Mi ni mkenya na naona itakuwa fazari kama tutamwachia 2 alafu tupatane 2027 maanake pia kw ule mswada kuna v2 wakadha amezingatia tukubali 2 na nchi isongee mbele
Kweli nakiona kitu cha pekee kwa putin yan wapinzan wote nyumbani kwao kuna maandamano ruto alipoke mbolea kwa urusi akamsalit haijapita hat mwez amekiona na raiya hawamtaki
Utakuwa ni mtu mjinga Sana wewe kupindukia.... Watu wanaopigana Maisha yao ktk nchi yao ili wapate Maisha nafuu wao na vizazi vyao unawaita wa hovyo?! Wakitoa Kura zao sio wa hovyo ... Ila wakifuatilia malengo ya utoaji Kura zao kwa mtu ili yatimizwe ndio wanakuwa wa hovyo?! Una Akili za kipumbavu Sana. Ili maandamano yasiwe na vurugu ... Lazima polisi wasichokoze maandamano hayo na waandamanaji ... Vurugu inaanza kwa polisi na lzm waandamanaji wajibu ukiwachokoza. Tanzania maandamano polisi hawachokozi waandamanaji ndio maana huoni vurugu huko... Kote Duniani polisi ikichokoza Raia ... Wata react
Sns serikali ya ruto umeongeza mishahara mikubwa kwa wabunge,mawaziri, speaker wa bunge la kitaifa na senate mca na wengineo sasa huyu ni Kiongozi kweli
Hiyi ya kuchoma moto magari na kuvunja na kuiba maduka na kubaka ndio huwa inakera kwa waandamanaji. Inabidi waandamanaji wawe wakipinga uharibifu wa mali za watu.
This is now politically issues behind... coz that's the country ..and yes people in country so He must deal with everything.. so now My fellow Brothers and sisters they want to stay like that country which got minerals and diamonds 😢😢 pls my Brothers and My sisters kenya ni inchi ambayo tunaichukulia kama innchi imeendel2eya in Africa.. but if u want that 100% peace u will die hunger
Hakuna mtu alie mpinga putin akaachwa salama ktk hiidunia ruto ulifa ya vbaya sana kuchagua upande wa mashoga. Haimanishi kwamba maandamani ya kenya kuwa kuna mkono wa puttin rahasha bali puttin nitaa ya dunia!
Mtangazaji yani ukitangaza hizi habari nategasikio kweli kweli asante
Usipomuelewa uyu sky we ndio bas tena yuko sawa
Na mimi pia
Ruto mungu hajafurahishwa na uongozi wako toka tu 😂
Ruto must go
Thursday and Sunday maandamano lazima RUTO AJIUZULU
Ruto bora uondoke tu madarakani plz
😢haezi ana roho ngumu kaa chuma
Hapa Kenya hata tume ya kupigana na ufisadi pia wao ni mafisadi hata ruto ni fisadi
Mmmh kwer wakenya wamevurugwa ..mungu wasaidie ndugu zetu wakenya wapate aman..mana aman ndo Kila kitu..
Ruto must GO 🇰🇪🇰🇪
Hao tena wana lao tuu, hata ruto akiondoka ajae akikosea padg tu basi wanaingia tena barabarani 😢
Kweli naomba watu wasave hii comment yko.
Sabab ya ukosef wa ajira wakipat mtu akiwafadhil kidog.shida inaanzia hapo.
😂😂😂😂😂Gen Z Wa 🇰🇪 Nawapenda sana❤
Sasaivi naona awo nimagaidi tu wanataka waanzishe vita wanaitaji kuangamiza watu wakenya wanatakiwa kuwa makini
𝐖𝐞𝐰𝐞 𝐤𝐞𝐧𝐠𝐞 𝐡𝐮𝐤𝐮 𝐬𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐜𝐜𝐦 𝐭𝐮𝐥𝐢𝐳𝐚 𝐧𝐲𝐚𝐩𝐮
😂😂😂😂Love my country 👏👏👏👏
Wa Tanzania Vile Hatujui English hapa ndio sehemu Pekee ya kuelewa yanayiendela kenya😢😂
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅
😂😂😂😂
Ruto must Go
Thanks SNS
Huko Kenya kimenuka.
Hapo sawa alishidwa kuisaidia Congo akasapoti M23 😂😂😂😂 ba mtoe alikua anaongea kingeleza wakati Congo wanakupfa wanalia Ruto muster goooo
Ruto must go 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Zakayo must go
Niatari😢😢😢😢
vilio vya wananchi havipaswi kupuuzwa kwa sababu madhara yake huwa ni mabaya sana,miundombinu kuharibiwa,watu kuumizwa na wengine kuuawa.
Ruto must go nawunga mukono alafu mkimaliza twendezetu kwa chakwela Malawi
TUNAOMBA TAARIFA ZA MABADILIKO YA MANUNUZI YA LUKU
Ala Kenya bhana ,kwahyo wanataka nchi eendeshwe na Hawa vijana wa hovyoo
Tumechoka na uongozi wa ruto
Mwambie atupe till tulipe China wenyewe
Dah..!
Mlipe loan wenyewe et!😂
BBC yanapaswa kuwa wamekutafuta kwa ubora huu.
