SHOO KONKI ya ALIKIBA Mbele ya MAGUFULI KIGOMA, Apigiwa SHANGWE BALAA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2020
- SHOO KONKI ya ALIKIBA Mbele ya MAGUFULI KIGOMA, Apigiwa SHANGWE BALAA...
WANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Harmonize na Alikiba, ni miongoni mwa wasanii waliopata fursa ya kutumbuiza kwenye mkutano wa kampeni ya mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Magufuli, mkoani Kigoma...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - บันเทิง
Yaaah!! Alikiba 4real ur the best broo
Alikiba baba unaniuwanga ase yaaaaaa❤❤🙏❤🙏
Alikiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
Hatar inaunguz
Kiba always💜
Kiba anajua live mpak raha wallah 💋❤️❤️
CCM mbele kwambele!✔️✔️✔️✔️✔️
Ye babaa king kama king always
Kipenzi cha watu 🙌🙌🙌🙌
King Kiba uko juu bro
Nampenda sana kiba mimi
Nampenda sana rais wangu maghufuli m.mungu akuepushe na mabalaa yoote amiinna
King wewe noma sana🔥🔥🔥
Yeeeeeee babab nakukubali sna kibaaaaaa
Lp0pp00000
Jamani kuanzia Leo Mimi shabiki yake allykiba Huku upande WA pili Hapana Kwa kweli
Kuna utamu huk anajuw kuwakosh watu bhn
kiba miaka ishirini hajawahi chosha na kuna msanii miaka kumi asha anza kuchokwa
Wewweeeeeeee pig kileleee
🤣🤣🤣🤣🤣King as king 🔥🔥🔥🔥🔥🔥wakuotea mbali
Kiba🔥🔥♥️
Inaunguzaaa
King Kiba leo umetumia jukwaa la sisiem kupromoti nyimbo zako
Kaambiwa atumbuize kwa nyimbo kadha kwan hukuckia jmn
Nawewe za bibi ako shambaaa uko
Na wewe kaimbe nyimbo za bibi ako
King kibaaaaaaa nakukubali San kaka
I real love Alikibaaa
Nakukubali kiba
Noma sana
kiba = talent
diamond = hard worker
Mike Mcubic true
Your a good boy
🔥🔥🔥🔥
simple but sweet
Madem weng wanamsifia Ali kiba lkn mond watoto wa kiswahili tunamjua Sana
Oy jmn kuazia leo mm jin lang naitwa alikiba
Baba Abraham atakoxaje kujulkana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ctak kero nmecomment nakpita
Yeeeeeeh yebabaaaa
Burudani lazima watu waenjoy kwanza
aki sijawai kuona msanii km kiba duniani anauwezo waki pekee
Very nice
Aliiiiiii kibaaaaaaaaa
Sauti baba angu ni sheeeeda
Love you King 👑
Dj anazingua
Tamasha la music
Nyimbo zinaeleweka hadi raha, yani hata mzee anaweza kuzicheza, sio kule upande wa pili fujo tupu 😂😂😂
King firee
Imepenya iyo
Kingkiba
Safi saaana kiba
Kiba kama kiba
👑👑👑💪💪
kigoma kwetu
My crush 😘
Ivy vyama vyenu vinatesa Saana waislamo
King ally
King
Huyu polepole hatufai kabisa ktk nchi hii
Kakukosea nn tena mwenzetu
Chuki binafsi
@@presseg.6362 Yy wa harakaharaka mbona hatujamuona hapo jukwaani, hizo chuki ztamuua ck si zake
Yebabaaaaaaa
Yeaaaaap yeebabaaaaa
Pamojasana
Lisu 2020
Mh!
Ajipange
Fiesta ya mwaka huu hatari naona nyomi kweli clouds Wapo juu
Ee mtasema mengi,kama hupendi ccm si uachekwenda kwenye fiesta yao
Kashaingili we mtoto wa juz tuachie ccm tunayoijua cc au unafurahia kuletewa tren ya umeme ni sawa nami nashukuru kuletewa treni hiyo pia na ndege hizo kumi na moja je ndege utazipanda na je mbona viwanda avifufuliwi vijana wakaajiliwa kutokomeza janga la machokora na kutoa janga la vijana kukaa mitaani zaidi tunaletewa ndege treni kupata ajila ya kufanya ata usafi uwanja wa ndege uwe na ufaulu wa chet cha form four kijana acha kufuraia vitu kwa kuviona ila fatilia kijana amka
