MTANZANIA ALIYEFUNGWA MIAKA 18 INDONESIA - ASIMULIA MPENZI WAKE ALIVYOMPONZA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • MTANZANIA ALIYEFUNGWA MIAKA 18 INDONESIA - ASIMULIA MPENZI WAKE ALIVYOMPONZA...
    HII ni simulizi ya kusisimua ya Mtanzania, Lilian Kessy, anayetumikia kifungo cha miaka 18 nchini Indonesia mara baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya....
    Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    iOS:apple.co/38HjiCx
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
    (+255 739 750 910)
    (+255 676 229628)
    Email: globaltvbest@gmail.com
    abbymrisho@gmail.com
    HABARI MPYA DAILY:
    bit.ly/habarimpya
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    bit.ly/mikasa_y...
    GLOBAL RADIO TV:
    bit.ly/255globa...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    bit.ly/exclusiv...
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    bit.ly/exclusiv...

ความคิดเห็น • 936

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 หลายเดือนก่อน +1

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @princessjoyce3076
    @princessjoyce3076 4 ปีที่แล้ว +5

    Jamani mungu akusaidie kessy nilikuwa nampango wakuja kukutembelea kwenye mang'ereza JARKATA INDONESIA kabla sijasafiri lakini bado nakuja Tena JARKATA INDONESIA after lockdown Kama mtumishi wa mungu nitakuja na ninamiini mungu atakuvusha.. Naomba jamani msiwe wepesi wakuhukumu.

  • @africanbeauty6556
    @africanbeauty6556 4 ปีที่แล้ว +5

    Indonesia it's not a joke 😭 Jamani Indonesia siyo mchezo Mimi najua I travel alot to Asia with my husband for holidays when were young before we had children .Asia siyo kuzuri watu wabaya sana Kwanza hapo walipo mpaka Sasa ni kwa neema ya Mungu tu .

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 4 ปีที่แล้ว +12

    Waa hao ma Oga ni watu hatari Sana poleni may God see you through +254 🇰🇪

  • @EstherJerald-tc6ct
    @EstherJerald-tc6ct 7 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana Lilian
    Tulia ukimaliza miaka yako rudi nyumbani wasije wakakufanyia mbaya huko zaidi mtumaini Mungu atakuvusha

  • @asiamalonji5962
    @asiamalonji5962 3 ปีที่แล้ว +4

    Adi nimelia jamanii hatupaswi kuukumu yote ni kutafuta maisha na binadamu sote kwenye uelewa tumetofautiana doh mungu atusaidie

  • @fatumaseleman1579
    @fatumaseleman1579 4 ปีที่แล้ว +37

    Mungu ninusuru na kizazi changu 👏👏😭

    • @latifacholobi4283
      @latifacholobi4283 4 ปีที่แล้ว +1

      Hayajawakuta semeni muwezavyo ila Mimi nimemuelewa vzr tu raisi magu msaidie binti huyo kwakweli

    • @zainabbakari-vw4jy
      @zainabbakari-vw4jy 2 หลายเดือนก่อน

      Amiin

  • @abuuaymankhudhaifa7981
    @abuuaymankhudhaifa7981 4 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana Lilian. Ila tatizo dada zetu wabongo mnashobokeaga sana jamaa wageni.

  • @peterdaud8905
    @peterdaud8905 4 ปีที่แล้ว +9

    Pole sana Dada Lilian na Purity Mungu atawasimamia mtarudi nyumbani salama. Muwe na Iman na matumaini.

  • @sabathdaychannel2985
    @sabathdaychannel2985 4 ปีที่แล้ว +6

    Poleni sana ndungu zetu Mkenya pamoja na mtanzania yote mnayo yapitia Mungu atawaokoa na mtatoka salama amen

    • @nanaaalice8921
      @nanaaalice8921 4 ปีที่แล้ว

      Poleni sana mpango wa mungu hauna makosa sauti zenu zimesambaa dunianikote huenda mkapata msada mungu ikopamoja nanyinyi.

  • @mrsmrsjj1745
    @mrsmrsjj1745 4 ปีที่แล้ว +27

    Pole sana moyo unaniuma binaadamu hakuna mkamilifu tumuombee dua mwenzetu

  • @barakashilumba1103
    @barakashilumba1103 4 ปีที่แล้ว +18

    Dah pole sana inauma yaan kosa la mwingine likawa lake napenda kumpa pole mungu atakusadia

  • @nabu.barbim9219
    @nabu.barbim9219 4 ปีที่แล้ว +1

    Jmn mkipataa mwanaumee tofauti na mtanzania kimbiaa mita elf 10

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 4 ปีที่แล้ว +16

    Pole sana Lilian naamini Mungu atajalia utoke, ila hili litakuwa funzo kwa wengine wengi.

