MAKONDA AMTAJA ALIYEMDHULUMU NYUMBA - ''ANA PESA - WAKANIAMBIA NIENDE MAHAKAMANI''...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2024
  • MAKONDA AMTAJA ALIYEMDHULUMU NYUMBA - ''ANA PESA - WAKANIAMBIA NIENDE MAHAKAMANI''...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 121

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 หลายเดือนก่อน +4

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @SamsonLubeleje
      @SamsonLubeleje 3 หลายเดือนก่อน

      Samsoni tanasio Lubeleje

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 4 หลายเดือนก่อน +6

    Kaka Makonda nakupenda naroho moja, kabi hadi namkumbuka Baba yetu Magufuli.
    From Congo to Sweden.

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo 4 หลายเดือนก่อน +14

    MHESHIMIWA MAKONDA HUU UTARATIBU UFANYIKE WALAU MARA MBILI KWA MWAKA KWA NCHI NZIMA. ILI SERIKALI IWAJIBIKE IPASAVYO KWA WANANCHI. OMBI MAALUMU PIA KWAKO MH. RAIS DR SAMIA SULUHU HASANI.HUU NI UTARATIBU MZURI SANA. MUNGU IJALIE TANZANIA.

    • @amedeuskimario8895
      @amedeuskimario8895 4 หลายเดือนก่อน +2

      Mara tatu ndo mambo yatanyooka

    • @eligiuselias4469
      @eligiuselias4469 4 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@amedeuskimario8895😂🎉

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 4 หลายเดือนก่อน +2

      No iwe rotation akishamaliza mikoa yote apumzike miezi 2 amze kule alikoanzia ili ajue maagizo yametekelezwa kwakweli nchi itakuwa mchakamchaka

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 4 หลายเดือนก่อน +13

    MAKONDA ANGEKUWA HAKIMU AU JAJI KILA MTU ANGEPATA HAKI YAKE,EXCELLENT

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 4 หลายเดือนก่อน

      Kabisa

    • @steveprosper4084
      @steveprosper4084 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna judgment public tena mbaya zaidi siasa

    • @ebeni_mitimingi
      @ebeni_mitimingi 4 หลายเดือนก่อน

      Angekuwa kama Judge Frank Caprio

    • @domymerinyo8165
      @domymerinyo8165 4 หลายเดือนก่อน

      Hizo ni siasa wala hakuna kitu,angetoa maelezo kwa wakuu wa mikoa na wilaya kufuatilia

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd 4 หลายเดือนก่อน +23

    Jamani watanzania wenzangu, kwa huuu utaratibu hatutafika popote, hiii ni dalili, mbaya kwa ustawi wa nchi yetu, hili ni dhihirisho kuwa taasisi, za nchi hususan zinazohusika kutoa haki zimefeli kabisa, au hazipo kabisa, haiwezekani, mtu mmoja ndie awe anatatua matatizo ya wananchi wote milioni 65, haiwezekani. Atachoka tuuu. Tunataka taasisi zinazohusika kutoa haki, zifanye kazi yake, kwa maaana Kuna watu wameajiriwa huko, wanakula mishahara alafu haki hazitendeki. kwa mtindo huuu hatufiki ndugu zangu. There is a serious systemic failure. Watanzania tunahitaji mifumo inayojiendesha sio kwa mtindo huuu

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 4 หลายเดือนก่อน

      Tunaanzia hapo huko kwingine tutafika,kwanza tujue yaliyomo ili wanaofanya wajisikie vibaya

    • @faumahona5769
      @faumahona5769 4 หลายเดือนก่อน

      Kama siyo makonda hayo madudu tungeyajulia wap ?

