Hawa madogo wangekuwa organised mapema,wange hit kama misondo misondo,huwa ukiwakuta maeneo wanacheza music wanapendeza....wapate mtu Mdudu is real,In Sha'Allah
Waachenii wafanye saanaa ya mitaaaaa na watu wana enjoy..mbonaa waleee wenginee wavaaaa uchiii mashogaa ...video za uchiii hampigii vitaa uzuriii wanajikubalii na wako very strong nigas keep fighting for your life...never mind over what people talk about you Midudu ya chuga
Makonda endelea na juhudi zako....kuna kitu hapo.HATA DHAHABU HUPATIKANA KWENYE MATOPE NA VUMBI. NI LAZIMA UCHEKECHE UDONGO AU TOPE UPATE DHAHABU SAFI❤❤❤😊
Mavazi yao sio shida Sana kuliko wale tunaowaita wasanii ambao wanaimba uchi na wanaume wanavaa bangili cheni shanga na vipini ambapo sio Mila za Tanzania
Hata wasanii wengi wa Marekani wakubwa wa Rap walianza hivi hivi na Kila mtu aliwapinga ila sasa ni ma bilionea na kila mtu anawapenda.Makonda ni Mwona mbali❤❤❤❤
Yaani ni hasara na aibu mtoto una mzaa unalea Kwa tabu na kusomesha anakuja kuwa kama kidudu roho inauma Kwa kweli maisha kama mtoto hajui kanisa au msikiti ni shida
Skiliza kwanza sio una ongea hovyo wame sema hayo mavazi ni kama yuni fom zao za kazi lkn kwenye mazingira halisi hawa vai hivyo yaan kwaki fupi hiyo ni km sanaa
Hiyo sanaa tu , kwani hamfurahi watazamaji ? Acheni basi kuwasema wadudu .....mbona wachambaji mnawashangilia na mnaona ni ajira , mbona uchawa mnaushabikia na mnaona ni ajira ....acheni watu wajitafute basi😅😅😅
Mbona haongelei mashoga na wasagaji , majaa wako kazini au we unaupenda usagaji na ushoga mbona hapo mhamsemi? Bara wa kwangu awe mdudu kuliko msenge 😢😢😢😢😢
Kweli kabisa yaani natamani wapelekwe urusi, kwanza ukiwatizama tu,niwezi hawana adabu heshima,utu wavuta ugoro, bangi,gundi.Jamani wapelekwe urusi au palestina watokomee vitani moja kwa moja, hawana faida hata kwa waliowazaa**halafu waandishi ndio wanawatia kiburi mara kwa mara huwarekodi ujinga wao,mnawapa kiki, (kuna mengi ya kuripoti mafuriko yameharibu miundombinu,yameuwa yameacha watu katika umaskini, hiyo hamuipi kipao mbele,hawa wajinga mnawapaisha wavutaji wa bhangi look🤔🙄☹️😯
Dogo acha kuropoka mm ni mtu wa arusha na hao madogo nilisha kutana nao ngalelo, so nawajuwa vizuri sana siongei kama wewe kenge maji wewe kwanza we unawajuwa zaidi yangu au unaongea tu kwa taarifa yako mm ni mzawa na nakutana nao sana hivyo najuwa ninachokiongea, kenge wewe.
Hawanaga hata shida nyie ambao hamuwafaham ndo mnawachukulia vibaya Yan ni watu simpo sana, ni kama nagwa dar wanamuogopa kulingana na alivyo na muvi zake lkn nje ya kaz ni mtu poa sana, acha watu wajitaftie rizik mkono uende kinywan kuiba na mambo mabaya ndo hayatakiwi
Acha kusifia uhuni@@SafariMsafi-um1pzhawa vijana wanahitaji kusaidiwa akili yao imeharibika wanajitoa ufahamu lkn ndio sehem ya matukio ya uhalifu..tuache mizaha watz na kuhamisha attention, uhalifu ni uhalifu tu awe kibaka, msagaji, shoga.. yeyote anafanya matukio ya uhalifu anapswa kushughulikiwa..na nyinyi Ayo Tv Acha kusifia ujinga..hoji kwa kuwasaidia waache uhuni wafanye kazi..mtu mwenye akili na maadili utavaaje km hawa?
