Njaa mbaya sana watu tunashida adi tunahisi mwisho wa dunia unachelewa kutimia lakini leo watu tuliowapa dhaman wanatuletea maigizo mikoani uku wakiwa na tabasam lote
Yani huyu malaya mtupu...Badala apambne kusaidia wagonjwa,wajane,wakimbiz na wasikuwa na uwezo ako kufanya ujinga....wakusifie hao wajinga tuu....Rais alikuwa baba wa Taifa na maguful....ww ni mtalii wa nchi....Ila ndo madhara ya kuongozwa na mtu ambae akiki ziko matakon,nakuchukia
Inaumaaaa saaaana pesa zinaishia kwenye sherehe warsha makongamano
Facts!!
Watanzania shida yenu muko wanafiki sana kusema ukweli
Kujipendekeza huku Hadi boss anajua unamnafikia
Njaa mbaya sana watu tunashida adi tunahisi mwisho wa dunia unachelewa kutimia lakini leo watu tuliowapa dhaman wanatuletea maigizo mikoani uku wakiwa na tabasam lote
Pambana njaa itakuondoka
wakati we unasema njaa mbaya pole sana kwa kuteseka
Ĝvvvmvbbv.v
Bb
BAHATI NZURI MAMA ANAWAJUA KUWA MNAMSIFU TU
Hamna kila ki2.nataman sana kushuhudia mwisho wa dunia..eee Mungu tuokoe waja wako
Mama Samia nakupenda mpaka naumwa
Wakati mataifa mengine vijana wao wanaonyesha ubunifu kwa kazi za kulijenga TAIFA lao vijana wetu wanashindana mbele ya rais kwa vitu vya hovyo
Pole kwa kuteseka 😂
🎉
So sad 💔
Unateseka ukiwa wapi?
Hawana ndio kazi Yao wewe hata uongee vp utabakia hivyo hivyo
Wameongwa Hao mbuzi pori
Mdomo hauwezi kuusemea moyo 😂😂
Wapunguze bei ya vifaa vya ujenzi 😭😭🙌
Kweli kabisa vifaa vya ujenzi wanazingua sana
😢😢😢
Emma Francis
Acheni kumpambia maskini uku tunaumia vitu kila siku vinapanda bei
🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️❤️❤️
Jaman had Raha ❤
Mama anapga miguu yote😂
🤣🤣🤣
Mhuuuuuuuu njaaa jmn njaaa tena wengne ni watumishi wa Mungu duh
Daaah pepo ngumu sana, uyu Masanja si anajiita mchungaji au..? Je kila sifa aloitoa apo lwa Mama ni kweli au na unafiki umo...?
Singeli
🎉
🤣🤣🤣 uchawa tu huo Ila cwezi laumu mpo kazini kenge nyie
Mhhh kwenye midia sawa
Upumbavu ukizidi watu wanaleta ujinga kwenye mambo serious
Heri mimi sikukaa barazani pa wenye mizaha je km mtumishi wa mungu unaipimaje hyo
unapiga miguu yote fafanua na uelezee😂
Mh uchawa huo
Achen unafki....
Duuuuh kazi ipoo
Chawa nyie
😭😭😭😭
Mbona mmesahau kumsifia kwakutokuwatumbua wapiga dili kushindana kujenga maghorofa namaa apartment kwapesa zamiradi
Utakula steki yeye zenye mifupa muachie wacheni vijamaa vichukue noti kwani nani anafaidika hapo😂😂😂
"Chawa kama chawa!"
🤐
Asee Hawa Jamaa wanazingua, acheni makelele. Makelele hayana Ishu.. mwambie tunataka katiba mpya
Nilikuwepo jana paje hiyo sio kizimkazi
Sawa💯
So elimu ni majengo🤣🤣
Naona mnatafuta njia ya kutupumbaza tusahau
Taifa letu hili ni Kama kituko
Mmh
Upumbau mtupu!
Nimeona msaidiz akicheka
Vit vinapanda bei hamsemii
Big up Masanja & Mpoki
Acheni unafki mbele ya camera,cameras life is fake
Typing error
Wapambe wanazidi kumiminika
Sasa wasemeje
Mkumba chausiku
😂😂😂😂😂😂
Nakuambia babab
🎉🎉🎉🎉🥸🥸🥸
Wee subiri tuu umesikia yaliyo tokea Gabon huko kazi anayo
😂😅🤣imecheka
Ujingaujinga mwingi
Yani huyu malaya mtupu...Badala apambne kusaidia wagonjwa,wajane,wakimbiz na wasikuwa na uwezo ako kufanya ujinga....wakusifie hao wajinga tuu....Rais alikuwa baba wa Taifa na maguful....ww ni mtalii wa nchi....Ila ndo madhara ya kuongozwa na mtu ambae akiki ziko matakon,nakuchukia
😢😢😢 no vibe no what yaan yote mnayompongeza it's like mnamsingizia Hana future na taifa huo
Tukupe ww nchi mwenye future?? Au ulishawahi kuongoza nn ukafanikiwa?? 2025 gombea uraisi ntakupa kura yangu
@@qaisarmohammed7531 mwenyew Sina maono na hili taifa, lkn Rais hakuwah hata kufikiri hata siku moja Kama atakuja kua Rais
😢😢😢