Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Pole dada kwa changamoto Sisi tuko oman alhamdulilahintunapambana tunasomesha wtt tunajenga alhamdulilahi na shamba nimenunua namshukuru mungu kuniepusha na hayo majanga maana hayo mwenzetu majanga Karibu uje upambane oman usikate tamaa hizo ndiyo changamoto za utafutaji Tz ajira hakuna kz wanapeana wenyewe kwa wenyewe Ndiyo mtu unaona bora nikapambane uarabuni
Tuko zaidi ya milioni sitini wafanya kazi serikali hawazidi milioni ila tufanye wapo milioni kumi toa wafanya biashara na sekta binafsi fanya milioni 30 je waliobaki serikali iwapeleke wapi? Tambua China kiuchumi duniani ipo ndani ya tatu bora ila wapo wachina wamachinga wauza yeboyebo kariakoo.
Alhamdulillah pole mamy ila ss wengine atukomi tunakuja tyuu tatizo zile sifuri kwenye mshahara ndo zina tuponza kudanga atuwezi wengine acha tupambane co wote wabaya
@@MariamJuma-pe4sy ame Apia kwamba hatokuja nivile kakutana na matatizo kabla Aja pata mshahara yamiezi sita na kuitumia familia ila angepata mbele huko utamu wa diliham na riali zinavyo noga nyie tungemsikia nitarudia insha'Allah sio wote wabaya🙈🙈🙈😂😂😂
Alhamdulillah kama umerudi salama maana Iraq kuna ofisi zinapiga sana wafanya kazi na wengine hubakwa pia yaani Allah awalinde dada zetu na awabariki kwenye harakati zao za kutafuta maisha
Jamani Rahman rafiki yangu pole tulikuwa wote ofisi moja Iraq qurdistan kwa Rasuli nikamuacha Iraq mimi nikarudi zangu Tanzania 🇹🇿 ila Alhamdulillah nilikuwa nimesha maliza mkataba wangu
Pole sn Dada,mshukuru Mungu umerudi salama,Mungu akupe wepesi kw matibabu Yako,wabarikiwe wote walio shiriki kw hali na mali Hadi kufika nchini kwako.Mmmh inatisha sn jamani.
Mashaallah ❤kazur ana sura km mphilipino 😂zar ht kwa kutokea hukuju? Bora kaka sele akuchukue uende oman ht week 1😂krb tz mdogo angu mrad umefika nyumban Allah atakufanyia kher inshallah 🤲🤲😥😥
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mashallah kafika salama, mzee suleiman Allah akulipe kheri na wote
Mungu hatujalie tuliyopo oman tufanye kz na turudi makwetu salama
Alhamdulillah umefika salama kipenzi....Pole sana Rahma
Tunapenda vyombo vya Habari km Glob vyenyekujali nakufanya vitu vinavyoeleweka najamii HONGERENI❤🎉
Allahmdulillah hongereni sana wana Global TV kwa jitihada zenu pope Rahma shukuru Mungu umefika salama nyumban
Alhamdulillah 😊😊😊❤wallah nimelia kwa furaha na kila alishiliki katika kumtafuta binti huyu mungu atamlipa inshaallah ❤❤❤😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤yarab
❤❤❤ love you kaka selemani mwenyezi mungu akutangulie
Mtihani wallah maisha haya pole sana muhimu umerudi nyumbani salama
Alhamdulillah mwenyezi MUNGU nimkubwa sana
❤❤❤ Mashallah dada zar hongera pamoja na timu yako wote waliosaidia rahma karud Tanzania
Mash'allah kaka selemani jamani Asante 🙏
Pole dada kwa changamoto
Sisi tuko oman alhamdulilahintunapambana tunasomesha wtt tunajenga alhamdulilahi na shamba nimenunua namshukuru mungu kuniepusha na hayo majanga maana hayo mwenzetu majanga
Karibu uje upambane oman usikate tamaa hizo ndiyo changamoto za utafutaji
Tz ajira hakuna kz wanapeana wenyewe kwa wenyewe
Ndiyo mtu unaona bora nikapambane uarabuni
Tuko zaidi ya milioni sitini wafanya kazi serikali hawazidi milioni ila tufanye wapo milioni kumi toa wafanya biashara na sekta binafsi fanya milioni 30 je waliobaki serikali iwapeleke wapi? Tambua China kiuchumi duniani ipo ndani ya tatu bora ila wapo wachina wamachinga wauza yeboyebo kariakoo.
