SIYO KILA MUUJIZA NI WA MUNGU•KWA SASA MIUJIZA NA UPAKO VINAUZWA MADUKANI 20M | Mch.Amiel Katekela

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 253

  • @RachelEmid-jq6eo
    @RachelEmid-jq6eo 2 หลายเดือนก่อน +14

    Sichokagi kumskiliza huyu mchungaji jmn hakika ww umetumwa na Mungu uokoe kondoo waliopotea Mungu akubarik sana🙏🙏

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 2 หลายเดือนก่อน +1

      Yesu alisema sikutumwa bali kwa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel je wewe nimuisrael??? Au haya maneno aliyo sema yesu niuongo ?? Alidanganya kwamba yeye hakutumwa Bali kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel???

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 หลายเดือนก่อน

      @@zaidiissa3714 WE NAE TUPISHE SIE, KWANI HUO UISLAM WA BABAKO HUKO MAGWEPANDE? SI LIMUNGU LA KIARABU...NENO LINASEMA WAGALATIA 3:13-14 "Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kuchukua laana hiyo kwa ajili yetu, kwa maana imeandikwa, “Mtu anayetundikwa msalabani amelaaniwa.” 14 Lakini alitukomboa ili baraka aliyo pewa Abrahamu iwafikie na watu wa mataifa mengine kwa njia ya Yesu Kristo. Na kwa kutegemea imani, sisi tupate kupokea Roho Kwa njia ya aman".......
      SISI TUPO BUSY TUNASKILIZA NENO WE UNACHOWAZA UFALA WAKO KUTAKA KUBISHANA, ILI MRADI TU KUTUVURUGA USHINDWE KWA JINA LA YESU...KACHEZE UNAKO CHEZAGA

    • @SylvesterMakenzie
      @SylvesterMakenzie หลายเดือนก่อน

      ​@@zaidiissa3714uislamu na ukristo wapi na wapi?kasubiri kuzimu wanawake wenye matako makubwa na macho kama kikombe 😅😅😅😅😅😅

  • @faithe4063
    @faithe4063 3 หลายเดือนก่อน +50

    Najaribu kushare huu ujumbe kwa mamangu ila aelewi amefungwa na awa manabii adi kuomba siku izi anaomba hivi Mungu wa nabii 😢yani jina la Yesu limetoeka kinywani mwake kabisa, sijui ni lini neema ya Mwenyezi Mungu litaokoa mamangu

    • @annkim2690
      @annkim2690 3 หลายเดือนก่อน +6

      Mungu amsaidie mjulishe kuhusu hii channel ya promoverTV

    • @IbrahimMgimba
      @IbrahimMgimba 3 หลายเดือนก่อน +3

      Amini kua wewe ni daraja lake kumwamini Mungu aliye hai kama mama yangu pia alivyoanza kubadilika.. Mungu amsaidie Amina

    • @myself4128
      @myself4128 3 หลายเดือนก่อน +2

      Ukishasikia Mkristo anaongelea Madhabahu za manabii anajiungamanisha ujue basi ni Msukule,Mitume na manabii wote waongo sababu Nabii hajawahi Kuongoza Kanisa,Neno la Mungu linayoaha kuponya hauhitaji Mafuta wala maji wewe uendelee kumuombea tu ipo siku atakombolewa!

    • @faithe4063
      @faithe4063 3 หลายเดือนก่อน

      @@myself4128 yeah sitakata tamaa nitaomba ata kufunga Mam wangu ndio alinifanya nimjue Yesu kwa hiyo sipendi apoteswe na awa waongo

    • @faithe4063
      @faithe4063 3 หลายเดือนก่อน

      @@annkim2690 ata uwa na share ili azikilize mwenyewe ila unajua awa manabii sijui wakona na kifumba macho asikii kweli atakubali leo kesho unasikia ameenda uko 😭neema ya Yesu imkumbuke tu

  • @ReubenMbanga
    @ReubenMbanga 2 หลายเดือนก่อน +6

    Ubarikiwe mtumishi katekela, watu wamevutwa na upako wa
    Shetani.

