MIMI SIWASHAMBULII TU KWA CHUKI MANABII WA UONGO,NI KWA SABABU NAWAFAHAMU TULIKUWA NAO|MCH.KATEKELA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.13322701
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

ความคิดเห็น • 106

  • @vicentraphael899
    @vicentraphael899 19 วันที่ผ่านมา +12

    Mtumishi wa mungu huwa nakukubali sana na nabarikiwa sana na mahubili yako na shuhuda usipo sema mungu atainua hata maww yaseme we sema mpaka wawaachie watu waje kwa yesu.

  • @marchymaziku6234
    @marchymaziku6234 20 วันที่ผ่านมา +10

    Mwenye sikio na asikie Amen

  • @faridadauda3227
    @faridadauda3227 17 วันที่ผ่านมา +2

    Napenda sana injili unayoitoa maana inatoka katika NENO NA NDIYE YESU MWENYEWE

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Barikiwa Sana katika Kristo Yesu, fundisho zuri sana

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 18 วันที่ผ่านมา +3

    Katekela mimi binafsi akili yangu imepata uwanda mkubwa sana wa fikra nimepata mengi kupitia wewe Barikiwa sana

  • @Mbingutv508
    @Mbingutv508 19 วันที่ผ่านมา +6

    Ubarikiwe MTU. Wa Mungu Wacha watupige mawe lakini lazima tuhubiri ukweli mpaka KUFA

  • @user-xn3vq1gq3p
    @user-xn3vq1gq3p 19 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu kweli anapatikana kwetu Kwa nguvu za maombi,kufunga na sadaka, Mtumishi utuokoe na manabii Hawa,Amina

  • @faridadauda3227
    @faridadauda3227 17 วันที่ผ่านมา +2

    Bwana hatakuacha mtumishi uangamizwe maana alikuokoa ili ukaifunue kweli . Nasi tunakuombea wigo wa Bwana Yesu uzidishwe sana kwako na familia yako, AMINA

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi8050 19 วันที่ผ่านมา +3

    Twakupenda sana YESU asifiwe ,wengi wako uko ,Kwa ajili ya manjengo makumbwa magari ,na kutembea dunia nzima ,sifa ni YESU tuuu

  • @nyangiboke
    @nyangiboke 19 วันที่ผ่านมา +7

    Napenda jinsi ulivyojasiri wa yesu kristo

  • @FaustineTz
    @FaustineTz 19 วันที่ผ่านมา +3

    Napenda hii injili we wachane mch katekela manabii Wanazingua sana

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w 20 วันที่ผ่านมา +7

    Mutumishi kazi yako imebarikiwa Kwa sababu unatuonya kile wewe Mwenyewe uliona.

  • @wilsonkombeyeri4623
    @wilsonkombeyeri4623 19 วันที่ผ่านมา +5

    Sema kweli mtumishi, bendera chuma mulingoti chuma

  • @Mbingutv508
    @Mbingutv508 19 วันที่ผ่านมา +4

    Mimi mwenyewe napigwa vita sana juu ya manabii hao
    Nikweli unachosema hakuna unafiki huo ni USHIRIKINA MTU Wacha wawanyweeshe DAMU ZA WATOTO Kwa ujinga wao wa kiroho mwenye SIKIO NA ASIKIE

  • @jossyayielo7576
    @jossyayielo7576 19 วันที่ผ่านมา +4

    Twakungoja 🇰🇪🇰🇪mtumishi

  • @GoimNikodem
    @GoimNikodem 19 วันที่ผ่านมา +1

    Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu aliyehai nakukubali na unaniongezea kiwango cha iman yangu sana

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 15 วันที่ผ่านมา

    Ameeeen Ameeeeen pastor Mungu qkulinde sana

  • @jovinmasekesa3272
    @jovinmasekesa3272 18 วันที่ผ่านมา +3

    Hapa kweli bendera chuma mlingoti chuma Bwana akulinde

  • @SabinaEzekiel-vb5nh
    @SabinaEzekiel-vb5nh 12 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe mchungaji Katekela.

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 19 วันที่ผ่านมา

    Amina ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU Kwa baraka za mbinguni naduniani Hallelujah

  • @nyangiboke
    @nyangiboke 19 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu akulinde

  • @JohnsonMpinga-gy5wt
    @JohnsonMpinga-gy5wt 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mtumishi Mungu akutunze zaidi na utumie nafasi hii kuhubiri ukweli maana wakati ukilala mauti hautasema

  • @Tutindaga
    @Tutindaga 20 วันที่ผ่านมา +16

    kwanini huyo mtu anapiga keybord wakati mtumishi anahubiri???? *WACHA NENO LA MUNGU LITOKE KAVU KAVU NDUGU* inakuwa ni distraction wakati wa mahubiri unapiga keyboard!

