TUMAINI ALIYEFUNGWA MIAKA 60 AKATOKA ANAMTAFUTA SABAYA, ATOKA na ZAWADI ya MKUU wa GEREZA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ส.ค. 2023
  • TUMAINI ALIYEFUNGWA MIAKA 60 AKATOKA ANAMTAFUTA SABAYA, ATOKA na ZAWADI ya MKUU wa GEREZA #PART 4
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 28

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  10 หลายเดือนก่อน +1

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @donalddonald3190
    @donalddonald3190 10 หลายเดือนก่อน +5

    Nilitegemea kuona namba ya jamaa kwenye description ila hamna... Sijapenda😢

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akujalie iyo biashara iendelee kua kubwa inshallaah🙏🙏

  • @samsunggalax8258
    @samsunggalax8258 10 หลายเดือนก่อน +4

    Sabaya god blessings u❤

  • @happylemboto9103
    @happylemboto9103 10 หลายเดือนก่อน +3

    I thank God for you 🙏

  • @mrsferuzi7443
    @mrsferuzi7443 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sabaya mungu akupe maisha marefu ❤❤❤

  • @GeraldSwai-ty1hr
    @GeraldSwai-ty1hr 10 หลายเดือนก่อน +4

    Sabaya tunakupenda Sana

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hakika kuna kesi za kubambikiwa huko polisi na zikifika mahakamani hakuna umakini wa uthibitisho wa kosa. Mtu anaadhibiwa kwa kukandamizwa na hakimu anaona tu.... !! Jamaa amesema mahakimu wanawake... mtangazaji akakata maneno...!! Bado kuna woga hata kwa waandishi. !! Tutajifunzaje !?

  • @HenryAnatoly-jg3df
    @HenryAnatoly-jg3df 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu awe juu yako na akafanikishe hitaji lako la moyoni.

  • @hassanhamud-pw1qp
    @hassanhamud-pw1qp 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ndutu manisha unacintent nzito sanaa

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 10 หลายเดือนก่อน +1

    Pole Sana ndugu ila nikweri. Tz wakandamizaji sio Sheria ndiotunapoteza muelekeo

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial217 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi msomi nakukubali bro 😎

  • @ndayishimiyedonatien
    @ndayishimiyedonatien 10 หลายเดือนก่อน +1

    thx lord 🙏✍️✍️

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 10 หลายเดือนก่อน +2

    MUNGU NI MWEMA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NAMWOKOZI WETU AMEEEEN BARIKIWA SANA NYOTE SHALOM

  • @benswai8099
    @benswai8099 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ni interview ya maana sana

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 10 หลายเดือนก่อน +1

    Daaa maskini kuna watu wanapitia Mapito mengiiii dunia aiseee

  • @officialdinaize
    @officialdinaize 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mahakimu wanawake changamoto yalinikuta nashukuru nilipona

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu amsimamie huyu kijana afunge kiwanda chake mwenyewe ili ajipatie kipato chake

  • @daudzabron5514
    @daudzabron5514 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi si amshitaki hakimu, amshitaki afisa upererezi na familia walio mfosi Binti aseme uongo.

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc 9 หลายเดือนก่อน +1

    Viatu niczr sna💯💯

  • @ilungasalle
    @ilungasalle 10 หลายเดือนก่อน +2

    Serikali imlipe fidia hakimu akatwe mshahara kwa nini hawakupima DNA kujiridhisha. Wamemuharibia miaka sita bila sababu mbwa kabisa hawa

  • @sarah-hy7gz
    @sarah-hy7gz 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nakushaur akaombe Kaz wiwanda vya viatu kipo iringa tosaganga

  • @CalistCalman
    @CalistCalman 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba tumsikilize Maria nini sababu ya kumsingizia kijana Tumaini

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dah nakumbuka mwaka 2008 yalitaka kunikuta haya sema mimi bahati yangu nilianza kuojiwa nyumbani hivyo baada ya kuona ukweli wakaniambia basi nikubali nikubali kuwa momba yangu ili mtoto akizaliwa aandikwe jina langu nikikataa basi twende polisi kwanini ulimtongoza dah haya maisha we acha tu

    • @aisharamadhani1948
      @aisharamadhani1948 10 หลายเดือนก่อน

      Ulivokubali nini kilifata

    • @charlesbutera897
      @charlesbutera897 10 หลายเดือนก่อน

      Mm nimekaa jela miezi 3 ila naambieni kwenda jela siyo lazima uwe jambazi au mbakaji michongo ni mingi sema mungu ni mwema.

  • @neema_mollel
    @neema_mollel 10 หลายเดือนก่อน

    😢😢daah kumbe jela wanatembea peku dah basi jela ni mbaya nyie

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tz tulokuepo wapendapesatu angaria ata mazingira ya Barbara awatengenezi kwa umakini wanajilikulapesa siokazi