Wenzetu wanajali mnoo lugha zao ndo maana hata Leo uende ulaya nje ya uingereza kila mtu anaongea lugha yake kuongea lugha ya mwenzio ni utumwa sisi bado tu malimbukeni hatujipendi wala hatupendi vyakwetu na akili za ukaragosi ndo maana tunaganda vya kwetu
Asante na hongera sana...Spika wetu jifunze uzarendo.. na waulinze Russia bandari zao wamempa nani!!!! Russia wanalinda Rasilimali zao Kwa nguvu kubwa sana!!!!
Yaani daa kila nikifikiria Combination safi ambayo ingekuwepo kati Tanzania na Urusi kama HAYATI Rais Magufuli angekuwepo daaa!!!!. Tanzania tungekuwa mbali sana. Mungu aendelee kumpa ujasiri Mheshimiwa Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA
Kweli kabisa na nimekuelewa saana Mwenyezi Mungu atujalie tusimamie vyakwetu tujivunie kila kitu chetu maana hata lugha yetu ametujalia Mwenyezi Mungu kwanini tuikatae!
Madam tulia tunakuomba utuwakilishe, iambie selikali ya cremlin ,Tanzania kuna vijana wengi tuna nia yakuja urusi kuipigania kwa maslahi ya mataifa mawili na dunia kwa ujumla ila hatuna muwakilishi tunakutegemea wewe kulingana na hyo atua uliyo ichukua 🙏
We need logical things that will bring about change in Africa, not looking for a solution in Ukraine, Volrdimir Zelenky, the mayor of Ukraine, how he and his Americans are talking about our relationship with Russia.
Kuna haja ya kiongiz wa bunge wajifunze kupitia urus jinsi wanavoongoza bunge, na mambo ya muungano jinsi inavofanyika sio ile mchanga na mchanga halaf tukapigwa za kichwa
Was a grate attempt to try to to advise Mr Putin in a good intentions but remember attained peace to him is still threatening. Fact to know that he is not ready to do that but he try to. Listening to you mam if you are also understand his situation,I’m not looking for violence just i just try to overlook indeep Pc
Labda viongozi wa tz mmeanza kujitambua hivi, ila msitetereke lazima msimame imara kama jpm magufuri mana hivi punde vikwazo vinakuja, manyang'au wanawasikiliza na wana waona. Uzuri rasia na china nikila kitu lkn watu hamjui tu.
Moja ya vitu vinanikera ni wakuu wetu wa nchi kuongea kiingereza wanapokutana na viongozi wakubwa duniani halafu wanabaki kutusisitiza sisi tukuze lugha yetu ya kiswahili wakati wao ndo wanatakiwa wawe wa kwanza maana wanapata nafasi kubwa dunia inawatazama Kama mh spika hapo hiyo ndo ilikuwa nafasi kuitangaza lugha yetu
Natamani sana siku moja Africa tuwe na raisi mwenye msimamo na mwenye ubunifu mkubwa ktk nyanja zote sio kwenye vita tu bali Urusi imeendelea sana sana tujifunze kwake Vladimir Putin
nampongeza sana maadam spika wetu bi Tulia kwa uwakilishi, ila hapo naona kama katuangusha kidogo ilibid atumie lugha yetu ya kiswahili. Inabid tufike hatua tuanze kujivunia lugha yetu ili tuikuze na tuache kuendekeza lugha za wakoloni hasa pale tunapowakilisha nchi yetu na kwenye mambo yote ya msingi yanayohusu nchi yetu. hao warus kila sehem wakienda wanaongea lugha yao, wachina hivo hvo, wafaransa , wajerumani n,k na sisi Africa ni wakati sasa tuamke tusiendeleze ukoloni.
Nawapongeza wa Tanzania Kwa kuonekana ulimwenguni katika kutafuta amani! basi nawaomba pia Tanzania kuungana na bara la (Asia) na kuachana kabisa na Us na (Europe) ikiwa tunataka kupiga Hatua za maendeleo!
