MREMBO MTANZANIA ALIYEKWAMA MALAYSIA ni TAPELI? BIBI AFICHUA UKWELI - ''KAMA KUFA NIKAFIE NYUMBANI''

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 381

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 ปีที่แล้ว +11

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 ปีที่แล้ว +58

    Mimi sitoita mtoto wa mtu malaya, katu, maisha ni mtihani, ni kila mtu ana dhambi hapa duniani, hakuna mkamilifu

  • @jan6703
    @jan6703 2 ปีที่แล้ว +24

    Msimhukumu huyu binti. Yeye ni binadamu amekubali kakosea. Mungu wake anasamehe nyie ni nani hata mhukumu wenzenu?. Hao wanaohukumu wana usafi gani kwani.

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 2 ปีที่แล้ว

      Pumbavu zao 😒

    • @FatumaMsuya-j5u
      @FatumaMsuya-j5u หลายเดือนก่อน

      Nakuunga mkono🎉🎉🎉

  • @eashaeasha9776
    @eashaeasha9776 2 ปีที่แล้ว +35

    mashaAllah Tanzania kuna watu wenyewe roho nzuri Sana wallah roho nzuri Tanzania zinapatikana tupo masikini Sana Ila tunasaidiana na Hali zetu hizo hizo alhamdulillah

  • @sharmila469
    @sharmila469 2 ปีที่แล้ว +13

    Kweli kabisaaa Dada mtu yupo radhi amsaidie mtu akiwa kafaa akiwa Hai hawez kumsaidia

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 2 หลายเดือนก่อน +3

    Token hapa wadangaji nyie fanyen kazi dada zangu msipende maisha ya juuu kisa umbo ukwel usemwe fanyen kaz uza hata nyanya

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pole dada mwenyezi mungu atakufanyia wepesi utapata msaada hamuna mkafilifu

  • @rashidmohammed4887
    @rashidmohammed4887 2 ปีที่แล้ว +27

    Wanainchi wanamsaidia huyu binti tkt lkn ubalozi unashindwa kumsaidia mwananchi wake kumlipia over stay. Aibu hii

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 2 ปีที่แล้ว +12

    Ila wewe Dada suzi mungu atakulipia kwakweli umejitoa sana Dada hogera sana mungu
    ww ni zaidi ya binadamu❤ tusijadili alichokifanya tumsaidie arudi Tz hogera sana suzi wewe ni mfano mdugo wangu mungu akubaliki sana🤲👏🙏🏿

    • @ayubufumbuka3233
      @ayubufumbuka3233 2 ปีที่แล้ว +1

      Siyo wa kumshukuru sana suzi watu wanatengeneza pesa kwa Mikasa hii. Watanzania wangapi wamelusha pesa. Ungesema nawashukuru watanzania sio suzi

    • @seifrukemo957
      @seifrukemo957 2 ปีที่แล้ว +2

      Usiseme zaidi ya binaadam tafadhari 🙏🙏🙏

    • @samiahjmlimanzilla9354
      @samiahjmlimanzilla9354 11 หลายเดือนก่อน

      Suzy nayy siyalimkuta ha you hayo ya kudanga ndio maana ameona amsaidie tena Suzy alizalilishwa vibaya Sana Hadi pc za uchi

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 2 ปีที่แล้ว +8

    Amena bibi mungu awabariki wote wariyo msaidiya 🙏🙏🙏🙏

  • @chinaboyzanzibar5328
    @chinaboyzanzibar5328 ปีที่แล้ว +1

    MY SISTER MY GOD WILL HELP YOU INSHALLAH 🙏 ❤️ 💓 ♥️

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 2 ปีที่แล้ว +12

    Mungu simama na hy mtt arudi salama dua zetu

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 2 หลายเดือนก่อน

      Ebu acheni ujinga huyu ni muuuza madawa ya kulevya……analeta madawa ambayo yanauwa watu…..hana huruma na watu wengine…..mimi sina huruma nae

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 2 ปีที่แล้ว +7

    Mungu akufanyie wepesi..naimani Kila kitu kitakaa sawa..na Jumamosi Watanzania Tutakupokea Mwana Mpotevu..

