MFANYABIASHARA ATAPELIWA MAMILIONI DUKANI KWAKE,JAMAA KAJA NA SLIP YA BENKI FEKI "SIKUJUA NIMEPIGWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 557

  • @frankkashner
    @frankkashner 4 หลายเดือนก่อน +11

    Mimi nimeameibiwa mzigo wangu ofisi ya kilimanjaro tarehe 25/04 Nilihangaika hivi hivi mzigo nikaja kuukamata Arusha mtuhumiwa anangania ni wake mpaka imefikia tumeenda mahakama ya mwanzo moshi,
    Lakini hana risiti hata moja wala hajui mzigo ulipopstikana leo ni siku ya 20 bhado ninahangaikia mzigo wangu naamini Mungu atasimama kwenye haki maana mtuhumiwa anajua sheria sana na anauziefu na Mahakama lakini mimi ndio hatua yangu ya kwanza kufika Mahakamani

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 5 หลายเดือนก่อน +35

    Hawa ndiyo polisi wa Tanzania.Mama Pole sana.

    • @PriscaMallya-eo9lw
      @PriscaMallya-eo9lw 5 หลายเดือนก่อน

      Asante inaumiza mnoo,, Mungu wa mbinguni atanitetea😭

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 5 หลายเดือนก่อน +15

    Pole mama wa nguvu.. mimi walitaka kunitapeli mazao.. gunia 105 za mahindi (mkenya na m-tz)..tena walikuja shambani wakati wa mavuno.. niliuliza salio kwa mtandao,sikuona pesa..walitaka kufanya fujo..lakini nilishawaita askari wa kituo baada ya kutoona pesa kwa a/c.. Nilikataa wasipakie hadi salio isome..

    • @mohamedzungufya5151
      @mohamedzungufya5151 5 หลายเดือนก่อน +1

      Na ndio inavotakiwa, ni mpaka pesa au muamala ureflect kwenye account yako ndo utoe Mzigo

    • @Deedah4
      @Deedah4 5 หลายเดือนก่อน

      Sio wewe tu kuna rafiki yangu yupo njombe anakitengo alikuwa anadhulumiwa mil24 Mungu alisaidia na alikamatwa huyo tapeli na hela akatoa

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 5 หลายเดือนก่อน +78

    Wewe mama ni mwamba kwelikweli. Hongera kwa kuwakamata hao matapeli.

    • @PriscaMallya-eo9lw
      @PriscaMallya-eo9lw 5 หลายเดือนก่อน +3

      Asante ndugu 🙏

    • @mariamuyusuph2196
      @mariamuyusuph2196 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@PriscaMallya-eo9lw😊😊😊😊😊

    • @user-cv7vm1mx9d
      @user-cv7vm1mx9d 4 หลายเดือนก่อน

      Anatapelije mchaga aisee lazima akamatwe

    • @neema-ee6qm
      @neema-ee6qm 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂​@@user-cv7vm1mx9d

  • @bobdutchbobdutch8443
    @bobdutchbobdutch8443 4 หลายเดือนก่อน +8

    Pole sana sister, next time usitoe mzigo mpaka umepata massage kwenye simu Yako

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 5 หลายเดือนก่อน +15

    Pole sana mama hata mishawahi kutapeliwa hivi Kwa bahati nzuri nilifanikiwa kumkamata mhusika na Hela ikarudi

    • @nehemiahbudi5753
      @nehemiahbudi5753 5 หลายเดือนก่อน +1

      Hao walionunua babati walinunua kihalari kutoka kwenye duka so kesi lazima iwe na mwisho wa mipaka. Watuhumiwa wamekwisha kamatwa kwa kosa la utapeli, kugushi lisiti na wengine kununua bidhaa bila ya kufuata utaratibu, kukwepa kulipa kodi ya manunuzi ila wa mwisho yupo kiharali hatakiwi kubugudhiwa kwani amenunua kiharali kutokea duka lenye usajiri na kupatiwa lisiti halali.

