANALAZIMIKA AFANYE NA YAKIMXHINDA ATOKE KILA SIKU MAMA MAMA MNASAAU KM KIJIJINI WATU TUNA ANGAIKA YAANI KAWA WEKEYA MADARAJA DAR 2 BS MNAONA TZ IMEFANA DAH😭😭
@@husseinhemedi9314 Katiba mpya ndio itaondoa uvivu wa akili kwa vijana? Tuwe wa kweli vijana walio wengi wa Bongo wako bize na upuuzi, kubeti, ushoga, kumfuatilia Mwijaku na Mama Levo, vita vya Dai na Kiba. Mtu anashinda mtandaoni akiomba like kuliko kuomba kazi nadhani tunahitaji kubadili tabia zetu.
Sns tukumbushane ,,chanzo cha yote hayo ,ni kutokea kwa Muigizaji ERICK OMOND Ndie mtu wa kwanza kuibua hizi mambo na kutia nguvu ,na erick omond amekuwa mstari wa mbele sana kwa hii ishu ya maandamano ya kupinga mswada
Usalama wa Taifa kenya umempotosha Rais kwani walipaswa kulitambua hili na kumshauri Rais kwani Gen z walihasishana kwenye mitandao siku kadhaa baada ya mswada kuandaliwa hivyo interejensia hawakumshauri vizuri au walifanya kazi kwa mazoea...
You have high economy in your country but people live difficulty live so what importance to have high economy to citizen far better Uganda and Tanzania with their low economy
#SNS Naomba kujibiwa kama usalama wa taifa wanasimamia usalama kwani pesa zinavyopigwa na viongozi hawaoni kama raia ambao wanaona pesa zinapigwa kila siku amani inazidi kuwa ndogo na wao wazuie au ndo na usalama wa taifa ni miyayusho pia
Mm binafsi kwa Maoni yangu Naona kama Wakenya wamewekwa kwenye mtego Kwa sababu Bunge limefungwa kwa Likizo mpk July inamaana kwa katiba yao hata kama Ruto Hatasaini Siku 14 zikipita bila Bunge kwepo Kazini huu Mswada itakuwa Sheria kwa hiyo Kuna mtego kati Rais Bunge thidi ya Wakenya
Hawa vijana kuingiya state house siyo tatizo maana naona kama bunge walingiya na kuchoma na wabunge kuingiya mitini basi state house wanaweza ingia, Rais wao asijipige kifuwa lazima asikize wananchi maana wee kenya nawapa heko
Ukiingia mkataba na Marekani hakuna kujiuzuru mpaka utimize malengo yao yani hakuna tofauti na kuchukua mkopo kwenye app ya simu hakuna kutoka mpaka umalize deni Ruto kayavagaa
This is East African spring. Viingozi wa Africa Mjitasmini zakayo omba Mungu lasivo hiyo Matako hutaweka tena kwa kiti Raiyaa wameshakushtukia wewe ni Kibaraka wa Western
Sma em ongelea KENYA, acha kuongelea RUTO. Maana inaonekana uko against RUTO tangu atoke kutafuta msaada America. Umeulizwa swali......Je suala hili litasambaa AFRICA?.....Jibu hilo, acha kum attack Ruto!
Tusisahau kuwa kabla ya south africa nigeria waliteta demonstration ya wafanya kazi na kufata Kenya na Tanzania Wana demonstration ya wafanya biashara hii ni wimbi la vijana ambalo mmojanya wasemaji marekani alisema Kuna nguvu ya umma ambayo Ina nguvu Sana la kufanya ninkukaa mbali na kuwapa njia na kuwasikiza
Shida ya ruto ni utumiaji wa pesa kwa wambunge kama sudi, ichungwa,ndindi nyoro wanazunguka na pesa kaa miungu ndo wanavyo chomewa manyumba na maafisi kisha tulipe kodi wakule mbure manyangao😭😭😭
Hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki na kenya wajue Ruto Hana cha kupoteza anaweza kuondoka akawaachia nchi yao iliyoharibika kwa vita na umaskini...Mungu awape utulivu ili maamuzi ya hao vijana wa 2000 wasio na akili wajue mihemko haisaidii lolote...zaidi sana ni kumwaga damu na kuiweka nchi rehani
Eti hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki: Wewe ni mjinga kweli kweli, ya Dini unatuletea hapa? Ya Mungu mpe Mungu na kaisari mpe yake. Sasa kaisari amepata haki yake na amebadilisha mswada sasa kwa kuwa ameua raia wake, lazima Ruto aondoke.
