MTANZANIA ALIYEFUNGWA MIAKA 18 INDONESIA - ASIMULIA MPENZI WAKE ALIVYOMPONZA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • MTANZANIA ALIYEFUNGWA MIAKA 18 INDONESIA - ASIMULIA MPENZI WAKE ALIVYOMPONZA...
    HII ni simulizi ya kusisimua ya Mtanzania, Lilian Kessy, anayetumikia kifungo cha miaka 18 nchini Indonesia mara baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya....
    Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    iOS:apple.co/38HjiCx
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
    (+255 739 750 910)
    (+255 676 229628)
    Email: globaltvbest@gmail.com
    abbymrisho@gmail.com
    HABARI MPYA DAILY:
    bit.ly/habarimpya
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    bit.ly/mikasa_y...
    GLOBAL RADIO TV:
    bit.ly/255globa...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    bit.ly/exclusiv...
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    bit.ly/exclusiv...

ความคิดเห็น • 885

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 หลายเดือนก่อน +1

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 4 ปีที่แล้ว +9

    Waa hao ma Oga ni watu hatari Sana poleni may God see you through +254 🇰🇪

  • @africanbeauty6556
    @africanbeauty6556 4 ปีที่แล้ว +2

    Indonesia it's not a joke 😭 Jamani Indonesia siyo mchezo Mimi najua I travel alot to Asia with my husband for holidays when were young before we had children .Asia siyo kuzuri watu wabaya sana Kwanza hapo walipo mpaka Sasa ni kwa neema ya Mungu tu .

  • @fatumaseleman1579
    @fatumaseleman1579 4 ปีที่แล้ว +32

    Mungu ninusuru na kizazi changu 👏👏😭

    • @latifacholobi4283
      @latifacholobi4283 4 ปีที่แล้ว +1

      Hayajawakuta semeni muwezavyo ila Mimi nimemuelewa vzr tu raisi magu msaidie binti huyo kwakweli

  • @sabathdaychannel2985
    @sabathdaychannel2985 3 ปีที่แล้ว +2

    Poleni sana ndungu zetu Mkenya pamoja na mtanzania yote mnayo yapitia Mungu atawaokoa na mtatoka salama amen

    • @nanaaalice8921
      @nanaaalice8921 3 ปีที่แล้ว

      Poleni sana mpango wa mungu hauna makosa sauti zenu zimesambaa dunianikote huenda mkapata msada mungu ikopamoja nanyinyi.

  • @peterdaud8905
    @peterdaud8905 4 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana Dada Lilian na Purity Mungu atawasimamia mtarudi nyumbani salama. Muwe na Iman na matumaini.

  • @EstherJerald-tc6ct
    @EstherJerald-tc6ct หลายเดือนก่อน

    Pole sana Lilian
    Tulia ukimaliza miaka yako rudi nyumbani wasije wakakufanyia mbaya huko zaidi mtumaini Mungu atakuvusha

  • @godwinmmari6692
    @godwinmmari6692 4 ปีที่แล้ว +6

    Hawa Ni watu wawili tofauti Lilian wa Millard Ayo na Huyu wa Global hata sauti zao Ni tofaut pia na story zao Ni tofaut pia

  • @mrsmrsjj1745
    @mrsmrsjj1745 4 ปีที่แล้ว +23

    Pole sana moyo unaniuma binaadamu hakuna mkamilifu tumuombee dua mwenzetu

  • @estajoan1285
    @estajoan1285 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana Liliani ata ivo Mungu anakupenda kwa uku Indonesia ukipatikana na madawa ya kulevya ua wanauliwa apo apo kg mbili miaka kumi kg tano kwenda mbele unauwawa kabisa usjari Mungu atakufanikisha amen

  • @elisanjichanyange5485
    @elisanjichanyange5485 4 ปีที่แล้ว +3

    Lilian unatuchanganya kama si kutuongopea stories moja kwa 2.. Kwa Millard kule unaongea tofauti na hapa. Acha wenge uweze kusaidiwa

    • @pichunakichuna2111
      @pichunakichuna2111 3 ปีที่แล้ว

      Mrogo sana amna mtu anaye lazimishwa kubeba madawa

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 4 ปีที่แล้ว +136

    Wadada ukimuona mnigeria kimbia kama kirusi cha corona

    • @emanuelmfanga5262
      @emanuelmfanga5262 4 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa kaka

    • @flowerpiusi7044
      @flowerpiusi7044 4 ปีที่แล้ว

      Heeeeeh iiih challengex

    • @ayushachidau6758
      @ayushachidau6758 4 ปีที่แล้ว

      Mungu atunusuru inshaallah

    • @ayushachidau6758
      @ayushachidau6758 4 ปีที่แล้ว

      Mungu atunusuru inshaallah

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว +2

      Nina Kaaa na mnaigeria mwaka wa 5 na nyumba kankjengea. Uyu dada muongo mbona kwa milady aliongea vingine apa anasema vingine mmmhhh

  • @barakashilumba1103
    @barakashilumba1103 4 ปีที่แล้ว +17

    Dah pole sana inauma yaan kosa la mwingine likawa lake napenda kumpa pole mungu atakusadia

  • @abuibra
    @abuibra 4 ปีที่แล้ว +2

    Muongo tu,AIRPORT kuna police kaa jela hata miaka 1000,mshenzi mkubwa mnawadhuru vijana na kupoteza maisha yao pumbavu mdudu we mnaweka hela mbele kuliko maisha ya MTU.washenzi wote mfeni jela.

