Kazi zisizohitaji Vyeti, Uzoefu Ukitua USA / Drivers License / Majimbo 10 yenye nafuu /

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 63

  • @justusmochoge6577
    @justusmochoge6577 7 หลายเดือนก่อน +5

    Wow I appreciate from here Kenya 🇰🇪 our beautiful Tanzanian ❤❤❤

  • @Summerbtz
    @Summerbtz 8 หลายเดือนก่อน +3

    Nimependa vile unavyowashauri ndugu zako kuhusu maisha ya ughaibuni

  • @pilitanzania1420
    @pilitanzania1420 7 หลายเดือนก่อน +1

    Habari dada asante kwa ushauli nzuri
    Mimi binafsi Nina ujuzi wangu ni welder nipo Mozambique nafanya kazi napenda kuja kufanya kazi huko

  • @NgelejaCharles-ng7bh
    @NgelejaCharles-ng7bh 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nakupenda dadangu, nikija nitkutafuta Kwa maelekezo zaidi.

  • @Victor-Frank
    @Victor-Frank 9 หลายเดือนก่อน +1

    Gaddamn she is giving me goosebumps with that beyonce

  • @ilankundakamenya3171
    @ilankundakamenya3171 7 หลายเดือนก่อน +1

    Big up sana sister nimekuelewa vzr sana

  • @HamisDotto
    @HamisDotto 8 หลายเดือนก่อน +2

    Good sana sister nikisema nije huko ninunue gari ndogo laba ya kufanyia tex bei ya chini

  • @reginaevance7175
    @reginaevance7175 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana dada 🙏Mungu akubariki sana

  • @abdallahyusuf7641
    @abdallahyusuf7641 7 หลายเดือนก่อน

    Shukrani nimekuelewa vizuri sana tena sana

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa elimu poa madame

  • @user-cg1qf8xi7v
    @user-cg1qf8xi7v 4 หลายเดือนก่อน +2

    Habali za kwako aunt

  • @user-kf9uc4us3j
    @user-kf9uc4us3j 8 หลายเดือนก่อน +5

    Dada nimekuelewa vzr mm Niko oman nafanya kazi za ndani nataka kuja huko nipambane ni mtznia je nikija nitapata kazi ya usafi kulea mabibi au watoto naulixa hivyo maana elimi yangu darasa la 7 na hata wanakojenga kubeba tofali mm nikija sichagui kazi na hata kuzoa taka naomba nisaidie tafadhali dada angu pass port ninayo nani naomba nitajie gharama mpaka kufikia huko marekani nisaidie dada Sina Cha kukulipa ila mungu atakulipa pole Kwa usumbufu

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 8 หลายเดือนก่อน

      Uko sawa tu

    • @EricaLulakwa
      @EricaLulakwa  8 หลายเดือนก่อน

      @user-kf9uc4us3j, Nimeelewa maelezo yako ntakujibu soon. Asante

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 7 หลายเดือนก่อน

      Nashukuru rafiki yangu mimi niko Zanzibar natamani sana nipate nafasi ya kufanya kazi hata hapo omani tu nitashukuru naomba unisaidie kama unachanel hiyo samahani kwa usumbufu maisha yetu hujui nani ataekufaa nisaidie sixhagui kazi kazi yeyote nafanya mimi

    • @Daima-ik1cf
      @Daima-ik1cf 7 หลายเดือนก่อน

      Aha mm nipo oman nilitaka niende lakin bado nawafatilia vzr

    • @MwajumaRashidi-tx6ks
      @MwajumaRashidi-tx6ks 7 หลายเดือนก่อน

      Dada VP ulijibiwa

  • @mubabray9845
    @mubabray9845 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana dada

  • @khadijaismail8427
    @khadijaismail8427 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nimefurahishwa sana na maelezo yako ubarikiwe

  • @eddiemend9250
    @eddiemend9250 หลายเดือนก่อน

    Hi habar yako Dada Erica, Umeongea kazi za udereva etc vipi kuhusu Kazi za ku-operate mitambo like Hydraulic EXCAVATOR, frontend Loader, Motor grader etc naomba niulizie mtu akija akiwa tayar ni operator lazma arudi class asome tena and na vipi maslahi yake like wanalipwaje hao earthmoving machine Operator kwa apo Us..?

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ghai msungu anaboga swahili❤❤❤

  • @dainesdiana583
    @dainesdiana583 7 หลายเดือนก่อน

    nashukuru sana dada Erika nimekuelewa naomba unisaidie niweze kipata mtu kitoka uko ili nipate viza au barua ya mwaliko nataman nije kifanya kaz hata za nurse home nina passport lakan sina wakuniasaidia kija uko

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 4 หลายเดือนก่อน

    Habari gani Dada.. Napenda program yako

  • @stanslausmbuta-ck5im
    @stanslausmbuta-ck5im ปีที่แล้ว +1

    Safi sana dada, naomba email na no ya simu maelezo yako ni mazuri sana unaelimisha vizuri kwa kweli.

