ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

LIVE: YANGA WANATOA TAMKO MUDA HUU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • ‪@millardayoTZA‬

ความคิดเห็น • 378

  • @allytwalib7787
    @allytwalib7787 หลายเดือนก่อน +77

    ambao tupo sambamba na hersi gonga like hapa........

    • @MichaelPascal-v7b
      @MichaelPascal-v7b หลายเดือนก่อน +1

      Pamojaaaaa

    • @MichaelPascal-v7b
      @MichaelPascal-v7b หลายเดือนก่อน +1

      Injinia niwetu haondok popote wajinga tuuu haowazee

    • @godsingu7921
      @godsingu7921 หลายเดือนก่อน +1

      Tupo pamoja na hers wote tusitaharuki hao wazee wamekurupuka kupuru.

    • @Francegidion
      @Francegidion หลายเดือนก่อน

      Atoketu manakama anatakakualibu timu hussen kuto inyny

  • @Leonard-jl8gt
    @Leonard-jl8gt หลายเดือนก่อน +21

    Mlevi ataanguka awezi kushinda wengi Yanga oyee

  • @GiftLeonard-u6z
    @GiftLeonard-u6z หลายเดือนก่อน +8

    Nina Imani kubwa sana na Baraza la Sheria ktk club ya yanga...Kwa uwezo wa mungu kesi itafika tamati na wanayanga tutaendelea kuifurahia club yetu pamoja na uongozi wake.....KILA LAKHERI KTK UTEKELEZAJI🤲🏽🤲🏽

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 หลายเดือนก่อน +21

    Kwa hii trending hapa ndo najionea ukubwa Yanga🤔🙌

  • @TamarieKiluwa
    @TamarieKiluwa หลายเดือนก่อน +13

    Mungu atuepushie husda zote..

  • @Fabrizomramba
    @Fabrizomramba หลายเดือนก่อน +20

    Hersi simama kidete

  • @happyvalence5352
    @happyvalence5352 หลายเดือนก่อน +1

    Wape taarifa wazee wote kuwa eng. Hersi ataiongoza YANGA daima.🎉❤

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 หลายเดือนก่อน +1

    Eng Hersi hapa inaonyesha jinsi gani Yanga ni kubwa na ni namna ambavyo tunaenda kunyakua kombe la Afrika

  • @dastanhaule9463
    @dastanhaule9463 หลายเดือนก่อน +9

    Msubiriee Tano (5) zingine.!

  • @user-jz6wr5ht2k
    @user-jz6wr5ht2k หลายเดือนก่อน +1

    Jaman jaman hv hawa wazeee wametoka wap na wanataka nn mungu awasimamie viongozi wetu na wasiteteleke kwa lolote mungu yu upande wao atasmama nao🙏

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 หลายเดือนก่อน +2

    Kwanza angalia tu makao makuu yalivyo badilishwa lakin bado hawa kenge wanaona sio sahihi kuongozwa badala yake wanataka waongoze wao alafu waturudishe kule tuliko toka yanga ya bakuli,sasa wakiwa kama wanachama wanaweza kuendesha team gani labda team ya usingiz ila sio ya mpira,waache ukuda TFF hili swala inabid ingilie kati kwakweli maana hii sio case ya jinai hii ni yampira inatakiwa kwenda kimpira mpira sasa wao walivyo wakuda wamesha suka mambo yao na wanataka kutuletea siasa kwenye mpira ,jaman huko tulisha toka kama kuna mzee mmoja wapo atapita kwenye hizi comment watuachie rais wetu na wao muda wao ulisha pita tupo kwenye usasa na mambo yanakwenda kisasa maana hata leo waachiwe team hawana uwezo wakuendesha club kwaiyo wakae pemben na wajitqmbue,ikiwa saivi wanapita kifua mbele kesho watajifungia vyumban mwao,huyu pimbi katumwa hana lolote kenge maji mkubwa

  • @RazackRajabu-s6x
    @RazackRajabu-s6x หลายเดือนก่อน +1

    Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💚💚........