Putin anajua kingereza vizuri sana ila sio mtumiaji sana wa kingereza kwa nini? WENZETU wanajali sana lugha zao
putin anazungumza english german tena vizr sana maan ameish german maish mingi than kirud ndo lugha yake
kwa sababu sio rimbukeni 😂😂😂
Wenzetu wanajali mnoo lugha zao ndo maana hata Leo uende ulaya nje ya uingereza kila mtu anaongea lugha yake kuongea lugha ya mwenzio ni utumwa sisi bado tu malimbukeni hatujipendi wala hatupendi vyakwetu na akili za ukaragosi ndo maana tunaganda vya kwetu
Sa we Leo bila aibu Kuna nchi kibao za kiafrika zinajisifu lugha zao za taifa ni kiingereza, kifaransa au kireno , angali Wanalugha zao za asili
Ukizungumza na Putin nisawa umeongea na walusi walioko urusi
11:42 Dr Tulia kapata bahati sana kukaa meza 1 na Raisi halisi wa Dunia ya
Hakuna haki sawa
Ushakuwa shoga@@dullahabdallah-nu1py
Kabisa
Asante na hongera sana...Spika wetu jifunze uzarendo.. na waulinze Russia bandari zao wamempa nani!!!! Russia wanalinda Rasilimali zao Kwa nguvu kubwa sana!!!!
Point kabsa
Safi💪
Duh we ni master mind
Hapo mnajitahidi kutuhabarisha kwa wakati mkifanya hvy mtapata wa fuasi wengi zaidii
Kweli maana taarifa ni ya jana
Sio rahis kukaa meza moja na Putin, it needs a heart of lion to speak with. Hongera kwa Madamee
Huyo put in,ni mchafuzi wa dunia,vita kila pande ,yeye na ISRAEL
Putin yupo makini sana 😊
Kwa vyovyote vile lazima Ukraine isalimu amri au iwe majivu
Nafasi yake ndiyo imempa hiyo nafas ya kukutana na wakuu wa dunia
Mama Anacheo kikubwa sana Mainshaallah
Ma Sha ALLAAH?
Our future presidee
Tanzania oyeee✋✋
Tanzania wanazungumza lugha gani kabla ya oyee
Oyee ya nini sasa
Tulia kwani kasomea wapi na mimi nimpeleke mwanangu,🔥🔥🔥
Waombee watoto wako kwa Mungu awabariki Mungu ndie uinua watu hallelujah
Bravo madam speaker
Nashukuru sana Dr Tulia kwa kazi nzuri ya kudumisha Amani Duniani.👏🏽
Utuletee huyu putin Serengeti tulia 🎉🎉❤
Mheshimiwa Tulia, shukran kuwakilisha Tanzania na watanzania
Hongera sanaa maadam speaker una muhimu sanaa ktk hili .
Yaani daa kila nikifikiria Combination safi ambayo ingekuwepo kati Tanzania na Urusi kama HAYATI Rais Magufuli angekuwepo daaa!!!!. Tanzania tungekuwa mbali sana. Mungu aendelee kumpa ujasiri Mheshimiwa Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA
Nikweli kabisa.
Kasim majaliwa wa mama Samia mlea wezi kama mama Samia mwenyewe
Sana
@Hussein-gx4qu kweli kbs
@@Hussein-gx4qu wewe hauelewi. Akikamata watu nakuwafukuza kazi. Kesho yake wanarudishwa na Mkubwa. Unategemea nini?
kukaa meza moja na Putin wakati huu ni sawa na kuongea na dunia nzima...
Spiker Tulia, ni sehemu Product ya Magufuri , katika uongoizi ❤ Tanzania 🇹🇿
Ni kiwete ndio alie mteuwa kwa mara ya kwanza tunajivunia chetu anawasilisha African na tz
Very Articulated Hon. Dr. Tulia Akson, you really deserve the Presidency of IPU, am very proud of You Madam Speaker and President of IPU.
Hongera sana Madam speaker
Mwamba vladmir Putin live long
Hongera sana madam speaker.Naamini mama anatakiwa akutane na huyu mwamba
Tulia ametulia kweli ni mwanamke makini sana. Nafurahi kuona mtanzania anakwenda kusuruhisha migogoro worldwide ni heshima kubwa kwa nchi yetu.
Congratulations, umeongea kiingereza kizuri na sauti nzuri( lafidhi) nimekuelewa mzalendo mwenzako
😂😂😂😂😂😂
Ukweli usemwa hapa tanzania 🇹🇿 imetumia akili kubwa sana hongera kwako madame spiker
Nafasi kubwa sn umeipata dada Tulia
Hongera sana Dr Tulia
Huyu Tulia anaonekana ana kitu kikubwa ndani yake aungwe mkono
Moja kati ya kazi yako ni kutafsiri kwa kiswahili bwana mwandishi
Nashangaa anatupa kazi 2,
Hongera sana spika wetu kwa kuongea na raisi wa dunia ambaye tunamwamini sana mtata wa dunia tunataka watu kama Vladimir Putin
Tanzania tumepiga atua Kubwa hongera Sana spika wa Dunia ingekuwa powa sana ungepiga kinyaqusa kidogo
WAKENYA mnasema hatujui kiengereza hapa Dr Tulia anaongea kiRussi
Kazi nzuri sna
Thek you tulia akson
Sasa kwann nayeye asiongee kiswahili 😂😂
Kweli kabisa na nimekuelewa saana Mwenyezi Mungu atujalie tusimamie vyakwetu tujivunie kila kitu chetu maana hata lugha yetu ametujalia Mwenyezi Mungu kwanini tuikatae!