    • @nashbeka9992
      @nashbeka9992 4 ปีที่แล้ว

      Samwel Hechei usimpe mtu Pole kabla hujajua stori yake..msaniii Huyu ana stahili malipo ya show zake

    • @samwelhechei8537
      @samwelhechei8537 4 ปีที่แล้ว

      @@nashbeka9992 sawa, ila amekiri alikosea Sana na Mungu ni mwenye Rehema nyingi sana. Pia ndo maana nimesema pia liwe funzo kwa wengine wenye tabia kama hizo

  • @estajoan1285
    @estajoan1285 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana Liliani ata ivo Mungu anakupenda kwa uku Indonesia ukipatikana na madawa ya kulevya ua wanauliwa apo apo kg mbili miaka kumi kg tano kwenda mbele unauwawa kabisa usjari Mungu atakufanikisha amen

  • @MightyLumber
    @MightyLumber 4 ปีที่แล้ว +6

    Mademu wa kitanzania ni hivi, anytime unatembea na mnigeria ujuwe unatumiwa tu, Mnigeria hawezi oa mtu mwingine kwa nia nzuri....Mademu wa Kitanzania wengi sana wanatumiwa na Nigerians kisha mwisho wa siku wanauliwa kinyemela.

    • @maryamnestory7788
      @maryamnestory7788 4 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa wale si watu hata 0 wauaji wale

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      Sio kweli ww amna ujualo ninakaa na wanaigeria miaka 6 sasa amna alipo ua wala kumtumia mtu.sikia nenda kwa milard ayo usikize story uyuu lili muongo kule kaongea vingine uku vingine yyt anae msema mnaigeria vby jua uyo amjui mnaigeria. Wanaigeria 24/7 wanawaza pesa tuu kwa deal tofauti sio kama wabongo kuuza sura wanaigeria wanajituma aijalishi utapeli au madawa wao wanataka pesa na ndio maana nchi yao imeendelea. Amna mnaigeria atae mtumia msichana bila sababu sio kweli lzm mkubaliane mpige deal na mgawane ela ila kuua sijui nn sio kweli mnawasingizia.kama kuoa wapo wanao oa nje na wengine kwao yan kama unavyo ona tz au nchi zingine. Mademu wengi nawajua wameolewa na wanaigeria dada angu kachumbiwa na kazaa na mnaigeria na anaudumiwa mimi mwenyewe naishi na mnaigeria najua mbinu zao zotee juu mpaka chini na awajah eti nishawish sijui ujinga gan apana aisee anadanganya uyo ni mdangaji tuu sema alitaka utajiri wa haraka

    • @MightyLumber
      @MightyLumber 4 ปีที่แล้ว +1

      Mimi Mimi sikubishii kwani huwajuwi many Bigerians in the diaspora. Kwa miaka 22 sasa nina deal nao here in the diaspora. Wenyewe (wale wazuri) wanakataza Waafrika wengine wasitoke na watu wa kwao for obvious reasons. Ila wewe wa juzi unabisha iko siku you’ll be surprised by them.

    • @samirakiango957
      @samirakiango957 2 ปีที่แล้ว

      @@euniceeunice7680 kwendraaaa ndo walewale wauza ungaa nyoooko

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 2 หลายเดือนก่อน

      @@MightyLumberwanigeria sio watu wazuri kabisa Mimi nawajua na uwa sitaki niwajue sana hawajui hao wanigeria

  • @leoniaathuman1038
    @leoniaathuman1038 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni muongo, kasema ana miaka 26
    Alifingwa kwa miaka 18
    Inamaana alifungwa akiwa na miaka 8😱😱tena akiwa na mpenzi 😂

  • @nabintukadende2388
    @nabintukadende2388 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwaza mnabahati maana Sheria yauko Indonesia wana uwa watu wa wanao peleka dawa uko. Anyway poleni sana, ila wa Dada tamaana ni mbaya sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @godwinmmari6692
    @godwinmmari6692 4 ปีที่แล้ว +7

    Hawa Ni watu wawili tofauti Lilian wa Millard Ayo na Huyu wa Global hata sauti zao Ni tofaut pia na story zao Ni tofaut pia

    • @julitabonganda1549
      @julitabonganda1549 6 หลายเดือนก่อน

      Ni mtu mmoja

    • @SalmaYoram
      @SalmaYoram 5 หลายเดือนก่อน +3

      Dada ni muongo anaongea maneno tofauti kwa millard AYo kaongea vengine na uku vyengine cjpendraaa jpo.miaka miaka mingi imepita sasa hpo cha kujifunza nn kule rafiki uku boyfriend wabongo tuache uongo tunawez kosa msaada kwa wepec😢

    • @HalimaKaniki-s1d
      @HalimaKaniki-s1d 9 วันที่ผ่านมา

      Bado ajatolewa kweli​@@SalmaYoram

  • @FARAJIFADHILI-v6x
    @FARAJIFADHILI-v6x 11 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mdongo wangu Allah yupo uyu mwanamwanaume atakuukumu

  • @elisanjichanyange5485
    @elisanjichanyange5485 4 ปีที่แล้ว +3

    Lilian unatuchanganya kama si kutuongopea stories moja kwa 2.. Kwa Millard kule unaongea tofauti na hapa. Acha wenge uweze kusaidiwa

    • @pichunakichuna2111
      @pichunakichuna2111 4 ปีที่แล้ว +1

      Mrogo sana amna mtu anaye lazimishwa kubeba madawa

  • @piliomary8596
    @piliomary8596 4 ปีที่แล้ว +10

    Ni kwamba ndo kavurugwaa au mbona anatoa Story tofauti tofauti 🤨🤨Au kesi mbili tofauti ila zinakutana katikati 🤗 Haya pole kwake

    • @rachelkente8021
      @rachelkente8021 4 ปีที่แล้ว

      Mbona ndo vile vile na wewe wabongo kha!

