IWEJE MTU ALIYEOKOKA AIBIWE NYOTA YAKE NA WACHAWI•HII NDIYO SABABU NA NJIA YA KUJINASUA|Mch.Katekela

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.13322701
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

ความคิดเห็น • 50

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire 3 หลายเดือนก่อน +17

    Kweli kabisa! Mungu atusaidie sana. Na watumishi wa kike mwanzo hawataki kuambiwa kuhusu mavazi au mapambo. Wamekamatwa na shetani pakubwa na wasipotubu na kuacha, haijalishi watahubiria watu wengi vipi jehanamu ipo kwa ajili yao.

  • @JoyeuseNizigiyimana
    @JoyeuseNizigiyimana 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ubarikiw san Mutumish wa Mungu nilijifunz mengi kwahiy ushuhud yako, n nimengunduw mengi kuhus kanisa. Mungu asaidiy wacungaji

  • @frankwilson2484
    @frankwilson2484 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hii kweli.Siajabu Yesu alisema "Mlango ni mwembamba na njia imesonga iendayo Uzimani"

  • @EsterKamwela-q4h
    @EsterKamwela-q4h 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu aendelee kukubariki Kazi ya Mungu isonge mbele

  • @MarthaChuwa-o6b
    @MarthaChuwa-o6b 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nakupenda kinoma natamani sana na wewe MTU WA Mungu mambo yanatisha sana tusaidie tufundishe TU tuambie tupone

  • @upendomhagama3236
    @upendomhagama3236 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu atusaidie, mtumishi wa mungu

  • @AmaniRutozi
    @AmaniRutozi 19 วันที่ผ่านมา

    Amen kaka By Mwl Amani Tunakufuatilia

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tunamshukuru Mungu kwa siri hizi, Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.

  • @patrickwasesa4495
    @patrickwasesa4495 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu azidi kukupa hekima nanguvu namaneno yanguvu ili kuliokoa kanisa

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 3 หลายเดือนก่อน +2

    Amen
    Asante sana mtumishi wa Mungu kwa mafunzo haya..zidi kubarikiwa.

  • @desderykarugaba1826
    @desderykarugaba1826 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atusaidie

  • @SHEDRACK-p8u
    @SHEDRACK-p8u 3 หลายเดือนก่อน +2

    Amen unanibariki sana mtumishi.

  • @louisendunguru7106
    @louisendunguru7106 3 หลายเดือนก่อน +2

    Asante mtumishi Mungu akuinue zaidi🙏

  • @HappyMbuyaOg
    @HappyMbuyaOg 3 หลายเดือนก่อน +3

    Very true ubarikiwe sana

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 หลายเดือนก่อน +7

    Ushauri wangu mtumishi Amiel unatakiwa uanzishe program ya semina kwa wachungaji wa makanisa ili wazijue siri na mafumbo ya shetani. Pamoja na kufanya maombi maalum kwa wachungaji waliokamatwa na ibilisi kufunguliwa.

  • @nyangiboke
    @nyangiboke 3 หลายเดือนก่อน +3

    Amen mtumishi unanibariki sana

  • @Esthermordecai
    @Esthermordecai 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen,God bless you Amiel and your family.Mwenyezi Mungu akulinde.

  • @GroriminaVenance
    @GroriminaVenance 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu tusaidie

  • @annambembela6661
    @annambembela6661 3 หลายเดือนก่อน +1

    God bless u pastor

  • @MCH.JAPHETHZACHARIAH
    @MCH.JAPHETHZACHARIAH 3 หลายเดือนก่อน +2

    AMINA SANA LAZIMA SHETANI AACHEYE NYOTA ZA WATU KWA JINA LA YESU KRISTO.