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 4 ปีที่แล้ว +15

    Pole sana Lilian naamini Mungu atajalia utoke, ila hili litakuwa funzo kwa wengine wengi.

    • @nashbeka9992
      @nashbeka9992 4 ปีที่แล้ว

      Samwel Hechei usimpe mtu Pole kabla hujajua stori yake..msaniii Huyu ana stahili malipo ya show zake

    • @samwelhechei8537
      @samwelhechei8537 4 ปีที่แล้ว

      @@nashbeka9992 sawa, ila amekiri alikosea Sana na Mungu ni mwenye Rehema nyingi sana. Pia ndo maana nimesema pia liwe funzo kwa wengine wenye tabia kama hizo

  • @mahmoudmohamed344
    @mahmoudmohamed344 4 ปีที่แล้ว +4

    Acha Uongo huyo mwenye Taxi si ungshtua ama ungepiga fujo njiani ungepata usaidizi.Sema kweli ni mambo ya kutaka pesa za haraka.Hata kama haelewi ungemwambia hata kwa Action angeelewa kwani Wa Tanzania wangapi wapo ulaya ama wa maasai na wapo ulaya .

    • @MwanaidiHamisimtupa
      @MwanaidiHamisimtupa 4 ปีที่แล้ว

      Kwa millad ayo kasema aliaidia dola elf tano na kasema alikenda na rafiki yake

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 4 ปีที่แล้ว +6

    Huyu ni muongo na mjinga kabisa anacho kieleza huku na alicho kiongea kwa Millard ayo ni tofauti kabisa

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza5642 4 ปีที่แล้ว +4

    Hakuna mkamilifu ktk hii dunia kila mja anamapungufu yke.mkamilifu ni m.mungu t.
    Mh Rais magufuli msaidie huyu ndg yetu. Mungu atakulipa

  • @MightyLumber
    @MightyLumber 4 ปีที่แล้ว +4

    Mademu wa kitanzania ni hivi, anytime unatembea na mnigeria ujuwe unatumiwa tu, Mnigeria hawezi oa mtu mwingine kwa nia nzuri....Mademu wa Kitanzania wengi sana wanatumiwa na Nigerians kisha mwisho wa siku wanauliwa kinyemela.

    • @maryamnestory7788
      @maryamnestory7788 4 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa wale si watu hata 0 wauaji wale

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      Sio kweli ww amna ujualo ninakaa na wanaigeria miaka 6 sasa amna alipo ua wala kumtumia mtu.sikia nenda kwa milard ayo usikize story uyuu lili muongo kule kaongea vingine uku vingine yyt anae msema mnaigeria vby jua uyo amjui mnaigeria. Wanaigeria 24/7 wanawaza pesa tuu kwa deal tofauti sio kama wabongo kuuza sura wanaigeria wanajituma aijalishi utapeli au madawa wao wanataka pesa na ndio maana nchi yao imeendelea. Amna mnaigeria atae mtumia msichana bila sababu sio kweli lzm mkubaliane mpige deal na mgawane ela ila kuua sijui nn sio kweli mnawasingizia.kama kuoa wapo wanao oa nje na wengine kwao yan kama unavyo ona tz au nchi zingine. Mademu wengi nawajua wameolewa na wanaigeria dada angu kachumbiwa na kazaa na mnaigeria na anaudumiwa mimi mwenyewe naishi na mnaigeria najua mbinu zao zotee juu mpaka chini na awajah eti nishawish sijui ujinga gan apana aisee anadanganya uyo ni mdangaji tuu sema alitaka utajiri wa haraka

    • @MightyLumber
      @MightyLumber 4 ปีที่แล้ว

      Mimi Mimi sikubishii kwani huwajuwi many Bigerians in the diaspora. Kwa miaka 22 sasa nina deal nao here in the diaspora. Wenyewe (wale wazuri) wanakataza Waafrika wengine wasitoke na watu wa kwao for obvious reasons. Ila wewe wa juzi unabisha iko siku you’ll be surprised by them.

