chadema tunaamini katika maisha ya watu na sio kwa kampeni za maonyesho ya burudani wakati baada ya apo kuna maisha halisi ambayo ni mateso ya mtu binafsi. kwa hiyo ccm fanyeni madaha yote lakini mioyo ya watanzania iko tofauti na nyie. Watanzania wa sasa hawapo kwenye ushabiki wanaangalia mustakabali wamaisha yao. na hao mlio nao hapo wamekuja kuangalia burudani zenu na sio kuwapakura. mudanganye watu kwa siku chache izo alafu wakakome na maisha miaka 5 nani sasaivi anafanya ujinga huo. mtaambulia wasanii wenu hao tu.
Jana nilihudhuria kuangalia vituko na show za wasanii kwakweli ccm imezeeka wamekosa chakusema sasa nikufanya show za wasanii.ni yy 2020,#magufuli tano basi.
Kwenye kutafuta hakuna aibu na kwataarifa yako hawa jamaa wanapesa hasa Masanja kama unataka kujua utajiri wa sasa wa Masanja Google utabakia unashangaa ivi ndo yeye?
Kama umependa joti anavyoshtua na umerudia kuangalia zaidi ya mara mbili nipe like
Safi sana hapa kazi ✌️ccm oyeeeee
Ma legend wamekutana
Daah! Mbavu zangu!!😃😃
Joti and Masanja 😍😅🤣😂
Yaani mbavu zangu Jamani, mmenifurahisha Sana
Kama umecheka wamefanikiwa manake lengo ni kutuchekesha lkn humohumo ujumbe ufike
We acha kabisa dah😂😂😆
Hii combination tuliimic san
CCM OYEEEEEEE
🤣🤣🤣🤣🤣 Masanja uo wimbo unanikumbusha shule ya msingi 🤣🤣🤣🤣👏👏👏
Namimi piy
Hawa comedian wawili wamenichekesha sana 🤣🤣
I love the babu version of JoTi... yaani angemaliza kila kitu!! Masanja kama kamuharibia joti
We nawe waajabu kwer
😃😃😃😃😃😃Had namiss shule ya msingi khaa nyie wajumbe wabay sana
😂😂😂😂😂🙌 jamani nyieee daaa
💕💞💕💞💕
Ze komedy original, bhana rudini bhana
Marais wa comedy Tanzania.
Chukua zote like that
Watanzania hatuna haja Na wasanii tunaka sela zinzotekelezeka
Wenye Comedy yao Bongo
Htr xn
Kwli kbsa wenye comedy yao Bongo bdo mpoki tu apo
Nyie atar
Awa ndio wenye comedy yao 1🤣🤣🤣🤣
Hahahahaaa mbavu zangu mimi
Hahahahahahhahaha 😂😂😂😂
Hawa ndo wameuwa leo.. 🤣🤣🤣
😄😄
Nmecheka jamani
wachaaaaa
Mungu awalinde dhidi ya mwovu shetani, nyie nihazina kwa taifa kwa kazi yenu ya ucomedian
chadema tunaamini katika maisha ya watu na sio kwa kampeni za maonyesho ya burudani wakati baada ya apo kuna maisha halisi ambayo ni mateso ya mtu binafsi. kwa hiyo ccm fanyeni madaha yote lakini mioyo ya watanzania iko tofauti na nyie. Watanzania wa sasa hawapo kwenye ushabiki wanaangalia mustakabali wamaisha yao. na hao mlio nao hapo wamekuja kuangalia burudani zenu na sio kuwapakura. mudanganye watu kwa siku chache izo alafu wakakome na maisha miaka 5 nani sasaivi anafanya ujinga huo. mtaambulia wasanii wenu hao tu.
5 mingine tunakupa,Magufuli jembe kabisa
Joti , Masanja Tena weweeee!!
Jmn joti anasupu htr sana ili mmependeza sana waooooo
😂😂😂😂😂👌👌👌 hiyo sket na saut ya joti Sasa jaman mbavu zangu mie
You people always crack my ribs! Salute to yu brazas
Nilitamani na mpoki angekuwepo eti angekuwa daa wa darasa
Awa kwel kommedy da!!!