🫵🏿👊🏿🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼👊🏿🫵🏿Kweli Kaka matatizo Africa yana fanana sana! Viongozi awajali watu wa Africa's 😢 Africa ali ningumu sana sana😢 Africa watu wana kufa kila siku😢 wa Africa shida nikila siku 😢 Africa viozozi wana iba sana😢 Africa akuna madawa hospital 🏥 😢 Africa kila siku ni vita😢 lazima tukataye sasa😢 Africa President's they don't care about Africa's people's 😢 Africa's President's they keep make us Africa's people's be more poor every day 😢 Africa is very poverty every day! Kwa kweli sisi wa Africa tuna shoka na viogozi wa Africa's😢 Kila mwaka wa Africa tuna kimbiya Africa kuja Europe 🇪🇺 sio kwetu 😢America 🇺🇸 sio kwetu😢 UK 🇬🇧 sio kwetu😢 Australia 🇦🇺 sio kwetu 😢 Canada 🇨🇦 sio kwetu 😢 lazima tutegeneze Africa yetu sasa hivi😢 our Africa's President's they keeps send our money 💰 Africa's people's to Europe and America 🇺🇸 how many Africa's people's died every day in Africa 😢 we need change now all Africa 😢 power to all people's of Kenya now 🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼🫵🏿👊🏿
Tatizo hili haliko Kenya tu, bali ni la Afrika mashariki kwa ujumla wake, viongozi wetu wanalipina posho, wabunge wanaoptisha Sheria kandamizi wanalipwa mishahara mikubwa, kazi wanazofanya hakuna, wananunua magari ya kifahari, badala ya kupunguza matumizi ya Serikali kipau mbele chao ni kuwabebesha mzigo wa Kodi, hili la Kenya liwe fundusho kwa nchi zetu za Afrika mashariki.
Kw mujibu wa Hali ya watu wa nchini Kenya kuandamana,Muswada ulikuwa km busty lkn kuna kitu nyuma ya pazia lkn sababu kuu ni Ruto kuna kosa kubwa kalifanya la kimkakati la kimataifa kw wazo. Langu k w kiasi flani km. Alivosema Henry mwinuka kuna generation mbili 2 X na z hii Maana yake kuna mfanano wa ideology ktk vizaazi vi2 hivi vipo tofauti na mawazo na vipindi vya nyuma.lkn ndani ya waandamannaji kuna watu Wana target au shabaha ambayo ni mbali na Muswada. Lkn. Kw nini baada ya. Kauli ya Ruto tunaona bado maandamano hayakusita?
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Mimi kama Mtanzania nasisitiza tuachane na mikopo Hasa ya IMF na IMF ni vyombo vya kutunyonya tubaki masikini.Ni mashirika ya nchi za Magharibi ni pesa zao wanaprint tu.
Vijana wa Kenya wametoa funzo kubwa sana kwa vijana wa nchi zingine za Africa.
Yah is that true.
Hususan kwetu Tanzania tunapaswa kugeuza uoga kuwa courage kunakiongoz alitutusi kwa kusema tuamie rwanda asee dah
Hadi vijana wa hovyo nao???😁😁
@@jeremiahcharles6027 wote
Hasa Tanzania
Nimesikuliza sana Hotuba ya Ruto lakini binafsi nimeona mambo mengi.
