JAMAA AKATWA MASIKIO YAKE MAWILI BAADA YAKUKUTWA NA MKE WA MTU KICHAKANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Ibrahim Fadhili ni mkazi wa kata ya Magugu mkoani Manyara amekatwa masikio yake mawili pamoja na kuumizwa kwenye macho baada yakukutwa na mume wa binti aliyekuwa naye kwenye kichaka majira ya usiku akidai kuzungumza naye ili aweze kumsaidia kupata chuo

ความคิดเห็น • 2.4K

  • @williamgeorge150
    @williamgeorge150 3 ปีที่แล้ว +21

    tulio oa tujuane hapa, yaan me napambana kwaajili ya familia yangu afu mjinga mmoja unaleta fyokofyoko iseeh sikuachi salama,maelezo yako yanaonesha wew ni mchepuko mmoja nyambafuuuu

  • @saumuissa4429
    @saumuissa4429 3 ปีที่แล้ว +17

    Wanawake tuna mitihani mikubwa sana ww upo nyumbani umechoka na ujauzito mume anahangaika na vimada, mungu tusimamie wanawake wote

  • @nebatymwashiuya7588
    @nebatymwashiuya7588 3 ปีที่แล้ว +14

    Kujificha kichani na mkeee wa mtu hongera kijana kwa kazi nzuri ili wakome kwa wake za watu

    • @AsteriaValerian
      @AsteriaValerian 5 หลายเดือนก่อน

      Kwa kweli hata mm nimefurahi angekukata na shingo kabisa mnatutesa sana

    • @IsayaMusa-p6p
      @IsayaMusa-p6p 19 วันที่ผ่านมา

      Ubinadam Kaz uKome br

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 3 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana Kaka,Mungu atakuponya na ubarikiwe kwa kutoa msaada maana Mungu anakuona sirini mwako ila ushauri tu siku nyingine ukitoa msaada kwa mtu msijifiche vichakani na pia umshirkishe mkeo

    • @huseinikaji8208
      @huseinikaji8208 3 ปีที่แล้ว

      Mwenye kujiingizia kwenye shakabasi amejiingiza kwenye haramu wewe msaada kwende minyaa tena wa masomo afadhali angekuwa mgonjwa au mtu aliyepata ajali hata ningekuwa mimi nisingekubali

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 3 ปีที่แล้ว +5

    Subuhanallah uwiii,,,,,,,,,, mke wa mtu sumu haijalishi ni hawara ya mtu au mke halali lazima uheshimu
    Ona kilichokukuta sasa uzinzi siyo mzuri
    Nani atamuamini km kweli hawakua wazinifu

  • @jamesraphaelmdima4729
    @jamesraphaelmdima4729 8 หลายเดือนก่อน +15

    Zinaa mbaya mcheni Mungu,kuishi bila uzinzi inawezekana!

  • @ramadhanisaidi5729
    @ramadhanisaidi5729 3 ปีที่แล้ว +70

    Kama umegundua kua huyo mwanamke kapangwa na ndugu wa mume gonga like

  • @livingstonesariah7765
    @livingstonesariah7765 3 ปีที่แล้ว +29

    Hilo ni fumanizi kama mafumanizi mengine...
    Kama unaungana na mawazo yangu nipe Like👇

    • @FaustinMarko-t6y
      @FaustinMarko-t6y 10 หลายเดือนก่อน

      Hyu jamaaa ni malaya umbwa wewe ungekufa tu kabisa tena amekuonea huruma

    • @FaustinMarko-t6y
      @FaustinMarko-t6y 10 หลายเดือนก่อน

      Yani wewe wewe wewe unastahili kufaa bila huruma angekutoa shingo pembeni na kuhakikishaa mboro imekatwa na kutopwa motoni

    • @Lucy-l2b
      @Lucy-l2b 5 หลายเดือนก่อน

      Jamani tulio olewa namlio owa tujifunzeni sana kwauyu jamaa

  • @ednanyangoro924
    @ednanyangoro924 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe mtoto Mwenyenzi Mungu anakuona wewe!!!!! Acha uongo!! Dhambi sana!!!

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 ปีที่แล้ว +3

    SHUKURU MUNGU HAKUKU UWA KWAUWEZO WA MUNGU KWA UWEZO WA MUNGU JE KWAUWEZO YA MUNGU MBONA ULIFANYA HAYO YOTE

  • @simonmisri6968
    @simonmisri6968 3 ปีที่แล้ว +15

    Kama umesikia kwenye minyaa na maziwa alibeba na alianza mahusiano baada ya ushauri kupeana like hapa

  • @josephdomi9393
    @josephdomi9393 3 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa kaamua kumrudia mungu wake baada ya kupata zawadi ya uzinzi maisha yanaenda kasi sana