  • @Bénigne-k4x
    @Bénigne-k4x 3 หลายเดือนก่อน +11

    Mch,Katekela mimi nakupata sana nikiwa Burundi,MUNGU akutumie zaidi hakika ww ninabiii wanyati zamwisho,Ee Tanzania mumebarikiw kuwapata watumishi kama katekela,karibu kwetu Burundi kabisa,Tanzania mumepata neema kuwapata watumishi wazuri kama hao na msipo pokea hiyo neema mtakuw mumelogwa sisi huku burundi tutaipokea tu!Katekelaaaaa YESU KRISTO abarikiw ndani yako,na penda hiyo mtu mzima hatishiwi nyauuu

  • @leticiamakoye4871
    @leticiamakoye4871 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mnaompinga amieli kaeni kimya na BWANA wetu YESU kiristo wa nazaleti awakemee.

  • @peninahndinda2874
    @peninahndinda2874 หลายเดือนก่อน +2

    Ameen mchungaji katekela na Mungu azidi kukuwezesha kufumbua huu ukweli kwa ulimwengu wote

  • @IBRAHIMSOKONI
    @IBRAHIMSOKONI 17 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu azidi kukupigania kamanda wa yesu piga injili ya yesu katekela

  • @makoti77
    @makoti77 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ndo katekela tunayemjua sisi sasa,Wuuuuuh Hatari sana.. piga baba MUNGU yuko pamoja na wewe, na sisi tunakuombea.. maana hapa katikati ulianza kuwa na hekima flani unapozesha maneno, ila hii ndiyo dawa yenyewe imeingia...🙌🙌🙌🙌

  • @joycekaje8755
    @joycekaje8755 3 หลายเดือนก่อน +7

    Ubarikiwe mno baba Mchungaji, nabarikiwa na mahubiri yako .Nakufuatilia kutoka Uholanzi.

  • @prosperousbuildingconstruc3500
    @prosperousbuildingconstruc3500 2 หลายเดือนก่อน +12

    Nakubariana ne waw 100% from Kenya 🇰🇪🇰🇪

    • @israelimarco6465
      @israelimarco6465 2 หลายเดือนก่อน

      mlete Mungu wa kweli mi naona kama haumleti Mungu wa kweli na kuonysha kwa watu m naona unawapromote

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 3 หลายเดือนก่อน +7

    Bendera chuma mlingoti chuma. Nimependa hiyo,❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu wa isaka na yakobo akuinue sema sana mara sabin

  • @eliasilwimba187
    @eliasilwimba187 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nabarikiwa Babaa,maelfu ya watu wanaenda kuzimu kwa sababu ya kukosa mafundisho sahihi.

  • @MariaMdemu-xt5cv
    @MariaMdemu-xt5cv 3 หลายเดือนก่อน +14

    Kwakweli ulikuja kutuokiloa wengi ...mimi nimewahi kunywa mafuta ya upako ya nabii mmoja mpaka tulikua tunamwekea kaka etu kwa chakula ili kiu ya pombe na sigara ikate lakini haikukata....lakini namshukuru Mungu sana baada ya kukufahamu mch katekela alinifanya niokoke baada ya kusikia shuhuda zake kwa muda mrefu na alipokua matemela songea niliona analia na kusema mnakataa kuokoka ninyi aaah nililia na nikaokoka japo ilikua ngumu sana ...mpaka leo nimeokoka na namuona Mungu kwa viwango vya juu sana......Nasema mch katelela Mungu amekutuma kwaajiri yetu.....Naubarikiwe na Bwana kwa huduma

    • @peterrulagora7403
      @peterrulagora7403 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu akutunze

    • @SodioNyunga
      @SodioNyunga 2 หลายเดือนก่อน

      Mafundisho hayo ya mchungaji Katekela ni ya uongo kwa sababu watumishi hao wanakuambia uchukue maji yako ya nyumbani kwako unaomba nao na matokeo yanaonekana. Halafu toa mfano wako wewe wala sio watu waliokufa. Tunataka na wewe ufanye miujiza. Mbona unarukaruka tu?. Umesema miujiza ya Mungu haina formula, mbona unataka wote wafuate akina Moses kulola walivyokuwa wanafanya? Hata mkipiga MANENO hamuwezi. Mbona wagonjwa wenu wanakwenda kuponea kwao? Kinachofanya watu waende kwao ni kwa sababu ninyi hamna upako. Watu wanakaa kwenu na mizigo kama utasa hawapati matokeo. Rudini kwa Mungu Ili awape UPAKO. KULIKO kushambulia. Baada ya Kuwa mmekosa upako, Mungu amegeukia upande wao.