1. Ruto amepoteza kujiamini na anajaribu kutafuta huruma ya wananchi wake.
2. Amethibitisha kwamba Serikali yake haijui nini inataka kufanya na kusimamia mpaka wakumbushwe majukumu.
3. Ameshakumbuka alichokuwa amesahau kwamba nchi ni mali ya wananchi.
4. Ruto hajui Kusoma nyakati.
Finally, alipaswa kuvunja Serikali Kisha ajiuzuru kwa kuwa tayari ameshaonesha udhaifu katika kusimamia masrahi ya Taifa.
😊
💯
swadakta ndugu umeongea ukweli.....watanzania tunawapenda
Kiongozi yeyote hata kama ni Rais lazima ukubali kukosolewa Kiongozi asiyekuvali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi lazima aelewane na wananchi wake
❤
Sio kenya , hata Tanzania ndio uozo mtupu. Mama na kina mwigulu.nchemba na ccm wote waondoke kama inavyoendelea south Africa, tumechoka kunyonywa damu
Wacha warelax tu muda utaongea😂😂....
Ndo alisema kama atutaki tozo twende rwanda .
Kwanza kabisa niwashukuru SNS kwa kuanzisha kipindi cha GPS na kuanza kuchambua mambo kadha wa kadha. Mliyokuwa mkiyaongea/kuyachambua siku chache nyuma yametokea. Big up sana !!
Dj smaa we ni hatari bro daaahhh uko njema
Dj sma Ana PhD ya uchambuzi nimekufwatilia zamani , salute
Kwanzo KDFaskari kazi yake ni kulinda mipaka ya nchi hawezi kupiga risasi ndani ya nchi##Ruto must go
Iwe jua, iwe mvua, he must GO.
We need ruto to gasp for air,aongoze akijua anaongoza raia siyo Bibi,mamake,watoto,mpango wa kando,ruto akifaulu kuongoza hii Kenya miaka mitano basi atakua amechoka sana na kuzeeka,awe pia mwangalifu asije pigwa lisasi na security wake
Dah polen sana ndugu zetu mungu awatie nguvu katka kipind munachopitia
Hawezi kabisa kujiuzulu kwa sababu keshakula pesa za marrekani
Kula pesa za Marekani isiwe kigezo cha kuwabenesha raia wa Kenya mzigo ambao hawakuutaka wao.
Akalipe mwenyewe
Na hapo kwenye wapinzani ku take advantage ndio unamkumbuka sun tzu kwenye art of war " when things mess around take the advantage" yani kufa kufaana.. dj sma anaelewa hii❤❤
Uko vizur
Duh ,,,kama wananchi wanaamua hivo ,,bila shaka kuna watu wanaifadhili hii ishu,,,kuna watu wazito wako nyuma
Ndo manaake
Acheni kuongelea hizi mambo mna mtisha raisi wenyu Samia nasikia ........... nyie hamuoni hata Millard Ayo hame simamisha kupost😂
Ruto hutuba yake sikuitegemea ilivyosema.... vile nilidhani atajiuzuru....Kenya stand up All the best mpka mpate haki zenu maraisi wa Africa iwe fundishoo kutoka Kenya
SNS mpo vizuri sana...
GPS Hongera Hongera Tena kwa uchambuzi wenu ulio kuwa pansa na wasi
Kizuri Ruto must go, wanatuleteya muswada wa kufanya Watu wateketeye hao they dont care.
Kuna mke wa zakayo naye anasumbua sana kwenye taifa la ughaibun naye amekuwa kero tena shidaa hajui nini maana ya maisha ya mnyonge. Ipo siku mnyonge mnyongen lakin hakiyake mtatoa.