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane5421 4 ปีที่แล้ว +50

    Wasomaa comment mko wapii jameniii 🙄😂😂😂😂😂

  • @emmatz5251
    @emmatz5251 3 ปีที่แล้ว

    Shukuru uyoo kakukata masikio, ingekuwa mm kifungo cha maisha kingenihusu

  • @muzyexperience
    @muzyexperience 4 ปีที่แล้ว +28

    Jamani kuweni makini na haya mamboo ilaa tumpee Pole sana huyu jamaaa 🙏🙏🙏🙏 gonga like twend sawaa 🙌🙌

  • @kamilusmgaya4806
    @kamilusmgaya4806 4 ปีที่แล้ว +93

    Miladayo salut kwenu hadi magugu ninyi ni zaidi ya tv zote

  • @sadamumpepo3650
    @sadamumpepo3650 3 ปีที่แล้ว +5

    Hahahahahaaaaaa,pole sana bro Mke wa mtu sumu usijisahau shukulu TU mungu umepona

    • @mrchakaboycosma7047
      @mrchakaboycosma7047 3 ปีที่แล้ว

      Dunia imeisha hawana uluma

    • @AbuuAyubu-q3l
      @AbuuAyubu-q3l 10 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna mke wa mtu hapo

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 10 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@AbuuAyubu-q3lhatakama ni mke wake atakata wanaume wenzie wangapi? Adili na mkewe

  • @GatekaFatma
    @GatekaFatma 11 หลายเดือนก่อน

    Pole sn kakaangu Allah akuponye wema umekuponza hujafa hujaumbika kwakwel

  • @HassanSadick-s4v
    @HassanSadick-s4v 9 หลายเดือนก่อน

    Pole mdogo wangu, inaonekana, huko kwenu Kuna ugonjwa wa kuhisi kama huku kwetu Kigogo Mapera Dar,

  • @andrewsteven5375
    @andrewsteven5375 3 ปีที่แล้ว +13

    Mke wa mtu asaidiwi kwa cho chote hatakama anakufa muache afe kwa usalama wako zaidi, sitakaa nikamsaidia mke wa mtu, Mungu anisaidie kwa hili.

    • @rahmadizer1744
      @rahmadizer1744 3 ปีที่แล้ว

      We nisaidie mm bhana

    • @AbuuAyubu-q3l
      @AbuuAyubu-q3l 10 หลายเดือนก่อน

      Hairuhusiwi kuwa falagha na mwanamke wa mtu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@AbuuAyubu-q3laliyataka mwenyewe

    • @paulabelleghe451
      @paulabelleghe451 10 หลายเดือนก่อน

      Hahaaaa kwahiyo hata kama nidadako anauliwa na mumewe utamwacha hahaaa

  • @OnesmoMaliatabu
    @OnesmoMaliatabu 6 หลายเดือนก่อน +2

    Majina ya kinaheppy ni Malaya sanaaaaaaa

  • @mimahmadau7442
    @mimahmadau7442 3 ปีที่แล้ว +14

    Pole Sana Kaka Angu Huyo hapnes kakuponza Na ukome kuchat na wake zawatu ona sasa masikio huna 😭😭

  • @NeemamvutaClaver
    @NeemamvutaClaver 3 หลายเดือนก่อน

    Polesana

  • @HabibaBb-d3s
    @HabibaBb-d3s 3 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu amfich mnafiki ndo maan ume kutwa mwenzako ana mimba ww una kwenda kufanya upumbav uwezi kwenda kukaa kichakani kujadiri masomo wakati ww fundi umeme fundi umeme na shure kwenda uyo mwana mke na ww wapi na wapi mwenye Kiranga apewi pole kwanza kwa nini akwambie ngoja akiondoka uyu bwana tuta Kutana ume yatak

  • @madamboss348
    @madamboss348 3 ปีที่แล้ว +13

    Baba mtoto wangu siku zako zinafika umezoea mabibi za watu. I wish ungekuwa wewe

    • @princesstunda7307
      @princesstunda7307 3 ปีที่แล้ว

      Usimuombee haya jaman muombee aache hayo mambo ya wake za wa2, ila pole dada.mana me bado sijaolewa na sijui uchungu wa hayo yote, ila hata mm mpenz wang akinicheat naumia😭😭😭😭

    • @nurukhalifa9413
      @nurukhalifa9413 3 ปีที่แล้ว +1

      Wanakeraaa mi pia nimewaza sijui kwanin hawakat sikio zake mana kila siku ni wake za watu tu anankera akatwe hata moja

    • @julianapaulo7298
      @julianapaulo7298 3 ปีที่แล้ว

      Daa pole madam boss

    • @omarymakota8252
      @omarymakota8252 3 ปีที่แล้ว

      @@princesstunda7307 saiv atasikia vizuri

    • @billocesamwel2637
      @billocesamwel2637 3 ปีที่แล้ว

      Madam nawe kuja kwangu

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 4 ปีที่แล้ว +155

    Kitupekee nacho kijua mke wa mtu siwezi kuchat naye na siwezi kumpa msaada wa siri pia kuonana naye usiku kichakani hiyo ni michepuko hakuna mipango

