DK. MUCHUNGUZI ATOA SABABU THABITI ZA MGOGORO WA KENYA "MUSEVENI AMESOMA ALAMA ZA NYAKATI KURUDISHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Baba Mchunguzi umenikosha sana msoni wetu mzuri! Nawaambia mtanzania msomi anapointi za kujenga na zenye afya siyo kujisifia sifia vingereza utadhani ni lugua ya Kimungu!
Mh Dr upo vizuri sana. Watanzania tusishabikie vurugu Kenya. Sanasana tuwaombee. Mi binafsi naliombea taifa la Kenya nikitamani kuna siku Mungu atawanusuru
If you think vijana hawajui what is in the finance bill ,then you are very wrong 😂
Point of correction. GenZs hawana ukabila.
🤣🤣🤣Kama huyu ndio political analyst then Tz has a long way to go
Na anajitapa amesoma sana 😂😂😂
Amekosea wapi?
It ia not a long way but a no way.
He's very good if you understand swahili 😂😂😂
He has asked for Kagame, Museveni and Suhulu to intervene 😂.
Kenya there is FREEDOM OF EXPEESSION and the right to MAANDAMANO.
Dr samahani niko MUSOMA Tanzania kweli haujui kenya sawa sawa Kenya tatizp ni ukabila na utawala wa kabila la Wakikuyu ambao wanajiona ni bora kuliko makabila mengine na hawataki makabila mengine yakamate utawala , madai yote waandamamaji yameridhiwa na RUTO na bado MAKAMU wake ambae ni MKIKUYU anahasisha wakikuyu wamfukuze RUTO ili mkikuyu awe mtawala leo huyo makamu ana madai kuwa serikali yao ni kampuni makabila yaliyowaoigia kura ndio wana shea na mskabila ambao hawakuwapigia kura hawana mgao!!? Kweli utawala unakua hivyo ?! Mwisho MUSEVEN hana busara ya kusuluhisha KENYA anapendelea wakikuyu huku hapendi wajaluo kwa vile wajaluo wa uganda wanamsumbua kwenye utawala wake wa kifalme na hana busara za kutosha.
With all due respect,kusema ya kwamba Kenya hawaelewi mambo ya finance si sahihi.Wakenya ni watu wamesoma sana na hii finance bill wameisoma na kuilewa kisawasawa.
I support you on this
Yes na ndo imeanzisha haya yote
Dr elim yako aina msahada kwa watanzania maisha yale ayako ivo.
Kenya wanajitambua Sana most of them you can't compare them with tz hata kidogo.
Dr Muchunguzi nakuomba upunguze Uchawa, haipendezi mtu wa taaluma yako kuwa Chawa....
Thank you sir. You have gone to school but unfortunately you know nothing about politics. What is going on in Kenya is exactly the same as what is going on in Tanzania. The main problem in kenya is ELECTIONS. Our elections are interfered with by the western countries like all other countries of Africa including Tanzania. Tanzania is not exception and that is why former president the late Makufuli died. You must be informed in advance that the only difference between Kenya and Tanzania is AWARENESS. Kenyan people are more then 20 years ahead of Tanzania. By the time the Tanzanian people develop democratically to the level of kenya, trust me they will ask for accountability both politically and economically. You are talking of a new constitution which has been in use in kenya for the last 14 years. Comparing Tanzania with kenya by all standards whether in Social economic, education, openness, democracy and even development is a big joke. I pray that God gives you long time to live so that you can experience, see and here what kind of questions your grand children will fearlessly ask whichever sitting government . Thank you.
Kweli.kabisa.mtu.mwenye.ali.tanzania.mtu.mwenye.hekima.wa.taki.awemshauri.mzuri.viongozi.wetu.watambui.wa
Naitwa Mwangi frm Nairobi. The truth sio Fince Bill, Ni mambo yote ulioitja. Unaelewa kweli
Wa Tanzania ni waelewa si watu wakudanganywa na watu wasiojielewa, Hao wanaoleta habari za baada ya
Kenya ni tanzania wasahau Hilo.
