SIKIA MKASA ULIOSABABISHA MCH.KATEKELA AKAOKOKA ALIPOKWENDA KUROGA MKRISTO MOMBASA KENYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 51

  • @HalimaPaskal
    @HalimaPaskal 2 หลายเดือนก่อน +7

    Mtumish mungu akubariki sana kwa kazi njema unayoifanya welcome Kenya 🇰🇪 Nairobi

    • @FortunateAkaro
      @FortunateAkaro 2 หลายเดือนก่อน +1

      Njoo na Moshi khubiri hayo

    • @FortunateAkaro
      @FortunateAkaro 2 หลายเดือนก่อน +1

      Naomba fafanua maana ya kiringe wengine hatujui

    • @kakawamashariki8978
      @kakawamashariki8978 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@FortunateAkarokiringe ni kikao au mkutano wa washirikina.

  • @HellenDana
    @HellenDana หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa kuhubiri ukweli napenda mahubiri yako nikiwa Kenya 20:08 🇰🇪

  • @dorcusmuania9629
    @dorcusmuania9629 6 วันที่ผ่านมา +1

    Pastor nashukuru kwa mafundisho yko , naeza ongea nawe unisaidie???

  • @peterwandena8206
    @peterwandena8206 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amen & Amen Mungu akubariki sana Mtumishi ujumbe mzito sijawai skia karbu Kenya

  • @SiratusApoloMugalula-qr2ql
    @SiratusApoloMugalula-qr2ql 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akubaliki mchungaj

  • @gracewanjiru3278
    @gracewanjiru3278 24 วันที่ผ่านมา +1

    Amen nikiwa hapa kenya

  • @phionahsimiyu8334
    @phionahsimiyu8334 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amen 🙏 mtumishi wa mungu nafwandilia mafunzo yko nkiwa Kenya be blessed 🙏 🙏

  • @enidkanini
    @enidkanini 2 หลายเดือนก่อน +12

    Niko live hapa Kenya pastor niombee leo nipone nimeokoka na mpenda yesu amen ameni👏👏👏,

  • @RubaR-nr5wz
    @RubaR-nr5wz 2 หลายเดือนก่อน +1

    Aminaa mungu ni mwema ubarikiwe sana mtumishi kwa ujumbe huu mzuri wa kutufundisha 🙏🙏🙏

  • @rebekaadorphine8296
    @rebekaadorphine8296 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amen

  • @GggyJhh-y4x
    @GggyJhh-y4x 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen and ameen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana nimebarikiwa ❤

  • @BernadetteNikuze-n1p
    @BernadetteNikuze-n1p 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akulinde daima mtumishi

  • @nangongolukundula9367
    @nangongolukundula9367 2 หลายเดือนก่อน +3

    BWANA YESU asifiwe sana nikiwa Canada 🇨🇦 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦

  • @Kosai-g8o
    @Kosai-g8o หลายเดือนก่อน +2

    Nemo Lita simama God is good

  • @EmanuelLemba-t1d
    @EmanuelLemba-t1d 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ameeen

  • @andrewmhagama9816
    @andrewmhagama9816 2 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi wa Mungu tunabarikiwa

  • @hildawashe4199
    @hildawashe4199 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi ni mkenya napenda injili yenye ukweli unayoihubiri.Naomba mchungaji Amiel umuombee dadangu alirogwa na uchawi wa wendawazimu.

  • @LucyMerchiorly
    @LucyMerchiorly หลายเดือนก่อน +1

    amen

  • @tulibakobellon1235
    @tulibakobellon1235 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana YESU akutunze Mtumishi wake.

