MREMBO MTANZANIA AFARIKI INDIA - BADO SIKU 1 MWILI UCHOMWE MOTO, MILIONI 19 ZAHITAJIKA KUUCHUKUA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
- MREMBO MTANZANIA AFARIKI INDIA - BADO SIKU 1 MWILI UCHOMWE MOTO, MILIONI 19 ZAHITAJIKA KUUCHUKUA..
GLOBAL TV imefunga safari hadi Chamanzi Jijini Dar kuzungumza na familia ya dada aliyefariki akiwa nchini India huku mama mzazi akifichwa juu ya kifo cha mwanaye..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 739 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Kkokolpdpqep
MUNGU akutie nguvu dada angu maisha yetu sisi wanadamu ni siri kubwa sana ambayo ni MUNGU peke yake anaeijua! MUNGU awape familia yote faraja yake ya mbinguni katika kipindi hiki kigumu familia inachopitia.
Duniani tu wapitaji tu na maisha yetu tuzidi kumuangalia na kumtegemea YESU KRISTO peke yake ambae ndie MWAMBA wetu
Mkagueni figo kabla ya kumzika, polen sana
Subhanaallah innarillah wainailyh rajiun 😭😭😭pole sana wana familia
Da polen sana ndugu zetu mungu atabarik in sha Allah na ampe safari njema kaul thabit
Nimekupenda sana sister l really love you ulivyo jielez mungu awatie nguvu tu
Poleni Sanaa kwa msiba,,,, mungu ni mwema atasikia kilio chako
Pole sana dada Allah awafanyie wepesi mumpate mpendwa wenu
Dah poleni sana kwa msiba Mwenyezi Mungu awape subra katika hili na naomba msisahu watoto walioko na mama yao huko pia
Wahindi ni maskini sana kwao usiwaone hapa bongo Tajiri nitajiri kweli na maskini nimaskini hasa bora maisha ya Tanzania
Imba ule wimbo wa Tanzania x2 Nakupenda kwa moyo
Hao wahindi wamejaa uarabuni wanafanya kazi za ndani wengine wanafagia barara hawana lolote
wapo uku uwarabuni kama wote wana fagia barabarani na kukota vitu kwenye maubala
@@aishajuma18 na wanaroho mbaya
We wahindi maskin hatari wengine wanazoa taka uarabuni wengine wajenzi wenginewanafukua mitaro kila siku wanarudishwa kwao walivyozidi Oman
Kweli kabisa wahindi masikin sana tena nchi yao mbaya sana aina hata Maendeleo kabisa
Innalilah wainnaillah!
Poleni sana na Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Amin.
Watoto wakaidi Sana wa siku hizi allah awahifadhi yarab
Watoto wetu na awaongoze njia iliyonyooka
Poleni sana
Ameen
Amen
Sio kwa ubaya lakin kama ikishindikana majivu yatumwe tu yazikwe kama mwili kuja inaleta ugumu..natamani ningekuwa na uwezo ningetoa hata pesa yote atumwe...mungu awatie nguvu
Huja kosea ikishindikana basi, je ? Huyo bwana aliye kuwa naye ni mhindi au kwahiyo Hana pesa ya kuchaniwa huko
Ni mtanzania mwenzie alekuwa mume wake huku
@@lisaanthony629 na ww uko India?? Au sio?!
@@ziadasalimu1730 inavyoonekana labda ni muhindi
@@kassimrajabu7805 ndio
Polesana dadayangu mungu akupe wepesi na yote tumwachie mungu ndo atakaye Fanya njia pasipo njia polesana ndg yangu daaaa!!!!!!
Pole sana dada angu nafamilia yenu TU jaman maisha nipopote dada msamehe TU hata amtu akiishi kwenye nchi yake bado kifo kinaweza kumpata chamsingi nikumuombe mungu apunguziwe azabu zakaburi inshallah
Mungu awajalie mambo yaende vizuri.
Duuu poleni sana 😭😭😭 ngoja tutulie tu tulage ugali na maharage nyumbani kwetu TANZANIA,naipenda nchi yangu ,naipenda pia amani ya nchi yangu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kifo mahali popote mungu ndio mpangaji
Kwakwel
@@birusidesmond3245 kweli 😭😭
@@birusidesmond3245 ndio ila uondokee family ikiw Iko vzr na ww
Pole sana dada Mwenyezi Mungu awasimamie.
Sio vitisho jamani nchi za wenzetu kuzikwa wana mipango yao,,,na wasichana wengi wanaokwenda India ,Turkey,China..kazi zao zinakuwa sio nzuri,,ukiongea nao vizuri warudi nyumbani wanakutukana na kusema uache na maisha yao,,WaNigeria wanawatumia vibaya sana na kuwatesa,
Nimeliaa jaman khaaa maisha haya Uwiiiih 😭😭😭😭😭
Poleni Jaman Pole Sanaa Dadaangu Mungu amekuskiaa Atatenda Mungu Si Kiziwi Dear Asisikie Vilio vyenu
Kweli kabisaaaaa yaani Uneongea point sana yani wanawatumia vibaya sana sio siri .....