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 2 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli mwana mpotevu 😂😂😂😂

    • @husna34562
      @husna34562 2 ปีที่แล้ว

      Mwenda tezi na omo maregeo ni ngamani

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 2 ปีที่แล้ว +12

    Bibi Mungu akutunze akupe maisha marefu zaidi, Recho wako atarudi Bibi na Mungu atamponya.

  • @RhodaKibona-w9j
    @RhodaKibona-w9j หลายเดือนก่อน

    Pole mwanangu!!!! Mungu ndiye anajua ,
    Mungu anakupenda sana ndiyo maana amekupa uzima,

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed 2 ปีที่แล้ว +3

    Jamaniiii bibi pole wallah nimelia kukuona unapiga magoti inshaallah atarudi kwa uwezo wa MUNGU 😭😭

  • @PRECIOUSMCPRECIOUS
    @PRECIOUSMCPRECIOUS 11 หลายเดือนก่อน

    Pole sana recho mungu akufanyie wepesi urudi Tanzania salama ondowa hofu mwamini mungu tu suzi mungu akubariki kwa moyo mzuri na upendo ulinawo wa kumsaidia recho mungu atakulipa kwa wema wako

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 2 ปีที่แล้ว +7

    Amiin ya rabbi amiin bibi Allah atajibu

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 4 หลายเดือนก่อน

    😮recho wewe ni.mzuri sanaa. Rudi utapata mwenzio wa kukupa heshima. Na kupitia hilo ttz linazaa faida

  • @alsia_1
    @alsia_1 2 ปีที่แล้ว +1

    Dada and God bless you

  • @beatricejeromemushi2868
    @beatricejeromemushi2868 2 ปีที่แล้ว +3

    And unaweza kuangalia online Overstay one day ni Shingapi then ujumlishe siku ulizo but kuna penati which sijui watachaji vipi coz inategemea na Country

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 2 ปีที่แล้ว +2

    Pole Recho Mungu atakusaidia tuu utarudi na utapona

  • @christinainnocent3240
    @christinainnocent3240 2 ปีที่แล้ว +3

    Hiyo over stay google andika how much should I have to pay for over stay penalty utaona

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 ปีที่แล้ว +12

    Mungu ajalie arudi salama na alotoa ticket mungu amlipe kheri kutoa ni moyo .

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu awabariki wote walio saidiya 🤲🤲Recho Asante Mungu

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 หลายเดือนก่อน

    Jamaniiiiii 😭😭😭💔 nimejikuta natokwa na machozi jamaniiiiii 😭

  • @monicamsile2284
    @monicamsile2284 2 ปีที่แล้ว +1

    Maisha haya anayejua ni Mungu,Mungu akusaidie dada recho

  • @kwambokamkisii3870
    @kwambokamkisii3870 2 หลายเดือนก่อน +1

    Na huko Malaysia naona wasichana wengi wakienda wanachora matatooo mwili mzima! Sijui kuna pepo la tatoo huko🤷‍♀️🤷‍♀️

  • @LaicaLucas
    @LaicaLucas 8 หลายเดือนก่อน

    Daaaaaah pole cn my mungu atakuwezesha

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 2 หลายเดือนก่อน

    Duh. Bibi miaka 85 sauti na afya bado bomba na meno anayo. Bibi ni mzuri sana. Enzi zake duuh🥰

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole msichana wa Mungu

  • @mariamthomas3902
    @mariamthomas3902 ปีที่แล้ว

    Dada wewe uliyemsaidia recho nimekupenda sana na kweli Mungu hakuja kuwatafuta watakatifu bali alikuja kuwaokoa wenye dhambi

  • @kwambokamkisii3870
    @kwambokamkisii3870 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ukome kufakamia maisha usiyoyajua. Ulifikiri kule ni kama utaishi hewani au? Tafuta kwa jasho lako. Mwanamke umeumbwa kwa thamani na mfano wa Mungu. Jitunze na uheshimu mwili wako. Utahmini mwili wako na heshima yako

  • @dr.jjmwaka2596
    @dr.jjmwaka2596 7 หลายเดือนก่อน

    Pole. Sana. Bibi

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 4 หลายเดือนก่อน

    Dah.. Mungu atunusuru..