    • @JosephChilemile
      @JosephChilemile 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu akutunze sana. Ushuhuda wako umenigusa....sana
      ..Yesu akukuze katika wokovu...

    • @mutabebwa-bm6pm
      @mutabebwa-bm6pm 2 หลายเดือนก่อน

      Wote MATAPELI

  • @isayalemberua9195
    @isayalemberua9195 2 หลายเดือนก่อน +2

    mtumishi wa Bwana yesu asifiwe sana umeubiri vizuri sana kazamwendo baba

  • @JAMESMUTUNGI-o3b
    @JAMESMUTUNGI-o3b หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa kumfafanua kristo..utukufu umrudie yesu wa nazareti.Amina

  • @EliasHamisi-uy7qo
    @EliasHamisi-uy7qo 2 หลายเดือนก่อน +5

    MTUMISHI UBARIKIWE SANA KWAKUFANYA LISAJI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO NA KUWAUMBUA WATOTO WA SHETANI

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm 3 หลายเดือนก่อน +16

    Ilikuwa mwezi wa11 nikiwa nimejifungua kwa opp na mwanagu nikampoteza yule nabii alinambia mpaka mwezi wa1 utakuwa umebeba mimba nayo itakuua sasa tuma sadaka nikukomboe walah alivonambia vile nikakata sim sikumtafuta tena ila mpaka sasa nipo na mimba haijawahi ingia namtukuza Mwenyezi Mungu tangu siku hiyo niliacha kusikiliza hawa wanajiita manabii

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 3 หลายเดือนก่อน +5

      Ukisikia tu neno tuma pesa nikuombee basiiiii kimbiaaaaa maombi hayauzwi. Sadaka ni hiari ya moyo. Kama ni Roho Mtakatifu anamuongoza mtumishi kusema utoe Huwa haiwi kama lazima. Manabii wa kweli wapo ila wachache sio kwamba hawapo. Lakin kuwajua LAZIMA uwe na Roho Mtakatifu ndani yako . Bila hivyo hutatofautisha. Ubarikiwe ulikata simu kabisa ndugu v

    • @sarahmaro215
      @sarahmaro215 3 หลายเดือนก่อน +2

      Ubarikiwe, YESU akutunze na Huyo mtoto aje awe mtumishi wa MUNGU.

    • @LatiphaMwanga
      @LatiphaMwanga 3 หลายเดือนก่อน +3

      Nafuu ulisanuka mapema maana alikuwa anataka kukufanya wewe kitega uchumi

    • @idrisajaphary8275
      @idrisajaphary8275 3 หลายเดือนก่อน

      Unafikiri kwa nn manabii watu wanawapenda ni ule upako wa uponyjaji kufufua misekure na unajua hatima sasa uwezi sikia nabii ana mzungumza vibaya mchungaji

  • @EricMaingi-f8b
    @EricMaingi-f8b 2 หลายเดือนก่อน +3

    Amina, mchungaji Amiel, Mungu amekupa Neema kuu.

  • @leticiamakoye4871
    @leticiamakoye4871 3 หลายเดือนก่อน +4

    Sema kweli mchungaji wenye masikio wasikie . Wenye macho waone wenye akili watatambua. Wabishi wataangamizwa tumepewa kuchagua uzima na mauti

  • @lusajomwakibinga6912
    @lusajomwakibinga6912 3 หลายเดือนก่อน +12

    Huwa nabarikiwa Sana kukusikiza kaka God bless you

  • @MeryNaftali
    @MeryNaftali 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana pastor katekela wewe ni mtumishi wa kweli na Mungu amekutuma ili utufungue kwenye uteka wa kuzimu

  • @SelestinaHamis-dw1gs
    @SelestinaHamis-dw1gs 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amina Amina Mtumish injili isonge mbele kwa jina la YESU

  • @andreasemoja-yn6pz
    @andreasemoja-yn6pz 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu wa mbiguni akuzidishe Sana yaani. Hii ya wa totowachanga niliijua siku nyingi Sana huku Chuga

  • @YudatadeyMassawe
    @YudatadeyMassawe 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki,injili kama hii kwa nyakati zetu inahitajika ili kurudisha waliopote,,

  • @lulungunda354
    @lulungunda354 3 หลายเดือนก่อน +1

    Namufatilia sana sana ,ulinivusha mahali,.promover Yesu akutunze na timu nzima,

  • @TitoFute
    @TitoFute 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mungu akulinde sana

  • @agnethapaul6057
    @agnethapaul6057 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amina , Damu ya Yesu ikufiche .