Jamaa anatuma hadi snipers kuuwa protesters. Snipers walikua located kwa jengo la KICC juu😢
Leo ndio FINAL MAANDAMANO
Balaaa sana must go
Mshupaza shingo huvu jika kabisa ruto must go
Dah alishindwa kuwaambia polisi wasiwaue watu, kashabeba dhambi za damu za watu, honest is too bad,
Samahani bro ni kimekosea kuituma hapo.
Utuko pamoja bro.
Mkiwa pamoja habari ndo inanoga vzr
Ruto must go
Tuisubili hii TANZANIA tizama migomo ya kufanya biashara hii itatupeleka mbali kama viongozi hawata sikiliza wananchi
PIYA TANZANIA YENU IZUNGUMZIENI LISU ANAANDAMANA PIYA AU AMONI? AU MPAKA WATU WAFE NDO YATAITWA MAANDAMANO? AU KUMUOGOPA SAANA SAMIA? MBONA MUNAMPAMBA SAANA UYO MAMA WENU AU MNASAAU KM NILAZIMA AWASAIDIE RAIYA YEYE KM RAHISI? TANZANIA MDOMO SANA NA YAKWENU YANAWASHINDA TUACHENI NA KENYA YETU😭😭
Yani wakenya sijui vichwa vyenu vina nini au ni ujii? Watu huku tunataka muungano wewe unataka kenya kaa nayo tumekuachia mginga nini
😅😅😅😅 mwache Mwenzio akili imevurugika na mabomu ya machozi😅😅😅@@richardrichope3528
Sio rahis kiivyo ila (MUDA UTAONGEA SISI AFRICA NI NDUGU)🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪❤️❤️
Samia must go😂😂
Haja withdraw. Amekataa kusign tuu ila after 14 days mswada utakuwa sheria automatically. Bunge linaenda mapumziko mpaka 24 july, siku 14 zitakuwa zimeisha.
600ml k/sh ndio bajet ya first lady? Hii sio sawa.
ALIILANI URUSI HATIMAE MUNGU KAMLAANI YEYE 😂 RUTO NI RAIS WA HOVYO SANA
Hawezi withdraw financial bill amekataa kusign of which asipoipresent parliament in 14 days inakuwa law so anajifanya smart kumbe kuna wasomi Kenya
😂😂😂
Na parliament inaenda recess till July 24.
Ruto anafikiria sisi ni mafala.
You can't advise Ruto ....Ruto is the one who advise his advisors.... huwezi elewa😂😂
Mungu saidia
Tatizo jamaa anajifanya so smart,but vijana wa saivi ten steps ahead of him,we cant trust him anymore.
hata kama amekataa kusign,after 14days inakuwa sheria
This is SnS🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪
Tatizo la ruto ni kujifanya m babe kwa wananch wa kenya huu upuuuz labda kwetu tz il xo kwa Gn Z #kenya
Na huku kwetu tz watoto wa 2000 kinukixheni
KWELI KBX KAKA TZ WASAANI WANAMPAMBA SAANA UYO MAMA SAMIA WANASAAU KM NIMAJUKUMU YAKE ANALAZIMIKA AFANYE NA YAKIMXHINDA ATOKE KILA SIKU MAMA MAMA MNASAAU KM KIJIJINI WATU TUNA ANGAIKA YAANI KAWA WEKEYA MADARAJA DAR 2 BS MNAONA TZ IMEFANA DAH😭😭
Watoto wa 2000 wamejaa mashoga
@@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1rtz ni tatizo bila katiba mpya hakuna kipya
Hussein hana ubabe wowote swala kubwa nu kuelewana tu haina haja ya kuandamana hapo tatizo kybwa Wakenya wanasumbuliwa na Ukabila tu
@@husseinhemedi9314
Katiba mpya ndio itaondoa uvivu wa akili kwa vijana? Tuwe wa kweli vijana walio wengi wa Bongo wako bize na upuuzi, kubeti, ushoga, kumfuatilia Mwijaku na Mama Levo, vita vya Dai na Kiba.
Mtu anashinda mtandaoni akiomba like kuliko kuomba kazi nadhani tunahitaji kubadili tabia zetu.
