UKATILI: MREMBO Asimulia UNYAMA Wanaofanyiwa WAFANYAKAZI wa NDANI UARABUNI, KUBAKWA, KULAWITIWA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ส.ค. 2021
  • UKATILI: MREMBO Asimulia UNYAMA Wanaofanyiwa WAFANYAKAZI wa NDANI UARABUNI, KUBAKWA, KULAWITIWA...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY: shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 1.1K

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 2 ปีที่แล้ว +14

    Niko Oman Mwaka wa 10 huu Sijaona Hayo Alhamdulilah ilove yuo Oman 🇹🇿❤️❤️❤️🇴🇲🇴🇲💋the

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 2 ปีที่แล้ว +1

      Upo kweli oman ???

    • @mwanahamis5487
      @mwanahamis5487 2 ปีที่แล้ว +1

      @@thefactbook...1607 Ndioo Niko Oman salalah mirbat

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 2 ปีที่แล้ว

      Namba yako please

    • @Worldunite
      @Worldunite 2 ปีที่แล้ว

      Basi matajiri zako ni ktk waja wema, umshukuru Allah, wengine wanateseka sana hata wewe unajua

    • @omanatr8729
      @omanatr8729 2 ปีที่แล้ว +1

      Na mimi pia naletewa mpaka chakula cha kwetu nyumbani namahikuru mungu

  • @najmaulaya8819
    @najmaulaya8819 2 ปีที่แล้ว +50

    Tujuane tuliokuwa omani miaka minne now mungu ndie kimbilio.letu raha na shida zote😬😬😬😱😱😱🙄

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 2 ปีที่แล้ว +1

      Tupoooooo👌

    • @neemazee1864
      @neemazee1864 2 ปีที่แล้ว +2

      @@hanifatanzania7258 tupo mwenzangu na wengine tuna amani tu kiukweli....

    • @asmasalum675
      @asmasalum675 2 ปีที่แล้ว +3

      Nkweri. My. Tuliokua. Uku. Mungu. Ndio.kimbilio.letu.raha
      Shida.anaejua.mungu.tu.anatfanyia.wepesi.siku.znasonga.

    • @najmaulaya8819
      @najmaulaya8819 2 ปีที่แล้ว

      @@asmasalum675 Nikkei kabisa

    • @aishatarimo6780
      @aishatarimo6780 2 ปีที่แล้ว +3

      Kwan yy alitumwa kwenda ughaibun atuache ss na shida na rahaa zetu tuzivumilie

  • @sukumaganga2613
    @sukumaganga2613 2 ปีที่แล้ว +6

    Ukweli ni kwamba Kila binadam Wapo wazur na wabaya sio mwarabi Wala mzungu Wala mtz kwani watanzania wangap wanauwana tena ndgu kwa ndg acha mwarabu mbali watu wa baba mmoja wananyanyasana acheni lawama za kishamba kuwalaum watu waraabu wangapi wamwsaidia watu maisha Yao

  • @baiaaa2809
    @baiaaa2809 2 ปีที่แล้ว +3

    Mimi nilifanya kz oman miaka 4na mwezi kwa mabosi wawili tofauti namaanisha miaka2 namwezi mmoja kwa bosi mwingine na wa pili miaka 2 hiyo ni oman kwa sudi kwa kweli sifahamu na hadi leo mabosi wangu wananihitaji na sijawahi kinyanyaawa wala kudhulumia na hapa nilipo nina mjengo wangu alhamdulllah

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 2 ปีที่แล้ว

      Kila mtu na bahati yake kweli maisha ya arabuni ni magumu

    • @bakarisakawa6979
      @bakarisakawa6979 2 ปีที่แล้ว +1

      Endelea kumuomba mungu ivo ivo

    • @nooor1120
      @nooor1120 2 ปีที่แล้ว +1

      Alhamdulillah
      Kwasababu dada unajielewa ndio umefamikiwa

    • @telaamtauta2227
      @telaamtauta2227 2 ปีที่แล้ว +1

      Mabruk sasawewe ulienda kikazi zaidi wengine wanaenda namambo mengii

    • @nooor1120
      @nooor1120 2 ปีที่แล้ว

      @@rajabdibwa6415 hakuna sehem maisha rahisi duniani kwani kote wanalalamika mambo magumu si ulaya si arabuni si africa tuombe mmungu tu atusaidie kwani kutafuta rizki ya halali ni kazi kubwa ila km una nguvu zako Bora kustahmili ili upate halali yako na jasho lako ndio utayajuwa maisha na utatunza ulichokivuna.

  • @dianarobert3989
    @dianarobert3989 2 ปีที่แล้ว +17

    Pole sana dear mshukru Mungu ulirudi salama wengine wanarudi maiti Maskini😩Mungu tusaidie waja wako tuna shida ndio mana tunaenda kwenye hizo nchi si kwa kupenda ni shida zetu tu

    • @swesschao3095
      @swesschao3095 2 ปีที่แล้ว +1

      MWENYE ENZI MUNGU WETU ATULINDE!!!!!

    • @amoskenyale2542
      @amoskenyale2542 2 ปีที่แล้ว +2

      Hakuna Mambo ya pole,Kama maisha yangekua poa angekua jeuri.

    • @emmyedward6541
      @emmyedward6541 2 ปีที่แล้ว +1

      Polen sana ndio changamoto za maisha dugu yangu

    • @rosenyongesa7420
      @rosenyongesa7420 2 ปีที่แล้ว

      Poleni Sana kaka heri kwenu kuliko kwenda Arabic uko nikifo tu

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 2 ปีที่แล้ว +1

      Mziki wa nn Sasa jmn hatusikii vzr

  • @fatmakiruwasha2378
    @fatmakiruwasha2378 2 ปีที่แล้ว +6

    Pole sana ni saundia siyo nchi ya kwenda

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o 2 ปีที่แล้ว +2

    Niko Oman miaka 11 sijawahi ona hayo alhamdulilah yaalabi ila saudia imezidi ubaya jamani love you Oman 🇴🇲🇴🇲 AND 🇹🇿🇹🇿

    • @shabanimbugi8372
      @shabanimbugi8372 ปีที่แล้ว

      Njo nyumbani tufunge ndoa

    • @user-id1me9ve1o
      @user-id1me9ve1o ปีที่แล้ว

      @@shabanimbugi8372 haaa balaa ndowa tena jamani

  • @anthonywashokera3500
    @anthonywashokera3500 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole Sana dada yangu mtanzania mwenzangu Kwa kuchukuliwa utumwani Kwa watu ambao waliwatesa babu zetu na kuwauwa.

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 2 ปีที่แล้ว

      babu zenu ndio waliowakamata ndugu zao na kuwauza , mjinga usojielewa

    • @rahmooosaidooo1146
      @rahmooosaidooo1146 2 ปีที่แล้ว

      Ww uliza vizuri historia sio kuropoka yaani kazi kuweka chuki hao madada ni waongo baadhi yao wanafwata wanaume.ndio hao ss wamekosa pesa wasema uongo

  • @user-lx4of8fr3l
    @user-lx4of8fr3l 2 ปีที่แล้ว +7

    Dada kaongea kweli ila si wote lakin mambo hayo yapo mm nipo oman lakin mpaka sasa mabosi wangu namshukuru mungu lakin hayo mambo yapo ww unaebisha omba mungu ivoivo juzi mwenzetu kafa katupwa ghorofani unabisha nn

  • @zuwenaothman5134
    @zuwenaothman5134 2 ปีที่แล้ว +9

    Sio wote mimi pia nipo Oman na Sasa Natimiza mwaka mmoja na miezi mitano Al'hamdulillah mpk Sasa sijaona manyanyaso wala kukatiliwa ila kazi nyingi tu

    • @tabiamzuzuri6983
      @tabiamzuzuri6983 2 ปีที่แล้ว

      Sema ahsante mungu wenzio wanalia uko sana

    • @aishaamwalimu2887
      @aishaamwalimu2887 2 ปีที่แล้ว

      Shukuru mungu.