Namba ya ayo tv please mweny kuw nayo nin New
Kama umerudia mara mbili kuangalia hii comedy like
Joti unapomuweka anaffaiti
Watu wabaya sana kwenye sekta ya uchekeshaji
Kweli chukua zote mbavu zinauma
Naona leo mmetuludisha shule 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mlivyoingia tu nilianza kucheka CCM juuu
🤣🤣🤣🤣 nimecheka mpaka machozi jamani
Pamoja sana
Hivi hawa wamebaki wawili tu! Maskini. Ila wako poa sana.
Ukibonyeza picha yangu kuna bonge la story tumekuandalia lazima utafurahi
Kwa katiba gani?
Duuuuh
Joti senge sana😀😀😀😀
🥰🥰🥰💯✊
Basibasi basiiii Wapinzani hoiahe😂😂😂😂
Wakubwaaaaaaaaaaa walikutana wakakinukisha....
Joti mmemkata ndo alianza sasa kunogesha show Joti nomaaa
Kweli Masanja na Jot mmetisha
Mshauri WA Chama cha mapinduz CCM anaitwa Nani?
Ila joti ni kutandika viboko kabisaaa 😁😁😁😁😁😁😁
Huyu jamaa anatumiaga camera gani aisee ni kiboko
Zote kabisa
Ona hiii
😃😃😃😃jmn
Jamani joti unapendeza
Hahahahha
Hatari
Jana nilihudhuria kuangalia vituko na show za wasanii kwakweli ccm imezeeka wamekosa chakusema sasa nikufanya show za wasanii.ni yy 2020,#magufuli tano basi.
Ccm duah!!hampendeki kwa wananchi watu wamekuja kuwaona wasanii tu
mchungaji masanja
Aibu sana hii
Mmeishiwa....TOT wapo wapi ..mliwatema hao jamaa 2015 leo mmewageuza vichwa vya wendawazimu...wasanii tambala bovu
sawa yakhee tumekusikia
Hahaha hahaha Hawa ndio comedian wa bongo sasa
Daaa hahahaa
😂😂😂😂😂
😂😂😂😃😅
😂😂😂😂😂😂jamaniii
🤣🤣🤣
Katiba ya warioba ilishindwa kwa sababu ya rais mstafuu alichokifanya watanzania wengi wanamulaumu Sana kwa kutopitisha katiba ya jaji warioba
Mitano tena
😂😂😂
Mambo
Poaaa
😂😂😂😁
Combination ya hatariiii
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa kweli njaa mbaya sana
😅😅😅😅😅😅😅
Kwenye kutafuta hakuna aibu na kwataarifa yako hawa jamaa wanapesa hasa Masanja kama unataka kujua utajiri wa sasa wa Masanja Google utabakia unashangaa ivi ndo yeye?
Sana'a na ndo inafanyaa Africa a2badlikii...fikraa za kmaskinii ndo zna2fanyaa 2napelkwaa pelekwaa
😂😂😂😂😄
Kumbe Mama Samia amechukua kwa hawa " Kazi Iendelee"
Hahahaaaaaaaaaa,,,,,chukua zotee
Maaanja hongera yako imekaa upande km miguu yako🤣🤣🤣
Yaan wakati wanaingia nilikuwa najiuliza watafanya nn ili wachekeshe lkn cha ajabu nimecheka mpaka kichwa kinauma ama kweli kila mtu na kazi yake.
😂😁
🤣🤣
Joti una nini lkn
Kweli huyo masanja ni mchungaji au...😂😂
Ni mch msakA tonge
Sa uchungaji unausiana nini nawe mbwa tu mnaboa
Utajua t ww
Tunawamaliza asubuhi tu
kumbe joti mfupi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😜😜😜
Ila huku mwasanga tunateseka hatuna daraja toka lisombwe na mvua ya mwaka Jana tunateseka tujengewe daraja mwasanga mbeya
Kumanini
Hahahhahahahah nimefurahi sana
Yani joti unavovaaa kama dem unakosea sanaa mizimu yenuu
Mmh
Hivi vichwa kiboko😂😂😂😂😂
Hhhhhaaaaàaaa
Mchungaji wa zehebu Fulani hivi kama sio utapeli nn hii jamani
Jamani mchungaji masaja ndah unaniacha hoi