    • @mwanajuma4743
      @mwanajuma4743 4 ปีที่แล้ว

      @@rachelkente8021 sio vile vile yaan yupo tofauti na kule alivyo,ongea kwa Millad

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 4 ปีที่แล้ว

      @@rachelkente8021 kasikilize vizuri

    • @nkiringikimagafusi9662
      @nkiringikimagafusi9662 4 ปีที่แล้ว

      Ni aseme yupo gereza gani watu wa Tz wakamtembelee wakahakikishe nikweli?

    • @nkiringikimagafusi9662
      @nkiringikimagafusi9662 4 ปีที่แล้ว

      Wa Tz wako wengi tu huko Indo wanaweza thibitisha hilo, yan sijasikia hata kataja gereza gani

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 11 หลายเดือนก่อน

    Pole sana. Mungu akusaidie

  • @ashura.sarige6
    @ashura.sarige6 4 ปีที่แล้ว +3

    Tamaa mbaya

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 หลายเดือนก่อน

    Tamaa ni mbaya sana. Hamna msamaha kwa muuzaji wa madawa ya kulevya huyu wangemnyonga tu huko huko Indonesia 🇮🇩

  • @mahmoudmohamed344
    @mahmoudmohamed344 4 ปีที่แล้ว +5

    Acha Uongo huyo mwenye Taxi si ungshtua ama ungepiga fujo njiani ungepata usaidizi.Sema kweli ni mambo ya kutaka pesa za haraka.Hata kama haelewi ungemwambia hata kwa Action angeelewa kwani Wa Tanzania wangapi wapo ulaya ama wa maasai na wapo ulaya .

    • @MwanaidiHamisimtupa
      @MwanaidiHamisimtupa 4 ปีที่แล้ว

      Kwa millad ayo kasema aliaidia dola elf tano na kasema alikenda na rafiki yake

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 หลายเดือนก่อน

    Wangemnyonga tu huko indonesia 🇮🇩 sina huruma kabisa na hawa watu wanaharibu sana ndugu zetu wanauwa ndugu zetu , wanawake wa kitanzania ni wababaikaji sana kuona ni mnigeria tayari amemkubalia awe mpenzi wake bila kumjua vizuri

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 4 ปีที่แล้ว +138

    Wadada ukimuona mnigeria kimbia kama kirusi cha corona

    • @emanuelmfanga5262
      @emanuelmfanga5262 4 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa kaka

    • @flowerpiusi7044
      @flowerpiusi7044 4 ปีที่แล้ว

      Heeeeeh iiih challengex

    • @ayushachidau6758
      @ayushachidau6758 4 ปีที่แล้ว

      Mungu atunusuru inshaallah

    • @ayushachidau6758
      @ayushachidau6758 4 ปีที่แล้ว

      Mungu atunusuru inshaallah

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว +2

      Nina Kaaa na mnaigeria mwaka wa 5 na nyumba kankjengea. Uyu dada muongo mbona kwa milady aliongea vingine apa anasema vingine mmmhhh

  • @utaani1
    @utaani1 2 หลายเดือนก่อน

    Indonesia nishaenda sana kwa sababu nimeowa kule. Hata nimerudi juzi kutoka Indonesia. Wa Indonesia wengi hawajui English rabda mji wa Bali

  • @katikatisafaris
    @katikatisafaris 4 ปีที่แล้ว +3

    Alafu kwanni Media kubwa kama hii, mnatunga story za uongo mkituaminisha ni kweli.
    Iyo story Milad Ayo ametoa.
    Nyie mmekuja mkatunga yenu kupuuzi sana, acheni izimambo
    Tutanza shindwa kuwaamini kwa hali hii

    • @kwizerajamila6682
      @kwizerajamila6682 4 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa yani ndo namim nashanga yani tofauti na ili interview ya ayo tv

  • @annieskitchen7210
    @annieskitchen7210 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana Lilian..May God lightenb Mheshimiwa JPM's heart to help.

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 4 ปีที่แล้ว +3

    Subhannalllah hatari pole sana

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 11 หลายเดือนก่อน

    Updates zake zipoje?

  • @hummymgaza6915
    @hummymgaza6915 4 ปีที่แล้ว +26

    Mmmh mbona story tofauti Na kwa Millard ayo 🤔🤔🤣🤣
    I don’t buy anything she sells.

  • @maujanjaonline
    @maujanjaonline 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nimesikiliza stori kwa Millard na hapa Global, naona ni stori mbili tofauti lakini mtu ni mmoja.

