MCH MASANJA Anena Mazito Kwenye Msiba wa Mama Shigongo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ค. 2018
- MCH MASANJA Anena Mazito Kwenye Msiba wa Mama Shigongo
MCHUNGAJI Emmanuel Mgaya maarufu kwa jina la Masanja Mkandandamizaji amewasili msibani kwa mama wa Eric Shigongo na kupata fursa ya kuhubiri neno la Mungu kwa wafiwa na waombolezaji wengine.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1 / uwazi1 WEBSITE:
://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
i wish uhubiri siku nzima Mchungaji masanja,mimi binafsi sipendi kuzoom matukio ya misiba maana naogopa sana kifo....ila sio kwa mahubiri hayo yanayofariji sana .....nimefanya maamuzi pia ya Kumpokea Yesu
Ubarikiwe sawa
amina mtumishi
Ubarikiwe sana mchungaji Masanja hebu uje na huku Sumbawanga tunakupenda sana.
Pascal hongera sana kwa maamuzi mazuri
Hongera mtumishi wa mungu
Kaka pole sana kwa msiba Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Poleni wanafamilia kwa kuondokewa na mpendwa wenu,Mtumishi Mungu akubariki Sana mahubiri yamenibariki Sana,
Masanja ni mmoja Wa wasanii waliokoka ambao hajawahi kumuonea aibu Yesu ati kwakuwa ni wasanii marufu. ..anatumia vizuri tarent yake
Mungu akubariki sanaaa!!
barikiwa sana mchungaji masanja sichoki kukusikilza
Ila masanja nakupenda sana , ni mfariji mzuri Mno
Ali M1966 nimeyapenda sana mahubiri
Ali M1966 mungu. kubark
Bwana Yesu asifiwe, masanja kweli roho ya Mungu iko ndani yako na ni kweli kabisa hutanii umesama kwa mungu kweli ubarikiwe mchungaji kwa mafundisho mazuri
Mafundisho mazuri kaka ubarikiwe 🙏
Asante sana Masanja kwa mahubiri yako kwa kweli yameniingia ipasavyo.Ameeni 🙏
Pole kaka yangu kwa kuondokewa na mama mzazi, mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
amina mungu akubariki injili yko iwafikie hata wale walio mbali
Huwa unachekesha lakini unasem vitu vya msingi sana mungu akutie nguvu sana ubarikiwe sana
Watching this from Germany nimebarikiwa sana japo ni ya zamani ila leo nimekutana nayo imenibariki sana Mungu atusaidie
Mutumishi MASANJA MUNGU AKUSIMAMIE SIKUZOTE ZA maisha YAKO. Uwa nafarijika napo sikiza Mahubiri YAKO.
Mungu akupe falaja brother Eric.MASANJA mungu akuongoze napia nimebalikiwa achawaseme mungu aliye kuinua ndie atakaye tulinda ameeee
Asante mtumishi WA MUNGU kwamaneno mazuriMUNGU akubariki Sana.
Asante cn mch masanja kwa kuwafariji wafiwa wote mungu awape guvu
Nimebarikiwa sana na mahubiri haya
Ameeeen!!!!!!mtumishi Masanja Mungu akubariki sana, pia poleni wafiwa wote
Amen mtumishi wa Bwana Yesu......Mungu azidi kukubariki
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.Daa mafundisho yako yanabariki sana.
Pumzika kwa Amani mama,,,asante mtumishi wa Mungu,kwa mahubiri mazuri,hakika nimebarikiwa.....poleni wafiwa wote...
Good Massanja, you are now blessing others
Asante sana kwa ujumbe wako ila tu ningesema hivi..Kufa sio lazma. Kuna wale ambao watashuhudia kurudi kwa Yesu na ufalume wake. Kumaanisha wao watakua ni Kati ya wateule. Amen
Mungu akubariki Sana Mtumishi wa Mungu, Akulinde Sana, be blessed man of God be Protected in the Blood of God of Jesus.