AFADHALI WADUDU KULIKO WASANII WAVAA HELENI WANAUME NA MASHOGA ,WANAOA NA KUZALILISHA WANAWAKE KILA LEO KWA KUWAFANYISHA BIASHARA ZA MIILI YAO,SASA KAMA KAJALA NA PAULA WAKO SAHIHI BASI HAWA NI WA MUHIMU SANA
Natoa Ahad Hawa Watanyooka Tu Hawana Lolote Geni Kwa Paul Makonda Tena Natoa Angalizo Kwa Wala SKANKA na CHA ARUSHA weken Akiba Mzgo Unaenda Kuwa Adimu
q sipendi ujinga, kama huu, hivi miaka mitano hadi kumi, watu wa hovywo kama hawa wadudu wakiachwa waendeleze huu ukichaa wao wataharibu vijana wengi wanaokuwa,wakomeshwe hawana chochote cha maana cha kufundisha wengi, bangi ugoro vimewatawala,hawa UCK ikikutana nao umeisha, wapelekwe urusi au palestina watokomee vitani kimya kimya
Kazi gani zaidi ya hiyo wakati walio viongozi wanapachikana wenyewe? Wasomi wapo kibao mivyeti inachakaa na kutafunwa na panya wao wana kz 1 mzee akistaafu anapachikwa mwanae akichafua atawekwa mjukuu hadi wakiona kizazi cha mstaafu kimekwisha wanaweka rafiki wa mstaafu. Acheni vijana wa wenyewe wajitafutie kwanjia hiyo
Hawa madogo wangekuwa organised mapema,wange hit kama misondo misondo,huwa ukiwakuta maeneo wanacheza music wanapendeza....wapate mtu Mdudu is real,In Sha'Allah
Waachenii wafanye saanaa ya mitaaaaa na watu wana enjoy..mbonaa waleee wenginee wavaaaa uchiii mashogaa ...video za uchiii hampigii vitaa uzuriii wanajikubalii na wako very strong nigas keep fighting for your life...never mind over what people talk about you Midudu ya chuga
Kwel kabisa
Makonda endelea na juhudi zako....kuna kitu hapo.HATA DHAHABU HUPATIKANA KWENYE MATOPE NA VUMBI.
NI LAZIMA UCHEKECHE UDONGO AU TOPE UPATE DHAHABU SAFI❤❤❤😊
Mavazi yao sio shida Sana kuliko wale tunaowaita wasanii ambao wanaimba uchi na wanaume wanavaa bangili cheni shanga na vipini ambapo sio Mila za Tanzania
Sure
❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mmoja mvuta bhangi mwingine kala unga hapo
Kabisa
Hata wasanii wengi wa Marekani wakubwa wa Rap walianza hivi hivi na Kila mtu aliwapinga ila sasa ni ma bilionea na kila mtu anawapenda.Makonda ni Mwona mbali❤❤❤❤
Maisha yakizidi ugumu mtu huwa either mchawi au chizi. Bora yao hawakuchagua uchawi
😂😂😂😂 nimecheka mpk basi
😂😂😂😂😂😂😂
VIJANA WAZURI SANA NIMEWAPENDA STYL YAO ONE KAMVUTO❤❤❤❤❤❤❤
Yaani ni hasara na aibu mtoto una mzaa unalea Kwa tabu na kusomesha anakuja kuwa kama kidudu roho inauma Kwa kweli maisha kama mtoto hajui kanisa au msikiti ni shida
Skiliza kwanza sio una ongea hovyo wame sema hayo mavazi ni kama yuni fom zao za kazi lkn kwenye mazingira halisi hawa vai hivyo yaan kwaki fupi hiyo ni km sanaa
