MIMI SIWASHAMBULII TU KWA CHUKI MANABII WA UONGO,NI KWA SABABU NAWAFAHAMU TULIKUWA NAO|MCH.KATEKELA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Mtumishi wa mungu huwa nakukubali sana na nabarikiwa sana na mahubili yako na shuhuda usipo sema mungu atainua hata maww yaseme we sema mpaka wawaachie watu waje kwa yesu.
Mwenye sikio na asikie Amen
Napenda sana injili unayoitoa maana inatoka katika NENO NA NDIYE YESU MWENYEWE
Barikiwa Sana katika Kristo Yesu, fundisho zuri sana
Katekela mimi binafsi akili yangu imepata uwanda mkubwa sana wa fikra nimepata mengi kupitia wewe Barikiwa sana
Ubarikiwe MTU. Wa Mungu Wacha watupige mawe lakini lazima tuhubiri ukweli mpaka KUFA
Mungu kweli anapatikana kwetu Kwa nguvu za maombi,kufunga na sadaka, Mtumishi utuokoe na manabii Hawa,Amina
Bwana hatakuacha mtumishi uangamizwe maana alikuokoa ili ukaifunue kweli . Nasi tunakuombea wigo wa Bwana Yesu uzidishwe sana kwako na familia yako, AMINA
Twakupenda sana YESU asifiwe ,wengi wako uko ,Kwa ajili ya manjengo makumbwa magari ,na kutembea dunia nzima ,sifa ni YESU tuuu
Napenda jinsi ulivyojasiri wa yesu kristo
Napenda hii injili we wachane mch katekela manabii Wanazingua sana
Mutumishi kazi yako imebarikiwa Kwa sababu unatuonya kile wewe Mwenyewe uliona.
Sema kweli mtumishi, bendera chuma mulingoti chuma
Mimi mwenyewe napigwa vita sana juu ya manabii hao
Nikweli unachosema hakuna unafiki huo ni USHIRIKINA MTU Wacha wawanyweeshe DAMU ZA WATOTO Kwa ujinga wao wa kiroho mwenye SIKIO NA ASIKIE
Twakungoja 🇰🇪🇰🇪mtumishi
Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu aliyehai nakukubali na unaniongezea kiwango cha iman yangu sana
Ameeeen Ameeeeen pastor Mungu qkulinde sana
Hapa kweli bendera chuma mlingoti chuma Bwana akulinde
Ubarikiwe mchungaji Katekela.
Amina ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU Kwa baraka za mbinguni naduniani Hallelujah
Mungu akulinde
Mtumishi Mungu akutunze zaidi na utumie nafasi hii kuhubiri ukweli maana wakati ukilala mauti hautasema
kwanini huyo mtu anapiga keybord wakati mtumishi anahubiri???? *WACHA NENO LA MUNGU LITOKE KAVU KAVU NDUGU* inakuwa ni distraction wakati wa mahubiri unapiga keyboard!
Alright that's a given
Umeona .. Kanisa linakuwa na makelele ya Kinanda wakati watu wapo watashangilia. Utadhani wapo kwenye kampeni ya siasa. Hapo ni Kanisani madhabuhuni paheshimike. Mtumishi anapohubiri isikike sauti yake na waumini wanapomshangilia YESU.
vinanda visubiri wakati wa praise na worship.
Mkatazeni huyo anayepiga Kinanda makelele mtumishi hasikiki yanadisturb wasikilizaji.. Kanisa linakuwa na makelele ya Kinanda wakati watu wapo watashangilia. Utadhani wapo kwenye kampeni ya siasa. Hapo ni Kanisani madhabuhuni paheshimike. Mtumishi anapohubiri isikike sauti yake na waumini wanapomshangilia YESU.
vinanda visubiri wakati wa praise na worship.
Ajabu saana ,Hawataki kusikiliza neno la Mungu
😂
Pianist anazingua jmn muda wa kubonyeza umeisha
Amina mtumishi barikiwa sana mtumishi
Amen mtumish wa Mungu mwenye maskio na hasikiee na achukue hatua apone
Amen, karibu Kenya
Amen mtumishi, ila tunaomba ili kuondoa maswali katika jamii, tunaomba uwataje. Kwanini ukristo unakua na sura ya kuficha Mambo, kama umeamua kuwaumbua basi wataje utakuwa umesaidia jamii ya wakristo wengi. Hii kusema bila kutaja mnatuchanganya. Wataje Baba tunaomba..
mmh wewe unaweza kuwataja
alishawataja manabii wanaotumia maji na chumvi hujaelewa nn tena
Mambo ya kiroho hayana ushahidi wa kimwili, akiwataja na wakimwambia atoe ushahidi na asipotoa si sheria itambana.
Kweli kabisa haifai kuwataja haina maana kabisa kwa kua anatuhubiria yatosha@@RubenMtuwaMungu-bz8ee
Biblia inasema
"Niliyowaambia sirini yasemeni waziwazi, mliyoyasikia gizani yasemeni nuruni" Bwana Yesu azidi kukulinda. Ukweli lazima uwekwe wazi, Neno la Kristo ni Lazima lihubiriwe.
Be blesded mchungaji
Njoo kenya mtu wa Mungu
Amen..mtu wamungu 🙏🙏
SEMA tu ukweli wametuchosha manabii wa uongo jaman , yesu kristo aendelee kukutumia pastor umenifungua mambo mengii
Wahoo ubarikiwe sanaa
Mungu akubariki
Wewe mtumishi wa Mungu watumishi wa kweli wako wapi sasa ???
