🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 351

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 หลายเดือนก่อน +3

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm

  • @RaheemaOm-d5e
    @RaheemaOm-d5e หลายเดือนก่อน +3

    Mzee Suleiman Mungu akuxidishie umri Amina,❤❤

  • @safiam5338
    @safiam5338 5 หลายเดือนก่อน +29

    Hasbiyallahu wa neema alwakil

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 5 หลายเดือนก่อน +5

    Rahma hayo ndiyo maisha yamejaa misukosuko, ila ndiyo mitihani yake Allah kwako, muhimu sasa uko nyumbani Alhamdulilahi Rabila3laamiin, Allah atakufungulia milango mengine yenye kheir kwlako.❤

  • @MwanaHamis-y4e
    @MwanaHamis-y4e 5 หลายเดือนก่อน +5

    Pole sana Rahma kwa uliyopitiana Mungu atawalipa kheri Da Zari na Baba etu Suleeman Nungu atakulipa ulipotoa na akujalie maisha marefu

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 5 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran mzee wetu swelemani M.mungu akubariki kwa kujitolea kuwa saidia watoto wetu wanao dhalilishwa nchi za nje

    • @jessicamwasandube944
      @jessicamwasandube944 5 หลายเดือนก่อน

      53:36 53:38 😅😅 53:41 53:59 53:59 54:00 54:00 54:00 54:00 54:00 😮 1:01:00 wewe r4r to the first page and 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 5 หลายเดือนก่อน +5

    Pole sana Rahma Mungu akufanyie wepesi kwenye matibabu yako 🙏🙏😍

  • @rayaali9729
    @rayaali9729 5 หลายเดือนก่อน +5

    Mm mwaka wa tano nyumba moja nashukuru Mungu Familia Ina watu wazuri
    Nimekaa miaka Minne nikarudi tz nikaenda tafuta kibali taesa na mkataba wangu nikawambia wanitumie alhamdulillah saiv nina mwaka tangia nimerudi
    Mkataba wangu ninao na kibali changu ninacho

    • @zainabmohd6524
      @zainabmohd6524 5 หลายเดือนก่อน

      Hata mie alhamdulilah yaan kama familia na Kila kitu changu nawashirikisha na wananisaidia wallah alhamdulilah namshukur Allah ila changamoto zipo Kwa baadhi

    • @hamidahnassoro-12
      @hamidahnassoro-12 4 หลายเดือนก่อน

      Ukichoka kufanya hapo niunganishe dada

    • @rayaali9729
      @rayaali9729 4 หลายเดือนก่อน

      @@hamidahnassoro-12 in sha Allah mwakani

    • @hamidahnassoro-12
      @hamidahnassoro-12 4 หลายเดือนก่อน

      @@rayaali9729 hauna ndugu wa mabos wako uniunganishe dada

  • @KhadegaK-g5e
    @KhadegaK-g5e 19 วันที่ผ่านมา

    Pole sana. Rahma munguatakujalia❤❤❤

  • @omanquine3770
    @omanquine3770 13 วันที่ผ่านมา

    Pole sana mdogo wangu 😢😢😢kweli imeniuma mnonoo

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 5 หลายเดือนก่อน +6

    Pole sana rahma muhim umerudi Salam na maajent acheni usenge mm pia nilipata changamoto kisa Hawa maajent waseng waseng pumbavu zenu kabisa.....

  • @MariamMariam-pg7uz
    @MariamMariam-pg7uz 15 วันที่ผ่านมา

    Pole sana mpambanaji mwezetu yani hizi kazi mungu atusimamie

  • @Noorh23-n9m
    @Noorh23-n9m 4 หลายเดือนก่อน +2

    Pole dada 😢😢

  • @MwanaidiNassoro-g2b
    @MwanaidiNassoro-g2b 15 วันที่ผ่านมา +1

    Lahama pole mwangu utapona towanamba

  • @SuzanKaroli
    @SuzanKaroli 22 วันที่ผ่านมา

    Zee suleiman mungu akuweke😊

  • @omanquine3770
    @omanquine3770 13 วันที่ผ่านมา

    Pole sana Ila kila kitu hakim ni allah pekee
    Mzulumiwa halali 😢😢😢😢😢nasisitiza tu serekali iingilie kati safari za nchi za kiarabu tusafiri kihalali na tujulikane kwa nchi yetu 😢😢😢😢