  • @latifahassan123
    @latifahassan123 5 หลายเดือนก่อน +11

    Pole sana dadaangu na hongera pia kwa kupambania haki yako mpaka hapo ulipofikia.. mwenyezi mungu atawapa stahiki yao

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 5 หลายเดือนก่อน +37

    Polisi babati serikali itazamwe hilo.
    Mwizi amekamatwa na kithibiti askari hawaangaiki.
    Mbaya sana tena sana

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 5 หลายเดือนก่อน +24

    Hongera sana Mama unastahili tuzo ya heshima

  • @sarahbuberwa7219
    @sarahbuberwa7219 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongereni sana polisi wa Singida kwa kazi nzuri

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 5 หลายเดือนก่อน +21

    Huyu mama apewe tuzo ni shujaa kapambana na uovu na kujulisha umma,alipwe gharama alizotumia.

    • @fatmaahmed8637
      @fatmaahmed8637 5 หลายเดือนก่อน

      KWELI KABISA hayo maneno.amefatilia mwenyewe safari zote.na bado Wanamzungusha sio wakumpa nguvu.kila kitu kiko wazi..

    • @JenniferJacob-hh3ij
      @JenniferJacob-hh3ij 4 หลายเดือนก่อน +1

      Pia anakuwa Hana zuluma ndo maan

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 5 หลายเดือนก่อน +26

    Jamani mtendeeni haki huyo mama. Ameteseka sana. Hapa jeshi la pilisi limeonyesha udhaifu mkubwa. Sijui Kuna kitu gani kinachoendelea.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hiyo michezo Polisi wa Babati wanaijua Ndo mana hawakutoa ushirikiano, Ni hatari kuwa Watumishi wanao sahau Viapo hasa likija suala la kulinda raia na Mali zao, hii inatisha Sasa piga picha kusingekuwa CCTV Camera?? Au TH-cam? Kwa Miaka Mingi Kuna kundi la Majambazi ndani ya Jeshi la POLISI Sasa hizi technology Ndo zinawaumbua

  • @apostle_AngazaGN
    @apostle_AngazaGN 5 หลายเดือนก่อน +8

    Pole sana mama, Mungu atakuwa hakimu wako na haki yako itapatikana

    • @PriscaMallya-eo9lw
      @PriscaMallya-eo9lw 5 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisa naiman Mungu atanitendea muujiza🙏

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 5 หลายเดือนก่อน +16

    Naongea kwa uchungu hata mimi yalinikuta Arusha gari langu limeibiwa nimelipata police twende tukalikamate tu lije kituoni sehemu salama nimezungushwa mpaka unasema police mnaintrest gani na hilo gari kulikamata kulileta police shida na upowafuatilia police twende kwenye tukio unazungumshwa yaani yakiwakuta watu yaliyonikuta na kama huyo ndo mtajua ninachokisema na huyo mama anachokisema

    • @bennylove6021
      @bennylove6021 5 หลายเดือนก่อน

      Hukuwapa ushirikiano😂

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli inasikitisha sana na hizi dhulma wanazokula hawajui wanawalisha familia zao dhulma baraka zipi za mungu wanazozitegemea wanakula vyakula wanajiona wajanja kabisa kwa fedha za dhulma inasikitisha sana wazazi wao waliwasomesha kwa shida ili waje wafanye dhulma kwa wengine aibu sana

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo 5 หลายเดือนก่อน +22

    Siku waongo na wezi wakiisha na waaminifu waka jaa kila mahali tangu siku hiyo kila mtu ataona dunia ni sehem nzuri ya kuishi

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 5 หลายเดือนก่อน

      Hiyo siku haipo... kuzidiana ujanja ndo raha ya maisha... huko wanakofundisha uaminifu wezi nao wamejaa

    • @stevenmdoga8414
      @stevenmdoga8414 5 หลายเดือนก่อน

      Acha anyooshwe maana huwa anadharau Sana dukani kwake😂😂😂😂😂

    • @Heal.your.soul92
      @Heal.your.soul92 5 หลายเดือนก่อน

      @@stevenmdoga8414acha roho mbaya ipo siku utakuja pata shida na wewe

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 4 หลายเดือนก่อน

      Haitatokea mpaka mwisho wa dunia

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@stevenmdoga8414kumbe

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 5 หลายเดือนก่อน +7

    Dah pole sana mpenzi ck nyingine biashara za kuweka fedha bank angalia salio kwanza kabla ya kutoa mzigo ndivyo wanavyo fanya kariakoo.