  • @alimasalumu4728
    @alimasalumu4728 2 ปีที่แล้ว

    Pole bibi ataludi tu 🙏🙏🙏

  • @senseiamani4684
    @senseiamani4684 2 ปีที่แล้ว +2

    Pole saana kwakweli binti recho ukirudi nitafute upate kazi ya kupata Mia mbili Mia mbili

  • @hamissahamissa105
    @hamissahamissa105 2 ปีที่แล้ว +1

    Yani nimejikuta hadi natoamachozi🤲🤲😭😭

  • @tiffanyakramJr814
    @tiffanyakramJr814 2 ปีที่แล้ว +6

    Bibi yetu wa moto huyo 😂😂 haya tumekuelewa bibi etu wee

    • @dijahmriri523
      @dijahmriri523 2 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂nikajua ni Mimi tu nmemuona

    • @slowclimbertothetop4572
      @slowclimbertothetop4572 2 ปีที่แล้ว

      @@dijahmriri523 Majibu yake ni noma maashallah

  • @iboibo2989
    @iboibo2989 2 ปีที่แล้ว +10

    Bora angekuja nnchi za warabu akaosha vyoo,kaz ya halali,angesaidia family yake kwa uhakika

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 2 ปีที่แล้ว +2

      Kbs tena miaka yake 2 angebadilisha maisha ya kwao sasa viza ya mwez 1 alitegemea angepata mamilion ya pesa ?

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 2 ปีที่แล้ว +2

      Tena angelea watt wake vzr na kuwasomesha shule za ghali na kujipanga vzr ki maisha yake baadae panapo uzima

    • @marthageorge5043
      @marthageorge5043 2 ปีที่แล้ว

      Kweli

    • @nsumburoote2486
      @nsumburoote2486 2 ปีที่แล้ว

      Hata huko Kuna kazi za ndani miaka tu na mshahara ni mzuri tu Sema yeye alirubuniwa lakini Zipo MI mdogo wangu anafanya kazi za ndani huko

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx ปีที่แล้ว

      @@nsumburoote2486 mshahara sio mkubwa alafu vitu bei kule sna

  • @sophiamwailonda
    @sophiamwailonda 2 ปีที่แล้ว +3

    utafika nyumban salama Rachel Mungu Yu pamoja nawe

  • @kilogreek4050
    @kilogreek4050 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyo mtu mpumbavu kama Anahaja ya kumsaidia sio kuwafamisha watu wote wasimsaidia bora kuludisha mzima kuliko corgo bei mala nane yake mungu Atabariki Ameen🤲🤲

  • @gracemazula4353
    @gracemazula4353 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akuzidishie moyo wa huruma na upendo

  • @saimonrodgers8262
    @saimonrodgers8262 2 ปีที่แล้ว

    Polee sana na hongera kwa kustukia maisha hayo..

  • @maryumamapunda8910
    @maryumamapunda8910 2 ปีที่แล้ว +2

    Mm nimeona kwa mange kimambi wamempatia tiketi

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 2 ปีที่แล้ว +3

    Jamani Bibi😭machozi ya furaha yamenitoka Mungu akupe Maisha marefu yasiyo na marathi

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 ปีที่แล้ว

    Nyie namhurumia inshaAllh Mungu amsaidie arudi Salam inshaAllh

  • @abuialmarjibi979
    @abuialmarjibi979 2 ปีที่แล้ว +3

    Amin bibi dua makbul

  • @irenejoseph5925
    @irenejoseph5925 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyo Kaka Hana akiri yeye ndio alikuwa a nataka kumtaperi