  • @Chamandaayolaiza
    @Chamandaayolaiza หลายเดือนก่อน +2

    SEREKALI WAFATILIE MAENDELEO NASIO MMBO YAMIPIRA SSI TUNA NJAA WANA NJII

  • @EmmanuelMollel-l9y
    @EmmanuelMollel-l9y หลายเดือนก่อน +20

    Acheni habari wa kutaka vurugu wakati timu yetu inaendelea vizuri hao wanaolalamika wakaunde timu Yao wenyewe

  • @kulwaseloye
    @kulwaseloye หลายเดือนก่อน +2

    WASIOPENDA MAENDEREO YAKRABU YETU YANGA TUNAWAOMBA WATUSAMEHE PIA WATUWIERAZI TAFAZARI

  • @kanyinyimusa8766
    @kanyinyimusa8766 หลายเดือนก่อน +4

    Eng,Heris anzisha timu mpya waachie hawo wazee timu ya Yanga halafu tuone wanafika wapi Anzisha timu mpya inaitwa CSM FOOTBLE CLUB Chukua wachezaji wote waliosajiliwa halafu tuone hawao wazee nahiyo Yanga yao

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 หลายเดือนก่อน

      Fisi utamwachiaje bucha, hao hata chakula ya familia ni mashaka.. hao mahayawani waanzishe timu yao.

  • @ErickMgaya-g4r
    @ErickMgaya-g4r หลายเดือนก่อน +1

    Kwn miaka yote mliouwa wapi Leo yanga ipo kwenye mafanikio makubwa ya clb ya yanga Leomnaivuruga yanga hakika mungu anawaona manepoteza muda wenu tu kiufupi mnaharibu syclogy ya watu

  • @priscaraphael5703
    @priscaraphael5703 หลายเดือนก่อน +2

    Yanga bingwaaa hadi 2039

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 หลายเดือนก่อน +16

    Hiyo mizeee michawi na njaa

    • @MichaelPascal-v7b
      @MichaelPascal-v7b หลายเดือนก่อน

      Hawa wazee waorewetu

    • @Francegidion
      @Francegidion หลายเดือนก่อน

      kaka naww Sasa wakunraj

  • @RachideMussaNctheua
    @RachideMussaNctheua หลายเดือนก่อน +1

    Kuitwa mzee sio kuzaliwa zamani, bali uzee ni busara, magoma ni shushushu, muharibufu, mfunja amani kwenye timu.

  • @user-gf8xu7mr7v
    @user-gf8xu7mr7v หลายเดือนก่อน +1

    Daah kwan hao wazee walikua wamekufa ndo wamefufuka leo hii yanga iko vzr mbona awakujitokeza kipind cha ñyuma

  • @fedrickmakubi
    @fedrickmakubi หลายเดือนก่อน +2

    uyo mzee atakufa akiwa ananuka , anataka kutuvulugia club yetu

  • @Siwa-by2yk
    @Siwa-by2yk หลายเดือนก่อน +1

    Shid yahuyo mzehe imeanzia penye Jin mtu mwenyeakili timam ataitweje ngoma

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 หลายเดือนก่อน +1

    ENGINEER HERSI ALLY SAID KUWA. MAKINI NA HUYO ANAYE JIFANYA. NI RAFIKI YAKO UNAJIFANYA KUKAA NAYE MARA NYINGI KWWENYE MECHI KUBWA KUBWA ZA KITAIFA KAA MBAL NA. HILO JOKA YAAAN. SHETWAN NA IBIRISI NI HILO TU.

  • @hawajohn749
    @hawajohn749 หลายเดือนก่อน +2

    Sina hamu kwa kweli mungu anitie nguvu kwanza

  • @RamadhaniMtunya
    @RamadhaniMtunya หลายเดือนก่อน +4

    Hapo wazee walikua wanakula vijihela Sasa ulaji hapo njaa itawaua wote ni Simba hao wazee njaa tupu zama zao zimeisha yote hayo ni Simba damu

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 หลายเดือนก่อน +5

    Dunia hii hakuna taasisi inayo endeshwa na WAZEE

    • @AlexMbagata
      @AlexMbagata หลายเดือนก่อน

      Umeua mwamba

  • @simonmathias6474
    @simonmathias6474 หลายเดือนก่อน +2

    Hao wazee hela za kulipa mahakamani wanatowa wapi uchunguzi ufanyike haoo wauwaji wa YANGA

  • @twasinsound810
    @twasinsound810 หลายเดือนก่อน +3

    Wana simba msituingilie nyie niwapumbav tu

  • @AnordFrank-s3v
    @AnordFrank-s3v หลายเดือนก่อน +2

    M nahic wazee wametumwa kuja kuiteketeza club ila club iwe na migogoro kwa sababu hawaitakii meme club

