SHOO KONKI ya ALIKIBA Mbele ya MAGUFULI KIGOMA, Apigiwa SHANGWE BALAA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2020
  • SHOO KONKI ya ALIKIBA Mbele ya MAGUFULI KIGOMA, Apigiwa SHANGWE BALAA...
    WANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Harmonize na Alikiba, ni miongoni mwa wasanii waliopata fursa ya kutumbuiza kwenye mkutano wa kampeni ya mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Magufuli, mkoani Kigoma...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 129

  • @issanassoro3846
    @issanassoro3846 3 ปีที่แล้ว +14

    Yaaah!! Alikiba 4real ur the best broo

  • @aisharegina5491
    @aisharegina5491 3 ปีที่แล้ว +3

    Alikiba baba unaniuwanga ase yaaaaaa❤❤🙏❤🙏

  • @ruqayaisumaili33
    @ruqayaisumaili33 3 ปีที่แล้ว +18

    Alikiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️

  • @mosesharerimana278
    @mosesharerimana278 3 ปีที่แล้ว +17

    Kiba always💜

  • @zainabissa4572
    @zainabissa4572 3 ปีที่แล้ว +8

    Kiba anajua live mpak raha wallah 💋❤️❤️

  • @sagendamagembe4380
    @sagendamagembe4380 3 ปีที่แล้ว +7

    CCM mbele kwambele!✔️✔️✔️✔️✔️

  • @fatmasaid5251
    @fatmasaid5251 3 ปีที่แล้ว +18

    Ye babaa king kama king always

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 3 ปีที่แล้ว +4

    Kipenzi cha watu 🙌🙌🙌🙌

  • @johnvaloisy1482
    @johnvaloisy1482 3 ปีที่แล้ว +3

    King Kiba uko juu bro

  • @papypenebinadamnoma5191
    @papypenebinadamnoma5191 3 ปีที่แล้ว +4

    Nampenda sana kiba mimi

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 3 ปีที่แล้ว +2

    Nampenda sana rais wangu maghufuli m.mungu akuepushe na mabalaa yoote amiinna

  • @aishal1953
    @aishal1953 3 ปีที่แล้ว +3

    King wewe noma sana🔥🔥🔥

  • @fatmaiddikhamisi8006
    @fatmaiddikhamisi8006 3 ปีที่แล้ว +8

    Yeeeeeee babab nakukubali sna kibaaaaaa

  • @bahatisimkoko3296
    @bahatisimkoko3296 3 ปีที่แล้ว +12

    Jamani kuanzia Leo Mimi shabiki yake allykiba Huku upande WA pili Hapana Kwa kweli

    • @mwasumohamed8146
      @mwasumohamed8146 3 ปีที่แล้ว +1

      Kuna utamu huk anajuw kuwakosh watu bhn

  • @janetwawira5673
    @janetwawira5673 3 ปีที่แล้ว +19

    kiba miaka ishirini hajawahi chosha na kuna msanii miaka kumi asha anza kuchokwa

    • @mwasumohamed8146
      @mwasumohamed8146 3 ปีที่แล้ว

      Wewweeeeeeee pig kileleee

    • @saumsalim9966
      @saumsalim9966 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣King as king 🔥🔥🔥🔥🔥🔥wakuotea mbali

  • @angellesiriam5759
    @angellesiriam5759 3 ปีที่แล้ว +8

    Kiba🔥🔥♥️

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana3129 3 ปีที่แล้ว +8

    King Kiba leo umetumia jukwaa la sisiem kupromoti nyimbo zako

    • @saumsalim9966
      @saumsalim9966 3 ปีที่แล้ว

      Kaambiwa atumbuize kwa nyimbo kadha kwan hukuckia jmn

    • @adinaniadam7314
      @adinaniadam7314 3 ปีที่แล้ว

      Nawewe za bibi ako shambaaa uko

    • @adinaniadam7314
      @adinaniadam7314 3 ปีที่แล้ว

      Na wewe kaimbe nyimbo za bibi ako

  • @mwasumohamed8146
    @mwasumohamed8146 3 ปีที่แล้ว +1

    King kibaaaaaaa nakukubali San kaka

  • @lastbonedy859
    @lastbonedy859 3 ปีที่แล้ว +5

    I real love Alikibaaa

  • @zytnabdul1124
    @zytnabdul1124 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali kiba