  • @rishyatuni
    @rishyatuni 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nabii, Bw Yesu asifiwe. Nimependa kipindi chako. Naomba msaada wako kwa familia yangu Baba

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 2 หลายเดือนก่อน +1

      Yesu alisema Mimi yesu skutumwa bali wa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel jee haya maneno ya yesu kusema Mimi sikutumwa ila kwakondoo waliopotea wa nyumba ya Israel niyauongo???

    • @faithe4063
      @faithe4063 2 หลายเดือนก่อน

      @@zaidiissa3714 umejipu vyema

  • @ndeletwakidin8717
    @ndeletwakidin8717 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amen ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @BoazRambo
    @BoazRambo หลายเดือนก่อน

    Mungu atusaidie sana. Mungu akubariki sana.mtumishi wa Mungu.

  • @RahelSalumu-pm9qx
    @RahelSalumu-pm9qx 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ezekiel 13:1 ( tusome tuelewe) mchungaji katekela ubarikiwe sana pamoja na promover Tv

  • @GggyJhh-y4x
    @GggyJhh-y4x 3 หลายเดือนก่อน +1

    Be blessed pastor amiel katekela am blessed more

  • @kennethchinguku
    @kennethchinguku 2 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa pastor watu wamefungwa watu wa Mungu wa kweli hawawataki ,hakuna mafanikio bila bidii (prophet Kenny mbeya

  • @markmwau8387
    @markmwau8387 13 วันที่ผ่านมา

    Swali langu ni... Mungu aliye wa kweli huwa anafanya ninii kwa sababu karibu kila kitu chanzo chake ni shetani😢😢😢

  • @carolinemrosso9006
    @carolinemrosso9006 3 หลายเดือนก่อน +4

    Sasa mtumishi wa Mungu kwa wale ambao tayari wameshakanyaga hizo madhabahu zao na kutoa sadaka zao pale wakiamini pana Mungu,, na mafuta wakakanyaga na kuyanywa na maji ya upako na keki ya upako wakala je watafanyaje wajiengue na hilo agano??

    • @bobutingababayo5047
      @bobutingababayo5047 3 หลายเดือนก่อน

      Hakuna kinachoshindikana kwenye Toba
      Waombe toba ya kweli na kuacha kuendelea nayo kabisa na damu ya Yesu itamsafisha na kumuondolea vyote viliokuwa vimeingia ndani

    • @Majaliwa-ov3vk
      @Majaliwa-ov3vk 2 หลายเดือนก่อน

      Inawezekana kwa yesu

  • @LovenessHango
    @LovenessHango 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amen mtumshi wa Mungu,,

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mtumishi wa Mungu unayosema ni ya kweli, ila mateso ya magonjwa watu wanayopitia ndio yanayowafanya waende huko.Mfano mimi nina imani sana, ila nateseka sana na magonjwa,niombee niponye,nimechoka na hospitali.Unadhani ukiniombea nikapona nitafikiria au kuwaza kwenda huko.Nimeombewa wee wapi siponi,mwishowe naambiwa sina imani hee.Hapana ile kwenda kukubali kuombewa tayari ni kama chembe ya haladari,vipi siponi? Tena nasali TAG nikitokea Lutheran nikiaminishwa kuwa kule hakuna nguvu za Mungu,nisaidie mtumishi nina magonjwa kama yote.Mimi nitatuma hata nauli uje kwangu uniombee.Naomba wee kwa Imani ila wapi.