Mashallah alhamdulillah ongera sana zari Kwa kutupambania Allah atakulia❤
Mungu ni mwema ubarimiwe sana mdogo wangu mpendwa zari❤
Zari mungu akupe umri,afya uzidi kusaidia watu❤
Alhamdulillah pole mamy ila ss wengine atukomi tunakuja tyuu tatizo zile sifuri kwenye mshahara ndo zina tuponza kudanga atuwezi wengine acha tupambane co wote wabaya
😅😅😅😅 nimejikuta nacheka tu😅😅 zile sifuri kwenye mshahara ndo zinatuponza😅😅😅
@@MariamJuma-pe4sy ame Apia kwamba hatokuja nivile kakutana na matatizo kabla Aja pata mshahara yamiezi sita na kuitumia familia ila angepata mbele huko utamu wa diliham na riali zinavyo noga nyie tungemsikia nitarudia insha'Allah sio wote wabaya🙈🙈🙈😂😂😂
Alhamdulillah, Allah kareem
Mungu akuinue zaidi unatusaidia sana wanawake wenzio
Nimefurah sana mpk natokwa na machoz yafurah jaman da Rahma tulikusubir kwa hamu 😢Allah Akbar Allhmdhullah umefika salama
Asante. Suleymani mungu akupe afya njema❤❤❤❤❤
Masha allah dada zari kaxi nxuri sana
Pole Rahma kwa changamoto zaa irag pole sana sana rahma ❤❤❤❤❤
Pole Sana ddngu, mungu akupe subra atakupa rizki yako inshallah
Pole dada utaftajii unakazi sana❤❤❤❤
Mashaghalaaa ndo jina la mabinti zetu huko uarabuni 😭😭😭
Glob nawapenda sana
Kazi nzuri sana bi zari
😂😂😂😂😂 kimeza mnasaidia ila mpaka sasa hatuelewi mnatuchamba nyie mnatusaidia nyie😂😂❤❤❤❤❤❤
Hongera. Sana ZARI mtabia njaa na KAKA SEREYMAN ❤❤❤❤
Maashallah tabarrak allah Allah awafanyie wepes time Zima ya global tv timu mapito na wote tuliopaza saut Alhamdulillah
Njamani zari mungu akuripe kwamema unayo fanya
😢😢😢😢😢😢 Jmn mm nilipata VISA ya IRAQ kipind natafuta kazi ila roho ilikuja kugoma kbs, ikabidi niende Oman sijui nn Mungu aliniepusha nacho huko🙏🏽👏
Kote ni utumwa tu hata Oman 🇴🇲 waarabu ni mbwa kabisa nguruwe
MUNGU mwema Rahma umerudi salama nchini mwetu Tzd 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mashallah Allah awaliipe kheri inshallah tunawapenda sana❤❤❤❤❤❤ daah yan 😢
Alhamdulillah jamani tunao mpenda zari tufanyeni kitu kwajiliyake yy na tim yake 🎉🎉🎉
Pole sana Rahma Mungu akuondolee maradhi 🙏🙏❤️
Pole sana
Karibu nyumbani
Dada wa global umejaza kila eneo mashallah 🎉🎉🎉
Kutafuta kugumu sana karibu nyumbani Rahman🙏
Namuona mzee Suleman mtetez wetu mashaghalla oman🇹🇿🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Pole Sana mamy
Global TV nyinyi ni mfano kwa vyombo vya habari vyote muwe na jitihada iyoo iyoo A very good job you have done ❤
Yani hawaoni mtuu anaumwa uso umevimba sana pole sana RAHMA. Kwa mkasa nzito 😢😢😢😢
Pole sana dadangu
Pole sana Dada kwa mitihani iliyokupata mungu mkubwa
Duh pole sana
Alhamdulillah kama umerudi salama maana Iraq kuna ofisi zinapiga sana wafanya kazi na wengine hubakwa pia yaani Allah awalinde dada zetu na awabariki kwenye harakati zao za kutafuta maisha
Alhamdulillah Allah azdi kushusha Nwema zake
Hongera sana Zari
Jamani Rahman rafiki yangu pole tulikuwa wote ofisi moja Iraq qurdistan kwa Rasuli nikamuacha Iraq mimi nikarudi zangu Tanzania 🇹🇿 ila Alhamdulillah nilikuwa nimesha maliza mkataba wangu
Shukur allay
Hata mm ajent yang alikua rasuli alinisaidia karud kabla ya muda
Alhamdulilahi kafika salama alhamdulilahi
Allah akubariki dada Zari na Baba Sulayman
Baba wa huyu dada na mwamba sana apewe maua yake. Alijua kujieleza vizuri katika jitihada zakutaka mwanae arudishwe.