    • @wilsonkombeyeri4623
      @wilsonkombeyeri4623 19 วันที่ผ่านมา +2

      Alright that's a given

    • @servantofgod4340
      @servantofgod4340 19 วันที่ผ่านมา +2

      Umeona .. Kanisa linakuwa na makelele ya Kinanda wakati watu wapo watashangilia. Utadhani wapo kwenye kampeni ya siasa. Hapo ni Kanisani madhabuhuni paheshimike. Mtumishi anapohubiri isikike sauti yake na waumini wanapomshangilia YESU.
      vinanda visubiri wakati wa praise na worship.

    • @servantofgod4340
      @servantofgod4340 19 วันที่ผ่านมา +1

      Mkatazeni huyo anayepiga Kinanda makelele mtumishi hasikiki yanadisturb wasikilizaji.. Kanisa linakuwa na makelele ya Kinanda wakati watu wapo watashangilia. Utadhani wapo kwenye kampeni ya siasa. Hapo ni Kanisani madhabuhuni paheshimike. Mtumishi anapohubiri isikike sauti yake na waumini wanapomshangilia YESU.
      vinanda visubiri wakati wa praise na worship.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 19 วันที่ผ่านมา +2

      Ajabu saana ,Hawataki kusikiliza neno la Mungu

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 18 วันที่ผ่านมา

      😂

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 19 วันที่ผ่านมา +4

    Pianist anazingua jmn muda wa kubonyeza umeisha

  • @samwelieliasi5730
    @samwelieliasi5730 18 วันที่ผ่านมา +1

    Amina mtumishi barikiwa sana mtumishi

  • @mussamaro8068
    @mussamaro8068 19 วันที่ผ่านมา

    Amen mtumish wa Mungu mwenye maskio na hasikiee na achukue hatua apone

  • @elijahwambugu8301
    @elijahwambugu8301 2 วันที่ผ่านมา

    Amen, karibu Kenya

  • @edenparkhealingministrytz
    @edenparkhealingministrytz 19 วันที่ผ่านมา +2

    Amen mtumishi, ila tunaomba ili kuondoa maswali katika jamii, tunaomba uwataje. Kwanini ukristo unakua na sura ya kuficha Mambo, kama umeamua kuwaumbua basi wataje utakuwa umesaidia jamii ya wakristo wengi. Hii kusema bila kutaja mnatuchanganya. Wataje Baba tunaomba..

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 19 วันที่ผ่านมา

      mmh wewe unaweza kuwataja

    • @JorvinVedasto-ic3su
      @JorvinVedasto-ic3su 19 วันที่ผ่านมา

      alishawataja manabii wanaotumia maji na chumvi hujaelewa nn tena

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 18 วันที่ผ่านมา

      Mambo ya kiroho hayana ushahidi wa kimwili, akiwataja na wakimwambia atoe ushahidi na asipotoa si sheria itambana.

    • @user-un2td1no5f
      @user-un2td1no5f 15 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa haifai kuwataja haina maana kabisa kwa kua anatuhubiria yatosha​@@RubenMtuwaMungu-bz8ee

  • @verroallex9144
    @verroallex9144 7 วันที่ผ่านมา +1

    Biblia inasema
    "Niliyowaambia sirini yasemeni waziwazi, mliyoyasikia gizani yasemeni nuruni" Bwana Yesu azidi kukulinda. Ukweli lazima uwekwe wazi, Neno la Kristo ni Lazima lihubiriwe.

  • @deogratiasmnubi8783
    @deogratiasmnubi8783 6 วันที่ผ่านมา

    Be blesded mchungaji

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 15 วันที่ผ่านมา

    Njoo kenya mtu wa Mungu

  • @fridahkwamboka6905
    @fridahkwamboka6905 17 วันที่ผ่านมา +1

    Amen..mtu wamungu 🙏🙏

  • @annambembela6661
    @annambembela6661 19 วันที่ผ่านมา +3

    SEMA tu ukweli wametuchosha manabii wa uongo jaman , yesu kristo aendelee kukutumia pastor umenifungua mambo mengii

  • @user-dd2xy3ey3k
    @user-dd2xy3ey3k 6 วันที่ผ่านมา

    Wahoo ubarikiwe sanaa

  • @AnnaLwanda-oj4jn
    @AnnaLwanda-oj4jn 17 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akubariki

  • @mishlay8164
    @mishlay8164 16 วันที่ผ่านมา

    Wewe mtumishi wa Mungu watumishi wa kweli wako wapi sasa ???