Raïs wa AFRICA wapenda kuoneya rahiya. Hasa hawa wanao shirikiana na hawa wanyonya damu ma Beberu ya Europa na America.
Ally umenifurahisha eti hapitajiki D mbili kukuelew yan principles pass
Nakubaliana nawewe Ally Masubi 👏 Mpaka Sasa kinacho takiwa RAISI RUTO ajiuluzu tuu
Tuliomuelewa dj smaa huyo mtu aloshindwa kumtaja tujuana 😂
First half imeisha....reject finance bill 2024 1-0
Second half..........Ruto must go
Big up
Sns tukumbushane ,,chanzo cha yote hayo ,ni kutokea kwa Muigizaji ERICK OMOND Ndie mtu wa kwanza kuibua hizi mambo na kutia nguvu ,na erick omond amekuwa mstari wa mbele sana kwa hii ishu ya maandamano ya kupinga mswada
dah ila umesema kweli kabisa. ndi yeye huyu jamaa
I am happy no deaths today Thursday 27th, and we are slowly going back to calm.
Ruto must go 🤨🤨
Tunawasikiliza vizuri but when its came Tanzania you guys do go specific on the issue
🔊🎼✌️🫶pow kweli kaka Colorado moja✌️🔊🎼
Duhhhhhhh ubabe unamwisho
Usalama wa Taifa kenya umempotosha Rais kwani walipaswa kulitambua hili na kumshauri Rais kwani Gen z walihasishana kwenye mitandao siku kadhaa baada ya mswada kuandaliwa hivyo interejensia hawakumshauri vizuri au walifanya kazi kwa mazoea...
Alifu nilicho penda hawa vijana waliandamana bila kutumia mwanvuli wa chama chochote bali waliungana kutetea maslahi mapana Ya wananchi.
Je Imani zao zina ufahamu ya kwamba mungu yupo? Wakipata jawabu,Mtondia naakini watabadilika na kila kitu kitakuwa sawa
Tunafahamu Changamoto za kiutendaji lkn GPS Kwa njia ya cm haiko smart kabisa
"Makuzi"
RUTO JUUUUUUUUU🙏🙏🙏💪💪💪♥️♥️♥️
Let's Wait and see Today's Demonstration. We pray for you Kenya, if this was God's plan it will be inevitable.
We gave him 48 hours
Too late meaning he has failed us
You have high economy in your country but people live difficulty live so what importance to have high economy to citizen far better Uganda and Tanzania with their low economy
Gen Zs after 21 day hii bill itaanza kufanya kazi,ache kutumbemba ujinga hakuna kutuliya Leo ni maandamano Hadi atoe Bill yote chini
Haina maana because too late
#SNS Naomba kujibiwa kama usalama wa taifa wanasimamia usalama kwani pesa zinavyopigwa na viongozi hawaoni kama raia ambao wanaona pesa zinapigwa kila siku amani inazidi kuwa ndogo na wao wazuie au ndo na usalama wa taifa ni miyayusho pia
Tumechoka na uyu aki ahadi za uwongo 😢😢😢😢😢😢😢tumechoka
Leo hadi ikulu
Sisi atumtaki yeye iyo 2027 tuta mpeleka home 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mm binafsi kwa Maoni yangu Naona kama Wakenya wamewekwa kwenye mtego Kwa sababu Bunge limefungwa kwa Likizo mpk July inamaana kwa katiba yao hata kama Ruto Hatasaini Siku 14 zikipita bila Bunge kwepo Kazini huu Mswada itakuwa Sheria kwa hiyo Kuna mtego kati Rais Bunge thidi ya Wakenya
😢😢😢
ndomana bdo wana protest
Wakenya wanapenda fujo tu 😂
Bamutowe tu because Africa ataisumbua alifurahi bakia banashabulia Congo bamutowe hatujafulahi kuungana na marikani
😂 batamutoa tuu papaa
HII MWASADA IMF NDIO IMESUKUMA ATA WALI HONGA KILA MUBUNGE MILLION MBILI KENYA SHILLINGS
Tulikumiss Henry,previous GPS hukuwepo
We don't need anything from ruto but to leave the office