@@marysiasawaki3698 yaani we acha tu,,,ukiona wanavyofanyiwa utalia,,lakini ndio tamaa wanataka high life
Inatia Huruma sana
DAH dada poleni xana. Mungu awafanyie wepesi . Dada ameongea vzr xana na ujumbe mzuri xana Kwa jamii.
Polesana my dear hii nimitiani itaisha mungu atafanyawepesi😭😭😭
Mashaallah mtangazaji uko makini kabisa na unaijuwa kazi yako
Tunaishukuru serekali yetu ya tanzania kwa kusimamia tatizo hili,,,, mwenyezi mungu amjaalie ndugu yetu makaz mema pepon amina,
Tumieni ubalozi wa Tz nchini India watawasaidia au balozi wa India hapa Tz.Mungu anaweza atarudishwa tu .
Kagueni Figo zake kwanza poleni sana Mola awajalie maisha marwfu
Poleni sana dada Nora hili nalo litapita mtafanikisha kila kitu na Mtauona wema wa Mungu juu ya maisha yenu. Mungu hajawaacha atawavusha. Relax na umpe Mungu nafasi. Usilie sana tumia muda mwingi kuomba Bwana atawavusha. Sisi lilitukuta kama hili lakini Bwana alitupigania kwa namna apendavyo hata sasa yeye ni Ebenezer kwetu.
Amina
Poleni sana mungu yeye anajua😭😭😭😭🙏
Pole sana Dada ,pambana kwa ajili ya mdogo wako,Mungu akutie nguvu,poleni sanaaa
Kama hajaoolewa huko kwa wahindi hawez kuchomwa Moto,msihofu ila kama ameolewa ndio Wana uhalali wa kumchoma,ivo msiigope
Poleni wanafamilia mungu awasaidie mwili wa marehemu urudishwe nyumban I🤲😭
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu.
Pole Sana Dadangu pole Sana Familia Mwenyezi Mungu awasimamie na kuwatia nguvu
Mimi hili naona ni swala la kitanzania mi naamini watanzania tukatoa 2000 tutaona ni pesa ndogo Ila ni nyingi mnoo maana huo no msiba Wa Taifa sio Wa familia tena kwa ml 19
Innalillaah wainna ilayh rajiuun, Mungu akupe subra dada
Mungu akutie nguvu dada inauma sana
Poleni sana take heart may God strengthen your family at this time of the moment..🙏🙏🙏🙏
Pole Sana Dada ukubwa Ni jalala, Pole Sana Mungu akutie Nguvu🙏🙏
Kweli kabisa atavuka tu
Poleni sana allha awape subra lnshallha Mungu atulindi atupe afya njema umri mrefu lnshallha tulio kuwa mbali na family zetu kifo kipo popote pale lakini vizuri ukifia nyumbani eeeeh Mungu tulinde ss watafutaji na uwape family zetu umri mrefu lnshallha 😭🙏
Amiin
Mtihani jamani yarabbi atupe mwisho mwema yarabbi
Poleni BABA wa MBINGUNI awapesi ktika Hili. Msiba huu umenifundisha kitu kikubwa,yakuwa Mzazi si wakuficha tatizo zito Kama ugojwa kwani sisi ni binadamu lolote baya laweza tokea ,aliefichwa akiujua ukweli, ataumia zaidi, pia awezapa Sonona nakupeleke mkupata natatizo ya strick.tuwe makini ndugu zangu.
Nimeumia sana pole sana dadaangu, lnauma ni mdogo wako.
Poleni sana M/Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
😭😭😭😭polen sana wanafamily mungu awafanyie wepesi katika kipindi hiki kigum mnachopitia
Pole dada 😭😭😭
Dada pole sana upande wangu hauna kosa.
Mungu awatie nguvu dadangu kifo kiko popote sio kwenye ichi yetu kila mtu alihesabiwa kifo chake chamhim nkumuomba mungu awapiganie kwa hili pigo kubwa lililowapata pole zangu za that kwa familia 😭😭😭
Polen sana familia mungu awatie nguvu kwa kipindi hiki kigumu mnachopitia
Mungu awatie nguvu jamani.poleni sana.