    • @zakiarashed144
      @zakiarashed144 2 ปีที่แล้ว

      Namshukur sana mungu Kwa kweli nipo kama nyumbani tu

    • @gibbs1320
      @gibbs1320 2 ปีที่แล้ว

      @@zakiarashed144 naomba tuongee kidogo tafadhali... please reply

    • @zakiarashed144
      @zakiarashed144 2 ปีที่แล้ว

      @@gibbs1320 tungee tu hakuna shida

  • @hamidahamadi1564
    @hamidahamadi1564 2 ปีที่แล้ว +10

    Siku nyinginewvipindi kama hivi msiweke hio saound inasikika zaid kuliko malezo y mlengwa kusikaka inaboa kiukweli

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 ปีที่แล้ว +4

    Pole sana kila seem Kuna changamoto akuna urahis wa Kaz mimi niko uku UAE 🇦🇪 alhamdulillah hiz maisha kikubwa subra tu miaka 4 now miwli nilifanya Oman safi

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 2 ปีที่แล้ว +8

    Rafudhi ya kihaya inaanza, badae inakuja kigoma mara inavuka border inaitafuta kongo, mara Burundi...... SHE IS FOREIGNER.. Na huo uongo sasa, mmmh huyu dada jmn mpeni kiki tu atrend kama anavyotaka basi arudi kwao mwenyewe mzur mwaaaaah😘😘😘😘😘

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 ปีที่แล้ว +5

    WAARAB WANA ROHO MBAYA SANA NDOMANA UTAKUTA WENGI NI MAGAIDI

  • @joycebruno312
    @joycebruno312 2 ปีที่แล้ว

    God is wonderful my sister you are back amen

  • @binthawa2973
    @binthawa2973 2 ปีที่แล้ว +7

    mambo ayo yapo sana ila inategema na maboss na maajent washenzi sio wote...yan huku kuomba mungu basi

    • @thresherjordan6829
      @thresherjordan6829 2 ปีที่แล้ว

      Kabisaaaa mamy

    • @gibbs1320
      @gibbs1320 2 ปีที่แล้ว

      @bint hawa naomba kuongea na wewe. Tubadilishane mambo mawili matatu tafadhali

  • @kamauwilliamk
    @kamauwilliamk 2 ปีที่แล้ว +8

    Why do you have to put the background music, with to much volume, 😵😵😵😠🤬

  • @fatmajumaa469
    @fatmajumaa469 2 ปีที่แล้ว +5

    Pole sana manyanyaso yapo ingawa sio wote yanowakuta

  • @mariamnjama3963
    @mariamnjama3963 2 ปีที่แล้ว +1

    Hyo miwan ndo inakuacha useme ndyo syo mama ...na tukfka arabun tuache upambe wetu home tukirud tutajpamba hyo kutaka kua sawa na boss pia yaponza ...jeuri kwa boss na kujbzana vkal pia tujiepushe na subra muhm....mungu awasaidie walo nchi za ughaibun InshaAllah 🙏

    • @thresherjordan6829
      @thresherjordan6829 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa yan akifoka kaa kimya kuepusha shetan yan ila watu wanajifanya kuwa juu na waoo

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 2 ปีที่แล้ว

      @@thresherjordan6829 kumbe ni kweli mna nyanyaswa kufokewa,mbona mwamuandama sasa?mko radhi kwa hayo?mnakubali kisiri siri mmmh!🤔lakini hamtaki kusema mnaogopa kibarua chenu kisiote nyasi

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 2 ปีที่แล้ว

      @@aairraahseif5648 WEWE ZIRO BRAIN HAPA BONGO WATU HAWAFOKEANI???

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 2 ปีที่แล้ว

      @@aairraahseif5648 hata maofisi makubwa mabosi hufokea wafanyakazi, huoni wakuu wamikoa wakifokea watu ,wakuu wa wilaya tena usikute anaefokewa ni mkurugenzi au Engineer wa mkoa lakini haropokwi kumjibu ovyo bosi wake

  • @sikudhanjuma3987
    @sikudhanjuma3987 2 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru nilisafir km.nnchi tano skiwahi pata madhila namshukuru Allah

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว +19

    maajenti ni sawa na wadudu usitengemee ajenti atakusaidia utasuburi sana

    • @tatualmazrui5945
      @tatualmazrui5945 2 ปีที่แล้ว +1

      Wapo wanaosaidia

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว +3

      maajenti pasua kichwa wakishapokea tu pesa heheeeee mh hawa watu hatariiiiiiiiiiii

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 2 ปีที่แล้ว +1

      Sio majenti woote, ajeti wangu mimi anamwambiaga madamu wangu kama anipeleke kwake!! Nashinda kule

    • @sharonanyango2057
      @sharonanyango2057 2 ปีที่แล้ว

      @@imansaid8020 maajabu

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 2 ปีที่แล้ว

      @@sharonanyango2057 kila mtu na tabia yake!!

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 2 ปีที่แล้ว +9

    Kila nchi kunawenyeroho nzuri na roho mbaya na nimitihan ktk kz kila kz inachangamoto yake

    • @farhatomar7495
      @farhatomar7495 2 ปีที่แล้ว +1

      Absolutely true

    • @zakiarashed144
      @zakiarashed144 2 ปีที่แล้ว +2

      Oliva ni kweli kila nchi ina mapungufu yao mie nina miaka 4 sasa Oman hapana shida kabisa namshukur mungu tatizo la huku hutakiwi kutoka na mie naona poa tu kikubwa utimize malengo

    • @nooor1120
      @nooor1120 2 ปีที่แล้ว

      @@zakiarashed144 wewe unajielewa Zakia
      Kuna mdanyakazi kajirikodi anamwambia madam nipe mumeo au barobaro wako sasa ndio adabu gani hio? Na madam gani atakubali kuambiwa hivyo duniani? Jamani kusema kweli wapo maboss wakorofi na wapo wafanyakazi wakorofi na wakija kuhojiwa hao madam hapa wallahi hamtosadiki masikio yenu jinsi wafanya kazi nao wanavo aibisha tanzania wanafanya mambo ya firauni huko hebu tuleteeni na upande wa pili tuwasikie sio kila siku tunasikia upande mmoja tu.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa kuna watu wamejengewa majumba na hao hao warabu so kila mmoja na bahati yake na mitihan Mungu aliye mpangia.. roho mbaya haina kabila wala rangi

  • @hannanommy302
    @hannanommy302 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimtihani yarab mungu atawasaidia hakuna zito kwa Allah wala hakuna dhiki ya milele

    • @selemani.matendo4091
      @selemani.matendo4091 2 ปีที่แล้ว

      WAcha. Uongo.. Hakuna. Jambo.. Kama. Hilo. LA. Watu. Kuchinjwa.. Huku. Saudia... Huku. Kuna. Sheria.. Kumpiga.. Mtu. Ngumi. Ni. Kosa. Kubwa... Wengine. Wanakuja.. Huku. Kujiuza. Tu.. Ni. Mimi. Nina. Miaka. 20..nipo..huku.saudia..ndio.kunA..waaarabu..wengine...sio.wazuri...lakini.sio.wote

  • @sarahomary3615
    @sarahomary3615 2 ปีที่แล้ว +2

    Saudia sikushauli Ila mm nipo oman mwaka WA 6 naelekea sijawahi Ata kuguswa na mwanaume na heshima ipo nashukuru kwakweli yani mungu mwema 🙏🙏🙏👏👏👏ila pole sana pia

  • @faridaabdallah2213
    @faridaabdallah2213 2 ปีที่แล้ว +18

    jamani mm ninamwaka 8 sasa
    nilikii 2 nikarud Tz, nikapumzika miez 2 Goma likaruka tena kuja Omani,
    sasa nina mwaka wa5 sijarud tz
    inshaallah M/ aendelee kunisimamia
    🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏