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisa yaani

    • @annabyekwaso-wt7oi
      @annabyekwaso-wt7oi 5 หลายเดือนก่อน

      Safi ni ushauri ht mm nimesema mbona simu utujulisha km mtu kaweka pesa au la!Nmb crdb nk zimesetiwa kisahii sana .

    • @Fx_expertmoneymaker001
      @Fx_expertmoneymaker001 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@annabyekwaso-wt7oikama ameunganisha na sim banking. Lakn pia muda mwngne mtu unachanganyikiwa. Mteja kaja anachukua mzigo mkubwa kwa mara moja yaan unawaza jinsi ya kumuhudumia haraka arizike aje tena, na hujauza mzigo kama huo mda mref kwa mkupuo, yaan unachanganyikiwa unaona kama zali. Kumbe ww ndo wamepata zali kwako. 😂

  • @hanifasupplies2109
    @hanifasupplies2109 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole dada,umepana na mungu akutangulie.
    Je police babati mna maanisha nini hasa,kubakia na kielelezo cha kesi ya singida.
    Swala hili haliitaji maelezo.Watanzania tuwe wazalendo,
    Je vipi kitendo hiki ungefanyiwa wewe ,
    Tafakarii.

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri3076 5 หลายเดือนก่อน +7

    Pole Sana Dada na Mungu wangu atakurudishia na mm pia lilishanikuta

    • @stevenmdoga8414
      @stevenmdoga8414 5 หลายเดือนก่อน

      Ila huyu mama huwa anadharau Sana dukani kwake basi tu 😂😂😂😂

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 5 หลายเดือนก่อน

      vm.tiktok.com/ZMMXhk3yN/

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 5 หลายเดือนก่อน

      vm.tiktok.com/ZMMXhk3yN/

  • @nadirmahfoudh1812
    @nadirmahfoudh1812 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dada umepambana vizuri sana. Nakuombea kwa Mola ufanikiwe ktk kesi yako. Karibu Zanzibar

  • @evancetilya167
    @evancetilya167 5 หลายเดือนก่อน +2

    😢Pole sana Mama, Mungu akupe nguvu katika kipindi hichi kigumu unachopitia na ninakuombea upate haki yako

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sn Mom! Mungu ni mwema.Hayo mambwa yachomwe moto bhana.

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 5 หลายเดือนก่อน +19

    Huyo mwenye duka iribidi achukuliwe hatua za kisheria kwa sababu kakutwa na mali zawizi inamaana duka lake lote nilawizi tuuu

  • @agathabaraka6077
    @agathabaraka6077 5 หลายเดือนก่อน

    Pole mama kwa mfanyabiashara kuibiwa na dhuluma ni jambo la kuumiza moyo na biashara. Pole Mungu asimamie haki yako.

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 5 หลายเดือนก่อน +3

    Pole sana dada ki2 ambacho nimejifunza tanzania tuwe makini tusipate matatizo coz ukiwa na tatizo tu .ujuwe wewe ndo unakwenda kupoteza pesa .kufatilia case mpk kumaliza qe ndo utaingia garama mpk uwache

  • @agneselia9000
    @agneselia9000 5 หลายเดือนก่อน +8

    Mama unamungu kweli na inaonyesha hujawahi kudhulumu mtu.

  • @KokoFimbo
    @KokoFimbo 5 หลายเดือนก่อน +21

    Babati apo si ndio kesi ya mbunge imefutwa vile?

    • @leticiachunga9118
      @leticiachunga9118 4 หลายเดือนก่อน

      Babati msumari wa bati 😂😂😂😂 Mungu ndio anaijua babati na mwenye kuikomboa ni Yeye Mungu tu. Wasameheni askari sio wamejitakia ila wameogopa msumari wa bati🤣🤣🤣🤣

    • @MariaIsaya-y2y
      @MariaIsaya-y2y 4 หลายเดือนก่อน

      Pole Sana dada angu

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 5 หลายเดือนก่อน +16

    Kwanza na dereva kanusurka wangemuua

  • @kennedyjohn8900
    @kennedyjohn8900 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera kwa polisi wachache wanaojuawa wajibu wao waendelee kumsaidia