Wako kazini hao
Watu wanatafuta hela
Ulitaka wavae gauni kama waigizaji wa dar au iyo ndo chuga baba ainaga kuremba
Na yule anayekuwa shiga au msagaji , acha kuongeaz na mihemuko
Yaaan mdogo wangu makonda hapo Arusha kazi unayo Ila tunakuombea Sana mungu
Inshallah Makonda atawaweka sawa vizuri
Inaonekana hawa ni wasanii,ila Hawana watu wakuwashika,inaonekana want vipaji
Huyo dogo black, anajielewa sana. Big up sana kujiamini ni mtaj
Ana akili mnoo
😂😂😂kwa kweli wasingefanya ivyo ningewaona wanyonge kama watu wa Tanga tyu 😅😅
Hiyo sanaa tu , kwani hamfurahi watazamaji ? Acheni basi kuwasema wadudu .....mbona wachambaji mnawashangilia na mnaona ni ajira , mbona uchawa mnaushabikia na mnaona ni ajira ....acheni watu wajitafute basi😅😅😅
Fact
Yaani Huwa wema sana, Mbona Kuna jamii ya rastafarian? Waheshimiwe
😂😂😂 subiri aanze kazi mtasema vizuri hizo bange zitawatoka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Na watasem wanaponunulia😅
Nawahurumia hao 😂😂😂😂
@@EddahBure-te7ftu7
😮😮😮😮😮waache bangee
Hao bangi tupu makonda mungu atakufanyiie wepesi
Wadudu mnatisha sana nawakubalii🎉🎉🎉
HIZO SIFA NA HUYU MILLARD AYO KUWAHOJI KAWAPONZA, MIDOMO IWASAIDIE KULA HIYO MADOGO!!
Uone mtoto wako yuko hivi Mungu tunusuru Wana wa Arusha 😢
We ulitaka wote wawe wanyenyekevu dini zingehubiti nini?😅😅 ishi yako achana na watu wasokusu
@@gilliardgodfriend5745 inasikitishaaa
wanaigiza bna not serious, wenyewe wamesema wapo kazini
Mbona haongelei mashoga na wasagaji , majaa wako kazini au we unaupenda usagaji na ushoga mbona hapo mhamsemi? Bara wa kwangu awe mdudu kuliko msenge 😢😢😢😢😢
Tuwaelekeze vijana wetu waache ujinga wa kujiita wadudu hii itaaribu maadili ya wengi
bola wadudu kuliko awo wasanii weni mashoga wavaa eleni na vipini puani awo wabishi kinoma alafu wanaonekana watu wa kazi
Maombi tu kwa mwenyezi mungu wadudu wapae
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanainogesha chuga
😅Bang nying hao ngoja tuone kama wao wamepinda kuliko serikali
utaelewa t uyo makonda atakonda
@@DavalsonMarlonyhumjui vzr makonda wewe subir aanze kazi watatamani ahame
@@seciliamchalo5627 iyo ni chuga syo darsalade
@@DavalsonMarlonyje hawa wako vibaya kwa jsmii na serikali je na mashoga na wasagaji ambayo serikali imewafumbia macho kana kwamba wako sawa? 😢😢😢😢😢
@@seciliamchalo5627😂😂 wanamjua vizuri huyo jamaa damu ya Magufuli hiyo watanyooka tu
Ze kabwela suti viraka nation featuring Ze chuga waduduz kakaz and dadaz 😎😎😎🤣🤣🤣
Mkuu wa mkoa una kazi ya ziada,kwanza kuwasaidia vijana wa arusha ambao ni maarufu hadi mochwari!!