    • @Azikiwe-qi6jd
      @Azikiwe-qi6jd 4 หลายเดือนก่อน

      @@faumahona5769 duuu, kazi ipo, ndugu yangu, mtanzania mwenzangu, sidhani kama umeelewa nilichokiandika, iko hivi, naomba nikueleweshe hii nchi ina watu zaidi ya milioni 65, hawa ni watu wengi sana hatuwezi kumtegemea mtu mmoja atatue changamoto za watu milioni 65, haiwezekani. Ndio maana Kuna umuhimu wakujenga mifumo na taasisi zinazojiendesha sio kumtegemea mtu mmoja, binadamu maisha yake ni ya kitambo tuu hayana Diamante yana pita kwa haraka sana, sasa kwa mfano ikitokea makonda akatoweka ghafla tunafanyaje sasa, muwe mnaangalia mbele kidogo

    • @justinekyando9558
      @justinekyando9558 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe fara

    • @Azikiwe-qi6jd
      @Azikiwe-qi6jd 4 หลายเดือนก่อน

      @@justinekyando9558 lugha ya kiswahili hakuna neno "fara" unatakiwa kusema "fala" sio fara.
      Unaweza kufanya marekebisho, utasikilizwa

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mh. Makonda kutokana na ubora wa kazi unayoifanya naona kama unge mshauri Mh. Mwenyekiti wa chama kiwepo kitengo maalumu ndani ya chama ambacho kitambulike ndani ya katiba ya chama na kiwezeshwe ili kiwe endelevu kwenye kuendelea kuifanya kazi hii kwa kweli aliyoinzisha Rais/Mwenyekiti wa chama nawe ukawa mtekelezaji wakwanza mwenye ubunifu mkubwa mno katika kuendea CHANGAMOTO mbalimbali za wanannchi, maana nachelea kama yeye akiondoka na wewe ukiondoka bado watanzania watarudi kulekule na hivyo kuiono haki yao kama ihsani kutoka kwa viongozi kwani kila mtu huwa na utashi wake. Hongera sana Mama Samia Hongera sana Makonda Hakika huwa unanipa tumaini jipya kila mara nikusikiapo

  • @KabwikaIbrahim-ld8vf
    @KabwikaIbrahim-ld8vf 4 หลายเดือนก่อน +1

    Unaendelea kufanya vizuri Mr.Makonda Mola akubariki,pia Rais wetu Mama Samia Hasan Suluhu

  • @anselmimarandu2293
    @anselmimarandu2293 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu akulinde daimaaaaaaaa

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w 4 หลายเดือนก่อน +3

    Dah! Nakwenda kuchukua card yangu ya chama CCM oyeee

  • @salcle9702
    @salcle9702 4 หลายเดือนก่อน +7

    Hao jamaa wa aridhii wahuni sana tanzania nzima

    • @moxasaidi3398
      @moxasaidi3398 4 หลายเดือนก่อน

      Kuna yule aliekuwa mkuu wakati wa magufuli alidhulumu sana

  • @TuzoTuzo-xi9xm
    @TuzoTuzo-xi9xm หลายเดือนก่อน

    Mungu Akubaliki mama yetu laisi mungu akutuze na akupe balaka na Avya njema

  • @abcxyz3740
    @abcxyz3740 4 หลายเดือนก่อน +7

    GSM walitaka kumdhulumu nyumba Makonda🎉🎉🎉🎉

    • @AllyGibu-cz2vo
      @AllyGibu-cz2vo 4 หลายเดือนก่อน

      Uje unipe story hiyo ndugu kumbe gsm walitaka kumdhulumu Makonda

  • @johnchungwa-ei7xj
    @johnchungwa-ei7xj 4 หลายเดือนก่อน +13

    Watumishi wa selikali wanakitesa chama

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli na albu kubwa Sana hawa viongozi wengine kazi Yao ni nn mpk matatizo ya wananchi wananchi yanakuwa mingi kiasi hiki wavivu wa kufanya kazi lkn wana nguvu ya kula pesa za Miradi 😢

  • @SamsonLubeleje
    @SamsonLubeleje 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akujalie maisha mema uzid kusaidia tz

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa watu ni Wahuni sana Aridhi kumeoza.Hongera Makonda

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 4 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda nakupenda unatetea wa tanzania Mungu akuhifadh usiwape fursa kwa kudhulumu wanyonge

  • @maimunakassim8413
    @maimunakassim8413 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera mdogo wangu poul makonda

  • @ramadhanzenj9111
    @ramadhanzenj9111 4 หลายเดือนก่อน +12

    MAKONDA MDOGO WANGU UISHI MAISHA MAREFU PIGA KAZI

  • @moiseszachariasmoisesmoises
    @moiseszachariasmoisesmoises 3 หลายเดือนก่อน +1

    ningekuwa mtanzania,ningependekeza,mh makonda angepata kira ya uraisi toka kwangu😅

