WANAVYOJIUNGA FREEMASON NI HATARI SANA NA HUWEZI KUJITOA|Mch.Katekela aliyekuwa mkuu wa wachawi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.13322701
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

ความคิดเห็น • 84

  • @user-ru5pk9bh8p
    @user-ru5pk9bh8p 22 วันที่ผ่านมา +37

    Asante Yesu kwakuifahamu promover na mtumishi Katekela mafundisho yake yamenisaidia nimeachana na madhabahu za maji na mafuta ya upako Sasa hv naweza kuomba Mungu mwenyewe,ubarikiwe baba Yesu akutunze.

    • @ivonaevarista4654
      @ivonaevarista4654 22 วันที่ผ่านมา +3

      Afadhali hongera sana

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  22 วันที่ผ่านมา +2

      Amen

    • @USHINDIMANENO
      @USHINDIMANENO 19 วันที่ผ่านมา +2

      Hongera Sana sote tunaendelea kujengeka

    • @3leggedbird222
      @3leggedbird222 14 วันที่ผ่านมา +1

      Ila kweli kama mtu amewahi kuingia rohoni atashuhudia jinsi jina la yesu lina nguvu yani ukilitaja majini yanapisha njia yenyeweeeeee

  • @judyokumu8439
    @judyokumu8439 22 วันที่ผ่านมา +13

    Pokeeni love❤ from Kenya 🇰🇪

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 22 วันที่ผ่านมา +7

    Asante mchungaji,Kwa mafunzo na kujikaza kweli

  • @user-ut8pq2uj7v
    @user-ut8pq2uj7v 22 วันที่ผ่านมา +9

    Mungu asanteeeee yesu kwa wokovu wa thamani yako kwangu

  • @user-eu7xq1sg6b
    @user-eu7xq1sg6b 22 วันที่ผ่านมา +6

    Mungu awabariki sana pastor katekela na promover tv kazi nzuli mnayo fanya

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko4047 22 วันที่ผ่านมา +6

    Hapa Lubumbashi watoto wanapenda sana pombe tena sana

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 22 วันที่ผ่านมา +9

    Asante YESU KRISTO Kwa wokovu wako

  • @TinaSamwel-x8h
    @TinaSamwel-x8h 21 วันที่ผ่านมา +4

    Barikiwa sana mtumishi WA Mungu Katekela kwa kuhubiri iliyokweli mwenye masikio na asikie

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 17 วันที่ผ่านมา +5

    YESU MI NAKUPENDA SANA

  • @HalimaPaskal
    @HalimaPaskal 22 วันที่ผ่านมา +7

    AMEEN AMEEN i❤ welcome Kenya 🇰🇪 🙏

  • @messersadfinitum3444
    @messersadfinitum3444 22 วันที่ผ่านมา +10

    To Christ Jesus be the Glory.Mungu akuinue mchungaji Katekela.

  • @MariaMdemu-xt5cv
    @MariaMdemu-xt5cv 22 วันที่ผ่านมา +3

    Amina kwa kweli nikisikiriza mahubiri yako.huwa natiwa nguvu ya kusonga mbele....ubarikiwe

  • @isayatv4932
    @isayatv4932 7 วันที่ผ่านมา +1

    Amina...Ubarikiwe ✝️♥️
    Mtumishi wa MUNGU ✝️♥️

  • @OctavinaTarimo
    @OctavinaTarimo 22 วันที่ผ่านมา +5

    Mungu akulinde katekela uendelee kuwavuta wengi Kwa Yesu.

  • @Priscilla-w3r
    @Priscilla-w3r 6 วันที่ผ่านมา +1

    Ubarikiwe mchungaji umenisadia sana kwa mafundisho

  • @annangowi5517
    @annangowi5517 22 วันที่ผ่านมา +4

    Ubarikiwe sana sana Mtumishi wa Mungu wa mbinguni
    Mafundisho Yako yamenibadilisha sana

  • @magashimusa486
    @magashimusa486 22 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu akubaliki pia akupe maisha malefu

  • @DIMOKALMX
    @DIMOKALMX 19 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu akuinue mtumishi mafundisho yananibariki mnoo

  • @YAMUNGUDANIEL
    @YAMUNGUDANIEL 14 วันที่ผ่านมา +2

    Amen, BWANA akubariki na akutie nguvu.