  • @BahatiMagesa-ui3jf
    @BahatiMagesa-ui3jf 3 หลายเดือนก่อน +1

    Amen

  • @naomysamuel6799
    @naomysamuel6799 3 หลายเดือนก่อน +1

    asante mtumishi

  • @drmaryjohnmponda3484
    @drmaryjohnmponda3484 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe sana

  • @mamhungerhoda7940
    @mamhungerhoda7940 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tunajifunza kikubwa katika mafundisho yako mtumishi

  • @frankhayuma9557
    @frankhayuma9557 3 หลายเดือนก่อน +1

    Baba katekela hakika napenda sana mafundisho yako, kiukweli Kuna ufahamu mkubwa sana napata kutoka kwako, MUNGU akubariki sana na kuachilia mafuta mabichi Kila Leo kwako, ili watu wengi waponywe

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wa very powerful

  • @ruthsungu7739
    @ruthsungu7739 3 หลายเดือนก่อน +1

    Niombee sana katekela

  • @ellenatilio5666
    @ellenatilio5666 2 หลายเดือนก่อน

    Amen 🙏

  • @RahimaShujaa
    @RahimaShujaa 3 หลายเดือนก่อน +3

    AMEN

  • @GroriminaVenance
    @GroriminaVenance 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ameeni

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 3 หลายเดือนก่อน

    MUNGU wambinguni atusaidiye sana ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU

  • @RahelSalumu-pm9qx
    @RahelSalumu-pm9qx 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wanao coment vibaya wanajiletea uharibifu usio kawia,

  • @vailetlemenya6576
    @vailetlemenya6576 3 หลายเดือนก่อน +2

    👏👏

  • @HappyPaul-nj9ri
    @HappyPaul-nj9ri 3 หลายเดือนก่อน +2

    Waambie ukweli

  • @AndersonWale
    @AndersonWale 2 หลายเดือนก่อน

    Mm Niko Kenya nani muumini tu wakawaida ila ninaelewa sn mtumishi unacho fundishoa , MUNGU wambinguni akutumie zaidi ufungue roho

  • @nizigamaviolette-ig9dl
    @nizigamaviolette-ig9dl หลายเดือนก่อน +1

    Akika ni ukweli unasema

  • @LudovikLudovika
    @LudovikLudovika 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ameen

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano หลายเดือนก่อน

    Hakuna mtu duniani aliyeokoka sasa, kuokoka ni kutolewa kwa maongozi ya shetani ndani ya moyo na fikra zake, wokovu unapatikana kupitia Mjumbe wa agano pekee ndiye aliyekusudiwa kuhubiri habari njema ya ufalme wa Mungu hapa duniani,

  • @JeremiaShimba-cq8mq
    @JeremiaShimba-cq8mq 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mh asee ni hatari BWANA atusaidiee

  • @RahelSalumu-pm9qx
    @RahelSalumu-pm9qx 3 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji je, watu hao maagenti wakifukuzwa kanisani kama mchungaji ameoneshws je, awafukuze au n vibaya kuwatimua kanisani

  • @SabinaOchami
    @SabinaOchami หลายเดือนก่อน

    Utafanyaje nyota ikiibiwa

  • @ABDULKARIM-sx1tb
    @ABDULKARIM-sx1tb 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 jamani yaani mathayo 16.17

  • @janekhanjila3413
    @janekhanjila3413 3 หลายเดือนก่อน

    Nina mtoto ambaye amefugwa na kuibiwa nyota ako na hizi dalili

  • @michaelmlyuka6032
    @michaelmlyuka6032 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa wewe umeokoka,inawezekanaje na kukamatwa kwa Nyota yako, wakati unasema una Mungu?

  • @saraphinalupenza7580
    @saraphinalupenza7580 3 หลายเดือนก่อน +3

    Amen

  • @rebekaadorphine8296
    @rebekaadorphine8296 3 หลายเดือนก่อน +1

    Amen

  • @Mtumishinuruisrael
    @Mtumishinuruisrael 3 หลายเดือนก่อน +1

    Amen

  • @HappyMwaigwisya
    @HappyMwaigwisya 3 หลายเดือนก่อน +1

    Amen