VILIO NA SHANGWE KARIAKOO:MBUNGE WA ZAMANI ATOLEWA GHOROFANI, WAZIRI SILAA ATOA UAMUZI "WARUDISHIWE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 89

  • @rosemaryhyera6164
    @rosemaryhyera6164 15 วันที่ผ่านมา +6

    Hongera sana Waziri,unajua kazi yako vema,Mwenyezi Mungu akulinde na kukufadhili kwa kutenda haki,tena kisheria si kwa mawazo yako na ushirikishaji kwa walalamikaji na walakamikiwa.

  • @user-bq5pr5rk3j
    @user-bq5pr5rk3j 14 วันที่ผ่านมา +3

    Mashallah viongozi kama Hawa ni wachache sana , mungu amlinde , ampe afya njema na ambariki katika kazi yake na atimize malengo yake

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 16 วันที่ผ่านมา +17

    Tunahitaji viongozi kama Hawa Mungu wanusuru na awalinde Amin

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 15 วันที่ผ่านมา +6

    Mungu akutunze waziri wngu mpedwa nakuombea afya njema na kila la her kaka

  • @alfredymalata269
    @alfredymalata269 9 วันที่ผ่านมา +1

    HUKU MAKONDA KULE SILAA 🔥🔥🔥

  • @MikidadiChande-wh4ur
    @MikidadiChande-wh4ur 15 วันที่ผ่านมา +3

    Afande anatingsha kichwa kuonyesha anaelewa 😂

  • @sein.208
    @sein.208 16 วันที่ผ่านมา +12

    Mtangazaji upo vizuri brother keep it up 💪

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper 15 วันที่ผ่านมา +3

    Safiii. Hii kesi ilikaa sana..mbunge alipapata hapo kiujanjaujanja

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 13 วันที่ผ่านมา +1

    Duh mpaka umezeeka mbunge wangu. Mungu akusimamie

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2q 15 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akubariki sana wewe baba

  • @innocentsisti9556
    @innocentsisti9556 15 วันที่ผ่านมา +6

    Akili ya huyu mwamba it's extra ordinary

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 13 วันที่ผ่านมา +1

    Ooh Allah wajaalie kila wenye haki zao wapate haki zao hakika ya dunia ni mengi na yanachosha

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 15 วันที่ผ่านมา +2

    Safii kabisaaa aisee

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga 9 วันที่ผ่านมา +1

    Katika watu ninaowakubali kwa kuchapa kazi na kutenda haki ni Waziri Jery silaa,Makonda,Msukuma na Kishimba only wengine bad mnazingua.

  • @ttss7716
    @ttss7716 15 วันที่ผ่านมา +2

    Kenya ndo kitu kinaendelea kudhulumu watu we yetu walikuwa waona hatuna kakitu wakituangalia walishanga fery walibaki mdomo wazi kweli kabsa mkionekana hamna lolote ndo wana wadhumu thulma haidumu😢😢😢

  • @LaizerLogoloi
    @LaizerLogoloi 8 วันที่ผ่านมา

    Waoow uko powa wasiri

  • @jakayajuma9867
    @jakayajuma9867 16 วันที่ผ่านมา +9

    Katika kesi zimeamuliwa vizur hii ni ya kwanza dunian

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 14 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo jamaa ni zaidi ya kiongozi yup vizur sana

  • @RoseMshana-pm8op
    @RoseMshana-pm8op 16 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu waziri anafanya kazi nzuri sanaaaa , mungu akulinde

  • @lionofjudahtv8796
    @lionofjudahtv8796 15 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu sauli ni dhulumati sana jengo la Zambezi mbeya

  • @user-wu1oo1ro3k
    @user-wu1oo1ro3k 16 วันที่ผ่านมา +4

    very good

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o 16 วันที่ผ่านมา +13

    Uyuu slaaa ni hatari mungu amtunzee😊

  • @mlwalegeofrey5792
    @mlwalegeofrey5792 16 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu amupe maisha marefu

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 15 วันที่ผ่านมา +2

    Jengo hili mussa ndio ttzo hapa yule jamaa muuza viatu ndio aliesababisha nyumba kuuzwa ,ila mungu amjibu maombi yao