Yeye ni Rais hapo wa mabunge duniani awakilishi Bongo tu ..mnafeli
@@LastdayJesu4153 Ndugu zetu wanadhani ni kiswahili tu 😂😁
Madam tulia tunakuomba utuwakilishe, iambie selikali ya cremlin ,Tanzania kuna vijana wengi tuna nia yakuja urusi kuipigania kwa maslahi ya mataifa mawili na dunia kwa ujumla ila hatuna muwakilishi tunakutegemea wewe kulingana na hyo atua uliyo ichukua 🙏
Wazo zuri sana, Dunia ya Haki na Usawa
@@allykwaya haswaaaa
Nayeye angeongia kiswahili amefeli hapo
Sio lazima
Hpo kaenda kma mwenyekiti wa bunge kidunia
@@MendezyMendezykweli
Huu ndio upumbavu wa Waafrika, Mwafrika anaona akiongea kiingereza ndio ataonekana kasoma kumbe ni ufala
Huyo anaetafisri anajua Kiswahili?
Sasa nimeanza kukupenda tulia 🌺🌺
Mwenzako anaisha utaifa wake wewe umeg'ang'ana na lughu zawatu piga kiswahili hapo 🎉🎉
Tulia ongea kidogo bwana mwenzio ana KIKAO NA MABOMU
wee vp imagine ww unakutana Mama samia tu unaongeaje kdg
😂😂😂
Mainshaallah
Dr tulia ❤
Ingependeza Sana Tulia Ackson angeongea kiswahili nayeye kujivunia lugha yake
This is to big big up tz
Congratulations our head of parliament , m nataman kukutana na putin ila sna uwezo
Mashaallah 🎉
Dj sma najua utatufafanuliaa hii kitu naona kuna kitu hakipo sawaa
Utumwa maombolewo ndio unatumaliza,
Hata mm nimeona kuna kitu hakipo saw
Good work 👍,
Putin na tulia niwatu nawakubali Sanaa kuliko 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥
Mashallah
Natamani nchi zote za Afrika zijiunge Brics.
UBARIKIWE na kutunzwa sana dada Tulia YOHANA 14:14🙏🤝
Acha kuchanganya dini na serikali,amka
Huu ndo utofauti kati ya mzungu namuafrika sisi bado tumebaba bendera ya kitumwa lkn pia nakupongeza dr tulia
We need logical things that will bring about change in Africa, not looking for a solution in Ukraine, Volrdimir Zelenky, the mayor of Ukraine, how he and his Americans are talking about our relationship with Russia.
❤
I wish Angekuepo mzee 😢
👏👏👏👏
First
Mama samia hapa nakukubali spika wetu nmekuelewa me ndo putin wa tanzania upo upande sahihi viva russia
❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤
kujichoreshaa tuu wakati Africa tuna mengii yanatusumbuaa mmeshindwaa kuyatatua mnadilii na putin mtuu mzito tujadili yakwetu umeme tanesco wanakata kila siku nini tatizo maandamano #kenyas nini ufumbuzi #kongoo nini chakusaidiaa au tunakulana wenyeweee😢😢😢😢
Hii hatua nzur ya kujiunga bric's+
Hii DJ SMA aitafsir vizuri, tumsikie Putin anamwambia nini shangazi yetu, shangaz tumemsikia kawakilisha VYEMA SAWA SAWIA 😂😂😂
Kuna haja ya kiongiz wa bunge wajifunze kupitia urus jinsi wanavoongoza bunge, na mambo ya muungano jinsi inavofanyika sio ile mchanga na mchanga halaf tukapigwa za kichwa
🖐️🤚
BIDEN anamsikiliza ili andae vikwazo kwa nchi yenu
Na yeye siku si nyingi atapigwa mkwala na Trump. Hakuna shida.