  • @IddiHassani-s9j
    @IddiHassani-s9j หลายเดือนก่อน +4

    Wazee mnatka nn sas mnashdwa kumalza wazee wao vzr

  • @barakamuoka1455
    @barakamuoka1455 หลายเดือนก่อน +2

    Naona huyu mzee kuokota Makopo kumemfanya awe mwehu

  • @Amosmpaji
    @Amosmpaji หลายเดือนก่อน +7

    Kwan Hao wazee wananafasi gan kwenye timu yetu ya yanga? . Na Kama ni wanaamua kuzalilisha timu yetu kisa njaa zao. Inatakiwa tuwashitaki ili hata siku nyingine wasije kurudia ujinga wao.

  • @manotiomar2927
    @manotiomar2927 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo mzee njaa inamsumbua kamatumwa na jirani haache njaa zake

  • @TheresiaKauno
    @TheresiaKauno หลายเดือนก่อน +6

    Wazee hao wachaw

  • @leco_ltd
    @leco_ltd หลายเดือนก่อน +2

    Njaa mbaya sana wazeee huwenda kuna mgao wazee hao hawaupati umezibwa ....hapo kelele tu 😂😂😂😂🤣🤣🤣

  • @Ibrahimmjema15
    @Ibrahimmjema15 หลายเดือนก่อน +2

    ijinia yupo sana

  • @user-jq9go2db6y
    @user-jq9go2db6y หลายเดือนก่อน +9

    Wanaumia sana kwa kuwa tunae chama😅😅😅

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u หลายเดือนก่อน +2

    Hapo. Ni. Lazima. Uongozi. Wetu. Pendwa. Wa. Hersi. Na. Ghalib. Uwepo. Tuu

  • @BhutemiMapalala
    @BhutemiMapalala หลายเดือนก่อน +9

    Jamaan mnahangaika na wazee wapumbafu

  • @JacksonAsheri-vi8gh
    @JacksonAsheri-vi8gh หลายเดือนก่อน +1

    Raha sana ila wazee 😊😊😊😊

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 หลายเดือนก่อน +1

    Hili jambo limesukwa na wale waliokuwa wamezoea kutumia Yanga kama chanzo chao cha mapato na kwa sasa zimezibwa na vijana na wanahisi hawana nafasi tena ya madaraka Anachofanya huyu Mangoma ni kumwaga mboga ili wakose wote . Lengo lao sio kutetea katiba ya Yanga kwa maslahi ya Yanga bali ni kwa maslahi binafsi nje na ndani ya Yanga . Kuna kundi la wanayanga wachache wanaopta ushauri na maelekezo kutoka nje na ndani ya Yanga na hata wenye dhamana ya nchi kwa nia ya kuitikisa Yanga ili iharibikiwe katika mipango yake na wao wajipenyeze ili wapate fedha. Hakuna mwanayanga anayefiria ujinga huu kwamafanikio ya Yanga walivyo kwa muda huu. Hii ni hatari na baadhi ya wazee wa daresalam waache kuifanya Yanga kama kitega uchumi chao .

  • @LeilaMohammed-x5u
    @LeilaMohammed-x5u หลายเดือนก่อน

    Haaaaaaaaa❤yangaaaaa

  • @AbdulmarickLuhoma
    @AbdulmarickLuhoma หลายเดือนก่อน +4

    Injinia asitoke

  • @inspirationmessages8420
    @inspirationmessages8420 หลายเดือนก่อน +5

    Braaah
    Braaah
    Braaah
    😂😂😂😂😂

  • @user-dh4lq1jq3d
    @user-dh4lq1jq3d หลายเดือนก่อน +1

    Safisana Wazee Haovijana walafituu Yanga oyeeee

  • @imanimwandosya370
    @imanimwandosya370 หลายเดือนก่อน +1

    🙆🙆🙆🙆 MUNGU naomba unisikie maombi yangu, Naomba wote walio peleka kesi uko wafe yaani wakufe kabisa, ndani ya siku 7,.