    • @maggieandrew995
      @maggieandrew995 4 ปีที่แล้ว +4

      Khahahahah

    • @maggieandrew995
      @maggieandrew995 4 ปีที่แล้ว +2

      Nimecheka kama mazuri

    • @Iragibarune1.
      @Iragibarune1. 4 ปีที่แล้ว +3

      Kwaiyo sisi wake zawatu hatufai au?? 😂😂 minimehelewa hapa walikosea kuuafanya yasiri
      Kama ange mshirikisha mmeo yasinge mkuta

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 4 ปีที่แล้ว +4

      Muongo huyu Happy muongooooo

    • @beera.g5302
      @beera.g5302 4 ปีที่แล้ว +2

      🤣🤣🤣🏃🏃🏃🤝

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 4 ปีที่แล้ว +15

    Huyo Mtu aliyemkata Masikio na Kumuumiza Usoni huyo Jamaa amefanya Makosa Makubwa sn Ni bora akamatwe "Sheria ichukue Mkondo wake" kwa Watu Wote wanaochukua Sheria Mkononi.... Kusema Ukwl huu ni Ukatili kbs daah! Pole sn Ndg 😢😢😢

    • @rugijofrey3685
      @rugijofrey3685 4 ปีที่แล้ว +3

      Ingekua mkeo usingesema hivyo

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 4 ปีที่แล้ว +4

      @@rugijofrey3685 tabia Haina dawa " atakata masikio wanaume wangap" mwanamke ndo malaya" ona Sasa kamkata masikio mwenzake huyo bint ndo ataliwa sana

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 4 ปีที่แล้ว +1

      Da Ila wanawake ss " kwel wema ajal inamana alimshindwa kupiga kelele"

    • @danmanga7749
      @danmanga7749 4 ปีที่แล้ว +1

      Ingekuwa wewe umemkuta na mke wako ungefanyaje

    • @juliussechu9537
      @juliussechu9537 4 ปีที่แล้ว +1

      Wee nyamaza maana hujui uchungu wa mke.

  • @SophieNasania
    @SophieNasania 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmh Poleeee ila mke w mtu huwez chat nae siri bila mumewe kujua hiii n kosa bro stop doing it again utatolewa uume 🤪

  • @JidolaSegeja
    @JidolaSegeja ปีที่แล้ว

    Pole Kaka mungu atakusaidia utapona maisha yataendelea

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 ปีที่แล้ว +10

    Mmmmmh kweli mke wa mtu sumu..duh..pole zake,si ni hayo maskio hayaskii eeeh?ngoja wayatoe..binadamu wabaya....Mungu amtie nguvu

    • @zakirazakira7469
      @zakirazakira7469 4 ปีที่แล้ว

      😃 😃 😃 Jamani

    • @rugijofrey3685
      @rugijofrey3685 4 ปีที่แล้ว

      Amtie nguvu ya nini ili aendelee kuiba wake za watu?

    • @salmaalbarwani2618
      @salmaalbarwani2618 4 ปีที่แล้ว

      Pole kaka heeeee si kumkata masikio

    • @salmaalbarwani2618
      @salmaalbarwani2618 4 ปีที่แล้ว

      Huyo binti alikuwa pamoja na mumewe loooh

    • @jamillahkheir6536
      @jamillahkheir6536 4 ปีที่แล้ว +1

      😃😃😃😃asitudanganye wanakulana hao

  • @maximilanangila8762
    @maximilanangila8762 4 ปีที่แล้ว +10

    Gospel in me,🎶🎺🎷🎤 kachimbe kisima chako mwenyewe unywe maji yako pekee yako...........

  • @drwebangila
    @drwebangila 4 ปีที่แล้ว +4

    Excellent story balancing. Jamaa alikuwa anachepuka na mke wa mtu

  • @Theressia-s8b
    @Theressia-s8b 3 หลายเดือนก่อน

    Pole mwaya mungu akusaidie

  • @paulmaro6708
    @paulmaro6708 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana kaka

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 4 ปีที่แล้ว +8

    😂😂😂😂😂 kanifurahisha huyu Dada kwa ukweli wake pole bro yataota mengine.

    • @janemsigwa7343
      @janemsigwa7343 4 ปีที่แล้ว

      Yataota Lin hayo masikio duuuu

    • @fredrickbuteye7153
      @fredrickbuteye7153 4 ปีที่แล้ว

      😆😆😆yataota mengine

    • @Angeltryphone
      @Angeltryphone 4 ปีที่แล้ว +1

      @salha.d chizi wewe😂😂😂

    • @mudykai4950
      @mudykai4950 4 ปีที่แล้ว +1

      Ahhhhhhh salha umeua duu yataota vp au aanze kumwagilia maji yachipue.🤣🤣🤣

    • @amosyohana5351
      @amosyohana5351 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @davidkumulaga9419
    @davidkumulaga9419 3 ปีที่แล้ว +3

    Mkuu..wew Ungemwita kwako ,,na ilo jambo ilitakiwa umshirikishe mkeo,,kwenye minnyaa,,afu mnaombana namba za simu za nin