  • @marumbaruziguje2961
    @marumbaruziguje2961 3 ปีที่แล้ว +2

    Noma sana

  • @mikemcubic8181
    @mikemcubic8181 3 ปีที่แล้ว +1

    kiba = talent
    diamond = hard worker

  • @mussabarnaba5099
    @mussabarnaba5099 3 ปีที่แล้ว +1

    Your a good boy

  • @Halima-fk5oq
    @Halima-fk5oq 3 ปีที่แล้ว +6

    🔥🔥🔥🔥

  • @jarededmin4976
    @jarededmin4976 3 ปีที่แล้ว +2

    simple but sweet

  • @frankjacksoni1433
    @frankjacksoni1433 3 ปีที่แล้ว +3

    Madem weng wanamsifia Ali kiba lkn mond watoto wa kiswahili tunamjua Sana

    • @sillajilihambwali7206
      @sillajilihambwali7206 3 ปีที่แล้ว

      Oy jmn kuazia leo mm jin lang naitwa alikiba

    • @saumsalim9966
      @saumsalim9966 3 ปีที่แล้ว

      Baba Abraham atakoxaje kujulkana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ctak kero nmecomment nakpita

  • @mwasumohamed8146
    @mwasumohamed8146 3 ปีที่แล้ว +1

    Yeeeeeeh yebabaaaa

  • @mussamanumbu3718
    @mussamanumbu3718 3 ปีที่แล้ว +4

    Burudani lazima watu waenjoy kwanza

  • @wilondjabinyams5925
    @wilondjabinyams5925 3 ปีที่แล้ว +4

    aki sijawai kuona msanii km kiba duniani anauwezo waki pekee

  • @valeriashirima7432
    @valeriashirima7432 3 ปีที่แล้ว

    Very nice

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 3 ปีที่แล้ว +1

    Aliiiiiii kibaaaaaaaaa

  • @hafidhujongo2488
    @hafidhujongo2488 3 ปีที่แล้ว +3

    Sauti baba angu ni sheeeeda

  • @munmun_stepup6900
    @munmun_stepup6900 3 ปีที่แล้ว

    Love you King 👑

  • @chrisdonline6748
    @chrisdonline6748 3 ปีที่แล้ว +3

    Dj anazingua

  • @abdulqareemseif9050
    @abdulqareemseif9050 3 ปีที่แล้ว +2

    Tamasha la music

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 3 ปีที่แล้ว +3

    Nyimbo zinaeleweka hadi raha, yani hata mzee anaweza kuzicheza, sio kule upande wa pili fujo tupu 😂😂😂

  • @cosytz1610
    @cosytz1610 3 ปีที่แล้ว +2

    King firee

  • @karimnyanza5906
    @karimnyanza5906 3 ปีที่แล้ว +1

    Imepenya iyo

  • @antonyngala1977
    @antonyngala1977 3 ปีที่แล้ว +1

    Kingkiba

  • @presseg.6362
    @presseg.6362 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi saaana kiba