    • @azizashaweji553
      @azizashaweji553 2 ปีที่แล้ว +2

      Dada farida naomba namba yakotuchat watsap ninashida nakazi paspiort ninayo

    • @azizamohd5728
      @azizamohd5728 2 ปีที่แล้ว +10

      Nna mwaka wa 6 huu Dubai hao wanaolalamika ni huwa ni ajali kama ajali zingine

    • @alexedward4069
      @alexedward4069 2 ปีที่แล้ว +2

      Wewe xi umekubuhu isitoshe wewe ni muhaya. Hayo ndo maisha yako

    • @alexedward4069
      @alexedward4069 2 ปีที่แล้ว +1

      @@azizashaweji553 wewe aziza Ni Bora uje nikuunganishe hapa hapa bongo ufanye kazi. Kuliko kwenda kwa mparange

    • @faridaabdallah2213
      @faridaabdallah2213 2 ปีที่แล้ว +1

      @@azizashaweji553 tena ww kama unayo usijali wangu nitumie yako niku chek kisha unaifuta my, yuko pamoja wangu tena kunawengine wanaotaka kuja nitakuunga nao mke wote my

  • @feynation3739
    @feynation3739 2 ปีที่แล้ว +4

    Jamani wew dada hakuna police anaekupokea wacha kusema uongo ikiwa umesafirishwa na office lazima ufikie officin hicho chumba ulichopelekwa wew kiko wapi na mwaka gani hayo mambo

    • @telaamtauta2227
      @telaamtauta2227 2 ปีที่แล้ว +2

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kutafuta kujulikana mitandaoni

    • @rahimaabuu8687
      @rahimaabuu8687 ปีที่แล้ว

      Ety mshahara wake lak tisaa n n aliendaa miaka hiyooo ya nyerere

  • @saidiasdd5043
    @saidiasdd5043 2 ปีที่แล้ว +1

    Daaah polesana kweli niatari iziinchi zawenyewenibala mtuakiona amefika nyumbani nimaima nikumshukurumungu

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 ปีที่แล้ว +1

    Pole dada watu awaogopi mungu

  • @getrudewillson308
    @getrudewillson308 2 ปีที่แล้ว +7

    Wanao sema c kweli sijui kama wana uelewa, maana mm kuna rafiki yangu Alisha pelekwa rakini alirudi ana ham adi alipatwa ugonjwa mbaya sana sana, na mpaka sasa anarahani kitendo. Na wanaosema waende ubalozini, atapajuaje mtu anapelekwa kama kipofu kisha wekwa ndani hutoki? Kutoka ni kwenda kutupa taka ndipo huko unaweza kuona jua.

    • @thresherjordan6829
      @thresherjordan6829 2 ปีที่แล้ว +1

      Waweza kodi tax ukaend il si wote wabaya ila malez yetu na yao tofautii

    • @waheedahtanzania4912
      @waheedahtanzania4912 2 ปีที่แล้ว

      Swadakta hayajawakuta ndio maana wanacomment kusema huyu dada muongo laa hasha wengi sana wa Africa wanapata mateso wakienda ughaibuni ni wachache sana waarabu wenye imani na hofu na Mungu ndio wanaishi na wafanyakazi vizuri mashallah

    • @mwanaherhussani7425
      @mwanaherhussani7425 ปีที่แล้ว +1

      So kweli we so wote wapo hivyo me nipo salama na miaka sita na nazurura kama nipo tz na sitamani kurudi tz kabisaaa Oman ni pazuri Sanaa ukifuata lilo kuleta

  • @fathiabomani9084
    @fathiabomani9084 2 ปีที่แล้ว +13

    Don't play those backgrounds music, they over power the person who is being interviewed

    • @evalunajohannes2382
      @evalunajohannes2382 2 ปีที่แล้ว

      Kabisaaa

    • @capital_98e35
      @capital_98e35 2 ปีที่แล้ว

      Daa sure i thought its just disturb me 😢i think they have to stop dem

    • @Happydaisy1
      @Happydaisy1 ปีที่แล้ว

      Really ts boring and so disturbing

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana warabu wanaroho mbaya sana aisee

    • @matildakejo7785
      @matildakejo7785 2 ปีที่แล้ว

      ht bongo wenye roho mbaya wamejaa km wote mbona hamsemi? wengine wanajiondokea hp bila mipangilio ya kiuhalali wanaenda wanafamya kz kdg then wanawatoroka waajiri wao kwenda kudanga shame on them

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 ปีที่แล้ว

    Omani omani omani omani yangara dada tena inangara sana🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲mimi muomani omani hoyeeee hoyeeee mtalitia jina baya tunakushukuru sana Sultan Haitham kufungia viza Wafanyakazi wakike tunaotoa tena Shukurani KWA sultan haitham

    • @user-vk4bp5og9v
      @user-vk4bp5og9v ปีที่แล้ว

      Nikwer waarabu mnaroho mbaya mm nimekaa oman miaka7 niliona wenzengu walivyokua wanateseka nahao wanaume zenu malaya kulawit wafanya kazi tena wanasema wanawake wakiarabu mmepooza

    • @evaamedeus430
      @evaamedeus430 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @jokahali9040
    @jokahali9040 2 ปีที่แล้ว +6

    Kwa suudia sijui lakini omani hamna kitu kama hicho labda changamoto za kazi tu

    • @bibianayonah9127
      @bibianayonah9127 ปีที่แล้ว

      Hapo umenenaaa

    • @satyalarm2214
      @satyalarm2214 11 หลายเดือนก่อน

      Omani masha allah wanaofu wengi wao sio wote wabaya

  • @Worldunite
    @Worldunite 2 ปีที่แล้ว +8

    Hawa waarabu sio watu kabisa tena hasa wa huko uarabuni. Lkn pia serikali iwafuatilie na kuwakamata hawa ma-agent wao walioko apa nchini

    • @rahmooosaidooo1146
      @rahmooosaidooo1146 2 ปีที่แล้ว

      Ww muhindi acha unafik wako mjinga mmoja.

    • @Worldunite
      @Worldunite 2 ปีที่แล้ว

      @@rahmooosaidooo1146 wahindi na waarabu wa Yemen wote wafukuzwe, hii sio nchi yenu mnatamba sana mkijaga hapa kwetu

    • @Worldunite
      @Worldunite 2 ปีที่แล้ว

      @@rahmooosaidooo1146 mnafikiri pana tende na ngamia hapa na bokoboko, si muondoke tu mnawatesa sana dada zetu wakijaga huko, maponjoro na wa-yemen wabaguzi sana nyie

    • @rahmooosaidooo1146
      @rahmooosaidooo1146 2 ปีที่แล้ว

      Bora kwanza ungekaa &hao unawaita dada zako wajitulize hapahapa tz mbona kazi zipo tele lkn huko pia kuna wenzao mbao pia dada zako wengine wastarabu wana hishma zao wanaendelea & kazi sio hao viruka njia kwenda kutafuta waume ...eti wanateswa

    • @rahmooosaidooo1146
      @rahmooosaidooo1146 2 ปีที่แล้ว

      @@Worldunite acha roha mbaya unawalisha ww hao watu au wao ndio wanakulisha watu km ww ndio munaidhoofisha nchi kwa roho mbaya .maskini usiyejitambua

  • @edwinkambona8039
    @edwinkambona8039 2 ปีที่แล้ว +1

    Hello Lidia, pole Sana kwa yote hayo! Mimi binafsi Kuna kitu nimekifunza. Kwamba kabla hujapitia mapito ya Aina yoyote Yale, bado hujakamilika kimaisha na hauna haha ya kujisifu kwamba wewe ndo uko Safi! Lidia, nakuomba uwe mwalimu kwa mabinti wenzako ili wasiingie ktk shida uliopotia Lidia. Kwa vile Mungu amekurudisja nyumbani salaam, Dada mtumikie Mungu kwa kuhudumu ktk shamba la Mungu! Mungu Ana kusudi na wewe. Mungu Akubariki Sana, kwa kukupatia mume mwema na watoto kadhaa!!

