Huyo kiongozi wa mwenge aelimishwe...hajui anachosema, kuna sheria na watu hawawezi kuchukua ardhi za watu bila kuwafidia. Kama wameongeza mipaka kwa ajili ya vyanzo vya maji, basi wafuate utaratibu. He is So ignorant!! Hayo mambo ya mwenge pia ni kupoteza pesa tu, this is 2024; wenzetu wako busy na AI era, sisi tuko na mwenge, apathetic 😠
Mh,,Nifundishe kunyamaza ee Mungu ,,,Naomba uilinde familia yangu na Watanzania wote ...kimbilio pekee ni wew Mungu ,,familia tunazotoka hazina wabunge,mawaziri wala yoyote aliyepo kwenye mfumo,Tunakutegemea wew Mungu ,...sjui chochote kuhusiana na kinachoendelea wala na serikali ila Tunajua wew Mungu upo kwaajili ya maskini
Naililia tanzania inchi yangu 😢😢😢 amani itawale masikini na matajiri wale sahani MOJA viongozi na wana inchi wale sahani MOJA MUNGU simama na tanzania yetu
Magufuli alikufa mtaona mengi mtauzwa kama wale wamasai mmetoka mahali kuna maji mpelekwe Kwa nnji haina maji kama wale masai Tanzania mast praying to GOD,poleni sana,
Uamusho ulianza hivi,watawala someni alama za nyakati,Nyerere sio alipenda kung'atu,alisoma alama za nyakati,ujinga ni pale mjinga asipojua kua mjinga mpaka ambiwe kua mjinga ndio anajua kua kumbe ni mjinga,
We tulia eneo hilo liko toka Nyerere Leo mamako analeta ushamba watu wamekaa hapo since 1955 Leo wanaongea nini my dad and grandpa they have Very beutful Home There wametunza msitu wao na si serikali pls muwe Na akili
Hivyo vilio kavikuta vimeenea nchi zima, hawezi kuvimaliza kwa wakati mmoja. Mulizeni Yesu aliyehai kwanini anaziacha shida hizi ziendelee kuwapata viumbe wake, au hazioni?
TANGU MAGUFULI AFE HII NCHI IMEKUA YA AJABU SANA NAAPA MIMI NIKIINGIA MADARAKANI NITAWAUA WOTE Wanaonyanyasa wananchi wanguu Maskini sitabakisha ata MMOJA 😡😡😡😡😡😡😠😠😡😡😡😠😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
Kwani kipindi cha magufuli hakuna watu waliolia kuvunjiwa nyumba zao? Waulize watu wa kimara ,mbezi na kibamba na kinondoni.Hao wananchi wanalima karibu na chanzo cha maji serikali inataka kulinda hicho chanzo.
Selekari ndio wanataka iv hii ni vita na hao wagen wanaowapa ndio wanafuraiya kuona tunagombana sisi kwa ssi iri watutawale vizuri hii zuruma itaisha rini ya maharizi
Ivi serikali ya Tanzania inajiona Ina ubavu sana et. Kumbuka wale MS23 Kongo au alishabab na Tanzania wataingia ktoka umoja wa serikali na wananch haupo.
Asante msichana is not fear msichana asema kwa uchugu, Allah atupe waschana kama hu 7777, Asante Mschana,na Lilian shaf, Asanteni sana hawana huruma hao wana ma VX ya million 500,n wa unguu mtu kama Farao Firaun,miaka 700,watu waende wp,
Soma dini yako,uislamu hauendi kwa hamasa mfano wa huyo msichana unae msifu.yaani unamuomba Allah akuingize kwenye jambo la haramu.unajielewa kweli wewe.ninyi ndo mnautia dosari uislamu kwa upumbavu mlionao.uislamu na mwanamke kupayuka mbele ya wanaume wapi na wapi.tena ulivyo kiazi,unaomba kwa Allah awafanye wanawake wawe mfano wa huyo mjinga mwenzio.hata ikiwa mnadhulumiwa,uislamu umeelekeza kufanya fujo kama hivyo?,jitambue muislamu acha upimbi.
