Gen Z waingia tena barabarani, Nairobi panatisha, Wabeba Majeneza, Mombasa magari yachomwa moto

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 96

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 2 วันที่ผ่านมา +22

    Mtangazaji yani ukitangaza hizi habari nategasikio kweli kweli asante

    • @Elybwayz
      @Elybwayz 2 วันที่ผ่านมา

      Usipomuelewa uyu sky we ndio bas tena yuko sawa

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e 2 วันที่ผ่านมา

      Na mimi pia

  • @everrineanyango7410
    @everrineanyango7410 2 วันที่ผ่านมา +18

    Ruto mungu hajafurahishwa na uongozi wako toka tu 😂

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t 2 วันที่ผ่านมา +13

    Ruto must go

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g 2 วันที่ผ่านมา +6

    Thursday and Sunday maandamano lazima RUTO AJIUZULU

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 วันที่ผ่านมา +12

    Ruto bora uondoke tu madarakani plz

    • @ROSEROBERTROBART
      @ROSEROBERTROBART 2 วันที่ผ่านมา

      😢haezi ana roho ngumu kaa chuma

  • @felixefeza6783
    @felixefeza6783 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hapa Kenya hata tume ya kupigana na ufisadi pia wao ni mafisadi hata ruto ni fisadi

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 วันที่ผ่านมา +1

    Mmmh kwer wakenya wamevurugwa ..mungu wasaidie ndugu zetu wakenya wapate aman..mana aman ndo Kila kitu..

  • @hallykanze6693
    @hallykanze6693 2 วันที่ผ่านมา +9

    Ruto must GO 🇰🇪🇰🇪

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 2 วันที่ผ่านมา +8

    Hao tena wana lao tuu, hata ruto akiondoka ajae akikosea padg tu basi wanaingia tena barabarani 😢

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 วันที่ผ่านมา

      Kweli naomba watu wasave hii comment yko.

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b วันที่ผ่านมา

      Sabab ya ukosef wa ajira wakipat mtu akiwafadhil kidog.shida inaanzia hapo.

  • @ZainabLol-wx7xf
    @ZainabLol-wx7xf 2 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂😂😂Gen Z Wa 🇰🇪 Nawapenda sana❤

  • @shukurumsebaloli
    @shukurumsebaloli 2 วันที่ผ่านมา +7

    Sasaivi naona awo nimagaidi tu wanataka waanzishe vita wanaitaji kuangamiza watu wakenya wanatakiwa kuwa makini

    • @abdulmustafa5113
      @abdulmustafa5113 2 วันที่ผ่านมา

      𝐖𝐞𝐰𝐞 𝐤𝐞𝐧𝐠𝐞 𝐡𝐮𝐤𝐮 𝐬𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐜𝐜𝐦 𝐭𝐮𝐥𝐢𝐳𝐚 𝐧𝐲𝐚𝐩𝐮

  • @bree254
    @bree254 2 วันที่ผ่านมา +5

    😂😂😂😂Love my country 👏👏👏👏

  • @ZainabLol-wx7xf
    @ZainabLol-wx7xf 2 วันที่ผ่านมา +7

    Wa Tanzania Vile Hatujui English hapa ndio sehemu Pekee ya kuelewa yanayiendela kenya😢😂

    • @user-rf9mx7cu5r
      @user-rf9mx7cu5r 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅

    • @roseliku531
      @roseliku531 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 วันที่ผ่านมา +3

    Ruto must Go

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 2 วันที่ผ่านมา

    Thanks SNS

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 วันที่ผ่านมา +4

    Huko Kenya kimenuka.

  • @chapuztv3040
    @chapuztv3040 2 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo sawa alishidwa kuisaidia Congo akasapoti M23 😂😂😂😂 ba mtoe alikua anaongea kingeleza wakati Congo wanakupfa wanalia Ruto muster goooo

  • @bdmacrame254
    @bdmacrame254 2 วันที่ผ่านมา

    Ruto must go 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 วันที่ผ่านมา

    Zakayo must go

  • @NasibuAbduli
    @NasibuAbduli 2 วันที่ผ่านมา +6

    Niatari😢😢😢😢

  • @gosbertireneus5558
    @gosbertireneus5558 วันที่ผ่านมา

    vilio vya wananchi havipaswi kupuuzwa kwa sababu madhara yake huwa ni mabaya sana,miundombinu kuharibiwa,watu kuumizwa na wengine kuuawa.

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf 2 วันที่ผ่านมา

    Ruto must go nawunga mukono alafu mkimaliza twendezetu kwa chakwela Malawi

  • @DewGroupTech
    @DewGroupTech 2 วันที่ผ่านมา +1

    TUNAOMBA TAARIFA ZA MABADILIKO YA MANUNUZI YA LUKU

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 วันที่ผ่านมา

    Ala Kenya bhana ,kwahyo wanataka nchi eendeshwe na Hawa vijana wa hovyoo

  • @felixdestroyer4039
    @felixdestroyer4039 2 วันที่ผ่านมา +1

    Tumechoka na uongozi wa ruto

  • @bree254
    @bree254 2 วันที่ผ่านมา +8

    Mwambie atupe till tulipe China wenyewe

    • @Benlaurence99
      @Benlaurence99 วันที่ผ่านมา

      Dah..!
      Mlipe loan wenyewe et!😂

  • @motive_8kenya
    @motive_8kenya วันที่ผ่านมา

    BBC yanapaswa kuwa wamekutafuta kwa ubora huu.