    • @samirakiango957
      @samirakiango957 ปีที่แล้ว

      @@euniceeunice7680 kwendraaaa ndo walewale wauza ungaa nyoooko

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe8083 4 ปีที่แล้ว +3

    Wacha kujitilisha huruma muongo wewe umeona kimenuka ulipokuwa airport kwanini usipige kerere kama kweli kazi hukuitaka tutakuhurumia kwa mengine lakin madawa ya kulevya wewe ni muuwaji ndugu zetu wanapoteza maisha kwa ajili ya watu kama nyinyi tubia sana tena sana na uache tamaa na iwe fundisho kwa wengine kama wewe nakuombea utoke Salama na uache tamaa

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      Kbs awa mbwa tuu jiulize ivi wangefanikiwa wangesema? Wauaji awa

  • @princessjoyce3076
    @princessjoyce3076 4 ปีที่แล้ว

    Jamani mungu akusaidie kessy nilikuwa nampango wakuja kukutembelea kwenye mang'ereza JARKATA INDONESIA kabla sijasafiri lakini bado nakuja Tena JARKATA INDONESIA after lockdown Kama mtumishi wa mungu nitakuja na ninamiini mungu atakuvusha.. Naomba jamani msiwe wepesi wakuhukumu.

  • @abuuaymankhudhaifa7981
    @abuuaymankhudhaifa7981 4 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana Lilian. Ila tatizo dada zetu wabongo mnashobokeaga sana jamaa wageni.

  • @asiamalonji5962
    @asiamalonji5962 2 ปีที่แล้ว +1

    Adi nimelia jamanii hatupaswi kuukumu yote ni kutafuta maisha na binadamu sote kwenye uelewa tumetofautiana doh mungu atusaidie

  • @katikatisafaris
    @katikatisafaris 4 ปีที่แล้ว +3

    Alafu kwanni Media kubwa kama hii, mnatunga story za uongo mkituaminisha ni kweli.
    Iyo story Milad Ayo ametoa.
    Nyie mmekuja mkatunga yenu kupuuzi sana, acheni izimambo
    Tutanza shindwa kuwaamini kwa hali hii

    • @kwizerajamila6682
      @kwizerajamila6682 4 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa yani ndo namim nashanga yani tofauti na ili interview ya ayo tv

  • @hummymgaza6915
    @hummymgaza6915 4 ปีที่แล้ว +25

    Mmmh mbona story tofauti Na kwa Millard ayo 🤔🤔🤣🤣
    I don’t buy anything she sells.

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 4 ปีที่แล้ว

    unajichanganya shoga ulisema shoga ako kwa millard huku unasema boy friend wako mwenzangu MAGU ashasema zamani ukikamatwa utatumikia kifungo sio kwa Magu pole sana kwa mitihani ila uckubali kuhojiwa sana mn watu watakua hawakuamini na hutoonelewa huruma mn hapa na millard story tofauti

  • @johanamagesa7709
    @johanamagesa7709 4 ปีที่แล้ว +12

    Huyu siyo mkweli airport kuna immagration
    Pale wanakagua passport je.kuna security

  • @piliomary8596
    @piliomary8596 4 ปีที่แล้ว +9

    Ni kwamba ndo kavurugwaa au mbona anatoa Story tofauti tofauti 🤨🤨Au kesi mbili tofauti ila zinakutana katikati 🤗 Haya pole kwake

    • @rachelkente8021
      @rachelkente8021 4 ปีที่แล้ว

      Mbona ndo vile vile na wewe wabongo kha!

    • @mwanajuma4743
      @mwanajuma4743 4 ปีที่แล้ว

      @@rachelkente8021 sio vile vile yaan yupo tofauti na kule alivyo,ongea kwa Millad

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 4 ปีที่แล้ว

      @@rachelkente8021 kasikilize vizuri

    • @nkiringikimagafusi9662
      @nkiringikimagafusi9662 4 ปีที่แล้ว

      Ni aseme yupo gereza gani watu wa Tz wakamtembelee wakahakikishe nikweli?

    • @nkiringikimagafusi9662
      @nkiringikimagafusi9662 4 ปีที่แล้ว

      Wa Tz wako wengi tu huko Indo wanaweza thibitisha hilo, yan sijasikia hata kataja gereza gani

  • @queenhusna5322
    @queenhusna5322 4 ปีที่แล้ว +4

    Uku kasema mnaijeria kwa Millard ayo kasema alikua na mkenya na rafikiyake ndio alimwambia kua ukitaka nyumba magari fanya biashara ya madawa. Na yeye akakubari lakini uku kaongopa ni tamaa zake mwenyewe kama za BINT KIWIZI

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 4 ปีที่แล้ว +3

    Huyu hajafungwa maisha yamempiga uko anatafuta ela za kutumia uko jela gani utaongea kwa Uhuru ivyo

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 2 ปีที่แล้ว

      😂😂😂 maybe she is not in jela

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn 4 หลายเดือนก่อน

    Mhg miaka 18 jmn kwan walimkuta na kilo ngap jmn mbon mingi sanaaa😢😢😢😢😢😢

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 ปีที่แล้ว +1

    Walimwengu uwa wanasemaga mfungwa achagui gereza yote ayo ni mitiani ya maisha ni kumuomba mungu tu muwe salama mpaka apo watakapoamua wenyewe kuwafungulia na kurudi nyumbani kujumuika na familia uku kurizungusha gurudumu la maendeleo mungu ataweka wepesi wake mtatoka salama