@@ramadhanimuya2162 samia n Raisi wa Tanzania na ummu mwalim c n waziri c n waislaamu,c wanafanya mikutano wanainchi we have alfu supika c n mwanake,ndoo anaongoza bunge,hii Tanzania c dolla ya kislamu,kama saudia, alafu achamstusi,bac,halafu,acha ku replay kwangu weka public,et mwanake haruhusiwi,haya Raisi c mwanake,wa Tanzania Samia,eb acha matusi Allah,akuona,huyo msi hana anadai haki zao,na ndungu zao
@@ramadhanimuya2162 mtume MUHAMMAD amepigana jihadi acha hii fujo,upanga kabisa na nusaiba n mwanake ndoo alimkata kafiri UTBA ktk vita vya uhudi baada mtume kua gukia ktk shimo we ata sirra hujui alafu utukana,AISHA mke MTUME alikua vitani na Mtume,eb uliza shekh wako,NUSAIBA n mwanake gani katka vita ya UHUD
Kwa serikali hii mama emu angalia wananchi wako wanavyoteseka kuna viongozi wachache wanafanya mama uchukiwe na wananchi kwa baadhi ya viongozi wachache ambao sio wahadilifu wenye walio chaguliwa na ulio wateuwa .
Huyu samia kazi anayo yeye ni kuteuwa na kutengua kila mwananchi anamuomba samia awadaidie kutokea ngazi za vijiji mpk taifa kote kumejaa viongozi lakin hakuna msaada jaman wengine wako vijijin hata haya yanayotokea hawayajui ni dhuluma tu
Mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya RIP JPM 🙏
Alisema
Daaaa naumia sana kifo cha John Pombe Magufuli
Tutanyanyaswa sana na bado maana watanzania sisi ni wanafki sana uchawa na upambe ndio zetu kuliko maisha yetu
Mapinduzi yataanzia Kaskazini. Huko hawavumilii uonevu
Kilio kikubwa kinakuja ccm mtaondoka vibaya sana askari mtakufa kumamae zenu
😂😂
Huyo kiongozi wa mwenge aelimishwe...hajui anachosema, kuna sheria na watu hawawezi kuchukua ardhi za watu bila kuwafidia. Kama wameongeza mipaka kwa ajili ya vyanzo vya maji, basi wafuate utaratibu. He is So ignorant!! Hayo mambo ya mwenge pia ni kupoteza pesa tu, this is 2024; wenzetu wako busy na AI era, sisi tuko na mwenge, apathetic 😠
Mh,,Nifundishe kunyamaza ee Mungu ,,,Naomba uilinde familia yangu na Watanzania wote ...kimbilio pekee ni wew Mungu ,,familia tunazotoka hazina wabunge,mawaziri wala yoyote aliyepo kwenye mfumo,Tunakutegemea wew Mungu ,...sjui chochote kuhusiana na kinachoendelea wala na serikali ila Tunajua wew Mungu upo kwaajili ya maskini
🙏 Amen
Amen mpendwa ubarikiwe sana 👏🏻👏🏻
Hahahaha, Uko Sahihi
Safi RpC kaonyesha utulivu safi sana
Serekali ya tanzania asilimia90 niuwenevu kwa wananchi wake but iko siku tutaimba aleluya wote maana serekali hii niuwizi tu kukubuu hakuna kitu
Kweli jomonkinyata alijua
Aliposema tanzania nisawa na maiti mana maiti tu ndie anapelekwa watakavyo wazikaji
Lini hiyo alisema😅
Acha uongo lini kasema maneno hayo?
Na huyo kenyatta ana ubora gani zaidi ya watanzania?? i au wakenya wamewazidi nini watanzania???
Kwa hiyo wewe ni maiti
@@collinsstanley6126 ndiyo alimwambiaga Nyerere kuwa unaongoza maiti ambazo kila usemalo na ufanyaji wao ni ndiyo na hakuna hapana
Akili ni mali kuliko mabavu, seikali itumie sana busara na kusisitiza utawala bora.
Swali je mabango yangeachwa watu watoa shida zao askari angepoteza nini? Mimi ningeondoka na nyota zao leo.
Hiyo sehemu ni nzuri.hali ya hewa Iko poah
Mmmhh sema kimeumanaa
Noma sana
Daaaah hii ni kali😮😮😮
Tanzania itakuja kutokea vita kubwa sana ambayo itagharimu maisha ya watu wengi sana.
Mungu atanusuru InshaAllah
Sio kweli akuna vita ya kitoto Kama hiyo
Mawazo ya kishetwan
Na unachowazia na kukiami ujuwe ni duah Yako kwa Allah
Allah atunusuru na hayo unayowaza
From kigoma black Barton MBEMBE Tena nyaru tv
Hiii nchi ngumu Sana tukiwa tunaelekea kwenye uchaguzi Mungu wangu watu wanatembea na maumivu makali sana
Out there we ar not afraid of anything huko ndio kwetu uchagani.