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 13 วันที่ผ่านมา

    Mungu aku2nze sana mkuu🙏

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 15 วันที่ผ่านมา +3

    Silaa tangu awe waziri wa hii wizara mpaka nywele zimebadilika rangi😂😂

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv 16 วันที่ผ่านมา +21

    Hii wizara mpaka imemfanya Silaa awe Mzee

  • @georgejokimos625
    @georgejokimos625 9 วันที่ผ่านมา

    Mbona viongozi wengine hawatembelei wananchi jmn, hivi ndivyo mawaziri wanatakiwa kuwa

  • @rasheedmbaraka7199
    @rasheedmbaraka7199 15 วันที่ผ่านมา +8

    Kuna afande kule nyuma yy anatikisa kichwa tu..haha

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 10 วันที่ผ่านมา

    Mbunge wa zamani

  • @wilbardvalerian6556
    @wilbardvalerian6556 15 วันที่ผ่านมา +7

    Mh Rais SSS,Mh waziri wa Ardhi,J. Silaha (mb),namuombea aongezewe ulinzi,anafanya kazi nzuri Sana kwlkwl
    0:44

    • @abdullahannabhaniy2283
      @abdullahannabhaniy2283 15 วันที่ผ่านมา

      U r wright, kuna wasioridhika naye kwa kuwazuia na dhulma zao

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 9 วันที่ผ่านมา

    Hivi haya pia mnafanyiwa na Wazanzibar?

  • @jakayajuma9867
    @jakayajuma9867 16 วันที่ผ่านมา +3

    Very good job lakin mambo ya kubomoa nyumba za watu mm sikuyapenda kabisa

    • @mussamussa9446
      @mussamussa9446 15 วันที่ผ่านมา +2

      We umependa wanavyodhulumu maeneo ya watu sio

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 15 วันที่ผ่านมา

      Mzee kuna sehem jibu lilonyooka ni kubomoa kinachowagombanisha ,hzo ni zege Tu kama hakuna Aman

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 16 วันที่ผ่านมา +7

    Mtangazaji unazingua wacha tusikie wenyewe

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 12 วันที่ผ่านมา

    Hongera Waziri. Uko vizuri mno

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 15 วันที่ผ่านมา +1

    Maaskari kama hawa wanafaa sana anamsikiliza kwa umakini mh waziri kamanda apewe maua yake

  • @user-wu1oo1ro3k
    @user-wu1oo1ro3k 16 วันที่ผ่านมา +2

  • @braitonilomo1635
    @braitonilomo1635 15 วันที่ผ่านมา

    ukovzr mweshimiwaa

  • @AbuuFarhaan-ri2yj
    @AbuuFarhaan-ri2yj 15 วันที่ผ่านมา

    Mzee wa white tshirt

  • @user-ny2fu8bu2u
    @user-ny2fu8bu2u 12 วันที่ผ่านมา

    Ongela sana baba mwanangu mungu atakusimamiya mana akuna aneyekysema mabaya

  • @sumakibonde5152
    @sumakibonde5152 15 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani, Nampataje waziri huyu, kuna tajiri amekalia plot yangu kwa nguvu huko Dodoma?

  • @KUPAZAVOICE-uc8ko
    @KUPAZAVOICE-uc8ko 15 วันที่ผ่านมา +1

    SASA PAMOJA NA PONGEZI NYINGI SANA KWA MH SLAA, NAWAIBIA SIRI TU HAYA MADUDU YAPO KWENYE MAMBO TOFAUTI NCHI NZIMA MAWAZIRI WOTE WANGEINGIA FRONT KAMA HUYU AU KAMA HAWA (MAKONDA) NCHI INGEKUWA SAFI SANA. MUNGU ATUONGOZE VYEMA KWENYE KUTEKELEZA MAJUKUMU HAYA.