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Dada..wanakana au kuwa wataratibu hawamslizi kazi kuwa wamewajua hao😅 HAKI YAKO ITATOKA KWA JINA LA ALLAH.na wao wanafanya hayo na wanaodjiriki Mungu atawahukumu

  • @yusuphchristopher3014
    @yusuphchristopher3014 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana mama polisi wetu wana udhaifu mkubwa kwenye ufuagiliaji wa kesi za raia hasa pale wanapoona kama hawana maslai watakayopata, mimi hadi leo nina RB ya polisi ya wizi wa shilling milioni moja na laki nane kwenye biashara yangu tangu 2023 mwezi December ila mpaka tunavoongea kila nikimtafuta askari wa upelelezi niliyekabidhiwa kufuatilia kesi yangu hana msaada wowote zaidi ya kutaka hela, nimeamua kuachana nayo maana niliona napoteza hela zaidi wakati tayari nilishapata hasara

    • @dominicklabu5728
      @dominicklabu5728 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe umeonyesha ushirikiano wowote au umemwachia tu mpelelezi

  • @bahariawalk
    @bahariawalk 4 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana Mama, alakini ukifikia lengo fulani ya kibiashara lazma ku ajiri accountant ambae anahusika na hesabu maana mfanya biashara mkubwa ukiwa busy kutapeliwa nivirahisi Sana. Isitoshe kufanya biashara na bank ambayo ina technologia ya mobile banking mambo yanakuwa rahisi Sana maana wakati ulitumiwa receipt kama wamesha weka hela Kabla ya kupakiza mzigo wewe mwenyewe ungetumia simu yako ama computer kwa ku cheki.

  • @ahmed-shakirmwamba4992
    @ahmed-shakirmwamba4992 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa nini mama hakucheki account yake online kama kumeingia hiyo pesa. Vilevile kawaida Bank lazima impe mteja wake notification kama kuna pesa imeingia kwenye account.

    • @tatuomari781
      @tatuomari781 3 หลายเดือนก่อน

      Yani umakini unatakiwa kwa kweli, pesa nyingi hivyo ni muhimu kuangalia salio lako kwanza kabla ya kutoa mzigo kwa mteja wako. Kasi ya utapeli imekuwa kubwa sana siku hizi. Matapeli wana mbinu za kila namna

  • @rukiasalim3376
    @rukiasalim3376 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi nimeibiwa maharage gunia kumi tumewakamata wezi wakakubali ni kweli wameiba wakawekwa ndani, mwisho wa siku watuhumiwa wote waliachiwa Kwa kutoa pesa Kwa askari mpelelezi wa hiyo kesi, na katika kuwakamata hakuhusika na hakutoa ushirikiano hata kidogo, mtuhumiwa mkuu alitamka yeye mwenyew kutoa laki Tano na ndo alikuwa mtu wa kwanza kuachiwa. Yule askari mungu amlipe sawasawa na matendo yake

    • @wailosvijevania1049
      @wailosvijevania1049 4 หลายเดือนก่อน

      Nchi yetu Askari wala Rushwa wanafanya maovu yahalalishwe na wanyonge waendelee kukiona cha moto

    • @beatricejohnkomba3076
      @beatricejohnkomba3076 4 หลายเดือนก่อน

      Mlaani mungu anajua kushungulika nao wanasahau Dunia tunapita

  • @benjaminwerema8758
    @benjaminwerema8758 5 หลายเดือนก่อน +8

    Hiyo michezo tumeizoea sana Huku Dar. Tunawakamata sana hao

  • @gibrilmongi5646
    @gibrilmongi5646 5 หลายเดือนก่อน +5

    MCHAGA SIO MTU WAKUCHEZEA , HELA ANAIJUA HASA, SUPERWOMAN

  • @mauajuma3762
    @mauajuma3762 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole Sana dada prisca
    MUNGU yupo pamoja nawe endelea kupambana haki opatikane
    Sadaka yako unatoa kanisani haitakuacha mali ipotee