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 ปีที่แล้ว +1

    Oman kwa kweli Mungu ana WAONA

  • @daynmengjamloo9719
    @daynmengjamloo9719 2 ปีที่แล้ว +7

    Timu omani tujuane 🥳🥳🥳🇴🇲🇴🇲🇴🇲

    • @aminaamiri7684
      @aminaamiri7684 2 ปีที่แล้ว

      Tupoo lkn tujiandae kuondokaa hakuna kurud au kuongezaa ss oman 🇴🇲

    • @daynmengjamloo9719
      @daynmengjamloo9719 2 ปีที่แล้ว

      @@aminaamiri7684 tutaisoma namba🤣🤣🤣

    • @aminaamiri7684
      @aminaamiri7684 2 ปีที่แล้ว

      @@daynmengjamloo9719 😀😀😀Tumtegemeee Allah ndiye mpanga ridhk

    • @daynmengjamloo9719
      @daynmengjamloo9719 2 ปีที่แล้ว

      @@aminaamiri7684 ishallah

    • @daynmengjamloo9719
      @daynmengjamloo9719 2 ปีที่แล้ว

      @@aminaamiri7684 ww upo maeneo gani tujuane jmn

  • @mariamuhamadi4966
    @mariamuhamadi4966 2 ปีที่แล้ว +4

    Cyo kila anae kuja Oman anateseka ila kila mtu na roho yake wapo wanao teseka ila mm nashukuru apa nilipo pata cjawai kufanyiwa chochote kibaya tangu nije na sasa nina miaka 4 nyumba hihi tangu nimefika ila wapo pia wanao teseka sana mpaka wanajiuwa kwa mateso ila mie naona kwa wafanyakazi wa ndani cyo omani tu dunia nzima ipo iyo so tuclaumu upande mmoja kuna mda ata cc wafanyakazi tunajisahau tunasahau kilicho tuleta tunaunganisha na tamaa ila kikubwa ni kumuomba Mungu tu atuepushe na hayo mabalaa 🙏🙏🙏

    • @thresherjordan6829
      @thresherjordan6829 2 ปีที่แล้ว +1

      Yan kuna vichangamoto vya hapa na paleee lakn s kwamb ni mtesooo

    • @rehemabakar8800
      @rehemabakar8800 2 ปีที่แล้ว

      Itakuwa boss bwana ako ndio maana

  • @saumunassoro9983
    @saumunassoro9983 2 ปีที่แล้ว

    Ooh pole Sana

  • @aminahussein5418
    @aminahussein5418 2 ปีที่แล้ว

    Ww nimambanaji my umepambana kwajasholako ila ndoivo mungu nimwena upo salama

  • @fettyslim7511
    @fettyslim7511 2 ปีที่แล้ว +7

    Iyo back ground music inaboaa

    • @nellygathoni2496
      @nellygathoni2496 2 ปีที่แล้ว

      True so annoying they need to style up

  • @asiamussa3780
    @asiamussa3780 2 ปีที่แล้ว +7

    Hilo lisound mnaweka la nn?mnaboa

  • @rakhibaally4662
    @rakhibaally4662 ปีที่แล้ว

    ukienda uwarabuni jifanye mjanja cha mwanzo ujuwe sehemu gani mtaa gani namba za nyumba ukipata mateso ukiamuwa kukimbia bas bora utafute ubalozi wa Tanzania

  • @user-wl8qm2yj2c
    @user-wl8qm2yj2c 8 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli sio watu wote ni WA baya Mimi Niko omani na fanya kazi na naishi vizur tu alihamdulillah mpaka sasa wapo wanao PATA changa moto

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว +3

    subhanallah jaman saudia hakufai kabisa kwenda kufanya kazi wakenya wanarudi makwao wamekufa

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว +1

      Uarabuni kote waarabu ni wanyama

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 2 ปีที่แล้ว +1

      Mmh kabwela, wewe umeenda nchi zot za kiarabu?

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 2 ปีที่แล้ว

      @@kabwelasutiviraka4765 WEWE WACHA CHUKI KWA MANENO YA KUSIKIA CHIKUWA HI CLIP NENDA SERIKALINI KARIPOTI WATU WASIRUHUSIWE KWENDA HUKO KAMA KWELI UNA AMINI HAYA YA MTANDAONI WAFUNGIWE SIO LAZIMA KWENDA HUKO.

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 2 ปีที่แล้ว

      @@kabwelasutiviraka4765 HAPA BONGO MALAYA KAMTIA MOTO HAWARA YAKE MUMU KAMUUWA MKE WAKE NA VISA KIBAO LAKINI HUWEZI KUSEMA WA AFRICA WANYAMA AU NGURUWE MA MABALAA KIBAO TENA YANA USHAHIDI SIO MANENO YA KUELEZEWA KAMA YA HUYO DADA HUNA USHAHIDI.

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว

      @@salimsaid7200 clip zimetumwa serikalini na kampeni inaendelea na waziri alizungumzia hili utawala wa JPM walikuwa kwenye process ya kuzuia watu kuja Uarabuni . Sasa Huyu mama ameingia madarakani kampeni zinaendelea tena, nchi zingine wamekataza raia wao kwenda Uarabuni

  • @buuwahiid2898
    @buuwahiid2898 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimesoma baadhi ya comment binafsi kulikuwa kuna maajent hapa nyumbani zanzibar walikuwa wanataka niwatafutie wafanya kazi kwenda omani lkn sikuwa na muda na kuna ofisi zao lkn mm sijui mambo ya wafanya kazi za huko nikaogopa kuwatatafutia na muda sina nashukuru nimejufunza hapa

  • @aishahemedi7869
    @aishahemedi7869 2 ปีที่แล้ว +1

    Pore sana Dada

  • @rahmarogath4067
    @rahmarogath4067 2 ปีที่แล้ว +4

    Acheni tamaa za kipumbavu 🤣🤣🤣tukomae Tanzania turizike na kidogo tunachokifanya ili tubaki salama

  • @ndikumasabodiegovevo9091
    @ndikumasabodiegovevo9091 2 ปีที่แล้ว +6

    Music track haifai

  • @sarahyusuph3269
    @sarahyusuph3269 2 ปีที่แล้ว

    Ni ya kweli kabisa hata mimi nipo huku huku Mungu ATUSAIDIE tu

  • @abdullahalmahrooqi8306
    @abdullahalmahrooqi8306 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani mbona huko bongo kila kukicha mnabakwa na kuuliwa hamsemi kitu lakini arabuni huo ni uongo mnapenda kusema sana tu tafuteni mengine.

  • @shekhaissa9154
    @shekhaissa9154 2 ปีที่แล้ว +5

    Story nzuri na ina mafundisho mengi. Ila watu kama wewe Lydia mnapohojiwa mngeeleza vizuri majina ya hao mabosi wenu waliowatesa na anuani kamili ya sehemu mlipofikia huko Saudia au Oman. Hii ingesaidia sana kuwafatilia hao watesaji na wao wakapata nafasi ya kuelezea upande eao. Vinginevyo inakuwa story ulotoa ni muendelezo wa badithi ambazo haziakamika , tumesikia only one side of the story. Toa evidence kamili ya unachokiongea

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 2 ปีที่แล้ว

      Swadaktaaaa,iwaaa!hiyo point sawa kabisa

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 2 ปีที่แล้ว

      Iwaaa swadakta kabisa

    • @user-li4kt7lz1r
      @user-li4kt7lz1r ปีที่แล้ว

      Mpenz uku ukisha fika nyumba ya mwalabu hujui anuani wala nn lamda no ya sim ya boss na majina pia majina weng wanafanana na hunapo pitia Mateso unakua hakuna unachokijua unaangalia loho yako tu

    • @khadijabuberwa3362
      @khadijabuberwa3362 6 หลายเดือนก่อน

      Mimi Niko omani lakini sijayaona

  • @salmameshack4502
    @salmameshack4502 2 ปีที่แล้ว +5

    Muwage mnapunguza sound jmn makelele

    • @azizamohd5728
      @azizamohd5728 2 ปีที่แล้ว

      Yaani.hiyo sauti ya mziki bura wangesitisha interview wakapiga huo mziki hadi mwisho

    • @olivanooraladin5436
      @olivanooraladin5436 2 ปีที่แล้ว

      Shida ndozinazo wapeleka

  • @esthermgema8050
    @esthermgema8050 2 ปีที่แล้ว +1

    Siyo wote jaman mimi niko Dubai naishi vizuuur sana kama niko nyumbani

    • @evaamedeus430
      @evaamedeus430 หลายเดือนก่อน

      Niunganishie basi

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 ปีที่แล้ว +2

    Hata huko tz kila siku twasikiya mnavyouwana acheni roho mbaya na warabu sio wote huko kwenu pia mambo makubwa twayaona lakini mwarabu utaona uongo mnavyozidisha mungu awaona nyie

  • @salmaalisaudalsaid2551
    @salmaalisaudalsaid2551 2 ปีที่แล้ว +4

    Mimi nimekaa na mfanyakazi miaka 22. Kaondoka kwa yeye mwenyewe kutaka kuondoka. Na hii ni oman. Kwa hiyo usiseme watu wote wa oman wabaya. Kila nchi kuna watu wazuri na wabaya. Hata hapo tanzania pia kuna watu wanatesa wafanyakazi.