  • @lilybarongo8119
    @lilybarongo8119 5 หลายเดือนก่อน +15

    Serikali iangalie sana hizi airport zetu inaonekana Kuna mambo yanafanyika kinyume na sheria

    • @SkyShany-e1w
      @SkyShany-e1w 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sanaaaa

    • @MwanahamisiMasuo
      @MwanahamisiMasuo 5 หลายเดือนก่อน

      sana

    • @rahmaoman3109
      @rahmaoman3109 5 หลายเดือนก่อน

      Wanapenda rushwa mno ata kama unavibali vyote vimekamila Ila utaskia jiongeze

  • @MaryOman-tc1nt
    @MaryOman-tc1nt 4 หลายเดือนก่อน +2

    Tunavumilia San ila shida ni zinatuleta uku tuna vyet ajira hatuna tufanyajee sasa😢😢😢😢

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 4 หลายเดือนก่อน +2

    Umasikini unatudhalilisha sana jaman Allah atufanyie wepes kwenye kutafuta kwetu tunapitia mazito binafamu

  • @AholeLifilima
    @AholeLifilima 5 หลายเดือนก่อน +10

    Halafu kuna mijitu mijinga inatetea ambayo ipo ukuuko nchi za watu na mijinga mingine Inapanga kwenda ukouko na stoli wana zote😂😂ukiwauliza ugumu wa maisha😅 pole Rahma mashallah mzuri sana

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 5 หลายเดือนก่อน +3

      Kutafuta kungumu hat kutok a mkoani kuja dar mtihan 😢

    • @nattarianny-ey5jl
      @nattarianny-ey5jl 5 หลายเดือนก่อน +2

      Sio wot wanapata matatizo

    • @prityhawanurdiny8237
      @prityhawanurdiny8237 5 หลายเดือนก่อน +2

      @@AholeLifilima ndugu yangu yaan hatukubal mpaka yakitufika hahahaha

    • @Zainabu-l8n
      @Zainabu-l8n 4 หลายเดือนก่อน

      Kikubwa kufata taratibu zote zinazotakiwa hakikisha ukuja uku uku na mkataba

  • @AnjelaMichael-cn9rg
    @AnjelaMichael-cn9rg 5 หลายเดือนก่อน +5

    Sio wote. Iraq ni wabaya jamaniii ni baaziii tu na nikuombaaa mungu upateee sehemu nzuriii mm Iraq nipo naishiii vizuriii tu namshukuru mungu kwakweliii anyway Polee dada hukubahatikaaa tu 🙏🙏🙏

    • @AholeLifilima
      @AholeLifilima 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂na ss tupo nyumbani Tanzania na tunaishi vizuri sana ila ipo siku utajua kwanini Mwarabu alitoka kwao akajaga kututawala Tz

    • @AnjelaMichael-cn9rg
      @AnjelaMichael-cn9rg 5 หลายเดือนก่อน +3

      @@AholeLifilima maisha ni popote dear kikubwaaa kumtangurizaaa mungu tu Kwan kuna Mtu anapendaaa kwendaaa mbaliiii na nyumbaniiii 🙏🙏

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 4 หลายเดือนก่อน

      Watz hamueleweki kutwa mnalalamika maisha magumu mpk rais wenu hamumtaki ..😂😂hamueleweki ..maisha popote ana weee acha chuki zako na waarabu...apo kwenu tz si juzi tu mmemlawiti ndugu yenu wa kike??wanaume 5 je si unyanyasaji huo??? Kuna watz saivi wanatwekwa je wanatekwa na waarabu?wangapi kipindi hiki washauliwa na watz wenzao?acha chuki na waarabu.​@@AholeLifilima

  • @FghgRyy
    @FghgRyy 5 หลายเดือนก่อน +4

    Subhana Allah pole sana Rahma umepitia magumu sana😭😭al muhimu umerudi nyumbani Alhamdulillah Allah akufanyie wepesi upone maradhi yako

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 5 หลายเดือนก่อน +16

    Iraq hapana Kuna unyanyasaji sana

    • @oliviaseth4652
      @oliviaseth4652 5 หลายเดือนก่อน

      Wana nyanyaswa wengine mpaka kufa

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@oliviaseth4652 Aisee tatizo Iraq hakuna ubalozi wa Tz

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 5 หลายเดือนก่อน +1

      Wanamsemo wao kutuita sisi wafrika kakarashi yaani " twanajeusi"

    • @MamaMama-xp4nk
      @MamaMama-xp4nk 5 หลายเดือนก่อน

      Yaan watu wasisubutu kwend sehem ambayo hakuna ubalozi​@@AlHamra-k4u

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@HudhaimaJoseph Vp hii story nikweli au anatudanganya???