🙏🙏🙏💪💪💪
Lugha yetu pia ni vyema ikatumika kimataifa kwa kuitangaza sisi wenyewe kama wafanyavyo wengine
Sns ninaierewa saana kwa habari zao huwa hawakurupuki wakikaa kimya najua wanakuja na ukweri tusio taarifa za kudandia
Tanzania🎉🎉🎉
Was a grate attempt to try to to advise Mr Putin in a good intentions but remember attained peace to him is still threatening. Fact to know that he is not ready to do that but he try to. Listening to you mam if you are also understand his situation,I’m not looking for violence just i just try to overlook indeep
Pc
Rasmi Tumeanza kuingia Duniani
Labda viongozi wa tz mmeanza kujitambua hivi, ila msitetereke lazima msimame imara kama jpm magufuri mana hivi punde vikwazo vinakuja, manyang'au wanawasikiliza na wana waona. Uzuri rasia na china nikila kitu lkn watu hamjui tu.
Hahahah Huyo nae anaongea na Putin nini hahahaha
Msisahau kuifuatilia crown media pendwa zaidi tz
Moja ya vitu vinanikera ni wakuu wetu wa nchi kuongea kiingereza wanapokutana na viongozi wakubwa duniani halafu wanabaki kutusisitiza sisi tukuze lugha yetu ya kiswahili wakati wao ndo wanatakiwa wawe wa kwanza maana wanapata nafasi kubwa dunia inawatazama Kama mh spika hapo hiyo ndo ilikuwa nafasi kuitangaza lugha yetu
Natamani sana siku moja Africa tuwe na raisi mwenye msimamo na mwenye ubunifu mkubwa ktk nyanja zote sio kwenye vita tu bali Urusi imeendelea sana sana tujifunze kwake Vladimir Putin
Kwa nn haya maongezi yasiwr kwa netanyau naeangamiza wanawake na vichanga
BRICKS. NEW CROSS AND POWERPOINT OF NEW WORLD.
nampongeza sana maadam spika wetu bi Tulia kwa uwakilishi, ila hapo naona kama katuangusha kidogo ilibid atumie lugha yetu ya kiswahili.
Inabid tufike hatua tuanze kujivunia lugha yetu ili tuikuze na tuache kuendekeza lugha za wakoloni hasa pale tunapowakilisha nchi yetu na kwenye mambo yote ya msingi yanayohusu nchi yetu.
hao warus kila sehem wakienda wanaongea lugha yao, wachina hivo hvo, wafaransa , wajerumani n,k na sisi Africa ni wakati sasa tuamke tusiendeleze ukoloni.
Sina shaka na spika wangu,luga ipo
Lugha gani ushamba tuu! Kwani unazani putin hajui kingereza?
Hapo puti anamuogopa doctor Tulia body language yake inazungumza
Tulia na Duniani hatariiiiiii
Mbona Kama tunataka kuhusishwa kwenye migogoro ya mataifa mengine? Tukiwa kama waafrika hatuegemei upande wowoteule ijulikane hivo tu.
Nasimama na Russia na Putin
Putin anaona anacheleweshewa muda 2...
😂😂😂😂 true
😂😂😂😂 Muda wa nini au Vita 😂😂😂
Bado sijaona uzalendo wa tulia ikiwa hatekelezi utawala bora na utendaji haki ndani ya bunge
Baadala tujadri jinsi ya kuwa na mabadriko chanyaa africa tunaongelea maswala ya Ukraine,,mbona humuendi Israel na kumuambiaa marekan aacha mambo yake
Wewe ongea kiswaili izo endi endi atuzielewi
Nawapongeza wa Tanzania Kwa kuonekana ulimwenguni katika kutafuta amani! basi nawaomba pia Tanzania kuungana na bara la (Asia) na kuachana kabisa na Us na (Europe) ikiwa tunataka kupiga
Hatua za maendeleo!
Angeongea kiswahili tu kwan lazn aongee ma bailatro bailatro bwana
Tukumbuke lakini hajaenda kama spike wa Tanzania kaenda kama spike wa bunge duniani
tulia vijana tupo tayal kuungana na purtin kumsambaratisha mharamia marekani usisahau kumwambia bingwa apo sawa
Tulia kasoma bongo hii ,Zanaki secondaty na University of Dar rsalaam elimu zilizofuatia ndizo kasoma nje ndiyo kasoma nje elimu yetu ni nzuri tu
Mbona anaongea ye ye tu
Ruto yeye anasemaje? Kwa hili alilofanya speaker wa bunge TZ
Afrika tunataka technologies kutoka kwa mrusi na siyo chakula na mambo mengine.
Angekuwa magufuri zamani mafuta na kila kitu cha urus kinge agizea kwa wingi kama fursa lkn nyie mpompotu
Kwani umekwenda rusia kufanya nini? Mnachezea pesa za walipakodi bure
Ila huyu mama eti wamezungumzia vita
Bora tujiweke uku
Mhhhhhhhhhhh