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana makonda

  • @user-is4jg9gr1p
    @user-is4jg9gr1p 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde Kwa kuwatetea wanyonge

  • @selebitende3162
    @selebitende3162 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mhe Rais tunakupongeza sana Kwa kunteua makonda kwa nafasi hii ombi letu wanyonge aongezewe ulinzi na tunajua atapigwa fitina sana ila ikumbukwe yupo na sisi wanyonge na Mungu atakulinda ww mhe Rais na Makonda

  • @user-lp8in3ou7r
    @user-lp8in3ou7r 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda mdogowangu umevaa viatu vya mjomba Magu....hongera

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 4 หลายเดือนก่อน +7

    Makonda hoyeeee

  • @user-rs9nb1ez3r
    @user-rs9nb1ez3r 4 หลายเดือนก่อน +1

    Piga kazi mzeeee

  • @user-jr9jj7yj8j
    @user-jr9jj7yj8j 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda unafaa sana Tena sana

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 4 หลายเดือนก่อน

    Sawa mheshimiwa Makonda uko vizuri kwakuwasaidia watu kupata haki Yao na sisi 77 hotel tunaomba tulipwe jameni Makonda utukumbuke 77 hotel arusha

  • @innocentlegos4530
    @innocentlegos4530 4 หลายเดือนก่อน

    Matatizo mengi yameletwa na hao hao viongozi wa ccm,Unafanya kazi nzuri ila umekosa nguvu yakutoa suluhisho hapo kwa hapo,Mama anajua Magufuli kila alichokuwa akitutendea sisi wananchi,Mama ajitokeze,tumuone akitoa maamuzi ya kututetea sisi wananchi,mtu akiwa na hatia ya kupora ama kutumia pesa ya serekali vibaya atumbuliwe na pesa zirudi,Hii ya makonda ni kutuziba macho tu maana mshajua uchaguzi uko karibu,Makonda kaa hivo hivo ikikaribia wagombea kujiandikisha,chomoka ccm,jiunge na chama chochote,ikulu moja kwa moja.

  • @masamakijames7837
    @masamakijames7837 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi ndani ya ccm watakatifu ni Samia na Makonda tu?Viongozi wengine mko kundi gani?Mbona kila mkoa aendako Makonda ni shida ambazo hata shetani anaona aibu kutendea wanadamu ilihali viongozi wengine mpo!

  • @brunidamadege3747
    @brunidamadege3747 4 หลายเดือนก่อน

    Ccm hoyeeee sijawahi kuwa mkereketwa nikiwa na kiongozi kama huyu nitajikuta tu nimevaa nembo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DuduMagau-sm3pd
    @DuduMagau-sm3pd 4 หลายเดือนก่อน

    MAKONDA ULIYOSEMA HAKIKA YANATOKA MOYON KWAKO MUNGU AKUBALIKI SANA, HAKUNA KIONGOZI MWENYE MOYO KAMA WAKO WAKUSHAURI WANANCHI USHAURI MZIRI, UBALIKIWE SANA

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda sema ukweli. Wew ulienda kujenga kwenye kiwanja cha Mwarabu wakakuonyesha ujeuri. Hati uliitoa feki na waarabu wakajaa na hati safi..

  • @brunidamadege3747
    @brunidamadege3747 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tunataka hakiyetu,tunataka haki yetu,tunataka haki yetu.

    • @brunidamadege3747
      @brunidamadege3747 4 หลายเดือนก่อน

      Tanzania, Tanzania Tanzania. Nchi yangu nakupenda maana Mungu amesaza watu wakusaidiana naye Mungu.

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l 4 หลายเดือนก่อน +4

    Piga kaz mkuu 🎉🎉🎉chukuwa na maua yako

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 4 หลายเดือนก่อน

    Yani serikari inawauzia wananch maeneo ambayo sio wanawatapeli wana nch kumbe wao serikari ndio wanaosababish migogoro

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani hii nchi ni uonevu, makonda atasisi ni wahanga tupo moshi umasikini ndio unatunyamazisha,

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 4 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa Makonda 77 hotel arusha tunateseka kwakudai haki yetu ya madai yetu Makonda njoo Arusha jameni we twafa njaa mafao 77 hatujalipwa Mungu

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking24 4 หลายเดือนก่อน +1

    YAANI NI AIBU KUBWA MADUDU YANAYOENDELEA NCHINI.

