Spika Tulia akutana na PUTIN St. Petersburg, wazungumzia vita vya URUSI na UKRAINE, Gaza na Israel

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 320

  • @kassimbayuu5217
    @kassimbayuu5217 22 วันที่ผ่านมา +44

    Putin anajua kingereza vizuri sana ila sio mtumiaji sana wa kingereza kwa nini? WENZETU wanajali sana lugha zao

    • @zaexplore
      @zaexplore 21 วันที่ผ่านมา +4

      putin anazungumza english german tena vizr sana maan ameish german maish mingi than kirud ndo lugha yake

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 21 วันที่ผ่านมา +6

      kwa sababu sio rimbukeni 😂😂😂

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 21 วันที่ผ่านมา +5

      Wenzetu wanajali mnoo lugha zao ndo maana hata Leo uende ulaya nje ya uingereza kila mtu anaongea lugha yake kuongea lugha ya mwenzio ni utumwa sisi bado tu malimbukeni hatujipendi wala hatupendi vyakwetu na akili za ukaragosi ndo maana tunaganda vya kwetu

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 21 วันที่ผ่านมา +4

      Sa we Leo bila aibu Kuna nchi kibao za kiafrika zinajisifu lugha zao za taifa ni kiingereza, kifaransa au kireno , angali Wanalugha zao za asili

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 21 วันที่ผ่านมา +2

      Ukizungumza na Putin nisawa umeongea na walusi walioko urusi

  • @allykwaya
    @allykwaya 22 วันที่ผ่านมา +18

    11:42 Dr Tulia kapata bahati sana kukaa meza 1 na Raisi halisi wa Dunia ya

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 22 วันที่ผ่านมา +29

    Asante na hongera sana...Spika wetu jifunze uzarendo.. na waulinze Russia bandari zao wamempa nani!!!! Russia wanalinda Rasilimali zao Kwa nguvu kubwa sana!!!!

  • @JuliusKiria-j7i
    @JuliusKiria-j7i 22 วันที่ผ่านมา +33

    Hapo mnajitahidi kutuhabarisha kwa wakati mkifanya hvy mtapata wa fuasi wengi zaidii

    • @user-it7ih1it3m
      @user-it7ih1it3m 21 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli maana taarifa ni ya jana

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 21 วันที่ผ่านมา +14

    Sio rahis kukaa meza moja na Putin, it needs a heart of lion to speak with. Hongera kwa Madamee

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 21 วันที่ผ่านมา

      Huyo put in,ni mchafuzi wa dunia,vita kila pande ,yeye na ISRAEL

    • @evaristmbuya6220
      @evaristmbuya6220 21 วันที่ผ่านมา

      Putin yupo makini sana 😊

    • @evaristmbuya6220
      @evaristmbuya6220 21 วันที่ผ่านมา

      Kwa vyovyote vile lazima Ukraine isalimu amri au iwe majivu

    • @issandule1750
      @issandule1750 21 วันที่ผ่านมา +1

      Nafasi yake ndiyo imempa hiyo nafas ya kukutana na wakuu wa dunia

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 22 วันที่ผ่านมา +14

    Mama Anacheo kikubwa sana Mainshaallah

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 22 วันที่ผ่านมา +20

    Tanzania oyeee✋✋

    • @dullahabdallah-nu1py
      @dullahabdallah-nu1py 22 วันที่ผ่านมา +3

      Tanzania wanazungumza lugha gani kabla ya oyee

    • @ImaiJuna
      @ImaiJuna 21 วันที่ผ่านมา

      Oyee ya nini sasa

  • @user-sr8tc8ke6q
    @user-sr8tc8ke6q 22 วันที่ผ่านมา +10

    Tulia kwani kasomea wapi na mimi nimpeleke mwanangu,🔥🔥🔥

    • @user-ri5ks4zs4n
      @user-ri5ks4zs4n 21 วันที่ผ่านมา

      Waombee watoto wako kwa Mungu awabariki Mungu ndie uinua watu hallelujah

  • @atupelemwasambili4476
    @atupelemwasambili4476 22 วันที่ผ่านมา +8

    Bravo madam speaker

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 21 วันที่ผ่านมา +2

    Nashukuru sana Dr Tulia kwa kazi nzuri ya kudumisha Amani Duniani.👏🏽

  • @mlelwatv5831
    @mlelwatv5831 22 วันที่ผ่านมา +11

    Utuletee huyu putin Serengeti tulia 🎉🎉❤

  • @amourmbarouk1568
    @amourmbarouk1568 21 วันที่ผ่านมา +3

    Mheshimiwa Tulia, shukran kuwakilisha Tanzania na watanzania

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 22 วันที่ผ่านมา +6

    Hongera sanaa maadam speaker una muhimu sanaa ktk hili .

