Usiwe kama farisayo na masadukayo Unaosha kikombe nje wakati ndani ni kichafu au unapaka chokaa makaburi kwa nje wakati ndani ni mifupa inayonuka..Tafuta Neno
Mungu anaeitwa Allah wa waislam ndio anatumika na Waganga na wachawi huwezi kusikia kwa jina la Yesu kwa Mganga wa kienyeji, wenyeuwezo huo wakutumia jina la Yesu ni Freemasons ndio wananguvu ndio hawa Manabii wa michango wameandikwa mpaka kwenye Biblia.
Mtumish mungu akubariki sana kwa kazi njema unayoifanya welcome Kenya 🇰🇪 Nairobi
Njoo na Moshi khubiri hayo
Naomba fafanua maana ya kiringe wengine hatujui
@@FortunateAkarokiringe ni kikao au mkutano wa washirikina.
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa kuhubiri ukweli napenda mahubiri yako nikiwa Kenya 20:08 🇰🇪
Pastor nashukuru kwa mafundisho yko , naeza ongea nawe unisaidie???
Amen & Amen Mungu akubariki sana Mtumishi ujumbe mzito sijawai skia karbu Kenya
Mungu akubaliki mchungaj
Amen nikiwa hapa kenya
Amen 🙏 mtumishi wa mungu nafwandilia mafunzo yko nkiwa Kenya be blessed 🙏 🙏
Niko live hapa Kenya pastor niombee leo nipone nimeokoka na mpenda yesu amen ameni👏👏👏,
Nami pia nikiwa hapa nyumbani Kenya.
@@nellyapelesi8741Uko Kenya wapi
Aminaa mungu ni mwema ubarikiwe sana mtumishi kwa ujumbe huu mzuri wa kutufundisha 🙏🙏🙏
Amen
Ameen and ameen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana nimebarikiwa ❤
Mungu akulinde daima mtumishi
BWANA YESU asifiwe sana nikiwa Canada 🇨🇦 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Nemo Lita simama God is good
Ameeen
Amina mtumishi wa Mungu tunabarikiwa
Mimi ni mkenya napenda injili yenye ukweli unayoihubiri.Naomba mchungaji Amiel umuombee dadangu alirogwa na uchawi wa wendawazimu.
amen
Bwana YESU akutunze Mtumishi wake.
Amen kutoka hapa Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿
Amen amen
Ameen 🇰🇪
Bwana yesu apewe sifa Niko luvuma ubalikiwe mchungaji kalibu luvuma
Ameni, ameni🙏🏾
Ameeni
Mtumishi niombee Kuna vitu viko kwenyemgogo na mabega na mguu
Eee kumbe Malawi ni waswahili ? Mungu awabariki ubarikiwe sana mchungaji
Sawa kabisa
Niombee nifunguliwe niwe kama ww nko kenya
Fix
From Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Tuko pamoja mtumishi tupelekee injili nyumbani kigoma wamekumic kigoma
Acha kunyoa kiduku mitindo ya kidunia mchungaji samahani kama nitakosea
Usiwe kama farisayo na masadukayo
Unaosha kikombe nje wakati ndani ni kichafu au unapaka chokaa makaburi kwa nje wakati ndani ni mifupa inayonuka..Tafuta Neno
Kazinjema mchungaji katekela, naomba kuuliza kwanini uliandika alahu akibaru kwenye shuka, Hilo neno ulimaanisha nini wakati umeenda kuloga?
Sababu huwezi kuwa mganga au mchawi bila kuslimu kiislamu na usome lugha ya majini ambayo ni kiarabu
Mungu anaeitwa Allah wa waislam ndio anatumika na Waganga na wachawi huwezi kusikia kwa jina la Yesu kwa Mganga wa kienyeji, wenyeuwezo huo wakutumia jina la Yesu ni Freemasons ndio wananguvu ndio hawa Manabii wa michango wameandikwa mpaka kwenye Biblia.
Jamani wapendwa mnaona andika comment ni Mungu na mungu!
Ivi kwanini lugha za kiarabu na kiislamu zinatumika sana na wachawi?
Yasi nataka na Mimi kujua hapo
Hata me nataka kujua audhu billah minashetani rajim inatumika kwa waislim na huko kwa wachawi initumika???
@@HalimaPaskal Lazima itumike bila hivyo huwezi kuita Majini hasa ya Kiarabu ndio yanatumika sana kwa waganga na wachawi.
Amen
Amiiina.
Sawa kabisa
Mch ubarikiwe sana karibu shinyanga huku anga bado zito tunakuitaji sana