    • @eliathomas8446
      @eliathomas8446 หลายเดือนก่อน

      Mungu ashughulike nao kiukweli

  • @jacksonmillengo1913
    @jacksonmillengo1913 หลายเดือนก่อน

    Dozi iongezwe ya Magoli mpaka hata Ali Kamwe nae wajikute wamejichanganya kuwa usajili wake hauna vibali vya uhamisho nadhani wenye D 2 wameelewa... Daima mbele nyuma Mwiko Sisi ndo Yanga

  • @ahmadbihaytv4460
    @ahmadbihaytv4460 หลายเดือนก่อน

    Njaa zina tutesa sanaaaaaa walio watumavwasubili 7.2 Tena

  • @user-gl4jl9yg5t
    @user-gl4jl9yg5t หลายเดือนก่อน +4

    Braaah brahaa hatutak kusikia kwan hawo wazee wana maan gan na wawo wanataka nin kam sio ujinga tu tangia mwanzo walikuwa wapi mpak leo hii ndo wafany hvo hawo wazee waache utoto bas

  • @AdamGeorge-i3m
    @AdamGeorge-i3m หลายเดือนก่อน +1

    Wanasheria hamfanyi kazi zenu kwa umakini wanasubr mpaka yawe makubwa ndo muanze kijitetea hamjui mnatugawa wakati ilikuwa ni swala la kumaliza wenyew mapema kabla hata ya hukumu mngekuwa na hoja hizi nan angetoa hukumu ya namna hiyo

  • @rofacoltanzania589
    @rofacoltanzania589 หลายเดือนก่อน +1

    Unaendaje tena mahakamani. Chukueni hiyo hukumu mkapate ufafanuzi TFF. Kwenye mpira Mahakama ya Kisutu haihusiki maana hiyo siyo kesi ya Jinai. Msipate presha ipotezeeni, waulize mahakama lini wamepewa mandate ya kusikiliza kesi za mpira?

  • @ezekielgwamaka9998
    @ezekielgwamaka9998 หลายเดือนก่อน

    Wazee wa hovyo na michawi ktk nchii hii ni tatizo kubwa,na mchawi hapenfi maendeleo timu inafanya vizur mizee inaibuka na kubabwaja nendeni mkalime huko mashambani

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u หลายเดือนก่อน +1

    Hapo. Ni. Wazee. Wanaotumiwa. Na. Simba. Tu. Timu. Imekuwa. Bora. Chini. Ya. Ininia. Na. Ghalib. Leo. Nani. Ataisaidia. Yanga

  • @gonnetheboss1708
    @gonnetheboss1708 หลายเดือนก่อน +8

    Unajua wazeee hao hawajielewi wakati tupo na bakuli walikaa mbali na club leo wameona mafanikio wanakuja kuongea pumba zao ni njaaa zao zinawasumbua tu amna kingine
    Itaku wametumwa na upande wa pili

    • @matikomnanka9154
      @matikomnanka9154 หลายเดือนก่อน

      Hao wazee wakaanzishe tim yao make walio iyanzisha tiyar walishaga farik toka 1935 had leo ni mzee gan aliopo hai

  • @abalqassim3218
    @abalqassim3218 หลายเดือนก่อน

    Mlakuku wa mweziwe miguu humwelekea

  • @ALBERTNyemba-uk3fr
    @ALBERTNyemba-uk3fr หลายเดือนก่อน +1

    Hao wazee tutakufa nao..wametumwa na wasiombe ili swala liishe,likiisha hao wazee tutawafyekelea mbali.

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek หลายเดือนก่อน +1

    Wananchi TUWE MAKINI,hizo ni fitna za maadui nia yao KUTUVURUGA,Yanga mshikamano daima,DAIMA MBELE NYUMA MWIKO,washindwe/waregee hao MAFISADI kwa Wananchi,Cc ndio Yanga imara

  • @AnordyJames
    @AnordyJames หลายเดือนก่อน +1

    Mizee yanyewe ukiangalia inanjaa hata ukipa mchezaji mmoja aiezi mlisha mikundu hii tu

  • @kayikumazoya322
    @kayikumazoya322 หลายเดือนก่อน +4

    Chama ndio kawaumiza hehehe 😅😅😅

    • @MichaelPascal-v7b
      @MichaelPascal-v7b หลายเดือนก่อน

      Na hapo Bado hajaonekana uwanjani chama atawakera zaidi yanga oyeeeeerrr😊😅😮😢😂😊😊😊😊

    • @SADICKITHOMAS
      @SADICKITHOMAS หลายเดือนก่อน

      Chama k mmoja tulikua na Samagoal

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yy หลายเดือนก่อน

    Yani nyinyi wazee hamnazo kweli hivi mnataka kuipelekawapi hio yanga yani hii nishidasana