  • @KatabaroCleophace
    @KatabaroCleophace 2 วันที่ผ่านมา +1

    😮Tanzania tukiwashe, mmh au bas nimeuliza Tanzania tuna amani Kenya pole sn

    • @denismasele4130
      @denismasele4130 2 วันที่ผ่านมา +1

      Mwanasheria wako ana ujasiri😂😂😂

    • @roselynealima3618
      @roselynealima3618 2 วันที่ผ่านมา

      Hamjui katiba yenu laiti mngejua sai mngekuwa barabarani 😂😂

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 วันที่ผ่านมา +1

    Ndo tatizo lakusuma katiba siasa 😂wasomi hao kaka nahukuru tz walizuia kinamnaingine wallah

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 2 วันที่ผ่านมา

    Mmmmh nilijua yameisha Hooh lord waponye keny’s

  • @Qqambaa
    @Qqambaa วันที่ผ่านมา

    Mi ni mkenya na naona itakuwa fazari kama tutamwachia 2 alafu tupatane 2027 maanake pia kw ule mswada kuna v2 wakadha amezingatia tukubali 2 na nchi isongee mbele

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 2 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli nakiona kitu cha pekee kwa putin yan wapinzan wote nyumbani kwao kuna maandamano ruto alipoke mbolea kwa urusi akamsalit haijapita hat mwez amekiona na raiya hawamtaki

    • @albertmallya4192
      @albertmallya4192 2 วันที่ผ่านมา

      June 15 aliiongelea vibaya urusi, leo atakua anajuta sana. Kete aliyoigusa ni mbaya

  • @everrineanyango7410
    @everrineanyango7410 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mwendo

  • @user-ev6bq9gf1f
    @user-ev6bq9gf1f 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Magaidi ao

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 วันที่ผ่านมา +12

    Kama unaamini Hawa vijana ni WA HOVYO LIKE HAPA

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 2 วันที่ผ่านมา +1

      Ni wa hovyo kwa kuwa huon ugumu wanaopitia

    • @Sh_Taqee
      @Sh_Taqee 2 วันที่ผ่านมา +3

      Utakuwa ni mtu mjinga Sana wewe kupindukia.... Watu wanaopigana Maisha yao ktk nchi yao ili wapate Maisha nafuu wao na vizazi vyao unawaita wa hovyo?! Wakitoa Kura zao sio wa hovyo ... Ila wakifuatilia malengo ya utoaji Kura zao kwa mtu ili yatimizwe ndio wanakuwa wa hovyo?! Una Akili za kipumbavu Sana. Ili maandamano yasiwe na vurugu ... Lazima polisi wasichokoze maandamano hayo na waandamanaji ... Vurugu inaanza kwa polisi na lzm waandamanaji wajibu ukiwachokoza.
      Tanzania maandamano polisi hawachokozi waandamanaji ndio maana huoni vurugu huko... Kote Duniani polisi ikichokoza Raia ... Wata react

    • @simonmartin5358
      @simonmartin5358 2 วันที่ผ่านมา

      Niwalewale wapumbavu na wajinga

    • @yohanakananika3586
      @yohanakananika3586 วันที่ผ่านมา +1

      Hata kama maisha ni magumu vijana ni wa hovyo kabisa ,shenzi kabisa hawa vurugu za namna hiyo za hovyo

  • @jumakibwana1810
    @jumakibwana1810 2 วันที่ผ่านมา

    Sns serikali ya ruto umeongeza mishahara mikubwa kwa wabunge,mawaziri, speaker wa bunge la kitaifa na senate mca na wengineo sasa huyu ni Kiongozi kweli

  • @amoursaid4589
    @amoursaid4589 2 วันที่ผ่านมา +1

    Nakuelewa fredict nakupata Sana kutok emirates

    • @laoiyadi1176
      @laoiyadi1176 2 วันที่ผ่านมา

      Karibu tz tukiamshe na ss😂😂

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 วันที่ผ่านมา +1

    Hiyi ya kuchoma moto magari na kuvunja na kuiba maduka na kubaka ndio huwa inakera kwa waandamanaji.
    Inabidi waandamanaji wawe wakipinga uharibifu wa mali za watu.