Wapewe haki yao.
mimi nahisi hiii tanzania sio yetu tena yukubali matokeo tu mana ukisema tu kitakulamba tutulie tu mungu atatusaidia 🤐🤐🤐🤐
Naililia tanzania inchi yangu 😢😢😢 amani itawale masikini na matajiri wale sahani MOJA viongozi na wana inchi wale sahani MOJA MUNGU simama na tanzania yetu
Haiwezekani hata nusu siku
Sijawahiona faida ya serikali mm
Kasikilize ngoma ya roma nipeni maua yangu
Hilo likimbiza mwenge ndio senge lingine miaka yote watu wako hapo
Rina taka cheo
Magufuli alikufa mtaona mengi mtauzwa kama wale wamasai mmetoka mahali kuna maji mpelekwe Kwa nnji haina maji kama wale masai Tanzania mast praying to GOD,poleni sana,
Wajib gan
Kuna tofauti kubwa kati ya Chanzo na njia ya maji. Mtu fulani aliharibu miundo mbinu ya mbowe kazi aliiona mahakamani. Sijui alilipa au la!
Katika kitu ninachochukia maishani mwangu ni uonevu,,na huu mwenge ni kero tupu
Kwanz hii ni asara tu mwenge mwenge wanachezea pesa tu imkua ndo kisingizio cha watu kupigia pesa
@@nellywizz9631 kabisaaa yaani ukiangalia nini maana ya mwenge haina ishu yeyote ile
ukiachwa kukimbizwa ni vita mura ccm watatoka madarakani hahahaha
Aiseee sum time bora ukae kimya tu nakuangalia what is going on love Tz
Kazi IPO
Eti unanishauli nikapige kula nimpigie nani kama uongozi huuu hauna urafiki nawananchi unafanya unavyo taka migogoro imekua kila konaa sina mda wakupoteza tapiga kula mbiguni 😭😭😭😭
Huyo kiongozi wa mwenge wa uhuru hata akili hana; issue nzima ni kulipa fidia. Nchi hii ina sheria na zifuatwe kwa busara
@@joycekisamo4896 umeona eeh Tanzania hii basi tu natatizo kibao
Piga kula ili kupitisha kiongozi mwenye masirahi mapana na nchi yako na sio masilahi ya chama
@@YONERU niwalewale labda makonda
Amani iliisha tanzania kilichobaki ni mazoea tu.
Tanzania Mungu Ibariki Nchi yangu
Unaiombea baraka kabla ya toba? Sijawahi kuona.
Wananchi uchaguz ujawo tukiwache mpk kielewek
Haisaidiii lazima CCM itapita unyanyuke ukae ulale wata pita tuuuu
bila katiba awangoki wale
@@elvisoscar9912 yaan tumewachok
Mungu awatetee
Aisee Askali kavamiwa vibaya sana
Hayati alisema ipo siku mtanikumbuka kwa mazuri yangu magufuli kwa nn uliondoka mapema baba😭😭😭🇹🇿🇹🇿
Uamusho ulianza hivi,watawala someni alama za nyakati,Nyerere sio alipenda kung'atu,alisoma alama za nyakati,ujinga ni pale mjinga asipojua kua mjinga mpaka ambiwe kua mjinga ndio anajua kua kumbe ni mjinga,
SHERIA YA MIPAKA YA VYANZO VYA MAJI ILINDWE KWA KILA MWANANCHI WA TAIFA HILI, SERIKALI ISICHOKE KUELIMISHA WATU, LEO. KESHO NA MILELE AMEEN...🙏🙏
We tulia eneo hilo liko toka Nyerere Leo mamako analeta ushamba watu wamekaa hapo since 1955 Leo wanaongea nini my dad and grandpa they have Very beutful Home There wametunza msitu wao na si serikali pls muwe Na akili
Dahhh!!
tanzania hatuna amani tu na utulivu
Hii ndo nchi ya mama anae upiga mwingi,Kila Kona vilio na maombilezo huku viongozi wako kimya
Hivyo vilio kavikuta vimeenea nchi zima, hawezi kuvimaliza kwa wakati mmoja. Mulizeni Yesu aliyehai kwanini anaziacha shida hizi ziendelee kuwapata viumbe wake, au hazioni?