  • @Conshamusic
    @Conshamusic 3 ปีที่แล้ว +9

    Dah!!! Wakina Happy bhana sio powa 😂🤣🤣😂

  • @mchisraelimbarikiwanassari7579
    @mchisraelimbarikiwanassari7579 3 ปีที่แล้ว +1

    Yesu anasema njooni kwangu nyote msumbukao na wenye kusumbuka na dhambi, math28:11

  • @rosedafa2019
    @rosedafa2019 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana unakuaje na mazingumzo na mke wa mtu kaka pembeni

  • @coolwaveac7659
    @coolwaveac7659 4 ปีที่แล้ว +5

    Dah!! Kweli hujafa ujaumbika pole sana Kaka Kwa kupata ulemavu Kwa sababu ya wema wako mda mwingine huruma inaponza

  • @emanuelmtenda6419
    @emanuelmtenda6419 3 ปีที่แล้ว +5

    Solution. Mwanamke Malaya ni kumwacha tu, utakata masikio wangapi, na wewe maisha yako yatakuwa nikutafutwa na police tu

  • @abdirazaaqhussein3318
    @abdirazaaqhussein3318 3 ปีที่แล้ว +3

    Funzo kwa wengine acheni kula mizigo ya watu sema kweli usiongopee umma

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 3 ปีที่แล้ว +1

      Allah amsaidie🤔

    • @andrewmsofe6667
      @andrewmsofe6667 3 ปีที่แล้ว

      Ifike mahali ujielewe akili hauna mbona unatudanganya wakati binti amefunguka kuwa unakula mzigo pumbavuuuuuuu

  • @migwa100
    @migwa100 9 หลายเดือนก่อน +1

    Vijana kaeni mbali na wake za watu mna penda mteremko sana mwana mke akiolewa nimke wamtu kaambali nae wapo W 0:06 ana wake wana tafuta mwanaume umejitia kilema kitu hupendi usifanyie mwezako

  • @vodaphone9825
    @vodaphone9825 3 ปีที่แล้ว +1

    Yaani Mimi natamani kuwa polisi kwa sababu nipo tayari kujitoa hata mwili wangu lakini lazima niwatete wananchi yaani mtu anafanya uhalifu kama huo alafu polisi wananyamaza duh kwa kweli mweshimiwa rais hawatungui bure rais wangu watumbue hao embu mliopewa mamlaka wasaidieni wananchi hiyo kazi mmepewa na mwenyenzi mungu

    • @FaustinMarko-t6y
      @FaustinMarko-t6y 10 หลายเดือนก่อน

      Ulikuwa unataka kusemaje nikielewe

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว +12

    Daaah 😥 Pole Sanaa broo ila ukweli nahisi huyo binti mlikuwa na mahusiano ya kimapenz nyny bhn,,Haiwezekan mtu aje akuvamie na kukutaka masikio 🙄

    • @jamalahmed7057
      @jamalahmed7057 4 ปีที่แล้ว +1

      Hata mm nahisi hivyo

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 4 ปีที่แล้ว +2

      Kwel mzee umefanyiwa ukatili Sanaa ilaa ndo ujue mkee wa mtu sumu mbwaa wew maana mkiambiwa hamsikii

    • @ferouzmasoud4741
      @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว +1

      @@jamalahmed7057 huo ndyo ukwel Kaka huyo jamaa alkuwa anamnyaduwa mke wa mtu

    • @ferouzmasoud4741
      @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว

      @@Teacher_01 mke wa mtu sumu kwel 😂😂😂

  • @cumaoyanga7208
    @cumaoyanga7208 3 ปีที่แล้ว +5

    Sijawahi kuona Mwanamke mpuuzi na mshenzi Kama wew,,kufupi wew ni muongo na nitapeli ila tambua kua mwisho wa ubaya ni aibu,,,leo umemsababishia mwenzako ukilema nawew siku yako inakuja mbwa wa kizanzibar wew,,ungekua karibu yang nishakutoa pua,,

  • @jamilakangezi4640
    @jamilakangezi4640 3 ปีที่แล้ว +11

    🤣🤣🙌🙌nimecheka kama mazuri,kaamua kukata masikio kwasbb hayasikii🤣🤣pole sana kaka yote maisha🙏

  • @nfnf9780
    @nfnf9780 3 ปีที่แล้ว

    Pole sana kaka yang iyo nimbinu yao wamepanga akishkwa sasa yy atolewe puwa

  • @fatumaluze7724
    @fatumaluze7724 3 ปีที่แล้ว

    Mmmh kilichopo nyuma yapazia Wana kijua wao jaman pole Sana kaka mshukuru MUNGU uzima upo

