JINSI YA KUMPATA ROHO MTAKATIFU|UJAZO WA ROHO MTAKATIFU|KUNENA KWA LUGHA|Mch.Amiel Katekela
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Ee mngu naomba unijaze roho mtakatafu napenda sana niyajue maandiko matakatifu ila nashindwa sijajua kuna shida gani
Taka sana,utafanikiwa
Nabarikiwa nikiwa Kenya
From kigoma PASTER nakuelewa sana ulliwahi kuja kutoa huduma kwa KANISA letu kwa mch Raymond Kasomoka.
Mungu naomba unijaze roho mtakatifu
Mtumishi MUNGU AKUBARIKI SAANA ILA TUOMBEANE NAMI NINENE LUGHA YA KIMBINGU
Nabarikiwa nikiwa Mozambique
Barikiwa sana amiel.shauku yangu kubwa ni kujua roho mtakatifu
Nabarikiwa Kenya 🇰🇪 kakamega 🙏🙏
Hongera kwa ushindi
Amen be blessed mtumishi wa Mungu 🙏
Yesu Kristo asifiwe,
Following from NAKONDE(Border of tanzania na Zambia)
Nakufuatilia nikiwa Cape Town South Africa ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu,,,,,,🙏🙏
Wambie
Kabisa
Natamani na mimi nijazwe Roho Mtakatifu
Hongera saana kaka nakuerewa
Pastor kupiatia ujumbe wako nimeokoka napenda sana tuonane uso kwa uso
Amina mtumishi wa mungu ubarikiwe sana na mungu azidi kukutia nguvu nimebarikiwa sana naomba roho mtakatifu afurike ndani yangu
Amee usipokuwa na roho mtakatifu huwezi kujizuia
From Mwanza come to Kigoma. Uchawii umetutesa brother watu wanaangamia ndugu njoo Kidahwee
Kidahwe mbona tunasikia kamchape wapo hawajapungua tu,
@@bonifasiemanueli21 wale ni wachawi wenzio shetanii hawezi kumtoa shetani tunahitaji elimu ya kumjua Mungu ndio tunaweza kujikinga nao!!
Ubarikiw sana mutumishi wa bwana yesu christo kwa mafundisho yako lakini mimi ninaswali ningeomba nijibiwe kutokana na huyu mtumishi alie anzisha kanisa baadae akafika kwa mganga swali langu ni hili kwanini nilahisi kutoka mikononi mwa MUNGU kwenda kwashetani na ni vigum kutoka kwashetani kwenda kwa MUNGU?
Tunashukuru kwa mahubiri ubarikiwe muchungadji
Tunashukuru kwa mahubiri ubarikiwe muchungadji
Paster naomba uniombee na mm nijazwe Roho mtakatifu
Mtumishi ubarikiwe Ila ninaushauri kwako Kama vile umenyoa denge. Au nimacho yangu sikuhukumu Ila biblia imekataz
Amen ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho mungu anazidi kunifunulia mengi
Mungu ni baba siku zote nakupenda Mtumishi Katekela umenisaidia kujua mambo ya Roho Mtakatifu
Promover mungu awainue viwango vya juu sana kwa kaz ya mungu munayo fanya
Mtumishi ubarikiwe Ila ninaushauri kwako Kama vile umenyoa denge. Au nimacho yangu sikuhukumu Ila biblia imekataz
We acha bas
Yesu ni mwema kweli,kule amenitoa nitasema siku moja
Eee Mungu nijaze roho Mutakatifu
Nakusikiliza nikiwa kenya mtumishi wa mungu nabarikiwa sana niobee sana niweze kuoba kwa uyo roho mtakatifu
Asante sana kwa mafundisho mema
Nabariwa sana nikiwa Mombasa kenya
Tunashukuru kwa mahubiri ubarikiwe muchungadji
Waongea kweli, mwenye maskio askie ambayo roho aambia makanisa
Barikiweni sana promover na mchungaji pia
Kunaukweli kwenye maneno yako kwanini watu wengi wanasali ila yale yaliyo ahidiwa na Mungu ndani ya maaandiko hayapo kwa watu hayaonekani kwaooo
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa neno la matumaini
Be blessed man of God
Amina
Mungu akubariki mtumishi
Amen Amen
🇧🇮 ❤
Amen
Amen
Amen amen
I receive I receive I receive I receive
Ameeee
Amen 🎉🎉🎉
Mambo ya nyakati 2 ,7-14
Amen
Roho Mtakatifu nijalie nguvu niweze kukujua zaidi Ubarikiwe Sana mtumish Bwana
Asante sana kwa mafundisho
Waebrania 10.38-39
Zaburi 105- 4 -5
Ameen
Sema mtumishi wamungu watu wengi wamepoteya nakahaa malawi
Aminà sana a mtumishi wa Mungu.yeremia3:33
Amina sana
Hizo hela ulichukua siyo za halali .Mungu mwenye rehema tuu ,hili linakungajea mbele ya hukumu usipo tubu .Hata chakula iliyo tolewa kwa mizimu tusile.
na ww hujielewi yy ndie alieipa mizimu? wala hana hatia juu ya ilo na ndio maana ypo mpk leo
HICHO NDO ULICHOSHIKA KUTOKA KWENY VIDEO YA DAKIKA 50:29? BWEGE KWELI WEW
Amen