  • @wildatmsellem7531
    @wildatmsellem7531 4 ปีที่แล้ว +2

    Story hai relate kabisa na ya mwanzo..mtu ata kama anataka kukusaidia anashindwa anakuhisi muongo

  • @veronicanyakire9807
    @veronicanyakire9807 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyo mkenya nae anajijua ana ukimwi anashindwa kujihurumia mwenyewe ila kuuza madawa ndo kaona faida kwake!! Akili zingine hovyo kabisa!!!

  • @msomalisony201
    @msomalisony201 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo pia wasichana wenzangu tuwe makini na watu wanje wanaume wa nchi za nje apo utasikia nimepata bwana wamaana Mwisho wa siku anakuchua nakukusafirisha unaondoka nashangwe apa Tanzania Mwisho wasiku uko mbele hujui utachokutana nacho

  • @margrethsalvatory1359
    @margrethsalvatory1359 4 ปีที่แล้ว +2

    Mambo haya jaman pole mpenzi mungu mwema atatenda kwako. Ila vyakuvamia wanaume wenye hela haya jaman.

  • @fridajosephyusif4364
    @fridajosephyusif4364 4 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana

  • @rogathekowero8099
    @rogathekowero8099 4 ปีที่แล้ว +5

    Nimelia sana.pole sana Lilian mungu ni mwema utatoka tu amin hivyo

  • @saidomar6806
    @saidomar6806 4 ปีที่แล้ว +6

    Yaani ma sister kaeni mbali wana Nigeria sio watu hata kidogo kwanza Mafremason pili wazee wamadawa yakulevya musiwe tamaa bora muniombe mm hata Elfu 30/ntakupa usonge ugali... Pole sn LiLian

    • @solomtz7049
      @solomtz7049 4 ปีที่แล้ว

      Wanawake wa bongo wanatamaa alijua anachokifanya muongo huyo...hacha wewe kutuongopea sisi sio wajinga...ulikuwa na uwezo wa kukimbia...wamekugundua wenyewe...unajua mpaka majina yake ya uswahilini inavyoitwa....work....no mchezo wake

    • @gracemuhimba2982
      @gracemuhimba2982 4 ปีที่แล้ว

      @@solomtz7049 Yani amuombe mungu atamsaidia

  • @sarahtaste2876
    @sarahtaste2876 4 ปีที่แล้ว +15

    Uyu mama kaniumiza sana embu watoto tulieni jmn mnaumiza wazazi

    • @dominatryphone7027
      @dominatryphone7027 4 ปีที่แล้ว

      Jamani jamani

    • @yukundapeter7986
      @yukundapeter7986 3 ปีที่แล้ว

      Cku zile kwa Milard hivi! Leo tena tofauti,Usaidizi wangu ilikuwa MAOMBI,Kwa uongo huo komaa bibi,unakuta bint hataki hata kupika kula hotel,nguo afuliwe kwa hela wakati huna kazi,kujirusha,Naanzaje kumwambia Mungu huyu mdada awe huru,wakati alisema asofanya kazi axle?Kubali yaishe,maana ungetoboa waTz 2cngekunywa maji!.

  • @esthernsami7732
    @esthernsami7732 4 ปีที่แล้ว

    Hili tatizo la Lili Kessy limewapata wasichana wengi.Tunaomba Serikali wakishirikiana na Interpol waangalie hili jambo na Nigerian na Ghanan wafukuzwa nchin kwetu.Hao hao ndio wanajihushana kupeleka wasichan India kwa biashara ya ngono.

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      Auna haki ya kumfukuza raia yyte yule ukifanya ivyo basi ata wtz watafukuzwa uko naigeria. Na mnawasingizia wanaigeria Kwan wanawashikia panga?bint kiziwi alipewa madawa na wanaigeria?kwanza alisema layer alipewa Dola 5k apa kasema dollars 6k mmmmhh

  • @amotowntz6381
    @amotowntz6381 4 ปีที่แล้ว +4

    Yan we Dada ni Muongo balaa dah, kule kwa mirald ayo umesimulia tofauti na huku, ACHA UONGO DADA

    • @rahmamustapha4025
      @rahmamustapha4025 4 ปีที่แล้ว

      Kweli nakusapoti muongo sana maana story 2 tofauti

    • @amotowntz6381
      @amotowntz6381 4 ปีที่แล้ว

      Muongo sana aisee

    • @khalidndemo4386
      @khalidndemo4386 4 ปีที่แล้ว +1

      Usanii na uongo ndo ulompeleka jera aendelee kubaki huko mpaka anyooke

    • @nicedavid8536
      @nicedavid8536 4 ปีที่แล้ว +2

      Huyu dada kaongea uongo inawezekana wanomsaidia alimwambia abadili story aseme alilazimisha kumeza madawa ili asaidiwe kutoka gerezani, kwanini hakuwambia police ataje na hotel walipofanyia kitendo hicho,wangekamatwa maana lazima vitambulisho au passport itumike ili kupata hotel nchi za nje