  • @rogathekowero8099
    @rogathekowero8099 4 ปีที่แล้ว +5

    Nimelia sana.pole sana Lilian mungu ni mwema utatoka tu amin hivyo

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 4 ปีที่แล้ว

    unajichanganya shoga ulisema shoga ako kwa millard huku unasema boy friend wako mwenzangu MAGU ashasema zamani ukikamatwa utatumikia kifungo sio kwa Magu pole sana kwa mitihani ila uckubali kuhojiwa sana mn watu watakua hawakuamini na hutoonelewa huruma mn hapa na millard story tofauti

  • @johanamagesa7709
    @johanamagesa7709 4 ปีที่แล้ว +12

    Huyu siyo mkweli airport kuna immagration
    Pale wanakagua passport je.kuna security

  • @mohdalwaili5289
    @mohdalwaili5289 4 ปีที่แล้ว +1

    Pole mama

  • @winniedaudi4670
    @winniedaudi4670 4 ปีที่แล้ว +8

    Sasa mbona story tofauti jmn 😃😃😃😃😃kwa stail hii utapata msaaada kweli nacheka lkn naogop😃😃😃😃😃

    • @roseedevooo1236
      @roseedevooo1236 4 ปีที่แล้ว +1

      Winnie Daudi yani hadi mimi nimeshangaa kwa millard ayo kabeba mwenyewe hapa kabebeshwa so which is which?

    • @neffycute7405
      @neffycute7405 4 ปีที่แล้ว

      Winnie Daudi yaan hadi mim nimeona nilitaka kusema Huyu muongo jaman

    • @tindokamuti8142
      @tindokamuti8142 4 ปีที่แล้ว

      Huyu Dada anatuchanganya sikuile kasimilua vyengine Leo vyengine

    • @winniesheba699
      @winniesheba699 4 ปีที่แล้ว

      😀😀😀😀

  • @tabithalimo2399
    @tabithalimo2399 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dah😢😢😢

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza5642 4 ปีที่แล้ว +4

    Hakuna mkamilifu ktk hii dunia kila mja anamapungufu yke.mkamilifu ni m.mungu t.
    Mh Rais magufuli msaidie huyu ndg yetu. Mungu atakulipa

  • @agapejosceline7683
    @agapejosceline7683 4 ปีที่แล้ว

    Duh pole sana dada.
    Najua ni vigumu kuishi gerezani tena mbaya zaidi mahali hakuna ndugu hata mja.sasa niki fika indonesia niku tafute wapi ?
    Naomba jina ya hiyo twon mahali una funga😭😭ila iwe fundisho kwako wa nigeria niwabaya mno

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe8083 4 ปีที่แล้ว +3

    Wacha kujitilisha huruma muongo wewe umeona kimenuka ulipokuwa airport kwanini usipige kerere kama kweli kazi hukuitaka tutakuhurumia kwa mengine lakin madawa ya kulevya wewe ni muuwaji ndugu zetu wanapoteza maisha kwa ajili ya watu kama nyinyi tubia sana tena sana na uache tamaa na iwe fundisho kwa wengine kama wewe nakuombea utoke Salama na uache tamaa

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      Kbs awa mbwa tuu jiulize ivi wangefanikiwa wangesema? Wauaji awa

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 4 ปีที่แล้ว +7

    Huyu ni muongo na mjinga kabisa anacho kieleza huku na alicho kiongea kwa Millard ayo ni tofauti kabisa

    • @nairobigirl5764
      @nairobigirl5764 3 ปีที่แล้ว

      Ghai ni muongo? Alisemaje huko

    • @Montana12-v2c
      @Montana12-v2c 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @Montana12-v2c
      @Montana12-v2c 2 หลายเดือนก่อน

      Dada ni muongo Sana huyu dawa hazimezwi Kwa mdomo mpuuuzi Sana huyu

    • @Montana12-v2c
      @Montana12-v2c 2 หลายเดือนก่อน

      Dawa zinaingizwa kwenye njia ya haja kubwa na sio mdomoni hapo Tu tayari kadanganya dayari

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 4 ปีที่แล้ว

    Dah! Pole sana ndugu.

  • @eugenejr.8844
    @eugenejr.8844 4 ปีที่แล้ว +3

    Mama's Love. Feeling sorry to her Mom.

  • @sandraasafisana811
    @sandraasafisana811 4 ปีที่แล้ว

    Inasokitusha kwa kweli poleni San mwanangu mungu yu pamoja nanyi maana daa maisha haya mpaka kufika mwisho ni mtihani.

  • @saidomar6806
    @saidomar6806 4 ปีที่แล้ว +6

    Yaani ma sister kaeni mbali wana Nigeria sio watu hata kidogo kwanza Mafremason pili wazee wamadawa yakulevya musiwe tamaa bora muniombe mm hata Elfu 30/ntakupa usonge ugali... Pole sn LiLian

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 4 ปีที่แล้ว

      Wanawake wa bongo wanatamaa alijua anachokifanya muongo huyo...hacha wewe kutuongopea sisi sio wajinga...ulikuwa na uwezo wa kukimbia...wamekugundua wenyewe...unajua mpaka majina yake ya uswahilini inavyoitwa....work....no mchezo wake