Mzeee huna jipya .yte unayoongea HEWA TUPU.Ungekua Kenya ungesalimiwa na Gen Z
Shida ya raisi wetu nikujipiga kifua haambiliki, hamskii mtuu yeyote. Labdaaa amskie mzeemseveni. Mwanzo tulimpenda lakini ngoo'tulikosea. Ajiondoepolepole.
Amekua raisi wakuwanunua wabunge, iliwapitishe anachokitaka yeye. Shida iko hapo. 30:50
Amekua raisi wakuwanunua wabunge, iliwapitishe anachokitaka yeye. Shida iko hapo.
Amekua raisi wakuwanunua wabunge, iliwapitishe anachokitaka yeye. Shida iko hapo.
Kweli Tanzania sio kama Kenya
Hongera Dr. Vijana tunahitaji elimu hii, MAANA VIJANA WANAPENDAA HARAKATI BILA KUJUWA NYUMA YA PAZIA YA KILA JAMBO KUNA SABABU.
Upside-down advises...kenya iko mbele kuliko Tanzania in everything..education, economy, infrastructure, hivi wewe kwanini unachukia sisi wakenya?..one day one time we shall REVISIT...lets us preach peace and unity kwa nchi zetu majirani ...ubinafsi mwingi haisaidii ndugu...very sad!!
Mbona wewe umesoma kingereza na Tanzania haifundishi kingereza wanafunzi mashuleni?
Daktari, wacha nikukosoe. Maandamano haya HAYANA UKABILAAA!!!!!
I don't know why you think that its tribal, but you are deeply mistaken. These demonstrations are TRIBELESS, PARTYLESS AND FEARLESS. Kwahivyo mzae, ongea facts, usiongee kitu hujui hapa. Na ukabila umepungua sana, nyinyi kila siku mnadhani ni ukabila, acha ushamba.
Labda n Dr wa Mwarobaini na sarago
Kiongoz mpanaji mwenye kjal hak nitaktafta ili usinisiadie
Niko Nairobi sasa, chenye unaongea haisaidii kwa akili ya Gen Z, hawasikii chochote, wamefika Leo Uganda, ongojea Tanzania hivi karibuni
Boss umeongea vizuri. Hata sasa hivi wanyarwanda wamejaa Karagwe wakienda wanarudi kesho yake wanadai Rwanda hapakaliki, maeneo ya bushangaro yote wamejaa wanyarwanda hata lugha ya biashara ni kinyarwanda. Kwa ufupi, Tanzania tumevamiwa na wakimbizi bubu.
Viongoz wajitahid kutimia wenye akil
Umeanza uchambuzi vizuri, umeharibu uchambuzi wako kwa uchawa wako kwa serikali ya Samia!
Dr..na profs wa kitanzania mwaona uchawa unawalipa...
Pumbafu Sasa wasomi wa aina Yako!!
This guy is being used by the Tanzanian government to fool the citizens not to reprimand it for poor performance. Watz musisikie huyu kibaraka.Kenya kuna food bwana fake doctor. Mimi Nko na chakula mingi Kwa Nyumba nmekosa soko Kwa sababu kila MTU ako na food.wewe hii bang'ang'a unatoa wapi?
Truth be told rais samia angekuwa Kenya tungekuwa tuliimpeach yeye long time ago. Sasa heri Ruto yeye hakuna kabisaaa...
Kenya hatuna fujo.we are demonstrating peacefully.
Matatizo ya Kenya si sawa na ya Tanzania. Tuacheni tutatue matatizo yetu
Ahsante sana kwa maoni sawa ila tu nakukosoa kwamba vijana wa Kenya hawaelewi yaliyomo kwenye finance bill, wanayaelewa vizuri sana. Pengine wewe huyaelewi, nakubali Kenya wana shida 3 muhimu, #1- Ukabila, #2- Corruption, #3- Tofauti kati ya Matajiri na wasio tajiri (the haves and the have nots), wasipo tatua haya Kenya hawata hepuka msuko-suko.