  • @EliyaKudaga-u4q
    @EliyaKudaga-u4q หลายเดือนก่อน

    Mzee magoma analake analolihutaji,,, Mimi naona Ili tim yetu iendelee kuwa ya moto,,, tuwaheshim wazee,, Kwanza wazee wazamani wanauwezo wa kuimalisha Tim na kuipoteza Tim kabisa,

  • @EliabuJoseph
    @EliabuJoseph หลายเดือนก่อน +1

    Hani hao wazee miaka mitano hakuna chchte kinachofanyika,leo mnaitaka timu...pumbavu wewe mzee huna akili na hakuna kitu utaifanya Yanga kwa sababu sio ya kwako ..........na uachane na Yanga ufe zako ukapumzike.

  • @JosephJohn-f6m
    @JosephJohn-f6m หลายเดือนก่อน +1

    Ao wazee watamkumbuka Engineer tuu tunasubili.Yani timu inakaa unyama ndo wanajitoa wanakela sana ao wazee

    • @elineswai2933
      @elineswai2933 หลายเดือนก่อน

      Hao ni wapinzan ,wanatumika tu

  • @AthumaniNgonyani
    @AthumaniNgonyani หลายเดือนก่อน

    Huyoo magoma mshezi kama ana chaaseme tumchagie iri arenawajumkuuwake hiyoni chaa tu tukateekatika wanachama

  • @SalumuHokololo
    @SalumuHokololo หลายเดือนก่อน

    Aowazee kweli wanaipenda yang

  • @MamuNasri
    @MamuNasri หลายเดือนก่อน

    Habaki ijinia hers

  • @laulorry6296
    @laulorry6296 หลายเดือนก่อน

    Safi sana viongozi wetu mungu awatangulie

  • @HamisMatembo
    @HamisMatembo 27 วันที่ผ่านมา

    Tushilikiane kuipenda yanga

  • @AlexMbagata
    @AlexMbagata หลายเดือนก่อน

    Malengo yenye tamaa na chuki,husuda huwa hayafiki popote.

  • @salmamasokola6317
    @salmamasokola6317 หลายเดือนก่อน

    Huyo Magoma atakuwa katumwa, ashindwe na ALEGEE.

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 หลายเดือนก่อน +11

    Herssssss❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nantoamuli476
    @nantoamuli476 หลายเดือนก่อน

    Hao wametumwa kuharibu harakati za yanga za mafanikio mafanikio ni vita wavuliwe uana chama tusiwape nafasi

  • @FaustinEdward-dl4yz
    @FaustinEdward-dl4yz หลายเดือนก่อน

    Tokekeni yanga majizi wakubwa

  • @alfredkilawa478
    @alfredkilawa478 หลายเดือนก่อน +1

    Hersssss❤❤❤

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 หลายเดือนก่อน

    Rais wetu haendi kokote tunaimani nae yeye magoma ndioandoke yeye Nani kwanza mashabiki wengi hatumjui asitualibie timuyetu mjinga mmojahuyo

  • @user-oh1kd3ns7r
    @user-oh1kd3ns7r หลายเดือนก่อน +1

    hawa wazee wasenge yani hawataki maendeleo ya timu kweli hawa ndo wachawi wakizamani wanafaa kufinywa hawa mmbwa koko

  • @mathiasmahenge6047
    @mathiasmahenge6047 หลายเดือนก่อน

    Mwanashseria anajichanganya sana ati kesi ya mwaka 2013, ukanjanja unanukia. Yawezekana waliidharau kesi na kilichotokea kimewashock wa matopeni

  • @JohnPM-235
    @JohnPM-235 หลายเดือนก่อน

    WATANZANIA MMEZIDI KUA WADAKU NAWAPENDA KIKI INAWEZEKANAJE THOSE SO CALLED WANASHELIA KUOMBA MDA KWENYE MAHAKAM ILEILE ILIOTOA HUKUMU KWANINI WASINGEKATA LUFAA MAHAKAMA ZA JUU ILIHAKI ITENDEKE

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p หลายเดือนก่อน +1

    uyo mzee naona iziraeli uyooooo

  • @ibraramidu5253
    @ibraramidu5253 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi ni mbinu za moooo kutuzohofisha

    • @leahelias5578
      @leahelias5578 หลายเดือนก่อน

      Mo kaingiaje hapo malizeni mambo yenu kama wazee mmewadhuru kwann wasilalamike

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 หลายเดือนก่อน

    Ila bana wa2 cjui huw wanalala wanamka kuvuruga tu timu za wa2 wakaunde timu yao xaxa wawe wanacheza wenyewe ili wajiongoze na mandevu yao!!