  • @emmanuelmliga132
    @emmanuelmliga132 10 หลายเดือนก่อน +1

    Safi Sana dadayangu akiri kubwa

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 9 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks

  • @ronaldouchi1083
    @ronaldouchi1083 9 หลายเดือนก่อน +1

    Good job sister

  • @chamballaally8767
    @chamballaally8767 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nilidhani ww Salama Jabir wa BSS

    • @hanswan1
      @hanswan1 3 หลายเดือนก่อน

      Mimi pia kafanana nae sana...mno

  • @dasilvajacmwax7436
    @dasilvajacmwax7436 ปีที่แล้ว +1

    Asante dada

  • @dasilvajacmwax7436
    @dasilvajacmwax7436 ปีที่แล้ว +1

    Nimesabskraibu👍

  • @danielalbert1795
    @danielalbert1795 4 วันที่ผ่านมา

    Uko state gani dada! Na vp wewe Ni producer wa music?

  • @krtv3666
    @krtv3666 2 หลายเดือนก่อน

    My name is Yohana Mweta.
    My question to you is that how can I get there

  • @johnkasosokola7461
    @johnkasosokola7461 8 หลายเดือนก่อน

    Habari dada jee naipataja hiyo visor yakuja huko pia nahitaji kuja kufanya kazi nnje ya nchi

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy 10 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba dada tuwasiliane

  • @ElikanaKiheka-fl4wu
    @ElikanaKiheka-fl4wu 7 หลายเดือนก่อน

    Safe sana aiseee

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy 10 หลายเดือนก่อน +2

    Dada tunashukulu sana kwamaelekezo naomba no yako

  • @user-xw4uc1pb5u
    @user-xw4uc1pb5u 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dada naomba no yko tuwasliane unielekeze zaid

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 7 หลายเดือนก่อน

    Daaah Aisee ñaoña Ùpo Kabila Lañgu Naomba Namba Kwa Mawasiliano"

  • @deniskangombe7442
    @deniskangombe7442 3 หลายเดือนก่อน

    Tatizo lako dada haujibu msg lakin una vitu vingi sana

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hizo gharama za nyumba USA unazosema ama apartment za USA naona kama China tu hapa! Chini ya dollar 120,000 USD china hapa hupati nyumba kudadeki naona hakuna tofauti sana na USA.😱

    • @EricaLulakwa
      @EricaLulakwa  8 หลายเดือนก่อน +1

      @tradersEasyway, hayo majimbo niliyoongelea ni Yale yenye gharama za chini USA.

    • @TradersEasyWay
      @TradersEasyWay 8 หลายเดือนก่อน

      sawa@@EricaLulakwa

    • @user-mf5yw8nv7n
      @user-mf5yw8nv7n 3 หลายเดือนก่อน

      Hellow

  • @josephstephen2047
    @josephstephen2047 8 หลายเดือนก่อน +1

    Fb upo na unatumia jina gani?

  • @user-st1xf9un7v
    @user-st1xf9un7v 7 หลายเดือนก่อน

    Hello Erica Mimi Nina degree wa ualimu wa kiswahili na kingereza je naweza kupata kazi huko

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 ปีที่แล้ว +1

    Sauti yako ndogo dada ongeza Sauti..

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 11 หลายเดือนก่อน +1

    toa sauti

  • @emmanuelmliga132
    @emmanuelmliga132 10 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba Yako dada

  • @user-qy2ft1lg6e
    @user-qy2ft1lg6e 3 หลายเดือนก่อน

    Mawasiliano yko dada

  • @user-ic7qf8fl9x
    @user-ic7qf8fl9x 9 หลายเดือนก่อน +1

    Oi my tuongee namba

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 10 หลายเดือนก่อน

    Kama ukumalixa form 4 ukipata Green card utakubaliwa kweda?

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 4 หลายเดือนก่อน

      Green card sizan km wananglia kiwango cha Elimu

  • @rukiyashali
    @rukiyashali ปีที่แล้ว +1

    Vp kazi za kuchora heena ziko?

    • @viousa
      @viousa 10 หลายเดือนก่อน

      Hamna

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@viousanaishi Zanzibar naomba channel ya fursa nisaidie pia samahani kwa kusumbua huenda utakasirika lkn ni shida na usongo wa kujikwamua kimaisha naomba uniwezeshe kwa lolote hata ushauri pia naishi Zanzibar

    • @godwinaxwesso8726
      @godwinaxwesso8726 4 หลายเดือนก่อน

      Vigezo gani vinahitajika kwa ajili ya green card?

    • @godwinaxwesso8726
      @godwinaxwesso8726 4 หลายเดือนก่อน

      Naomba ni connect na agency wa delivery driver wa USA madam

    • @user-mf5yw8nv7n
      @user-mf5yw8nv7n 3 หลายเดือนก่อน

      Hellow ​@@viousa

  • @HabibaIdany
    @HabibaIdany 4 หลายเดือนก่อน

    Dada namba namba

  • @kibejaden3306
    @kibejaden3306 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mambo ya saloon kunyoa vp