@@ricksonlyimo5594 kupanda ndege sio lazima,Kuna hata ambaye hajawahi kupanda pikipiki au baiskeli japo watz wengi wanazimiliki,tunachoangalia ni maendeleo,na maendeleo huwezi kuyapata bila miundombinu ya uhakika,kama njia za uchukuzi, na anga ni njia mojawapo ya uchukuzi tena ambayo ipo kwenye ushindani wa hari ya juu sana duniani,na ndio njia ya kurahisisha kufanya vitu kwa haraka kuliko njia zingine ,ukitaka kuokoa muda wa kusafiri ni ndege,yani,ukitaka kusafirisha mizigo kwa haraka sana bado ni ndege brother,hata lisu alipopigwa risasi asingeweza kuwahi nairobi isingekuwepo ndege,angelazimika kutumia gari kwa muda wa masaa zaidi ya 13 kutoka tz kwenda Kenya,Sasa hapo ndio maendeleo yanapokuja kuonekana umepata tatizo umewahishwa na ndege,ambayo ni kitu,maana Kama ni maendeleo ya watu ok tuseme unahela zakutosha huna njaa,lkn ndio Sasa imetokea Kama hivyo umepata ajari unawahishwa Kenya kwa gari zaidi ya masaa 13,mwenzio anapanda ndege anawahishwa Kenya dakika 45,Sasa aliye endelea ni yupi hapo brother,maana tusitukanane bila sababu tuzungumze kiuhalisia,hivi wewe jirani yako ana nyumba bora ,wewe unabora nyumba,mwenzio anamiliki gari,wewe huna hata mkokoteni wakusombea maji, mwenzio anamiliki boat Kama mbili za kisasa zakuvulia samaki,wewe hata mtumbwi wakujichogea kienyeji huna,Sasa ni yupi mwenye maendeleo. Maendeleo ni kuwa na vitu,au kwa jina lingine Mali unazomiliki hayo ndio maendeleo,Sasa wewe mtu hata kiwanja chat kujenga chumba kimoja huna alf useme umeendelae,wa tz inabidi tujifunze kufanya kazi kwa bidii brother Yani shauri masera wafanye kazi ndege mbona unaipanda tu ,ni kitu Cha kawahida sana,sema mnaogopa jina ndege,wengine hata airport wanaogopa kufika kisa jina ndege,naomba tufanye kazi usipopanda ndege basi utaagiza mizigo leo kutoka china ,itakufikia kesho mapema,badala yakutumia meli ambapo ingechukua miezi 3 kufika, brother sipendi kutukanana lkn huu ndio ukweli
Nice
🔥🔥🔥🔥🔥
😍😍😍😍😍
Huyu jamaa anatisha sana
Fire
💥💥💥
👑
King as a king juu milele
Yebabaaaas
Ok
Yebabah
Arikiba nakukubal
Ye baba
Magufuli haendi sehemu bila wasanii 🤣🤣🤣🤣
Ee ndio kawahida yetu ccm,mtakubali tu
Hapo sasa nishajiuliza kampeni za ccm ni za wasanii bila wasanii kampen aziendi ila masikin Tundu Lisu yupo yeye kama yeye
Kashaingila we uijui ccm kaa kimya
@@ricksonlyimo5594 wewe ndio ukae kimya maana huijui CCM,lbd nikujuze tu kuwa, ufatilia kampeni za ccm kwenye chaguzi zoote,uone kama waliwahi kuacha wasanii nyuma,sasasijui mmeliona leo,lkn kipindi Cha nyuma mliona kawahida tu,wasanii wengi ni wanachama wa ccm,na kingine,chadema bado haina ubavu wakupambana na ccm kwa Sasa,lbd baada ya miaka 100 ijayo,kizazi kingine ndio kitafanikiwa,lkn Bado ni lbd
@@fortidaskashaigili7496 yaan huna akili kabisa naweza kujikuta nabishana na kitoto kinachofurahia wasanii mimi cshoboki na wasanii we wafuraie nikikuuliza nn maana ya upinzani uwez ukanielezea nikikuuliza nn maana ya ccm uwez nieleza zaidi utabwabwaja tu na kusema umeona wasanii wanavyoimba amka toka ucngizini wewe
Kama.unakelwa na anavyoita wasaaniii
Nipe like twende sawa
Tutaelewana tu taratibu
♚
Fiester .. hahahaha
Kesho fiesta mkoa gn
Mkoa aliotoka mama yako
😂😂😂
Shoo ya fiesta kesho sijui wapi broo vp kuhusu mkutano lini Broo naskia lisu yupo mikoani
Ama kwer mnateseka 🤣🤣🤣🤣Nanyie maboda boda watakua wapo mkoa gani kwer maana nanyie ndo wapiga debe wenu🤣🤣siasa bhana nikama mchezo wangumi tu
@@ahmednoor1412 🤣🤣🤣wanateswa na wivu tu hao
Kiba mtu hatarii
🤣🤣🤣🤣🤣
😂🤔
Dogo armonize kafunika
Tukisema Wananchi hawa wanakwenda fiester bure kwenda kuangalia Wasanii na sio magufuli mnakataa sasa hii ni nini! Ila pamoja na yote tunahitaji siku tar 28 October haki itendeke tofauti na hivyo mtajuta mkifanya uhuni mtakao ufanya.
Ww utafaneje sasa...?
Msiwe mnaongea kwa mkumbo tu kati hauna cha kufanya.
Ccm kampeni ni sherehe maana magu ndio raisi
Ccm burudani kwa sababu jembe letu LA ukweli Magufuli %%%%%@
@@presseg.6362 Kweli kabisa ni 0%%%%%% safi sana.
Kampeni ni nini?
Wallah we no kipusa
Kiba hatar
mchiz amepooza kinoma yahn. amekazana yoooo yebabaa.unatuboa shabiki zako bana ali
Yeeeeebabaaaaaa
Shabiki maandazi kamshabikie mamako😆😆ali the top in top
Kaponza km uzi wa mtoto kelele tu
Hujala bang ww
Si maneno maneno
🔥🔥🔥🔥🔥✌