Aaaah kumbe wanakula ugali ila hawapati sasa wanakosaje mashamba wakati wanaishi porini ila bora msilime maana mkilima tu mwajanyang'anywa lakini tuiombe Serikali yetu iwafikirie hawa watu hii nikarne nyengine jamani daaah inauma sana
Serikali muache kuwafanya vibonzo kwa kigezo cha kuonesha watalii wafanyeni wastaarabike hii sio sawa kabisa nao ni binadamu kama sisi muwasaidie hao watu waishi kibinadamu ndo maana wazungu bado wanatuona waafrika kama nyani ni kwa mambo kama haya …
Serikali imewapa Hadi maeneo wamekataa ila wao ni alama ya culture unaelewa Hilo ko usicoment usichofaham.zimefanyika Hadi documentary kubwa duniani kuwahusu kifupi ni Moja ya alama muhimu ya utamaduni wa wa tanzania we must be proud of them the way they are.
@@allymasubi9404 Usenge mtupu hata mm ningekataa unampa eneo Hadzabe ajenge na pumbu na hana shughuli yeyote yakumuingizia kipato mbona ww hauendi kujiunga na hiyo Culture.
Huyo ndo mjanja wasichimbe kijiji Ila sasa ndo wasichimbe makaburi mtu akitoloka 😂 hadi uliwe na fisi jamani 😂nilitaka kuhamia Ila nimegaili. Serikal iwapatie majembe I can imagine hicho kipindi watalii wangekuwa wanakimbizana kila kona mtu katoloka kaachwa fisi wanajilia
Hawa jamaa wanaishi maisha ya kishenzi...wana Dhalilishwa sana...wanaonekana kama sio binadamu wa kawaida...mbona wanosoma wakipata elimu hawarudi tena kuishi polini kama wanapenda maisha haya?...hatuwaonei huruma watoto zao....tunawaona kama kivutio cha watalii...mbona kuo Hamuwaondoi 🎉kama walivyowaondoa wamasai kwa kisingizio cha kuishi polini...hawa wanaachwa ni wanyama gani wanaitwa?
Wanahitaji elimu ya dini kwa hiyo watalii wanakuja kutizama munavyo ishi kama wanyama na ndiyo nyie kunawafanya Waafrika wote waonekane hawana elimu wala akili ni sokwe nyie ndio chanzo.hebu serikali wapelekee mahitaji ya kibinaadamu nguo.ujenzi na vyakula
Serekala yatu tukufu tuwawasaidie a wa watanzania wenzetu serekali wejengeeni ata vibanda vya kuisha .mvue ikinjesha wanakimbilia kwenje mapango ya mawe? Serekala waoneeni uruma .
Sasa nyie sere kali zetu za Ki Africa mkoje nyie mnaogopa wanzungu? hizo ndo asili zetu za Ki Afrika kwa hiyo chenye mna takiwa kufanya muheshimu mila zetu. Wanzungu siokitu nirangi tu ata huku kwao wana hisha kwa magumu nibasi tu.from 🇨🇩🇸🇪
Jamaa kaongea vizuri sana kiswahili
Maisha haya niya hatari Sana...Bora serikali ingesimamia swala hili waweze kutoka uku maporini waishi. Kama watu wa kawaida ..hivi NI mateso ...
Mbona wa maasai waishio ngorongoro wametafutiwa makazi handeni wilaya ya msomera serekali wasaidiwe hao wenzetu
Baada ya miaka 15 mbele tutakutana na wadzabe wengi wakiongea kingeleza na tutegemee kukutana na vijana wasomi na walowezi
Nawaza tuu kama kuna siku watafurushwa kama wale wamasai
Subuhanallah.. Mtihani Allah awalinde maana hatadini. Hamjui hapo
Hivi wanajua hal ya nchi kwel 😂😂😂
hawajui ata rais ni nan!!
Duh kazi kweli kweli 🤔
Aaaah kumbe wanakula ugali ila hawapati sasa wanakosaje mashamba wakati wanaishi porini ila bora msilime maana mkilima tu mwajanyang'anywa lakini tuiombe Serikali yetu iwafikirie hawa watu hii nikarne nyengine jamani daaah inauma sana
Serikali muache kuwafanya vibonzo kwa kigezo cha kuonesha watalii wafanyeni wastaarabike hii sio sawa kabisa nao ni binadamu kama sisi muwasaidie hao watu waishi kibinadamu ndo maana wazungu bado wanatuona waafrika kama nyani ni kwa mambo kama haya …
Daah umeongea kwa uchungu sana ingekuwa hizi comments zinazingatiwa nadhani hii ingeangalia zaidi
Daah kweli aisee
Asili ni asiliii brooo ikifika stage watabadilika
Serikali imewapa Hadi maeneo wamekataa ila wao ni alama ya culture unaelewa Hilo ko usicoment usichofaham.zimefanyika Hadi documentary kubwa duniani kuwahusu kifupi ni Moja ya alama muhimu ya utamaduni wa wa tanzania we must be proud of them the way they are.
@@allymasubi9404 Usenge mtupu hata mm ningekataa unampa eneo Hadzabe ajenge na pumbu na hana shughuli yeyote yakumuingizia kipato mbona ww hauendi kujiunga na hiyo Culture.