  • @nemesshayo9370
    @nemesshayo9370 3 ปีที่แล้ว +5

    Umekatwa sikio na bado unadai maziwaa hahahhaa brother haupo serious

    • @billocesamwel2637
      @billocesamwel2637 3 ปีที่แล้ว

      Hahahaahaaaa nimecheka wiki nzima

    • @happinessm1919
      @happinessm1919 3 ปีที่แล้ว

      Hahahahahahaha na simu akakumbuk kwamba kachukuliwa woiii

    • @paulabelleghe451
      @paulabelleghe451 10 หลายเดือนก่อน

      Wachaga Bana hajaa

  • @marcoisaack9811
    @marcoisaack9811 3 ปีที่แล้ว +7

    Jaman jamani nakumbuka nikiwa na miaka 9 yaan cjabalee niliona jamaa mmoja anapigwa kisa mke wa mtu nikasema nikiwa mkubwa ctaki mke wa mtu hadi kufa kwangu.wewe ni mwana kulifindi ni mwanakuligeti

    • @mjelwajackson2346
      @mjelwajackson2346 3 ปีที่แล้ว

      Hata mimi boy nilishawai kuona mtu anapigwa kisa fumaniz ,nakumbuka nilimwambia mama sitokuja kutembea na mke wa mtu

    • @zainabuathumani2703
      @zainabuathumani2703 3 ปีที่แล้ว

      Pola

    • @rosetembe3785
      @rosetembe3785 3 ปีที่แล้ว

      Acha kabisa mwana

    • @AbuuAyubu-q3l
      @AbuuAyubu-q3l 10 หลายเดือนก่อน

      Kwa maelezo ya mwanamke hakusema huyo ni mumewe bali ni baba watoto msiseme mume huyo ni mzinifu tu

    • @AbuuAyubu-q3l
      @AbuuAyubu-q3l 10 หลายเดือนก่อน

      Wote wawili ni wazinifu watupu hakuna mume hapo vip mnasema mume kwenye ndoa mlikuwepo?

  • @ommietrendz7175
    @ommietrendz7175 4 ปีที่แล้ว +9

    Mdada kasema walikuwa na mahusiano ya miezi 2
    Basi wamkate masikio tu
    MKE WA MTU SUMU 🙏🏼

    • @WaridawaridaWarida
      @WaridawaridaWarida 4 ปีที่แล้ว +2

      Mdada atawekewa biti aseme lile mumewe anataka

    • @tugabiz4286
      @tugabiz4286 3 ปีที่แล้ว +2

      Labda ameamua kusema hivyo ili kumuokoa mume wake. Maana huo ushakua msala maelezo kupindishwa ni kitu cha kawaida kabisa kwenye kesi kama hizi.

    • @antiochiandyetabula960
      @antiochiandyetabula960 3 ปีที่แล้ว +1

      Walikatilie mbali wanaume nisiyo kabisa

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 3 ปีที่แล้ว +3

      Huyu dada nae mshenzi Sana. Unamsaliti mumeo kwa ajili ya msaada???? Na kmaa kweli mumeo alikuahidi atakusomesha so ungevumilia. Inaonekana hata angekupeleka chuo bado ungeendelea kudanganywa na wengine wenye kipato zaidi ya mumeo kwa kisingizio unahitaji msaada??? Amaa kweli duniani Kuna mambo

    • @estherimbotsi7553
      @estherimbotsi7553 3 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂

  • @husseindatto8359
    @husseindatto8359 3 ปีที่แล้ว

    Pole brother msaada tunaufanya ila watu hawatujali pole sana

  • @marybaranga7218
    @marybaranga7218 3 ปีที่แล้ว

    Pole sana brother wake za watu wacheni kulemesha watu name hata haujampea bala hii

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 3 ปีที่แล้ว +37

    Kwa namna yyte ile,mhusika ANATAKIWA AKAMATWE haijalishi walikua wana UHUSIANO or not

  • @oyay2821
    @oyay2821 3 ปีที่แล้ว +4

    Safari nyengine akirudia atakatwa makende. Mkataji nampa kongole amefanya vizuri sana. Congrats d

    • @neemageoffrey3586
      @neemageoffrey3586 3 ปีที่แล้ว

      Sio vizuri, sasa atawakata wangapi? Mwenye kosa ni mke kwa nini akubali wakati yeye anajua yeye ni make wa mtu jamani??

  • @margrethmateru4812
    @margrethmateru4812 3 ปีที่แล้ว +30

    Kaka mhuniii huyuuu etiii tutafute mda mpanaa!!! Woiiiii🤣🤣🤣wachaaa wamcharangee..

  • @JamilaManji
    @JamilaManji 4 หลายเดือนก่อน +1

    😮pole sana kaka yangu ♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡

  • @fostinnatasha1873
    @fostinnatasha1873 3 ปีที่แล้ว

    Pole kaka Mungu atakuponya usijali

  • @sagayefamily5149
    @sagayefamily5149 3 ปีที่แล้ว +19

    dada ni msema kweri,, ila ni mzinzi Sana..... Huyo kijana ni bonge la muongo.. Na kavuna alichopanda

    • @rosetembe3785
      @rosetembe3785 3 ปีที่แล้ว

      Kuwa na huruma hata kidogo basi🤣🤣🤣🤣🤣

    • @jonacnkuni6353
      @jonacnkuni6353 3 ปีที่แล้ว

      @@rosetembe3785 huruma gani?