😂😂😂
😂😂😂😂
😅😅😅😅
Bangi zinawamaliza
Sindio arusha ndo kila kitu
Wadudu wa arusha bangi tosha wa moshwari yaani makonda atawabadilikia hamtoamini hii hali itaisha bora muache huo uwadudu mkafanye kazi
Nyinyi kiongozi wenu mnamuita makonda hamna heshima nyinyi
Hawa wadudu wa arusha wanafanya kazi gan
Mheshimiwa Hawa ndugu ni maombi tuu Mungu atusaidie na watoto wetu
Chuga 🔥🔥
Ngoja aanze kazi mtahama 😅
Nakuunga mkono wataelewa tu
Hizo tairi zitakaa sawa kama viatu vingine😂
@@mariachuri7123 😂😂we ngoja tu watakaa sawa
@@mariachuri7123tena itavaliwa saizi inayowatosha 😂😂
Hyo taili watazkata kulingana na miguu yaoz😂😂😂 dawa ya wadudu ni dawa ya lungu tu
Bange bange bange inaua na inachanganya akili jamani 😢
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mbona Bado wadogo Sana makonda wanyoshe hao
Upumbavu
Makonda kamoshe huo ujinga
Ili tumpe mauwa yake na serikali wakomeshe huu uozo wa ushoga usagaji na unga janga la taifa😢😢😢😢😢
😂😂😂 umenichekesha Arusha kama nchi nyingne sielewi Arusha kukoje
@MiriamAbdallahnaweww ulivokazana na huo ushoga SI anaanza na kimoja baada ya kingine? Huyo ni mwamba anayaweza tote!!!!!!😊😊😊😊😊
Ndo ulimwengu ulivo,wako njema sana njeree
@@user-bt3wt6nt4z 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hawawezi kuliongelea utajanimbia 😅😅😅😅😅
Mimi ni mwarusha but kwa hawa watoto bangi umewaharibu natamani sana washughulikiwe
Kweli kabisa yaani natamani wapelekwe urusi, kwanza ukiwatizama tu,niwezi hawana adabu heshima,utu wavuta ugoro, bangi,gundi.Jamani wapelekwe urusi au palestina watokomee vitani moja kwa moja, hawana faida hata kwa waliowazaa**halafu waandishi ndio wanawatia kiburi mara kwa mara huwarekodi ujinga wao,mnawapa kiki, (kuna mengi ya kuripoti mafuriko yameharibu miundombinu,yameuwa yameacha watu katika umaskini, hiyo hamuipi kipao mbele,hawa wajinga mnawapaisha wavutaji wa bhangi look🤔🙄☹️😯
Je hawa wanatafu risk kama sio waizi je hawa na mashoga na wasagaji ni wapi wakuwaonea kinyaaa
Washughulikiwe Kwa kosa lipi
Punguza pombe naww azikufai ushakuwa mlevi mna acha kemea mashoga mna kuja pigia kelele watu wanao tafuta rizki zao halal
Dogo acha kuropoka mm ni mtu wa arusha na hao madogo nilisha kutana nao ngalelo, so nawajuwa vizuri sana siongei kama wewe kenge maji wewe kwanza we unawajuwa zaidi yangu au unaongea tu kwa taarifa yako mm ni mzawa na nakutana nao sana hivyo najuwa ninachokiongea, kenge wewe.
Shughulikien hao mashoga a chana na hao machalii
Arusha noma😮
Mhhh sina hata la kusema nimetoa macho tuu.tunaambiwa kuishi kwingi ni kuona mengi. 08.04.24.
Waachwe wafanye sanaa
Wizi tu hao
😂😂nimeelewa kwnn mama kampeleka makonda chugaa🎉🎉
Nibora ukutane namnyama SIMBA usku Kuliko kukutana nahawa WADUDU!!!!👺🥺🥴🤔
Hawanaga hata shida nyie ambao hamuwafaham ndo mnawachukulia vibaya Yan ni watu simpo sana, ni kama nagwa dar wanamuogopa kulingana na alivyo na muvi zake lkn nje ya kaz ni mtu poa sana, acha watu wajitaftie rizik mkono uende kinywan kuiba na mambo mabaya ndo hayatakiwi
Kwani Karatu kuna ushamba gani.Acheni ukabila kuwatukana Karatu
Ngoja konda aje apendagi upuuzi mkicheza atawapiga dudu
Hahaha
HIO SIO TALENT, NI UHUNI,,AFU AYO NDO MNAPENDA KWELI KUWAPA EA TYM..