  • @dastanmsosa4661
    @dastanmsosa4661 3 ปีที่แล้ว +5

    Kiba kama kiba

  • @rashidally6934
    @rashidally6934 3 ปีที่แล้ว +3

    👑👑👑💪💪

  • @kudrantengakaje6363
    @kudrantengakaje6363 3 ปีที่แล้ว +1

    kigoma kwetu

  • @sadaally3317
    @sadaally3317 3 ปีที่แล้ว +1

    My crush 😘

  • @manafecassamo2749
    @manafecassamo2749 3 ปีที่แล้ว +2

    Ivy vyama vyenu vinatesa Saana waislamo

  • @issamustafa8478
    @issamustafa8478 3 ปีที่แล้ว +1

    King ally

  • @ozanee1739
    @ozanee1739 3 ปีที่แล้ว +1

    King

  • @yahyamassawe8011
    @yahyamassawe8011 3 ปีที่แล้ว +3

    Huyu polepole hatufai kabisa ktk nchi hii

    • @sarahtony3937
      @sarahtony3937 3 ปีที่แล้ว

      Kakukosea nn tena mwenzetu

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 3 ปีที่แล้ว

      Chuki binafsi

    • @tausimbewa2148
      @tausimbewa2148 3 ปีที่แล้ว

      @@presseg.6362 Yy wa harakaharaka mbona hatujamuona hapo jukwaani, hizo chuki ztamuua ck si zake

  • @barakacemmanuel3816
    @barakacemmanuel3816 3 ปีที่แล้ว +1

    Yebabaaaaaaa

  • @mashakajuma902
    @mashakajuma902 3 ปีที่แล้ว +1

    Yeaaaaap yeebabaaaaa

  • @hassanboy7113
    @hassanboy7113 3 ปีที่แล้ว +2

    Pamojasana

  • @jjmooo4186
    @jjmooo4186 3 ปีที่แล้ว +1

    Lisu 2020

  • @abdulqareemseif9050
    @abdulqareemseif9050 3 ปีที่แล้ว +3

    Fiesta ya mwaka huu hatari naona nyomi kweli clouds Wapo juu

    • @fortidaskashaigili7496
      @fortidaskashaigili7496 3 ปีที่แล้ว +1

      Ee mtasema mengi,kama hupendi ccm si uachekwenda kwenye fiesta yao

    • @ricksonlyimo5594
      @ricksonlyimo5594 3 ปีที่แล้ว

      Kashaingili we mtoto wa juz tuachie ccm tunayoijua cc au unafurahia kuletewa tren ya umeme ni sawa nami nashukuru kuletewa treni hiyo pia na ndege hizo kumi na moja je ndege utazipanda na je mbona viwanda avifufuliwi vijana wakaajiliwa kutokomeza janga la machokora na kutoa janga la vijana kukaa mitaani zaidi tunaletewa ndege treni kupata ajila ya kufanya ata usafi uwanja wa ndege uwe na ufaulu wa chet cha form four kijana acha kufuraia vitu kwa kuviona ila fatilia kijana amka

    • @fortidaskashaigili7496
      @fortidaskashaigili7496 3 ปีที่แล้ว

      @@ricksonlyimo5594 kupanda ndege sio lazima,Kuna hata ambaye hajawahi kupanda pikipiki au baiskeli japo watz wengi wanazimiliki,tunachoangalia ni maendeleo,na maendeleo huwezi kuyapata bila miundombinu ya uhakika,kama njia za uchukuzi, na anga ni njia mojawapo ya uchukuzi tena ambayo ipo kwenye ushindani wa hari ya juu sana duniani,na ndio njia ya kurahisisha kufanya vitu kwa haraka kuliko njia zingine ,ukitaka kuokoa muda wa kusafiri ni ndege,yani,ukitaka kusafirisha mizigo kwa haraka sana bado ni ndege brother,hata lisu alipopigwa risasi asingeweza kuwahi nairobi isingekuwepo ndege,angelazimika kutumia gari kwa muda wa masaa zaidi ya 13 kutoka tz kwenda Kenya,Sasa hapo ndio maendeleo yanapokuja kuonekana umepata tatizo umewahishwa na ndege,ambayo ni kitu,maana Kama ni maendeleo ya watu ok tuseme unahela zakutosha huna njaa,lkn ndio Sasa imetokea Kama hivyo umepata ajari unawahishwa Kenya kwa gari zaidi ya masaa 13,mwenzio anapanda ndege anawahishwa Kenya dakika 45,Sasa aliye endelea ni yupi hapo brother,maana tusitukanane bila sababu tuzungumze kiuhalisia,hivi wewe jirani yako ana nyumba bora ,wewe unabora nyumba,mwenzio anamiliki gari,wewe huna hata mkokoteni wakusombea maji, mwenzio anamiliki boat Kama mbili za kisasa zakuvulia samaki,wewe hata mtumbwi wakujichogea kienyeji huna,Sasa ni yupi mwenye maendeleo. Maendeleo ni kuwa na vitu,au kwa jina lingine Mali unazomiliki hayo ndio maendeleo,Sasa wewe mtu hata kiwanja chat kujenga chumba kimoja huna alf useme umeendelae,wa tz inabidi tujifunze kufanya kazi kwa bidii brother Yani shauri masera wafanye kazi ndege mbona unaipanda tu ,ni kitu Cha kawahida sana,sema mnaogopa jina ndege,wengine hata airport wanaogopa kufika kisa jina ndege,naomba tufanye kazi usipopanda ndege basi utaagiza mizigo leo kutoka china ,itakufikia kesho mapema,badala yakutumia meli ambapo ingechukua miezi 3 kufika, brother sipendi kutukanana lkn huu ndio ukweli