    • @amotowntz6381
      @amotowntz6381 4 ปีที่แล้ว

      Itakuwa tunadanganywa hapa Wenda hata ni story za kutungwa tu

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 3 ปีที่แล้ว

    Mnapenda sna kuwashobokea wanigeria aisee wazungu wenyewe wnawajua vizur hao mbwa ni washenzi kupindukia alafu mnadil nao , Mnigeria ankuaje lafiki yako kmlamama yake.. Tabia za Shobo Dada zang zitawaponza

  • @aberashsobokamerga2866
    @aberashsobokamerga2866 4 ปีที่แล้ว

    Aki poleni sana mungu awafanyie wepesi

  • @sandraasafisana811
    @sandraasafisana811 4 ปีที่แล้ว

    Inasokitusha kwa kweli poleni San mwanangu mungu yu pamoja nanyi maana daa maisha haya mpaka kufika mwisho ni mtihani.

  • @agapejosceline7683
    @agapejosceline7683 3 ปีที่แล้ว

    Duh pole sana dada.
    Najua ni vigumu kuishi gerezani tena mbaya zaidi mahali hakuna ndugu hata mja.sasa niki fika indonesia niku tafute wapi ?
    Naomba jina ya hiyo twon mahali una funga😭😭ila iwe fundisho kwako wa nigeria niwabaya mno

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi 5 หลายเดือนก่อน

    Mkome kitu kinaitwa MuNigeria nyie wasichana na pesa zao chafu. WaNigeria wale si watu bali ni wanyama wa kuuliwa kama mbwa mkiwaona mitaani yenyu. Hawa maumbwa wameingiza wasichana wengi wazuri kwa mitego hatari ya madawa ya kulevya na kuharibu maisha ya watoto wa watu. 🇰🇪

  • @ashura.sarige6
    @ashura.sarige6 4 ปีที่แล้ว +3

    Tamaa mbaya

  • @maujanjaonline
    @maujanjaonline 26 วันที่ผ่านมา

    Nimesikiliza stori kwa Millard na hapa Global, naona ni stori mbili tofauti lakini mtu ni mmoja.

  • @SamsungA-su2qj
    @SamsungA-su2qj 4 ปีที่แล้ว +5

    Wa Nigeria sio watu wazuri huku Doha wanafanya mambo mengi sana kama hayo yani ukimkubalia tu mapenzi basi lzm atakutenda tu dah ila nampa pole uyo ndugu yetu Lilian

    • @azizaz1628
      @azizaz1628 4 ปีที่แล้ว

      Ukiwanao safarni ni walokole hatar.tangu ndege inaruka wataimba wanasali mpa ndege inatuwa wao ni kuimba na kuomba

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      Sio kweli

    • @SamsungA-su2qj
      @SamsungA-su2qj 4 ปีที่แล้ว

      @@euniceeunice7680 kwa hiyo ww umeambiwa Utoe comment au ku replie watu

    • @SamsungA-su2qj
      @SamsungA-su2qj 4 ปีที่แล้ว

      @@euniceeunice7680 wewe comment tu unavojua achana kabisa na mm staki kukufaham acha

  • @amosimichael208
    @amosimichael208 4 ปีที่แล้ว +5

    Kuweni makini Nigeria guys sio watu wakuweka urafiki nao so muda hizo ishu pia India wamenunua wanawake wengi kuja India kwa ngono pia hadi wakenya kuweni makini nao pia MTU yeyote tusipende mkato jaman
    Inauma sana huyo sister no way-out Mungu amtete.

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      Sio kweli acha uongo uhuzaji wa ngono upo tangia dunia kuumbwa msiwasingizie wanaigeria nakataa. Uyo lili anatoa story tofauti kila kukicha

  • @summayyamaulid814
    @summayyamaulid814 4 ปีที่แล้ว +8

    dah pole cna dad Allah atakusaidia

  • @nabu.barbim9219
    @nabu.barbim9219 3 ปีที่แล้ว

    Jmn mkipataa mwanaumee tofauti na mtanzania kimbiaa mita elf 10

  • @user-oy8gk5fj2e
    @user-oy8gk5fj2e 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mdongo wangu Allah yupo uyu mwanamwanaume atakuukumu

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว

    Jmn jmn pole sana dada yetu. Pia nasisi wadada tunapenda wanaume wa nje tukiamini wanamaisha mazuri na pesa.