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 หลายเดือนก่อน

      Pole Maria Mimi ni mkristo kama wewe 2020 niliugua vidonda vya tumbo nilikuwa na hali mbaya sana ikizingatiwa nimesikia haviponagi. Niliamua kukiri neno la uzima katika biblia mfululizo ndani ya siku tatu tu sikujua ugonjwa ulipotelea wapi Hadi Leo mimi ni mzima

    • @mariakibwana3700
      @mariakibwana3700 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@RubenMtuwaMungu-bz8ee.Ruben nateseka sio mchezo.

    • @mariakibwana3700
      @mariakibwana3700 3 หลายเดือนก่อน

      Ruben ningekupa mateso ninayopita usingewexa

    • @anna19805974
      @anna19805974 2 หลายเดือนก่อน +1

      Pole sana Maria. Katika Biblia kuna mwanamke ambae alishika vazi la Yesu akapona, Mama huyu aliugua kwa muda mrefu kwa kutoka damu akamaliza waganga lakini hakupona alijiambia nikishika vazi la Yesu nitapona. Ile imani ilimgusa hadi Yesu akagundua kuna mtu amemgusa akapona saa ile ile. Mimi nina imani yakuwa simama na hilo andiko weka imani vazi la Yesu iwe damu ya Yesu ikakuponye tafuta mafungu ya uponyaji katika biblia uyafanye yawe yako omba yakalete miujiza na ukapone ikawe shuhuda tukamtukuze Mungu.
      Mungu akuponye na magonjwa yote

  • @LudovikLudovika
    @LudovikLudovika 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen,Mtumishi,ni kweli tupu tunayaona

  • @LudovikLudovika
    @LudovikLudovika 2 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi me nifanyeje,nimetumia sana Mafuta ya Mwamposa,kukanyaga,kunywa na kujipaka,mpaka saivi nina miaka 2,situmii lakini maisha yangu ni shida2

  • @waleedbahar5275
    @waleedbahar5275 2 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU akulinde mtumishi uzidi kutuelewesha maana watu wengi wanapotea kws manabii wa uongo

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano 19 วันที่ผ่านมา +1

    Miujiza yote inayofanyika sasa ni nguvu ya upotovu, hakuna kanisa Sasa, kanisa halisi linajengwa na, Mjumbe wa agano pekee, wengine wote ni waongo na watendakazi wa shetani.

  • @SabinaOchami
    @SabinaOchami 18 วันที่ผ่านมา +2

    Nishaa shirikishwa kuweka chumvi majini niganyake ndani miguu mara saba mtoto wangu akasmbiwa na mwingine akiwa na mimba ya wasiwasi akaambiwa aoge maji ya chumvi na awake penye barabara zinakutanika

  • @utawalarecordstudiosnairob5929
    @utawalarecordstudiosnairob5929 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kabisaa MUNGU akubariki 🙏🙏🙏🙏

  • @Rukundo-z4k
    @Rukundo-z4k 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe mchungaji karibu kwetu burundi ❤

  • @wilsonkombeyeri4623
    @wilsonkombeyeri4623 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongela mtumishi bendera chuma mulingoti chuma

  • @angelamvaa2229
    @angelamvaa2229 หลายเดือนก่อน

    Amen, Mungu turehemu

  • @maryjohn2580
    @maryjohn2580 3 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa Mtumishi, Roho Mtakatifu Asichezewe nimependa sanaaaaaaaa❤

  • @RehemaFilipatli
    @RehemaFilipatli 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana,Moses kulola wa baadae,Mungu akutunze

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q หลายเดือนก่อน

    Miujiza tangu zamani ilikuwapo. Wakati wa Musa miujiza ya mungu na miujiza ya shetani ilfanyika

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p หลายเดือนก่อน +1

    Waaambie ukweli bro waache kutapeliwa unakuta mama yuko tayari watoto walale njaa na kuwateza watoto ili tu apate pesa ya kuwapelekea hao matapeli wasio muogopa mungu wajinga wao

  • @fitinamarando
    @fitinamarando 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Mch Katekella nabarikiwa sana

  • @Esendi56
    @Esendi56 20 วันที่ผ่านมา

    Yes upako mwingine ni wa kubuy lkn mungu dio kila kitu

  • @BelithaFedrick
    @BelithaFedrick 2 หลายเดือนก่อน +1

    Balikiwa sana kwa mafundisho yako ❤❤❤❤❤❤❤

  • @josephjames4587
    @josephjames4587 3 หลายเดือนก่อน

    MUNGU akubariki sana mtumishii mie ukwel unazidi kunifunguaa

  • @NephiapiusiMbwelwa
    @NephiapiusiMbwelwa หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atusaidie