😮Tanzania tukiwashe, mmh au bas nimeuliza Tanzania tuna amani Kenya pole sn
Mwanasheria wako ana ujasiri😂😂😂
Hamjui katiba yenu laiti mngejua sai mngekuwa barabarani 😂😂
Ndo tatizo lakusuma katiba siasa 😂wasomi hao kaka nahukuru tz walizuia kinamnaingine wallah
Mmmmh nilijua yameisha Hooh lord waponye keny’s
Mi ni mkenya na naona itakuwa fazari kama tutamwachia 2 alafu tupatane 2027 maanake pia kw ule mswada kuna v2 wakadha amezingatia tukubali 2 na nchi isongee mbele
Kweli nakiona kitu cha pekee kwa putin yan wapinzan wote nyumbani kwao kuna maandamano ruto alipoke mbolea kwa urusi akamsalit haijapita hat mwez amekiona na raiya hawamtaki
June 15 aliiongelea vibaya urusi, leo atakua anajuta sana. Kete aliyoigusa ni mbaya
Mwendo
Magaidi ao
Kama unaamini Hawa vijana ni WA HOVYO LIKE HAPA
Ni wa hovyo kwa kuwa huon ugumu wanaopitia
Utakuwa ni mtu mjinga Sana wewe kupindukia.... Watu wanaopigana Maisha yao ktk nchi yao ili wapate Maisha nafuu wao na vizazi vyao unawaita wa hovyo?! Wakitoa Kura zao sio wa hovyo ... Ila wakifuatilia malengo ya utoaji Kura zao kwa mtu ili yatimizwe ndio wanakuwa wa hovyo?! Una Akili za kipumbavu Sana. Ili maandamano yasiwe na vurugu ... Lazima polisi wasichokoze maandamano hayo na waandamanaji ... Vurugu inaanza kwa polisi na lzm waandamanaji wajibu ukiwachokoza.
Tanzania maandamano polisi hawachokozi waandamanaji ndio maana huoni vurugu huko... Kote Duniani polisi ikichokoza Raia ... Wata react
Niwalewale wapumbavu na wajinga
Hata kama maisha ni magumu vijana ni wa hovyo kabisa ,shenzi kabisa hawa vurugu za namna hiyo za hovyo
Sns serikali ya ruto umeongeza mishahara mikubwa kwa wabunge,mawaziri, speaker wa bunge la kitaifa na senate mca na wengineo sasa huyu ni Kiongozi kweli
Nakuelewa fredict nakupata Sana kutok emirates
Karibu tz tukiamshe na ss😂😂
Hiyi ya kuchoma moto magari na kuvunja na kuiba maduka na kubaka ndio huwa inakera kwa waandamanaji.
Inabidi waandamanaji wawe wakipinga uharibifu wa mali za watu.
Ona chanzo kilicho pelekea wachome boss
Group ya ruto ndio imepanga na kulipa wahuni wezi
@@blessingsmary
Basi kumbe hatare kweli
RUTO aisee kumuongoza mtu ni kazi weka mkazo
ruto achia kiti
Akiondoka nani atakuwa anafaa?
Hii sauti ndio hua naitaka😋
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Ruto makende yangu
Vijana wa hovyooo
This is now politically issues behind... coz that's the country ..and yes people in country so He must deal with everything.. so now My fellow Brothers and sisters they want to stay like that country which got minerals and diamonds 😢😢 pls my Brothers and My sisters kenya ni inchi ambayo tunaichukulia kama innchi imeendel2eya in Africa.. but if u want that 100% peace u will die hunger
Kubaya
Headline zenu kiboko....
Hakuna mtu alie mpinga putin akaachwa salama ktk hiidunia ruto ulifa ya vbaya sana kuchagua upande wa mashoga. Haimanishi kwamba maandamani ya kenya kuwa kuna mkono wa puttin rahasha bali puttin nitaa ya dunia!
Akawaite waisrael wamsaidie😅😅😅😅😅
Already We are Israel generation
Bundaala uwa nafurahishwa sana na usomaji wako wa makala safu sana,saut,mpa gilio wa maneno kupanda na jushuka kwa sauti
Asante sana Lameck
Ruto amtafute Netanyahu ampe mbinu za kupambana na maandamano..
😂😂😂😂
Saivi wanataka nini
Tunataka ruto ajiuzuru
Ruto must go
Tulia wewe
@@everrineanyango7410 he must goooooo
Tunataka ruto atoke kwa office
Jipigie saluti kama wewe ni mkenya alidhulumu raila kajiona ataishi kwa amani machozi ya baba yatamtafuna paka aondoke hatumtaki
RUTO Alifikiri kuhungana Na Wahasi(wanyarwanda) Wa D R(C)Kongo Kungempunguzia Gharama za Maisha Kenya Anakiona Chamtema Kuni Ahondoke😮
Ruto amtafute SAMIA ampe mbinu za kupambana😅
SNS ikiwezekan tunaomba Uchambuz juu ya kushindw kwa Macron na nn athari yke kwnye Matokeo ya kwnza ya Uchaguz nchin Ufaransa
Mbona iyo imetoka jana
𝚆𝚊𝚝𝚊𝚗𝚣𝚊𝚗𝚒𝚊 𝚖𝚖𝚐𝚎𝚓𝚞𝚊 𝚔𝚎𝚗𝚢𝚊 𝚒𝚕𝚒𝚟𝚢𝚘 𝚐𝚑𝚊𝚕𝚒 𝚖𝚐𝚎𝚝𝚞𝚊𝚌𝚑𝚊 𝚝𝚞 𝚝𝚞𝚊𝚗𝚍𝚊𝚖𝚊𝚗𝚎😢,𝚖𝚊𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚝𝚊𝚗𝚣𝚊𝚗𝚒𝚊 𝚗𝚒 𝚛𝚊𝚑𝚒𝚜𝚒
Kuja 🇰🇪 ufurahie maisha mororo
Pole Sana wazungu weusi kuleni kiingereza chenu na currency yenu😢😢@@Omosh003
Tuko pamoja SNS