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 4 ปีที่แล้ว +1

    Mmmh salisema ali shaishiwa na m Kenya ana haribu kubadilisha maneno nawakati anaomba msaada kwa serikari

  • @jefftv5151
    @jefftv5151 4 ปีที่แล้ว +4

    Hiv huyu Dada alikuwa anafikiria nini kutoa story 2 tofauti kwenye online media 2 kubwa Tanzania jaman..... Hata kama mtu unataka kumsaidia siunakata taamaa??

    • @estajoan1285
      @estajoan1285 4 ปีที่แล้ว +1

      Amechanganiyikiwa uyu yani aongei ukweli uyu itakua alienda maleshia ndipo aripo Kutana na ao wanaigeria na kumpa ayo madawa kwasababu wasichana wengi wana teketea nchin maleshia kwa kubeba madawa na chanzo ni ao wanaigeria uyu itakua alibeba kwa kujua na kuaidiwa pesa lakini Indonesia ukikutwa na madawa ya watu wanakufa apo apo kg mbili miaka kumi kg tano na kuendelea ni unauliwa apo apo

  • @chalhaj8626
    @chalhaj8626 4 ปีที่แล้ว +7

    Wa Nigeria wabaya sana jmn 😏🤦‍♀️

  • @edwardmsongelwa5455
    @edwardmsongelwa5455 3 ปีที่แล้ว

    Pole sana Ni kuto Kijua au vinginezo Nani ASIO jua Za WA Nigeria Ni WA madawa ya kulevya Ni hatari sana

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 4 ปีที่แล้ว +4

    Nakumbuka Magufuli alisemaga mtanzania ukienda nje na ukakamatwa na madawa ya kulevyo utajuwa mwenyewe sasa sjuwi hili kama mtaeleweka

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 4 ปีที่แล้ว

      Hili asamehewe tuu alitegewa alidanganywa kimapenzi na kulazimishwa kama yule kaka aliyesema alitegewa mwanamke na kumpiga picha uchi kisha akayaka kum scandalize

    • @prisscakalasa4996
      @prisscakalasa4996 4 ปีที่แล้ว

      Apambane tuu na tamaa zake,coz kwanza anaonekana muongo muongo huu

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      @@d.a.t3383 sio kweli kasikilize kwa ayo uone uyu dada alivyo sema apa kabadilisha kiukweli kajichanganya. Amna anae weza kukulazimisha eti umeze madawa iyo aipo

  • @annieskitchen7210
    @annieskitchen7210 3 ปีที่แล้ว

    Pole sana Lilian..May God lightenb Mheshimiwa JPM's heart to help.

  • @sarahogama9540
    @sarahogama9540 4 ปีที่แล้ว

    Huyu dada ndio mjinga hapohapo hospitali ndio angejifanya chizi kisha awaeleze hao madaktari wangemsaidia ata akapewa ulinzi mkali hadi kurudishwa kwao Tanzania na hao jamaa wangeshikwa

  • @hamismpahaje9639
    @hamismpahaje9639 3 ปีที่แล้ว

    Pole sana mdogo wangu allaha atakufanyia wepesi yatapita ayo ishaallah nakuoneya uruma sanaaaaa

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 ปีที่แล้ว +3

    Subhannalllah hatari pole sana

  • @ibrahimbashir4778
    @ibrahimbashir4778 4 ปีที่แล้ว +9

    Muongo huyu demu inavyo onekana kashabeba sana sema ndio hivyo tu ajari kazini, Madawa tumboni anayaita kazi iyo inadhihirisha ndio ilikua shughuli zake, Mungu na Wanaadamu 🙏🙏🙏🙏

    • @jefenggg3442
      @jefenggg3442 4 ปีที่แล้ว +2

      Ibrahim Bashir usimuhukumu maana hata pia ww hujaukumiwa.

    • @thomasmassawe4474
      @thomasmassawe4474 4 ปีที่แล้ว

      Wew story zako😜

    • @nahyialetomia9284
      @nahyialetomia9284 4 ปีที่แล้ว +1

      Story tofauti na ile ya Ayo.

    • @lwagamwakalinga5276
      @lwagamwakalinga5276 4 ปีที่แล้ว +2

      No wadada zetu jitulizeni msitake short cut,Dada hii kitu kwa maelezo yako ulijua vizuri from the beginning ila unaruka tu kwa vile dili limekuwa dirisha

    • @zuhuramustafa3936
      @zuhuramustafa3936 4 ปีที่แล้ว +1

      @@nahyialetomia9284 kabis ata mimi nimesikiliz KWa Milldy tofaut na hii

  • @nabintukadende2388
    @nabintukadende2388 3 ปีที่แล้ว

    Kwaza mnabahati maana Sheria yauko Indonesia wana uwa watu wa wanao peleka dawa uko. Anyway poleni sana, ila wa Dada tamaana ni mbaya sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jacksonpallangyo1369
    @jacksonpallangyo1369 4 ปีที่แล้ว +5