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko4047 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amen kutoka hapa Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿

  • @FurahaCiza
    @FurahaCiza 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amen amen

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen 🇰🇪

  • @DamasiIzaki
    @DamasiIzaki หลายเดือนก่อน

    Bwana yesu apewe sifa Niko luvuma ubalikiwe mchungaji kalibu luvuma

  • @AnnWanjiru-ic1td
    @AnnWanjiru-ic1td 2 หลายเดือนก่อน

    Ameni, ameni🙏🏾

  • @JaneDoe-hf3zy
    @JaneDoe-hf3zy 2 หลายเดือนก่อน

    Ameeni

  • @anglestinailungu9252
    @anglestinailungu9252 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi niombee Kuna vitu viko kwenyemgogo na mabega na mguu

  • @phanicekhavere
    @phanicekhavere 2 หลายเดือนก่อน

    Eee kumbe Malawi ni waswahili ? Mungu awabariki ubarikiwe sana mchungaji

  • @YohanaWagana
    @YohanaWagana 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sawa kabisa

  • @dorcusmuania9629
    @dorcusmuania9629 6 วันที่ผ่านมา

    Niombee nifunguliwe niwe kama ww nko kenya

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 2 หลายเดือนก่อน

    Fix

  • @simonnsengiyumva1000
    @simonnsengiyumva1000 2 หลายเดือนก่อน +2

    From Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @EdsonSamwel-p4k
      @EdsonSamwel-p4k 2 หลายเดือนก่อน

      Tuko pamoja mtumishi tupelekee injili nyumbani kigoma wamekumic kigoma

  • @LindaJohn-fy1in
    @LindaJohn-fy1in 2 หลายเดือนก่อน +1

    Acha kunyoa kiduku mitindo ya kidunia mchungaji samahani kama nitakosea

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 2 หลายเดือนก่อน

      Usiwe kama farisayo na masadukayo
      Unaosha kikombe nje wakati ndani ni kichafu au unapaka chokaa makaburi kwa nje wakati ndani ni mifupa inayonuka..Tafuta Neno

  • @SamoraTabaga
    @SamoraTabaga 2 หลายเดือนก่อน

    Kazinjema mchungaji katekela, naomba kuuliza kwanini uliandika alahu akibaru kwenye shuka, Hilo neno ulimaanisha nini wakati umeenda kuloga?

    • @HellenDana
      @HellenDana หลายเดือนก่อน

      Sababu huwezi kuwa mganga au mchawi bila kuslimu kiislamu na usome lugha ya majini ambayo ni kiarabu

    • @AgnessMpanduka-l5g
      @AgnessMpanduka-l5g หลายเดือนก่อน

      Mungu anaeitwa Allah wa waislam ndio anatumika na Waganga na wachawi huwezi kusikia kwa jina la Yesu kwa Mganga wa kienyeji, wenyeuwezo huo wakutumia jina la Yesu ni Freemasons ndio wananguvu ndio hawa Manabii wa michango wameandikwa mpaka kwenye Biblia.

  • @Jesusisaking1
    @Jesusisaking1 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani wapendwa mnaona andika comment ni Mungu na mungu!

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 2 หลายเดือนก่อน

    Ivi kwanini lugha za kiarabu na kiislamu zinatumika sana na wachawi?

    • @SamoraTabaga
      @SamoraTabaga 2 หลายเดือนก่อน

      Yasi nataka na Mimi kujua hapo

    • @HalimaPaskal
      @HalimaPaskal หลายเดือนก่อน

      Hata me nataka kujua audhu billah minashetani rajim inatumika kwa waislim na huko kwa wachawi initumika???

    • @AgnessMpanduka-l5g
      @AgnessMpanduka-l5g หลายเดือนก่อน +1

      @@HalimaPaskal Lazima itumike bila hivyo huwezi kuita Majini hasa ya Kiarabu ndio yanatumika sana kwa waganga na wachawi.

  • @ruthmwamburi756
    @ruthmwamburi756 หลายเดือนก่อน +1

    Amen

  • @jannetteanzemo3280
    @jannetteanzemo3280 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amiiina.

  • @YohanaWagana
    @YohanaWagana 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sawa kabisa

    • @BONIFACEBIDA
      @BONIFACEBIDA 2 หลายเดือนก่อน

      Mch ubarikiwe sana karibu shinyanga huku anga bado zito tunakuitaji sana