  • @user-wc3hn4kt1x
    @user-wc3hn4kt1x 22 วันที่ผ่านมา +16

    Yaani daa kila nikifikiria Combination safi ambayo ingekuwepo kati Tanzania na Urusi kama HAYATI Rais Magufuli angekuwepo daaa!!!!. Tanzania tungekuwa mbali sana. Mungu aendelee kumpa ujasiri Mheshimiwa Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA

    • @allykwaya
      @allykwaya 22 วันที่ผ่านมา +1

      Nikweli kabisa.

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 22 วันที่ผ่านมา

      Kasim majaliwa wa mama Samia mlea wezi kama mama Samia mwenyewe

    • @mejamiela7436
      @mejamiela7436 21 วันที่ผ่านมา +1

      Sana

    • @mejamiela7436
      @mejamiela7436 21 วันที่ผ่านมา

      ​@Hussein-gx4qu kweli kbs

    • @user-wc3hn4kt1x
      @user-wc3hn4kt1x 21 วันที่ผ่านมา +1

      @@Hussein-gx4qu wewe hauelewi. Akikamata watu nakuwafukuza kazi. Kesho yake wanarudishwa na Mkubwa. Unategemea nini?

  • @gosbertireneus5558
    @gosbertireneus5558 21 วันที่ผ่านมา +5

    kukaa meza moja na Putin wakati huu ni sawa na kuongea na dunia nzima...

  • @josephjohn1143
    @josephjohn1143 21 วันที่ผ่านมา +8

    Spiker Tulia, ni sehemu Product ya Magufuri , katika uongoizi ❤ Tanzania 🇹🇿

    • @KudraWanguvu-em1xw
      @KudraWanguvu-em1xw 21 วันที่ผ่านมา

      Ni kiwete ndio alie mteuwa kwa mara ya kwanza tunajivunia chetu anawasilisha African na tz

  • @faridmnyamike556
    @faridmnyamike556 22 วันที่ผ่านมา +3

    Very Articulated Hon. Dr. Tulia Akson, you really deserve the Presidency of IPU, am very proud of You Madam Speaker and President of IPU.

  • @josephmwinyi
    @josephmwinyi 22 วันที่ผ่านมา +10

    Hongera sana Madam speaker

  • @BrotherR9
    @BrotherR9 22 วันที่ผ่านมา +10

    Mwamba vladmir Putin live long

  • @hubman6780
    @hubman6780 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana madam speaker.Naamini mama anatakiwa akutane na huyu mwamba

  • @abcelectricalsolutions7000
    @abcelectricalsolutions7000 20 วันที่ผ่านมา +1

    Tulia ametulia kweli ni mwanamke makini sana. Nafurahi kuona mtanzania anakwenda kusuruhisha migogoro worldwide ni heshima kubwa kwa nchi yetu.

  • @Machozihussen-er8cp
    @Machozihussen-er8cp 21 วันที่ผ่านมา +3

    Congratulations, umeongea kiingereza kizuri na sauti nzuri( lafidhi) nimekuelewa mzalendo mwenzako

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 18 วันที่ผ่านมา

    Ukweli usemwa hapa tanzania 🇹🇿 imetumia akili kubwa sana hongera kwako madame spiker

  • @19ddr
    @19ddr 21 วันที่ผ่านมา +2

    Nafasi kubwa sn umeipata dada Tulia

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana Dr Tulia

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 21 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu Tulia anaonekana ana kitu kikubwa ndani yake aungwe mkono