    • @suzanamkate4676
      @suzanamkate4676 3 ปีที่แล้ว

      Mke wa mtu sumuuu

  • @eliyazacharia7660
    @eliyazacharia7660 4 ปีที่แล้ว +9

    kosa lako wew ni kusimama na yeye kichochoron ata mim nikiwakuta sikuelew kabsa, msaada gan mpaka mjifiche bana sema mnajuana tu

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 3 ปีที่แล้ว

      Umeona eee

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 3 ปีที่แล้ว

      Umeona eee

    • @ndambajuma7077
      @ndambajuma7077 3 ปีที่แล้ว

      Ww dada sio mstalabu kama alikuaidi inshu yachuo ulivyoona aeleweki ungeachana nae lakin umedeti nae miez miwili ukanogewa mpaka kumsaliti mme wako ww nimshez tu kama washez wengine jieshimu bas kwenye minyaa kweli je ? Ungeumwa namadudu ungesema nn mungu amekuzalilisha uache ushez wako

  • @faithmlayda5306
    @faithmlayda5306 3 ปีที่แล้ว +3

    Dah! Pole Bro haya ndo maisha but no way

  • @HoseaRsm
    @HoseaRsm หลายเดือนก่อน

    Mmm pole sana lakini uwache umalaya kakupa dawa yakuacha umaraya maana angekutia mikofi uxjge acha

  • @cuhgds4320
    @cuhgds4320 3 ปีที่แล้ว

    Poleni sana, i understand .

  • @estermbise1450
    @estermbise1450 4 ปีที่แล้ว +10

    duh aliekatwa masikio pamoja na huyo demu (sukuma ndani washenzi kbx)

  • @omaryjuma8002
    @omaryjuma8002 4 ปีที่แล้ว +50

    Jamaa anazungmza kama mapenda mungu😂 ila muache tamaa na mademu za watu

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 ปีที่แล้ว +1

      huyo mdada kapanga inshu jike lenyewe sijaona hata uzuri wke hata alomkta c mme kazaa nae 2

    • @sweetbertrwiza5982
      @sweetbertrwiza5982 3 ปีที่แล้ว +1

      @@heyumi2340 Uyu jamaa fundi inaonyesha anakula wake za watu sana kwa hiyo kakomeshwa

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 ปีที่แล้ว +3

      @@sweetbertrwiza5982 maelezo umesikiliza vizuri hapo hakuna mke wa mtu huyo jambazi habar zake umezisikia c mke huyo wacha kusema mke wa mtu

    • @rosetembe3785
      @rosetembe3785 3 ปีที่แล้ว +2

      Waambie hao,watu wanagharamia etii

    • @gidioniezekieli9896
      @gidioniezekieli9896 3 ปีที่แล้ว

      Mmmmmmh jmnn

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 3 ปีที่แล้ว +8

    HUYO DADA ALIPOOONA HUYO JAMAA ANAUWAWA AKAKIMBIA WHY? HAKUPIGA KELELE KUOMBA MSAADA???.?

    • @RonnieBertin
      @RonnieBertin 2 หลายเดือนก่อน

      Never wanawake ni kama time bom

  • @anethndosi1515
    @anethndosi1515 3 ปีที่แล้ว +1

    Duh mwenye kujua ukweli ni Mungu ila damu ya MTU haipotei bure...

  • @patriciachebet6826
    @patriciachebet6826 3 ปีที่แล้ว +1

    Quick recovery bro,,bt funzo kwa wengine 😂😂😂

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 3 ปีที่แล้ว +4

    Dada km unasema uwongo ipo cku utauliwa na wew au ukatwe kisimi chako

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 4 ปีที่แล้ว +4

    Hayo mambo ya vichakani na mke wa mtu sio powa kabisa bro. Eti tumekutwa heheheheehe

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 4 ปีที่แล้ว +46

    Kama ulikuwa unaushauri mzuri,kwanini usingemuita aje nyumbani kwako mbele ya makeo?ila pole,sumu mke ya mutu

  • @zirokamanda503
    @zirokamanda503 3 ปีที่แล้ว

    Pole sana kaka mungu atakuponya.
    Ila uwe mkweli tu maana mimi ninaamini ukiwa mkweli mungu atakupigania.
    Pia jeshi la polisi tunaomba mumpe huyo kaka msaada na mumfunze adabu huto kijana hafai kwenye jamii.