@@abdifaraji2883 utakutana na moto
TANGU MAGUFULI AFE HII NCHI IMEKUA YA AJABU SANA NAAPA MIMI NIKIINGIA MADARAKANI NITAWAUA WOTE Wanaonyanyasa wananchi wanguu Maskini sitabakisha ata MMOJA 😡😡😡😡😡😡😠😠😡😡😡😠😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
Kwani kipindi cha magufuli hakuna watu waliolia kuvunjiwa nyumba zao? Waulize watu wa kimara ,mbezi na kibamba na kinondoni.Hao wananchi wanalima karibu na chanzo cha maji serikali inataka kulinda hicho chanzo.
Kinachonishangaza,Kesho unaweza ckia mwekezaji kamilikishwa,Hatuna msimamo wa maamuz.
Mbona zanzibar haya mambo haya hayatokei?
Nchi yetu Mungu atusaidie sana hakika tunasafari ndefu sana
Hii ni hatari sanaaa wananchi wakiamua wanaweza
Hapa kuna sehemu haikuwa sawa. Tatizo lingefahamika mapema sio hadi Mwenge unafika
Selekari ndio wanataka iv hii ni vita na hao wagen wanaowapa ndio wanafuraiya kuona tunagombana sisi kwa ssi iri watutawale vizuri hii zuruma itaisha rini ya maharizi
Huyo mzee kaongea point sana anajua kujieleza sana❤
Nchii ze comed sana
🤣🤣🤣hamad bwana
😂😂😂😂
Hii mbaya sana
Mwanzo mzuri
Dah hii inchi ina mambo mengi jaman
Duh
Mwenyenzi mungu mwenye dunia yake ametulia anawangalia wanadam jinsi wanavyogombani ardhi ambao sio ya kwao dunia hii
Nivigumu mama kusikia wanyonge
Huwa hasikii kabisa anakichwa kigumu sanaa.
Ee Mungu ilinde Hai na wananchi wake
Serikal. Ijitahidi sana kuwa inahusisha walengwa ikiwa walifanya makosa hata kusimamia Sheria nakuelimisha raia Kwa kila jamba
Huyo kiongozi wa mwenge aelimishwe...hajui anachosema, kuna sheria na watu hawawezi kuchukua ardhi za watu bila kuwafidia. So ignorant!!
Waone hawa wasumbufu wanyang'anya mabando utafikiri wanaambiwa wao
Safi ndugu zangu bila hivyo bado watatuzoea
Tanzania sio maiti maji ni kitu muhimu sana ni hatari sana ukigombana na jirani yko na wote mnatu.ia maji ya mfeji mmoja mnabatanishwe siku hiyohiyo
Mikoa wanayoishi wavuta bangi htr sana kwa maendeleo ya Nchi
Na wabongo Kwa kufukia mabonde duh mwenge uwake
Sijui hata maana ya huu mwenge
Mkoa wangu Kilimanjaro NTAKUJA huko Lazima nihakikishe Wananchi wangu Wanapata HAKi
Hii nchi duuuuh
Natumai Raisi anaona haya mambo ya kikatil yanayo endelea
Mungu ibariki Tanzania na watu wake
Imani ikishapotea mahali popote walipopaamini watu ndio hayo yanatokea kuna tatizo
Huyu mzee akili nyingi sana kaongea point tupu
CHANZO KILIUZWA AKAKIRUDISHA SABAYA, wachapakazi kama sabaya tunawahitaji
Ivi serikali ya Tanzania inajiona Ina ubavu sana et. Kumbuka wale MS23 Kongo au alishabab na Tanzania wataingia ktoka umoja wa serikali na wananch haupo.
Upo kwnye ubongo wng kbc na ayo mawazo ako
Hii kuna watu wanaweza kutuondoa kwenye unyanyasaji sema hawaja amua tu ila siku wakiamua mtatoka ikulu uchi wa mnyama washenzi wakubwa nyie
Asante msichana is not fear msichana asema kwa uchugu, Allah atupe waschana kama hu 7777, Asante Mschana,na Lilian shaf, Asanteni sana hawana huruma hao wana ma VX ya million 500,n wa unguu mtu kama Farao Firaun,miaka 700,watu waende wp,
Soma dini yako,uislamu hauendi kwa hamasa mfano wa huyo msichana unae msifu.yaani unamuomba Allah akuingize kwenye jambo la haramu.unajielewa kweli wewe.ninyi ndo mnautia dosari uislamu kwa upumbavu mlionao.uislamu na mwanamke kupayuka mbele ya wanaume wapi na wapi.tena ulivyo kiazi,unaomba kwa Allah awafanye wanawake wawe mfano wa huyo mjinga mwenzio.hata ikiwa mnadhulumiwa,uislamu umeelekeza kufanya fujo kama hivyo?,jitambue muislamu acha upimbi.