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 5 หลายเดือนก่อน +8

    Kulea watu wazima tena wakubaa pamper ni mtihani sana 😢

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 5 หลายเดือนก่อน +4

    Pole Dada na hongera sana lkn niwaombe waandishi wetu jmn kiswahili kinapprea ukisema rahma ALIYEKWAMA.wkt mko pamoja naye.ndhani ALIYE kuwa amekwama.. maana mmempata.

  • @ZunanOman
    @ZunanOman 2 หลายเดือนก่อน

    Naitwa zainabu uyo baba mungu amzidishie

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana

  • @PiliSungi
    @PiliSungi 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mdogo wetu mola atakusaidia inshallaah.

  • @MozaAbdallah-c4l
    @MozaAbdallah-c4l 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana rahma allah akupesubra kwa hilo

  • @ElizaNaimutie
    @ElizaNaimutie หลายเดือนก่อน

    Pole sana kweli akuna watu wanadhulumu watu kama hawa warabu 😢

    • @shariffsagaf2305
      @shariffsagaf2305 18 วันที่ผ่านมา

      Sio wote hata tz wanadhulumu na kunyanyasa sana wafanyakazi

  • @SubiraIddy-r9u
    @SubiraIddy-r9u 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana mdogo wangu mwenyezi mungu akufanyie wepesi upone,,,,, shida Iraq hakuna ubarozi kwahiyo ukipata tatizo nivigum kusaidiwa

  • @upendoshalua8816
    @upendoshalua8816 5 หลายเดือนก่อน +3

    Pole sana dada... Hongera @zalimapito hongera sana @globaltvonline

  • @UsnahMajonga
    @UsnahMajonga หลายเดือนก่อน

    Tulopitia mapito tuka saidiwa na selemani tunaelewa sana baba ana moyo wake uyu mungu amuweke

  • @mymuhnabdallahshaban7763
    @mymuhnabdallahshaban7763 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nch pekee ambayo naikubal inauafadhali sn ni oman t hizi nyingn sin Imani nazo kabisa mim nitang'ang'ana hpa hpa oman Alhamdullah

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 4 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dada

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 5 หลายเดือนก่อน

    pole sana 😢😢😢😢

  • @MuhammadSharif-s4i
    @MuhammadSharif-s4i 5 หลายเดือนก่อน

    pole sana rahma mwenyezi mungu akipe subra

  • @sofiagao6396
    @sofiagao6396 5 หลายเดือนก่อน +2

    Pole.😭😭

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 5 หลายเดือนก่อน

    jamani pole sana😭😭😭😭

  • @Asmahjutto
    @Asmahjutto 16 วันที่ผ่านมา

    Pole san ndugu

  • @NoorAli-gk8bj
    @NoorAli-gk8bj 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana nduguyangu hakiyako utazikuta kwa allah

  • @happynesbaemuhappynes8813
    @happynesbaemuhappynes8813 5 หลายเดือนก่อน +4

    Pole sana mpendwa kwa changamoto. Mohammed ni mshenzi sana Mimi alitaka kunilia pesa zangu Maboss zangu walimwashia moto wakanitafutia wakili akaitiwa police mpk sasa ananiogopa km ukoma

    • @saadaally5705
      @saadaally5705 5 หลายเดือนก่อน +1

      ManshaAllah

  • @JemmyMakao
    @JemmyMakao 5 หลายเดือนก่อน

    Hongeraa da Zar hongeraa baba seleman mungu awatunze wote Ili mtusaidie sisi tulio ughaibun

  • @Zanha582
    @Zanha582 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kipenzi kwa mitihani
    Allah akulipe

  • @SalmaSamiry
    @SalmaSamiry 5 หลายเดือนก่อน

    Duuh pole sana mimi jamani bora nipambane hapahapa Tanzania 🇹🇿 kuliko huko nchi za kiarabu nichangamoto wallah pole sana 😢😢😢