Hayajayaondoa, Ruto huwa ni muongo. Angalia juzi amewaajiri tena wale mawazir.
Mbwa wewe, watu wanalala njaa Kenya? 😂😂 Huyu ndiye msomi mkubwa Tanzania?😂
Shida zetu kenya ni mawili tu..ukabila na ufisadi fullstop..na tunaelewa sana,,and for your information vijana wameanza kumulika haya..the gen_z ,,kenya ni nchi huru kaka..upusi na uchochezi baina ya mataifa wacha nani..you think Tanzania has nothing to import from kenya?I pity you...
We chawa tu
Nawe toa maoni yako tuyasikie
😂😂😂😂 ahaaa haaa anataget mkeka wa mama huenda atapata teuzi
Kunguni unamuonea wivu?.
Acha kutupanga chawa wewe
Wewe ni umbwa Koko Mzee shetani ibilisi bila makwapa..... Wewe na mchawi hakuna tofauti,Niki dhania naona ni kama unaongea uwache kunukisha mdomo
Nmeelewa Kwa nini watanzania huitisha ngoma instead of listening to this stupid people. Lakini hata hivo Tanzania, if this are the doctorate graduates kindly recheck your education system
Dr ...hapo umeongea sahihi. Tz msiige Kenya kabisa. Kenya usomi ni mwingi lakini ujuaji pia unasababisha vurugu.
Kagame, museveni hawo hatuwataki wasije kenya
Acha ufala mzee, hakuna ukabila. Hii ni GenZ, sisi hata hatujui makabila zetu, hizo story ziliisha na wazazi wetu.
Ukiongea ujinga tena pia wewe tunakusalimia
From Nairobi Kenya nimesikiza maongeo yako nimekusikia ukisema wa Tanzania hawalali njaa, Mbona mulisahau kusaidia viwete wenu wa Tanzania uku Kenya wako 70% ya ombaomba? Pili mimekusikia ikisifu Museveni wa Uganda swali ni, Umesahahu Museveni amekaa miaka mingapi uongozini? Pia unajua Museveni ni Mukoloni ameuwa watu wengi wenye kujaribu kupinga uongozi wa kihimla?
Muashazoea kutawaliawa na chama kimoja na makanisa nyinyi uko
Mm n mkenya na najua kiswahili pia bt nmepata kujua you no nothing about our cornfillix Raila & Ruto all these leaders are the same in secret missions utawaona km wanatengana bt sio kwel. Gen Z we are triebless. Kuna business mbaya sana Kenya 🇰🇪 Ruto na Raila ni wauwaji ndio kila kitu tunapinga
90% of Kenyans are Laws Consious sio kama Madwanzi watanzania
Yaani wewe unajuwa kuwadanganya watanzania
Banaaaa!! Ni fala
Wamesoma ndiyo ila kila mmoja ni mjuaji sana pia ukabila unawaua hata professor😊 Kabudi shawashauri hivyo unakuta huo usomi wao hauwasaidii lolote!!!!