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @nashonotieno6524
    @nashonotieno6524 2 ปีที่แล้ว

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @azizakenny7154
    @azizakenny7154 3 ปีที่แล้ว +2

    😍😍😍😍😍

  • @gipsonrobert8292
    @gipsonrobert8292 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa anatisha sana

  • @patelpmax9954
    @patelpmax9954 3 ปีที่แล้ว

    Fire

  • @abdukarimhussein4215
    @abdukarimhussein4215 3 ปีที่แล้ว

    💥💥💥

  • @marthapeter6009
    @marthapeter6009 3 ปีที่แล้ว +1

    👑

  • @imanuelsimon9739
    @imanuelsimon9739 3 ปีที่แล้ว +1

    Yebabaaaas

  • @sudiyahya9276
    @sudiyahya9276 3 ปีที่แล้ว

    Ok

  • @shabaniddy1595
    @shabaniddy1595 3 ปีที่แล้ว

    Yebabah

  • @frankcosmas3927
    @frankcosmas3927 3 ปีที่แล้ว +2

    Arikiba nakukubal

  • @jackngaku7449
    @jackngaku7449 3 ปีที่แล้ว

    Ye baba

  • @cardinal0016
    @cardinal0016 3 ปีที่แล้ว +6

    Magufuli haendi sehemu bila wasanii 🤣🤣🤣🤣

    • @fortidaskashaigili7496
      @fortidaskashaigili7496 3 ปีที่แล้ว +1

      Ee ndio kawahida yetu ccm,mtakubali tu

    • @ricksonlyimo5594
      @ricksonlyimo5594 3 ปีที่แล้ว

      Hapo sasa nishajiuliza kampeni za ccm ni za wasanii bila wasanii kampen aziendi ila masikin Tundu Lisu yupo yeye kama yeye

    • @ricksonlyimo5594
      @ricksonlyimo5594 3 ปีที่แล้ว

      Kashaingila we uijui ccm kaa kimya

    • @fortidaskashaigili7496
      @fortidaskashaigili7496 3 ปีที่แล้ว

      @@ricksonlyimo5594 wewe ndio ukae kimya maana huijui CCM,lbd nikujuze tu kuwa, ufatilia kampeni za ccm kwenye chaguzi zoote,uone kama waliwahi kuacha wasanii nyuma,sasasijui mmeliona leo,lkn kipindi Cha nyuma mliona kawahida tu,wasanii wengi ni wanachama wa ccm,na kingine,chadema bado haina ubavu wakupambana na ccm kwa Sasa,lbd baada ya miaka 100 ijayo,kizazi kingine ndio kitafanikiwa,lkn Bado ni lbd