  • @jevanallan802
    @jevanallan802 22 วันที่ผ่านมา +9

    Moja kati ya kazi yako ni kutafsiri kwa kiswahili bwana mwandishi

    • @allykwaya
      @allykwaya 22 วันที่ผ่านมา

      Nashangaa anatupa kazi 2,

  • @user-tb8gi3ut5z
    @user-tb8gi3ut5z 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana spika wetu kwa kuongea na raisi wa dunia ambaye tunamwamini sana mtata wa dunia tunataka watu kama Vladimir Putin

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 21 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania tumepiga atua Kubwa hongera Sana spika wa Dunia ingekuwa powa sana ungepiga kinyaqusa kidogo

  • @papaamasauti1973
    @papaamasauti1973 21 วันที่ผ่านมา +2

    WAKENYA mnasema hatujui kiengereza hapa Dr Tulia anaongea kiRussi

  • @kassimbayuu5217
    @kassimbayuu5217 22 วันที่ผ่านมา +2

    Kazi nzuri sna

  • @HassanToboke
    @HassanToboke 16 วันที่ผ่านมา

    Thek you tulia akson

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 22 วันที่ผ่านมา +12

    Sasa kwann nayeye asiongee kiswahili 😂😂

    • @muddyso1953
      @muddyso1953 22 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa na nimekuelewa saana Mwenyezi Mungu atujalie tusimamie vyakwetu tujivunie kila kitu chetu maana hata lugha yetu ametujalia Mwenyezi Mungu kwanini tuikatae!

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 22 วันที่ผ่านมา +2

      Yeye ni Rais hapo wa mabunge duniani awakilishi Bongo tu ..mnafeli

    • @davidanselmo4041
      @davidanselmo4041 21 วันที่ผ่านมา

      ​@@LastdayJesu4153 Ndugu zetu wanadhani ni kiswahili tu 😂😁

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 22 วันที่ผ่านมา +5

    Madam tulia tunakuomba utuwakilishe, iambie selikali ya cremlin ,Tanzania kuna vijana wengi tuna nia yakuja urusi kuipigania kwa maslahi ya mataifa mawili na dunia kwa ujumla ila hatuna muwakilishi tunakutegemea wewe kulingana na hyo atua uliyo ichukua 🙏

    • @allykwaya
      @allykwaya 22 วันที่ผ่านมา

      Wazo zuri sana, Dunia ya Haki na Usawa

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 21 วันที่ผ่านมา

      @@allykwaya haswaaaa

  • @AdamAmos-rr6fg
    @AdamAmos-rr6fg 22 วันที่ผ่านมา +12

    Nayeye angeongia kiswahili amefeli hapo

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 22 วันที่ผ่านมา +2

      Sio lazima

    • @MendezyMendezy
      @MendezyMendezy 22 วันที่ผ่านมา +1

      Hpo kaenda kma mwenyekiti wa bunge kidunia

    • @emmanuelmtalis1590
      @emmanuelmtalis1590 21 วันที่ผ่านมา

      @@MendezyMendezykweli

    • @khlafanmwassa
      @khlafanmwassa 21 วันที่ผ่านมา

      Huu ndio upumbavu wa Waafrika, Mwafrika anaona akiongea kiingereza ndio ataonekana kasoma kumbe ni ufala

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 21 วันที่ผ่านมา

      Huyo anaetafisri anajua Kiswahili?

  • @vladimirputn1809
    @vladimirputn1809 21 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa nimeanza kukupenda tulia 🌺🌺

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 18 วันที่ผ่านมา

    Mwenzako anaisha utaifa wake wewe umeg'ang'ana na lughu zawatu piga kiswahili hapo 🎉🎉

  • @user-sr8tc8ke6q
    @user-sr8tc8ke6q 22 วันที่ผ่านมา +4

    Tulia ongea kidogo bwana mwenzio ana KIKAO NA MABOMU

    • @Abdillahjuma-u2q
      @Abdillahjuma-u2q 22 วันที่ผ่านมา

      wee vp imagine ww unakutana Mama samia tu unaongeaje kdg

    • @JohnDonard-u9h
      @JohnDonard-u9h 19 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mainshaallah