  • @user-tt7cu2et1x
    @user-tt7cu2et1x 19 วันที่ผ่านมา +3

    Blessd kaka jacktan na Audax na promover tv n pastor Amiel

  • @GeofreySemadinga
    @GeofreySemadinga 22 วันที่ผ่านมา +3

    Barikiwa sana mtumishi unatufungua sana kiroho

  • @MahtaFungo-jm6zl
    @MahtaFungo-jm6zl 22 วันที่ผ่านมา +4

    Kalibu njobe mchungaji ketekela

  • @barakashuma9239
    @barakashuma9239 21 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu jamaa namuelewa sana kazi njema mchungaji piga kazi tunabarikiwa sana! Sasa huyu japo c nabii angeaminika

  • @illuminationmarwa3777
    @illuminationmarwa3777 22 วันที่ผ่านมา +6

    True gospel

  • @JestaLuhanya1
    @JestaLuhanya1 21 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @lilyrose7983
    @lilyrose7983 21 วันที่ผ่านมา +5

    Sasa cjui huo utajiri una faida gani?wanakula mauchafu tu 😏

  • @MosesSteven-t7k
    @MosesSteven-t7k 8 วันที่ผ่านมา

    Atukuzwee mungu anaye tuwazia mema na kutufanya kuwa mboni ya jicho lake na ukweli kabisa wanawake wanakiwa niwakaidi usipo mpa pesa yakusuka anaona humpend hilinalo mchungaji linakuwa nitatizo hadi kwawake zawachungaji mungu akubaliki

  • @LindaJohn-fy1in
    @LindaJohn-fy1in 19 วันที่ผ่านมา +3

    Asante yesu umetenda kupitia mtumishi wako

  • @misnasma7875
    @misnasma7875 22 วันที่ผ่านมา +4

    Amen Amen Amen

  • @rabeccakwekwemungumi6441
    @rabeccakwekwemungumi6441 18 วันที่ผ่านมา +3

    Asante baba umeshaniokoa upand wanyelw hap

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 21 วันที่ผ่านมา +4

    Kama katoka hafi mana akisimama na Mungu hafi

  • @faithe4063
    @faithe4063 22 วันที่ผ่านมา +4

    Kuna ushuhuda nangojea sana ya msichana aliyekua mchawi watumishi walitoa ushuhuda wao bado msijana sasa

  • @user-zt1jk9yy2x
    @user-zt1jk9yy2x 21 วันที่ผ่านมา +3

    Amen ubarikiwe sana kaka

  • @zitashio7920
    @zitashio7920 22 วันที่ผ่านมา +3

    Amen mtumishi

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 22 วันที่ผ่านมา +4

    Amen

  • @roseshijedi8744
    @roseshijedi8744 9 วันที่ผ่านมา

    Kutoka Kenya Akika niushuhuda waukweli unayo sema bilayesu kukuonekea auwezi mungu apewe sifa😊

  • @conceptarann
    @conceptarann 11 วันที่ผ่านมา +1

    Ubarikiwe mchungqaji

  • @EricMbuto
    @EricMbuto 20 วันที่ผ่านมา +2

    Bwana yesu asifiwe promover tv n Eric angana kutoka kenya

  • @GadMat
    @GadMat 10 วันที่ผ่านมา

    Utukufu kwa Mungu
    Barikiwa mchungaji

  • @EvaKsrsiti
    @EvaKsrsiti 3 วันที่ผ่านมา

    Asante mtumishi kwa mafundisho yako barikiwa 🌹🌹🌹

  • @JesusChristLovesUs4ever
    @JesusChristLovesUs4ever 21 วันที่ผ่านมา +3

    Yesu ni wengi lakini Yesu christo ni mmoja

  • @JosephNLazaro
    @JosephNLazaro 20 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu nisaidie🙏

  • @bensonmahenge8396
    @bensonmahenge8396 22 วันที่ผ่านมา +5

    Mimi wa kwanza leo

  • @KalebuPius
    @KalebuPius 17 วันที่ผ่านมา +2

    Mch. ,
    Hakuna hat mmoja anaetumia maji ya upako na mafuta aliye Mtumishi wa Mungu?
    Niambie kama yupo hata mmoja Mtumishi.?
    Nisaidie PROMOVER TV

  • @kenedyjoseph1044
    @kenedyjoseph1044 19 วันที่ผ่านมา +3

    AMENI SANAA

  • @user-tt7cu2et1x
    @user-tt7cu2et1x 19 วันที่ผ่านมา +3

    Blessd

  • @GeofreySemadinga
    @GeofreySemadinga 22 วันที่ผ่านมา +2

    Balikiwa sana mtumishi wamu gu

  • @LeahSengongo
    @LeahSengongo 12 วันที่ผ่านมา +1

    Ameni ubarikiwe mtumishi.

  • @judyokumu8439
    @judyokumu8439 22 วันที่ผ่านมา +4

    Amen,🤲

  • @MonicaNestory
    @MonicaNestory 22 วันที่ผ่านมา +2

    Amen 🙏🙏🙏 pastor 😊

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 18 วันที่ผ่านมา +2

    AMEN

  • @jamestocta3075
    @jamestocta3075 22 วันที่ผ่านมา +2

    Amina.