    • @ricksonlyimo5594
      @ricksonlyimo5594 3 ปีที่แล้ว

      @@fortidaskashaigili7496 yaan huna akili kabisa naweza kujikuta nabishana na kitoto kinachofurahia wasanii mimi cshoboki na wasanii we wafuraie nikikuuliza nn maana ya upinzani uwez ukanielezea nikikuuliza nn maana ya ccm uwez nieleza zaidi utabwabwaja tu na kusema umeona wasanii wanavyoimba amka toka ucngizini wewe

  • @jacksonebrahim7961
    @jacksonebrahim7961 3 ปีที่แล้ว +5

    Kama.unakelwa na anavyoita wasaaniii
    Nipe like twende sawa

  • @omaryrashid3320
    @omaryrashid3320 3 ปีที่แล้ว

    Tutaelewana tu taratibu

  • @katecaddy7556
    @katecaddy7556 3 ปีที่แล้ว

  • @davismaluli9852
    @davismaluli9852 3 ปีที่แล้ว +3

    Fiester .. hahahaha

  • @britishboytz3576
    @britishboytz3576 3 ปีที่แล้ว +3

    Kesho fiesta mkoa gn

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 3 ปีที่แล้ว

      Mkoa aliotoka mama yako

    • @tatumohammed3472
      @tatumohammed3472 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

    • @abdulqareemseif9050
      @abdulqareemseif9050 3 ปีที่แล้ว

      Shoo ya fiesta kesho sijui wapi broo vp kuhusu mkutano lini Broo naskia lisu yupo mikoani

    • @rahmaoman5122
      @rahmaoman5122 3 ปีที่แล้ว

      Ama kwer mnateseka 🤣🤣🤣🤣Nanyie maboda boda watakua wapo mkoa gani kwer maana nanyie ndo wapiga debe wenu🤣🤣siasa bhana nikama mchezo wangumi tu

    • @rahmaoman5122
      @rahmaoman5122 3 ปีที่แล้ว +1

      @@ahmednoor1412 🤣🤣🤣wanateswa na wivu tu hao

  • @suleymanisalum2361
    @suleymanisalum2361 3 ปีที่แล้ว

    Kiba mtu hatarii

  • @demasgattv6857
    @demasgattv6857 3 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rajabumapunda416
    @rajabumapunda416 3 ปีที่แล้ว

    Dogo armonize kafunika

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 3 ปีที่แล้ว +3

    Tukisema Wananchi hawa wanakwenda fiester bure kwenda kuangalia Wasanii na sio magufuli mnakataa sasa hii ni nini! Ila pamoja na yote tunahitaji siku tar 28 October haki itendeke tofauti na hivyo mtajuta mkifanya uhuni mtakao ufanya.

    • @paulkashinje930
      @paulkashinje930 3 ปีที่แล้ว

      Ww utafaneje sasa...?
      Msiwe mnaongea kwa mkumbo tu kati hauna cha kufanya.

    • @lodrickmwambene6636
      @lodrickmwambene6636 3 ปีที่แล้ว

      Ccm kampeni ni sherehe maana magu ndio raisi

    • @presseg.6362
      @presseg.6362 3 ปีที่แล้ว

      Ccm burudani kwa sababu jembe letu LA ukweli Magufuli %%%%%@

    • @issackchalahani1235
      @issackchalahani1235 3 ปีที่แล้ว

      @@presseg.6362 Kweli kabisa ni 0%%%%%% safi sana.

    • @lilianmyenda6331
      @lilianmyenda6331 3 ปีที่แล้ว

      Kampeni ni nini?

  • @hafidhujongo2488
    @hafidhujongo2488 3 ปีที่แล้ว

    Wallah we no kipusa

  • @deborahassan1395
    @deborahassan1395 3 ปีที่แล้ว +1

    Kiba hatar

  • @olayo2556
    @olayo2556 3 ปีที่แล้ว +1

    mchiz amepooza kinoma yahn. amekazana yoooo yebabaa.unatuboa shabiki zako bana ali

  • @neemaneema1406
    @neemaneema1406 3 ปีที่แล้ว +7

    🔥🔥🔥🔥🔥✌