  • @yusraedom8473
    @yusraedom8473 5 หลายเดือนก่อน

    Pole maskini😢😢😢 umeteseka sana

  • @Niabebewamor413
    @Niabebewamor413 5 หลายเดือนก่อน +4

    Matata ni mtu mmoja mzuri sana kwakweli so ni agent anaejali watu wake kiukweli big up matata mungu akuweke kaka yetu unaupendo sana

    • @tausihamisi1017
      @tausihamisi1017 5 หลายเดือนก่อน

      Matata wa posta

    • @AvelinaNyanda
      @AvelinaNyanda 4 หลายเดือนก่อน

      Anatumia jina gani katika mitandao ya kijamii huyu ajenti au mawasiliano yake

    • @ShamiAl-ww6gp
      @ShamiAl-ww6gp 4 หลายเดือนก่อน

      Mmmhh matata ninaye mjua mim wa posta au mwingine

    • @hamidahnassoro-12
      @hamidahnassoro-12 4 หลายเดือนก่อน

      Nisaidie namba ya huyo matata dada ​@@ShamiAl-ww6gp

    • @Niabebewamor413
      @Niabebewamor413 4 หลายเดือนก่อน

      @@ShamiAl-ww6gp Ndio Matata wa post Ndio

  • @HabibuHoseni-sv8hd
    @HabibuHoseni-sv8hd 5 หลายเดือนก่อน

    Rahma anaonyesh mpole sana asee pole san bint😢😢😢

  • @KadeejaKadeeja-ej4bu
    @KadeejaKadeeja-ej4bu 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah pole sana mamy alhamdulillah Asante sana dada zai❤❤

  • @ZuhuraSaidi-f5d
    @ZuhuraSaidi-f5d 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana rahama

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dada pole, daaaa!!!! Kweli kuna watu zaidi ya mashetani. Lakini siku ya mwisho mbele ya mungu watakulipa.💔

  • @rayaabdul-gm3hc
    @rayaabdul-gm3hc 5 หลายเดือนก่อน +1

    Subuhanallah..pole jamani.tujifunze tukipokea mishahara yetu .tutume yote tubaki na risiti tu wakitaka kutua watuuwe tu😢😢😢😢

    • @munabalushi2964
      @munabalushi2964 5 หลายเดือนก่อน

      Kwel 😂😂😂😂😂😂😂

  • @zainabmohd6524
    @zainabmohd6524 5 หลายเดือนก่อน

    Pole😭😭

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 5 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 5 หลายเดือนก่อน

    Yarabi tunapitia magumu ktk kutafuta 😭😭pole Rahman!

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 4 หลายเดือนก่อน

    Jasbiyallahu waneemal wakeel pole dada

  • @ummuwawili
    @ummuwawili 5 หลายเดือนก่อน

    Subhana Allah

  • @ZulfaZulfazulfa-j7c
    @ZulfaZulfazulfa-j7c 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana mdg kwakweli mngu a2linde

  • @LoipllOnhye.Mama.Claudi
    @LoipllOnhye.Mama.Claudi 15 วันที่ผ่านมา

    Utafutaji huu shida sana😢😢😢

  • @Aisha-o4v
    @Aisha-o4v 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana pole sana😢😢😢 Allah atufaye wepec nataenda kukulipiaa kwenye yote hao ulio yapitia😢

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 5 หลายเดือนก่อน +2

    Marry umesharud bongo hongera 😅 tulihaso wote ubalozin

  • @RizikiChamosi-u4x
    @RizikiChamosi-u4x 4 หลายเดือนก่อน

    Pole dadangu Allah atalipa

  • @fidelfidel4818
    @fidelfidel4818 5 หลายเดือนก่อน

    Hao ndiyo waislamu munajivunia wa Roho mbaya

    • @Halima-h8k
      @Halima-h8k 4 หลายเดือนก่อน

      Salaam! Ubaya hauna kwao wala dini. Hapa hapa Kuna wenye roho za kikatili tunasikia kila uchao kwenye vyombo vya habari. sisi tunaona ya wenzetu, Wengine hata comment zetu ni za kikatili, mmmmnh, Mungu Muweza mizani yake haipunji, tujitathmini. Pole ni mdogo Allah akufariji In Sha Allah.

