IWEJE MTU ALIYEOKOKA AIBIWE NYOTA YAKE NA WACHAWI•HII NDIYO SABABU NA NJIA YA KUJINASUA|Mch.Katekela
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Kweli kabisa! Mungu atusaidie sana. Na watumishi wa kike mwanzo hawataki kuambiwa kuhusu mavazi au mapambo. Wamekamatwa na shetani pakubwa na wasipotubu na kuacha, haijalishi watahubiria watu wengi vipi jehanamu ipo kwa ajili yao.
Ubarikiw san Mutumish wa Mungu nilijifunz mengi kwahiy ushuhud yako, n nimengunduw mengi kuhus kanisa. Mungu asaidiy wacungaji
Hii kweli.Siajabu Yesu alisema "Mlango ni mwembamba na njia imesonga iendayo Uzimani"
Mungu aendelee kukubariki Kazi ya Mungu isonge mbele
Nakupenda kinoma natamani sana na wewe MTU WA Mungu mambo yanatisha sana tusaidie tufundishe TU tuambie tupone
Mungu atusaidie, mtumishi wa mungu
Amen kaka By Mwl Amani Tunakufuatilia
Tunamshukuru Mungu kwa siri hizi, Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.
Mungu azidi kukupa hekima nanguvu namaneno yanguvu ili kuliokoa kanisa
Amen
Asante sana mtumishi wa Mungu kwa mafunzo haya..zidi kubarikiwa.
Mungu atusaidie
Amen unanibariki sana mtumishi.
Asante mtumishi Mungu akuinue zaidi🙏
Very true ubarikiwe sana
Ushauri wangu mtumishi Amiel unatakiwa uanzishe program ya semina kwa wachungaji wa makanisa ili wazijue siri na mafumbo ya shetani. Pamoja na kufanya maombi maalum kwa wachungaji waliokamatwa na ibilisi kufunguliwa.
Amen mtumishi unanibariki sana
Ameen,God bless you Amiel and your family.Mwenyezi Mungu akulinde.
Mungu tusaidie
God bless u pastor
AMINA SANA LAZIMA SHETANI AACHEYE NYOTA ZA WATU KWA JINA LA YESU KRISTO.
Amen
asante mtumishi
Ubarikiwe sana
Tunajifunza kikubwa katika mafundisho yako mtumishi
Baba katekela hakika napenda sana mafundisho yako, kiukweli Kuna ufahamu mkubwa sana napata kutoka kwako, MUNGU akubariki sana na kuachilia mafuta mabichi Kila Leo kwako, ili watu wengi waponywe
Wa very powerful
Niombee sana katekela
Amen 🙏
AMEN
Ameeni
MUNGU wambinguni atusaidiye sana ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU
Wanao coment vibaya wanajiletea uharibifu usio kawia,
👏👏
Waambie ukweli
Mm Niko Kenya nani muumini tu wakawaida ila ninaelewa sn mtumishi unacho fundishoa , MUNGU wambinguni akutumie zaidi ufungue roho
Akika ni ukweli unasema
Ameen
Hakuna mtu duniani aliyeokoka sasa, kuokoka ni kutolewa kwa maongozi ya shetani ndani ya moyo na fikra zake, wokovu unapatikana kupitia Mjumbe wa agano pekee ndiye aliyekusudiwa kuhubiri habari njema ya ufalme wa Mungu hapa duniani,
Mh asee ni hatari BWANA atusaidiee
Mchungaji je, watu hao maagenti wakifukuzwa kanisani kama mchungaji ameoneshws je, awafukuze au n vibaya kuwatimua kanisani
Utafanyaje nyota ikiibiwa
😂😂😂😂😂 jamani yaani mathayo 16.17
Nina mtoto ambaye amefugwa na kuibiwa nyota ako na hizi dalili
Sasa wewe umeokoka,inawezekanaje na kukamatwa kwa Nyota yako, wakati unasema una Mungu?
Tamani kujifunza zaidi
Amen
Amen
Amen
Amen