  • @annambembela6661
    @annambembela6661 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akubarikii

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 17 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika uko vzr sana

  • @onalinasozigwa3167
    @onalinasozigwa3167 17 วันที่ผ่านมา

    Kabisaa mtumishi naungana na wewe tumhubiri kristo wa kweri tukemee dhambi tuwatoe watu gizani kuwaleta nuruni watumishi tumelogwa nani tumeiacha kweri ya Mungu Mungu atusaidie sana

  • @RobertMushi-yh7re
    @RobertMushi-yh7re 19 วันที่ผ่านมา +1

    Sema Mtumishi tupate kupona

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 19 วันที่ผ่านมา +1

    Wanaohubirikinyume chaenjili auhatatorati ni mulipuko wa king'anng'anizi changuvu zashetani augiza enjili itaendeleakuwa neno lauzima nashetani ataendelea kupapasa gizanene nawafuasiwake. hiyo ikokwenye ufunuo alioonyeshwa Yohana naMungu kuwa hayana budi kutokea.

  • @newbornhaule
    @newbornhaule 19 วันที่ผ่านมา +1

    MTU HUYU WA MUNGU KANISA TUMUOMBEE SANA MAANA AMEJITOA KUISEMA KWELI...

  • @VeeSunshine-zr3iv
    @VeeSunshine-zr3iv 19 วันที่ผ่านมา +1

    Sema usimuogope mtu Mungu ndiye aliyekutuma

  • @pastoreliya663
    @pastoreliya663 20 วันที่ผ่านมา +7

    Akika Nami Nipo tayari Kufa kwajili ya kirsto lazima tuubiri ukweli ,Kuna manabii Waongo ,Wengi

    • @myself4128
      @myself4128 19 วันที่ผ่านมา

      sio wengi wote mitume na manabii ni Feki

  • @ajuayearon5760
    @ajuayearon5760 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ameen

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf 19 วันที่ผ่านมา +1

    Endeleya kusema ambaye nifilimasoni akasiliketuu SEMA TU mutumishi hata yesu walimuchukia kwakuwa alisema ukweli

  • @ryobanchagwa2499
    @ryobanchagwa2499 17 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤ ubarikiwe sana

  • @EunnyNicks
    @EunnyNicks 18 วันที่ผ่านมา +1

    Aminaa

  • @rosemarygelas1473
    @rosemarygelas1473 19 วันที่ผ่านมา

    Sema kweli mtumishi watu wapone , hao manabii ni kama waganga wa kienyeji tu

  • @HappyJohn-kk1pr
    @HappyJohn-kk1pr 11 วันที่ผ่านมา +1

    Shda ya watu awataki ukweli

  • @LispafulgenceSimon-rs1zg
    @LispafulgenceSimon-rs1zg 17 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa

  • @user-sp4jr4vw6t
    @user-sp4jr4vw6t 16 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli mchungaji yaani kuna maruerue ktk haya makanisa cjui nini kinachoendelea ktk nyumba za baba yetu ni vtuko ni vtuko 8:52

  • @ElvisReinhard
    @ElvisReinhard 19 วันที่ผ่านมา

    Mimi huwa nampenda huyu mtumishi wa MUNGU kwa ukweli anao usema kuna mambo nimedhibitisha mambo mengine

  • @zakariasengo8930
    @zakariasengo8930 17 วันที่ผ่านมา

    Watu wa keyboard 🎹 nao wapuuz sana, badala ya kukaaa kusikiliza yeye anapiga piga kelele muda wote na keyboard yake

  • @samuelakanga5586
    @samuelakanga5586 20 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe na NENO lienee kote

  • @nehemiamwailongano2960
    @nehemiamwailongano2960 17 วันที่ผ่านมา +1

    Mtumishi wa kinanda atulie siku nyingine kwa utulivu

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 19 วันที่ผ่านมา

    Manabii wa uongo wanawavuta watu kwa Kristo wakishaujua ukweli kisha wakaendelea kuwepo kwenye makanisa yao hilo ni tatizo lao

  • @MeridaChawe-kd9is
    @MeridaChawe-kd9is 19 วันที่ผ่านมา +1

    Toa hizo sauti za vyombo vya mziki tusikilize neno sio vyombo

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 18 วันที่ผ่านมา +1

    Walewale tuu

  • @lilyg2134
    @lilyg2134 16 วันที่ผ่านมา

    TENA KATIKA HAO MANABII WA KUZIMU, MZEE WA UFOKO AKIWEMO

  • @AllanLyombile
    @AllanLyombile 16 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni mshamba wa kiroho, vipi tukikuonyesha maandiko ambayo yanaonyesha watumishi wa agano la kale na agano jipya walitumia hivyo unavyoviita viambatanishi? hata Yesu mwenyewe unajuwa kuwa alivitumia? kaa chini ufundishwe.