    • @gracemuhimba2982
      @gracemuhimba2982 4 ปีที่แล้ว

      @@solomtz7049 Yani amuombe mungu atamsaidia

  • @hamismpahaje9639
    @hamismpahaje9639 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana mdogo wangu allaha atakufanyia wepesi yatapita ayo ishaallah nakuoneya uruma sanaaaaa

  • @queenhusna5322
    @queenhusna5322 4 ปีที่แล้ว +4

    Uku kasema mnaijeria kwa Millard ayo kasema alikua na mkenya na rafikiyake ndio alimwambia kua ukitaka nyumba magari fanya biashara ya madawa. Na yeye akakubari lakini uku kaongopa ni tamaa zake mwenyewe kama za BINT KIWIZI

  • @judesammy9643
    @judesammy9643 4 ปีที่แล้ว +3

    Poleni sana
    God heal you guys 😭😭😭😭😭

  • @shalbanabarka9638
    @shalbanabarka9638 4 ปีที่แล้ว

    Huyu Dada ni. Muongo Tena ni. Mkatili. Alisha mfanya msichana mwenzake. Akamuundia kundi wakamfichia passport yake mpk. Akafungw huko. Nje miezi 2.. Alikusudiya muongo nae. Kaingiya jela Sasa mungu analipa

  • @JumbaMercyline
    @JumbaMercyline 4 ปีที่แล้ว +2

    Ladies need to be so careful especially while dating foreigners. before you travel for vacation with someone make sure you trust that person very well.

  • @msomalisony201
    @msomalisony201 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo pia wasichana wenzangu tuwe makini na watu wanje wanaume wa nchi za nje apo utasikia nimepata bwana wamaana Mwisho wa siku anakuchua nakukusafirisha unaondoka nashangwe apa Tanzania Mwisho wasiku uko mbele hujui utachokutana nacho

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 4 ปีที่แล้ว +3

    Huyu hajafungwa maisha yamempiga uko anatafuta ela za kutumia uko jela gani utaongea kwa Uhuru ivyo

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 2 ปีที่แล้ว

      😂😂😂 maybe she is not in jela

    • @issaMsangi-z2k
      @issaMsangi-z2k 2 หลายเดือนก่อน

      Ndugu yangu usiwaze ivyo Mimi mwenyewe naongeaga naye usiku sana nayupo jela kweli namfaham nijrani yangu tena alikamtwa akiwa Mdogo sana

    • @RahmaFaraji-e2k
      @RahmaFaraji-e2k 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@issaMsangi-z2kKwahiy mpk leo hajapata msaada jamani😢😢

    • @NasraAbasi-m9e
      @NasraAbasi-m9e 12 วันที่ผ่านมา

      ​@@issaMsangi-z2kkwann ana story mbili tofaut

  • @fathmaj4329
    @fathmaj4329 4 ปีที่แล้ว +2

    So sad...mungu akutangulie mdogo wangu

  • @victorpeter182
    @victorpeter182 4 ปีที่แล้ว +3

    Naomba ifomeshen nzima mm nijue cha kufanya lilian kessy

  • @paschalirweyemum1066
    @paschalirweyemum1066 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana liliani muombe mungu utashinda na utatoka

  • @summayyamaulid814
    @summayyamaulid814 4 ปีที่แล้ว +8

    dah pole cna dad Allah atakusaidia

  • @wildatmsellem7531
    @wildatmsellem7531 4 ปีที่แล้ว +2

    Story hai relate kabisa na ya mwanzo..mtu ata kama anataka kukusaidia anashindwa anakuhisi muongo

  • @jefftv5151
    @jefftv5151 4 ปีที่แล้ว +4

    Hiv huyu Dada alikuwa anafikiria nini kutoa story 2 tofauti kwenye online media 2 kubwa Tanzania jaman..... Hata kama mtu unataka kumsaidia siunakata taamaa??

    • @estajoan1285
      @estajoan1285 4 ปีที่แล้ว +1

      Amechanganiyikiwa uyu yani aongei ukweli uyu itakua alienda maleshia ndipo aripo Kutana na ao wanaigeria na kumpa ayo madawa kwasababu wasichana wengi wana teketea nchin maleshia kwa kubeba madawa na chanzo ni ao wanaigeria uyu itakua alibeba kwa kujua na kuaidiwa pesa lakini Indonesia ukikutwa na madawa ya watu wanakufa apo apo kg mbili miaka kumi kg tano na kuendelea ni unauliwa apo apo

    • @NasraAbasi-m9e
      @NasraAbasi-m9e 12 วันที่ผ่านมา

      Hajielewi

  • @aberashsobokamerga2866
    @aberashsobokamerga2866 4 ปีที่แล้ว

    Aki poleni sana mungu awafanyie wepesi

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 4 ปีที่แล้ว +4

    Nakumbuka Magufuli alisemaga mtanzania ukienda nje na ukakamatwa na madawa ya kulevyo utajuwa mwenyewe sasa sjuwi hili kama mtaeleweka

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 4 ปีที่แล้ว

      Hili asamehewe tuu alitegewa alidanganywa kimapenzi na kulazimishwa kama yule kaka aliyesema alitegewa mwanamke na kumpiga picha uchi kisha akayaka kum scandalize