    • @PriscaMallya-eo9lw
      @PriscaMallya-eo9lw 5 หลายเดือนก่อน

      ASANTE DADA MAUA NI MUNGU TUU ALINISIMAMIA MUMMY

  • @officialjclever9879
    @officialjclever9879 5 หลายเดือนก่อน +2

    hahahahaha huyo jamaa kaenda kujenga 😂😂😂😂bila hata kutumia nguvu na hawa ni wasomi waliokosa ajila😂😂

  • @2116-n
    @2116-n 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mama poleee Sana, POLISI POLISI POLISI ni laaaana

  • @FahiyeFarah6878
    @FahiyeFarah6878 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kwa Mama itakuwa Alikuwa amechoka sana siku hiyo lakini ndugu zangu risiti pekee ambayo inaweza ikawa halali ni risiti ya machine ya wakala tuu because pesa ikishawekwa unatumiwa message directly kwenye simu na bank Husika Example UTAONA KWENYE TEXT IMEINGIA MESSAGE MTUMAJI CRDB BANK
    ALLAH AWAJALIE WAFANYABIASHARA WASITAPELIWE AAMIN

  • @JacklineMnganya
    @JacklineMnganya 4 หลายเดือนก่อน

    Watu watafute pesa kwa njia halali tuepuke njia za mkato Kwan hujui Mungu alikomtoa mja wake na kuamua kumbariki. Hongera sana mama shujaa

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 5 หลายเดือนก่อน +12

    He bila kuangalia salio kwenye akaunti!!!! Mbona ulitapeliwa kijinga!!! Ila umefight mama kumpata mtuhumia wako!!! Ila huyo aliyekataa gari na mzigo kuchukuliwa Mungu anamuona!!!! Mama Mungu atakulipia!!!!

    • @bakaribakari6444
      @bakaribakari6444 5 หลายเดือนก่อน +1

      Hawa jamaa huwaga kama wana Kidawa hivi...usiombe ya kukute

    • @monicagerald6676
      @monicagerald6676 5 หลายเดือนก่อน

      Yaani benki wameturahisishia sana maisha, simbanking,internet banking,app za benki,ukiweka hela Tu ndani ya dakika kadhaa zinaonekana. Watanzania hatupendi technologia,hii inatucost sana.

    • @RBSMABATI
      @RBSMABATI 5 หลายเดือนก่อน

      Ni hivi, Hawa jamaa wanakuomba account namba wanaenda kuandaa malipo kwa njia ya cheque. Wanaenda kudeposit amount ya iliyopo kwenye cheque ikinaonekana kama imewekwa kwenye akaunti. Kumbuka cheque ni promise/ahadi kwamba utalipwa pesa flani. Kwahiyo kwa Mara ya kwanza Ile pesa utaiona benk lakin utaambiwa fulan ataweka pesa kwenye akaunt yako kiasi flan kama cheq. Hii nimeishuhudia Mara 2. Na Mara nyingi wanakuja jumamosi na wanakuwa na haraka wakati huo ww unataka kufunga duka ndo wanaingia. Hii hata ww inaweza kukukuta.😢

    • @fredricksabick-hi1fl
      @fredricksabick-hi1fl 5 หลายเดือนก่อน

      @@RBSMABATIkumbe kuna uwezekano wa hela kuonekana na baadae kutoweka😢

    • @vailethmbulule8339
      @vailethmbulule8339 5 หลายเดือนก่อน

      Malipo ya cheque yalitaka kunicost ila nilistuka mapema

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 5 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana mama. Kwani wewe hutumi simu banking uhakikishe kwenye account yako?!!

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa wizi huo kuna namna mifumo ya bank iliko akaunt ilihusika ama tapeli husika ana vifaa vya electronic anavitumia kutapeli mali.

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 5 หลายเดือนก่อน +8

    Dunia hii imejaa kila hatari. Pole sana mama. Pokeni hela taslimu. Dunia majaribu.