    • @othmanyusufu2866
      @othmanyusufu2866 2 ปีที่แล้ว

      Ni kweli unayo sema sio woote wabaya..Lakin nchi za huko zimeongoza Sana ndomana kutwa kesi huko mbona atuzisikii Sana wanafanya UK..na nchi zengine?Oman is too much and that is true

    • @christinaemma504
      @christinaemma504 2 ปีที่แล้ว

      Dada hongera kwa moyo huo naomba kazi

    • @LuciaAnania-no5ee
      @LuciaAnania-no5ee หลายเดือนก่อน

      Naitaji nifanye kutoka kwako mana ukwel inatishaa😢

  • @zakiarashed144
    @zakiarashed144 2 ปีที่แล้ว +3

    Alhamdullillah namshukur Allah nipo Oman sijapata tabu Kwa kweli

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 ปีที่แล้ว +1

      hivyo unavyooneka wala sio mfanyakz unaonekana mdangaji tu fyuu

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว

      Fyuu wewe utakuwa agent au mzanzibar unaouza wenzako huko Oman 🇴🇲 kwa hao mashetani nguruwe waarabu 🤮 😩

    • @prettyh7509
      @prettyh7509 2 ปีที่แล้ว

      @@kabwelasutiviraka4765 nguruwe ni wewe na shetani ni wewe wala sio waarabu

    • @zakiarashed144
      @zakiarashed144 2 ปีที่แล้ว

      @@kabwelasutiviraka4765 mimi sio ajent wala sio mzanzibar sema ukiwa ukija kutafuta maisha kikubwa kujiheshimu ufuate ulicho kitafuta na kua na subra mambo ya mauzi sio kua hayapo ila uvumilivu heshima sio wengi wao wanataka kuishi kama vile wapo tz

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว

      @@zakiarashed144 unavyoongea ni kama mmoja wapo. Kwa hiyo madada wote wa Kitanzania au wote wa kiafrika wanavyofanyiwa ufirauni huo hawajiheshimu , watu wanajiheshimu sana ila waarabu ni nguruwe tu. Waarabu wana washika matako madada zetu huko , kuwafanyisha kazi kama punda wengine wanabakwa kabisa hata kuu wawa , Madada zetu wa kiafrika wanajiheshimu ila hao waarabu ni mbwa

  • @badaral6167
    @badaral6167 ปีที่แล้ว +1

    Ila cio wote kuuso lombaya kila seem wapo sio uwarabuni tu mi nimefanya sana kazi zandani toka baba yangu alivyo fAliki mwaka elfu mbili nina miyaka kumi na mbili mbaka sasa tz ukouko niliteswa sana tena mama MTU mzima kwaiyo tusiwatuumu warabu tu ata

    • @user-li4kt7lz1r
      @user-li4kt7lz1r ปีที่แล้ว

      Kama hujawahi kupitia magumu sema alhamdulilah wapo watu tunapata shida mpaka sasa

  • @ablaalnaamani7670
    @ablaalnaamani7670 2 ปีที่แล้ว +1

    Tunaomba mkiwa mnafanya interview musiweke music ina tu disturb wakati tunawasikiliza

  • @fatmaalhabs6939
    @fatmaalhabs6939 2 ปีที่แล้ว +4

    sisi tupo huu mwaka wa 14 tena najua wengi sana wapo na wamekaa vizur acheni kutuna nchi za watu kaeni bongo fanyeni kazi ya umalaya

    • @thresherjordan6829
      @thresherjordan6829 2 ปีที่แล้ว +1

      Usiropokwe kama hayajakufika sawa wacha kabisa kuna watu wanayapitia hayaaaaa kwahy acha kashfa

    • @anitajulius8533
      @anitajulius8533 2 ปีที่แล้ว

      Nitafutie namm

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 2 ปีที่แล้ว +1

      Fatma sikia kama wewe ulibahatika kupata boss mwema shukuru mungu,lakini nakuomba achs kukataa matukio wanayo elezea wenzako,maana wao yamewakuta ukisema una miaka 14 hujafanyiwa umebahatika,lakini usipaze sauti kuwadidimiza ns kuwafunika wenzio wanao paza sauti kujikomboa,huo ndo utumwa mama,wee unajuaje yanayo wafika wenzio,jisemee nafsi yako kwa wema wao,na hawa wanzako wanasemea nafsi zao kwa mateso yao kwa boss zao,kumbuka hamuwezi fanana kila mtu ana bahati zake,wao hawakubahatika usikatae walio pitia wenzio huko

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 2 ปีที่แล้ว +1

      @@thresherjordan6829 hayajamkuta huyu,anajisemea yeye,wenzie yamewakuta wanajielezea yeye anakanusha vipi?huu utumwa wa fikra kuwa kanusha watu na matukio yao,wamuache aongee wao walikuwepo?kila mtu ana yake humu Duniani asiongee?

    • @rehemabakar8800
      @rehemabakar8800 2 ปีที่แล้ว +1

      Ww mwenyew ndio kilicho kupeleka huko hakun malaya

  • @jacquelineadrian7642
    @jacquelineadrian7642 2 ปีที่แล้ว +4

    Nyie mnaosema waongo shukurun mmepata mabos wazur wenzenu wanaarud walemav

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 2 ปีที่แล้ว

      huyu mbwa maelezo yake ya uongo hayajanyooka, inaonesha hajawahi hata kupanda ndege nikiki za kijinga. Airport hakuna Polisi wakumokea mtu, nishasafiri na kuwasaidia mahousegal wengi wakiomba simu yangu kupigia mabosi wao kuja kuwapokea airport wengi au wote hupokelewa na waajiri wao. Hili jiongo halijui hata airport watu wanapitaje

    • @tecklamwakyambo7444
      @tecklamwakyambo7444 2 ปีที่แล้ว +1

      Kweri kbx uko sahihi sema ubahatike tu kuna wanaoludi maiti kbx

  • @zamzamjuma5543
    @zamzamjuma5543 2 ปีที่แล้ว +1

    Warabu ni washenzi sana nawachukia kuliko ninayo mchukua shetani au adui yangu Allah awalaani kuanzia duniani mpaka akheera amiin

    • @abuialmarjibi979
      @abuialmarjibi979 2 ปีที่แล้ว

      InshaAllah dua hii itakurudia mwenyewe InshaAllah yaarab

    • @salmazahor170
      @salmazahor170 2 ปีที่แล้ว

      Sio wote

  • @joycekimaro6685
    @joycekimaro6685 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani interview nzuri lakini makelele ya beat yamezidi hata hatumsikiii anayeongea punguzeni sound au mzime kabisaa isiwepo Ili tumsikue anayefanyiwa interview

  • @tatumhogo5742
    @tatumhogo5742 2 ปีที่แล้ว +5

    Utumwa upo sana jamani

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว

      Utumwa upo na hawa watu wametudharau sana ni wadudu kabisa

  • @briankatani8765
    @briankatani8765 2 ปีที่แล้ว +6

    Tatizo huwa wanatoroka huku bila mkataba,hawaripoti Ubarozini kule.