Bora wadudu kuliko hao wasanii mashoga na waimba singeli wenu
Acha kusifia uhuni@@SafariMsafi-um1pzhawa vijana wanahitaji kusaidiwa akili yao imeharibika wanajitoa ufahamu lkn ndio sehem ya matukio ya uhalifu..tuache mizaha watz na kuhamisha attention, uhalifu ni uhalifu tu awe kibaka, msagaji, shoga.. yeyote anafanya matukio ya uhalifu anapswa kushughulikiwa..na nyinyi Ayo Tv Acha kusifia ujinga..hoji kwa kuwasaidia waache uhuni wafanye kazi..mtu mwenye akili na maadili utavaaje km hawa?
Sasa apo uhuni Uko wapi
Au kuongea kwake ndio uhuni
We ndo ungekua mfano ku ignore, kila mtu na interest zake!
😊😊 ATWN kizazi sana nakubali wadudu
Aisee bange ni mbaya sana afu serikali kimya tu watoto kiharibika hivyo
Kweli makonda mama kukupa Kazi
😂😂😂😂sawa bana chuga by home moja na mbili
Waandish ndio mnawapa cfa hao vjana...saaana walibu Sana bangi tup!!
Du Wadudu noma sana.
Cha kushangaza Yesu alikufa kwaajili Yao na hapo ndio ninapouheshimu msalaba
Bange sio!!!
AFADHALI WADUDU KULIKO WASANII WAVAA HELENI WANAUME NA MASHOGA ,WANAOA NA KUZALILISHA WANAWAKE KILA LEO KWA KUWAFANYISHA BIASHARA ZA MIILI YAO,SASA KAMA KAJALA NA PAULA WAKO SAHIHI BASI HAWA NI WA MUHIMU SANA
Arusha kuna vijana wa hovyo sana
Tanzania kuna vijana wa hovyo,siyo Arusha tu
@@mataypanga5262je bara hao wanakula majani na wanajelewa ya mashoga na wasagaji?
Hamna sanaa hapo ni njaa tu
Washaanza kujisogeza kwa makonda nafikili hawamjui watayatimba😂😂😂😅😅
Arusha siamin jamn sweet city ,
Kutrend mpaka mochwarii😂😂😂
😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
Wako sawa bwana
😂😂😂
Et wadudu ni watu walionyimwa elimu na kupotea mungu aturehem sna jamii hi ccm inawapa bendera kipnd cha kampen na sh 5000
Machoko tu hao hawana mpya
Natoa Ahad Hawa Watanyooka Tu Hawana Lolote Geni Kwa Paul Makonda Tena Natoa Angalizo Kwa Wala SKANKA na CHA ARUSHA weken Akiba Mzgo Unaenda Kuwa Adimu
😂😂😂
Mataaahira
Hii imeenda
Hawa hawatumii bangi. Wanatafuta na ndo maana wanajieleza kuwa tukiwa nyumbani tuko tofauti. Tunatakiwa tuwasapoti. Je wangekuwa vibaka
Wanawafundisha Nini jamii
@@PaulinaOtaigo-cr3sq nahisi wanafundisha. Maana kama wangekuwa wavuta bangi au vibaka wasingekaribishwa kwenye maharusi kufanya komedi zao
@@PaulinaOtaigo-cr3sq na hao mashoga na wasagaji wanafundisha nini jamii ? Hawa kosa lao ni lipi
@@mashipeter4819inaelekea hawa ndio wanasapoti mashoga na wasagaji, kama hajaona kazi ya hawa jamaaa
q sipendi ujinga, kama huu, hivi miaka mitano hadi kumi, watu wa hovywo kama hawa wadudu wakiachwa waendeleze huu ukichaa wao wataharibu vijana wengi wanaokuwa,wakomeshwe hawana chochote cha maana cha kufundisha wengi, bangi ugoro vimewatawala,hawa UCK ikikutana nao umeisha, wapelekwe urusi au palestina watokomee vitani kimya kimya
Kizazi og ni next level acheni ujinga
😂 kenyonyo ww ni firee
Jamaaa hio sendeu ime overload overlap jamaa,huo mjisedeu c kawaida, umezidi,
Yaaani Arusha kuna ujinga ujinga watu wanaangalia sinema wanaletà mtaani, lazima serikali iondoee ujinga ujinga
Tatizo Arusha bangi imeota kila sehemu wanavuta Wanakunywa wanafanya mboga nimeishi huko landanai lemshuku Zaire Wana Apollo wanajihudumia Tu😲😲😲
Jamani hawa ni watu wajielewa mbona hamuongelei mashoga na wasagaji au ndio kwenda na wakati wao wako sawa?