    • @stevenmdoga8414
      @stevenmdoga8414 5 หลายเดือนก่อน +1

      Acha anyooshwe maana huwa anadharau Sana dukani kwake huyu mama

  • @abbynimel-kindy5107
    @abbynimel-kindy5107 5 หลายเดือนก่อน +8

    Dah mtihani kwakweli bongo kweli njoosooo

  • @RenaElsworth
    @RenaElsworth 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana. Umoja pia umeleta mafanikio mazuri. Hongereni

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 5 หลายเดือนก่อน +3

    Pole dada japo umehangaika ila mwenyezi Mungu atazidi kusimama nawe ni haki yako na Mungu atatenda 🙏🏼🙏🏼

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey6503 5 หลายเดือนก่อน +37

    Kama hupati notification ungeangalia Salio dada😢

    • @SHAFIIMWEHEMBA
      @SHAFIIMWEHEMBA 5 หลายเดือนก่อน

      Kasema alishakwenda benki kutoa salio kakuta hamna

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 5 หลายเดือนก่อน +3

      Naona alikuwa busy akaamini muhuri na sahihi hajaangalia print

    • @ahz6907
      @ahz6907 5 หลายเดือนก่อน +3

      Hata notification wanaweza kutengeneza.kwahyo ni vizuri kuangalia salio 😂

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 5 หลายเดือนก่อน +3

      Notification inatengenezwa wewe.

    • @stevenmdoga8414
      @stevenmdoga8414 5 หลายเดือนก่อน +3

      Acha wamnyooshe maana huwa anadharau Sana dukani kwake huyu mama alinidhulumu mwaka Jana tu hapa mungu yupo asee😂😂😂😂

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana dada. Mimi nilitapeliwa police Arusha hakuna kitu walinisaidia lkn nahisi naenda kufufua RB sasa.

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 5 หลายเดือนก่อน +4

    Yaani jamani mbona wanazidi kimuumiza dada wa watu mpambanaji? Yaani wanagushi hadi risiti za Bank na za TRA! HATARI!!

  • @nicholausmramu
    @nicholausmramu 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dada pole sana Umepambana sana ila ndohivo tena Mungu Hatokuacha kamwe

  • @agnesmartin5716
    @agnesmartin5716 5 หลายเดือนก่อน +6

    Daaah jaman utapel umekuwa mwingi sana

  • @julianasongolo5710
    @julianasongolo5710 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dada utapata haki yako umepigana sana Mwenyezi Mungu akusimamie.

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6od 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana mama na hongera kwa kufuatilia mali yako bila kukata tamaa

  • @tumsifumunuo2602
    @tumsifumunuo2602 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mama ww ni mpambanaji. Hongera sanaa

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ni Hatariiii Kwa kweli, hawa matapeli ni wengi Kwa kweli, hata kwenye Lipa namba hizi siyo.

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 5 หลายเดือนก่อน +4

    Tutakimbilia wapi sasa jamani kama kweli kuna kufufuliwa na kusimamishwa mbele ya aliyetumba Mungu tutapata shida na adhabu kali sana

    • @LovenessFedrick-cy9fh
      @LovenessFedrick-cy9fh 5 หลายเดือนก่อน

      Hao wanaoghushi SI itakuwa wafanyakazi wa bank

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 5 หลายเดือนก่อน

      @@LovenessFedrick-cy9fh kabisa hao watu waliokamatwa wabanwe wakaonyeshe kama ni mfanyakazi wa Bank siri ifichuke wabanwe wawe mfano kwa wengine kama sio Bank basi wakaonyeshe machine wanaotumia kufodge inawezekana ni mtandao mkubwa sana

  • @lovegodwine7868
    @lovegodwine7868 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi nahisi ukitapeliwa muachie Mungu ila sio polisi wa Tanzania. Nilitapeliwa hela ndogo million 3 tu lakini niliamua kunyamaza kwani polisi walihitaji hela ila sio kunipa msaada.

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 5 หลายเดือนก่อน +11

    Mama utashinda kesi. Mama samia akisia hilo itafanyiwa kazi

    • @samirazuberi186
      @samirazuberi186 5 หลายเดือนก่อน

      Mama samia hyu tapeli au yupi.. Hivi samia unamtegemea

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 5 หลายเดือนก่อน +14

    Pole dada mungu awe pamoja nawe upate haki yako

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 5 หลายเดือนก่อน

      Mungu/MUNGU sio mungu

    • @stevenmdoga8414
      @stevenmdoga8414 5 หลายเดือนก่อน

      Nawewe umepata wababe wenzako unajibugi kuwa nenda popote pale usinibabaishe sasa nayeye aende popote

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@stevenmdoga8414mungu sio mtu lazima akupitishe kwenye moto lakin hana hana hasira na mwadamu mungu ni mwema

  • @EliauMtishbi-os5ky
    @EliauMtishbi-os5ky 5 หลายเดือนก่อน +1

    Congratulations cna Momy Kwa ujasiri inuliwa na Bwana

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 4 หลายเดือนก่อน

    Wakili Madeleka ni mmoja wa Mawakili Wacha Mungu ndio maana wanavuka vizingiti vingi ktk utetezi wanaofanya .