  • @AnnaLwanda-oj4jn
    @AnnaLwanda-oj4jn 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ameen chuma Cha YESU kristo

  • @teyllalugazia
    @teyllalugazia 18 วันที่ผ่านมา +2

    Sauti ya mtu aliyenyikani, itengenezeni njia ya Bwana yanyoosheni mapito yake

  • @utawalarecordstudiosnairob5929
    @utawalarecordstudiosnairob5929 หลายเดือนก่อน

    MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU

  • @MagangaNdalu
    @MagangaNdalu หลายเดือนก่อน

    Asante mchungaji

  • @CateringAmare
    @CateringAmare 2 หลายเดือนก่อน

    Mm ni mhasi lkn kwa mahubiri yako,mungu azidi kukupa nguvu ya kuhubiri.

  • @Shadiasemdami
    @Shadiasemdami 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe. Mtumishi. Kunifu gua. Mana,

  • @ASHIRAFMBARACK
    @ASHIRAFMBARACK 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe xana mchungaji katekela

  • @serapionmnenuka
    @serapionmnenuka 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Mchunqaji

  • @SabinaOchami
    @SabinaOchami 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hata nasikia kuna wenye kutoa watu vitu mwilini mfano sindani

  • @LucasLagos-dq4mh
    @LucasLagos-dq4mh 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ubalikiwe sana simamia kweli

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 3 หลายเดือนก่อน

    Unanibariki sana Katekela, karibu Tabora

  • @JacksonMakuta
    @JacksonMakuta 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde sana mtumishi

  • @MariaLazaro-kq2tv
    @MariaLazaro-kq2tv 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki mtumish

  • @beatricemortensen8533
    @beatricemortensen8533 3 หลายเดือนก่อน +5

    MWENYE MASIKIO NA ASIKIE, ASANTE MUNGU KWA NENO HILI.

  • @SabinaOchami
    @SabinaOchami 18 วันที่ผ่านมา +1

    Roho wanehema anipe ufunuo wa kujua zaidi

  • @KateWinslet-j8q
    @KateWinslet-j8q 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli kabisa ❤

  • @MeshackSamwel-sj6bn
    @MeshackSamwel-sj6bn หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe Sana mtumishi

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu mmoja anipee namba ya huyu mtumish tafadhali sana naomba kuogea nae ju ya maradhi yasio na tiba

    • @mwaminimwangaza
      @mwaminimwangaza 3 หลายเดือนก่อน

      Unawezapata namba yake ukifuatilia zile ushuhuda zake promover TV na hata ukimwita kumpata ni shida sana maana watu ni wengi sana wanao mtafuta

    • @carolinemrosso9006
      @carolinemrosso9006 3 หลายเดือนก่อน

      Jaman tupeni namba zake uwiiiii mafuta na maji na keki tumezila saana na sadaka tukatoa lakin tupo vile vile na zaidi sana tumezidi kupoteza na kuharibika

  • @samwelndaki201
    @samwelndaki201 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana sijui uko wapi?

  • @DevothaBenedictor
    @DevothaBenedictor 3 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana mungu akubaliki sana, 12:44

  • @NesiasJastin
    @NesiasJastin 8 วันที่ผ่านมา +1

    Edelea kusema mwenyekusikia apone.

  • @tausimwinuka
    @tausimwinuka 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimepona Baba🙏

  • @dericksteven6455
    @dericksteven6455 2 หลายเดือนก่อน +2

    Elisha aliombea chumvi ikatibu maji yaliyokua yanazaa mapooza
    Yesu alitumia tope kumponya kipofu
    Ukisoma yakobo 5:14 kuna maelekezo ya kutumia, lakin pia hata samweli alimpaka daud mafuta, mafuta sio upako ila uthibitisho kwa ishara
    Kama maji yanatumiwa kubatiza lakin hayo hayo unayasema hayafai zitakua hazimtoshi
    Sisemi kua manabii wa uongo hawapo ila sometimes pia kila mtu anaposimama kusema jambo hua anakua na interest zake