    Huyu dada afungwe hata30 maana ni muongo sana kwa millard ayo kasimulia tofauti kabisa

    • @misheckwilfred256
      @misheckwilfred256 4 ปีที่แล้ว

      Its dfcult understand zs madm uong mwng

    • @leilathango8411
      @leilathango8411 4 ปีที่แล้ว +1

      Yani kwa mllardy amesimulia mpaka nililia lakini huku mbona amesimulia tofauti

    • @amotowntz6381
      @amotowntz6381 4 ปีที่แล้ว

      Muongo sana yani alivyosimulia kwa mirald ayo nimetaka kulia ila huku kanifanya nihisi ni story za kutungwa

    • @mariamthomas9983
      @mariamthomas9983 4 ปีที่แล้ว

      Kwa mirad hayo me nililia kabisa hadi watu walinishangaa

    • @fatumashakoor9313
      @fatumashakoor9313 4 ปีที่แล้ว

      😂😂

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 4 ปีที่แล้ว

    Huyu dada maelezo yake yanautata. Kwa Miradi amesema aliemshawishi ni rafiki ake wa kike Mkenya.Huku anasema alilazimishwa na rafiki ake wa kiume Mnaigeria. Pia kwa Miradi anasema aliweza kwenda kumuangalia Mnaigeria 1 kati ya wale 2 waliouawa,huku anasema baada ya bunduki kulia alifunika kitambaa. Anatusababishia maluelue anyooshe maelezo.

  • @Deggoo
    @Deggoo 4 ปีที่แล้ว

    Wanigeria ni hatari sana wamearibu wasichana wetu wa east africa. Wanatumia wasichana wetu kama chombo baadaye wanaenda kwao wanaoa wasicha wa kwao. Wasichana wengi wamekuwa Baby mamas enda Nairobi, dar es Salaam, Kampala... 🤔🤔

  • @nuraalimata4670
    @nuraalimata4670 4 ปีที่แล้ว

    Wanawake wengi wa tz wanapenda iyo kazi sana tena sana kupenda utajii wahaaka

  • @mwajumakweli7931
    @mwajumakweli7931 4 ปีที่แล้ว +26

    Uyu Dada muongo mwanzo alisema lafiki leo bwana tena mmh

  • @robinsenuwizeye3778
    @robinsenuwizeye3778 4 ปีที่แล้ว

    Gigy many kuwahange nauyo bwana wako mana ao watu wakutoka nigeria siyowatu wanakujaga namapenzi yote hujawai pata kumbeyuko anakusoma vizuri mtuhujijuwi akikupatiyatu nafasi matokeo johayo mngejuwa gisi uku Holland wanatesa wadada wakirundi siyowatu ao

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu3765 4 ปีที่แล้ว +11

    Pole Mama ila wtt wetu wawatizame wanaume wakuwa nao hususan wanaigeria hz ndo dili zao

  • @dullybang7246
    @dullybang7246 3 ปีที่แล้ว

    Tatizo la Madada zetu WA Kiswahili mnawashobokea Sana mapopo kwa tamaa zenu bila kujua KAZI zao ,hata huku Europe KAZI zao ni kupiga hela bandia madawa kutengeneza documents feki ,ndio mjifunze mkikutana na waswahili wenzenu dharau nyingi hayo ndio matokeo yake..

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 3 ปีที่แล้ว

    Watoto wetu wote Ke Na me wanaijeria siyo wa kufanya nao urafiki hata aje Kwa jia ya dini yoyote ile

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 6 หลายเดือนก่อน

    Pole sana. Mungu akusaidie

  • @antoinekatembo8520
    @antoinekatembo8520 4 ปีที่แล้ว +1

    Hilo ni tatizo kubwa sana lakini pia serikali iliangalie hilo pia! Najua kwamba inaweza kusikika kivingine ila sisemi kwamba wasaidiwe kurudishwa nyumbani na waje kukaa hapana. Ninacho kisema mie ni kwamba serikali ya Tanzania iliiengilie kati na kuwarudisha nyumbani waje kutumikia vifungo vyao nyumbani kwa sababu hata hayo mataifa ya nje huwaga wanawafatilia watu hao regardless!!!

  • @angelamarlow510
    @angelamarlow510 4 ปีที่แล้ว

    Ee Mungu wetu mwema usie shindwa na jambo watoto wako wanateseka lakn katk makosa yao na wamejifuza nakujirudi katak njia iwapasayo nakuomba Mungu wa mbinguni uwawezeshe watoke km ulivyo watoa watoto wako gerezani Naomba uwafanyie jambo ukawafungulie milango ya gereza wawe huru Mungu kwa hili wamejifuza wasamehe Baba maana ss wanadamu hakuna aliyekamilika!!