  • @masoudmakoe561
    @masoudmakoe561 5 หลายเดือนก่อน +1

    Daha mpaka hapo mama amshukuru mungu kwa hatua hii nampa ploe gharama kubwa sana atakua ametumia na hao polisi wa babati wanashirikiana na huo mfanyabiashara anae nunua vitu vya wizi.

  • @DonataJoachimu
    @DonataJoachimu 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Prisca kweli jasho la mtu alipotei hongera kwa kupambana makibona.

  • @DorcasShekinah
    @DorcasShekinah 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa ina maana hakuangalia Bank alert kwenye simu? Angeweza kuzuia huo utapeli...kwanza skuizi mtu akilipa benki hapewi mzigo mpaka ofisi iconfirm malipo...watu wajifunze

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 5 หลายเดือนก่อน +2

    Pia maduka mengi ya hardware wanashiriki wizi. Nondo zinaibiwa site zinauzwa hardware

  • @johnmsaki7920
    @johnmsaki7920 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana shujaa wa kupambania haki yako

  • @Afsa-z2v
    @Afsa-z2v 5 หลายเดือนก่อน +1

    OngerA SANA DADA UMEPAMBANA SANA HILO POLISI WA BABATI NI WEZI PIA KWanini hWatoi ushirikiano

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli haki yamtu aipotei buree ongera mama shujaaaa❤❤❤

  • @omarymbaraj8072
    @omarymbaraj8072 4 หลายเดือนก่อน

    Mama Mkwe hongera sana Mungu atunusuru na Watu wabaya

  • @mamy8220
    @mamy8220 4 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢Dunia nidwara yenyewe inamatukio mengi

  • @user-jn7co3nx1v
    @user-jn7co3nx1v 4 หลายเดือนก่อน +1

    Inaonekana kuna connection kubwa sana juu ya waalifu na askari

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 5 หลายเดือนก่อน +4

    Polis wamepewa ala wasenge sana ila M/MUNGU kasaidia mpaka apo ulipofikia utapata hakiyako

  • @HabibuHoseni-sv8hd
    @HabibuHoseni-sv8hd 5 หลายเดือนก่อน

    Hiii nchii ni ngumu sana yan kielelezo kimekamatwa lakn bado tyu 😢😢😢khaa dua ya mdhulumiwa hairud mama mungu atakusaidia na haki yako itapatikan tyu usiwe na shaka upo na mungu alie hai mam

  • @monicakimario2910
    @monicakimario2910 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Mama, Mungu hatakuacha. Jipe moyo

  • @isayahlesurwa307
    @isayahlesurwa307 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana mama usijali mungu atakupa nyingi.

  • @JenniferJacob-hh3ij
    @JenniferJacob-hh3ij 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mama hela ya Haki Huwa haipotei kabisa kabisa kabisa mama nimeamin Nan mwingin ameamin jasho la mtu haliliki pumbavu hao mama jitahid garama zako zilipwe

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana dada Umepambana sana dada lakin tujufunze kuangalia salio na siyo slip tu kwa pesa nyingi kama hizo na pia naona hao wanajuana na polis iweje vieleezo visiende polis

  • @Navalekathehorselover
    @Navalekathehorselover 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda please support her😢

  • @isaacopolot2027
    @isaacopolot2027 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa nani wa kumlaumu hapa? Zaidi ya milioni unatakiwa kucomfirm kwanza kama kweli hizo feza zimeingia. Hata iwe tu laki moja au elfu kumi

  • @RobertYusuph-mr7kx
    @RobertYusuph-mr7kx 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dah!. Watu wamebobea wizi kweli