  • @kwambokamkisii3870
    @kwambokamkisii3870 2 หลายเดือนก่อน +1

    Alifata nini huko? Raha zenu wenyewe mnajitafutia kisha mnakuja kusumbua watu

  • @husseinpacha4812
    @husseinpacha4812 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwnz pole sana dada ili limekuw moja na y wanawake wengine jmn lizikeni na maisha yenu dada zng

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana recho ktk mitihan uliopitia na pia mshukuru tu mungu ktk kila jambo

  • @reginamanyangu7258
    @reginamanyangu7258 2 ปีที่แล้ว +3

    Jamani hiyo over stay mshuhurikieni arudi tutamshika mkono.

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 2 ปีที่แล้ว +2

    Machozi yametoka pole Allah akutangulie

  • @PhinaGeorge-o5m
    @PhinaGeorge-o5m 11 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂bibi ety huwa siendi nae

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 2 ปีที่แล้ว +1

    Maskini wee Eeeeeh Allah atakupa shifaa
    Utarudi kwenu msaidiya bibi yako

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu aliyetoa hii tickets ametoa sadaka kubwa kuokoa uhai wa mtu na Mungu hakika hato muacha bure inshallah na hayo pungukiwa pale alipo toa

  • @rahmahamis7067
    @rahmahamis7067 2 ปีที่แล้ว

    Kwani amekaa mda gani hadi alipie over stay????

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 2 ปีที่แล้ว +4

    angekuwa tapeli angeomba pesa acheni dhambi jamani

    • @marrypius576
      @marrypius576 2 ปีที่แล้ว

      Umeongea point yeye anachotak ni ticket tu na pesa ya overstay bas lakin lemutuz amemchafua balaaa

  • @gaudinantengo4317
    @gaudinantengo4317 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana mpe mungu nafasi zaidi akuteteeee

  • @shabaniguma8696
    @shabaniguma8696 2 ปีที่แล้ว +1

    Hii inshu hata sijui kama huyu dada kafanikiwa kuindoka huko Malaysia kuhusu overstay Malaysia ni malay 1000 sawa na dollar 250 sasa kutaka kujua kuhusu kujua ni rahisi kwenda migration au kuna site ya Malaysia migration kujua bei halisi ya kulipa

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu amfanyie wepesi arud bora asaidiwe arud akiwa mzma aje atibiwe nyumban kuliko akose huduma alipo alafu akifia huko garama zitakua kubwa zaid

  • @siamnyone8403
    @siamnyone8403 2 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣Namm nitaondoka mchangee nirudiii

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 ปีที่แล้ว +1

    Inshaalaa utarudi salama

  • @majomamajoma8776
    @majomamajoma8776 2 ปีที่แล้ว +1

    Maisha haya yanauwezo yakumdhalilisha yyt ila yakiwa hayajakukuta utasema umalize maneno, mungu akutete Rachel

  • @oliverjason4335
    @oliverjason4335 2 ปีที่แล้ว +3

    Dah Yani maisha haya mtu ukiangalia Hali ya home mtu unapagawa alafu anawatoto wawil jamani dunia hii tusimlaumu ona apo palivyo kwao dah

  • @solomtz7049
    @solomtz7049 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo Arudi bongo……..sasa kuna ubalozi huko ulipo kwanini usiende ubalozi wa Tz wakakusaidia

  • @faridamaamary9857
    @faridamaamary9857 2 ปีที่แล้ว +4

    Overstay nadhani ni 10,000 Malaysian Ringgit (takribani
    2, 344. 23 USD) au jela.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 ปีที่แล้ว

      Uwiii

    • @luluthebrand7659
      @luluthebrand7659 2 ปีที่แล้ว +1

      Uyo dada muongo jaman alikua anajiuza India nakaleta watoto wawatu 30 leo kawa mchumgaji Na shepherd alitengeneza 😀😀ila Tanzania shikamoo pretty kind acha uongo au toka ukivyong’atwa sikio akil zimeruka😂

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      Wewe ni muongo

    • @jacquelineadrian6436
      @jacquelineadrian6436 2 ปีที่แล้ว +1

      @@luluthebrand7659 alikuwa hivyo ila sasahv kabadirika

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 2 ปีที่แล้ว

      Duuu, hela ndefu sana hiyo,hizi sheria za duniani hapa zinatungwa na akili za kishetani tu.