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 3 ปีที่แล้ว +2

    Lilian mbona kwa AYO TV umeeleza tofauti

  • @aimfetty1641
    @aimfetty1641 4 ปีที่แล้ว

    dah nilimsikiliza kwa mirald ayo nikamuonea huruma sana ila saizi ananitia mashaka mana stori yake mwanzo alivonza ni tofauti na aliyosimulia kwa milard ,tufanyeni kazi jmn hakuna pesa ya haraka haraka isiyo na matatizoo

  • @estabaro6538
    @estabaro6538 4 ปีที่แล้ว

    Mbona anatuchanganyia ma faili story tofauti sana 😱😱😱😱😱

  • @lucky9285
    @lucky9285 2 ปีที่แล้ว

    Wadada kuweni macho na Wanigeria maana wanapenda sana kuwatumia Wadada wa East Africa

  • @alicedavido1330
    @alicedavido1330 4 ปีที่แล้ว +7

    Ndio huyu amemsimulia Millard Ayo

    • @saadizm
      @saadizm 4 ปีที่แล้ว

      Hatujui ila story haziendani

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 4 ปีที่แล้ว +2

    Pole daa mungu yu pamoja nanyi

  • @hashimuamili1244
    @hashimuamili1244 4 ปีที่แล้ว +9

    Pole sana ndugu yng akuna chenye mwanz kikakosa kuwa na mwisho yataisha ayo yot

  • @sarahtaste2876
    @sarahtaste2876 4 ปีที่แล้ว

    Nia ya kukaa gerezani ni uteseke hata watumiaji wa hayo madawa mnayosafirisha wanateseka sana ila Mungu akusamehe akutete utoke salama

  • @JumbaMercyline
    @JumbaMercyline 3 ปีที่แล้ว +2

    Ladies need to be so careful especially while dating foreigners. before you travel for vacation with someone make sure you trust that person very well.

  • @chynabongoo3563
    @chynabongoo3563 4 ปีที่แล้ว +3

    Pole gift dah😢mpopo ni rafiki pale anapokushawishi yani akishakuponza sio rafiki yako mpopo mpende tu mapnz kaz zake asikuhusishe tena mkazie kabsa

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 4 ปีที่แล้ว +1

      Jamani who is mpopo?

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      @@claudiajames2003 mpopo ni watu wapigao kazi usiku awalali wanakesha so wanaigeria wanaitwa wapopo .

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 ปีที่แล้ว

      Uyo dada ni muongo alafu acheni kuwasingizia wanaigeria jamani mbona mimi Niko na mnaigeria mwaka wa 6 huu na bwana angu anaogopa biashara ya madawa kama ukimwi na ajawah ata nifundisha ujinga sema uyu dada alitaka pesa za haraka alizan atakua tajiri kama wengine. Swali ivi angefanikiwa Leo angetoa siri apa redioni?

  • @takyatupu6839
    @takyatupu6839 4 ปีที่แล้ว +3

    Sasa tuamini hipi kwa millay ayo umesema umefanya mwenyewe bila kulazimishwa uku unasema umelazimishwa 💀☠

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭Mungu amtete utatoka salama binti Mungu yupo pamoja nawe 😭😭😭😭😭

  • @ashunebebi9518
    @ashunebebi9518 4 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana mdogo wangu lilian mungu athakuvua wewe na mwanzako

  • @victorpeter182
    @victorpeter182 4 ปีที่แล้ว +3

    Naomba ifomeshen nzima mm nijue cha kufanya lilian kessy

  • @ramadhanhussein5218
    @ramadhanhussein5218 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Dada ni muongo mbn Story inapishana na ile ya millad ayo ilikua rafk ake ndo kamshawishi huku tena ipo tofauti tuelewaje sasa

  • @oookkk3965
    @oookkk3965 4 ปีที่แล้ว +1

    Pol sanaa dada kumb Mpenzi hakuwa na mapenzi na ww

  • @paschalirweyemum1066
    @paschalirweyemum1066 4 ปีที่แล้ว

    Pole sana liliani muombe mungu utashinda na utatoka

  • @deborapaschal3582
    @deborapaschal3582 4 ปีที่แล้ว

    Duuuuh habari ina changanya iko tofauti unatuvuruga

  • @dominatryphone7027
    @dominatryphone7027 4 ปีที่แล้ว +4

    Huku ndo umeeleza ukweli kwa mirlad umedanganya cjui ulikuwa unamuogopa..

  • @aypoul107
    @aypoul107 3 ปีที่แล้ว +1

    Polesana lilian kwa ajali ya maisha

  • @alphalukas3682
    @alphalukas3682 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ata wasaidia atafanya njia kwenu

  • @goldmansun5859
    @goldmansun5859 4 ปีที่แล้ว

    tatizo watanzania hamna hela ndo maana wanigeria wanatesa dada zenu,angekuwa dada angu
    wanigeria mngekuwa na hali mbaya bongo,hali mbaya sanaaa,ndo maana mnachukiwa kila kona kumbe,siyo bongo tu,ningewafanyia umafia mpaka nchin kwenu