  • @saviokide9127
    @saviokide9127 3 ปีที่แล้ว

    Du! Pole sana mungu ni mwema

  • @shabanfitnesstv3977
    @shabanfitnesstv3977 3 ปีที่แล้ว +19

    Pole kaka Ila statement ako ndg, sio, yaan kwenye minyaa, tena usiku giza na mke wa mtu? Kwanini sio mchana kweupe, ata kama mambo ya shule

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 3 ปีที่แล้ว +2

      Hat kam ni usiku basi ingekua sehem ya uwazi ingepunguza makali

    • @shabanfitnesstv3977
      @shabanfitnesstv3977 3 ปีที่แล้ว +1

      @@neemamayco3238 ndiyo, maana giza halafu kwenye minyaa, halafu ukimsikiliza huyo dada anadai wanamahusiano, maana izo za kukutana jion magengeni kigiza giza ziko sana. Izo ndo zinanifanya niwe single, maana akuna demu ako peke ake

    • @josephkomba64
      @josephkomba64 3 ปีที่แล้ว

      Angekutana nae kwa Mme wke xaxa

  • @veronicasanga2126
    @veronicasanga2126 3 ปีที่แล้ว +10

    Kumbe na ww mwanamke huna akili! Kama ulikuwa humtaki ilikuwaje uendelee kupanga mikakati ya kutana! Huna haya walla hujui vibaya

    • @bakarihamdouny1956
      @bakarihamdouny1956 3 ปีที่แล้ว

      kweli kabisa
      mtu kama humwitaji usimvute uwe nae kalibu, alafu hao wote wanaonekana waongo washafanya yao sana tu....

  • @mtitagirloriginal6890
    @mtitagirloriginal6890 4 ปีที่แล้ว +5

    Mapenz yanauma Sana Ila na nyie wanaume tafuten pesa mtunze wake zenu khaa mnakaa na mke mpak anataman msàada na mtu mwingin

    • @justcenturion1275
      @justcenturion1275 3 ปีที่แล้ว

      Shame on you. Did she marry coz of money. That's prostitution.

  • @EsterbernardoVumo-kn2xv
    @EsterbernardoVumo-kn2xv ปีที่แล้ว

    Mungu Akusidie Kaka Jifunze Kutosaidia Wake ZaWatu.NaHuyo Happnes Alifanya Vibaya Kwa Nini Hakupiga Kelele.

  • @paulnjovu8582
    @paulnjovu8582 3 ปีที่แล้ว

    Pole kaka mungu akuponyekwakwel

  • @DARNEWZTV
    @DARNEWZTV 3 ปีที่แล้ว +13

    Ninachojiuliza mimi ni kwamba anavaaje barakoa bila maskio? 😃😆

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 4 ปีที่แล้ว +88

    Kulingana n maelezo y huyu kàka mm kama mdada hy mschana hii nijama walipànga kwanini akimbie bila kuita msaada

    • @ridhiwanikhalifa9036
      @ridhiwanikhalifa9036 4 ปีที่แล้ว +10

      Nafikiri huyo dada ndio alipanga mchongo mzima

    • @salmaalbarwani2618
      @salmaalbarwani2618 4 ปีที่แล้ว +6

      Remi omar YES UR ARE RIGHT NIMEWAZA HAYO HAYO KWA NINI ALIMWITA QSOGEE PEMBENI ZAIDI

    • @salmaalbarwani2618
      @salmaalbarwani2618 4 ปีที่แล้ว +5

      SUBHANA Allah tusiwe hivi peleleza mke wako mume mkate miguu mkeo

    • @remiomar7154
      @remiomar7154 4 ปีที่แล้ว +9

      @@salmaalbarwani2618 hvyo alivyojielza tuu utajuwa kunakitu kimejificha Kwa hy dada

    • @happyjohn7630
      @happyjohn7630 4 ปีที่แล้ว +3

      Yes

  • @sumeiyatatumohammed2608
    @sumeiyatatumohammed2608 3 ปีที่แล้ว +4

    Ulikuwa ni mtego huo 🇰🇪🇰🇪

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 10 หลายเดือนก่อน

    Angekuwa mwanamke ndio akafanyiwa hivi pole zingekuwa nyingi mara ooooh unyanyasaji umezidi serikali iko wapi, ila kwa sababu ni mwanaume tunaona anastahili eti, pole sana kaka nina kaka kama wewe sidhani kama ingemtokea kaka yangu ningefurahi pole sana, jamii ya tanzania tumejiwekea kuwa mwanaume huwa hapitii magumu wala uonevu wala manyanyaso kumbe si kweli, mungu akusaidie upone haraka

  • @edenihighness8691
    @edenihighness8691 3 ปีที่แล้ว +3

    Broo Happy kafunguka ukweli😂😂😂😂

  • @daudiminde8496
    @daudiminde8496 4 ปีที่แล้ว +4

    Mbona mmemuachia pua mngekata na hiyo pua kabisa mamae 😂😂😂

  • @sethkavenuke123
    @sethkavenuke123 4 ปีที่แล้ว +28

    Huyu kweli kafumaniwa kweli,wangeenda kuongelea kwake na mkewe akiwepo, why vichaka?