    • @prisscakalasa4996
      @prisscakalasa4996 4 ปีที่แล้ว

      Apambane tuu na tamaa zake,coz kwanza anaonekana muongo muongo huu

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      @@d.a.t3383 sio kweli kasikilize kwa ayo uone uyu dada alivyo sema apa kabadilisha kiukweli kajichanganya. Amna anae weza kukulazimisha eti umeze madawa iyo aipo

  • @sarahwanjiru4760
    @sarahwanjiru4760 4 ปีที่แล้ว

    Aki serikari wasaindieni warundi watumikie vifungo nyumbani hao watu waindonisia hawapendi watu weusi nimekaa nao niwabaya sana wanaonaga kaa watu weusi ni wanyama nahurumia hao wafungwa tafathari serikari warundisheni nyumbani watumikie vifungo zao nyumbani.

  • @amotowntz6381
    @amotowntz6381 4 ปีที่แล้ว +4

    Yan we Dada ni Muongo balaa dah, kule kwa mirald ayo umesimulia tofauti na huku, ACHA UONGO DADA

    • @rahmamustapha4025
      @rahmamustapha4025 4 ปีที่แล้ว

      Kweli nakusapoti muongo sana maana story 2 tofauti

    • @amotowntz6381
      @amotowntz6381 4 ปีที่แล้ว

      Muongo sana aisee

    • @khalidndemo4386
      @khalidndemo4386 4 ปีที่แล้ว +1

      Usanii na uongo ndo ulompeleka jera aendelee kubaki huko mpaka anyooke

    • @nicedavid8536
      @nicedavid8536 4 ปีที่แล้ว +2

      Huyu dada kaongea uongo inawezekana wanomsaidia alimwambia abadili story aseme alilazimisha kumeza madawa ili asaidiwe kutoka gerezani, kwanini hakuwambia police ataje na hotel walipofanyia kitendo hicho,wangekamatwa maana lazima vitambulisho au passport itumike ili kupata hotel nchi za nje

    • @amotowntz6381
      @amotowntz6381 4 ปีที่แล้ว

      Itakuwa tunadanganywa hapa Wenda hata ni story za kutungwa tu

  • @AnnaMwikali-i1h
    @AnnaMwikali-i1h 2 หลายเดือนก่อน

    pole sana dadangu kwa mkasa

  • @christinaalexander1213
    @christinaalexander1213 4 ปีที่แล้ว +5

    Hivi wadada mnaotoka na wanigeria mnakwama wapi?

  • @esthernsami7732
    @esthernsami7732 4 ปีที่แล้ว

    Hili tatizo la Lili Kessy limewapata wasichana wengi.Tunaomba Serikali wakishirikiana na Interpol waangalie hili jambo na Nigerian na Ghanan wafukuzwa nchin kwetu.Hao hao ndio wanajihushana kupeleka wasichan India kwa biashara ya ngono.

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      Auna haki ya kumfukuza raia yyte yule ukifanya ivyo basi ata wtz watafukuzwa uko naigeria. Na mnawasingizia wanaigeria Kwan wanawashikia panga?bint kiziwi alipewa madawa na wanaigeria?kwanza alisema layer alipewa Dola 5k apa kasema dollars 6k mmmmhh

  • @happinesshezron9862
    @happinesshezron9862 4 ปีที่แล้ว +3

    Sasa tuamini story ipi maana kwa Millard story ni nyingine aaah

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana lilian

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 4 ปีที่แล้ว +6

    Mbona story tofauti?

  • @nuraalimata4670
    @nuraalimata4670 4 ปีที่แล้ว

    Wanawake wengi wa tz wanapenda iyo kazi sana tena sana kupenda utajii wahaaka

  • @chalhaj8626
    @chalhaj8626 4 ปีที่แล้ว +7

    Wa Nigeria wabaya sana jmn 😏🤦‍♀️

  • @margrethsalvatory1359
    @margrethsalvatory1359 4 ปีที่แล้ว +2

    Mambo haya jaman pole mpenzi mungu mwema atatenda kwako. Ila vyakuvamia wanaume wenye hela haya jaman.

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 4 ปีที่แล้ว +3

    Hyu mschana mbona haeleweki kwa millard asema vingine na kma kweli alipata tabu wakati yupo hotel kupigwa na kumeza dawa kwann alipo fika Airport asiende direct kwa mapolisi asipande ndege ndio ingekua vzr, hzo ndio shortcut

    • @nassorolaizer8486
      @nassorolaizer8486 4 ปีที่แล้ว

      ummu adam sauti zake kweli

    • @abdallasalim324
      @abdallasalim324 4 ปีที่แล้ว

      Ndy hapo ulipofka airport ukwenda kw askari moja kw moja

    • @abdallasalim324
      @abdallasalim324 4 ปีที่แล้ว

      Ndy mjifunze mkiwaona wanaume au mademu wa kina Nigeria muwe makini saaana hasa nyingi vijana tamaa mbele mauti nyuma, na muache zinaa inasababisha matatizo, na tusipende short kati ya maisha, tufanye kazi za halali

  • @lucky9285
    @lucky9285 3 ปีที่แล้ว

    Wadada kuweni macho na Wanigeria maana wanapenda sana kuwatumia Wadada wa East Africa

  • @chynabongoo3563
    @chynabongoo3563 4 ปีที่แล้ว +3

    Pole gift dah😢mpopo ni rafiki pale anapokushawishi yani akishakuponza sio rafiki yako mpopo mpende tu mapnz kaz zake asikuhusishe tena mkazie kabsa

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 4 ปีที่แล้ว +1

      Jamani who is mpopo?