Sasa je wakimuona mtu kabila tofaut hawamuuwi
Mtu mmoja arudie jina la dada tafadhari sijalipata vizurii😁😂🤣🤣🤣
😃😃😃😃😃😂😂😂
Shumu nokoonoko
@@zainabumbondei8635 😁😁😁😁😁😁
@@hamedahameed148 😁😁😁😁
@@zainabumbondei8635😂e
Huyo ndo mjanja wasichimbe kijiji Ila sasa ndo wasichimbe makaburi mtu akitoloka 😂 hadi uliwe na fisi jamani 😂nilitaka kuhamia Ila nimegaili. Serikal iwapatie majembe I can imagine hicho kipindi watalii wangekuwa wanakimbizana kila kona mtu katoloka kaachwa fisi wanajilia
Dah afadhali ata wanajua kiswahili mana kuna wengine ukiwakuta ukiongelesha kiswahili wanakushambulia
Daa ninomasana🤣💥💥💥💥
Maskini uwa nawapenda Sana awa watu uwa Kuna ata adithi zao tumekua tunaadithiwa.
Twiga je hamuwindi ?
BAKI MWEUSI UKICHEPUKA HUONEKANI!
th-cam.com/video/FRqEIylZ9Qg/w-d-xo.html
Vime niuma sana kuona serekali zetu kube wanzungu kwe watu wetu wakiasili sio vizuri jamani, Mme lipwa nini? na aho mapink?
Kwn mmekatazwa kuishi mjini 😣😣, bc msafishe meno
Haondowanalipa kodiii afuuu niajila
@@liberatusjackson5045 hayo meno au
😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂etii wasafi she meno dah
@@heyumi2340 ndy 😊😊
@@khadijahali4837 umenifurahisha
Serikali iwawezeshe waanze kulima hii sio poa
Kumbe kiswahili kipo kipo 😲
Jina la dadaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
masikini wezetu bd kabisa wanadumisha mila lakini serikali msiwafanye kama maonyesho
Hawa jamaa wanaishi maisha ya kishenzi...wana
Dhalilishwa sana...wanaonekana kama sio binadamu wa kawaida...mbona wanosoma wakipata elimu hawarudi tena kuishi polini kama wanapenda maisha haya?...hatuwaonei huruma watoto zao....tunawaona kama kivutio cha watalii...mbona kuo
Hamuwaondoi 🎉kama walivyowaondoa wamasai kwa kisingizio cha kuishi polini...hawa wanaachwa ni wanyama gani wanaitwa?
Elimu inahitajika..
Limeni mbona inawezekan
Wazungu kwao hawaonyesh barabara hata moja mbovu
Serikali iwasaidie wasiwafanye vituko kwa watalii.
Ndomana kanye alisema waafrica utumwa wali jitakia wenyewe
Wanahitaji elimu ya dini kwa hiyo watalii wanakuja kutizama munavyo ishi kama wanyama na ndiyo nyie kunawafanya Waafrika wote waonekane hawana elimu wala akili ni sokwe nyie ndio chanzo.hebu serikali wapelekee mahitaji ya kibinaadamu nguo.ujenzi na vyakula
Watu awa badowapo duuh nilikua zamazakaletu
Kumbe wanaongea kiswahili kizuri tuhh wanyama hawa😢
Ww mdudu
..lakn haw ni hadzbe wa kisasa...wanjua had kxwahil 😂
Kweli kabisa 😂😂 siyo hadzabe wa kienyeji
@@betyjoseph6812 balaa kwa kwelii 😂
@@betyjoseph6812 balaa kwa kwelii 😂
Serekala yatu tukufu tuwawasaidie a wa watanzania wenzetu serekali wejengeeni ata vibanda vya kuisha .mvue ikinjesha wanakimbilia kwenje mapango ya mawe?
Serekala waoneeni uruma .
Akunku kukuuu
wana abudu nini?
Wanaongea vizuri kiswahili kuliko Wachaga 😢
😏😏
😢😊i😊😊
😅😅😅😅😅
😂😂
Shumunekoono watoto 8 na bafo
Awaa jamaa sio binadam kwa kweriii
Una mawazo ya hovyoo sanaa!!Kiufupi wewe ni kijana wa hovyoo hapa Tz!!
Kwanini?
Hapo ni tumbili
@@reubenkissinga5802 waty gani wanakula wanyama ambao hawafai kuliwa hawa hawachekan na wazungu wachina waphilipono wanakula wadudu wote
Chimbuko lao ni ethiopia na zudan kuna kabila linaitwa nyangatom wapo ethiopia wakatili hatari
Sasa nyie sere kali zetu za Ki Africa mkoje nyie mnaogopa wanzungu? hizo ndo asili zetu za Ki Afrika kwa hiyo chenye mna takiwa kufanya muheshimu mila zetu. Wanzungu siokitu nirangi tu ata huku kwao wana hisha kwa magumu nibasi tu.from 🇨🇩🇸🇪
Sasa km hamna mlango munapigana vp miti ?
Usiku wa manane
Na wakigongana miti hao inaonekana kuna purukushani sio ya kawaida kama wanaua simba hiyo miguno
@@RobbyDejan1234 wewe Robby
@@RobbyDejan1234 wasema?????
😅😅
Awo watu wawe wanaenda shule
Wabadilike, wawe kama binadamu wengine. Ustaarabu ni jambo zuri
Safi sana hii ila tatizo kwa serikali yetu wameshafanya vibonzo vya kuwaonesha watalii .
Kwa nn msijenge polini miti mingi khaa🤔
HUYU JAMAA ANAONGEA KAMA WILLIAM RUTO RAIS WA KENYA
hivi hao watu bado wapo ??
Wamekufaa wote jana!!!
@@reubenkissinga5802 🤣🤣🤣
@@reubenkissinga5802 🤣🤣
😂😂😂😂
@@reubenkissinga5802 nyoko zako ww 😀😀😀