Hawa vijana kuingiya state house siyo tatizo maana naona kama bunge walingiya na kuchoma na wabunge kuingiya mitini basi state house wanaweza ingia, Rais wao asijipige kifuwa lazima asikize wananchi maana wee kenya nawapa heko
Sad
Hii issue ya mapinduz bolvia imekaaje wakuu
Kwenye hiyo lazima kutokee vifo akuna uhuru bila damu hiyo walijua kabisa ni kitendo Cha kuamua
Yani imejitokeza kiongozi tulio Wachovia ni ukosefu wa INANI kbsa
Mimi naona kunusuru hili inabidi Ruto ajiuzulu ili kuepusha mauaji zaidi
Watanzaniya, Huku Kenya tumeshinda , lakini bado tunasonga mbele
Tuko nyuma yenu majirani
🎉🎉🎉
Moja ya mabango ya wanda manaji huko Kenya. Aliandika. Hata zuwena hajabadilika ghafla ruto amebadilika ghafla Jmn 😢
Haaaaa 😅
Ukiingia mkataba na Marekani hakuna kujiuzuru mpaka utimize malengo yao yani hakuna tofauti na kuchukua mkopo kwenye app ya simu hakuna kutoka mpaka umalize deni Ruto kayavagaa
Dah!!
This is East African spring. Viingozi wa Africa Mjitasmini zakayo omba Mungu lasivo hiyo Matako hutaweka tena kwa kiti Raiyaa wameshakushtukia wewe ni Kibaraka wa Western
Ruto alitaka kukurupuka inatakiwa atumie akili kubwa san na tena angeruhusu jeshi ndio ingekuwa mbaya zaid ingekuwa kama 2007 hali ingekuwa mbaya sna
Sma em ongelea KENYA, acha kuongelea RUTO. Maana inaonekana uko against RUTO tangu atoke kutafuta msaada America. Umeulizwa swali......Je suala hili litasambaa AFRICA?.....Jibu hilo, acha kum attack Ruto!
Jamani anezeeka kwa muda mfupu hana raha ya Urais Kenya kuna moto
RutoMustGo#
Nikweli jana 26/6 Atacum imeipiga S 500?
Tusisahau kuwa kabla ya south africa nigeria waliteta demonstration ya wafanya kazi na kufata Kenya na Tanzania Wana demonstration ya wafanya biashara hii ni wimbi la vijana ambalo mmojanya wasemaji marekani alisema Kuna nguvu ya umma ambayo Ina nguvu Sana la kufanya ninkukaa mbali na kuwapa njia na kuwasikiza
Hao Wabunge Nyuma ya Ruto, Wote ni Wezi na Mafisadi...
Eti Leo hii, Wanapiga Makofi...😢 Na juzi mwandishi aliuliza Swali wakacheka sana kwa dharau...
During consultative meeting na wananchi waliukataa mswada mzima kwa 90℅. So basically ni mswada mzima unakataliwa
Tunataka ruto ajiuzulu period
Ruto hakuwa chaguo la wakenya..ukweli unejukikana sasa. Huyo shetani lazima tumbandue
Shida ya ruto ni utumiaji wa pesa kwa wambunge kama sudi, ichungwa,ndindi nyoro wanazunguka na pesa kaa miungu ndo wanavyo chomewa manyumba na maafisi kisha tulipe kodi wakule mbure manyangao😭😭😭
He was not supposed to use that term we were not competing with him
Hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki na kenya wajue Ruto Hana cha kupoteza anaweza kuondoka akawaachia nchi yao iliyoharibika kwa vita na umaskini...Mungu awape utulivu ili maamuzi ya hao vijana wa 2000 wasio na akili wajue mihemko haisaidii lolote...zaidi sana ni kumwaga damu na kuiweka nchi rehani
Wewe ujui chenye unaongea ungeliishi Kenya ungelijua, nyamaza, ndio haki ipatikane sio vile unadhani, your out of modern generation,
Very true
@@bensonsimwa7263iwapo atatoka ujuesio malaika ataingia,heri huyu tumeweza kulekebisha na akakubali
Ungezaliwa Kenya ungeelewa,so huna makosa coz hujui shda zetu,but usiwe mwepesi wakuchagua mrengo bila kuchambua source yenyewe.