    • @feynation3739
      @feynation3739 2 ปีที่แล้ว

      Mkataba ndio uliambiwa utakusaidia ? Acheni kuongea vitu msivyovijua

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 2 ปีที่แล้ว

      @@feynation3739 sasa bila ya mkataba unishije nchi za watu

  • @magellasaid3693
    @magellasaid3693 2 ปีที่แล้ว +2

    Kujieleza hajui huyu! Oman ni waarabu na waarabu ni islam sasa huyu hata haendani na mila na desturi za kiarabu kbs, mbona wazanzibar wako huko miaka mingi sn lzm kuna jambo hapo nakubali waarabu ni wanafiki na wana roho mbaya lkn kuna jambo anaficha huyu dada.

  • @royalmirage2005
    @royalmirage2005 2 ปีที่แล้ว

    Pole

  • @umranim5854
    @umranim5854 2 ปีที่แล้ว +3

    Ukitaka kujua huyu ndio ana matatizo saudi arabia nyumba ngapi kafanya wote wabaya oman nyumba ngapi kafanya kazi wote wabaya yeye ndio mkweli yeye ndio mbaya

    • @zanifazan1329
      @zanifazan1329 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว

      Funga bakuli lako kama kitu ukijui swine wewe , kila kitu kinajulikana siku hizi Waarabu wanafanya watumwa wafanyakazi wa ndani na anataka Watanzania wajue maana global tv wengi wanaangalia

    • @sulimanking1618
      @sulimanking1618 2 ปีที่แล้ว

      @@kabwelasutiviraka4765 acheni zulma ,waomani sio wote wabaya ,wala wafrika wote c wabaya ,ila huyu kazidisha c viruzi kusema uongo mungu analipa hapapa

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว

      @@sulimanking1618 mkuu sio dhuluma waaarabu hata hao waomani wajirekebishe sio utu na ni dhuluma, hata Mungu hupendi wote sisi ni binadamu na hamna aliye bora mbele ya Mwenyezi Mungu sababu ya mali. Kinachosikitisha hawa wanajiita waislamu na wanatendea waafrika hivi.

    • @rehemabakar8800
      @rehemabakar8800 2 ปีที่แล้ว

      Hajabatik jaman usimuhukumu vibay

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว +8

    Wewe dada Mungu azidi kukuweka kwa kuwaambia WaTanzania ukweli , WaTanzania tunatekea mara nyingi kwa kuficha mambo kama Haya. Sasa na nyie mkirudi nyumbani kwa nini mnakaa kimya si mngeokoa wenzenu kutokwenda huko Uarabuni? Kwa nini mnakaa kimya kama mnafanyiwa unyama huu ? Wengi bado wanaingia kwenye utumwa huu sababu ya kutojua.

    • @makulaikuku6909
      @makulaikuku6909 2 ปีที่แล้ว +3

      Sio kweli kuwa kuna watu wanafanyiwa hivyo uliza watz wapo huku zaidi ya miaka 10

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว

      @@makulaikuku6909 hivyo vitu viko na wanafanyiwa ila hawasemi tu kuna wengine wameuwawa au kuwa vilema. Kama hujui ni bora kukaa kimya au ni agent wewe

    • @prettyh7509
      @prettyh7509 2 ปีที่แล้ว

      @@kabwelasutiviraka4765 ukienda uarabuni fanya kilichokupeleka vinginevyo mabaya wajitaftia ,

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว

      @@prettyh7509 kwa hiyo kwa uwezo wa akili yako kufikiri una maana hawa madada wa nchi zote Kiafrika ambao wamebakwa, kupigwa na kuuwawa kwa kusukumizwa maghorofani amefanya kisichowaleta

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว

      @@prettyh7509 kwa hiyo wao ndio wametafuta mabaya waarabu ni wema ?

  • @nasmaabou596
    @nasmaabou596 หลายเดือนก่อน

    Na mimi naomba nikirudi tz kutoka dubai naomba nije kuhojiwa

  • @fatmasaid9242
    @fatmasaid9242 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana jamaniii wanawake tubadilike tusikubali kwenda uarabuni Hawa watu hawatupendi sisi ngoz nyeusi wanatuendelezea utumwa tuuuuu

    • @saidrashid5216
      @saidrashid5216 2 ปีที่แล้ว +1

      Mm sijamuamini yaani hakuna zurini ubaya tu sio kweli

    • @saidrashid5216
      @saidrashid5216 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwa vile ashasema ni jahanamu hakuna sababu ya kuenda kwa nini ukubali kuingia jahanam

    • @aminaamiri7684
      @aminaamiri7684 2 ปีที่แล้ว

      @@saidrashid5216 kila kaz inachangamoto yake ttzo la sie hatusem mema bas ni mabaya tu ...hakuna aloshikiliwa kuja arabun tumetaka wenyew

    • @aminaamiri7684
      @aminaamiri7684 2 ปีที่แล้ว

      @@saidrashid5216 binadam hawana wema mie binafs nipo oman namshukur mungu na japo tumefungiwa s hapa kwa miak 4 nimefanya kitu

  • @jhjg8705
    @jhjg8705 2 ปีที่แล้ว +4

    KWANZA HUYU HAJAFANANA NA KUA MFANYA KAZI ZA NDANI HUU NI UZUSHI

    • @dianarobert3989
      @dianarobert3989 2 ปีที่แล้ว +2

      Kwan wafanya kazi za ndani wapoje eti😂mwenzio kasharudi Tz kapendeza mnaanza kumwita muongo

    • @fatmakiruwasha2378
      @fatmakiruwasha2378 2 ปีที่แล้ว

      Kwani mfanyakazi anakuwa na langi gani

    • @jackbikoliman3297
      @jackbikoliman3297 2 ปีที่แล้ว

      Huyu msanii anaigiza tu msikilize hata anavofosi kuongea kama muha wa kigoma vile 😂😂

    • @fatmakiruwasha2378
      @fatmakiruwasha2378 2 ปีที่แล้ว

      @@jackbikoliman3297 muacheni mmuha wawatu km anaigiza shauliyake

    • @jackbikoliman3297
      @jackbikoliman3297 2 ปีที่แล้ว

      @@fatmakiruwasha2378 😂😂

  • @user-lx4of8fr3l
    @user-lx4of8fr3l 2 ปีที่แล้ว +3

    Passport wanachukua hata mm nimepokonywa nilipotua tuu sju kwa nn wanakupokonya

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 2 ปีที่แล้ว

      Hakuna kujiuliza kwanini Wana roho mbaya Mimi mwenyewe imechukuliwa njiani sijafika home ,hawajiamini wadhani roho zao kama zetu

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 2 ปีที่แล้ว

      Ukitaka kumjua huyu muongo , jiulize ulipokelewa na polisi na passport yako uliikabidhi kwa polisi au muajiri wako ?