Apumzike kwa Amani Shamona 🥲mume wa shamona jmn upo wapi tia mkono wako hpo hta upunguze den familia ya shamona ipo kwenye wakat mgum sana daaahh mung tupe mwisho mwema 🙏
Tamaaa, Za mabint loooh Bora mimi nipo. Zangu Omani muscat 😢pole sana my dear dada kule hakuna pesa India!! Marafiki zangu wana niambie japo wana niambie njoo n ww 😭
Mmmh huko nako sio salama
😭 Maisha tu do yanasababisha. . Tumuombee Allah atujalie turudi salama makwetu
Sio tamaa maisha tu usiseme hivo hakuna aijuae kesho yake ni kumuomba Allah tu
Mmmh wote kutok njee n tatizo , mnawapa wengne shida jamaaan
Wao wenye wengi maisha magumu India nyie bora ya tz Mara kumi
Pole dada yupo Mungu asiyeshindwa anatenda muujiza
Pole dada Mungu awafariji tunawaombea mpate pesa insh Allah
Dada umejieleza vzr sana sijui niwasaidieje hebu onana na stivu nyerere kwanza huenda akakusaidia
Inalilah wainalajuhn mungu awatie nguvu katika kipindi iki kigumu Amina🙏
dahhh inaumiza jamani kama dada wa familia nimejifunza kitu kikubwa sana kupitia huyu dada poleni wafiwa wote mungu awatie nguvu mnooo😭😭
Poleni wana familia.
May her soul rest in peace 💕🤲
Poleni sana Dada mungu atawajalia
Duuu polen sana.mungu awatie nguvu
pole Sana dada yangu mwenyewezi mungu atakufanyi wepesi lnshaallah 😭😭
India ni bei rahisi kusafirisha mwili, china ni million 40... poleni sana,Mungu awape faraja
Duh
Sioni Kama muda wa kulaumiana maisha popote na utafutaji popote so msiseme tamaa kwaiyo angefanikiwa mngelaumu Ni kuomba Mungu mwili urudishwe maisha yaendelee
Maisha ni kokote na kifo ni mpango WA Mungu. Mm sijaona kosa la marehemu. Hata km hakurudi lakin huwezi jua alikuw na maisha gan huko. Na huko kutokuaga bongo ni kawaida TU mana mtu anaogopa kikatishwa tamaa na vikwazo kibao. So Mungu atusimamie TU tuwe na mwisho mwema . Maisha popote jamani .
Pole Sana Ndugu yangu Mungu awape subra
Chozi limenitoka poleni sana wafiwa wote mungu awatie nguvu🙏
Niliwahi kusoma na happiness Balama, nae aliacha shule iringa girls form II
alikua na tamaa ya misha mazuri,akafanya shortcut lkn mwisho wake ulikua mbaya sana,nae kwao palikua ni Iringa,najaribu kuwaza au ni ndugu. Na kama kweli ni ndg basi hiyo familia inahitaji sana maombi yetu watanzania😭
Kama sio familia hii basi huu ukoo utakuwa na hiyo hali ya kupenda mafanikio ya haraka
@@mdzainb3722 Haya maisha ukiyaendea haraka ndivyo utakavyo yaacha kama yalivo nikuruzika tu naunachokipata japo Mimi mwenyewe nipo mbali na Tanzania ila nipo kihalali
@@ameenaameena1224 nikweli ndugu ni kuwa na moyo wa kuridhika tu
Mh unaroh mby kwan we ndio utaki maisha mazr nibinadam huyo kila mwanamk anahitaj maixh mazr mwanaum mwenye pesa kifo kipo mahali popote xiku yye nakam angejua kua atafia india angeenda mbaali ili kifo kisimkute.lkn kifo nisiri ymungu ach kuongea ujinga
@@hejopantumsifusimon21 ni kweli mpenzi iyo familia ya balama Ina matatizo,Kuna bint nadhan ndo uyo happy walishilikiana na majambazi Iringa wakamuua taxi driver wakamtoboa na macho,nahisi alifungwa maisha na alikuwa mdogo km miaka20
Pole sana Mungu akupe nguvu mdogo wangu inasikitisha sana
Mtihan sana ila india hakuna maisha wao wenyew kwanza wapo weng halaf maisha ni magum sana. Mtihan sana
Dah mungu tusaidie
Umesema kweli, vijana waache tamaa, waache kuforce maisha ya juu,kutafuta short cut,,,hakuna life ya short cut
Nafanyaje
Poleni sana ndugu zangu Mungu awawezeshe
Inna Lillah wainna Lillah rajyun 😭 poleni sana Mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu inshallah
Inna lilah wanna Lilah rajuun poleni Sana wanafamilia m/ mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu
Ffofg my
Umeongea kwa uchungu sana dada angu
Poleni mungu awatie nguvu ktk kipindi hichi kigumu.sisi wana jumuiya ya mt.Anyesi tunawaombea.kwa mungu .Amen.
Watanzania , mdg zangu nimeona Upendo wenu na nguvu ya maombi yenu. Furaha anarudi Kesho anarudi Kesho jamami.