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o 21 วันที่ผ่านมา

    Dr tulia ❤

  • @wamsifunimweta
    @wamsifunimweta 21 วันที่ผ่านมา +1

    Ingependeza Sana Tulia Ackson angeongea kiswahili nayeye kujivunia lugha yake

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 22 วันที่ผ่านมา

    This is to big big up tz

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 22 วันที่ผ่านมา +1

    Congratulations our head of parliament , m nataman kukutana na putin ila sna uwezo

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 22 วันที่ผ่านมา +2

    Mashaallah 🎉

  • @nicksonmusa3457
    @nicksonmusa3457 22 วันที่ผ่านมา +3

    Dj sma najua utatufafanuliaa hii kitu naona kuna kitu hakipo sawaa

    • @dullahabdallah-nu1py
      @dullahabdallah-nu1py 22 วันที่ผ่านมา

      Utumwa maombolewo ndio unatumaliza,

    • @jumamasele5793
      @jumamasele5793 21 วันที่ผ่านมา

      Hata mm nimeona kuna kitu hakipo saw

  • @kelvinmboya5846
    @kelvinmboya5846 22 วันที่ผ่านมา +1

    Good work 👍,

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 21 วันที่ผ่านมา

    Putin na tulia niwatu nawakubali Sanaa kuliko 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥

  • @SalumSalim-ss5me
    @SalumSalim-ss5me 21 วันที่ผ่านมา

    Mashallah

  • @zuwenarajab6675
    @zuwenarajab6675 21 วันที่ผ่านมา +2

    Natamani nchi zote za Afrika zijiunge Brics.

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 22 วันที่ผ่านมา

    UBARIKIWE na kutunzwa sana dada Tulia YOHANA 14:14🙏🤝

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 18 วันที่ผ่านมา

    Huu ndo utofauti kati ya mzungu namuafrika sisi bado tumebaba bendera ya kitumwa lkn pia nakupongeza dr tulia

  • @user-xp6xw8fy8o
    @user-xp6xw8fy8o 22 วันที่ผ่านมา +2

    We need logical things that will bring about change in Africa, not looking for a solution in Ukraine, Volrdimir Zelenky, the mayor of Ukraine, how he and his Americans are talking about our relationship with Russia.

  • @kingsniper9769
    @kingsniper9769 21 วันที่ผ่านมา

  • @Mpapyrizy
    @Mpapyrizy 21 วันที่ผ่านมา

    I wish Angekuepo mzee 😢

  • @Josmedard
    @Josmedard 21 วันที่ผ่านมา

    👏👏👏👏

  • @NimClassic360
    @NimClassic360 22 วันที่ผ่านมา

    First

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 22 วันที่ผ่านมา

    Mama samia hapa nakukubali spika wetu nmekuelewa me ndo putin wa tanzania upo upande sahihi viva russia

  • @mohamedmzeemohammed3739
    @mohamedmzeemohammed3739 21 วันที่ผ่านมา

    ❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @bakarmsangimsangi7757
    @bakarmsangimsangi7757 21 วันที่ผ่านมา

    kujichoreshaa tuu wakati Africa tuna mengii yanatusumbuaa mmeshindwaa kuyatatua mnadilii na putin mtuu mzito tujadili yakwetu umeme tanesco wanakata kila siku nini tatizo maandamano #kenyas nini ufumbuzi #kongoo nini chakusaidiaa au tunakulana wenyeweee😢😢😢😢

  • @wasswapatrick1063
    @wasswapatrick1063 21 วันที่ผ่านมา

    Hii hatua nzur ya kujiunga bric's+

  • @thebmcblackmiccatcher3949
    @thebmcblackmiccatcher3949 20 วันที่ผ่านมา

    Hii DJ SMA aitafsir vizuri, tumsikie Putin anamwambia nini shangazi yetu, shangaz tumemsikia kawakilisha VYEMA SAWA SAWIA 😂😂😂

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna haja ya kiongiz wa bunge wajifunze kupitia urus jinsi wanavoongoza bunge, na mambo ya muungano jinsi inavofanyika sio ile mchanga na mchanga halaf tukapigwa za kichwa