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      @@claudiajames2003 mpopo ni watu wapigao kazi usiku awalali wanakesha so wanaigeria wanaitwa wapopo .

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      Uyo dada ni muongo alafu acheni kuwasingizia wanaigeria jamani mbona mimi Niko na mnaigeria mwaka wa 6 huu na bwana angu anaogopa biashara ya madawa kama ukimwi na ajawah ata nifundisha ujinga sema uyu dada alitaka pesa za haraka alizan atakua tajiri kama wengine. Swali ivi angefanikiwa Leo angetoa siri apa redioni?

  • @aypoul107
    @aypoul107 4 ปีที่แล้ว +1

    Polesana lilian kwa ajali ya maisha

  • @maryammohammad1148
    @maryammohammad1148 4 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana dada

    • @ulisajagaatufigwege4813
      @ulisajagaatufigwege4813 3 ปีที่แล้ว

      Ogopa SANA wachumba mpito msio wafahamu ,wadada wa kitanzania Wana huruka na wageni

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 4 ปีที่แล้ว +2

    Pole daa mungu yu pamoja nanyi

  • @neylicious_mollel5194
    @neylicious_mollel5194 4 ปีที่แล้ว +16

    V......uyuu dada muongo mbn stor yake inabadilika badilika...kwa millrd kasimulia ni rafk yk wa kike ndo kamponza apa kasimulia vingnee duuh ..kasimulia vngnee kabsaaa

    • @gaylegeneya8670
      @gaylegeneya8670 4 ปีที่แล้ว +5

      tena muongo kweli story aliyotoa mwanzo kwa Millard ni tofauti na hapo. ila labda kachanganyikiwa tusimuhukumu

    • @kmushendwa
      @kmushendwa 4 ปีที่แล้ว +3

      Acheni uongo nyie global halfu sio kila anachofanya millard na nyie mfanye mfyuuuu

    • @MaXa-io7sm
      @MaXa-io7sm 4 ปีที่แล้ว +1

      Huyu muongo mbona kwengine asema vingine waah

    • @beatricejohn1659
      @beatricejohn1659 4 ปีที่แล้ว +1

      Kumbe ukiifuatilia.. na alisema wale wanaume walipigwa risasi mbele yake.huku anasema aliuliza ule mlio ulikuwa wa nini

    • @beatricejohn1659
      @beatricejohn1659 4 ปีที่แล้ว +1

      Kwa milard ayo ulisema lawyer alipewa dola 5000 huku unasema dola 6000 sasa tuamini kipi???

  • @hamisijumanne4137
    @hamisijumanne4137 2 ปีที่แล้ว

    Duu pole Sana dada angu aiseee shida madada mnapenda Sana wanaume waela Ayo ndio mazala yake

  • @eshynassor5666
    @eshynassor5666 4 ปีที่แล้ว +4

    Mabinti acheni tamaa fanya kazi za halali mtafanikiwa

  • @alphalukas3682
    @alphalukas3682 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ata wasaidia atafanya njia kwenu

  • @jacksonpallangyo1369
    @jacksonpallangyo1369 4 ปีที่แล้ว +5

    Huyu dada afungwe hata30 maana ni muongo sana kwa millard ayo kasimulia tofauti kabisa

    • @misheckwilfred256
      @misheckwilfred256 4 ปีที่แล้ว

      Its dfcult understand zs madm uong mwng

    • @leilathango8411
      @leilathango8411 4 ปีที่แล้ว +1

      Yani kwa mllardy amesimulia mpaka nililia lakini huku mbona amesimulia tofauti

    • @amotowntz6381
      @amotowntz6381 4 ปีที่แล้ว

      Muongo sana yani alivyosimulia kwa mirald ayo nimetaka kulia ila huku kanifanya nihisi ni story za kutungwa

    • @mariamthomas9983
      @mariamthomas9983 4 ปีที่แล้ว

      Kwa mirad hayo me nililia kabisa hadi watu walinishangaa

    • @fatumashakoor9313
      @fatumashakoor9313 4 ปีที่แล้ว

      😂😂

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 4 ปีที่แล้ว +1

    Mmmh salisema ali shaishiwa na m Kenya ana haribu kubadilisha maneno nawakati anaomba msaada kwa serikari

  • @johnmaniha4852
    @johnmaniha4852 4 ปีที่แล้ว +4

    Uyu lilian kessy jaman muongo duuuuu kwny interview aliyofnya na millardayo kazungumza tofauti kbs,kua alikwenda Malaysia kutembea na rafiki wa kike Kenya.uyu demu anazingua wamfunge tu muongoooo mno