Kwenye 1 na 2
Ofic rasimi. Kwani hapakuwahi kua na ofic ya mkuu wa mkoa!!? Ama ndy ukunguni wenyewe
Wangerushiwa mabomu ya machozi shenzi😂😂
Vijana wa Arusha mnafurahisha lakini mufanye kazi 😂
Kazi gani zaidi ya hiyo wakati walio viongozi wanapachikana wenyewe? Wasomi wapo kibao mivyeti inachakaa na kutafunwa na panya wao wana kz 1 mzee akistaafu anapachikwa mwanae akichafua atawekwa mjukuu hadi wakiona kizazi cha mstaafu kimekwisha wanaweka rafiki wa mstaafu. Acheni vijana wa wenyewe wajitafutie kwanjia hiyo
Aiseee mkuu inalazimika kuonana na hawa wadudu kama hujawaona basi hujafika AR 😂 utakuwa upo karatu
Makonda kazi unayo baba
Sijaona point yeyote kwenye Aya maojiano mmenimalizia bando langu
Ududu ndio ujanja waku hishi Chuga
Hapa hakuna Cha Sanaa wala Nini yaani Arusha imeharibika waizi wamejaa Kila Kona. Mhe makonda nyoosha hawa wapuuzi
Hawa jamaa unaweza kuwatumia kuondoa makundi ya wauzaji wa madawa ya kulevya make wa najua kila kona hawa
Na kweli wasemeni na hao wasanii wanaoimba uchi ilinao waache ukichaa na bangi..!!!
Chawa tu wamchongo bangi tu inawasumbua
Niambieni mkoa ambao mmeona kunguru akifugika kama siyo Chuga peke yakeee.
Kwani Kuna Nini Cha ajabu hapo Arusha mbona unajikweza WAKATI ni watu kama WENGINE TU! Acheni kuover rate
Kwani karatani c ipo A. R
Km niwasanii so mbaya kikubwa wasiwe wezi cz wao wanatafuta ridhiki km akina jot wanavyovaa mawigi na madela wap wamechagua hyo style yao 🎉
Mmzd uhalifu ngoja makonda aje awasaidie
Wanaitangaza Arusha😂😂
Wanawenge
Wadudu
Nimekuelewa mkali nimekuelewa
'Wadudu' ni creative street artists, vivutio vya watalii wa nje na ndani. Hawa vijana wanahitaji promotion sio elimination.
Wadudu lakin wanafanya kz au kukaba watu mtaani wakati wa usiku duuh
Awo so wauni awo buludani tuh
Arusha ni nchi inayojitegemea nyie Aya ndugu yetu mjomba kaz kwako
Wametrend kila mahali, mpaka mochwari😂😂😂
Mimi nachoo ona tupambane uhalifu maana wapo walarushwa wamevaamasuti , Tusipeleke usukumah uparenih😂😂😂
Hao vijana, mie naona kama wanachafua mazingila ya mji wa Arusha tu,😏🇹🇿🇿🇦