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 2 ปีที่แล้ว

      Passport ndio sheria ya nchi ukifika boss wako ndio mdhamini wako awe nayo pia akutolee ID ya ukaazi

    • @prettyh7509
      @prettyh7509 2 ปีที่แล้ว +1

      Lazima wachukue maaana wao ndo wamekugharamia na inawezekana ukatoroka wakapata hasara nadhan hivyo mbona hata mi wamechukua na ninapiga kazi bila wasi

    • @alexedward4069
      @alexedward4069 2 ปีที่แล้ว

      @@prettyh7509 husuna wewe huku huna ndugu vumilia 2. Kufirwa Kira siku

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 2 ปีที่แล้ว

    duuh pole saaan sister inshallah

  • @mammyprincess6494
    @mammyprincess6494 ปีที่แล้ว

    Mimi niko huku sijaona mambo hayo na kama ukibakwa unajishibokeza mwenyeo ukiwa na msimamo hakuna mtu atakugusa

  • @umranim5854
    @umranim5854 2 ปีที่แล้ว +3

    Msiwaruhusu kabisa kuwasafirisha tena kwenda uarabuni

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว +1

      Na ndio maana wanaongea hivi ili Watanzania wa bara wajue unyama wa mwarabu na watu wasije huko ushenzini , Waarabu ni wadudu nguruwe hawa

  • @maloomaalmnsj5111
    @maloomaalmnsj5111 2 ปีที่แล้ว +3

    Njaa izi zinatuuwa ila atukomi tunaenda

    • @monicahovda4524
      @monicahovda4524 2 ปีที่แล้ว +1

      Ilo nalo neno, njaa, kuliko wanaopinga na kusema ni kuko vizuri, nchi nyingi za Mataifa mengi zimewalalamika hawa wa Middle East. Kwamba ni wanyanyasaji na bado wana zile za kumuona mtu Mweusi ni Mtumwa au ukimtumikia basi anakumiliki, kuna wafanya kazi wengi mpka wa kutoka Asia, kama waphilipino na wanalalamika hivyo hivyo, wananyanyasika pia

  • @rosekadanga3940
    @rosekadanga3940 2 ปีที่แล้ว

    Jamani

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 2 ปีที่แล้ว +8

    huu umalaya wakusema uongo kujipatia umaarufu wakijinga naona imekua fashion siku hizi Tanzania. Kabla kuongea tuoneshe passport yako na mihuri yako ya kuingia uarabuni. Nyinyi wenye vyombo vya habari uchwara mnatakiwa kuwataka uthibitisho wa hao mnaowahoji kutukana nchi za watu , sijasikia mtu kunyang'anywa passport na polisi Uarabuni , muajiri wako ndio mara nyingi huchukua passport yako na hakuna kufungiwa kwenye chumba eti airport tena? ,ujinga wa mwisho, either utapokelewa na muajiri wako au agent wako Pumbavu.
    Ukitaka kudanganya angalau ulizia kwanza hicho unachotaka kudanganya kwa wanaojua

    • @laymashabani832
      @laymashabani832 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa mamy yaani uyu anaongezea pumba kibao ni mshenzi sana

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 2 ปีที่แล้ว +3

      Mbona unatukana sana, na vipi kuhusu saudia!!? Ni kweli lakini sio wote!

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว +2

      ww unajua sana na ww ndio unayesafiri peke yako na msema kweli ni ww maashaallah acha matusi kuwa na hekima

    • @salmadhiab2693
      @salmadhiab2693 2 ปีที่แล้ว +1

      Tumewachoka kwakweli hawawezi kazi waende wakawaulize ubalozi watanzania wamejaa kama utitiri mtu kaja wiki hajamaliza anataka kurudi aseme kweli hawezi kazi wamekalia kuzua na lugha pia inawacheza mfanya kazi anataka aamke sawasawa na madam sasa umekuja kufanya nini acheni hizo kama hujaona kwamacho usichume dhambi auvp wanatutukana sana wallahi lakini waache mungu anawaona

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว +2

      @@salmadhiab2693 ww ni mwarabu au mfanyakazi shahala kadama msafisha hamam

  • @shekhaissa9154
    @shekhaissa9154 2 ปีที่แล้ว +4

    Global TV tunaomba muwahoji na watz walofanikiwa kwa kwenda kufanya kazi huko Arabuni.
    Wapo wengi tu wametajirika kwa kufanya izo kazi.
    Msiwe mnaaangalia walopata matatizo tuu na kutia doa nchi za watu

    • @janethkomba4485
      @janethkomba4485 ปีที่แล้ว

      ichi nikipindi chamapito🚶🚶🚶itakuwaje wawaoji wariofanikiwa?????

  • @user-wl8qm2yj2c
    @user-wl8qm2yj2c 8 หลายเดือนก่อน

    Tz pia ma boss kibao Wana wafanyia vibaya wafanyia kazi ila ndo ubaya upo kwa warabu tu

  • @saumunassoro9983
    @saumunassoro9983 2 ปีที่แล้ว +1

    Mm Niko Dubai nashukuru mungu Alhhamdhillah Niko na off day Kila Friday

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 2 ปีที่แล้ว

      Sasa hiyo sindo siku yao ya kupumzika ,ulitakaje day off yao iwe sunday?sunday upo kazi au nayo ni day off pia🤭🤭

  • @kiri5807
    @kiri5807 2 ปีที่แล้ว +3

    wengine kazi zake mwenyewe zinamshinda anajipeleka arabuni kufanya , akipewa kazi za familia anaanza kununia watu unafikiri nani akupe pesa yake bure ? serekali ilikataza musende munatoroka ikisha munakuja kusikitika naona si wafanyaji kazi nyie . ulisikia kuna kazi rahisi ? nyinyi munafika kule mwatska mumpandiye madam utosini atakubali wapi ? umuoneshe dharau ? fanya kazi hamuwezi bakieni mwakwenu musilete fitna hapa . yote nikushindwa na kazi wanaoweza wanakaa miakaa wala huwasikii kusikitika uvivu tu .

    • @buuwahiid2898
      @buuwahiid2898 2 ปีที่แล้ว

      Kumbe wavivu

    • @kiri5807
      @kiri5807 2 ปีที่แล้ว

      @@buuwahiid2898 mimi sio lipungeni wakupanda ndege ila nawaona wapuuzi kujipeleka mahali ikisha munarudi kulalamika kutukana watu . kuvamia jambo bila ya kuresrarch madhara yake ndio hayo. 😂😂😂 wivu utoke wapi hapo ? au kwa vile munavyofaidi ? basi kaeni kimya muzidi kunufaika tuzidi kuwaonea wivu

    • @buuwahiid2898
      @buuwahiid2898 2 ปีที่แล้ว

      Ok sawa ww hujaenda ndugu yangu

    • @kiri5807
      @kiri5807 2 ปีที่แล้ว

      @@buuwahiid2898 wala sijaweka siku .

    • @buuwahiid2898
      @buuwahiid2898 2 ปีที่แล้ว

      @@kiri5807 ok kw nn ndugu yangu

  • @rahmooosaidooo1146
    @rahmooosaidooo1146 2 ปีที่แล้ว

    Wee dada mwogope mungu .hujapata wanaume au hujalipwa pesa ya kazi ya umalaya wako ss ndio unawatia ubaya waraabu .... Ss kinacho wapeleka nn

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o 2 ปีที่แล้ว +1

    Dada hapo ume kosea Oman hakuna mtu anafikia polisi Oman ninchi nzuri ubaya unatoka huko kwetu Afrika tatizo tunaendekeza umalaya sana tunajisahau sana na ndio maana tuna uliwa Oman haina shida my

    • @mwanaherhussani7425
      @mwanaherhussani7425 ปีที่แล้ว +1

      Muambie huyo Mimi Nina miaka sita sasa na nipo mzima wa afya hakuna lolote

  • @rakhibaally4662
    @rakhibaally4662 ปีที่แล้ว

    he ndo Saudia rabia au Saudis mateso subhana llwaaa lailaha ilalwwaa muhamada rasulullwaa laana zao watu was ofisi watakufa midomo wazi

  • @evalunajohannes2382
    @evalunajohannes2382 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani, huo mziki background inakera kweli.

  • @reyzuumsafiri4818
    @reyzuumsafiri4818 2 ปีที่แล้ว +1

    Ww Dada mwengine unayo Sema siyo kweri mbona sisi tupo na abari ya kusema tunapokerewa na porisi siyo kweri ukutunapokerewa na maajeti

    • @ashuramrisho8332
      @ashuramrisho8332 2 ปีที่แล้ว

      Me nimekuja hukoo sikupokelewa na ajent so huko kunachangamoto nying kila mtu anachangamoto zake

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku6909 2 ปีที่แล้ว +1

    Jaman me nimekaa miaka 6 dubai niko omani miaka 2 sijapata shida yoyote ya kazi au alikuja kujiuza maana kuna wengije huja kwa kazi hizi subhaanna Allah

    • @duhrurhhddhheud8575
      @duhrurhhddhheud8575 2 ปีที่แล้ว

      Shukuru hayajakufika

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 2 ปีที่แล้ว

      @@duhrurhhddhheud8575 YEYE SIO MALAYA YATAMFIKA VP?? AU WEWE MALAYA UNA MTETEA MALAYA MWENZAKO.

