KUJIUZA NI AJIRA NA UNAKATWA KODI NA SERIKALI | TUMEISHI MAHUSIANO YA MBALI MIAKA 3
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Tatiana ameeleza namna mahusiano yake na boyfriend wake yalikua ya mbali kwa muda wa miaka mitatu.
Walikua wakionana miezi mitatu mitatu, na sasa wanaishi Holland pamoja kwa Tatiana kupata partner visa ambayo inamruhusu kuishi hata kama hajafunga ndoa.
Anaeleza namna biashara ya kujiuza nchini huko kua ni Kazi Kama Kazi zingine. Na watu waache kutumia mtandao wa kimahusiano vibaya kwa lengo la kujiuza Kwani ipo mitandao maalumu kwa Kazi hiyo.
Thank you Tatiana for allowing this to be online
www.Oda.international
Tatiana ni mrembo sana...point sie wanawake tukumbuke kwamba mahusiano , ndoa vyote ni 50/50 usitegemee mwanamume tu pekeyake achikue majikumu yote peke yake it's a team work kwa yoyote yule mxungu , mswahili, mwarabu n.k
Very straight forward girl anajiamini and she is real nice one
Wabongo we have to change for sure. Mtu akipata inakua kama vile tuna roho mbaya. Hata ndugu zetu kabisa. Kwn mtu akipata ndio kugawa gawa tu hata kama ndio anazo . Maukoo ya kibongo utaweza kuhudumia na mtu usifanye mambo yako sasa . Jamani tuache hizo ni roho za shida
I love how positive she is about Europe~ Netherlands, yani ukiwa hivi lazima ufanikiwe greetings from Germany 🇩🇪
KUNA MSEMO UNASEMWA HIVI.USIMUOMBE MPENZI WAKO PESA ILA MUOMBE MBINU ZA KUPATA PESA.
Huyu msichana Ni mzuri sana.... God bless you guys
Ongera Sana we dada.ongera mtangazaji kwa kipindi
Nimekupenda mwanangu sana
Mm wanzungu nawapata lakn wabahili sana nifanyaje jaman wawe wanatoa sjawah omba hela ila mnafanyaje mpaka wanawapa
Asante Sana Tatiana chukua mauwa yako🎉🎉🎉🎉
Kwa kweli dada
Dada Shena.. Natafuta huko kama Tatiana
Dada nakuomba siku fanya maisha ya nchi za kirabu wanakuja kufanya kazi nimeona wasema uongo tz
Kama unamjua mtu niambie nimtagute dear nitashukuru
Mimi nafanya kazi Oman ila naogopa sijawah kufanya interview
Kumbe wazungu ndivyo walivyo nilijua wakwangu tuu ila wanachosha sana
@@Sabrina1977-y mbona umewachukia sana walikufanya Nini mwenzetu?
Kwani wazungu sio watu Kanina Margaret ? Manake hata jina umechukua jina lao
Kuwa natural kuongea. Miaka3 tuu na lafudhi imebadilika!!! Jivunieni na lugha yenu.
i😅
Achaaaa uchochezi wewe 😂😂😂
Mbona anaongea vzuri TU! Acha makasiriko
Hahahaah yani kazi ipo..full kuchonga😂😂 na maneno yanamezwa
Fake women 😂😂😂😂
Another Ceccy Lukamba
😭😭😭 Dunia Hii M/Mungu Atunusuru, Mwanaume kubandika kucha 🤣
Kumbe ni m'bena mwenzangu
Sisi kwetu Oman 🇴🇲 hatuishi hv ukipenda kusaidia saidia tuu kwa kupenda kwako but wengine haturuhusiwi hata kufanya kazi m ume ndo anafanya kila kitu sisi tunafanya mambo mengine tuu na tuko piece kabisa kiroho safi
Natamani kujua hii experience na watu wengine wafahamu
Naomba kufanya kipindi na wewe.. +4367764790884 whatsapp
Omani ni kweli kabisa
Uko sahihi Omani waweza kuta mwanamke ana madigree yake lakini kwasababu mume hataki afanye kazi mwanamke anakubali lakini kibongbongo siyo raising yaan ukute mwanamke amedoma kisha mume amkataze kufanya kazi yuko radhi kuacha ndoa na si kazi
Ila ukifata missing ya dining pia mwanamke ili aruhusiwe kufanya kazi kuna kuna sheria zake ikiwemo mchanganyiko wa wanawake kwa wanaume
Mume analeta kila kitu ndani hata mimi niko oman nafanya kazi
Huo ndo ulikua mtihani wako na ulishinda pongezi kwako
Aaaaah kumbe mbena mwenzangu na hausemi😂😂😂 kiukwl nmefurah sana
😁😁 kamwene
Kumbe wabena tumooo hongera
Achana na kutoa misaada iliyopitiliza. Hiyo miradi ya Tz. Utaibiwa na nduguzo mpaka ujute. Kuwa makini.