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 18 วันที่ผ่านมา

    Ila wahaya bhn,

  • @FrankMichael-us4dr
    @FrankMichael-us4dr 19 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi watu vichwa ngum hawaelewagi hata uwambie kwa Luga gani hawaelewi tuseme nini basi juu ya haya turudi kwenye neno la yesu akasema kila mwenye sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 19 วันที่ผ่านมา

      Siyo Vichwa ngumu wakati wao Bado

  • @RobertMushi-yh7re
    @RobertMushi-yh7re 19 วันที่ผ่านมา

    Sema Mtumishi tupone

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 16 วันที่ผ่านมา

    Mwamposa ni nabii wA uongo😅😢

  • @mishlay8164
    @mishlay8164 16 วันที่ผ่านมา

    Na wale ambao huwakuwa nao wanafanya miujiza je wao wako wapi?

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 18 วันที่ผ่านมา

    Sasa naww unaanza kujikusanyia watu kwa kuwaka dia wenzao ili wakuamin naww utengeneze pesa, duuhh😆😆

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 19 วันที่ผ่านมา

    Maana Na wewe ulikuwa huko sasa Ni wakati ulipe Deni kupiga kelele saana kwa hao Manabii wa Uongo

  • @Falialakiza
    @Falialakiza 18 วันที่ผ่านมา

    Msanii huu hakuna kweli hapa

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce8924 18 วันที่ผ่านมา

    50 +60= 110000 hapo mchungaji umechemka hesabu af siungeearudishia hela yao mbona nawe unakua tapeli kama wao

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 19 วันที่ผ่านมา

    Unalipa kwa sasa

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 18 วันที่ผ่านมา

    Hapo posta hata nabii esta masanja alisema

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 18 วันที่ผ่านมา

    Ahahahaha daaah ila hii nchi

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm 15 วันที่ผ่านมา

    Walozama kwenye haya maji na mafuta humuambii kitu akakuelewa badala yake anakusikitikia wewe usiyetumia ivo vitu

  • @JanethFortunatus
    @JanethFortunatus 19 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanini mtu ukiokoka mambo yanakuwa magumu zaidi😢

    • @user-nf8gk5fi6c
      @user-nf8gk5fi6c 19 วันที่ผ่านมา

      Lazima yawe magumu ili uanze kutilia mashaka kile ulichopokea, shetani anaanza kushambulia Imani yako lengo urudi kwake. Kuokoka ni sawa na Wana wa Israel walipotaka kuondoka misri, biblia inasema farao alipoona Wana Israel Wanataka kuondoka ktk himaya yao, adhabu yao iliongezwa mpk wakaanza kumchukia Musa aliewaendea ili kuwaokoa. Songa mbele usiogope, yako mema mbele yako

    • @saimonijonas1471
      @saimonijonas1471 17 วันที่ผ่านมา

      Nikutokujua agano la Mungu kwa wakristo Nawakristo nao waliopata neema yakujua Agano la Mungu hawakiishi.
      Wengi wanfikiri utajiri umo ndani ya maombi nakusali sana.
      Utajiri unapatikana ndani ya Agano.
      Ayubu 22:21 namaneno ya kutafakari sana.

  • @israelimarco6465
    @israelimarco6465 19 วันที่ผ่านมา

    Bado umetumwa kwa siri

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba 19 วันที่ผ่านมา

    Changamoto yako wewe uwtaji manaabii wauongo bari unafumba fumba akati mwanzo ulisema utawataja......

  • @phinescah7353
    @phinescah7353 19 วันที่ผ่านมา

    Sema hata ikiwezekana sema majina yao wazi tutoke gizani

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 19 วันที่ผ่านมา

    Manabii wa uongo wanatimiza maandiko wasingekuwepo Biblia ingekuwa ni kitabu cha uongo

    • @kilelisemkere6845
      @kilelisemkere6845 16 วันที่ผ่านมา +1

      Ndio ila kuna wasiojua maandiko

  • @EZRA-b1c
    @EZRA-b1c 18 วันที่ผ่านมา +1

    ÀMEN

  • @AdamJonas-sx4mi
    @AdamJonas-sx4mi 19 วันที่ผ่านมา

    Aah wapi kwa wema gani unaofanya mbele za Mungu mpaka ujione una haki ya kuwahukumu wengene ila nyie wachungaji jamani haa!

    • @ruthhamisi2902
      @ruthhamisi2902 19 วันที่ผ่านมา +1

      Yesu kamuokoa ili salama yake, auseme ukweli wote, yesu ni bwana kwa wote wanaomwamini, soma biblia

  • @RobertMushi-yh7re
    @RobertMushi-yh7re 19 วันที่ผ่านมา +1

    Sema Mtumishi tupate kupona