Meetup NI muujiza. Ni muujiza jamani. Naendelea kuwashukuru jamaniiiii. Ndg zangu jamani nawashukuru mmenisjika mkono. Wapi mliokuja mpaka nyumbani.
Mungu senseless kututuzs watanzania sisi. Daah
Oooh jaman utukufu kwa Mungu
Maziko lini?
Je watoto wake wameletwa
Hongera na pole sana dada
Mungu ni mwema. Ameona unyonge wetu. Jina la Bwana lihimidiwe.
Mungu akutie nguvu dada
😭😭😭 Huyo alikuw akiishi naye kamkimbia au Mungu awape faraj kweny Familia yenu
Ubarozi nawao wanatiaibu wangelimaliza jamani maishahaya wanapatawapi hiyopesa
Kabisa kabisa kabisaaaa
Poleni Sana watu wa mungu
Jamani mbona unamlaamu ndugu yako marehemu..?ameenda kutafuta maisha ya shortcut ila alikua na mume wamezaa jamani..!she’s full of complans yaani mdogo wako kafariki unamzodoa ..!kueni na maadili,usitafute shortcut ,mjitambue aisay…!sijafikiri ata mjudge hivo mwenzako hao hawatoto watakua tu kwa uwezo wa mungu..!sijapenda
Pole san dada yngu inshallah mung hatawapa subr na nguvu pia mungu hailaze roho yke Pema pepon
Poleni sana,mitihani tumeumbiwa sisi sio wanyama,mnyazi mungu atafanya msikate tamaa
Poleni sana ndugu Na Jamaa Na Marafiki Walioguswa Na Huo Msiba
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki wote mungu ampe nguvu mama 😭🙏
Namfahamu sana shamona Niko pamoja na nyinyi
Allah awafanyie wepes 🤲
Ml 19 ni pesa nying zaid vip kama mkifanya Dua kwaajir yake mana hata mkimchukua hanafaida tena achen achomwe wataleta jivu tutazika lkn hizo pesa ni nyingi mno
We jamaa unaakili sana hata mie nilikuwa nafikiri hivyohivyo
Japo kuna uzito kidogo ila zingesaidia watoto kwenda shule
Short cut ipi angefanikiwa mngeongea Ayo jamani wewe dada Kama unajua maisha popote unamlaumu marehemu kwasababu gani
Mwanaume ni mbongo mwezetu au mhuindi
Wabongo mnachanga mgonjwa aende kutibiwa India mimi naona familia ya mume wake walipie mwili ukuje
Duuh mama k polenisana jamani Dada Domi juzitu nilikua ninamuulizia!!
Huyo mmewe nae ni mzigo hajiwezi kabisa. dear God ndioalikuwa anatafuta mtoto wa Kihindi jamani. Pole Mhehe mwenzangu Mungu akupumzishe kwa amani
Inalilahi wainailayihi radjioune Alhamdoulilahi rabi lanlamine
Mh poleni familia maana inauma sana jamani duh.
Wasanii wa bongo movie. Hamnaga pesa. Ndo mana baba levo. Anawachana live. Sasa mmeshindwa kumchangia mwenzeni akudiswa bongo kweli akazikiwa kwao.
Labda hata kuwaaga hakuaga wenzake 😂hivyo nyinyi kusafirisha maiti mnaona rahisi sana
Kweli kabisa dada tunatamani kutafuta Tanzania lakini hatupati ndiyo maana inafika kipindi tunakimbia pole sana
Poleni sana ndug zetu kwa msiba
poleni sana familia ya shamona mungu awatie nguvu🙏
Innallillah waainnaillaihii raajuhun Allah ampe kauli thabit na familia mungu awatie nguvu sana yaan nchi za ughaibun huku tukifanikiwa kurud nyumban salama ni jambo la kumshukuru mungu na mungu atusimamie inshallah 🤲🤲🤲🤲😭😭😭
Mambo
Oman sehemu Gani upo
Kweli kabisa mi nipo Ughaibuni pia, tabu tupu nafuu ukae Tz ule ugali na mchicha
@@mbarakamakaro poa
@@mbarakamakaro sohar shinaz
Mungu wangu shamona uwiiii
At c mjuii jamaan
Mungu awatie nguvu
😭😭😭😭Poleni sana familia Mungu afanye wepesi iyo hela ipatikane
Amiin😭😭😭😭😭😭😭
Poleni sana kama alikuwa namume s azikwe jaman kuliko muanzi kuingia madeni jaman mungu awatie nguvu nyie ombeni watt maleemu anzikwe nakama alilipa mali x azikwe jaman
Pole kwa familia
Pole
Duuhhh. Jamani. Dada. Poleni. Ssannss. Wafiwa. Note. Kwa. Jumlaa. Mungu. Mkubwaa
Polen sana tumuombee duwa usilie
Poleni sanaaa ndugu zetu Allah yupo hatatenda tu miujiza