  • @marryeliasmarryelias9289
    @marryeliasmarryelias9289 9 หลายเดือนก่อน

    Alifata nini huko.?

  • @husseinali5535
    @husseinali5535 2 ปีที่แล้ว +2

    Over stay she can check on line with her passport number,

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 2 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @FatumaMsuya-j5u
    @FatumaMsuya-j5u หลายเดือนก่อน

    Sisi binadamu akuna mkamilifu kama uwezi kumsaidia mtanzania mwnzako ata kimawazo nivizuri ukakaa kimia 2 kwasababu unaweza jichumia zambi nalaana kwakitu usicho naushahidi nacho jamani 😢

  • @salha6596
    @salha6596 2 ปีที่แล้ว +3

    Acheni kudanga ni aibu nchi za watu ngumu

  • @scollantandu2350
    @scollantandu2350 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏 huyu bibi kanitoa chozi 😢

  • @nasrasway7143
    @nasrasway7143 2 ปีที่แล้ว

    Over stay ulipi ukifika airport wanakublock kurudi Tena iyo nchi for 5 years

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 2 ปีที่แล้ว

    Maninaa asaaa daaaaah mnaenda uzaa nyuchi yashafikaa ss ndo haya hebu muoneni anaongea na ilive yupo yupo tu.. over stay nendaa immigration utajua bill yk ulo over stay.. Mungu akusaidie kwa niaba ya Bibi yetu apo

  • @safiahamad9502
    @safiahamad9502 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana

  • @timotimo5501
    @timotimo5501 2 ปีที่แล้ว +3

    Hilo swala la overstaying waambie ubalozi wa Tz hapo ulipo watauliza hilo jambo

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 2 ปีที่แล้ว

    Sasa huo ushauri unampatia nani? Mbona ulishindwa kuutafakari kabla hujaenda huko kujiuza? Kuaibishana tu, mnashindwa kufanya kazi mnataka maisha yaraha aiseee

  • @aminatwalib318
    @aminatwalib318 2 ปีที่แล้ว

    Sasa SI huyu dada anakubali kua anajiuzaa Sasa nchi ya WATU utaenda vip kuuza tomato Kwa mji mgeni hujui yoyote Wala Huna familia,KAZI mbovuu ndio malipo hayooo

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt 2 ปีที่แล้ว

    Loh kumbe alienda kujiuza

  • @elisanteshayo3882
    @elisanteshayo3882 2 ปีที่แล้ว +4

    Malaysia dubai china Hongkong dada zetu wanauza miiili

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 2 ปีที่แล้ว

      Na india na kakubali anajiuza

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 ปีที่แล้ว

      @@ummySheikh72 tena India na kutolewa viungo

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 2 ปีที่แล้ว

      @@leokamil6284 hawakomi kwa njaa zao

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 2 ปีที่แล้ว

      Halafu hizo nchi hawapati soko, wanaishia kwenye mikono ya waNigeria

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 2 ปีที่แล้ว

      @@ummySheikh72 na Turkey 😀

  • @enterenter7798
    @enterenter7798 2 ปีที่แล้ว

    Mbona tunasafiri issue niwew unaenda kufanya ninn hizo nitamaa zimekuponza acheni maisha ya short cat asee mbona huku Gulf tupo safi tunajifanyia kazi mshahara tunapata tena mkubwa tuu hivi ukilipwa laki 8au laki9 au laki 5laki 6 jmn nindogo?? Kwabint jmn ee lkn wenzetu hawataki jasho liwatoke wanataka kitonga tuu pole sikuingine usirudie

  • @AhadiGhumbo
    @AhadiGhumbo 7 หลายเดือนก่อน

    Achen kutilia huruma kwakutafuta wenyew makanga ,watu wakuitaji msaada wapo sio ninyi nyau

  • @miagomiagoannasarungi1926
    @miagomiagoannasarungi1926 2 ปีที่แล้ว +5

    Bibi anashushua huyoo

  • @JanethJaneth-l9i
    @JanethJaneth-l9i 4 หลายเดือนก่อน

    Sio binti no mama ,mtu anawatoto anakuwa binti tangu lini?