Dah!!! Nmekuelewa saanaaaa braza ema, my salvation tym z nw
Stella Edward Mungu akubariki
Hakika wewe ni mchngaj wakipekee nakupenda kwa dhat pia mungu akuongoze katika kazi hyo alokupa
Nimecheka mpaka baaaasi!!
Machozi ya kicheko
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Masanja you are talented mbayaa comedy mpaka injili
Mungu akubariki sana umeongea vyema kama unachekesha vile kumbe bonge la funzo Mungu azidi kukuinua utufundishe mengine mengi sote twende Mbinguni Amen
Pastor masanja nimependa ujumbe wako mungu azidi kukuinua
nimependa ngazi anaiondoa Amen nimebarikiwa👏👏👏
Asante Mchungaji, mbeleni utakuwa Mch wa hatari, Mungu aendelee kukupa kibali cha kukubalika, poleni wote kwa msiba wa mama mpendwa
pole bro Shigongo Mungu akupe wepesi,hyo ninjia ya kila mwanadamu hapa duniani,so kikubwa ni kumuombea bib mkubwa apumzike kwa amani katika njia yake ya milele amen.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu!
Kwa Mungu kila goti litapigwa. Nimefurahi kuona hata imani zingine wametii ukuu wake Bwana, na wameomba pamoja na mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe sana masanja. Nakutamani sana masanja, hatua uliyofikia ni kubwa mnooo!
masanja naamini yesu ni komando anafanya majabu ujumbe umenibariki kifo cha uyo ndugu nisababu ya wengine kupona amina
Masanja you are blessed
Mungu azidi kutunza huduma iliyo ndani yako
Daaah Mch Massanja Mungu akubariki sana
aminaaaaaaa!!!!!! nimefurahishwa na maubiri mtu wa MUNGU yamenigusa atareeeeeee ubarikiwe
Number yake bas...
Loveness Titus sina no zake maa
Love Kyungai djf
umeugusa moyo wangu kwa neno hili..BARIKIWA
Waoo so so powerful brother Masanja BWANA akuzidishe kwa jina la YESU
Umenifanya nijifunze kitu ijapo kinasiharasihara,,Ubarkiwe saana Masanja,,Amen
Amen Mtumishi wa Mungu
Amen msanja
Amen.
Ubarikiwe sana Mchungaji.
Unanibariki sana na mahubiti yako.
nimebarikiwa sana na maubiri yako masanja God bless you
Asantee sana mtumishii wa Mungu masanja mkanfamizaji
Nime barikiwa saaaanaa
Duh..!
Pole kaka Shigongo kwa Msiba wa Mama yetu.
Mungu azidi kukuza na kulinda kilicho ndani ya mtumishi mashanza
Amen mtumishi wa Mungu
amen
Masanja unajuwa kufariji watu ubarikiwe mtumishi 🙏🙏🙏
Kwa jina yesu naomba cku nikuone masanja nisaidie plse..
Ubarikiwe mtumishi
Hahaha😂😂😂😂 masanja yaani acha Mungu aitwe Mungu kwakweli nikiangalia aliko kutowa hadi leo hii, Mungu alikuchaguwa tangu tumboni kabisaaa kwanza kupitia comedy ilikuwa tu njia ya kuhamasisha taifa lake kwamba uwanze nao huko mwishowe uwaleta sasa kwake yeye Muumba wa mbingu na nchi Oooh Hallelujah!!!na nina imani kuwa wengi leo wameokolewa kupitia wewe a specially vijani,maana hao ndio wenye nguvu sana japo shetani nae ndio anao watafuna kama nini ila kwa nguvu na uwezo wa Mungu Baba tutashinda,ubarikiwe sana Mtumishi kwa mafundisho mazuri kiasi yenye faraja,yanafurahisha pia usisimuwa Mtumishi Bwana awe nawe!shalom shalom kutokea pande za USA.
Zawadi lydia Mweshama .