    • @duhrurhhddhheud8575
      @duhrurhhddhheud8575 2 ปีที่แล้ว

      @@salimsaid7200 😀😃😄😁Eti Malaya Asante hii text hifadh ila wale wanaoteseka huko hali ya kuwa hawafanyi umalaya ubebe mzigo siku ya khesabu

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 2 ปีที่แล้ว

      @@duhrurhhddhheud8575 NA WEWE HIFADHI MPAKA SIKU YA HESABU AKIULIZWA KWA NINI HAKWENDA SERIKALINI KURIPOTI AKAENDA TV KUFITINISHA NA KUONYESHA UMALAYA WAKE WEWE UTAMJIBIA MBELE YA MUNGU////OMAN KUNA SERIKALI NA TZ KUNA SERIKALI MBONA HAKWENDA KAMA YEYE MKWELI????

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 2 ปีที่แล้ว

      @@duhrurhhddhheud8575 HALAFU HUYO NI MRUNDI AKASEMEE KWAO.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 ปีที่แล้ว +2

    Mkichinjwa sawa tu.Tamaa

    • @ashorass4431
      @ashorass4431 2 ปีที่แล้ว +1

      Acha roho mbaya na wewe

    • @mammam4701
      @mammam4701 2 ปีที่แล้ว

      Nyoooooooooooooo we mwenyew unatamaaa mbona unafnywa😏😏😏😏nyoooooooooooooo

    • @mammam4701
      @mammam4701 2 ปีที่แล้ว

      Nyoooooooooooooo

    • @safiyajeylan1342
      @safiyajeylan1342 2 ปีที่แล้ว

      Ni kweli hawariziki tamaa Mbele mauti nyuma

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt 7 หลายเดือนก่อน

    Omba tu upate bahati lakini ni bora unyanyasikie mazingira ya kwenu utapata mfariji.

  • @khadijatanzania8040
    @khadijatanzania8040 2 ปีที่แล้ว

    Yaan nikitaka kucoment nafuta mana hata nikijitetea kuwa sijawah pata tabu najuwa kuna watu watapinga kuwa naficha ila ukweli nikwamba sio warabu wote wanaroho mbaya kila mtu na iman yake ila ukweli wangu naujuwa mimi hata mtu aniite muongo sawa

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 2 ปีที่แล้ว +2

    Usimpinge sababu ww unayefanyiwa vizuri na boss wa sasa . Wanashuhudia ya kweli wanayopitia ! ukipata boss mzuri shikilia!

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 2 ปีที่แล้ว +1

      Taarifa hii nimeisikiliza Jana kiukweli wapo wazuri tu sababu Kila mtu anaboss wake ila tunavumilia mengi mke wa boss anakijibu maneno kama sio boss alafu wanawake Wana roho Fulani kama ya ukatili ila mda mwengine tunaekti furaha Ili wasitufanyie vibaya,Bora omani saudia nasikia wanaongoza ukatili ,Kuna wengine waTanzania wakimsikia huyu dada watamtoa akili Hana ila anaongea ukweli mitihani ipo mtu anakufanyisha kazi uku unaumwa corona wee inauma ila tunavumilia njaaa,na baadhi ya waTanzania njaa zimewazidi wanakanusha uwoongo hapana wewe kama umempata boss Yuko poa shukuru, mambo njaa tu.

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 2 ปีที่แล้ว

      huyu mbwa maelezo yake ya uongo hayajanyooka, inaonesha hajawahi hata kupanda ndege nikiki za kijinga. Airport hakuna Polisi wakumokea mtu, nishasafiri na kuwasaidia mahousegal wengi wakiomba simu yangu kupigia mabosi wao kuja kuwapokea airport wengi au wote hupokelewa na waajiri wao. Hili jiongo halijui hata airport watu wanapitaje

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 2 ปีที่แล้ว

      @@mhogomchungu7168 mbona umekuwa mkali sana? Unataka kusema watu hawanyanyaswi au hawatukanwu? Au hawafanyi kazi huku wanaumwa?

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 2 ปีที่แล้ว

      @@imansaid8020 HUYO MUONGO KWANI HAKUNA SERIKALI OMANI MBONA HAJA RIPOTI HUKO OMAN KUNA WABONGO WANAWAKE NA WANAUME HAWAPUNGUWI 50 ELFU TENA WANA SECRUTI KALI KULIKO HAPA NA HUWEZI KUMUONEA MGENI HATA KIDOGO TUNA MARAFIKI WENGI HUKO OMAN HUYO DADA MALAYA ANAJI PROMOTI HAPO ASILETE FITINA ZAKE HANA USHAHIDI NA MANENO YAKE OMANI SIO PORI LA WANYAMA NI NCHI NA SHERIA ZIPO ULIZA KWA WABONGO WANAUME WANAOISHI HUKO KAMA UNAWAJUWA SIO HUYO HI NCHI YA KIISLAMU HAWO WANAOROPOKA HAPO NI UPANDE WA PILI WAENDE ULAYA KWA WAKRISTO WENZAO UMALAYA 2 KWAO NDIO SIFA.

    • @rashidamajariwa342
      @rashidamajariwa342 2 ปีที่แล้ว

      @@salimsaid7200 xx uko Oman ndo wapo wtu Kama ww ataukiambiwa xhida za mtu hutoamin utazn anajixingizia

  • @emmystanford6201
    @emmystanford6201 2 ปีที่แล้ว

    Dah, inasikitisha sana

  • @kiri5807
    @kiri5807 2 ปีที่แล้ว +1

    hawa wengine wanaokutwa na matatixo wengi huwa wanachukuwa waume za watu . wanakwenda nchi za kiarabu kwa malengo yakupata wanaume wakiarabu yakisha kuwakuta huja wakasema uongo , hata wengine wanaenda na mpaka madawa yakuvutia mume wa boss sasa akibaini mwenyewe unafikiri nini ? kichwa chako halali yake. hakuna kazi isiyo na challenge hata hao wanaofanya hapo Kwenu kwani hawateswi ? simufanye kazi hapo hapo kwenu .

  • @daynmengjamloo9719
    @daynmengjamloo9719 2 ปีที่แล้ว +1

    Tukiondka omani jamn tukumbuke kuwa kunawengine bado wanahitji3kuja kutimiza ndoto zao najua tunapitya3mengi vingine nisili zandani

  • @MightyLumber
    @MightyLumber 2 ปีที่แล้ว

    Yaani kufanya kazi kwa Waarab ni sawa tu na kujitafutia kifo. Mwarab hana thamani na mwafrika hata kidogo

    • @rabiaissa4311
      @rabiaissa4311 2 ปีที่แล้ว

      Jaman walokuwa oman hamjambo au mnapata shida

  • @barakayohanasanga3005
    @barakayohanasanga3005 2 ปีที่แล้ว +1

    Huo mziki sauti juuu, hauleti radha, stori hainogi.

  • @aishaalafifo7057
    @aishaalafifo7057 2 ปีที่แล้ว +2

    Mimi mwenyewe nilifika tu! Nikaanza kulia 😭ila sasa hivi nimekomaa 😂🤣 jamani huku ni shida duh! 😂 Ila mimi sijawahi kuteswa na mama Boss zangu 💪💪 ila huyu dada kiswahili chake ka cha Burundi??😂🤣😂🤣😂🤣 tujuane basi 🤷🤷🤷🇧🇮

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana mpenzi warabu wote hivyo hivyo hata mie nipo uku uwarabun😢💔

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 ปีที่แล้ว

      Sasa na nyie mkirudi nyumbani Kwa nini mnakaa kimya si mngeokoa wenzenu kutokwenda huko ? Sababu Kwa nini mnakaa kimya kama mnafanyiwa unyama huu