  • @DavidGuvete
    @DavidGuvete หลายเดือนก่อน

    Hao wazee wametumwa waivuruge hiyo yanga

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 หลายเดือนก่อน

    Mzee magoma yupo sahihi gongera sana

  • @user-mv5kv5fh7g
    @user-mv5kv5fh7g หลายเดือนก่อน

    Wazee wasenge xn dawayao kupigwa Tu na kufukuzwa wasixhabikie yanga maana mafuxadi Tu kuma zamanazao pumbavu xn

  • @AnordJoseph-e2e
    @AnordJoseph-e2e หลายเดือนก่อน

    Hivi mambo gani tena haya shetani gani ametuingilia jamani haya mazee ningekuwa mie ningeyalipua inamaana leo ndo yamejuwa uongozi hauko sawa au kuna mkono wamtu Hapa kuhusu CHAMA simba wameweka mkono ili tuvulugane

    • @AlexMbagata
      @AlexMbagata หลายเดือนก่อน

      Vile Kuna watu wanaojua Sheria watashindwa na kulegea.

  • @MathayoMlaya
    @MathayoMlaya หลายเดือนก่อน +1

    Unae sema injinia atoke wewe kwanza siyo shabiki wa yanga.acha bangi ukalale kwa mamako

  • @AgustinoBuhha
    @AgustinoBuhha หลายเดือนก่อน

    Huyu mzeeeee si.afe tu hata leo mchawi mkubwa sana

  • @YohanaMichael-q4g
    @YohanaMichael-q4g หลายเดือนก่อน

    Ambao tuko live. Tujuane

  • @ramphordkimaro6644
    @ramphordkimaro6644 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli haowazee wametukosea sana wanayanga

  • @FlorenceLyaruu
    @FlorenceLyaruu หลายเดือนก่อน

    Wana yanga wapo na heris ila Simba wapo na wazeee

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 หลายเดือนก่อน

    hakuna wanasheria hapo kesi toka 2023

  • @harodphilipo8228
    @harodphilipo8228 หลายเดือนก่อน +9

    Hao wazee mikundu hatuwataki

    • @linnahcasmir5275
      @linnahcasmir5275 หลายเดือนก่อน +1

      Tena mikundu haswaaaa

    • @rachelsimon2876
      @rachelsimon2876 หลายเดือนก่อน +1

      Punguza hasira mimi pia yanga japo wanakera sana

  • @IdrisuMabuda
    @IdrisuMabuda หลายเดือนก่อน

    Mnawakosea heshima wazee nakuwatukana kosa lingine hilo hivi unaweza kumwambia babako ana njaa

    • @dollasmwanahoka8050
      @dollasmwanahoka8050 หลายเดือนก่อน

      Simba wewe fara chama tunae na trh 8 itafika mrete ha marojo yenu mriyoyaokoteza

  • @GodluckFednant-yy3tz
    @GodluckFednant-yy3tz หลายเดือนก่อน +3

    Ndo mpira huu bora mishabikie amapiano wazee washezi kabisa

  • @IsayaJohn-h1o
    @IsayaJohn-h1o หลายเดือนก่อน

    injinia bado tupo nae sana yanga wapizani mtapata tabu sana mda wetu uuu

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 หลายเดือนก่อน

    Mti wenyewe matunda lazima upigwe mawe rais wetu hersi nimti na unamatunda kibao lazima upigwe mawe usiogope rais wetu hersi hao nawapumbavu tu wasiopenda maendeleo ya timuyetu Ila kingine unapofanyakazi vizuri changamoto lazima

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 หลายเดือนก่อน +1

    Kesi hii imesikilizwa lini hata kuhukumu hukumu kama hivi.

  • @dastanhaule9463
    @dastanhaule9463 หลายเดือนก่อน +1

    Waondoke ili mfurahii ??! Tabu ipo pale pale . Tumewajua mbinu zenu

  • @JacksonAsheri-vi8gh
    @JacksonAsheri-vi8gh หลายเดือนก่อน +1

    Wanaho penda hersi ahondoke gonga like