Zawadi lydia Mweshama
Zawadi lydia Mweshama safi kwakweli
Amen ndugu ubarikwe
Barikiwa mtumishi
Hallelujah, nimeipenda sana
Aminaa mtumishi ubarikiw sana
Pole sana Kaka Shigongo,,Mungu ampumzishe mama mahali pema pepon Amen,,,najua upo katika kipindi kigumu lkn usife moyo Mungu yuko na ww
DUH UBARIKIWE MCH UKO NJEMA SANAAAAAA
Asante sana kwa mahubiri mazuri......
Umenifaliji na mm nimeondokewa na mama yangu mzazi tarehe 18 mwezi wa 4 2019,bado niko nahuzuni ila nimefarijika sana ubarikiwe mtumishi.
Amina masanja umenibariki sana
Aminaaaaaa nimebarikiwa saaana na mahubiri yako Mchungaji
Nakupendaga bure masanja 2019
Uko vizuri mchungaji masanja
YOUR SO GOOD PASTOR
Barikiwa sana Mch. Mkwndamizaji
barikiwa sana
Barikiwa sn mch Masanja kwa injil nzur
amen God bless you Man of god
Yuko vizuri ktk kuwaliza wafiwa
Akika nimejifunza kitu kikubwa kutoka kwako masanja barikiwa sana
mch nakukubali sana pole bro erick
ubarikiwe means wane kwa mahubir mazuri masanja mungu akutunze tumwombe mungu joti aokoke
Niko shinyanga masanja mahubiri yako yanajenga barikiwa sanaaaaa mwana wane
l like u preach amen
Barikiwa sana mchungaji
Ubarikiwe mtu wa Mungu
Nakukubali sana mwanawane uko vizuri mafundisho yako ni ya kweli tupu karibu sana Mwanza Mungu akubariki sana.
Upo vzur bro mungu mwema kwako
Kumjua Mungu niraha sana Kama utaupa nafasi n kuamin inawezekana. Masanja Mungu akubariki sana Nina iman Naanza kubadilika kutengeneza kesho yangu
Asante mchungaji masanja kwa ibada mzuri nami nimepata kitu kupitia ibada hii ubarikiwe sana pia natoa pole kwa kaka Eric kuondokewa na mama RPI MAMA
Poleni Sana wafiwa, Mungu wa mbinguni afariji mioyo yenu. Kifo ni Safari ya kila mmoja
You are the best speaker
amen mchungaji nipo budhabi nimekusoma mwenyez mungu akupeuhai mrefu uzidi kutupatia neno lakiroho
Mungu akubariki asante kwako kutumishi " "
masanjaaa! am blessed mnooo yaan nimejifunza sana
Dah be blessed Brother.. ..
Ubarikiwe mchungaji
Be blessed Man of God
hongera sana bwana MASANJA mwenzezi MUNGU akupe nguvu sana na hekima kila siku na neon lake lisikose kinywani mwako
Amen,hakika umeibariki siku yangu leo Mch. Masanja.
Mchungaji Masanja Mungu akubariki maana umekuja kwenye kizazi hiki chenye kutaka ishara. Naona Mungu alikupitisha kwenye comedy kwa makusudi
God almighty be with you Emmanuel for the rest of your life in Jesus name amen
neno lake Mungu kupitia mtumishi wake Masanja hakika limekuwa FARAJA HAPO MSIBANIamen
Wow injili moto moto, Mungu aendelee kukutumia Emmanuel Mgaya
Amina mtumishi wa Mungu
Barikiwa sana masanja
Mungu yu mwema.Amen
Barikiwa sana Masanja!
Dah! Nimejfunza meng sana, nimefurahia mahubir, nimekukubali na naendelea kumkubali Mungu daima!
Ubarikiwe ndugu Mchungaji
Iga kwa waliofanikiwa mungu yu pamoja nawe isack mnyikondo
Mungu akubariki Brother. Mungu amekutumia kusema kweli
Ishi kwa kwa kumtegemea mungu