  • @user-to4ki3db3j
    @user-to4ki3db3j 16 วันที่ผ่านมา +2

    Toka na sauti lako bhana hapa 😢😢😢😢😢

    • @Chaku-wu4ix
      @Chaku-wu4ix 15 วันที่ผ่านมา

      Kizuri kipongeze ndg yng

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 15 วันที่ผ่านมา

      Nyoko

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 12 วันที่ผ่านมา

    Nazidi kujifunza.sijutii kuweka bando langu kutazama videohii

  • @abdul-azeezmagram4973
    @abdul-azeezmagram4973 11 วันที่ผ่านมา

    Kama umrona askari anamuelewa waziri tujuane😊

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 13 วันที่ผ่านมา

    Miaka 26?

  • @mudhihirissa274
    @mudhihirissa274 13 วันที่ผ่านมา

    Waziri wa maji mh:Awaso muige huyu j slaa wizara imejaa hujuma hasa huku mbezi malamba mawili sehem nyingi maji hakuna

  • @ip_header
    @ip_header 16 วันที่ผ่านมา

    Kodus Mh Wazir Slaa

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 15 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu ndio waziri bora na waziri mkuu na biteko wengine wanadimba tuu

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 15 วันที่ผ่านมา

      Umemsahau na Waziri ngwajima

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 15 วันที่ผ่านมา

    1/7 na 6/7 ndio vipi? Nifahamishe i

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 16 วันที่ผ่านมา +2

    Hasara ya kuuza ndio hii

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 15 วันที่ผ่านมา

    Huyu SH amon ni amezidi na kwenye kesi haji anadharau hatari

  • @user-tm3jl4yx9f
    @user-tm3jl4yx9f 15 วันที่ผ่านมา

    Mawazir wa vtengo vngne wanasubili nnnnnnnn hau hawapo?

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka 15 วันที่ผ่านมา

    Ndo wamebaki na makonda na silaha kwani uongo kazi Yao tunaiona hata iweje ccm acha kuchongea

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 16 วันที่ผ่านมา +4

    Hivi akina lukuvi na yule mama anajihita dokta macula walikuwa wanafanya kazi gani

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 16 วันที่ผ่านมา

      Kwa kweli

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 16 วันที่ผ่านมา +1

      Hao walikuwa wez tuu

    • @dancerboy2686
      @dancerboy2686 16 วันที่ผ่านมา

      Lukuvi alkua nyumbu tu yule

    • @elijuskikoto392
      @elijuskikoto392 16 วันที่ผ่านมา

      Walikuwa mijizi. Tu

    • @salumally663
      @salumally663 15 วันที่ผ่านมา +1

      Ile wapiga madilii...

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 15 วันที่ผ่านมา +1

    Katika teuzi bola za mama bola ukimtoa makonda anaye fwata ni wazili uyu Yani awa wawili wanafanya kazi nzuli sana

    • @allymohamed4764
      @allymohamed4764 14 วันที่ผ่านมา

      Makonda namba mbili baada ya slaa .

  • @user-bl4sy5ei1k
    @user-bl4sy5ei1k 14 วันที่ผ่านมา

    Mjinga ni mjinga tu hao wakipewa hilo jengo watauza muda sio mre´fu ninawapa miezi sita baada ya kupewa

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy 13 วันที่ผ่านมา

      Bora wauze kuliko kuzulumiwa

    • @user-bl4sy5ei1k
      @user-bl4sy5ei1k 13 วันที่ผ่านมา

      @@AminiMsellem-gk3yy Wauze tu

  • @user-wu1oo1ro3k
    @user-wu1oo1ro3k 16 วันที่ผ่านมา +2

    very good

    • @user-kr2qr8vx1x
      @user-kr2qr8vx1x 15 วันที่ผ่านมา

      Nikushukuru wazili sraa Kwa hekima Yako...ujamuonea mtu..umempa heshima mzee na mzee sauri pia...mungu akusaidie kwani Dunia inapita...sisi kama waamgaikaji tumetoka mbali na sauri Kwa kusaidia watu kiajira...na mzee nae najua kasaidia kasaidia wengi...mungu awafanyie njia hata pasipo njia...bigap sana wazili Kwa hekima...mungu atakulipa Kwa kutenda haki bila kumwasili mtu.