@@ramadhanimuya2162 samia n Raisi wa Tanzania na ummu mwalim c n waziri c n waislaamu,c wanafanya mikutano wanainchi we have alfu supika c n mwanake,ndoo anaongoza bunge,hii Tanzania c dolla ya kislamu,kama saudia, alafu achamstusi,bac,halafu,acha ku replay kwangu weka public,et mwanake haruhusiwi,haya Raisi c mwanake,wa Tanzania Samia,eb acha matusi Allah,akuona,huyo msi hana anadai haki zao,na ndungu zao
@@ramadhanimuya2162 mtume MUHAMMAD amepigana jihadi acha hii fujo,upanga kabisa na nusaiba n mwanake ndoo alimkata kafiri UTBA ktk vita vya uhudi baada mtume kua gukia ktk shimo we ata sirra hujui alafu utukana,AISHA mke MTUME alikua vitani na Mtume,eb uliza shekh wako,NUSAIBA n mwanake gani katka vita ya UHUD
@@ramadhanimuya2162tulia we paka Kama ni haki yake asubiri mwanaume Kama wewe chizi amsaidie uislam ndo nini bwana wee
Hiii sio nchi huu uchi
Dah
Huyo afande hongera kwake anajua jins ya kutuliza watu na ujinga wa wale scout
Mmmmmh
Safi sn
Kwann😅
@@BakariKibauri-qh7gf kwakilichotokea maan mpk usikilizwe Ni lini ss
Kwa serikali hii mama emu angalia wananchi wako wanavyoteseka kuna viongozi wachache wanafanya mama uchukiwe na wananchi kwa baadhi ya viongozi wachache ambao sio wahadilifu wenye walio chaguliwa na ulio wateuwa .
Tuko bize na uteuzi
Arudi kizimkazi.💃
kweli mwenge unamurika mipaka na maovu
Tutamkumbuka magu mpaka basi
Tumeshamkumbuka
Wenyewe wanajineemesha uzao wao Mungu atalipa
Tanzania eeeeee nchi yangu eeeeee
Unyani unyani
😮 hii ni tatizo na haya ndio yanavyoanzaga, very dangerous
Hv wanasikilizana kweli
Tanzania ya samia hiyooo
Hiiiii arusha Nomaaa
Hii nchi tunapoelekea
Tutagawana Majengo hamna namna
Hivi vitu vinaendana na uwezo wa mungu mm nilishuhudia kwetu Maj yalikauka ,kwahio hilo nitatizo dogo aje mama au kiongoz mwenye hofu yamungu
Mama yako hana jipya umeme shida sana wakati magu alisha fanikiwa ktk hilo
Huyo mgambo nae sijui anajikuta nani😂😂
😂😂😂
Mmuheshimmiwa samia hii hali haivumilliki raiya imekuwa hana haki kweli mbona uhai wamakufuli mabango ruhhusa
Ahahhah wachagga na aridhi mtawauwa😂😂😂
Ingekuwa ni ardhi yako ungefanyaje
Hii ndiyo kaskazini
Sheria Iko wazi mita 60 km mko ndani ya mita izo halina mjadala toweni bangi zenu Babu zenu walikua wavamizi
Huyu samia kazi anayo yeye ni kuteuwa na kutengua kila mwananchi anamuomba samia awadaidie kutokea ngazi za vijiji mpk taifa kote kumejaa viongozi lakin hakuna msaada jaman wengine wako vijijin hata haya yanayotokea hawayajui ni dhuluma tu
Huo mwenge unakazi gani hapo
Mungu tusaidie CCM wamekua wakatili
Yani apa tanzania kilichobaki ni kufukuzwa tu tuondoke
Kila mkoa uwe na Rais wake
Muone mambo yanavyo nyoka kama Rula
Mikoa imekua mingi inamremea Rais mmoja
Arusha watatupiga bao kwa sasa
Hayo mambo gani yanafanyika bila utaratibu kusababisha vurugu
Hiii ichi haki itapatikana lini
Daaa yan mwenge unazalquriwa hivii kias kwamba n kitu cha kawaida tharau zimezdi nngekua mm kiongoz wotee hao kushtakiwa na kuchunguzwa
ww kiongoz wa kua makini hao ni watu.