  • @user-fq7sy4lo9d
    @user-fq7sy4lo9d 4 หลายเดือนก่อน

    Viongoz wa halmashaur mjitahid kufany kazi kwa haki jaman mnampashida mama samia jaman kuwen na uwelewa

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 4 หลายเดือนก่อน

    Hapa kuna tatizo la mawasiliano baina ya Ardhi na TANROADS. Ardhi na TANROADS wana sheria zao.

  • @wilbatnyato4679
    @wilbatnyato4679 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli nenda mahakamani km walivyokwambia

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 4 หลายเดือนก่อน

    Tunashkur Mhe Rais kwkumteuwa huyu Mwenez

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda simamia hilo mpaka haki itoke, wezi wakubwa hao

  • @ramazanisongolo7258
    @ramazanisongolo7258 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nikushukuru mh. Makonda kwa yote unayo yazungumza kila kukicha mimi nafatilia ziyara zako una stahili kuhitwa MTETEZI kwa maana hiyo MAHAKAMANI akuna haki ni kweli kabisa

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ss kwnn mlimpa na akajenga alafu mbakuna kubomowa na hamtaki kuwalipa mmeona ipo ktm barabara bc mngewalipa iki wawapishe lkn si kublmowa tu alafu mnawaacha wna angaika mnasumbuwa sn wnanchi nyie nakuonea hy ni makosa yenu inabidi muawalipe

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 หลายเดือนก่อน

    12:45 Kwahiyo ishu ya mbowe ilikua hakuna kesi 😅

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 4 หลายเดือนก่อน

    MTANZANIA HUYO mlipeni

  • @sesilianjala3306
    @sesilianjala3306 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani namimi ninataka haki yangu makonda nitakutafuta aki

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa kama ye analalamika mwananchi wa kawaida itakuaje, mahakama ajui ilipo

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa nchi ilipofikia sahiz inahitaji rais km makonda kabisa hata akiwa atalipa visasi atalipa kwa wakubwa huko huko ila wanyonge tutakuwa salama haiwezekan nchi imekosa mwelekeo kabisa sahiz

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 4 หลายเดือนก่อน

    Wanaichi mnashangiria matatizo waliyo tengeneza haohao CCM kweli tunawajinga wengi,

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 4 หลายเดือนก่อน

    Kipindi hicho tanroad walikua hawajapima hiyo barabara sehemu nyingine wanaonea watu

  • @user-os6sc7is5h
    @user-os6sc7is5h 3 หลายเดือนก่อน

    Wafukonyoe hao wapumbavu kisomo Awana kichwani Alafu wanawekwa katika viti vya huongozi😂😂😂

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 4 หลายเดือนก่อน

    Sauti ya Makufuli inasikika pia nami nahitaji unisaidie

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 4 หลายเดือนก่อน

    niki9na hivi naweza sema wenye haki hawqpewi na wasio na haki wanapewa mzigo wa dhambi kubeba kesho siku ya hisabu kunakazi ninavohisi washika bedera za motoni ni wengi

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 4 หลายเดือนก่อน

    Ujue ni jinsi gani CCM haistaili kuendelea kuwa nadarakani shida zote hizi ni zao la serikali ya CCM.

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 4 หลายเดือนก่อน

    Kwahyo G.S.M atapata cha moto et? Au tayari ameshairudisha nyumba ya makonda

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa mantiki hiyo mheshimiwa makonda mahakama zetu hazitendi haki

  • @AminaRamadhani-gx8yr
    @AminaRamadhani-gx8yr 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ataizi mahakama nizakuchuzwa azitendi haki

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w 4 หลายเดือนก่อน

    Hayo unayo sema ofisini wanarindana hawa tendi haki kama hio

  • @user-ig4in5ut9k
    @user-ig4in5ut9k 4 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ndio tabia ya ardhi hivyo ndivyo wanafanyia wananchi

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 4 หลายเดือนก่อน

    MRUFISHIE GSM NYUMBA YAKE..

  • @MasterRegan
    @MasterRegan 4 หลายเดือนก่อน

    Simchezo

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w 4 หลายเดือนก่อน

    Anasema alimilikishwa kipindi hiko kwani haikua Serikali??