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 2 ปีที่แล้ว +4

    Kwani alienda kujiuza jamani hawa watoto wetu hawa mungu awasaidie kwakweli

    • @aminakawawa5800
      @aminakawawa5800 2 ปีที่แล้ว

      Ndio yani wapo wengi

    • @rehematawalani733
      @rehematawalani733 2 ปีที่แล้ว

      @@aminakawawa5800 mtihani huu wallaahi allah awanusu kwakweli

    • @aminakawawa5800
      @aminakawawa5800 2 ปีที่แล้ว

      @@rehematawalani733 kuna ubaguzi wa rangi nasikia dah

    • @rehematawalani733
      @rehematawalani733 2 ปีที่แล้ว

      @@aminakawawa5800 jamani hivi hii tabia itaisha lining ya kubaguana mbona wanatunyanyasa ngozi nyeusi jamani

    • @geofreykalo
      @geofreykalo 2 ปีที่แล้ว

      Duh! Kudanga?

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 2 ปีที่แล้ว +2

    Aende ubarozini tuu recho jamani rudi tuu uje upime afya yakee 😭😭😭

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 2 ปีที่แล้ว

      😭😭😭😭

    • @shadyasalum192
      @shadyasalum192 2 ปีที่แล้ว +1

      @@salomewandya7257 yaani inasikitisha sana wanaotuponza majeti miee safari ya kuja oman niliogopa

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 2 ปีที่แล้ว

      @@shadyasalum192 Ni kweli dear hakuna msaada wowote

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 2 ปีที่แล้ว

      Ukirudi nyumbani salama unamshukuru Mungu🙏

  • @abdallahselemani6423
    @abdallahselemani6423 2 ปีที่แล้ว

    Mawili yapo hapo. Kama sio mbeba unga au kahaba

    • @Salomeigigo
      @Salomeigigo 11 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo

  • @abiihellen2822
    @abiihellen2822 2 ปีที่แล้ว

    Mimi nilikuwepo Malaysia, na nipo na marafiki uko Malaysia. Overstay lazima ulipie ,kwa pesa ya kenya ni 20k sijui kwa hela ya tanzania ni ngapi

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 2 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭mana bib Hanauchungu 😭😭😭

  • @Fofo-511F
    @Fofo-511F 2 ปีที่แล้ว

    Kwan alienda kufanya nn

  • @enterenter7798
    @enterenter7798 2 ปีที่แล้ว

    Ungekua hapa Dubai sahii ungekua usharud hatuna mbamba sie tunajalian watz na east Africa kwajumla,,

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 2 ปีที่แล้ว

    Someni msg zangunijuwe kiasi

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona huku mwisho, mama anakoroma kwa makelele megi ! makelele mengi ?

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 2 ปีที่แล้ว +1

    Bibi ananyoosha maneno safi sana

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 2 ปีที่แล้ว

    Sasa huyu chums Ilete mmm

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 2 ปีที่แล้ว

    Sasa Rachel ,huko kudanga ,mbona nyumba ya bibi hata sebule chafu ,

    • @jumanassoro1552
      @jumanassoro1552 2 ปีที่แล้ว

      Nyumba si ya bibi kwani watoto wa bibi wapo wapi

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 2 ปีที่แล้ว +2

    Allahummaa amiin

  • @siporajemes773
    @siporajemes773 2 ปีที่แล้ว

    Unajibu vizuri sana bibi sababu waadishi wanasodoooaa km qagen hapa