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 4 ปีที่แล้ว +2

    Lilian mbona kwa AYO TV umeeleza tofauti

  • @SamsungA-su2qj
    @SamsungA-su2qj 4 ปีที่แล้ว +5

    Wa Nigeria sio watu wazuri huku Doha wanafanya mambo mengi sana kama hayo yani ukimkubalia tu mapenzi basi lzm atakutenda tu dah ila nampa pole uyo ndugu yetu Lilian

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 4 ปีที่แล้ว

      Ukiwanao safarni ni walokole hatar.tangu ndege inaruka wataimba wanasali mpa ndege inatuwa wao ni kuimba na kuomba

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      Sio kweli

    • @SamsungA-su2qj
      @SamsungA-su2qj 4 ปีที่แล้ว

      @@euniceeunice7680 kwa hiyo ww umeambiwa Utoe comment au ku replie watu

    • @SamsungA-su2qj
      @SamsungA-su2qj 4 ปีที่แล้ว

      @@euniceeunice7680 wewe comment tu unavojua achana kabisa na mm staki kukufaham acha

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 4 ปีที่แล้ว

    Poleni sana mwanangu watoto wangu jamani acheni na wanaume wageni msiowajua na wenye Pesa

  • @d.a.t3383
    @d.a.t3383 4 ปีที่แล้ว +3

    Na ukweli alilazimishwa kufanya kazi hiyo

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 4 ปีที่แล้ว

    Mnapenda sna kuwashobokea wanigeria aisee wazungu wenyewe wnawajua vizur hao mbwa ni washenzi kupindukia alafu mnadil nao , Mnigeria ankuaje lafiki yako kmlamama yake.. Tabia za Shobo Dada zang zitawaponza

  • @dominatryphone7027
    @dominatryphone7027 4 ปีที่แล้ว +4

    Huku ndo umeeleza ukweli kwa mirlad umedanganya cjui ulikuwa unamuogopa..

  • @moussamoussa6166
    @moussamoussa6166 2 หลายเดือนก่อน

    Kwanza ni stori ya kitoto, haina shingo wala miguu. Unajua ukifika Airport pale kaunta unakuwapo peke yako unafanya checking. Sasa kabla hata kuingia kwenye ndege alikuwa atowe ripoti pale plae kwa polisi, kabla hajapanda ndege. Unajua hizi stori za unga ndugu zetu ni tamaa wanakubali wenyewe kufanya lakini wakisha kukamatwa ndio wanasingizia wanaume zao. Ange Win angejisifu na akajiita yeye ni Hasla. Mimi nampa pole, lakini kazi ya madawa ya kulevya si kazi ya kufanya kwa kweli. Watu wanapenda utajiri hawataki kuwa masikini.

  • @ibrahimbashir4778
    @ibrahimbashir4778 4 ปีที่แล้ว +8

    Muongo huyu demu inavyo onekana kashabeba sana sema ndio hivyo tu ajari kazini, Madawa tumboni anayaita kazi iyo inadhihirisha ndio ilikua shughuli zake, Mungu na Wanaadamu 🙏🙏🙏🙏

    • @jefenggg3442
      @jefenggg3442 4 ปีที่แล้ว +2

      Ibrahim Bashir usimuhukumu maana hata pia ww hujaukumiwa.

    • @thomasmassawe4474
      @thomasmassawe4474 4 ปีที่แล้ว

      Wew story zako😜

    • @nahyialetomia9284
      @nahyialetomia9284 4 ปีที่แล้ว +1

      Story tofauti na ile ya Ayo.

    • @lwagamwakalinga5276
      @lwagamwakalinga5276 4 ปีที่แล้ว +2

      No wadada zetu jitulizeni msitake short cut,Dada hii kitu kwa maelezo yako ulijua vizuri from the beginning ila unaruka tu kwa vile dili limekuwa dirisha

    • @zuhuramustafa3936
      @zuhuramustafa3936 4 ปีที่แล้ว +1

      @@nahyialetomia9284 kabis ata mimi nimesikiliz KWa Milldy tofaut na hii

  • @veronicanyakire9807
    @veronicanyakire9807 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyo mkenya nae anajijua ana ukimwi anashindwa kujihurumia mwenyewe ila kuuza madawa ndo kaona faida kwake!! Akili zingine hovyo kabisa!!!

  • @alicedavido1330
    @alicedavido1330 4 ปีที่แล้ว +7

    Ndio huyu amemsimulia Millard Ayo

    • @saadizm
      @saadizm 4 ปีที่แล้ว

      Hatujui ila story haziendani

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 ปีที่แล้ว +1

    Walimwengu uwa wanasemaga mfungwa achagui gereza yote ayo ni mitiani ya maisha ni kumuomba mungu tu muwe salama mpaka apo watakapoamua wenyewe kuwafungulia na kurudi nyumbani kujumuika na familia uku kurizungusha gurudumu la maendeleo mungu ataweka wepesi wake mtatoka salama

  • @mwajumakweli7931
    @mwajumakweli7931 4 ปีที่แล้ว +26

    Uyu Dada muongo mwanzo alisema lafiki leo bwana tena mmh