    • @nurukasebele5433
      @nurukasebele5433 2 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli ila haikuwa kanuni Kila Mmoja aliponywa Kwa kadri ya tatizo lako

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi8050 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana YESU ATUSAIDIE TUU ni ukweli wanatoa watu sacrifice sana sana

  • @mariamibrahim6544
    @mariamibrahim6544 2 หลายเดือนก่อน +1

    Majini kila mahali, hatuko salamaa,

  • @ElianMbuba
    @ElianMbuba หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi

  • @upendokikwelele620
    @upendokikwelele620 2 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda mafundisho yake.
    Anapatikana wapi

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 หลายเดือนก่อน

      Anapatikana Geita Tanzania

  • @AusyNkone
    @AusyNkone 3 หลายเดือนก่อน +2

    Amen

  • @ShazilMohamedi
    @ShazilMohamedi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Fact

  • @SamsonSilayo
    @SamsonSilayo หลายเดือนก่อน

    Tutaamini vipi maana Lila anaecmama jukwaani anamkandia mwingine ? We utakuwa umekimbizwa hujamializa chuo ungekua miongoni

  • @PeterSegire
    @PeterSegire 2 หลายเดือนก่อน

    Makanisa ya jumapili mungu wao tumbo mungu wao pesa

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu amekuokowa.

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 2 หลายเดือนก่อน

    Hauwezi pata number yake mimi ninateswa na kufanya tendo la ndowa usiku kukabwa usiku, kujiona niko cooni kukanyaga kwenye kinyesi, kula nyama mbichi. Nimezikosa

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani kwa nini wajitwishe thambi yakudanganya watu? Mungu atawalaani

  • @patrickwasesa4495
    @patrickwasesa4495 3 หลายเดือนก่อน +3

    kweli mwalimu nimeloweka kweli kwaujumbe yaani umenifungua akili kweli!

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 16 วันที่ผ่านมา +1

    Watu wote hawezi kua na elimu elimu ni galama

  • @beatricekasolo
    @beatricekasolo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bendera chuma mlingoti chuma napenda sana hiyo ward Yako Huwa maumbiri Yako yanitia nguvu sana

  • @israelimarco6465
    @israelimarco6465 2 หลายเดือนก่อน

    wananchi na WA Tanzania wenzangu ngoje nikwambie kitu hebu tufuatilie vzr injili ya kristo. injili ya kristo ilitembea na nguvu na miujiza Sasa hebu katikela watu wengi wanahitaji misaada ya mwili mpe mtu miujiza ya kweli na watu watakifuata wenyewe watanzania wanahitaji msaada

  • @JamilaJamilahjane
    @JamilaJamilahjane 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu abariki Neno lake

  • @Elizabethmuronji
    @Elizabethmuronji 3 หลายเดือนก่อน +2

    AMEEEN

  • @RahelSalumu-pm9qx
    @RahelSalumu-pm9qx 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama Paulo alivyohubiri mpaka krete🙏🏽

  • @GeophreyMsomba
    @GeophreyMsomba วันที่ผ่านมา

    ❤mch🙏

  • @apostlejoshuadaniel2105
    @apostlejoshuadaniel2105 2 หลายเดือนก่อน

    Ndugu hubiri injili iletayp toba iletayo ondoleo la dhambi.
    Hizo habari za kuzimu siyo lengo la Kristo

    • @AnnoyedBabyTurtles-ub5rb
      @AnnoyedBabyTurtles-ub5rb 2 หลายเดือนก่อน

      Acha aseme ukwel

    • @adeladaudi2047
      @adeladaudi2047 2 หลายเดือนก่อน

      Hata mseme hawezi kunyamaza, Dhambi zenyewe anazisababisha huyo anayeishi kuzim acha atwambie tujue, bahati nzr nimeshajua shetani hawezi kunidanganya tena ng'o

    • @norineraymond8098
      @norineraymond8098 2 หลายเดือนก่อน

      Yeye katumwa Kwa Hilo wewe fundisha hiyo Toba unayoijua wewe,Roho Ni Yule Yule humpa kila mtu kadri apendavyo

  • @jobabibyambanju226
    @jobabibyambanju226 2 หลายเดือนก่อน

    Amen tusaidie tupone