    • @maderden7076
      @maderden7076 4 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/G90XMSRFaGM/w-d-xo.html

    • @agneskapwani3484
      @agneskapwani3484 3 ปีที่แล้ว

      Kwann asimshirikishe mkewe

    • @venencemgani6099
      @venencemgani6099 3 ปีที่แล้ว

      Mmmmm jamani nani aujuaye moyo wa mtu

    • @nasrahassanabioll6559
      @nasrahassanabioll6559 3 ปีที่แล้ว

      Kafumaniwa huyo tena mshenzi sana mkewe ana mimba kamuacha nyumbani kaenda kucheat na mke wa mwenzie

  • @NdayikezaMarc
    @NdayikezaMarc 22 วันที่ผ่านมา

    Pole sana mzee

  • @emmanicko1535
    @emmanicko1535 5 หลายเดือนก่อน +1

    KAMA NA WEWE ULIFAULU KUMTAFUNA MKE WAKE SIO MBAYA

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 4 ปีที่แล้ว +4

    Mwamba utasema kavaa headphone aisee pole sana ila mke wa mtu sio hata kama huna mahusiano nae ila mazoea nae acha

  • @joramkimario6174
    @joramkimario6174 4 ปีที่แล้ว +6

    Jamaa yupo vizur.mke wa mtu sumu ila alienda na maziwa kwa uhakika zaid

  • @erickothegreat8353
    @erickothegreat8353 3 ปีที่แล้ว +23

    Duuuuu kweli mitandao imeniweka juu yaani comment yangu nayo ina somwa na watu nchi nzima.

    • @luganojacob
      @luganojacob 3 ปีที่แล้ว

      Jinga wewe toto

    • @samwelkitiku7087
      @samwelkitiku7087 3 ปีที่แล้ว

      usijitukuze kwa kuwa yupo anayestahili kutukuzwa.

    • @sebabway9670
      @sebabway9670 3 ปีที่แล้ว

      😂😂

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 ปีที่แล้ว

      Comment yako itasomwa na wachache sana, yaani watu wasiozidi 100, wakti nchi nzima inakaribia million 60; watoto milion 15, wazee milion 10,
      Wenye smartphone million 10 tu ambapo kati ya hao subscribers wa Ayo TV ni milion 3.32 of which kati yao mpaka sasa kuna Views laki 220 kati yao comments ziko elfu 15 pekee na kati yao una likes 13 na comments 3 tuu...!
      Mpaka hapo ulishajua wangapi wamesoma..!
      Alafu bado wasema "Comment yako imesomwa nchi nzima"
      ....ahahahaaaaaa...!

    • @AshuraSalum
      @AshuraSalum 3 ปีที่แล้ว

      @@chiefmahucha6847 acha wivu,ayo ni maneno yake

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 10 หลายเดือนก่อน

    Pole sana jamani, Moyo wa mtu ni kichaka. Anayejua ukweli ni Mungu tu.

  • @godwingilman5841
    @godwingilman5841 3 ปีที่แล้ว

    Maelekezo gani unampa mke wa mtu sema ukweli acha kutumia jina la Mungu bure mimi kwa uelewa wangu mke aliambiwa akuseti

  • @villanjimmy7625
    @villanjimmy7625 4 ปีที่แล้ว +6

    Huyu msichana ndio chanzo cha yote,,cha msing akamatwe huyu msichana ili mume wake aje Kam anampend kwel huyo mke wake

  • @barakamalipula9010
    @barakamalipula9010 3 ปีที่แล้ว +8

    Mke wa mtu ni sumu😆😅🤣😂😃

  • @boburasa6799
    @boburasa6799 3 ปีที่แล้ว +11

    Ungefanikiwa kula mzigo akuna ambaye angejua umekula siku 39 atimaye 40 imefika pole mkuu

  • @kusemmanuel2211
    @kusemmanuel2211 11 หลายเดือนก่อน

    Sasa ivi nenda ukatubu na umrudie Mungu , na utaokoka ,pia ubatizwe katika jina la yesu kristo.

  • @sophiangena6104
    @sophiangena6104 3 ปีที่แล้ว +1

    Watanzaniaaaaaa mtaniua duuuuh when I think I've seen them all then boom.

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 4 ปีที่แล้ว +5

    Haki unabahat sana bro agekuua Jaman wivu nimbaya sana huleta hasara inasikitisha sana kwa kweli tuwe makini na wake za watu na waume za watu ni sumu 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @lwitmwamba1732
    @lwitmwamba1732 4 ปีที่แล้ว +16

    Naww mwenyewe nichanzo unafanyaje siri namke wamtu afu vichochoroni kua naakili utakufa

    • @msetikebwasi1469
      @msetikebwasi1469 4 ปีที่แล้ว

      Ni mshenzi kabisa ogopa sana kutombewa.

    • @beera.g5302
      @beera.g5302 4 ปีที่แล้ว

      @@msetikebwasi1469 😲🙄🏃🏃🏃🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤝

    • @msetikebwasi1469
      @msetikebwasi1469 4 ปีที่แล้ว

      @@beera.g5302 yani huwa ni zaidi ya machungu dada.