Jamani samahani unajiungaje nahuo mtandao Mimi sijui.naombeni mnielekeze nijiunge.
Mimi namkubali sana hana mashauzi
Holland ni Kama Switzerland sheria zao kazi ya prostitute ni kazi iliyosajiliwa na wadada wanaifanya mchana kweupe na kazi inalipa pesa nyingi sana ,kuna wazungu kutoka Russia na Poland wanakuja hapa kwa msimu kufanya hii kazi
Wewe upo Huko nipe namba yako ya wsp
Duuh balaaa kazi kazi
Kwa hiyo miaka michache kutamka tena maneno kama kiswahili imekuwa shida?
Naongea kwa nia nzuri tu.
❤
Msalimie nirafiki yangu sana uyo bebe
🎉i like her
Aunt unatokea wapi tz?
ASANTE
Naomba kuukiza ni utarstibu gani kupata permanent resident ya uholanzi?
Mpaka utowe sababu fulani ya kutaka kubakia katika nchi husika na inabidi uwe tayari umeingia uwemo humo nchini
Upo familiar or familia😂😂😂 this is boring sorry I can’t even finish watching
Hiyo ya wanawake kukaa kwenye vioo ,ulaya nafikiri ni Kila sehemu..hata ukienda Brussels unawakuta kibao.
Sio zote, kuna nchi hawaruhusu kabisa
Yan mtu akiwa nje tunajua siku zote Ana pesa tu
Jamani Jamani KISWAHILI kizurii mnoooo why , why , why whyyyyyyyy..??????!!!! Tuwe proud na Lugha yetu please. Nimeshindwa kuangalia mwanzo tuu! So disappointing. Afadhali basi Lugha hiyo mpya uwe fluent..!!
G, mtu kucode mix and switch sio kwamba hapendi Swahili no just mazoea
Siyo wako tu.. wazungu wote ni Kama watoto 🤣🤣🤣
Ila wewe dada unachuki
Na huu ukurasa umekosea njia dada
@@Sabrina1977-ysema itakuwa ulipata bahati mbaya ukampata mzungu shetani, pole mwaya, mbona sisi wengine tumepata wazuri tu na tunaishi!? Changamoto ni za kawaida ambazo kila ndoa zipo iwe na mzungu au mweusi...
@@Sabrina1977-ysasa ulikuwa wapi kuanzisha ukurasa wako ushauri wengine hio uchawi sasa bora shena anasema na kajiongeza kwa mda mfupi aliokaa
@@Sabrina1977-yKama ni mashetani na uko huko Kwa mashetani c urudi kwenu mbwinde Africa mpuuzi hata Mimi nipo Europe na nimeolewa miaka sasa na mume wangu ni mwanamume na nusu ananipenda na sidhani kama kuna upendo zaidi ya huu anaonipa ni rafiki kwangu ni mume ni mshauri kwangu sasa wewe sijui umeachika? Umebakiza makasiriko kwendraaaaaaa! We ulikutana na mvuta bangi ujaona wote wako kama WA kwako
@@OfficialDatingAssistanceusiwe unawajibu wanaochukia ukurasa wako ukiona mtu anachukia ukurasa wako ndivyo anavyouelewa maana anakufatilia Sana kwahyo kubaliana na kila kitu.
Shena tuletee huyu mtu country wife felista yupo china
Naomba Instagram Account yake dear
@@OfficialDatingAssistance me Huwa namfuatilia Kwa you tube shena
❤❤❤
Mwanamke mtu mzima
Nikitaka kulipia kwenye afro inagoma
Ukisema mnaishi kama marafiki,
Una maana gani hamkulani mna jock tu na kucheka funny?
Huyu Dorice ninani??
Mbona maranyingi sana nasikia anatajwa hapa na inaonekana Shena unamjua pia.......sikumoja tuletee Dorice hapa.
Atakuwa ni Waziri wa mapenzi labda 😅
@@homeandaway2811😂😂waziri WA mapenzi 😅
Mbona aliisha hojiwa kama susahau,ni dada kaolewa na muitaliano na anaishi Tanzania
@@Jessy-f9wwala sio huyo unayemuongelea ni Dorice mwingine anaishi Netherlands
Mungu anamuona,vile alikula pesaa ya mjewish🇮🇱🇮🇱 ghaii,tatiana aiseee utupeee makoneksheni ni nini mbaya etiiiii 😅😅😅
😁
@akothesewe Samahani, nili Pin comment ili nisisahau kukuuliza lakini bahati mbaya nikasahau.
Naomba unisaidie username yako ya Instagram au niandikie +4367764790884 kama hutojali.
Ahsante
shena mimi mbona nashindwa kutumia mtandao wa dating
❤❤❤❤❤❤