Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.
Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.
Dah sichokaji kukusikiliza bro Masanja, kweli kila ninapoangalia najikuta siku yangu inakuwa happy .Barikiwa bro
NANUKUUU Godzilla LABUDA MANENO YANGU WATAYAELEWA SIKU NIKIFA#STAY kwr masanja
Masanja tunaomba semina Kwa vijanaaa arusha tafadhali kama ukiona msg yangu tuzungumze plz
😂😂😂😂😂Masanja ana ongopa kifo hadi shetani ana mwongopa kabisa😂😂😂😂
Amina mtmishi
Kama umesikia kwetu hakuna vyandalua gonga like
Kwel ww ni mchungaji asie na maono! Ina maan unataka kuaminisha watu kuwa mtu akifa anaenda mbinguni? Hovyo kwel! Changanya akili bro!
Masanja nakugawa bure
Masanja we kiboko
Nimecheka kwa sauti.....😁😁😀😀😀😀
Ni uhalisia usiopingika. Mungu wetu hujibu maombi mapema ila hatuelewagi kabisa.
Aki masanja wewe nimoto wakuotea mbali😁😁😁😁😁🇰🇪🇲🇴🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Kweli lkn mwansasu aliimba siku akilala lala mauti hakuna awezae kumuamsha akalala kweli
Nimeipenda hiyo
Hahaa masaja umenishinda tabia.
Kwetu pazuri nimeshapakumbuka nimesha pakumbuka
Masanja ni gifted and talented kuleta furaha
Duuu masanja
Da!!!! Nataman kufanya comedy na ww kaka,, ntafrahi Kama itawezekana
How can I get kemea pepo T-shirt ?
Ha ha ha ha sina hamu ya kurundi kwa baba
safi masanja sasa tishert
Mbn GK yupooo bado ??!!!
Mimi ata kwabure sihendi
Kweli kabisaa, nikidifu2😀
Dah Raha sana MUNGU akutie nguvu
Ila Biblia inasema jiwekeni tayari maana hamjui siku wala saa. Tafsiri yake ni kwamba mtu uwe tayari wakati wowote ule ukiitwa uwe na uhakika ma uendako. Paulo anasema kuishi ni Kristo kufa ni faida, mtumishi wa Mungu haogopi kufa kwa sababu anajua wapi anakwenda baada ya kufa kwake.
Amen bro
Ila sio kujiombea kufa
@@luganomwambulukutu5311 Yes..sio kujiombea kifo
Ila usijiombee kifo kwa makusudi na msisitizo inakuwa kama unamfundisha / unamuamrisha Mungu akufanyie utakayo ww kati tumeshaambiwa kesho yetu hatuijui zaidi ni kujiandaa kwa kutenda mema tu,ko Masanja mm naamini yupo sahihi.
Masanja we ni kituko
Yaani Masanja umesema kweli. Ukiimba nyimbo za huzuni huzuni huwa inatokea mambo ya huzuni. N.k.
Nice sana
Masanja umenifulaisha
duuuu kulia natamani kucheka natamani dah bora nicheke tuuuu😁😁😁😁😁😁😁😁 masanja ni shida
Haahha
ndio maana me naimba nyimbo za Kupandishwa thamani,,,,na kuipeperusha bendera ya Yesu2
Hahaaa kaka Bright bwana
Daaaaaaaa! Masanja bwaaana
Masanja bwana 😄😄
Hahahaaaa!!Masanja UNANIVUNJA MBAVU!!HEEEE!
ukweli mtupu mtumishi wa Mungu
Atari
Masanja we ni kituko
truth in funny way
Yaani masanja umenifanya nicheke jmn wewe kaka weweee mmmh msukuma hajuti kukupata
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani masanja
Kweli kabisa
Masanja mdogo wangu umenichekesha mpaka bac ubarikiwe sana!
Hivi ndio watu wenye hekima kama sanja watakavo weza kumiliki na kutawala kwa furaha
Jamani bavu zangu mm. Masnj
Hii ni kweli masanja
hahahaa had nimecheka kwa sauti majansa kweli vituko
Duh! Masanja!
Ata ww ip0 Siku usipinge MAneno sawa
😂😂😂😂😂😂
AMEN AMEN 👋🙌👋🙌🙌🙋🙋💓👏👏💓🙋🔥🙋💓👏🙌🙌🙋🔥🙋💓👏👏
siku nikilala
hahaha masanja acha vituko
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
😂
Yaani wewe masanja unautani mwingi
Amennnn
Kabisa
Masanja
Brother uko sahihi kabisa
Masaja nakukubali
Sitaki kusika hizo nyimbo hata kidogo