Dada mtangazaj wa global ujue nakupenda sana❤❤❤❤❤nataman sku moja nije nikuone tu live,juhudi zako tunazione
Alhamdulilahi mzee atapona fasta akimuona mwanae
Sio huyu yule alisema harud anapambana😂😂
Mhhh mtihani pole sana
Pole sana dada😢
Maa shaa Allah Alhamdulillah Alhamdulillah Alhamdulillah 😭😭😭
Jaman mpk machozi yamenitoka mungu awajaalie familia ya global TV yote pamoja na Mzee selemani
Mungu ni mwema
Pole dada kwa changamoto ulizopitia mungu akupe wepesi upone da Rahma
Mzee suleiman.nibaba wakuigwa
Pole shogaangu mimi niko iraki ndo namalizimalizia mda wangu nirudi kwetu
Jamani sisi binadam
Basi tu 😢😢😢
ALHAMDULILAH
Maa'shaallah Alhamdulillah Allah azidi kutuinua na da Zali wetu hd nimelia aisee😢
Good job
Mzee selemani mungu akufanyie wepes kwa kila jambo lako kwa wema ulioufanya
Kaka Suleiman thanks❤
Da zari mimi unanijua katika nchi mzuri ni oman basi simshauri mtu aje Dubai ata siku moja ninayo yapitia mimi na wezangu tunayo pitia
Huko Dubai nasikia NI changamoto ukifika wanachukua passport..... Na kama ni wanawake ni balaa wanafanyiwa mambo ya ajabu🙌🙌 SS sijui ni kweli au laah
Haya Oman pia wanachukua passport, sema Oman maboss asilimia 80 wanautu na roho nzuri hta wakikaa na passport yako.@@Mzawa12
@@Mzawa12 Sio Dubai tu nchi zot za ghafu
@@Mzawa12 si kweli ila ila office zina matatizo
@@Mzawa12 ila ukitaka kujua zaidi NITAFUTE inbox
Huyu Mzee Mungu amwongezee kherii sana lasivyo huyu Rahma TZ angepasikia
Sio Mzee tu Ata uyo dada wa global tv yy ndo chanzo chakusaidia watu nakuwafatilia sna mungubambarikie
@@fatihiyadossa375 ni mwenyeezi Mungu kupitia hao wengne
Hongera sana dada zai mungu akutunze vyema
Pole sn Dada,mshukuru Mungu umerudi salama,Mungu akupe wepesi kw matibabu Yako,wabarikiwe wote walio shiriki kw hali na mali Hadi kufika nchini kwako.Mmmh inatisha sn jamani.
Mashaallah ❤kazur ana sura km mphilipino 😂zar ht kwa kutokea hukuju? Bora kaka sele akuchukue uende oman ht week 1😂krb tz mdogo angu mrad umefika nyumban Allah atakufanyia kher inshallah 🤲🤲😥😥
Hatanami nimetokwa namachozi ,Niupendo ,furaha inaliza iliochanganyika namachungu tunayopitie Viumbe ,pole mwenetu
Alhamdullah
Alhamdulillah
Baba mungu amlipe kila jema kumpambania mwanawe
Yaa allatusimamie tuwezekuvuka salama sisi ambayo tuko iraki
Allah atulinde jamani maisha haya changamoto rahama anaumwa mapaka anatia huluma uso tu unaonesha hawa watu makatili
Ila Watanzania wapambanaji wa maisha yani hadi Iraq 🇮🇶 Hongera saana kwa kujaribu
Pole sana ila. Umepata fundisho sasa ndio mtulizane
Sijaona mutu hana hutu namapenzi kama huu dada mapenzi na wanahichi wake mwenyezi mungu akubariki akulinde akupe mahisha marefu
Jifunze kuandika na kusoma
🙏🙏🙏
Alhamdulilah
Pole sana bora imeludi
Halafu ukute wadada wanamtukana Suleman hebo Ona alivyompambania huyu Dada toka Iraq
Jamani mungu mwema
Pole dada
Mataifa yakiarabu ni changamoto sana kule kwakwenda kulalamikia na we ni Mwafrika ni ngumu. Muwe waangalifu mnaotarajia kwenda.
God bless you my sister
Global mtapata fadhira nyingi kwa misaada yenu ya kibinadam
Si ulitaka mwenyewe kwenda kufanya kazi watanzania ni wavivu sana,
Some time usihukumu mtu kwan umeambiwa hawez kaz au anaumwa ama kwel km halijakukuta huwez jua maumivu yake mtihan
Umetishaaaaaaaaaaaaa ❤❤❤❤@zalimapito
Ndio changa moto za maisha mengine yana vumilika mengine hayavumiliki
Allah awalipe Kila la kheri wote mlioshiriki kumsaidia
LET HER GO REST! TRAVEL LONG DESTANCE SHE IS TIRED NEED TO REST!
Pole dd kwa mitihan
Huyuu baba ajenty mzirii saana anajuwa kusaidiaa sanaaaa
Mr Suleiman Allah atakulipa kwa ukubwa maana kuna maneno halafu kuna matendo
Alhamdulilah Kweli allah nimueza yayote😢😢