    • @Omosh003
      @Omosh003 2 วันที่ผ่านมา

      Ona chanzo kilicho pelekea wachome boss

    • @blessingsmary
      @blessingsmary 2 วันที่ผ่านมา +1

      Group ya ruto ndio imepanga na kulipa wahuni wezi

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 2 วันที่ผ่านมา

      @@blessingsmary
      Basi kumbe hatare kweli

  • @mdl6463
    @mdl6463 2 วันที่ผ่านมา

    RUTO aisee kumuongoza mtu ni kazi weka mkazo

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x 2 วันที่ผ่านมา +1

    ruto achia kiti

    • @wemakalama6458
      @wemakalama6458 2 วันที่ผ่านมา

      Akiondoka nani atakuwa anafaa?

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 2 วันที่ผ่านมา

    Hii sauti ndio hua naitaka😋

  • @sharonvugutsa969
    @sharonvugutsa969 2 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 2 วันที่ผ่านมา

    Ruto makende yangu

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 วันที่ผ่านมา

    Vijana wa hovyooo

  • @user-gi9di6lv3i
    @user-gi9di6lv3i 2 วันที่ผ่านมา

    This is now politically issues behind... coz that's the country ..and yes people in country so He must deal with everything.. so now My fellow Brothers and sisters they want to stay like that country which got minerals and diamonds 😢😢 pls my Brothers and My sisters kenya ni inchi ambayo tunaichukulia kama innchi imeendel2eya in Africa.. but if u want that 100% peace u will die hunger

  • @SaidiMohammed-ge5ot
    @SaidiMohammed-ge5ot 2 วันที่ผ่านมา

    Kubaya

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 2 วันที่ผ่านมา

    Headline zenu kiboko....

  • @simonmartin5358
    @simonmartin5358 2 วันที่ผ่านมา

    Hakuna mtu alie mpinga putin akaachwa salama ktk hiidunia ruto ulifa ya vbaya sana kuchagua upande wa mashoga. Haimanishi kwamba maandamani ya kenya kuwa kuna mkono wa puttin rahasha bali puttin nitaa ya dunia!

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 2 วันที่ผ่านมา +1

    Akawaite waisrael wamsaidie😅😅😅😅😅

    • @Omosh003
      @Omosh003 2 วันที่ผ่านมา

      Already We are Israel generation

  • @lameckmahona2058
    @lameckmahona2058 2 วันที่ผ่านมา

    Bundaala uwa nafurahishwa sana na usomaji wako wa makala safu sana,saut,mpa gilio wa maneno kupanda na jushuka kwa sauti

  • @user-st1zs1ng2x
    @user-st1zs1ng2x 2 วันที่ผ่านมา

    Ruto amtafute Netanyahu ampe mbinu za kupambana na maandamano..

  • @AbdalaSaidi-jo4od
    @AbdalaSaidi-jo4od 2 วันที่ผ่านมา +1

    Saivi wanataka nini

  • @Mwanasha-cf9vd
    @Mwanasha-cf9vd 2 วันที่ผ่านมา

    Jipigie saluti kama wewe ni mkenya alidhulumu raila kajiona ataishi kwa amani machozi ya baba yatamtafuna paka aondoke hatumtaki

  • @ibba8082
    @ibba8082 2 วันที่ผ่านมา +3

    RUTO Alifikiri kuhungana Na Wahasi(wanyarwanda) Wa D R(C)Kongo Kungempunguzia Gharama za Maisha Kenya Anakiona Chamtema Kuni Ahondoke😮

  • @johnrobert5097
    @johnrobert5097 2 วันที่ผ่านมา

    Ruto amtafute SAMIA ampe mbinu za kupambana😅

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 2 วันที่ผ่านมา

    SNS ikiwezekan tunaomba Uchambuz juu ya kushindw kwa Macron na nn athari yke kwnye Matokeo ya kwnza ya Uchaguz nchin Ufaransa

    • @samirhumud7408
      @samirhumud7408 2 วันที่ผ่านมา

      Mbona iyo imetoka jana

  • @PrincessAishay
    @PrincessAishay 2 วันที่ผ่านมา +2

    𝚆𝚊𝚝𝚊𝚗𝚣𝚊𝚗𝚒𝚊 𝚖𝚖𝚐𝚎𝚓𝚞𝚊 𝚔𝚎𝚗𝚢𝚊 𝚒𝚕𝚒𝚟𝚢𝚘 𝚐𝚑𝚊𝚕𝚒 𝚖𝚐𝚎𝚝𝚞𝚊𝚌𝚑𝚊 𝚝𝚞 𝚝𝚞𝚊𝚗𝚍𝚊𝚖𝚊𝚗𝚎😢,𝚖𝚊𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚝𝚊𝚗𝚣𝚊𝚗𝚒𝚊 𝚗𝚒 𝚛𝚊𝚑𝚒𝚜𝚒

    • @Omosh003
      @Omosh003 2 วันที่ผ่านมา +1

      Kuja 🇰🇪 ufurahie maisha mororo

    • @abubakarimsere
      @abubakarimsere 2 วันที่ผ่านมา

      Pole Sana wazungu weusi kuleni kiingereza chenu na currency yenu😢😢​@@Omosh003

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 2 วันที่ผ่านมา

    Tuko pamoja SNS