Ungelelea kuhuzu kuuza kenya kwasetani
Mbona watanzania wako kenya.kama mko sawa kiuchumi
Mi ni mkenya ...vijana ni wasomi na wanaielewa hiyo bill..walio kuwa maandamano niuni uni ersity kando nakukosa ajira sir ...alafu serekali ni ya familia...na marafiki....inajitafutia wao tuu na damilia zao...wengine tutoe ushuru wa juuu....kila kitu...cha kijinga hali wao wana sherekea na familia
Kiukweli Uongozi wa Tanzania, na wa Kenya ,unautofauti mkubwa mno,Tanzania nakumbuka Mzee wao Magufuli na sasa Daktari Samia na wazuru uongozini Kwa kuwa hawana ubinafsi na "watu wao"yaani amabao wanao nufaika na uongozi,viongozi wa Kenya ni WA tumbo zao hivyo kuchangia swala la ufisadi ilihali Tanzania uongozi wao ni WA wanainchi,wanaangalia na kujisatiti kuinua maisha ya watanzania ilihali Kenya inaongozwa na wafusadi,wakabila na wauwaji...ilimradi wapate watafutayo...Kwa hakika nakiri uongozi wenu watanzania nawapa heko Kwa misingi ya Mzee wangu marehemu Magufuli aliweka njia Bora isiyo na ufisadi.tafadhali Nawasahi watanzania wasifwate Wala kuiga Wana Gen Z wa Kenya maana mko na viongozi Bora kuliko Kenya yaani sio wafusadi kama wetu
Nimekupenda kutokana na uzalendo wako
Wacha wewe huijui kenya they are more informed than you
Do you know the meaning of mwanajeshi na polisi
Tunao viongozi wachache katika vyama vya upinzani wenye uelewa kama wewe..tunao wanataka uongozi kwa nguvu.
Yote unayosema ni kweli ila kwenyekusitisha maandamano sikubaliani na wewe. Ruto na serikali yake waende nyumbani hatuwataki.
Sihawahi kiona mpumbavu miubwa kama huyu asiojuwa utu wala kuwa na logic, naomba pumbavu kama huyu akae agange yao Tanzania na ya kenya hayamhusu, aendeakampe pole bwanake Ruto kwa heahima yote, sisi yetu watuachie tutayamaliza wenyewe, mburukenge asio na akili De. Lisio jifaa hata afae wengine,
Shida zenu Watanzania sio sawa na zetu hapa Kenya. Tunayo matatizo yetu tu. Tafadhali msiige. Lakini nakukosoa, yetu sio fujo. Tunapigania utawala bora. Hebu wakalieni Watanzania tuone kama watanyamaza.
Amewasikiza vijana vipi story za Kenya Ni za Kenya hajui kitu huyu eti ukabila Gen Z hawajui kabila
Nashangaa. Uwache ufala.
Mimi mkenya lakini huyu hajui chochote kuhusu kenya yeye ni bwege
Ungesema. Wangine. Uganda na Rwanda njo wasipime wananyanyasa rahiya
Kasahau kuwaasa viongozi wawe wasikivu kea wananchi siyo kuwapoteza wanapoambiwa ukweli na kuwadhibu kama mpina.
Angarieni mabo ya kwenyu, wasana na sisi hatutaki usaidizi wenu, nyamazeni kabisa
SISI NI WASOMII WE DO KNOW ABOUT THE FINANCE BILL..HUYU AMETOKA WAPI..KAMA HIZI NDI AKILI ZIKO TZ I PITY YOU AD A COUNTRY....
So why are shouting "Ruto must go" while he already rejected the finance bill? Go back at home
@@denismugisha2 ACCOUNTABILITY TRANSPARENCY AND POOR GOVERNANCE we will fight him until he shapes up
Viongozi waajibike, mambo ni mapya akili mpya...
Watu wanaelewa finacebill dakitari
Yaani wewe hujui kabisa unapigia debe wale wale
Corruption
Selfishness
Poor accountability
Maona yako mwengine sikubaliani nayo kabisa alafu Mzee mawazo yako juu ya Watanzania ni ya kizazi cha kale. Kubali pia kuna mazuri mengi ambayo Tanzania inaweza kuiga kutoka Kenya. Unaiponda Kenya sana. Unaipendelea na kuisifu Tanzania. Watanzania wa Kizazi kipya tafadhali fungueni macho , msilemazwe kimawazo na Wazee kama hawa. Huyu ni wa Status Quo , yani hataki kubadilika na Wakati.
Kenya ni Udemokrasia state TZ ni Ukomunisti state.These have two different political policies.