  • @noellyaruu1807
    @noellyaruu1807 22 วันที่ผ่านมา +2

    Karibu

  • @user-ge3cg4ct9z
    @user-ge3cg4ct9z 8 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa Baba yangu

  • @Wilondjaselemani-r1l
    @Wilondjaselemani-r1l 10 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe

  • @Likes_comment_share
    @Likes_comment_share 11 วันที่ผ่านมา +1

    Nyakati za mwisho watu watapenda kusikiliza mafundisho yasiyo faa na story za uongo. , sasa kama ulikua freemason sisi inatusaidia nini ? Sisi tunataka utuhubirie habari ya uzima sio story za maisha yako ya giza

    • @alanmwijarubi
      @alanmwijarubi 9 วันที่ผ่านมา

      Sijui sana... Lakini kama anachosema ni kweli ni msaada pia kwa wanaosikiliza wasije wakaingia shimoni

  • @ElishaMakuza-i2p
    @ElishaMakuza-i2p 11 วันที่ผ่านมา +1

    Weeeeh nikweli

  • @user-eo1ru4tc8s
    @user-eo1ru4tc8s 22 วันที่ผ่านมา +3

    MUNGU akutunze uwatoe watu mbali waliko

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 13 วันที่ผ่านมา +1

    Ameen ameen🎉

  • @SahauMwazembe
    @SahauMwazembe 3 วันที่ผ่านมา

    Tue pastor songa. Mbele mpaka wachawi watumbuke

  • @user-zd5hj3rq9i
    @user-zd5hj3rq9i 21 วันที่ผ่านมา +2

    Bwana na nahakuneemeshe saidi

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 18 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa ukimsikiza utajua kuna muda stor zake aziunganiki, yaan rasta imetengenezwa na katan af unasema inatoka kuzimu😂, smartphone, computer. Magar, nguo ko navyo ni freemason sio

    • @Mamshika
      @Mamshika 15 วันที่ผ่านมา

      Hizi shuhuda kwakwel zinatia mashaka sana sababu nashangaa naona watoa shuhuda wengi sana wanasema walikuwa na kanumba

    • @MosesMywanga
      @MosesMywanga 15 วันที่ผ่านมา

      Jifunze kusoma alama na nyakat tulizo nazo tupu dakika za nyongeza yesu kalib analudi tengeneza maisha yako

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o 12 วันที่ผ่านมา

      2WAKORINTHO 6:16
      16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
      SASA,
      WAELEWAJE HAPO?. UNAELEWA SANAMU ZINAZO ONGELEWA HAPO?
      LABDA UJUE KWANZA, MAANA YA SANAMU NI KAZI YA MIKONO YA MWANADAMU, ILIYOFANYWA KWA MFANO WA UUMBAJI WA MUNGU.
      SANAMU YA NYWELE, YA KUCHA, LIPS N.K
      NA HEKALU LA MUNGU NI MWILI WAKO.
      WARUMI 8:13
      13 kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka kufa; bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi.
      OKOA NAFSI YAKO NA MATESO YA MILELE.

  • @barakashuma9239
    @barakashuma9239 19 วันที่ผ่านมา +1

    IPM akimsikiliza huyu atamuelewa kweli? Na je atamuamini?

  • @samwelmatiti6123
    @samwelmatiti6123 7 วันที่ผ่านมา

    Kwa msingi huo wa welcome but not return hata wewe hujatoka huko. Kwanini wengine wote washindwe ila wewe tu ndio uweze kutoka.

  • @LucyWanjiku-bp7nd
    @LucyWanjiku-bp7nd 7 วันที่ผ่านมา

    Huyu katekela Mimi simuamini hata tone kwasababu ya hairstyle yake

  • @ACLESSJABRINE
    @ACLESSJABRINE 12 วันที่ผ่านมา

    Mengine kama uongo vile au nikubali tu shingo upande

  • @VictorSowa
    @VictorSowa 12 วันที่ผ่านมา

    Vpi hujatueleza kuhusu qoroani

  • @Khmediy3241
    @Khmediy3241 22 วันที่ผ่านมา +1

    Stori za alinacha

    • @user-ro2fl1py6m
      @user-ro2fl1py6m 20 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe si walewale

    • @sosbrayantbenjamin9701
      @sosbrayantbenjamin9701 19 วันที่ผ่านมา

      Mambo ya kusadikika 😅 kila mtu na stor zake Mara hv Mara vile

  • @user-mn2et2pf6z
    @user-mn2et2pf6z 10 วันที่ผ่านมา

    Acha uongo.wewe hujawahi kujiunga freemason.bari unahubiri kwa kutamka kupola sadaka za hao waumini.

  • @noellyaruu1807
    @noellyaruu1807 22 วันที่ผ่านมา +3

    Amen

  • @mariahyera3737
    @mariahyera3737 22 วันที่ผ่านมา +3

    Amen