Eti hasira ya mwanadamu haijawahi kutenda haki: Wewe ni mjinga kweli kweli, ya Dini unatuletea hapa? Ya Mungu mpe Mungu na kaisari mpe yake. Sasa kaisari amepata haki yake na amebadilisha mswada sasa kwa kuwa ameua raia wake, lazima Ruto aondoke.
🫵🏿👊🏿🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼👊🏿🫵🏿Kweli Kaka matatizo Africa yana fanana sana! Viongozi awajali watu wa Africa's 😢 Africa ali ningumu sana sana😢 Africa watu wana kufa kila siku😢 wa Africa shida nikila siku 😢 Africa viozozi wana iba sana😢 Africa akuna madawa hospital 🏥 😢 Africa kila siku ni vita😢 lazima tukataye sasa😢 Africa President's they don't care about Africa's people's 😢 Africa's President's they keep make us Africa's people's be more poor every day 😢 Africa is very poverty every day! Kwa kweli sisi wa Africa tuna shoka na viogozi wa Africa's😢 Kila mwaka wa Africa tuna kimbiya Africa kuja Europe 🇪🇺 sio kwetu 😢America 🇺🇸 sio kwetu😢 UK 🇬🇧 sio kwetu😢 Australia 🇦🇺 sio kwetu 😢 Canada 🇨🇦 sio kwetu 😢 lazima tutegeneze Africa yetu sasa hivi😢 our Africa's President's they keeps send our money 💰 Africa's people's to Europe and America 🇺🇸 how many Africa's people's died every day in Africa 😢 we need change now all Africa 😢 power to all people's of Kenya now 🇰🇪🇧🇮🇨🇩🇹🇿🇷🇼🫵🏿👊🏿
Tatizo hili haliko Kenya tu, bali ni la Afrika mashariki kwa ujumla wake, viongozi wetu wanalipina posho, wabunge wanaoptisha Sheria kandamizi wanalipwa mishahara mikubwa, kazi wanazofanya hakuna, wananunua magari ya kifahari, badala ya kupunguza matumizi ya Serikali kipau mbele chao ni kuwabebesha mzigo wa Kodi, hili la Kenya liwe fundusho kwa nchi zetu za Afrika mashariki.
Kw mujibu wa Hali ya watu wa nchini Kenya kuandamana,Muswada ulikuwa km busty lkn kuna kitu nyuma ya pazia lkn sababu kuu ni Ruto kuna kosa kubwa kalifanya la kimkakati la kimataifa kw wazo. Langu k w kiasi flani km. Alivosema Henry mwinuka kuna generation mbili 2 X na z hii Maana yake kuna mfanano wa ideology ktk vizaazi vi2 hivi vipo tofauti na mawazo na vipindi vya nyuma.lkn ndani ya waandamannaji kuna watu Wana target au shabaha ambayo ni mbali na Muswada. Lkn. Kw nini baada ya. Kauli ya Ruto tunaona bado maandamano hayakusita?
Kujigamba wa Rais ndio Imemufikishahapo, Nabado.
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Mimi kama Mtanzania nasisitiza tuachane na mikopo Hasa ya IMF na IMF ni vyombo vya kutunyonya tubaki masikini.Ni mashirika ya nchi za Magharibi ni pesa zao wanaprint tu.