Ulivyosema na uliyoyasema mi kweli kabisa. Hali ya uchumi na ubinafsi na ukabila ndio ugonjwa unaostahili tiba kwa haraka. Ni Allah Mtukuka Anaeilinda nchi hii lakini wanachi wa Kenya wasiporekebisha hali hii basi walimlaumu Mungu bali walimlaumu. Suluhisho la haraka linahitajika kwa haraka. Serikalini kuna watu na raia pia ina watu wanaoweza kutatua matatizo yaliyopo.
Museveni na kagame wanakoroga Kongo so wasije
Usomi wamakaratasi sio wa ujuzi wa maisha wengi walio soma wamekua mapumbavu kutatua matatizo mengi ya màisha wengi wao hawaja unda itu chochote katika maisha ni ujuzi wavitabu ya masomo ya kile ktu wamesomea lakini upumbavu uko mathalan kumaliza ufisadi, umaskini, ama serikali kutoa ruzzuku kwa familia maskini ulayà yafanyika kwani huku kuna nini? Ambayo yasio wezekana baada ya myaka sitiini ya uhuru ...
Umeongea vizuri lakini hayo ni mawazo yako tu bado huna historia ya maandamano anglia katiba.
Holili haipo Tanga ipo kilimanjaro Horohoro ndio ipo Tanga lakini pia sio Taita ni Taveta
Hii ndio akili mnafuata watanzania?🤣🤣🤣
Wazee kama wewe ndiyo mnapinga Tanzania isiwe na Katiba mpya , bado ni kusifu utawala uliyoko kwa masilahi yako ya binafsi
Ni uongho huyu jamaa hajui anachosema,hajafuata maandamano
Tutaandamano hakuna wakutuzuiya
Na kubaliana na wewe wasomi wengi wako kenya na hawa kwa usomi mwingi wamekuwa mapumbavu kwanza ni wamesoma na yanafanyika wakiona, kama walisoma huyu ufisadi umekua kizungumukuti wakiona myaka nenda myaka rudi.Akili ya masomo sio akili ya mambo ya dunia na ujuzi yakupeleka mambo sambamba.Wengi mtapinga ukweli huyu leo lakini kesho mtayafakari haya😄
Ujuwaji wa uchawa sio Elimu eti wasomi Tz shidi
Asiye kuelewa hawezi kuelewa
Utapeli wa adharani serikalini ndio kiini hasa
Asantesana baba yangu ❤❤❤❤❤❤❤❤
Nice language but your voice sounds jealous of Kenya 🇰🇪...
Shida kubwa ukabila na wizi wa mali ya umma.Hakuna Hatua inayo chukuliwa.
Chakula inayo Toka Tz Kwa mfano ni taan ya mahindii ngapi msomi bandia.
Huyu Mzee muong cna msaka tong
Zungumzia katiba wewe
Peleka upuzi huko Tanzania
sasa ikiwa mseveni ndiye anayempa ruto ushauri eti awatume jeshi waje wapambane na raia wasiobeba silaha ili wasitetee haki zao kiongozi kama huyo ni wakumpenda kweli alivyo na rekodi mbaya kwa nchi yake,mama samia heri amejawa na hekima kwa hawa viongozi wote ambao umewataja katika region hii yetu
Tz tumelzka na uchumi wa chini katikati
Ufisadi na Wizi ni mkubwa ndani ya serikali
Unasema tz ni inchi tajiri na kila aina ya madini ambayo ina zalisha ma “trillions dollars “ hii fedha zote haileti usahidizi kule Tanzania ? Wakati tukilinganisha na utawalo wa Muhamar Gaddafi inchi yake ilikua tu na mafuta lakini kila mwana inchi ilifaidika sana na ikawa namaendeleo kubwa…
Wa Tanzania WA Burundi Congo Ra Uganda wengi humu kwetu Kenya wewe DR fake 😅
Maandamano yale hayana Ukabila
Mbona tanzania watu huwa wana strora away ndani ya mali
Kongole, umegonga ndipo
Huu ni mwaka gani? 1950? Hata miaka hayo wanaume hawakuwa waoga.