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 4 หลายเดือนก่อน

      Acha udini wewe ..waliomlawiti mtt wa kike hapo tanzania ni kina nani tena watu watano...iraqi kuna waislamu na wakristo kibao acha udini kuwa na imani hata kidogo

  • @AljoodAlarimi-xd1fc
    @AljoodAlarimi-xd1fc 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana rahm

  • @دياناداؤود
    @دياناداؤود 5 หลายเดือนก่อน

    Pole dada sarima naomba unisaidie namba za seremani niko omani

  • @SakinaBavuni
    @SakinaBavuni 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni mwasilika mkubwa wa hilo tatizo naomba namba ya hupo ya sim

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 5 หลายเดือนก่อน

    Jamani kumbe utumwa bado upo,nimedikitika sana kuona watu bado wananunuliwa na wanajikubali kabisa kwamba wao wananunuliwa wanapokwenda huko uarabuni,jamani hii ni huzuni mnoo kuona bado tuko utumwani😢😢😢😢

  • @Matilda-g9z
    @Matilda-g9z 16 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭😭

  • @JahaKhan-n5r
    @JahaKhan-n5r 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kipenzi😭😭😭😭

  • @halimakatundu
    @halimakatundu 4 หลายเดือนก่อน

    Ila iraQ wanaroho mbaya sana sijui umasikini unachangia

  • @ndegeofficial9928
    @ndegeofficial9928 5 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢😢

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dada nimeliaa 😪😪😪

  • @OmanOman-ji1iy
    @OmanOman-ji1iy 5 หลายเดือนก่อน

    Pole rahma usikate tamaa

  • @Mohammedyasia
    @Mohammedyasia 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana habinty 😢

  • @OmantelCm
    @OmantelCm 5 หลายเดือนก่อน

    Pole ndugu yangu ndio changamoto zakutafuta
    Allah atusalimu Salama InshaaAllah 🤲

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 5 หลายเดือนก่อน

    Ajent matata marangi wetu asante sana kwa kutujali wafanyakaz upo tz lkn unapambana mpk uhakikishe mfanyakaz anaishi vzr asante sana matata mungu akuzidishie umr mref

    • @AvelinaNyanda
      @AvelinaNyanda 4 หลายเดือนก่อน

      Anapatikana kwa jina gani mtandaoni eti au mawasiliano yake

    • @hamidahnassoro-12
      @hamidahnassoro-12 4 หลายเดือนก่อน

      Tusaidieni namba uyo matata wapendwa

  • @HabibuHoseni-sv8hd
    @HabibuHoseni-sv8hd 5 หลายเดือนก่อน

    Kumbe bdo wat mnauzwa lol i can't imagine guys duuh let me hustle in my country 😢😢😢

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 5 หลายเดือนก่อน +24

    Kutafuta Kuna ugumu sana halafu ukipata pesa Kuna mtu unamtumia akujengee yy anatafuna...mara unaua

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 5 หลายเดือนก่อน +4

      Usinikumbushe yaan change moto sana

    • @Footballmax_edits
      @Footballmax_edits 5 หลายเดือนก่อน +1

      Yan familia zingine hawana uruma

    • @mwanaidabeid8720
      @mwanaidabeid8720 5 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢😢

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 5 หลายเดือนก่อน

      Mm ndo maana huwa nawazibua makofi harafu nasepa zangu

    • @SheilaOmar2007
      @SheilaOmar2007 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mimi miaka miwili hela yangu iko kiunoni na hapa nimebakiza miez miwili wananibembeleza hatari

  • @yusraedom8473
    @yusraedom8473 5 หลายเดือนก่อน

    Uyu dada angekimbilia police angepata msaada kitambo sana mi nilipata changamoto Bagdad nilifungiwa ofisini cku saba cku amekuja kufungua ofisi yake nikasema naumwa nataka pedi akajiroga kumwambia mtu anipeleke fanasi kachoropoka bleki ya kwanza polisi 😢😢😢 nikashusha kilio polisi mpaka nikasafilishwa ila nilipitia magumu sana nikaondoka bila nguo niliacha kila kitu😢😢😢 nikasema mungu nisaidie nifike kwetu

    • @irenejoh1242
      @irenejoh1242 4 หลายเดือนก่อน

      Hivi huwa ni kweli 😢

  • @SharifaA-y4t
    @SharifaA-y4t 5 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭pole dada lahma muachie mungu