  • @JumanneissaK
    @JumanneissaK 18 วันที่ผ่านมา

    🖐️🤚

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 22 วันที่ผ่านมา +2

    BIDEN anamsikiliza ili andae vikwazo kwa nchi yenu

    • @joycelinelyimo-fenske8745
      @joycelinelyimo-fenske8745 21 วันที่ผ่านมา

      Na yeye siku si nyingi atapigwa mkwala na Trump. Hakuna shida.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 21 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏🙏💪💪💪

  • @michaelchunser734
    @michaelchunser734 18 วันที่ผ่านมา

    Lugha yetu pia ni vyema ikatumika kimataifa kwa kuitangaza sisi wenyewe kama wafanyavyo wengine

  • @AjudeKaluwa-bp1zz
    @AjudeKaluwa-bp1zz 21 วันที่ผ่านมา

    Sns ninaierewa saana kwa habari zao huwa hawakurupuki wakikaa kimya najua wanakuja na ukweri tusio taarifa za kudandia

  • @SamSamwel-p2z
    @SamSamwel-p2z 21 วันที่ผ่านมา

    Tanzania🎉🎉🎉

  • @almasbakari5359
    @almasbakari5359 22 วันที่ผ่านมา

    Was a grate attempt to try to to advise Mr Putin in a good intentions but remember attained peace to him is still threatening. Fact to know that he is not ready to do that but he try to. Listening to you mam if you are also understand his situation,I’m not looking for violence just i just try to overlook indeep
    Pc

  • @mvullamanase
    @mvullamanase 22 วันที่ผ่านมา +2

    Rasmi Tumeanza kuingia Duniani

  • @Africaamkenitznawenuso
    @Africaamkenitznawenuso 22 วันที่ผ่านมา +1

    Labda viongozi wa tz mmeanza kujitambua hivi, ila msitetereke lazima msimame imara kama jpm magufuri mana hivi punde vikwazo vinakuja, manyang'au wanawasikiliza na wana waona. Uzuri rasia na china nikila kitu lkn watu hamjui tu.

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 22 วันที่ผ่านมา +2

    Hahahah Huyo nae anaongea na Putin nini hahahaha

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 21 วันที่ผ่านมา

    Msisahau kuifuatilia crown media pendwa zaidi tz

  • @MohamedyMsagati
    @MohamedyMsagati 21 วันที่ผ่านมา

    Moja ya vitu vinanikera ni wakuu wetu wa nchi kuongea kiingereza wanapokutana na viongozi wakubwa duniani halafu wanabaki kutusisitiza sisi tukuze lugha yetu ya kiswahili wakati wao ndo wanatakiwa wawe wa kwanza maana wanapata nafasi kubwa dunia inawatazama Kama mh spika hapo hiyo ndo ilikuwa nafasi kuitangaza lugha yetu

  • @user-tb8gi3ut5z
    @user-tb8gi3ut5z 21 วันที่ผ่านมา

    Natamani sana siku moja Africa tuwe na raisi mwenye msimamo na mwenye ubunifu mkubwa ktk nyanja zote sio kwenye vita tu bali Urusi imeendelea sana sana tujifunze kwake Vladimir Putin

  • @simaikhatibu5280
    @simaikhatibu5280 16 วันที่ผ่านมา

    Kwa nn haya maongezi yasiwr kwa netanyau naeangamiza wanawake na vichanga

  • @allykwaya
    @allykwaya 22 วันที่ผ่านมา

    BRICKS. NEW CROSS AND POWERPOINT OF NEW WORLD.

  • @saadasalum6033
    @saadasalum6033 22 วันที่ผ่านมา

    nampongeza sana maadam spika wetu bi Tulia kwa uwakilishi, ila hapo naona kama katuangusha kidogo ilibid atumie lugha yetu ya kiswahili.
    Inabid tufike hatua tuanze kujivunia lugha yetu ili tuikuze na tuache kuendekeza lugha za wakoloni hasa pale tunapowakilisha nchi yetu na kwenye mambo yote ya msingi yanayohusu nchi yetu.
    hao warus kila sehem wakienda wanaongea lugha yao, wachina hivo hvo, wafaransa , wajerumani n,k na sisi Africa ni wakati sasa tuamke tusiendeleze ukoloni.