Mungu akubarikii
Hakika uko vzr sana
Kabisaa mtumishi naungana na wewe tumhubiri kristo wa kweri tukemee dhambi tuwatoe watu gizani kuwaleta nuruni watumishi tumelogwa nani tumeiacha kweri ya Mungu Mungu atusaidie sana
Sema Mtumishi tupate kupona
Wanaohubirikinyume chaenjili auhatatorati ni mulipuko wa king'anng'anizi changuvu zashetani augiza enjili itaendeleakuwa neno lauzima nashetani ataendelea kupapasa gizanene nawafuasiwake. hiyo ikokwenye ufunuo alioonyeshwa Yohana naMungu kuwa hayana budi kutokea.
MTU HUYU WA MUNGU KANISA TUMUOMBEE SANA MAANA AMEJITOA KUISEMA KWELI...
Sema usimuogope mtu Mungu ndiye aliyekutuma
Akika Nami Nipo tayari Kufa kwajili ya kirsto lazima tuubiri ukweli ,Kuna manabii Waongo ,Wengi
sio wengi wote mitume na manabii ni Feki
Ameen
Endeleya kusema ambaye nifilimasoni akasiliketuu SEMA TU mutumishi hata yesu walimuchukia kwakuwa alisema ukweli
❤❤❤❤❤ ubarikiwe sana
Aminaa
Sema kweli mtumishi watu wapone , hao manabii ni kama waganga wa kienyeji tu
Shda ya watu awataki ukweli
Barikiwa
Kweli mchungaji yaani kuna maruerue ktk haya makanisa cjui nini kinachoendelea ktk nyumba za baba yetu ni vtuko ni vtuko 8:52
Mimi huwa nampenda huyu mtumishi wa MUNGU kwa ukweli anao usema kuna mambo nimedhibitisha mambo mengine
Watu wa keyboard 🎹 nao wapuuz sana, badala ya kukaaa kusikiliza yeye anapiga piga kelele muda wote na keyboard yake
Wanazenguaga sana hawa
Ubarikiwe na NENO lienee kote
Mtumishi wa kinanda atulie siku nyingine kwa utulivu
Manabii wa uongo wanawavuta watu kwa Kristo wakishaujua ukweli kisha wakaendelea kuwepo kwenye makanisa yao hilo ni tatizo lao
Toa hizo sauti za vyombo vya mziki tusikilize neno sio vyombo
Walewale tuu
TENA KATIKA HAO MANABII WA KUZIMU, MZEE WA UFOKO AKIWEMO
Wewe ni mshamba wa kiroho, vipi tukikuonyesha maandiko ambayo yanaonyesha watumishi wa agano la kale na agano jipya walitumia hivyo unavyoviita viambatanishi? hata Yesu mwenyewe unajuwa kuwa alivitumia? kaa chini ufundishwe.
Ila wahaya bhn,
Mtumishi watu vichwa ngum hawaelewagi hata uwambie kwa Luga gani hawaelewi tuseme nini basi juu ya haya turudi kwenye neno la yesu akasema kila mwenye sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa
Siyo Vichwa ngumu wakati wao Bado
Sema Mtumishi tupone
Mwamposa ni nabii wA uongo😅😢
Na wale ambao huwakuwa nao wanafanya miujiza je wao wako wapi?
Sasa naww unaanza kujikusanyia watu kwa kuwaka dia wenzao ili wakuamin naww utengeneze pesa, duuhh😆😆
Maana Na wewe ulikuwa huko sasa Ni wakati ulipe Deni kupiga kelele saana kwa hao Manabii wa Uongo
Msanii huu hakuna kweli hapa
50 +60= 110000 hapo mchungaji umechemka hesabu af siungeearudishia hela yao mbona nawe unakua tapeli kama wao
Unalipa kwa sasa
Hapo posta hata nabii esta masanja alisema
Ahahahaha daaah ila hii nchi
Walozama kwenye haya maji na mafuta humuambii kitu akakuelewa badala yake anakusikitikia wewe usiyetumia ivo vitu
Kwanini mtu ukiokoka mambo yanakuwa magumu zaidi😢
Lazima yawe magumu ili uanze kutilia mashaka kile ulichopokea, shetani anaanza kushambulia Imani yako lengo urudi kwake. Kuokoka ni sawa na Wana wa Israel walipotaka kuondoka misri, biblia inasema farao alipoona Wana Israel Wanataka kuondoka ktk himaya yao, adhabu yao iliongezwa mpk wakaanza kumchukia Musa aliewaendea ili kuwaokoa. Songa mbele usiogope, yako mema mbele yako
Nikutokujua agano la Mungu kwa wakristo Nawakristo nao waliopata neema yakujua Agano la Mungu hawakiishi.
Wengi wanfikiri utajiri umo ndani ya maombi nakusali sana.
Utajiri unapatikana ndani ya Agano.
Ayubu 22:21 namaneno ya kutafakari sana.
Bado umetumwa kwa siri
Changamoto yako wewe uwtaji manaabii wauongo bari unafumba fumba akati mwanzo ulisema utawataja......
Sema hata ikiwezekana sema majina yao wazi tutoke gizani
Mmh si rahisi kihivyo
Manabii wa uongo wanatimiza maandiko wasingekuwepo Biblia ingekuwa ni kitabu cha uongo
Ndio ila kuna wasiojua maandiko
ÀMEN
Aah wapi kwa wema gani unaofanya mbele za Mungu mpaka ujione una haki ya kuwahukumu wengene ila nyie wachungaji jamani haa!
Yesu kamuokoa ili salama yake, auseme ukweli wote, yesu ni bwana kwa wote wanaomwamini, soma biblia
Sema Mtumishi tupate kupona