  • @Zuur-z7o
    @Zuur-z7o 8 วันที่ผ่านมา

    Hiyo ofisi uliyo fikia ni nzuli mpk cm uliachiwa ,mm na mwenzangu tulifika tu na kupokonywa Iraq sina hamu

  • @yusraedom8473
    @yusraedom8473 5 หลายเดือนก่อน

    Uzuri wa iraq police wanajari kiasi chake jaman nilisaidiwa na police maana mi tulipigana mpaka kukatana na visu police wakanisaidi wallah 😢😢

  • @memealhabsi820
    @memealhabsi820 5 หลายเดือนก่อน +3

    BOLA KUFUNGWE TUJUWE 🇴🇲 OMANI HAKUNA UBALOZI WA TANZANIA UPUUUZITY

  • @omanquine3770
    @omanquine3770 13 วันที่ผ่านมา

    Mm naombi kwa sere kali yetu ilivalie njuga hili la wadada Kuja huku kutafuta kama ni Kuja kikazi tujulikane kwa serekal
    Maajenti wa uchochoroni mdili nao ili kuzibiti haya ma tatizo maana wasipofatiliwa watu watakuja tu katafuta kulingana na ajira ni ngum tz

  • @nattarianny-ey5jl
    @nattarianny-ey5jl 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pole dada ila unamoyo sana mi nisinge kubali kurud tena

  • @Dayananyagali4758
    @Dayananyagali4758 4 หลายเดือนก่อน

    Iraq ni ichi mbaya sana yani ukisikia ndugu yako anakuambia anaenda iraq mzuie asiende na ukipata tatzo ukiludishwa ofisini unapigwa vibaya sana ni wanaroho mbaya sana

  • @DottoJuma-k5j
    @DottoJuma-k5j 5 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢wa Allah inasikitisha😭😭

  • @ZaynabMsury
    @ZaynabMsury 5 หลายเดือนก่อน +1

    Raham pole sana kikubwa ushafk 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @zahararamadhanisalmu395
    @zahararamadhanisalmu395 4 หลายเดือนก่อน

    Daaaahhh kuna wa2 wanapitia magumu alafu kuna wa2 unakuta unawatumiya pesa wanakula bila wasiwasi eeeeeee mungu wasimamiye wapambaji wote wanaojaribu kujitafutia ridhiki za kheri 😢😢😢

  • @Oman2024-f4n
    @Oman2024-f4n 3 หลายเดือนก่อน

    Mm nipo oman mkataba wana chukuwa mabosi

  • @FghgRyy
    @FghgRyy 5 หลายเดือนก่อน

    Baba Suleiman Allah akuinuie zaidi na zaidi Aamiyn ya'Rabby

  • @KhadijaRamadhan-f2b
    @KhadijaRamadhan-f2b 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dadaa angu

  • @MuhammadSharif-s4i
    @MuhammadSharif-s4i 5 หลายเดือนก่อน

    47:56

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 5 หลายเดือนก่อน +2

    Serikali yetu ya Tanzania na taEsa kwa ujumla tatizo lipo kwa magent na airport ya Tanzania kupita na mkataba hauna muhuli wa taesa

  • @ElishamaMulokozi-pi8nm
    @ElishamaMulokozi-pi8nm 5 หลายเดือนก่อน +1

    Salamu za pongezi

  • @Zahara-l3l
    @Zahara-l3l 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana shoga wangu 😢😢😢 kumbe ulipata matatzo

    • @AholeLifilima
      @AholeLifilima 5 หลายเดือนก่อน

      Ndo pakumchangia namba ndo izo zimetaja

  • @AnifaJuma-p9c
    @AnifaJuma-p9c 4 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli watu wanapitia magum kisa maisha tu mungu atutie nguvu kwenye hizi inchi😮

    • @NeemaJanga
      @NeemaJanga 17 วันที่ผ่านมา

      Amen

  • @safiansuru7808
    @safiansuru7808 5 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @yusraedom8473
    @yusraedom8473 5 หลายเดือนก่อน

    Nyie nipeni namba ya whatsApp nitoe siri za watu😂😂😂 Iraq uwiiiii mtihani wallah

  • @zainabmohd6524
    @zainabmohd6524 5 หลายเดือนก่อน

    Allah yupo wakati wote halali malipo ni hapa hapa duniani kwa yoyote alieshiriki kwa hali yoyote ile na vizazi vyao