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj 21 วันที่ผ่านมา +1

    Sina shaka na spika wangu,luga ipo

    • @josephntungiye6232
      @josephntungiye6232 21 วันที่ผ่านมา

      Lugha gani ushamba tuu! Kwani unazani putin hajui kingereza?

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 21 วันที่ผ่านมา

    Hapo puti anamuogopa doctor Tulia body language yake inazungumza

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc 21 วันที่ผ่านมา

    Tulia na Duniani hatariiiiiii

  • @Godfreyolekidongo
    @Godfreyolekidongo 21 วันที่ผ่านมา

    Mbona Kama tunataka kuhusishwa kwenye migogoro ya mataifa mengine? Tukiwa kama waafrika hatuegemei upande wowoteule ijulikane hivo tu.

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 21 วันที่ผ่านมา

    Nasimama na Russia na Putin

  • @user-zh3cf5wk1k
    @user-zh3cf5wk1k 22 วันที่ผ่านมา +3

    Putin anaona anacheleweshewa muda 2...

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 22 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂 true

    • @saidfhamad
      @saidfhamad 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 Muda wa nini au Vita 😂😂😂

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 21 วันที่ผ่านมา

    Bado sijaona uzalendo wa tulia ikiwa hatekelezi utawala bora na utendaji haki ndani ya bunge

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 21 วันที่ผ่านมา

    Baadala tujadri jinsi ya kuwa na mabadriko chanyaa africa tunaongelea maswala ya Ukraine,,mbona humuendi Israel na kumuambiaa marekan aacha mambo yake

  • @LucasRozi
    @LucasRozi 21 วันที่ผ่านมา

    Wewe ongea kiswaili izo endi endi atuzielewi

  • @thrivehappy9610
    @thrivehappy9610 21 วันที่ผ่านมา

    Nawapongeza wa Tanzania Kwa kuonekana ulimwenguni katika kutafuta amani! basi nawaomba pia Tanzania kuungana na bara la (Asia) na kuachana kabisa na Us na (Europe) ikiwa tunataka kupiga
    Hatua za maendeleo!

  • @deomajuva2432
    @deomajuva2432 21 วันที่ผ่านมา

    Angeongea kiswahili tu kwan lazn aongee ma bailatro bailatro bwana

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 18 วันที่ผ่านมา

    Tukumbuke lakini hajaenda kama spike wa Tanzania kaenda kama spike wa bunge duniani

  • @fadhilisule
    @fadhilisule 21 วันที่ผ่านมา

    tulia vijana tupo tayal kuungana na purtin kumsambaratisha mharamia marekani usisahau kumwambia bingwa apo sawa

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 21 วันที่ผ่านมา

    Tulia kasoma bongo hii ,Zanaki secondaty na University of Dar rsalaam elimu zilizofuatia ndizo kasoma nje ndiyo kasoma nje elimu yetu ni nzuri tu

  • @TuroRukiko
    @TuroRukiko 21 วันที่ผ่านมา

    Mbona anaongea ye ye tu

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 21 วันที่ผ่านมา

    Ruto yeye anasemaje? Kwa hili alilofanya speaker wa bunge TZ

  • @African511
    @African511 21 วันที่ผ่านมา

    Afrika tunataka technologies kutoka kwa mrusi na siyo chakula na mambo mengine.

  • @Africaamkenitznawenuso
    @Africaamkenitznawenuso 22 วันที่ผ่านมา +1

    Angekuwa magufuri zamani mafuta na kila kitu cha urus kinge agizea kwa wingi kama fursa lkn nyie mpompotu

  • @user-mh9hj3lx7q
    @user-mh9hj3lx7q 21 วันที่ผ่านมา

    Kwani umekwenda rusia kufanya nini? Mnachezea pesa za walipakodi bure

  • @user-kg9fn1ph9d
    @user-kg9fn1ph9d 22 วันที่ผ่านมา +1

    Ila huyu mama eti wamezungumzia vita

  • @MustaphaManole
    @MustaphaManole 21 วันที่ผ่านมา

    Bora tujiweke uku

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc 21 วันที่ผ่านมา

    Mhhhhhhhhhhh