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 5 หลายเดือนก่อน +2

    Dah mtu unapambana weee anakuja mtu kukutapeli mwee 😢😢😢 pole sana

  • @Deedah4
    @Deedah4 5 หลายเดือนก่อน

    The struggle was real mama hongera sanaaa na pole sanaaa

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mama mungu akufanyie wepesi katika hili

  • @christophermwashiozya5178
    @christophermwashiozya5178 5 หลายเดือนก่อน +5

    Jeshi la polis asilimia70wapo kwenye mfumo wa Rushwa mama pole sana kwa tukio hilo Mungu akusaidie ingawa wakati mwingi pesa kama hio ni nzuri uende na mteja Bank anapo fanya transaction ya Muamala uhakiki kua ni kweli pesa imeingia kwenye Acount yako.

    • @Rich-wo
      @Rich-wo 5 หลายเดือนก่อน

      Kbs

    • @LucyCornery
      @LucyCornery 5 หลายเดือนก่อน

      🎤🎤

  • @xaverisunday699
    @xaverisunday699 5 หลายเดือนก่อน +1

    Duhuu pole sana mama ww ni mwamba kwl kwl mama pole sn

  • @AmianaMavura
    @AmianaMavura 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera mwwaya kwa upambanaji

  • @SalomeShilla
    @SalomeShilla 4 หลายเดือนก่อน

    Police siku hizi wanaongoza kushurikiana na matapeli kwann wanashindwa kumpa ushirikiano huyo mama serikali iwachunguze Kwa umakini zaidi hao police Babati

  • @kagenzikanala109
    @kagenzikanala109 4 หลายเดือนก่อน

    Duhhh aisee hii nchi yetu.... pole sanaa mama

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 5 หลายเดือนก่อน

    Baadhi ya police wa tanzania wafukuzia madili tu.sasa kulikuwa na shida gani kuamuru kielelezo kipelekwe?au ni gari za hao hao?ila siku nyingine mama usitoe mzigo kabla huja confirm na bank.ni bora uwe na mtu mmoja bank wa kumuulizia habari za account yako

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 5 หลายเดือนก่อน +1

    Waray nawachukia wezi hawa wa kitaperi me nimeibiwa mirioni nane warai mungu awarani na hataturipia pole my

  • @MaryJohn-oi3zl
    @MaryJohn-oi3zl 4 หลายเดือนก่อน

    Polisi wa babati sina hamu nao mm nilitapeliwa million 12 namhusika akapatikana lakin sikupata Masada wowote

    • @dominicklabu5728
      @dominicklabu5728 4 หลายเดือนก่อน

      Kutapeliwa Mara nyingi ni makubaliano ya pande zote mbili kwahiyo kesi ya utapeli ni ngumu kidogo kumtia mtu hatiani

  • @HassanMugire
    @HassanMugire 5 หลายเดือนก่อน +2

    Matapeli ni wengi sana Kuna Hawa pia wanajiita Vyombo store tz kama kiwandani ni matapeli kbsa Hawana mzigo ukituma hela wana kublock

    • @petronillajosephat91
      @petronillajosephat91 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisa washenzi Hawa wamewahi nitapeli 2022 nilishindwa namna ya kuwapata kabisa

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 5 หลายเดือนก่อน +1

    POLE dadangu mpendwa umesumbuka, na kama hukuwa na nuda na pesa, hata mabati usingepata bahati iko mikononi mwa Mungu mgawa riziki.

  • @linimaarifa5009
    @linimaarifa5009 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mama hapo umepata jembe huyo wakili hakika haki yako utapata

  • @kalingamazda
    @kalingamazda 4 หลายเดือนก่อน

    Huwezi kuamini pay slip ya bank bila kujiridhisha toka bank yako. Kabla ya kuhakikia pesa imeingia .Na siku hizi unapata message toka benki yako

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 4 หลายเดือนก่อน

    Wizara husika wachunguzeni jeshi la police babati ,mama asipopata Mali yake police babati wanahusika

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 5 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaniiii pole sana, wewe ni Super woman

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 5 หลายเดือนก่อน

    Hii inaonesha hali ngumu ya kiuchumi iliyopo sasa, soon tutaanza kukatana mapanga for bread 🥯 🍞 🥖 kama South Africa