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r 2 หลายเดือนก่อน

    Unajikuta raisi kumbe ni maenge tu

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 4 หลายเดือนก่อน

    Huku unguja tuko wengi tunozulumiwa na mahakama inakula rushwa tupu

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 4 หลายเดือนก่อน

    Nachofrahi nikwamba madai ya wananchi yote ni halali naniyakweli

  • @AlbatSimon-yq5ro
    @AlbatSimon-yq5ro 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaaa kaja kuvizima vyama pinzani

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os 4 หลายเดือนก่อน

    Muwe na uhakika kuwa hawajawatalipwa

  • @marylukas6832
    @marylukas6832 4 หลายเดือนก่อน

    Rais wangu kipenzi

  • @user-if9gi2rx8f
    @user-if9gi2rx8f 4 หลายเดือนก่อน +1

    Komed komed

  • @kiwangodaniel1302
    @kiwangodaniel1302 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda kumbe hii imeandaliwa. Upuuzi mtupu!

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 4 หลายเดือนก่อน

    Daaaaaaaaah

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza 4 หลายเดือนก่อน

    Haya unayo fanya Makonda unaivua nguo CCM na serikali yako kwa ushauri wangu fupisha hii mihadhara yako

    • @damagambiti8292
      @damagambiti8292 4 หลายเดือนก่อน +2

      We mjinga kweli! Hivi ungekuwa wewe umetendewa dhuruma usingeongea upumbavu huo! We kama unaona nongwa kaa kimya!

    • @MubinaRoshan
      @MubinaRoshan 4 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe kaa kimya hayakuhusu

    • @AllyGibu-cz2vo
      @AllyGibu-cz2vo 4 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe ni mjinga kumbe nilijua una akili

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 4 หลายเดือนก่อน +2

      wewe kaa tayali zamu yako kama na wewe ni miongoni mwao

    • @KiongoziMwandamizi
      @KiongoziMwandamizi 4 หลายเดือนก่อน

      Mbona kujiaibisha hvo😂😂

  • @anselemmasirikali6384
    @anselemmasirikali6384 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe mwenyewe dhuluma ulitaka kuwadhulumu nyumba Gsm

  • @khadijabuberwa3362
    @khadijabuberwa3362 4 หลายเดือนก่อน

    We

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 4 หลายเดือนก่อน +1

    GSM kimekuramba😂😂😂

  • @chai_r
    @chai_r 4 หลายเดือนก่อน

    Nini anfanya hapo? Hiyo ni kazi yake? Sheria ne katibu inampa mamlaka ya kwenda barabarni kidifanya judge? Kupoteza muda mtupu

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda wewe ni fala tu

  • @user-zs2dc3kq8g
    @user-zs2dc3kq8g 4 หลายเดือนก่อน

    Watu wanakiu na wewe

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ccm wanacheza na akili za watu ccm nikama shetani leo anakujahuyu anasema lake kesho mingine nakuja na utapeli wake watanzani msiposanuka na hi janja ya ccm utaisha kama wafuasi wa Kibwetere

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 4 หลายเดือนก่อน

      Hachezi hata 😂😂😂 ww ndo unsjidangamya

    • @UfahamuwaKristo
      @UfahamuwaKristo 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hapana Leo ndo nimegundua shida sio ccm shida ni watendaji tu sio waaminifu na sio wachapakazi

    • @hurumamsuya7122
      @hurumamsuya7122 4 หลายเดือนก่อน

      Kwamba watu hawasaidiwi?!!

    • @barackawithokiswaga2686
      @barackawithokiswaga2686 4 หลายเดือนก่อน

      Na wewe hebu peleka Upumbavu wako huko, kwahiyo unachotaka wewe ni kipi? Au wewe una uwezo wa kutatua hizo kero, basi tatua wewe tukuone! Kazi kujifanya wewe ndio mjuaji unataka nini wewe??

    • @Ernestlaiza
      @Ernestlaiza 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@barackawithokiswaga2686wacha ufala tunataka katiba mpya

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani mshukuruni mwenyezimngu na rais na makonda kusimamiya haki za wanyongee…kuweni na dhanaa njemaaa wachanenii kulaumiyaaaanaa…duniya mapitoo.